BALAA LA MAXI NZENGELI VD FC AUGSBURG/AMEKICHAFUA BALAA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi #FCAugsburg #SouthAfrica #PreSeason

Комментарии • 76

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 2 месяца назад +20

    The top top quality player
    Max nzengeli 🎉🎉🎉

  • @misambo7539
    @misambo7539 2 месяца назад +43

    Maxi msimu ujao naimani atakuwa MVP jamaa anajua tena anajua. Kama unamkubali weka like kwake.

    • @pastorgodwinchengula7848
      @pastorgodwinchengula7848 2 месяца назад

      Yes huyu mtu ni hatari kwakweli...! Yeye na Pacome msimu huu na ligi wameshaizoea msimu wa pili ni kama usajiri mpya Yanga.

  • @JumanneZengo
    @JumanneZengo 2 месяца назад +16

    Congratulations mbappe wa tz❤❤

  • @luganokibona7328
    @luganokibona7328 2 месяца назад +13

    Max nzengeli mbape wa Congo

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 месяца назад +3

    Kweli kabisa mko vizuri sana, kazaneni mtafika mbali. Nimeenjoy mchezo wenu sana

  • @wedsonanangisye5512
    @wedsonanangisye5512 2 месяца назад +19

    uyuuu mwambaa hatumpii eshimaaa anayoo stailii ilaaaa anaaa ubondàa sanaa

    • @geophreyjohn5328
      @geophreyjohn5328 2 месяца назад

      Sio kwamba hatumpi heshima anayo stahili kaka palee mafundii ni weng

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 2 месяца назад +2

    Namkubari sana Max Zengeli nakupenda sana pambana uko sana

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 2 месяца назад +11

    Max alikiwasha sana🔥🔥💐💐💐

  • @AMOSEXAVERY-fm4qm
    @AMOSEXAVERY-fm4qm 2 месяца назад +3

    Hii timu ni nzuri sana!!
    Nawapongeza viongozi kwa kupambana kupata wachezaji bora kabisa na wenye viwango

    • @HappinessSulle
      @HappinessSulle 2 месяца назад

      Hongereni sanaaaaaa❤❤❤❤😊😊😊

  • @gabrielydancan
    @gabrielydancan 2 месяца назад +6

    msimu huu kuna timu watakimbia game aiseeeeeee

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc 2 месяца назад +3

    Max ni mkongo smart

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 2 месяца назад +2

    Max Nzengeli ni mwamba kwelikweli

  • @ip_header
    @ip_header 2 месяца назад +11

    Uongozi uanze mazungumzo ya kuongeza mkataba wake, huyu ni mchezaji mzuri kisha ana pumzi za kutosha.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 2 месяца назад +1

      Kweli kabisa atengenezewe mazingira kukingali asubuhi!

  • @rahimhamisi5298
    @rahimhamisi5298 2 месяца назад +6

    Huyu jamaa ni 🔥🔥🔥

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 2 месяца назад +5

    Next MVP

  • @OmarHamad-y2d
    @OmarHamad-y2d 2 месяца назад +3

    Engineer Heris nakuomba mpe max mkataba mnono wa wa miaka mitatu ifikapo January 2025.

  • @morningstarartproduction8436
    @morningstarartproduction8436 2 месяца назад +3

    Huyu jama anaitwa Mbape wakongo for a reason

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 месяца назад +2

    Max nzengeri 👍🏽👍🏽💚

  • @josepeter8033
    @josepeter8033 2 месяца назад +1

    Huyu ndio star wa team yetu

    • @HappinessSulle
      @HappinessSulle 2 месяца назад

      Kabisa aaaaààaaa❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @RichardMbomo
    @RichardMbomo 2 месяца назад

    Max anajua

  • @HamzaGaudence
    @HamzaGaudence 2 месяца назад +3

    Max ni mchezaji mzr sn

  • @goodluckabdul7316
    @goodluckabdul7316 2 месяца назад +3

    Jamaa ni hatariiii

  • @RajabuDoto
    @RajabuDoto 2 месяца назад +2

    yanga bravooooo

  • @jedonnthadeowellspringafri8560
    @jedonnthadeowellspringafri8560 2 месяца назад

    Mimi nakubali sana kiwango Cha huyujamaa anafanya wapinzani hawachezi kwa fomra

  • @nickwest5936
    @nickwest5936 2 месяца назад

    Mwana mboka 🇨🇩🫡

    • @HappinessSulle
      @HappinessSulle 2 месяца назад

      Okay this is a good day for yanga❤❤❤❤😂😂😂😂

  • @azizambise
    @azizambise 2 месяца назад

    Makiiiiiiiiiiiiis Nzengeliiiiiiii

  • @kimrudiger4454
    @kimrudiger4454 2 месяца назад

    Max anatoa vibe la Ng'olo Kante

  • @mbarikiwalebon814
    @mbarikiwalebon814 2 месяца назад +2

    Max jamani jini

  • @catherineamiri9854
    @catherineamiri9854 2 месяца назад +2

    Huyu aongezewe mkataba jmn😢

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 2 месяца назад

    Huyu Max vitu anavyofanya sijajua ana miaka mingapi lakini ni namna mzuri ya kujiuza nashauri uongozi wetu uone namna ya kumuongezea mkataba kwa namna alivyojiuza kwa wazungu ni hatari sana tunaweza kumpoteza hivi2 bila kufaidi utumishii wake kwetu kumbukeni huyu ndiye aliyetengeneza goli la Jean Otos Baleke

  • @samweledward7664
    @samweledward7664 2 месяца назад

    Yanga Bingwa ✅

  • @TeklaOlomi
    @TeklaOlomi 2 месяца назад

    What a talent

  • @morandraymond3169
    @morandraymond3169 2 месяца назад

    Ni mchezaji mzuri ila kuna mda mechi kubwa huwa anakuwa na pressure anatoka mchezoni pia awe mwepesi wa maamuzi kwawakati sahihi na maamuzi sahihi atafika mbali

  • @MikidadiKimilike
    @MikidadiKimilike 2 месяца назад

    Max ajifunze kupiga mashuti ya chini maana magoli mengi tunakosa

  • @madibasenior412
    @madibasenior412 2 месяца назад

    MNARUDIA Same mistake Sound ya beat iko juu kuliko sound ya tulia mnazingua

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 месяца назад

    Uongozi wa Yanga jiandae kumtengenezea Max mazingira ya kuongeza mkataba kukingali alfajiri. Tusirudie makosa ya huko nyuma!

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 2 месяца назад

    Ukiangalia hii mechi unagundua tumewakosa tu wazungu bahati ilikuwa upande wao

  • @JohnSitta-r7q
    @JohnSitta-r7q 2 месяца назад

    Uhakika

  • @SadikiSaid-cp1pt
    @SadikiSaid-cp1pt 2 месяца назад +1

    bareke indio namba yake sasa we msha mbuliaji una mvesha namba 4 ata fungaje sasa

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 2 месяца назад

    Show kali mno🎉🎉🎉

  • @ERICKRICHARD-lb6wg
    @ERICKRICHARD-lb6wg 2 месяца назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @begumisachristopher4697
    @begumisachristopher4697 2 месяца назад +1

    Maxi ni mchezaji makini

  • @User92.invisible
    @User92.invisible 2 месяца назад

    Max

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 2 месяца назад

    Daaaaaaa!jamani anayebisha kuhusu Max ana majini tu

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 2 месяца назад

    Mbape Wetu

  • @annodaboy
    @annodaboy 2 месяца назад

    Amezaliwa upya

  • @AllanAluma-ss8lb
    @AllanAluma-ss8lb 2 месяца назад +1

    Unge wa ambia nini wananchi?
    Max namuona ulaya dirisha dogo la usajili

  • @Rashidtawfiq
    @Rashidtawfiq 2 месяца назад

    Owa sio pouwah Yan kuna max arf kuna nzengeri Yan n hatr huyu mwamba

  • @jimmymgata7555
    @jimmymgata7555 2 месяца назад

    Aongezewe mkataba

  • @castuscheguevara540
    @castuscheguevara540 2 месяца назад

    The yanga fans we want to know where is pacome and Why is he not included in friendly matches

  • @analisacecy
    @analisacecy 2 месяца назад +5

    Ila hii mijitu mirefu

  • @FredrickBilalama
    @FredrickBilalama 2 месяца назад

    Hakuna mchezaji hapo misifa tu kikubwa mmepigwa

    • @GladyWilly
      @GladyWilly 2 месяца назад +1

      😂😂😂,,makasiriko

    • @hidayahassan8014
      @hidayahassan8014 2 месяца назад

      Deborah fc

    • @LucyVictor-c9c
      @LucyVictor-c9c 2 месяца назад

      Boda ss tumepigwa na mjerumani, anacheza ligi kuu,...na mpira tumeupiga mwingi,...sio ninyi Debora Fc mmepigwa na ligi daraja la pili hapahapa Africa 6-2....halafu mkaficha..ila wenzenu wameposti kwenye kurasa zao....na Debora wenu akachukua Red card mapema tu,....na hatusemi.....mtatuambia nn!!???
      Tusubiri tutaona...

    • @ahmadsadi8841
      @ahmadsadi8841 2 месяца назад

      05/11/2023 alimpiga kolo Juma 2 na haitoshi akasababisha penalty aliyofunga pacome. Kuwa na adabu ya mhezo wa mpira wa miguu

    • @subiraibrahim8100
      @subiraibrahim8100 2 месяца назад

      ​@@ahmadsadi8841😅😅😅😅mkumbusha mwambie huyu ndo mme wa Deborah 😂😂😂

  • @AbrahamSadio-h2g
    @AbrahamSadio-h2g 2 месяца назад

    Mbappe wa Congo ni mwamba kweli

    • @HappinessSulle
      @HappinessSulle 2 месяца назад

      Ndiooooooooo😂😂😂😂😂

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 2 месяца назад +1

    💚💚✅🔰🔰🔰🔰 like za max

  • @mudylipawaga5362
    @mudylipawaga5362 2 месяца назад

    Max