Huyu Max vitu anavyofanya sijajua ana miaka mingapi lakini ni namna mzuri ya kujiuza nashauri uongozi wetu uone namna ya kumuongezea mkataba kwa namna alivyojiuza kwa wazungu ni hatari sana tunaweza kumpoteza hivi2 bila kufaidi utumishii wake kwetu kumbukeni huyu ndiye aliyetengeneza goli la Jean Otos Baleke
Ni mchezaji mzuri ila kuna mda mechi kubwa huwa anakuwa na pressure anatoka mchezoni pia awe mwepesi wa maamuzi kwawakati sahihi na maamuzi sahihi atafika mbali
Boda ss tumepigwa na mjerumani, anacheza ligi kuu,...na mpira tumeupiga mwingi,...sio ninyi Debora Fc mmepigwa na ligi daraja la pili hapahapa Africa 6-2....halafu mkaficha..ila wenzenu wameposti kwenye kurasa zao....na Debora wenu akachukua Red card mapema tu,....na hatusemi.....mtatuambia nn!!??? Tusubiri tutaona...
The top top quality player
Max nzengeli 🎉🎉🎉
Maxi msimu ujao naimani atakuwa MVP jamaa anajua tena anajua. Kama unamkubali weka like kwake.
Yes huyu mtu ni hatari kwakweli...! Yeye na Pacome msimu huu na ligi wameshaizoea msimu wa pili ni kama usajiri mpya Yanga.
Congratulations mbappe wa tz❤❤
Max nzengeli mbape wa Congo
Kweli kabisa mko vizuri sana, kazaneni mtafika mbali. Nimeenjoy mchezo wenu sana
uyuuu mwambaa hatumpii eshimaaa anayoo stailii ilaaaa anaaa ubondàa sanaa
Sio kwamba hatumpi heshima anayo stahili kaka palee mafundii ni weng
Namkubari sana Max Zengeli nakupenda sana pambana uko sana
Max alikiwasha sana🔥🔥💐💐💐
Hii timu ni nzuri sana!!
Nawapongeza viongozi kwa kupambana kupata wachezaji bora kabisa na wenye viwango
Hongereni sanaaaaaa❤❤❤❤😊😊😊
msimu huu kuna timu watakimbia game aiseeeeeee
Max ni mkongo smart
Max Nzengeli ni mwamba kwelikweli
Uongozi uanze mazungumzo ya kuongeza mkataba wake, huyu ni mchezaji mzuri kisha ana pumzi za kutosha.
Kweli kabisa atengenezewe mazingira kukingali asubuhi!
Huyu jamaa ni 🔥🔥🔥
Hatari like a fire
Next MVP
Engineer Heris nakuomba mpe max mkataba mnono wa wa miaka mitatu ifikapo January 2025.
Huyu jama anaitwa Mbape wakongo for a reason
Max nzengeri 👍🏽👍🏽💚
Huyu ndio star wa team yetu
Kabisa aaaaààaaa❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Max anajua
Max ni mchezaji mzr sn
Jamaa ni hatariiii
yanga bravooooo
Mimi nakubali sana kiwango Cha huyujamaa anafanya wapinzani hawachezi kwa fomra
Mwana mboka 🇨🇩🫡
Okay this is a good day for yanga❤❤❤❤😂😂😂😂
Makiiiiiiiiiiiiis Nzengeliiiiiiii
Max anatoa vibe la Ng'olo Kante
Max jamani jini
Ulisema hivyo jaman 😊
Huyu aongezewe mkataba jmn😢
Huyu Max vitu anavyofanya sijajua ana miaka mingapi lakini ni namna mzuri ya kujiuza nashauri uongozi wetu uone namna ya kumuongezea mkataba kwa namna alivyojiuza kwa wazungu ni hatari sana tunaweza kumpoteza hivi2 bila kufaidi utumishii wake kwetu kumbukeni huyu ndiye aliyetengeneza goli la Jean Otos Baleke
Yanga Bingwa ✅
What a talent
Talent for what
Ni mchezaji mzuri ila kuna mda mechi kubwa huwa anakuwa na pressure anatoka mchezoni pia awe mwepesi wa maamuzi kwawakati sahihi na maamuzi sahihi atafika mbali
Max ajifunze kupiga mashuti ya chini maana magoli mengi tunakosa
MNARUDIA Same mistake Sound ya beat iko juu kuliko sound ya tulia mnazingua
Uongozi wa Yanga jiandae kumtengenezea Max mazingira ya kuongeza mkataba kukingali alfajiri. Tusirudie makosa ya huko nyuma!
Ukiangalia hii mechi unagundua tumewakosa tu wazungu bahati ilikuwa upande wao
Uhakika
bareke indio namba yake sasa we msha mbuliaji una mvesha namba 4 ata fungaje sasa
Show kali mno🎉🎉🎉
Kabisa yaniiiiiiiiiiiii
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Maxi ni mchezaji makini
Ndiooooo😂😂😂
Max
Daaaaaaa!jamani anayebisha kuhusu Max ana majini tu
Kweli kabisaaaàaaa
Mbape Wetu
Amezaliwa upya
Yessssssss😂😂😂😂😂
Unge wa ambia nini wananchi?
Max namuona ulaya dirisha dogo la usajili
Owa sio pouwah Yan kuna max arf kuna nzengeri Yan n hatr huyu mwamba
Umeonaeeeeèeeeee
Aongezewe mkataba
The yanga fans we want to know where is pacome and Why is he not included in friendly matches
Ila hii mijitu mirefu
Hakuna mchezaji hapo misifa tu kikubwa mmepigwa
😂😂😂,,makasiriko
Deborah fc
Boda ss tumepigwa na mjerumani, anacheza ligi kuu,...na mpira tumeupiga mwingi,...sio ninyi Debora Fc mmepigwa na ligi daraja la pili hapahapa Africa 6-2....halafu mkaficha..ila wenzenu wameposti kwenye kurasa zao....na Debora wenu akachukua Red card mapema tu,....na hatusemi.....mtatuambia nn!!???
Tusubiri tutaona...
05/11/2023 alimpiga kolo Juma 2 na haitoshi akasababisha penalty aliyofunga pacome. Kuwa na adabu ya mhezo wa mpira wa miguu
@@ahmadsadi8841😅😅😅😅mkumbusha mwambie huyu ndo mme wa Deborah 😂😂😂
Mbappe wa Congo ni mwamba kweli
Ndiooooooooo😂😂😂😂😂
💚💚✅🔰🔰🔰🔰 like za max
Yessssssss😂😂😂😂😂
Max