KILELENI | Full Movie

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • KILELENI | Full Movie
    Kutokana kutomfikisha kileleni mke wake Adam ana gombana na mkewe kiasi cha kupelekea ndoa yao kutaka kuvunjika, busara za Adam zinasababisha wanapatana na kufanikiwa kurekebisha ndoa yao.
    Kwa filamu nzuri kama hizi hakikisha una subscribe chaneli yetu ili usipitwe na mambo mazuri.
    #film #bongomovie #2024movies #swahilimovies #kileleniflamu

Комментарии • 937

  • @AdamLeoStudios
    @AdamLeoStudios  3 месяца назад +8

    Filamu yetu mpya hii hapa mbele ruclips.net/video/Qq-WlWk4j_4/видео.htmlsi=BbKlDT28ebGnSvMQ

    • @user-ko3bs9gm5e
      @user-ko3bs9gm5e 2 месяца назад

      Una tufunza maneno mazuri sana Adam

    • @salomemakene4446
      @salomemakene4446 2 месяца назад

      Unapomwambia mwanaume maswala nyeti kama haya unatakiwa ujipange kutokea lolote tu mbele yako maana atahisi atakavyoona yeye

    • @user-bb1lw6ok1h
      @user-bb1lw6ok1h Месяц назад

      Jameni Adam hausamehe mwenzako 😂😂

  • @costerlugwadi2983
    @costerlugwadi2983 3 месяца назад +24

    Unajua Sana bro Ni bahat mbya jamii bado haikupi saport Kama unavyo paswa kupewa Ila usjal soon watakuelewa tu ✊✊

  • @ladislausfocus1830
    @ladislausfocus1830 3 месяца назад +5

    Adam sina shaka na kazi zako. Ni nzuri na zinaelimisha sana. Naomba jina la huo wimbo . Huo kama wa afro beat wa Nigeria. Asante

  • @mamakenajma3257
    @mamakenajma3257 3 месяца назад +10

    Kaz nzri Masha Allah series zako zina mafunzo sana hongera adam

  • @reginajustini5271
    @reginajustini5271 3 месяца назад +20

    Jamn Adam Ni anatoa move nzr na zenye mafunzo kwenye jamii mbona like chache tumsaport jmn

    • @Chebet254
      @Chebet254 3 месяца назад +1

      Kweli kabisa ana mafunzo mazuri sana

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  3 месяца назад

      Nashukuru kwa kuona hilo!

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e 3 месяца назад

      Sana mno

    • @mearymeary-s9y
      @mearymeary-s9y 2 месяца назад

      Yani wewe kaka move zako nzuri 😂 alafu Zina mafunzo pia

  • @bilingemote
    @bilingemote 3 месяца назад +3

    Yani kazi unazotoa zina quality kweli. Na ukiangalia jinsi ilivyo kazi kubwa kutoa tamthilia ndefu. Mungu azidi kufanikisha kazi

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  3 месяца назад

      Shukrani sana! Furaha yetu ni kuona mna enjoy! Msiache kulike na ku share kazi zetu!

  • @emillyajiambo4703
    @emillyajiambo4703 3 месяца назад +12

    Uzuri yenye huwa inafanya napenda filamu za Adam huwa anarply kila sms huna madharau kabisa bro kazi nzuri ❤

  • @user-ot1ym4fy5o
    @user-ot1ym4fy5o 3 месяца назад +12

    Ke ! Daa Rehma , Umekosea hatakama lkn huwezisema direct kwa mwanandoa inallillahi sivyo umekosa tena sana

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  3 месяца назад

      Umeona eh

    • @user-yz1is3fi9h
      @user-yz1is3fi9h 3 месяца назад +2

      Jakosea KWASABABU inabd amwambie huyo hy mumew coz jamaa angeshitukia mkew yupo na watu wengin yupo sahih

    • @maryamsoud2059
      @maryamsoud2059 3 месяца назад +2

      Afadhli amefunguka amesema kwli sio aende nje kuridhishwa na wengn

    • @AsiaSaid-tq4yw
      @AsiaSaid-tq4yw 3 месяца назад +2

      Anahaki ya kusema dini.imeruhusu kabisa

    • @youngb8672
      @youngb8672 3 месяца назад

      Bora alimwambia ukwer bana.

  • @AmenaMm-r5t
    @AmenaMm-r5t 2 месяца назад +2

    Nimejifunza kit kwa filam mimi jaman ina mafunzo kwaiyo mwan ume ikiwa han nguv za kiume hakimbiwi tiba tunaz wenyewe ongeren san ❤❤❤❤❤

  • @NegritaKiwesi
    @NegritaKiwesi 3 месяца назад +4

    Huyu Kaka ana kipaji Sana yaani siku hizi nazifatilia Sana movie zake big up

  • @zenakioga6567
    @zenakioga6567 3 месяца назад +1

    Ni zaidi ya somo kwa mwànaume na mwanamke hongera sn bro Adam Kazi nzuri na tunazidi kujifunza Allah bless you ☺️☺️☺️

  • @JaffarIliasy
    @JaffarIliasy 3 месяца назад +47

    Wa Kwanza alfu ni mwanafamiliy mpya naomba like zngu😂🎉🎉

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  3 месяца назад +2

      Endelea ku enjoy hakikisha una like na kushare mkuu

    • @apaelmbise635
      @apaelmbise635 3 месяца назад +4

      Wa pili acha uongo

    • @OmanMuscut-ju3xp
      @OmanMuscut-ju3xp 3 месяца назад

      Tu enjoy vipi mambo yenyewe meusi sasa hapa mnatufundisha nini. Wasanii wetu vio vyajamii mnatuangusha😢

    • @MajaniMeusi-l9b
      @MajaniMeusi-l9b 3 месяца назад +2

      Haya chukuwa like zangu izoo❤❤❤

    • @AbibaSalleh
      @AbibaSalleh 3 месяца назад

      Ninzuri sana.

  • @kiprotichpeter1386
    @kiprotichpeter1386 3 месяца назад +2

    Movie iko na content nzuri ya mafunzo na kufurahisha sana,mungu akujalie miaka mingi Adamu

  • @user-sj2si2lk5i
    @user-sj2si2lk5i 3 месяца назад +16

    Jamani mm wakwanza leo lik at 5 tu

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 2 месяца назад +1

    Duuuhh broo adam unajua mpka cyo powaa kakaa hii series ni nomaaa snaa kazi zangu njema sana nikimaliz mb nawaz kuweka tenaa mana daaah wanikosha na kaz zako Mungu akupe neema zaidi uende viwango

  • @user-nc9qq6em4k
    @user-nc9qq6em4k 3 месяца назад +5

    Movi nzuri sana adamu yaani umegusa penyewe

  • @farajyassir9822
    @farajyassir9822 3 месяца назад +2

    Big up team Adam 🎉❤..much love from 254...mi rehema nmemind🎉❤

  • @rehemaluvuno6057
    @rehemaluvuno6057 3 месяца назад +7

    Kazi nzuri sana😊

  • @LoiceKatana-ci1tx
    @LoiceKatana-ci1tx 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana Adam kwa mafunzo mazuri nawapenda nyote 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @mirnababy5012
    @mirnababy5012 3 месяца назад +4

    Mungu akuzidishie zaidi mwana familia mpya hapa🎉

  • @noushaddammam8805
    @noushaddammam8805 3 месяца назад +3

    big up adam ww ni kanumba part 2 usichoke kutuletea muvi zko unakubalika kaka ✌️✌️

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Месяц назад +1

    Aca niifwatiliye fuul movi maana vipande bitanisumbuwa kuvipata haraka❤❤❤move Adam 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-fk8lu1rg6z
    @user-fk8lu1rg6z 3 месяца назад +4

    Hongereni kwa kazi yenu nzury ......

  • @user-fs4qr4nu1i
    @user-fs4qr4nu1i 3 месяца назад +2

    Hongera sana bro, hii movie inafundisha sana, much respect

  • @user-mp3zz7xj6i
    @user-mp3zz7xj6i 10 дней назад +1

    ❤❤ thank you Adam

  • @MussaOthman-x6y
    @MussaOthman-x6y 3 месяца назад +5

    Mzee mama una tisha kwa ushauri 💐💐🏆💐💐🇹🇿

  • @saidshatta827
    @saidshatta827 3 месяца назад +1

    Mashallah broo hongeraa move zako zinamafundishoo sanaa

  • @kanyarugano.eliefred740
    @kanyarugano.eliefred740 3 месяца назад +8

    Kutoka Rwanda tuko pamoja

  • @Salma-g1m1x
    @Salma-g1m1x Месяц назад +1

    Keep it up broo❤❤movies tamu sana

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u 3 месяца назад +4

    UKO VZURI KAKA TOA SERIES TUTAKUFYATILIA NMEPENDA UIGIZAJI WAKO

  • @user-mn4nc8kf8b
    @user-mn4nc8kf8b Месяц назад +1

    Big up sana bro

  • @ernestmwakalambo3938
    @ernestmwakalambo3938 3 месяца назад +8

    Alafu usiongee namm kama unavyoongea na wapumbuvu wenzio huko nje 😂😂😂😂 kaka adam hongera xana kaz nzur.

  • @EsterEma-e8u
    @EsterEma-e8u 2 месяца назад +1

    Mungu akujalie miaka mingi kazi nzur

  • @user-sarah1sarah
    @user-sarah1sarah 3 месяца назад +5

    Anapigiwa😅😅😅😅uongo bwana anapigwaje 😂😂😂😂😂uyojaama anapigiwa yakwako wendani yakawaida Adam uwoooooooooooooô anatoka nduki😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pole sana baba

  • @BoneshaIssa
    @BoneshaIssa 3 месяца назад +2

    Kazi iko poa hujawahi kutuangusha🎉🎉😂😂❤❤

  • @evesilayo740
    @evesilayo740 Месяц назад +1

    Inafundisha sana hongers Adam

  • @user-fk8lu1rg6z
    @user-fk8lu1rg6z 3 месяца назад +3

    Mama Hongera kwa Ushaury wako mzury🎉🎉🎉

  • @Aziza..Shaban
    @Aziza..Shaban 3 месяца назад +1

    Nyuki wetu❤ kumbe uko na Adam pia. Kazi njema hongera

  • @user-km6fi9cj7e
    @user-km6fi9cj7e 3 месяца назад +3

    Jamani hii kali ❤❤❤❤

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri nimekukubali sana wewe mzazi kinywa chako kimetoa maneno mazuri

  • @StevenMwarigha
    @StevenMwarigha 3 месяца назад +3

    Keep it up adam uko vizuri from kenya

  • @bin.Ali_boy
    @bin.Ali_boy 3 месяца назад +1

    I didn't see this movie before but this is one of the best movie ever

  • @shebylossa842
    @shebylossa842 3 месяца назад +4

    Good job

  • @CarlCare-yl4wi
    @CarlCare-yl4wi 3 месяца назад +2

    Bonge moja la kazi bro from now on count me as a new member of this fam

  • @SubiraExzaverkihombo
    @SubiraExzaverkihombo 3 месяца назад +3

    ❤❤Adam hongera unatufunza sana❤❤🎉

  • @trippleleizer2361
    @trippleleizer2361 3 месяца назад +1

    Hongera bro😂😂 Aty unaongea na mimi mume wako kama waongea na wauza madafu huko mtaani 😅.. Movie Tam Sana ❤pole pole tulisukume hili dau # from 254🇰🇪

  • @user-de7pb4du2h
    @user-de7pb4du2h 3 месяца назад +1

    Movie za ujamaa ni noma❤🎉... Kihoro pia ni kali

  • @AminaMjeni-c7c
    @AminaMjeni-c7c 3 месяца назад +6

    Ukweli unaumaaa eeeee😂😂❤🎉🎉

  • @user-pl4ns8sb4k
    @user-pl4ns8sb4k 3 месяца назад +4

    Et kipande si kizuri kwa watoto 😂😂 ...watoto wenywe twasemaje❤

  • @nassormohammed3370
    @nassormohammed3370 3 месяца назад +3

    Kaz Safi blaza🎉

  • @mariamuhamisimwamrezi4832
    @mariamuhamisimwamrezi4832 3 месяца назад +7

    Nmekumiss Adam ww nafurahi kukona tena

  • @MaryamM-zw4xv
    @MaryamM-zw4xv 3 месяца назад +3

    Kazi nzuri sana

  • @professormalangano74
    @professormalangano74 26 дней назад

    kak big up Sana kazi zako hazijawai kufelig

  • @user-xr6xk9lb5c
    @user-xr6xk9lb5c 3 месяца назад +2

    Kenya Watching

  • @lydianangolo5980
    @lydianangolo5980 Месяц назад +1

    Kazi nzur sana Adam 🤗movie zako ziko na mafunzo sana

  • @George-qk8fw
    @George-qk8fw 3 месяца назад +4

    Sinema zako nazipenda sana lakini unatuweka sana mashabiki wako. But napenda kazi yako

  • @KizaMmunga-i4p
    @KizaMmunga-i4p 3 месяца назад +2

    Hongera sana mama rehema kwa ushauri wako kwa mtoto wako

  • @SalomeNgussa-yn7gz
    @SalomeNgussa-yn7gz 3 месяца назад +3

    Kazi nzur Adamu

  • @user-ix5uo6ks7j
    @user-ix5uo6ks7j 3 месяца назад +3

    Hiii ni faya much love from me ❤❤❤❤🎉🎉

  • @kibibiabdalla1451
    @kibibiabdalla1451 3 месяца назад +6

    Sijachelewa...natumai ntafika kileleni😂😂❤

  • @yusufukabemba1yk9w
    @yusufukabemba1yk9w 2 месяца назад

    Moja ya kitu kinachosababisha ndoa nyingi kuvundjika ni maana halisi ya filamu hii, asante sana ADAM bro kwa darasa hili naamini wengi tutaifaidi kazi yako hii

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 3 месяца назад +3

    Ukwer unauma ila nibola mwanamke akuambie ukwer Ili mtatue tatizo kuliko kunyamanza hf mwisho wasku mke kukusalit😢 hongra snaa broo Kwa Kaz nzur snaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nancynjagi8878
    @nancynjagi8878 3 месяца назад +2

    Much love ❤❤❤ from 🇨🇦

  • @monaciarkennymo6ix9ine62
    @monaciarkennymo6ix9ine62 3 месяца назад +4

    Adam Leo Once Agaaain 🎉😂

  • @muniraahmedawadh2619
    @muniraahmedawadh2619 3 месяца назад +3

    Pamoja sana kaka

  • @NeemaMbuji
    @NeemaMbuji 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤Nawapend cn nyote mnanifulasha kiukweli

  • @scolasticanalle9105
    @scolasticanalle9105 3 месяца назад +5

    Well done Adam.... Keep it up 🔥🔥

  • @JacklineDenice
    @JacklineDenice 3 месяца назад +1

    Ongera xana kak kwa kuelimixha jamii 🎉🎉🎉🎉

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 3 месяца назад +13

    Adam chukua maua yako Tafadhal ww ni kibokooo⚘️⚘️⚘️⚘️⚘️🎬🎬🎬🎬Mungu azidi kukuogoza InshaAllah

  • @tiemahajimuindi8017
    @tiemahajimuindi8017 3 месяца назад

    Kazi nzuri...siku moja utavuna mazao bila kipimo...ipo SIKU, na inawadia

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  3 месяца назад

      Shukrani mno na tunashukuru kwa baraka🙏🙏🙏

  • @KhadijaKabunda
    @KhadijaKabunda 3 месяца назад +4

    Mungu azid kukubali kk kazi nzuri ❤❤

  • @AshaIssa-su9tr
    @AshaIssa-su9tr 3 месяца назад +1

    Nzur xana Jaman hi move maua n ya kwako🎉🎉🎉🎉🎉

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 3 месяца назад +2

    Hongeren sana jamani ❤❤

  • @kadkadzo7543
    @kadkadzo7543 3 месяца назад +2

    Big up🎉❤nyuki amefika huku 👌

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 3 месяца назад +3

    Kiufup nyote mmechepuka aisei😂😂😂😂😂ila n funzo kubwa san wallah

  • @Queengifton
    @Queengifton 2 месяца назад +2

    Niko ivio kwenye dowa yangu n vile niliambia bwanangu aliamua pia mm nunicheza n best yangu n vile vile uyo msichana kumuliza aliniambia bwanangu Ana lofoten andi saii sija futa iyo message nimeiweka tu n waliachana 😢😢mm nitampata bwana mzuri wap

  • @kinananyuni9732
    @kinananyuni9732 3 месяца назад +5

    Wanawake tunafel wapi lkn ssa utamwambiaje mumeo kma huridhiki nimeumia kwa kweli pole adamu wetsuu

    • @hanifahkhamiss8485
      @hanifahkhamiss8485 3 месяца назад +2

      😂😂😂sasa km mtu haridhiki asiseme jamni😂😂😂

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  3 месяца назад +2

      Asante sana😂

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  3 месяца назад

      @hanifa kaniambia vibaya bhana

    • @lenakassian-pr3dy
      @lenakassian-pr3dy 3 месяца назад

      Skumwambia mumeo huliziki ni Bora kuliko kukaa kimya ila lazima tutafute namba ya kufikisha ujumbe kwa mwenzi wako

    • @nishamwenendi-vh4wk
      @nishamwenendi-vh4wk 3 месяца назад +2

      Kama auridhishwi bora usema ili mjue mnafanyaje we na mweza wako kileleni kuna raha yake bana 😂

  • @Myboy_1032
    @Myboy_1032 2 месяца назад

    Hongereni kwa kazi nzuri 👏👏👏👏👏👏👏

  • @apaelmbise635
    @apaelmbise635 3 месяца назад +4

    Big up buddy

  • @NaibuNoah
    @NaibuNoah 3 месяца назад +2

    Sema mzee baba Adamu ulikawia kinomaaaa

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano 3 месяца назад +3

    Tuko pamoja ndugu Adam❤

  • @neemamabena-xx5er
    @neemamabena-xx5er 3 месяца назад +1

    Wanaume wanapenda kusifiwa akiiiii🙌 mie mjua sifaaaaa xaxa chibaba wangu. Atakua akitembea uko mtaani anajiona hakuna kama yeye 😄😄

  • @lazaromwambene4516
    @lazaromwambene4516 3 месяца назад +4

    ❤❤❤

  • @junithmpangala6646
    @junithmpangala6646 Месяц назад

    Kazi nzuri sana adamu

  • @PaulKamanu
    @PaulKamanu 3 месяца назад +3

    👍👍👍👍 nilikuwa nimess xna

  • @user-yz3ed7dj5u
    @user-yz3ed7dj5u 3 месяца назад +1

    Hikii kibeet jamanii kinafanya movie kuwa tamu kwelii ❤

  • @ZahraJumanne-g9n
    @ZahraJumanne-g9n 3 месяца назад +3

    Alitakiwa asemeje elimu tunaomba au angetumia njia gan

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  3 месяца назад +1

      Sikiliza tena scene ya MAMA na REHEMA utaelewa

  • @sophiashamimah5895
    @sophiashamimah5895 3 месяца назад +1

    Adam wapenda makande bro😂😂😂😂 nways good movie nimejifunza kitu apa congrats❤❤

  • @MwasitiHindu
    @MwasitiHindu 3 месяца назад +3

    Mimi na comment kabla sijatizama najua Adamu hana baya❤❤❤❤

  • @JohnNzombo
    @JohnNzombo 3 месяца назад +1

    Filamu kali depuis le Congo Kisangani

  • @TwanaFadhili
    @TwanaFadhili 3 месяца назад +2

    Adam nakupenda❤ sana naninapenda pia move zako mungu akupe Umli mrefu uzidi kutuburudisha

  • @FatmaSaid-w2h
    @FatmaSaid-w2h 3 месяца назад +1

    Kaka unajua mpaka unakera mashaallah ❤❤❤❤❤❤

  • @Sophieshaliz69
    @Sophieshaliz69 3 месяца назад +6

    Ebu mlike na mfanye kushare nyie

  • @user-ee8xb1tl5n
    @user-ee8xb1tl5n 2 месяца назад +1

    Mama kauwa san congore🎉🎉 kwake

  • @NaibuNoah
    @NaibuNoah 3 месяца назад +3

    Nimechekka kifala,adamu ametumia kigezo cha Rafiki yaake badala ya yeye kujisemea😅😅

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 3 месяца назад +2

    Big up sana brother! tunapata mafunzo mengi saba kupitia filamu zako

  • @user-ci1dk6zy3v
    @user-ci1dk6zy3v 3 месяца назад +3

    Mtakatifu anatk kubadilika roho😂😂😂

  • @user-jn5fc1vp4u
    @user-jn5fc1vp4u 3 месяца назад +1

    Uliyataka wewe alafu umeyakimbia wewe😂 hongera sana kaka kwa filamu zako nzuri❤

  • @Salama-df2uu
    @Salama-df2uu 3 месяца назад +4

    Jaman leo Adam amekasirika kisa ameambiwa afikishi kileleni 😂😂😂

  • @umaima1178
    @umaima1178 3 месяца назад +3

    Jamani Adam Mimi wa mrogoro ila Sina kiburi 😢

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  3 месяца назад

      Hahaha wa moro watani wangu nawapenda sana mna hekima na busara🙏🙏