Magoli | Simba 1-5 Yanga SC | NBC Premier League - 05/11/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 ноя 2023
  • Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
    Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
    Haya hapa magoli yote sita ya mchezo huu...
  • СпортСпорт

Комментарии • 191

  • @anethmsaki4600
    @anethmsaki4600 3 месяца назад +8

    Aliyerudi leo like hapa

  • @fridahmasoi6693
    @fridahmasoi6693 5 месяцев назад +39

    Nani amerudi kuangalia hii mechi leo kama mimi😂😂🖐🖐🖐

  • @Ntabo393
    @Ntabo393 6 месяцев назад +8

    HII NI HISTORIA NAKUWA MTU WA PILI KUCOMMENT NAOMBA LIKES ZANGU

  • @DianaDaniely-ux1uw
    @DianaDaniely-ux1uw 6 месяцев назад +8

    Nimerudi kuja kuangalia Tena jmn kumbe hawajasawazisha😂😂😂

  • @amrandee
    @amrandee 6 месяцев назад +7

    Dear my child this is the best Young Africans 💛🖤💚 we have ever seen
    This was 5th Nov of 2023
    My joy was unconditionally indeed in this day ,

  • @user-eo5rv5mn3w
    @user-eo5rv5mn3w 6 месяцев назад +25

    Hata Kenya 🇰🇪 ushabiki wa Yanga unanoga , heko wananchi ❤❤ mapenzi ya dhati

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 Месяц назад +3

    Baada ya kusikia trh 20/ 4 tunakipiga tena,,😂😂😂 nimekuja kutuma salaam kwa watani

    • @duwemei2062
      @duwemei2062 Месяц назад

      umeniwahi😀😃😃😀

  • @user-jx5om6jh4o
    @user-jx5om6jh4o Месяц назад +3

    22/04/2024🎉 baada ya kumfunga mtani

  • @user-jv7qi1ff7c
    @user-jv7qi1ff7c 6 месяцев назад +6

    Naangalia leo tena labda simba wanaweza sawazisha😂😂😂😂😂😂😂

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 6 месяцев назад +14

    Yaan KIBU waajabu sana amefunga goli ameanza na nyodo ya kuwafunga midomo mashabiki wa Yanga badae ndo amekumbuka kusali matokeo yake wakamkanda yeye kwanza akatoka nje likafuata timu lake likadidimizwa kbs🤣🤣🤣🤣

    • @icmdc1464
      @icmdc1464 6 месяцев назад +3

      kabisaaa, simba tatizo majigambo🤣

    • @amisamaurid1882
      @amisamaurid1882 6 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂💛💚💛💚💛💚💛💚

  • @danotieno284
    @danotieno284 6 месяцев назад +3

    I love how Yanga are doing this, kudos

  • @victoromingo3337
    @victoromingo3337 6 месяцев назад +4

    Hii yanga inakuja na ubaya...ligi ya tz imetushinda...well organized... Hapa Kenya tu ni wababa tu wanapiga mechi...na watoto wao

  • @halimahassan5107
    @halimahassan5107 6 месяцев назад +3

    Leo wa kwanza apa wanayanga wenzangu💚💚💛💛

  • @dorismwaipembe
    @dorismwaipembe 6 месяцев назад +6

    Hii mechi cwez shindwa kurudia kuangalia kila mara😂💛💚

  • @andreashayo6266
    @andreashayo6266 6 месяцев назад +5

    Mmetuheshimisha sana mashabiki wa yanga

  • @halimahassan5107
    @halimahassan5107 6 месяцев назад +2

    This is young Africa 💚💛

  • @duwemei2062
    @duwemei2062 Месяц назад +2

    nimekuja kupitia hii kitu kabla ya mechi ya tar 20/04/2024

  • @jayrwalihmussa8475
    @jayrwalihmussa8475 6 месяцев назад +3

    Ilove yanga😂😂

  • @pinyoxxl1670
    @pinyoxxl1670 4 месяца назад +2

    Mwanagu utakae kuja kuangalia hii video sisi tukiwa tumesha kufa jua tulipata fursa ya kumuona mnyama akitandikwa goli 5 mwaka 2023 daima mbele nyuma mwiko

  • @KingJaguar111
    @KingJaguar111 6 месяцев назад +2

    Dah! Kam utani vle,sem n kujifunz kutokana na makosa hoping that next time tutafanya vema,#Simba nguvu moja!❤️

  • @Fanfocusfootball
    @Fanfocusfootball 6 месяцев назад +6

    Gori la kwanza ni goli Kali kuliko yote.🤣🤣

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 4 месяца назад +2

    Napenda kuiangalia hii mechi ni zaidi ya mara 50 sasa 😅😅😅😅

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 6 месяцев назад +3

    Leo Azm TV mmenifurahisha kweli 😂😂😂😂😂

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 6 месяцев назад +13

    Asante sana Eng Hersi kwa kutupa Raha binafsi Kwa upande was Raha umetimiza kiu yangu kulipa magoli walio tufungaga na sikudai Kwa hili Bado kimoja tu yaani uwanja na najua utakamilisha soon ahadi zako zoye zinatimizwa na ninawaomba wananchi was yanga uwe Raisi wa kudumu na inawezekana TU mbona Rwanda Raid wao ni WA kudumu?

    • @amisamaurid1882
      @amisamaurid1882 6 месяцев назад

      Point xana Mzee 💛💚💛💚💚💚💛💛

    • @EliberthElias
      @EliberthElias 6 месяцев назад

      Ira kochawasimba ana2umiza moyo namanula wake

  • @charleskapaya4248
    @charleskapaya4248 6 месяцев назад +3

    Asante chama rangu

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 5 месяцев назад +1

    l love yanga africans 💚💛🖤

  • @ebbyescor7614
    @ebbyescor7614 6 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤ Yanga unatoa burudani sana

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 6 месяцев назад +5

    Dah mm sio shabiki wa mipira ya Tanzania sipo Simba wala Yanga ila hakiamungu Yanga mpira waloucheza unafanana san na Man City mpira wakumfanya mpinzani aonekane kama team ya daraja la 3 dah balaa

  • @raynaeafrica9464
    @raynaeafrica9464 4 месяца назад +1

    January 2024 Tujuane hapa😅😅❤

  • @aloycemassawe900
    @aloycemassawe900 6 месяцев назад +3

    Aseeh hii kwangu nikama dozi ya ukimwi Kila siku lazma niangalie

  • @abdulladosantosjr
    @abdulladosantosjr 5 месяцев назад +2

    Leo tena nmerudi kumwangalia shoga ake KMC😅😅

  • @eidmbelwa8104
    @eidmbelwa8104 6 месяцев назад +5

    Nimekuja ku-review nione walio hujumu timu lakini sioni kitu.... Wanawaonea tuu

  • @jozidasuperior7257
    @jozidasuperior7257 6 месяцев назад +5

    Wameyatimba😂😂

  • @AnnaJoseph-ng2ei
    @AnnaJoseph-ng2ei 3 месяца назад +2

    Nani anaangalia marudio kama mimi😂😂😂😂😂😂

  • @maniqakebbe8323
    @maniqakebbe8323 4 месяца назад +1

    tulio irudia kuiangalia tujuane 2024 😂😂😂

  • @stephanofyulla8448
    @stephanofyulla8448 4 месяца назад +2

    Nani anaangalia hii mechi mpaka leo 2024😂😂😂 Tabulele laa👋

    • @ummimyelle6561
      @ummimyelle6561 4 месяца назад

      Kumbe tupo wengi tunaofatilia mpaka hii leo

  • @user-cs6vc6ff5y
    @user-cs6vc6ff5y 4 месяца назад +1

    Wananchiiiiiiiiiiiiiii this is young africa

  • @nduwimanaradjabu6574
    @nduwimanaradjabu6574 6 месяцев назад +3

    Sisi Sio Milima hatimae tumekutana, Huyu Pacome Zouzzoua Kiboko ya Makolo 😂😂😂

    • @icmdc1464
      @icmdc1464 6 месяцев назад +2

      anawazoa zoa

  • @user-qx8ez6pw9p
    @user-qx8ez6pw9p 6 месяцев назад +4

    Mie ndo naangalia Mda huu

  • @ummimyelle6561
    @ummimyelle6561 4 месяца назад

    Cjui kwann naipenda yanga kuas iki yaan icpocheza naumwa mwenzenu😢 aki tena 💚💛🖤

  • @alexmosha-mk5ku
    @alexmosha-mk5ku 6 месяцев назад +3

    Yaani hata Kwenye Marudio wamepigwa tena

  • @DenisDaniel-rc2xm
    @DenisDaniel-rc2xm 2 месяца назад +2

    Naangalia leo tena

  • @omarmatata-dc3mv
    @omarmatata-dc3mv 6 месяцев назад +3

    TABULELE LAAAH😂😂YAAANI MPAAKA WASEEME NI MATESOO NA WATATESEKA MPAKA USIKU WA MANANEE😂😂😂😂💚💛👋👋👋👋👋

  • @shabanimbululo
    @shabanimbululo 6 месяцев назад +4

    Mmevumiliaaaa mwisho mkaona mpost😁

    • @uhurujan2244
      @uhurujan2244 6 месяцев назад

      Wamepata pakutolea maumivu😂😂😂😂

  • @allekaddo
    @allekaddo 6 месяцев назад +5

    5 ngapi?

  • @user-ue2cn6qo2m
    @user-ue2cn6qo2m 4 месяца назад +1

    Mechi tamu sana hii sichoki kuiludia kutazama..😂😂😂

  • @ramxomtum2babu414
    @ramxomtum2babu414 2 месяца назад +1

    Nimerudia leo mwezi mtukufu😂

  • @user-eg5zp8wx4g
    @user-eg5zp8wx4g 4 месяца назад

    Nmemis Yanga yangu Leo nmeirudia hii gemu kuiyangalia💛💚💪

  • @anithaboniface229
    @anithaboniface229 6 месяцев назад +2

    Nasikia raha sana jamaniiiiiiiiiii mm

  • @newtonoskar1566
    @newtonoskar1566 6 месяцев назад +3

    Nilizan atakua mpenja😢 atatangaza

  • @thecafcl8409
    @thecafcl8409 6 месяцев назад +3

    Simba ni team ndogo sana sana

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 6 месяцев назад +4

    Maji yamezid unga polen Simba sasa muwe na adabu

  • @kyandoalpha9005
    @kyandoalpha9005 6 месяцев назад +2

    Hii ndo Yanga sasa🙏🙏🙏

  • @TINAMOLLELY
    @TINAMOLLELY Месяц назад

    Tar 2 /4 nimerudi hapaaaa

  • @MwajumaaDooh
    @MwajumaaDooh Месяц назад +1

    Me kila siku narudia hii mechii😂😂

  • @iluminataeugen7625
    @iluminataeugen7625 6 месяцев назад +3

    Kibu alikimbia mapemaaaa kasingizia zake kuumia ili aside delete na mchezo ili lawama zisimdondokee 😂😂😂😂

  • @issa_Tz
    @issa_Tz 4 месяца назад +1

    Baada ya kufungwa taifa stars nimeona niirudie video hii ili nijifariji

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu 6 месяцев назад +3

    Bado naangalia mechi y jan ilvyokuw bad siamin🤔

  • @user-yx4xk3ti4t
    @user-yx4xk3ti4t 6 месяцев назад +3

    oyaaaaa ni atari

  • @HamidaMponda-be3oo
    @HamidaMponda-be3oo 6 месяцев назад +3

    Kila xiku naangalia hii crip

  • @gideonelias5379
    @gideonelias5379 2 месяца назад +1

    Nmeamua niirudie leo kabla hatujaenda robo fainal ya CAF

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 6 месяцев назад +2

    💚💚💚💚💛💛

  • @greenparktv6926
    @greenparktv6926 6 месяцев назад +2

    Simba wacoment wapi😂😂😂

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Месяц назад +1

    Tarehe 20/04/2024😂😂😂😂

  • @RicardoMomo-vh6qu
    @RicardoMomo-vh6qu 6 месяцев назад +3

    Hii wamelowa 😂duuh

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 6 месяцев назад +1

    Azam muwe mnatulea highlight mapema, tunakosa quality wengne ni mbovu kwel

  • @user-di2sz5rx4x
    @user-di2sz5rx4x 5 месяцев назад +1

    Kila siku napenda kuangalia

  • @user-re8gg7bm9h
    @user-re8gg7bm9h Месяц назад +1

    hata mm nimeangalia

  • @anethmsaki4600
    @anethmsaki4600 5 месяцев назад +1

    Wa leo tujuane

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 6 месяцев назад +3

    Gharibu mzinga hujawahig tangaza mechi tukafeli wananchi

  • @kenya560
    @kenya560 6 месяцев назад +1

    Mbona sio HD

  • @MwendaKizota
    @MwendaKizota 2 месяца назад +1

    Mmmh

  • @user-ei1bu4gv4u
    @user-ei1bu4gv4u 4 месяца назад

    Kweli mashujaa yanga hata kenya wanashabikia yanga aaaaaaaaah duuuu mungu wangu

  • @AllyMaganga-cd8qm
    @AllyMaganga-cd8qm Месяц назад +1

    Nairudia hii game kila mda yaani

  • @nahifatmatimba2398
    @nahifatmatimba2398 5 месяцев назад

    Mimi hapa

  • @ernestfred6813
    @ernestfred6813 6 месяцев назад +2

    Naangalia muda huu

  • @icmdc1464
    @icmdc1464 6 месяцев назад

    yanga asantee, mmemfanya kitu kizuri mmeweka heshima🤗

  • @moviekaa
    @moviekaa 6 месяцев назад +1

    Yaan hii mechi kila nikirudia kuitazama simba anafungwa goli tano alafu wafungaji walewale akina pacome , sijui mimi tu peke yangu au nyinyi wadau munaonaje?😂😂

  • @joshualukas2123
    @joshualukas2123 4 месяца назад +1

    Umeludia sangap

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc 6 месяцев назад +2

    Musonda goli la kikatili

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 6 месяцев назад +1

    kwaleo mmeona Aaka!! Yanini kususa, mlimwachia UTV 😂😂😂😂😂😂😂 imekaa powa kweli

  • @frozamhando6740
    @frozamhando6740 4 месяца назад

    Mimi Mwananchi😊😊😊

  • @lusekelo97
    @lusekelo97 6 месяцев назад

    Sawaaa

  • @user-ru7np8ji9p
    @user-ru7np8ji9p 6 месяцев назад +1

    Azam.mpo dunia.h mn maludio ya yqnga na azam.adi leo kenge nyny 😂😂😂💚💚💚🖐🏻🤸🏻‍♂️

  • @user-lf7ms4ud2y
    @user-lf7ms4ud2y 6 месяцев назад +3

    Ni lini mpira ya kenya itakuwa hivi

    • @mwanahamisijuma7270
      @mwanahamisijuma7270 6 месяцев назад

      Ata cjui kwakwli

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 6 месяцев назад +2

      😂 nyie c mnajivunia English😂

    • @rogath_silayo
      @rogath_silayo 6 месяцев назад +2

      Mpira wa Kenya zamani ulikuwa juu...Ila inabidi mjipange Sana na pia siasa zipungue FKF.

    • @uhurujan2244
      @uhurujan2244 6 месяцев назад

      ​@@ikouwasi7644😂😂😂😂😂😂😂

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc 6 месяцев назад +2

    Magoli matam sana

  • @bihasnashehondo
    @bihasnashehondo 6 месяцев назад +1

    Ila Azam hamjawaonesha mashabiki wa Yanga kwa ukubwa wake kwenye majukwaa wakishangilia .mlionesha sehemu chache tu za mashabiki wa Yanga

  • @rashidrajab2534
    @rashidrajab2534 4 месяца назад +1

    Tupo baba

  • @billionaire__kheed
    @billionaire__kheed 6 месяцев назад

    💚💚💛💛💛

  • @user-eg2wy6rh8s
    @user-eg2wy6rh8s 4 месяца назад

    Hahahaha 😂😂😂😂 yanga tamu all the time huchoki kuangalia

  • @daggerslick
    @daggerslick 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂naleo ten naangalia

  • @shabanimbululo
    @shabanimbululo 6 месяцев назад +1

    Hatujamalizaaaaa😅😅

  • @halimahassan5107
    @halimahassan5107 6 месяцев назад +1

    Tabulele laaaaaaaaaa😂😂😂😂

  • @oswardlonginoosward9832
    @oswardlonginoosward9832 Месяц назад

    Ata mimi

  • @user-lt7eq1jq3c
    @user-lt7eq1jq3c 3 месяца назад +2

    Mm

  • @user-pv8ep3wg6e
    @user-pv8ep3wg6e 6 месяцев назад

    🧡💛💚💚💛💛🧡

  • @abdullynasry2205
    @abdullynasry2205 6 месяцев назад +2

    Angalia goli la 4 utajua kuwa Inonga kaachia makusud angalia kwa makin 😢

  • @niyibitangasamson4156
    @niyibitangasamson4156 6 месяцев назад

    Up Yanga

  • @hafidhomar2268
    @hafidhomar2268 6 месяцев назад +3

    Kwanza Mpira kharamu🙄

  • @user-nm7yq6bp4u
    @user-nm7yq6bp4u 4 месяца назад +1

    himechi niyakufungamwaka haitakujakutoke hiinihistoriyakubwa sn