KILELENI | Full Movie
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- KILELENI | Full Movie
Kutokana kutomfikisha kileleni mke wake Adam ana gombana na mkewe kiasi cha kupelekea ndoa yao kutaka kuvunjika, busara za Adam zinasababisha wanapatana na kufanikiwa kurekebisha ndoa yao.
Kwa filamu nzuri kama hizi hakikisha una subscribe chaneli yetu ili usipitwe na mambo mazuri.
#film #bongomovie #2024movies #swahilimovies #kileleniflamu
Filamu yetu mpya hii hapa mbele ruclips.net/video/Qq-WlWk4j_4/видео.htmlsi=BbKlDT28ebGnSvMQ
Una tufunza maneno mazuri sana Adam
Unapomwambia mwanaume maswala nyeti kama haya unatakiwa ujipange kutokea lolote tu mbele yako maana atahisi atakavyoona yeye
Jameni Adam hausamehe mwenzako 😂😂
Unajua Sana bro Ni bahat mbya jamii bado haikupi saport Kama unavyo paswa kupewa Ila usjal soon watakuelewa tu ✊✊
Amen
Adam sina shaka na kazi zako. Ni nzuri na zinaelimisha sana. Naomba jina la huo wimbo . Huo kama wa afro beat wa Nigeria. Asante
Hatujauweka youtube tutauweka soon
Kaz nzri Masha Allah series zako zina mafunzo sana hongera adam
Shukrani
Jamn Adam Ni anatoa move nzr na zenye mafunzo kwenye jamii mbona like chache tumsaport jmn
Kweli kabisa ana mafunzo mazuri sana
Nashukuru kwa kuona hilo!
Sana mno
Yani wewe kaka move zako nzuri 😂 alafu Zina mafunzo pia
Yani kazi unazotoa zina quality kweli. Na ukiangalia jinsi ilivyo kazi kubwa kutoa tamthilia ndefu. Mungu azidi kufanikisha kazi
Shukrani sana! Furaha yetu ni kuona mna enjoy! Msiache kulike na ku share kazi zetu!
Uzuri yenye huwa inafanya napenda filamu za Adam huwa anarply kila sms huna madharau kabisa bro kazi nzuri ❤
Shukrani sana sana
Ke ! Daa Rehma , Umekosea hatakama lkn huwezisema direct kwa mwanandoa inallillahi sivyo umekosa tena sana
Umeona eh
Jakosea KWASABABU inabd amwambie huyo hy mumew coz jamaa angeshitukia mkew yupo na watu wengin yupo sahih
Afadhli amefunguka amesema kwli sio aende nje kuridhishwa na wengn
Anahaki ya kusema dini.imeruhusu kabisa
Bora alimwambia ukwer bana.
Nimejifunza kit kwa filam mimi jaman ina mafunzo kwaiyo mwan ume ikiwa han nguv za kiume hakimbiwi tiba tunaz wenyewe ongeren san ❤❤❤❤❤
Asante
Huyu Kaka ana kipaji Sana yaani siku hizi nazifatilia Sana movie zake big up
Asamte
Ni zaidi ya somo kwa mwànaume na mwanamke hongera sn bro Adam Kazi nzuri na tunazidi kujifunza Allah bless you ☺️☺️☺️
Amen
Wa Kwanza alfu ni mwanafamiliy mpya naomba like zngu😂🎉🎉
Endelea ku enjoy hakikisha una like na kushare mkuu
Wa pili acha uongo
Tu enjoy vipi mambo yenyewe meusi sasa hapa mnatufundisha nini. Wasanii wetu vio vyajamii mnatuangusha😢
Haya chukuwa like zangu izoo❤❤❤
Ninzuri sana.
Movie iko na content nzuri ya mafunzo na kufurahisha sana,mungu akujalie miaka mingi Adamu
Ameen
Jamani mm wakwanza leo lik at 5 tu
Endelea kuenjoy
Duuuhh broo adam unajua mpka cyo powaa kakaa hii series ni nomaaa snaa kazi zangu njema sana nikimaliz mb nawaz kuweka tenaa mana daaah wanikosha na kaz zako Mungu akupe neema zaidi uende viwango
Amen
Movi nzuri sana adamu yaani umegusa penyewe
Umeona eh
Big up team Adam 🎉❤..much love from 254...mi rehema nmemind🎉❤
Asantee
Kazi nzuri sana😊
Asante sana
Kazi nzuri sana Adam kwa mafunzo mazuri nawapenda nyote 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mnoo🥰
Mungu akuzidishie zaidi mwana familia mpya hapa🎉
Amen karibu sana
big up adam ww ni kanumba part 2 usichoke kutuletea muvi zko unakubalika kaka ✌️✌️
Shukrani sana sana
Aca niifwatiliye fuul movi maana vipande bitanisumbuwa kuvipata haraka❤❤❤move Adam 🎉🎉🎉🎉🎉
Endelea ku enjoy
Asante @@AdamLeoStudios
Hongereni kwa kazi yenu nzury ......
Shukrani
Hongera sana bro, hii movie inafundisha sana, much respect
Shukrani
❤❤ thank you Adam
Mzee mama una tisha kwa ushauri 💐💐🏆💐💐🇹🇿
Umeona eh
Ametisha sana Mashallah 🥰
Mashallah broo hongeraa move zako zinamafundishoo sanaa
Shukrani sana🙏🙏🙏
Kutoka Rwanda tuko pamoja
Keep it up broo❤❤movies tamu sana
Thanks
UKO VZURI KAKA TOA SERIES TUTAKUFYATILIA NMEPENDA UIGIZAJI WAKO
Shukrani tutafanya hivyo
Big up sana bro
Shukrani
Alafu usiongee namm kama unavyoongea na wapumbuvu wenzio huko nje 😂😂😂😂 kaka adam hongera xana kaz nzur.
Mbona unampa pongez za Bure huyo
@@YasirkidGainWacha Wivu
@@YasirkidGain MWAMBIYE KWANZA
@@user-fk8lu1rg6z SIYO WIVU NIKWELI
Mungu akujalie miaka mingi kazi nzur
Shukrani
Anapigiwa😅😅😅😅uongo bwana anapigwaje 😂😂😂😂😂uyojaama anapigiwa yakwako wendani yakawaida Adam uwoooooooooooooô anatoka nduki😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pole sana baba
Hahaa asante sanaa🤝🤝
Kazi iko poa hujawahi kutuangusha🎉🎉😂😂❤❤
Asante sana
Inafundisha sana hongers Adam
Asante
Mama Hongera kwa Ushaury wako mzury🎉🎉🎉
Shukrani sana
Nyuki wetu❤ kumbe uko na Adam pia. Kazi njema hongera
Shukrani sana
Jamani hii kali ❤❤❤❤
Shukrani
Kazi nzuri nimekukubali sana wewe mzazi kinywa chako kimetoa maneno mazuri
Umeona eh mama kanena mazuri
Keep it up adam uko vizuri from kenya
Shukrani
I didn't see this movie before but this is one of the best movie ever
Thanks
Good job
Thanks
Bonge moja la kazi bro from now on count me as a new member of this fam
Ur welcome❤️
❤❤Adam hongera unatufunza sana❤❤🎉
Shukrani
Hongera bro😂😂 Aty unaongea na mimi mume wako kama waongea na wauza madafu huko mtaani 😅.. Movie Tam Sana ❤pole pole tulisukume hili dau # from 254🇰🇪
Shukrani sana sana
Movie za ujamaa ni noma❤🎉... Kihoro pia ni kali
Asante sana sana
Ukweli unaumaaa eeeee😂😂❤🎉🎉
Et kipande si kizuri kwa watoto 😂😂 ...watoto wenywe twasemaje❤
Hahaha jamaniii❤️❤️❤️
Kaz Safi blaza🎉
Shukrani
Nmekumiss Adam ww nafurahi kukona tena
Kazi nzuri sana
Asantee
kak big up Sana kazi zako hazijawai kufelig
Kenya Watching
Thanks
Kazi nzur sana Adam 🤗movie zako ziko na mafunzo sana
Shukrani sana sana
Sinema zako nazipenda sana lakini unatuweka sana mashabiki wako. But napenda kazi yako
Sasahivi tunajitahidi kuwahii
Hongera sana mama rehema kwa ushauri wako kwa mtoto wako
Kabisa yaani
Kazi nzur Adamu
Asante
Hiii ni faya much love from me ❤❤❤❤🎉🎉
Thanks
Sijachelewa...natumai ntafika kileleni😂😂❤
Waooooh naona mpya hii💓💓
Moja ya kitu kinachosababisha ndoa nyingi kuvundjika ni maana halisi ya filamu hii, asante sana ADAM bro kwa darasa hili naamini wengi tutaifaidi kazi yako hii
Shukrani sana sana
Ukwer unauma ila nibola mwanamke akuambie ukwer Ili mtatue tatizo kuliko kunyamanza hf mwisho wasku mke kukusalit😢 hongra snaa broo Kwa Kaz nzur snaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Asante sana sana
Much love ❤❤❤ from 🇨🇦
Thanks
Adam Leo Once Agaaain 🎉😂
Endelea ku enjoy
Pamoja sana kaka
Shukrani
❤❤❤❤❤Nawapend cn nyote mnanifulasha kiukweli
Shukrani sana
Well done Adam.... Keep it up 🔥🔥
Thanks, will do!
Ongera xana kak kwa kuelimixha jamii 🎉🎉🎉🎉
Asante Jacque
Adam chukua maua yako Tafadhal ww ni kibokooo⚘️⚘️⚘️⚘️⚘️🎬🎬🎬🎬Mungu azidi kukuogoza InshaAllah
Amen
Hivi mkeo akisema ukweri ni kosa?
Mambo mrembo
Hlw
Mambo vp
Kazi nzuri...siku moja utavuna mazao bila kipimo...ipo SIKU, na inawadia
Shukrani mno na tunashukuru kwa baraka🙏🙏🙏
Mungu azid kukubali kk kazi nzuri ❤❤
Shukrani
Nzur xana Jaman hi move maua n ya kwako🎉🎉🎉🎉🎉
Shukrani
Hongeren sana jamani ❤❤
Asante
Big up🎉❤nyuki amefika huku 👌
Yah nyuki yupo
Kiufup nyote mmechepuka aisei😂😂😂😂😂ila n funzo kubwa san wallah
Asante sna
😂😂umeona eee wote wamechepuka
Niko ivio kwenye dowa yangu n vile niliambia bwanangu aliamua pia mm nunicheza n best yangu n vile vile uyo msichana kumuliza aliniambia bwanangu Ana lofoten andi saii sija futa iyo message nimeiweka tu n waliachana 😢😢mm nitampata bwana mzuri wap
Pole saana queen
Wanawake tunafel wapi lkn ssa utamwambiaje mumeo kma huridhiki nimeumia kwa kweli pole adamu wetsuu
😂😂😂sasa km mtu haridhiki asiseme jamni😂😂😂
Asante sana😂
@hanifa kaniambia vibaya bhana
Skumwambia mumeo huliziki ni Bora kuliko kukaa kimya ila lazima tutafute namba ya kufikisha ujumbe kwa mwenzi wako
Kama auridhishwi bora usema ili mjue mnafanyaje we na mweza wako kileleni kuna raha yake bana 😂
Hongereni kwa kazi nzuri 👏👏👏👏👏👏👏
Shukrani sana
Big up buddy
Thanks alot
Sema mzee baba Adamu ulikawia kinomaaaa
Endelea ku enjoy
Tuko pamoja ndugu Adam❤
Shukrani
Wanaume wanapenda kusifiwa akiiiii🙌 mie mjua sifaaaaa xaxa chibaba wangu. Atakua akitembea uko mtaani anajiona hakuna kama yeye 😄😄
Umeona eh😂
❤❤❤
🙏❤️
Kazi nzuri sana adamu
Shukrani
👍👍👍👍 nilikuwa nimess xna
Endelea ku enjoy
Hikii kibeet jamanii kinafanya movie kuwa tamu kwelii ❤
Shukrani sana sana🙏🙏
Alitakiwa asemeje elimu tunaomba au angetumia njia gan
Sikiliza tena scene ya MAMA na REHEMA utaelewa
Adam wapenda makande bro😂😂😂😂 nways good movie nimejifunza kitu apa congrats❤❤
Asante
Mimi na comment kabla sijatizama najua Adamu hana baya❤❤❤❤
Umenena kpnz
@@Lily-rn6xc 💏
Together here
@@user-wv3du7ld2p 💏
Enjoy
Filamu kali depuis le Congo Kisangani
Shukrani
Adam nakupenda❤ sana naninapenda pia move zako mungu akupe Umli mrefu uzidi kutuburudisha
Amen
Kaka unajua mpaka unakera mashaallah ❤❤❤❤❤❤
Shukrani
Ebu mlike na mfanye kushare nyie
Shukrani jamani
Mama kauwa san congore🎉🎉 kwake
Asante
Nimechekka kifala,adamu ametumia kigezo cha Rafiki yaake badala ya yeye kujisemea😅😅
Hahaha ndo hvyo
😂😂😂😂
Big up sana brother! tunapata mafunzo mengi saba kupitia filamu zako
Shukrani
Mtakatifu anatk kubadilika roho😂😂😂
😂😂😂
Uliyataka wewe alafu umeyakimbia wewe😂 hongera sana kaka kwa filamu zako nzuri❤
Shukrani mno
Jaman leo Adam amekasirika kisa ameambiwa afikishi kileleni 😂😂😂
Sijapenda😂
😂😂😂😂😂
Jamani Adam Mimi wa mrogoro ila Sina kiburi 😢
Hahaha wa moro watani wangu nawapenda sana mna hekima na busara🙏🙏