Magoli | Simba 1-5 Yanga SC | NBC Premier League - 05/11/2023
HTML-код
- Опубликовано: 5 ноя 2023
- Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
Haya hapa magoli yote sita ya mchezo huu... - Спорт
Aliyerudi leo like hapa
Nani amerudi kuangalia hii mechi leo kama mimi😂😂🖐🖐🖐
Mm hp
Narudia kila siku😂
Ww unafujo umefanya nimekuja tena🤣🤣
😂😂😂😂
Nmerudi leo😂😂
HII NI HISTORIA NAKUWA MTU WA PILI KUCOMMENT NAOMBA LIKES ZANGU
Nimerudi kuja kuangalia Tena jmn kumbe hawajasawazisha😂😂😂
Dear my child this is the best Young Africans 💛🖤💚 we have ever seen
This was 5th Nov of 2023
My joy was unconditionally indeed in this day ,
😄😄😄😄
Hata Kenya 🇰🇪 ushabiki wa Yanga unanoga , heko wananchi ❤❤ mapenzi ya dhati
🇰🇪 🇰🇪 ❤
We love u Kenyans
❤
Kalibu Tz💛💚💛💚
Baada ya kusikia trh 20/ 4 tunakipiga tena,,😂😂😂 nimekuja kutuma salaam kwa watani
umeniwahi😀😃😃😀
22/04/2024🎉 baada ya kumfunga mtani
Naangalia leo tena labda simba wanaweza sawazisha😂😂😂😂😂😂😂
Yaan KIBU waajabu sana amefunga goli ameanza na nyodo ya kuwafunga midomo mashabiki wa Yanga badae ndo amekumbuka kusali matokeo yake wakamkanda yeye kwanza akatoka nje likafuata timu lake likadidimizwa kbs🤣🤣🤣🤣
kabisaaa, simba tatizo majigambo🤣
😂😂😂😂😂😂💛💚💛💚💛💚💛💚
I love how Yanga are doing this, kudos
Hii yanga inakuja na ubaya...ligi ya tz imetushinda...well organized... Hapa Kenya tu ni wababa tu wanapiga mechi...na watoto wao
Leo wa kwanza apa wanayanga wenzangu💚💚💛💛
Hii mechi cwez shindwa kurudia kuangalia kila mara😂💛💚
Mmetuheshimisha sana mashabiki wa yanga
This is young Africa 💚💛
nimekuja kupitia hii kitu kabla ya mechi ya tar 20/04/2024
Ilove yanga😂😂
Mwanagu utakae kuja kuangalia hii video sisi tukiwa tumesha kufa jua tulipata fursa ya kumuona mnyama akitandikwa goli 5 mwaka 2023 daima mbele nyuma mwiko
Dah! Kam utani vle,sem n kujifunz kutokana na makosa hoping that next time tutafanya vema,#Simba nguvu moja!❤️
Gori la kwanza ni goli Kali kuliko yote.🤣🤣
Napenda kuiangalia hii mechi ni zaidi ya mara 50 sasa 😅😅😅😅
Leo Azm TV mmenifurahisha kweli 😂😂😂😂😂
Asante sana Eng Hersi kwa kutupa Raha binafsi Kwa upande was Raha umetimiza kiu yangu kulipa magoli walio tufungaga na sikudai Kwa hili Bado kimoja tu yaani uwanja na najua utakamilisha soon ahadi zako zoye zinatimizwa na ninawaomba wananchi was yanga uwe Raisi wa kudumu na inawezekana TU mbona Rwanda Raid wao ni WA kudumu?
Point xana Mzee 💛💚💛💚💚💚💛💛
Ira kochawasimba ana2umiza moyo namanula wake
Asante chama rangu
l love yanga africans 💚💛🖤
❤❤❤❤❤❤❤ Yanga unatoa burudani sana
Dah mm sio shabiki wa mipira ya Tanzania sipo Simba wala Yanga ila hakiamungu Yanga mpira waloucheza unafanana san na Man City mpira wakumfanya mpinzani aonekane kama team ya daraja la 3 dah balaa
January 2024 Tujuane hapa😅😅❤
Aseeh hii kwangu nikama dozi ya ukimwi Kila siku lazma niangalie
Leo tena nmerudi kumwangalia shoga ake KMC😅😅
Nimekuja ku-review nione walio hujumu timu lakini sioni kitu.... Wanawaonea tuu
Wameyatimba😂😂
Nani anaangalia marudio kama mimi😂😂😂😂😂😂
tulio irudia kuiangalia tujuane 2024 😂😂😂
Nani anaangalia hii mechi mpaka leo 2024😂😂😂 Tabulele laa👋
Kumbe tupo wengi tunaofatilia mpaka hii leo
Wananchiiiiiiiiiiiiiii this is young africa
Sisi Sio Milima hatimae tumekutana, Huyu Pacome Zouzzoua Kiboko ya Makolo 😂😂😂
anawazoa zoa
Mie ndo naangalia Mda huu
Cjui kwann naipenda yanga kuas iki yaan icpocheza naumwa mwenzenu😢 aki tena 💚💛🖤
Yaani hata Kwenye Marudio wamepigwa tena
Naangalia leo tena
TABULELE LAAAH😂😂YAAANI MPAAKA WASEEME NI MATESOO NA WATATESEKA MPAKA USIKU WA MANANEE😂😂😂😂💚💛👋👋👋👋👋
Mmevumiliaaaa mwisho mkaona mpost😁
Wamepata pakutolea maumivu😂😂😂😂
5 ngapi?
Mechi tamu sana hii sichoki kuiludia kutazama..😂😂😂
Nimerudia leo mwezi mtukufu😂
Nmemis Yanga yangu Leo nmeirudia hii gemu kuiyangalia💛💚💪
Nasikia raha sana jamaniiiiiiiiiii mm
Nilizan atakua mpenja😢 atatangaza
Simba ni team ndogo sana sana
Maji yamezid unga polen Simba sasa muwe na adabu
Hii ndo Yanga sasa🙏🙏🙏
Tabulaleee laaaaah
Tar 2 /4 nimerudi hapaaaa
Me kila siku narudia hii mechii😂😂
Kibu alikimbia mapemaaaa kasingizia zake kuumia ili aside delete na mchezo ili lawama zisimdondokee 😂😂😂😂
Baada ya kufungwa taifa stars nimeona niirudie video hii ili nijifariji
Bado naangalia mechi y jan ilvyokuw bad siamin🤔
oyaaaaa ni atari
Kila xiku naangalia hii crip
Nmeamua niirudie leo kabla hatujaenda robo fainal ya CAF
💚💚💚💚💛💛
Simba wacoment wapi😂😂😂
Tarehe 20/04/2024😂😂😂😂
Hii wamelowa 😂duuh
Azam muwe mnatulea highlight mapema, tunakosa quality wengne ni mbovu kwel
Kila siku napenda kuangalia
hata mm nimeangalia
Wa leo tujuane
Gharibu mzinga hujawahig tangaza mechi tukafeli wananchi
Mbona sio HD
Mmmh
Kweli mashujaa yanga hata kenya wanashabikia yanga aaaaaaaaah duuuu mungu wangu
Nairudia hii game kila mda yaani
Mimi hapa
Naangalia muda huu
yanga asantee, mmemfanya kitu kizuri mmeweka heshima🤗
Yaan hii mechi kila nikirudia kuitazama simba anafungwa goli tano alafu wafungaji walewale akina pacome , sijui mimi tu peke yangu au nyinyi wadau munaonaje?😂😂
Umeludia sangap
Musonda goli la kikatili
kwaleo mmeona Aaka!! Yanini kususa, mlimwachia UTV 😂😂😂😂😂😂😂 imekaa powa kweli
Mimi Mwananchi😊😊😊
Sawaaa
Azam.mpo dunia.h mn maludio ya yqnga na azam.adi leo kenge nyny 😂😂😂💚💚💚🖐🏻🤸🏻♂️
Ni lini mpira ya kenya itakuwa hivi
Ata cjui kwakwli
😂 nyie c mnajivunia English😂
Mpira wa Kenya zamani ulikuwa juu...Ila inabidi mjipange Sana na pia siasa zipungue FKF.
@@ikouwasi7644😂😂😂😂😂😂😂
Magoli matam sana
Ila Azam hamjawaonesha mashabiki wa Yanga kwa ukubwa wake kwenye majukwaa wakishangilia .mlionesha sehemu chache tu za mashabiki wa Yanga
Tupo baba
💚💚💛💛💛
Hahahaha 😂😂😂😂 yanga tamu all the time huchoki kuangalia
😂😂😂😂naleo ten naangalia
Hatujamalizaaaaa😅😅
Tabulele laaaaaaaaaa😂😂😂😂
Ata mimi
Mm
🧡💛💚💚💛💛🧡
Angalia goli la 4 utajua kuwa Inonga kaachia makusud angalia kwa makin 😢
Angalia hadi macho yatoke ila hutaona hayo makusudi ya Inonga
Aaah wap
Aaah wap
Up Yanga
Kwanza Mpira kharamu🙄
😅😅😅😅poleee
himechi niyakufungamwaka haitakujakutoke hiinihistoriyakubwa sn