MAPENZI NI GAME | EPISODE 9 |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 427

  • @chizoboy3001
    @chizoboy3001 Месяц назад +48

    Kama unaupenda huo wimbo wa king mapenzi ni game dondosha like apo chini 😅

  • @MaryCharles-c7n
    @MaryCharles-c7n Месяц назад +41

    Kazi nzuri sana sema mnachelesh sana mwendelezo ila maua natamani ubaki napapi mnapendana sana alafu me niachie mumeo king noely

    • @fatmatuma6631
      @fatmatuma6631 Месяц назад +2

      Yaani ako na mume mzuri mpole handsome kisha hatulii litamkuta jambo

    • @hadijashafii9716
      @hadijashafii9716 Месяц назад +1

      😅😅😅😅😅Ila noel ni mwanaume nangai

    • @NancyNanny001
      @NancyNanny001 Месяц назад +1

      Ati papii huyo jamaa nipesa anataka akikosa kumpa kitamramba mume ni huyo anamtesa. But wanatuchelewesha enyewe

    • @gloryoisso3796
      @gloryoisso3796 Месяц назад +1

      Kiruuuu nampenda king Joel hatar 😂😂😂😂

    • @MoreenMdemu-k8e
      @MoreenMdemu-k8e Месяц назад

      Umenifurahisha kwakwelii

  • @LovenessryShirima
    @LovenessryShirima Месяц назад +11

    👏👏👏👏 aliye jifusa kuusu ii move ngoga lik apa

  • @ThomasWilliam-k5h
    @ThomasWilliam-k5h Месяц назад +11

    Wanawake aina ya Maua popote walipo wanatakiwa kunyongwa hadi kufa yan hawafai kabisa kuwepo kwenye huu ulimwengu

  • @Peter20Aly-t4u
    @Peter20Aly-t4u Месяц назад +4

    We, siyo mke sahihi! Kwake maana unachomfanyia. Haina haja hata ya kuwa mkewe na huhitaji tena. Kusamehewa. Kaka upo vzr sana umenipa fundisho kubwa sana. Kwangu me.🎉🎉🎉🎉

  • @MargaretMtende
    @MargaretMtende Месяц назад +2

    Jamani ladies tunafeli wapi😢😢😢????Hii Ni movie but it's really life Aki.Nawapenda sana from Kenya 🇰🇪.

  • @Christine-ho5us
    @Christine-ho5us Месяц назад +3

    Kazi nzuri brother kupe mbia wewe unacheza chini ya maji kweli mapenzi game😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @lizard5201
    @lizard5201 Месяц назад +8

    Ngoma tunaipokea na tunaendelea kuifwatilia ipasavyo❤❤big up bro maan umeigiza uhalisia wangu katika kuchukua maamuzi na nimejifunza vingi ikiwepo na madhara ya uvumilivu

    • @shedy_marie
      @shedy_marie Месяц назад

      😂😂😂😂acha move ibaki ivo

    • @isayaambose219
      @isayaambose219 Месяц назад

      Anachosema ni kweli​@@shedy_marie

    • @DicksoneSahan
      @DicksoneSahan Месяц назад

      ​@@shedy_marieibaki hivo.

    • @DicksoneSahan
      @DicksoneSahan Месяц назад

      ​@@shedy_mariepia Inafundisha madhara yakutowatambulisha ndgu.

  • @ZamratiRajabu-en4ce
    @ZamratiRajabu-en4ce Месяц назад +23

    Duuu Jamani munatuangusha sana masha biki yani muna chelewsh san mpaka tuna sahau

    • @jonijjoo
      @jonijjoo Месяц назад

      Ila inaboa sana yani

    • @NawabuIdrissa
      @NawabuIdrissa Месяц назад

      Viti vizur vinaenda tarabini

    • @ceciliapatrick9015
      @ceciliapatrick9015 Месяц назад

      Movi zuri sana ira munacherewesha sana munderezo

  • @qweeniepoul7842
    @qweeniepoul7842 Месяц назад +2

    Yaan nimeangalia part 1 up to 10 kwa ucku mmoja

  • @MathayoMollel-f6w
    @MathayoMollel-f6w Месяц назад +12

    Nakubali hii movie sana tuu endelea kuleta mambo

  • @rukiahamisi3079
    @rukiahamisi3079 Месяц назад +8

    Mauwa ni mwisho kha😮😮😮

  • @254bonaza
    @254bonaza Месяц назад +8

    Please don't make us wait that much. Napenda hii movie sana all the way from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤

  • @JeniEmmah
    @JeniEmmah Месяц назад +8

    Hii move jamani muwe mnatutolea kila siku uwii, inanipa raha sana jamani Maua kanishinda tabia😅🙌

  • @MargretMwashighadi
    @MargretMwashighadi Месяц назад +3

    Kweli wanachelewesha sana mwendelezo ,,kija daah maua ,,naona haya mm jamani ,,, daah maua mbona mumeo mzuri ila huchokii ,,,haya basi baki na huyo mshikaji wako mpyaa niachie Noel basii ,,,,,,nawapenda sanaa ,,,,na la mwisho msicheleweshe sana episode 10

  • @BeatusKiwale-d2p
    @BeatusKiwale-d2p 27 дней назад

    Maua kuana namsimamo kazi nzuri ongeleni natamani na niwe muigizaji

  • @MaryCharles-c7n
    @MaryCharles-c7n Месяц назад +9

    Hako kamziki nakapataje ❤❤❤❤

  • @mwanaishayahaya3649
    @mwanaishayahaya3649 Месяц назад +4

    😂😂😂😂maua huwa ananifurahisha kweli anapokuwa anaanza kujikuna Kuna na kuanza kushangaaa🙌🙌😂😂

  • @JanefryNanzala
    @JanefryNanzala Месяц назад +1

    Papi ananiudhi anakaa Tu mwizi hmm

  • @SaidJuma-u4f
    @SaidJuma-u4f Месяц назад +7

    Yanii mpak tunasahau mnachelew sanaa😢

  • @BeatriceAlex-v7m
    @BeatriceAlex-v7m Месяц назад

    King noely uko vzr sana kwenye nafas yakoooo,,,,,, nimependaaaaa🎉🎉🎉🎉,,,.

  • @luciajohn8962
    @luciajohn8962 Месяц назад +4

    Mko vzur Sana. Lakin mjitahid kuwahi sababu mnaweza kupoteza mashabiki tunakaa kusubiri mpaka tunasahau

  • @lizard5201
    @lizard5201 Месяц назад +4

    Kingine dakika zimeongezwa hongera kaka❤

  • @BeatriceAlex-v7m
    @BeatriceAlex-v7m Месяц назад

    Inatakiwa tujifunze jamn,,, dada kama maua mmmmh kipengele

  • @SabrinaHabib-m9j
    @SabrinaHabib-m9j Месяц назад +1

    Jamani nimeanza juzi tu kuangalia hiyo story kiukweli ni nzuri sana sana ila sasa nilivyo kosa muendelezo niliumia sana naomba mjitahid kutupa burudan,nikiangalia hiyo nasahau hata shida jamni,kazi nzuri👏👏

  • @Ratfha
    @Ratfha Месяц назад

    😂 we ni atal asee h ktu ñzr san naomb isifike mwsho

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Месяц назад +2

    Jamani maua ww kua nahuruma basi mmmmh umezidi 😢😢😢😢😢

  • @officialfighter-o9b
    @officialfighter-o9b Месяц назад +5

    Kaka unachelewesha sana movie bro

  • @RozaliaStanslausRaphael-zw7zj
    @RozaliaStanslausRaphael-zw7zj Месяц назад +8

    King noely muwe mnawahi

  • @IssaAbasi-g2o
    @IssaAbasi-g2o Месяц назад +2

    Jitahidin kutoa kwa wakati..sema mnatisha💪💪

  • @AgustinoMpondo
    @AgustinoMpondo Месяц назад +1

    Mauwa unajini mahaba au unanichosha 😂😂😂😂😂 umecheza vizuri sana 🎉🎉🎉🎉

  • @LispaKadzoKalu
    @LispaKadzoKalu Месяц назад +2

    Maua hadi sura imepauka kwa sababu ya mishedede😂😂😂😂😂anapenda miti huyu mdada khaa

    • @MohamedAli-fq7qw
      @MohamedAli-fq7qw Месяц назад

      Kaka yeee umeniua kabisa 😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅

    • @LispaKadzoKalu
      @LispaKadzoKalu Месяц назад

      @@MohamedAli-fq7qw 😁😁😁😁 ndo ivo broo ama waonaje

  • @Costantino-xp5bu
    @Costantino-xp5bu Месяц назад +2

    King eeeh naomba utuongezee dakika kaka kazi nzuri sana

    • @yaredymnyily2353
      @yaredymnyily2353 Месяц назад +1

      Najiuliza ivi jamaa ana moyo ya namna gan?mbn najaribu kuvaa viatu vyako nashindwa

  • @LovelyChocolateBonbons-ok2ww
    @LovelyChocolateBonbons-ok2ww Месяц назад +5

    Maua jamani unatesa sana mume wako sio poa kabisa

  • @NuruenezaJosephEnock
    @NuruenezaJosephEnock Месяц назад

    Daaaaahhh hongera kaka Kwa kazi nzuri sana lkn naomba msiwe mnachelewa Sana kuleta mwendelezo

  • @NtabwobaNtabwoba
    @NtabwobaNtabwoba Месяц назад +6

    Jaman mnakelea kutup mzigo

  • @NellyWangui-v1m
    @NellyWangui-v1m Месяц назад +1

    Nawapenda ❤❤ kazi nzuri san

  • @Kulwamasaba-lm1fd
    @Kulwamasaba-lm1fd Месяц назад +1

    Aise hii imesimama sana muwe mnatuwaishia basi ni nzuri sana

  • @esperanceirakoze4616
    @esperanceirakoze4616 Месяц назад +1

    Jamani bado mupo munadungusha kbx jalibu basi musirudi kudusahawisha si powa

  • @queenbby92
    @queenbby92 Месяц назад +3

    Maua mnafki mkubwa eti mwanamke hajielewi 😂😂😂😂😂 siku yako yaja

  • @khadijaAbdullah-jz5fz
    @khadijaAbdullah-jz5fz Месяц назад +2

    Mko vizur ila mnachelewa san please 🙏 ❤❤❤🎉🎉

  • @RehemaHamdani
    @RehemaHamdani Месяц назад +1

    Jamani kazi nzuri ila msicheleweshe mwendelezo❤🎉

  • @B12Dazzen
    @B12Dazzen 20 дней назад

    Leo kazin kwa iani kuna kazi mama yang

  • @SamwelNakei
    @SamwelNakei Месяц назад +2

    Nawapenda bure jaman pia Pia Pole noely kwa changamotooo😂😂😂

  • @rehema-le8gq
    @rehema-le8gq Месяц назад +2

    Jamani usicherewe muenderezo

  • @Haji-yr9db
    @Haji-yr9db Месяц назад +2

    Yaaan kaingia mtumbwi wa vibwengo😂😂

  • @NoshardZuberi
    @NoshardZuberi Месяц назад

    Kaka noel jitahid ixivuke wiki namba 10 iwe tayari au wanangu mnasemaje 😂😂😂😂

  • @mariammuslim2987
    @mariammuslim2987 Месяц назад

    Mapnz game kwel,,,,sukuhisho la ndoa limekatika😮😮😮

  • @VeronicaBrison
    @VeronicaBrison Месяц назад

    He jaman maua anatak kuonew hurum 😂et kabadirik

  • @rehemamwaranga
    @rehemamwaranga Месяц назад +2

    Nawapenda sana watu wangu ila mnatuweka sana❤❤❤

  • @DanielChacha-s3z
    @DanielChacha-s3z 5 дней назад

    Kuitwa mwanaume c kaz ndogo ✊✊✊

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 Месяц назад +2

    Maua amenishinda tabia dah 😳 kwani ana Pepo la ngono 😮😂😂😂

  • @vanicenjeri59
    @vanicenjeri59 Месяц назад +3

    Lakini mbona mnakawia ivo jamani 😢😢

  • @DieuestbonMumbere
    @DieuestbonMumbere 10 дней назад

    Wewe ni muvumilivu kabsaa mimi siwezi 😂

  • @Mummyummymillions
    @Mummyummymillions Месяц назад +1

    Naisubil hio siku ya kutambulishana mniambie na mm nije kuona tukio mana 😂😂😂😂😜😜😜😜

  • @AishaRashid-z8k
    @AishaRashid-z8k Месяц назад

    uyu bwana ake maua mbon kafanan na criss outfits 😂😂

  • @MwanasitiHemed
    @MwanasitiHemed Месяц назад +3

    Great job 👍❤❤❤❤

  • @FredyBennymassawe
    @FredyBennymassawe Месяц назад +4

    Msicheleweshe sana jaman

  • @ElishaLoshilu
    @ElishaLoshilu Месяц назад +1

    Jaman hii ngoma noma 1:

  • @MuyamaMarrion
    @MuyamaMarrion Месяц назад +1

    Thank you brother we waiting number ten

  • @LovelyChocolateBonbons-ok2ww
    @LovelyChocolateBonbons-ok2ww Месяц назад +4

    Good job

  • @LovenessMgalila
    @LovenessMgalila Месяц назад

    Umetisha brother

  • @ShofaShofaa
    @ShofaShofaa Месяц назад

    Sem maua unaupig mwingi duh unachokitaft utakipat😅

  • @FaithJelimo-u2k
    @FaithJelimo-u2k Месяц назад +1

    Kazi nzuri sana kaka

  • @allyjumanne8711
    @allyjumanne8711 Месяц назад +2

    We jamaa una moyo sana 🙌🙌🙌🙌

  • @International_Bwoy
    @International_Bwoy Месяц назад +1

    Hoyaaah!! Wanaume Uyu Mwanamke Tumfanya Je? 😂

  • @Suzanbarnaba123
    @Suzanbarnaba123 Месяц назад +6

    Ila ka papii😂😂🙌

    • @Bamutumubaya
      @Bamutumubaya Месяц назад

      😂😂nimecheka, kenyewe kajinga, afu kanajiamini

  • @FauziaMohamedi
    @FauziaMohamedi 28 дней назад

    Duuuh hatr san noel n mwanaume mstarab san❤❤

  • @QUEENJoseph-kh6cb
    @QUEENJoseph-kh6cb Месяц назад +1

    Mambo ni moto😂😂😂

  • @faudhiaelmy
    @faudhiaelmy Месяц назад +1

    Jmn mnachelewesha sana jamn 😢

  • @neemakoi6635
    @neemakoi6635 Месяц назад

    Woow 😮🎉🎉 kazi nzuri sana❤❤❤ ila ongeze

  • @HappyFlower-xv7co
    @HappyFlower-xv7co Месяц назад +1

    Kwisha

  • @dorisjumwa
    @dorisjumwa Месяц назад

    Kaka kazi zuri san kama maua hasikii mm nko❤❤❤❤🌹🌹🙏

  • @NakiiWahabu
    @NakiiWahabu Месяц назад

    😅😅😅😅😅 mauwa tulia na mumewako achana na papi papi mwenyewe sura baya akusaidii ki2

  • @SophilineMwamburi
    @SophilineMwamburi Месяц назад

    ❤❤❤ naipenda sana movie jameni inamafunzo ni mengi sana

  • @CLEMENTNDOLE
    @CLEMENTNDOLE 7 часов назад

    Kama kweli wapo wanaume kama King basi ufalme wa Mungu ni wake.

  • @AliceIzike
    @AliceIzike Месяц назад

    Mungu wangu kungekuwa mwanaume kama king dunia itaweza kuwa nziri sana maua acha kutesa mume wako jamani acha

  • @MamuMary
    @MamuMary Месяц назад

    Sina mengi,, move Ina kitu Cha kujifunza,, Ila munatuweka na hamu Hadi natamani niigize mimi

  • @elvinakalu6991
    @elvinakalu6991 Месяц назад

    Hii ni kali l say,niuwe unamoyo wa chuma duh

  • @VictoriaKitaly-b2y
    @VictoriaKitaly-b2y Месяц назад

    🙆🏿‍♀️🙆🏿‍♀️🙆🏿‍♀️🙆🏿‍♀️🙆🏿‍♀️🙆🏿‍♀️mauwa!!! ...kwa kwwli ili game unalocheza mim siwez 😢😢

  • @FatemahFatemah-b3h
    @FatemahFatemah-b3h Месяц назад

    Mauwa unapepo la masuruali ,njoo 🇰🇪 kenya King nikupetipeti 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yako King kwa urinals wako

  • @HUSNANyosso
    @HUSNANyosso Месяц назад

    Duhhh pole sana kaka kwa changamoto ya ndoa, wanawake pepo tutaiona kwa jirani

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 Месяц назад

    Huyuuu jamaaa ywajua kuvumilia haki tena ni mgeda wawawa anabahati huyoo mauwa❤❤❤😂😂

  • @SabraMakame-b7i
    @SabraMakame-b7i Месяц назад

    Next please jmanii utamu munatukosesha fnyeni mutuwekee episode 10

  • @RhodaJacob-i4v
    @RhodaJacob-i4v Месяц назад

    Dah king Noel tunataman wakati episode Moja inamalizika nyingine isichukue mdaaa❤❤❤❤❤❤❤

  • @AripixeFoxezombie
    @AripixeFoxezombie Месяц назад +1

    Nyolimo ,,, sitawaii owa

  • @KHADIJAPeter-i9d
    @KHADIJAPeter-i9d Месяц назад

    Napenda sana mnatufudi sha❤❤❤❤

  • @yaledyesse
    @yaledyesse Месяц назад

    kali sana but mnachelewesha sana bhana Dah 💡🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Florence-hd2sj
    @Florence-hd2sj Месяц назад

    Mm sijaona kama matunda hebu mpeni maua🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅

  • @FrolaLukakamba-i6b
    @FrolaLukakamba-i6b Месяц назад

    Movie ,,IPO vizur tumeipenda ,,lakin tunaomba muwahishe kutoa mwendelezo tunasubir sana

  • @SofiaDodoma
    @SofiaDodoma Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂maua imeshindikan na piah imenishind tabia mwanamke gan we

  • @DanielDominico
    @DanielDominico Месяц назад

    Jmn. Hiii movie naielewa knoma yan bora hata nisile niangaliet ila mnafer kt kmoja mnachelewesha mwendelezo had tnaixhiwa ham kabisa

  • @MagrethAdam
    @MagrethAdam Месяц назад

    Amazing❤❤❤❤Ila usichelewe Kwa next episode king Noel

  • @EliufooMassawe
    @EliufooMassawe Месяц назад +2

    Mnachelewa sna jmn 😢😢

  • @IddiAbdi
    @IddiAbdi Месяц назад

    Tatizo ya muvi zenu mnasahau mlipo ixhia na mkaanzia pale pale zinaaza tofauti ili zipendeze anzieni pale pale mlipo ixhia

  • @clarapeter3271
    @clarapeter3271 Месяц назад +3

    Uyu demu kajikoroga pazur cku akijua atazimia

  • @HumphreydanielHumphreydaniel
    @HumphreydanielHumphreydaniel Месяц назад +1

    Kawimbo katam

  • @AaaAaa-s7e
    @AaaAaa-s7e Месяц назад +1

    Kiukweli mauwa anaudhi ila ni funzo

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid Месяц назад

    Dada mzuri lkn ana tabia za ajabu apenda kuzagamuliwa kinoma jmn

  • @Gsh-ov2ut
    @Gsh-ov2ut Месяц назад

    😂😂😂Plz king noely nakupenda aki 😢😢😢siuniowe mm