HATMA - New African Movie | Latest Swahili Movie | Adam Leo Bongo Movie
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- HATMA - New African Movie | Latest Swahili Movie | Adam Leo Bongo Movie
SUBSCRIBE NOW / @adamleostudios
Welcome to Adam Leo STudios RUclips Channel.
Stream and Enjoy Best of Swahili Movies with your favourite artists here on Adam Leo Studios RUclips channel.
SUBSCRIBE NOW to stay updated on all latest Swahili movies.
DO NOT FORGET TO HIT THE NOTIFICATION 🔔 BELL ICON to STAY NOTIFIED ON ALL OUR NEW MOVIES.
#diamondplatnumz #nigerianmovies #swahilimovies #2023movies #stevemweusi #clamvevo
Nimekuwa wa Kwanza naomba likes zangu
Endelea kuenjoy
Mbna muendelezo hakuna jamani
@@AdamLeoStudios toa bas muendelezo jamani brother
Unafanyia nini hiyo like?
Wakwanza good job wahusika wote nawapenda sana ❤❤
Asante sana!!
😂😂😂free Wi-Fi itakoma kwa waarabu umenifurahisha mno Adamu na enjoy san na mov zako ❤❤penda sana kijana shupavu uwe na afya njem ziku zote❤❤
Ameen
Adam leo movie zako xko swaari kbs keep up with your work
Thanks
Leo Sasa ndo nimeshika nafasi ya 2 duuuh kitambo saan si community ❤
Endelea kuenjoy tunathamini uwepo wako🙏🏻🙏🏻
Kazi nzuri sana.....inafundisha kila likuepukalo halina kheri nawe......
Kweli kabisa asante kwa kuliona hilo🙏🏻
adam ww umeshika nafasi ya kanumba piga kazi kaka muvi zako zipo top
Shukrani sana
Adam Leo ni mtaalam sana; movie nzuri, we really enjoy 👍👍
Asante sana
Kwa kweli Adam leo uko vzr❤❤❤ nakupenda bure bure very much
Asante sana
“Milango tunafunga taratibu bhan sasa nikikupakia baada ya wik si naend garage kukaza bod 😂😂😂 Ila Adam 🙌🏾
Hahaha au uongo jamani kisa nimemtongoza ndiyo anibamizie mlango😂😂
@@AdamLeoStudios mlango uheshimiwe 😂🙌🏾
Hili ni funzo adam ubarikiwr bro🎉 kweli malipo ni hapa hapa dunianj alimchimbia kaburi dadke wa tumbo moja😢😢
Umeona eh
Waaah imeweza sana🎉
Asante sana
Asante kwa kaz nzur Kaka Adam wengi wamejifunza kupitia hii movie, tamaa mbele maut nyuma hongeren sana
Shukrani mno
Majuto ni mjukuu tamaa mbaya 😢😢😢😢😢😢😢 hongera sana kaka Adam kwa mafunzo yenu
Yaan😢😢
Tamaa mbaya jamani😂😂😂...adam kazi nzuri nmeipenda sana
Asante sana
Much love from saudia Arabia really appreciate that work ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Thanks
😂😂Kwahiyo adam unasambaza ukimwi huna makazi maalum baba mwenye nyumba nayeye kapiga dua ukasambaze vzr 😢 lakini hajui ulichomaanisha me ndo nmeelewa kitu unachosambaza kila mkoa😢😢😢😢 utatumaliza Adam kuwa na huruma 😂😂😂 ila yote tisa Movie iko Motoo❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ahahah shukrani
Atakufariki mufariki pamoja🏃 Adam Leo upo vizuri ongera
Hahaha jamani asante sana🙏🏻🙏🏻🙏🏻
❤❤❤ my favolite character adamu
Thanks
Much Love From Usa 🇺🇸 nakupata kabisa, Good Movie Bro Adam Leo
Shukrani sana
😢Much love from BURUNDI 🇧🇮❤❤❤
Thanks
Yani Adam unajitaidi KAZI mzuri Sana na washirikipia wako vinzuri
Asante sana endelea kutupa moyo kwa kutazama filamu zetu na kushare🙏🏻
Nawapenda Sana Team Adam Leo Kutoka Burundi 🇧🇮♥️♥️♥️♥️♥️💐💐💐💐
Shukrani sana
Waoow kwa mala ya kwanza na comment, GOOD JOB ❤❤
Thanks
Much❤ from Kenya....😭😭🎉🎉
Thanks
iko na mafunzo mashalla❤🎉
Asantee
Naendelea kupata mafunzo mupitia movie za kaka adam
Shukrani
❤❤🎉🎉 aminia brother uko poa.waendeleaj
Salama
Safy san kaka ..hii movie kali mbona aminia
Daaah mungu amchupi mjaa wake akutendeae maovu mungu ukulipa mema dunia ni shule isiyo kwisha mafundisho.
Kweli kabisaa
Allah akuzidishie kakaangu❤❤❤
Akaeneze vizuri sana tena 😂😂😂😂😂
Yaani🤣🤣
Adam tukupe tu mauwa yako maana unajua mpaka unajua tena🎉🎉
Shukrani sana
Kazi mzuri. Adam
Asante sana🙏🏻🙏🏻
Adamu uku kwetu makambako usijeeeeee🙌🙌🙌 tafadhariii
Hahaha nakuja na hivi kuna baridii😂😂😂
Wewe adamu nakupenda
Asante Nakupenda pia!
Hatma kama hatma..❤
Naam
Waaaah sio vyote vingaavyo ni dhahabu nataka tena kumbe😂😂😂😂😂kazi unayo
Kweli kabisa😂😂
Kazi nzuri san kaka
Nashukuru🙏🏻🙏🏻
Endelea kusambaza tu baba,Mungu akubariki sana Kwa kazi nzuri ya kusambaza,nyie ndio tunawategemea😂😂😂😂😂😂😂 Adam umetisha sana,sijawah kucoment but this is so great🎉😂
Shukrani sana phanuely! Mungu akubariki🙏🏻🙏🏻
Good 👍 job ubarikiwe sana kaka yetu ❤❤❤🎉🎉🎉
Shukrani sana
kwakwel Adam unatuletea story nzuli❤❤
Asante sana
endelea kutuletea Kaz nzuli napenda kufatilia Kaz yako Kaka 🙏 🙏
C cool 🇨🇩🇨🇩❤
Thanks
Nimeiwahi Leo daaah!
Thanks🙏🏻
Yani na kkubali xna 🎉🎉❤❤
Shukrani sana
Napenda movies zako zote uko vizuri kijana
Shukrani
Niko hapa natazama leo wee dada wamlundukia mwenzio kazi 50 kwa wakat mmoja kisa wivu kapata mpenzi anaejiweza looh!!!
Shukrani na endelea kuenjoy🙏🏻🙏🏻
Zako sio sinema bro,yako ni mafunzo.big up kwa sana.mob love from Nairobi Kenya ❤❤
Shukrani sana
Aisee nimecheka sana adam ukifika mbinguni umechoka na ndala umeweka kwapani ety Nikifa tuzikwe wote 😂😂
Hahah jamanii😂😂
@@AdamLeoStudios kweli tena ila uhusika wa leo ulivyocheza umenitach sana mm sijui ningekufanyaje aisee 😎
Kusema ukweli nampenda sana Adam ila ugopa mwanaume akwambie ayo maneno na anaapia .kitakukuta jambo kama lililomkuta uyu dada wanaume🙌🙌🙌
Hahah jamani❤️😂
kado yuakuombea ukaeneze ivo vitu 😂😂😂 Ata ajui ni nn lakin anakuombea ukaeneze ubarikiwe sana Adamu😂😂😂😂
Hahaha kado makochi yamemchanganya
Hahahaaaa
Ongera
Shukrani
Huu mradi hapana aisee😀. Ila movie nzuri sana, mafunzo ni mengi lkn adam hujatuonesha umeishia wapi na mradi wako🤓
Asante sana
Yani kama kaka Adam na Kwa mkeo Huwa unaongea Ivo Kwa mahaba walah anaenjoy 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰nyie
Ndiyo naongea hivyoo😍😍
@@AdamLeoStudiosmuongo
Adam anasambaza tuu mpaka ludewa kule 😂😂 kazi nzuri mno 🎉🎉
Hahaha nomaa
Ukistaa ajabu ya musa utaona ya firauni dada unacho fanya sio poa ila ni move😂😂😂😂🎉🎉🎉❤❤
Umeona eh😢
Adam Niko sambambah😂😂😂😂😂
Shukrani
😂😂😂😂 Adam aki ww unanichekesha xana unasambaza tu kwa kweli iko na mafunzo mazuri tamaa mbaya
Hahah shukrani
Ndo nimemakinika sae acha nienjoy dadangu Nia kwa ubora wake namlove ❤sana huyu n sauti yake thamuuu kama nina undugu nae😂😂
Shukrani anakupenda pia❤️
Tamaa mbya ndoukome we Na dadako😂😂😂😂😂
Umeona eh🤝
😂😂🎉
Shukrani
Kaka adam bwana 🤣🤣🤣 ati kuna vitu unafisambasa 😅😅 enyway nawapenda kazi nzuri 🎉🎉
Asante
Asante sanaa kaka Adam..hii imeenda❤❤
Shukrani
My favorite ♥️🇲🇿🇲🇿
🙏🏻
Much love from saudi🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Asante sana
Adam kamaliza morogoro😂 kumbe ng'ombe mmoja aweza lisha kijiji kizima😂
Umeona eh
Duh dadangu acha roho mbaya wote ni ndugu zako
Umeona eh!
Leo nimewahi mapema sema tu mchengo ndio imefanya nichelewe kiazi😂😂😂😂😂
Endelea ku enjoy🙏🏻🙏🏻
Bonge ya movie❤❤❤
Shukrani sana❤️❤️
Hello hw r u Adam keep it up Allah bless u
Thank you so much
@@AdamLeoStudios welcome
😂😂😂😂adam nomaah
Nomaah
Safi san🎉❤❤
Shukrani🙏🏻
Aisee kazi safi sana
Asante
Adam umewakalisha wengi 🔞🦅
Shukrani sana!
🔥🔥😍
🤝🤝🤝
❤❤❤from kenya keep it up
Thank you, I will
Adam kiboko una mradi wako kusambasa mkoa mpaka mkoa 😂😂😂😂😂
Hahaha yaah nausambaza hatari
Adamu mungu anakuona bora usifike kwetu 😂😂
Hahaha nakuja kotee😂😂
Hongera sana nakazi nzuri❤❤❤❤❤
Asante
Move zuri siku Moja unishilikilishe jamani Adam uko pw sana kwenye Kazi
Asante
umetisha sana, kwakweli nimejifunza mengi
Asante sana
Move nzuri inamafunzo
Shukrani sana
Kweli hule msemo wa kusema hakunyimae kunde kakupunguzia uvimbe wa tumbo kutoa ewa chafu ni sawa kabisa,sabi mungu anakupenda zidi kumuomba sana hakuepushie na mengi mengineyo
Kabisa🙏🏻🙏🏻
Tamaa mbele mauti nyuma
Umeona eh!
Adam ❤❤
Naam
@@AdamLeoStudios mambo
Kunavitu navisambaza mikowa yote. Ooo Mungu akubaliki san😂😂
Hahaha jamani
Mwenye alikuita adm Leo alikosea angekuita Adam akiamungu naapa
Hahaha jamani
Haha jamani🥲🥲
❤❤🎉
❤️❤️❤️
Woww congratulations 🎉🎉🎉🎉adam good jb bro we love youu❤❤❤
Thank you so much 😀
Wewe 😂😂😂😂 mwanifurahisha much love ❤❤❤
Asante sana
Adamu napanda move zako Sana.❤
Asante
Happy kwenye kufariki Sasa umepigwa 😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamanii😂
Tunaomba muendelezo broo
Sawa
Duuh Adam nikusambaza kote 😂😂mungu anakuona😂😂 acha nilale
Lala upumzike jamani
Weeee adam mkorofi kweli
Nimefanya nn
Mh hatareee mungu nisaidie mm
Amen
Tamaa haijawahi kumwacha mtu salama 😂😂😂
Kweli kabisa
Adam leo
Naam
❤❤❤❤❤
❤️❤️❤️
Adam katikafilm.zote hii kiboko mmm hatari
Asante sana
We Adam tabora usifike 😂😂