We, siyo mke sahihi! Kwake maana unachomfanyia. Haina haja hata ya kuwa mkewe na huhitaji tena. Kusamehewa. Kaka upo vzr sana umenipa fundisho kubwa sana. Kwangu me.🎉🎉🎉🎉
Ngoma tunaipokea na tunaendelea kuifwatilia ipasavyo❤❤big up bro maan umeigiza uhalisia wangu katika kuchukua maamuzi na nimejifunza vingi ikiwepo na madhara ya uvumilivu
Kweli wanachelewesha sana mwendelezo ,,kija daah maua ,,naona haya mm jamani ,,, daah maua mbona mumeo mzuri ila huchokii ,,,haya basi baki na huyo mshikaji wako mpyaa niachie Noel basii ,,,,,,nawapenda sanaa ,,,,na la mwisho msicheleweshe sana episode 10
Jamani nimeanza juzi tu kuangalia hiyo story kiukweli ni nzuri sana sana ila sasa nilivyo kosa muendelezo niliumia sana naomba mjitahid kutupa burudan,nikiangalia hiyo nasahau hata shida jamni,kazi nzuri👏👏
Kama unaupenda huo wimbo wa king mapenzi ni game dondosha like apo chini 😅
Kazi nzuri sana sema mnachelesh sana mwendelezo ila maua natamani ubaki napapi mnapendana sana alafu me niachie mumeo king noely
Yaani ako na mume mzuri mpole handsome kisha hatulii litamkuta jambo
😅😅😅😅😅Ila noel ni mwanaume nangai
Ati papii huyo jamaa nipesa anataka akikosa kumpa kitamramba mume ni huyo anamtesa. But wanatuchelewesha enyewe
Kiruuuu nampenda king Joel hatar 😂😂😂😂
Umenifurahisha kwakwelii
👏👏👏👏 aliye jifusa kuusu ii move ngoga lik apa
Wanawake aina ya Maua popote walipo wanatakiwa kunyongwa hadi kufa yan hawafai kabisa kuwepo kwenye huu ulimwengu
😂😂😂😂😂😂
Kabisa kaka Tena waning'inize juuu ya waya waumeme
We, siyo mke sahihi! Kwake maana unachomfanyia. Haina haja hata ya kuwa mkewe na huhitaji tena. Kusamehewa. Kaka upo vzr sana umenipa fundisho kubwa sana. Kwangu me.🎉🎉🎉🎉
Jamani ladies tunafeli wapi😢😢😢????Hii Ni movie but it's really life Aki.Nawapenda sana from Kenya 🇰🇪.
Kazi nzuri brother kupe mbia wewe unacheza chini ya maji kweli mapenzi game😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ngoma tunaipokea na tunaendelea kuifwatilia ipasavyo❤❤big up bro maan umeigiza uhalisia wangu katika kuchukua maamuzi na nimejifunza vingi ikiwepo na madhara ya uvumilivu
😂😂😂😂acha move ibaki ivo
Anachosema ni kweli@@shedy_marie
@@shedy_marieibaki hivo.
@@shedy_mariepia Inafundisha madhara yakutowatambulisha ndgu.
Duuu Jamani munatuangusha sana masha biki yani muna chelewsh san mpaka tuna sahau
Ila inaboa sana yani
Viti vizur vinaenda tarabini
Movi zuri sana ira munacherewesha sana munderezo
Yaan nimeangalia part 1 up to 10 kwa ucku mmoja
Nakubali hii movie sana tuu endelea kuleta mambo
Mbona mnachelewa sana❤❤
Mauwa ni mwisho kha😮😮😮
Please don't make us wait that much. Napenda hii movie sana all the way from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤
Hii move jamani muwe mnatutolea kila siku uwii, inanipa raha sana jamani Maua kanishinda tabia😅🙌
Kweli wanachelewesha sana mwendelezo ,,kija daah maua ,,naona haya mm jamani ,,, daah maua mbona mumeo mzuri ila huchokii ,,,haya basi baki na huyo mshikaji wako mpyaa niachie Noel basii ,,,,,,nawapenda sanaa ,,,,na la mwisho msicheleweshe sana episode 10
Maua kuana namsimamo kazi nzuri ongeleni natamani na niwe muigizaji
Hako kamziki nakapataje ❤❤❤❤
😂😂😂😂maua huwa ananifurahisha kweli anapokuwa anaanza kujikuna Kuna na kuanza kushangaaa🙌🙌😂😂
Papi ananiudhi anakaa Tu mwizi hmm
Yanii mpak tunasahau mnachelew sanaa😢
King noely uko vzr sana kwenye nafas yakoooo,,,,,, nimependaaaaa🎉🎉🎉🎉,,,.
Mko vzur Sana. Lakin mjitahid kuwahi sababu mnaweza kupoteza mashabiki tunakaa kusubiri mpaka tunasahau
Kingine dakika zimeongezwa hongera kaka❤
Inatakiwa tujifunze jamn,,, dada kama maua mmmmh kipengele
Jamani nimeanza juzi tu kuangalia hiyo story kiukweli ni nzuri sana sana ila sasa nilivyo kosa muendelezo niliumia sana naomba mjitahid kutupa burudan,nikiangalia hiyo nasahau hata shida jamni,kazi nzuri👏👏
😂 we ni atal asee h ktu ñzr san naomb isifike mwsho
Jamani maua ww kua nahuruma basi mmmmh umezidi 😢😢😢😢😢
Kaka unachelewesha sana movie bro
King noely muwe mnawahi
Jitahidin kutoa kwa wakati..sema mnatisha💪💪
Mauwa unajini mahaba au unanichosha 😂😂😂😂😂 umecheza vizuri sana 🎉🎉🎉🎉
Maua hadi sura imepauka kwa sababu ya mishedede😂😂😂😂😂anapenda miti huyu mdada khaa
Kaka yeee umeniua kabisa 😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
@@MohamedAli-fq7qw 😁😁😁😁 ndo ivo broo ama waonaje
King eeeh naomba utuongezee dakika kaka kazi nzuri sana
Najiuliza ivi jamaa ana moyo ya namna gan?mbn najaribu kuvaa viatu vyako nashindwa
Maua jamani unatesa sana mume wako sio poa kabisa
Daaaaahhh hongera kaka Kwa kazi nzuri sana lkn naomba msiwe mnachelewa Sana kuleta mwendelezo
Jaman mnakelea kutup mzigo
Nawapenda ❤❤ kazi nzuri san
Aise hii imesimama sana muwe mnatuwaishia basi ni nzuri sana
Jamani bado mupo munadungusha kbx jalibu basi musirudi kudusahawisha si powa
Maua mnafki mkubwa eti mwanamke hajielewi 😂😂😂😂😂 siku yako yaja
Mko vizur ila mnachelewa san please 🙏 ❤❤❤🎉🎉
Jamani kazi nzuri ila msicheleweshe mwendelezo❤🎉
Leo kazin kwa iani kuna kazi mama yang
Nawapenda bure jaman pia Pia Pole noely kwa changamotooo😂😂😂
Jamani usicherewe muenderezo
Yaaan kaingia mtumbwi wa vibwengo😂😂
Kaka noel jitahid ixivuke wiki namba 10 iwe tayari au wanangu mnasemaje 😂😂😂😂
Mapnz game kwel,,,,sukuhisho la ndoa limekatika😮😮😮
He jaman maua anatak kuonew hurum 😂et kabadirik
Nawapenda sana watu wangu ila mnatuweka sana❤❤❤
Kuitwa mwanaume c kaz ndogo ✊✊✊
Maua amenishinda tabia dah 😳 kwani ana Pepo la ngono 😮😂😂😂
😂😂😂😂
Lakini mbona mnakawia ivo jamani 😢😢
Wewe ni muvumilivu kabsaa mimi siwezi 😂
Naisubil hio siku ya kutambulishana mniambie na mm nije kuona tukio mana 😂😂😂😂😜😜😜😜
uyu bwana ake maua mbon kafanan na criss outfits 😂😂
Great job 👍❤❤❤❤
Msicheleweshe sana jaman
Jaman hii ngoma noma 1:
Thank you brother we waiting number ten
Good job
Umetisha brother
Sem maua unaupig mwingi duh unachokitaft utakipat😅
Kazi nzuri sana kaka
We jamaa una moyo sana 🙌🙌🙌🙌
Hoyaaah!! Wanaume Uyu Mwanamke Tumfanya Je? 😂
Ila ka papii😂😂🙌
😂😂nimecheka, kenyewe kajinga, afu kanajiamini
Duuuh hatr san noel n mwanaume mstarab san❤❤
Mambo ni moto😂😂😂
Jmn mnachelewesha sana jamn 😢
Woow 😮🎉🎉 kazi nzuri sana❤❤❤ ila ongeze
Kwisha
Kaka kazi zuri san kama maua hasikii mm nko❤❤❤❤🌹🌹🙏
😅😅😅😅😅 mauwa tulia na mumewako achana na papi papi mwenyewe sura baya akusaidii ki2
❤❤❤ naipenda sana movie jameni inamafunzo ni mengi sana
Kama kweli wapo wanaume kama King basi ufalme wa Mungu ni wake.
Mungu wangu kungekuwa mwanaume kama king dunia itaweza kuwa nziri sana maua acha kutesa mume wako jamani acha
Sina mengi,, move Ina kitu Cha kujifunza,, Ila munatuweka na hamu Hadi natamani niigize mimi
Hii ni kali l say,niuwe unamoyo wa chuma duh
🙆🏿♀️🙆🏿♀️🙆🏿♀️🙆🏿♀️🙆🏿♀️🙆🏿♀️mauwa!!! ...kwa kwwli ili game unalocheza mim siwez 😢😢
Mauwa unapepo la masuruali ,njoo 🇰🇪 kenya King nikupetipeti 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yako King kwa urinals wako
Duhhh pole sana kaka kwa changamoto ya ndoa, wanawake pepo tutaiona kwa jirani
Huyuuu jamaaa ywajua kuvumilia haki tena ni mgeda wawawa anabahati huyoo mauwa❤❤❤😂😂
Next please jmanii utamu munatukosesha fnyeni mutuwekee episode 10
Dah king Noel tunataman wakati episode Moja inamalizika nyingine isichukue mdaaa❤❤❤❤❤❤❤
Nyolimo ,,, sitawaii owa
Napenda sana mnatufudi sha❤❤❤❤
kali sana but mnachelewesha sana bhana Dah 💡🔥🔥🔥🔥🔥
Mm sijaona kama matunda hebu mpeni maua🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅
Movie ,,IPO vizur tumeipenda ,,lakin tunaomba muwahishe kutoa mwendelezo tunasubir sana
😂😂😂😂😂😂😂maua imeshindikan na piah imenishind tabia mwanamke gan we
Jmn. Hiii movie naielewa knoma yan bora hata nisile niangaliet ila mnafer kt kmoja mnachelewesha mwendelezo had tnaixhiwa ham kabisa
Amazing❤❤❤❤Ila usichelewe Kwa next episode king Noel
Mnachelewa sna jmn 😢😢
Tatizo ya muvi zenu mnasahau mlipo ixhia na mkaanzia pale pale zinaaza tofauti ili zipendeze anzieni pale pale mlipo ixhia
Uyu demu kajikoroga pazur cku akijua atazimia
Kawimbo katam
Kiukweli mauwa anaudhi ila ni funzo
Dada mzuri lkn ana tabia za ajabu apenda kuzagamuliwa kinoma jmn
😂😂😂Plz king noely nakupenda aki 😢😢😢siuniowe mm