Mbunge "Peter Msigwa" Awachana Mawaziri Bungeni
HTML-код
- Опубликовано: 2 фев 2020
- Baada ya Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji kuwasilishwa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu Mhe. Mahmoud Mgimwa, Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Peter Msigwa, amewatolea uvivu Mawaziri ambao wanatoka nje na majukumu yao.
Развлечения
Yaani huyu jamaa, Lema wapo vizuri mno wangepata nafasi kubwa hii nchi ingekuwa mbali sana
ludi kupambaNA MAMBO HAYAENDI BUNGEN
Tutawakumbuka wapinzani nyie ndio mliokuwa mkifanya kazi kubwa sana bungeni
Speech nzuri