MISSION IMPOSSIBLE [50]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @NadineNdayikunda
    @NadineNdayikunda День назад +64

    Eti kisa mimi natokea Nchini Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 hamuwezi nipa like Kwel😢😢 big up saan chado Burundi twafatilia saan moviee tam kam hii

  • @TumaAhmad
    @TumaAhmad 2 дня назад +132

    Jojo hatutaki shobo tuachie bwana etu kitengo ni wetu team jau

    • @simplyphiney
      @simplyphiney 2 дня назад +2

      Kabsa, yaan hapa mm namzoom tu😂😂

    • @MwanaharusiShafii
      @MwanaharusiShafii День назад +1

      Hahhhhhh😂😂😂😂😂et kitengo wetu

    • @bettyluhanga6409
      @bettyluhanga6409 День назад

      Akae kwa kutulia

    • @MwanaishaChileta
      @MwanaishaChileta День назад

      Daah najuma usinichekeshe kumekucha sio

    • @FaidhaKado
      @FaidhaKado День назад

      Jamani Jojo mbona anataka kutuingilia kwa kidem jau wetu

  • @RashidOmary-c4g
    @RashidOmary-c4g 2 дня назад +114

    Tunamshukuru mungu kwa kumjalia chado masta afya njema pamoja na kundi lake mungu azidi kuwajali tena na tena bila kujisahau sisi watazamaji mungu atujalie kila lenye heli kwetu mungu tuepushe na mabaya km up namimi gonga like

  • @NasraJuma-b4v
    @NasraJuma-b4v 2 дня назад +44

    Nyie ivi vpande vya leo vnamafunzo zairi,,kuanzia kwamzee wamisumal kwanajima na JoJo,ilike❤❤makopa yenu❤❤

  • @ugenny125
    @ugenny125 2 дня назад +50

    Jaman na mim Leo niombe like tu maana mnawahi daah hat 10 bx af utae nipa like mungu akuzodixhie pale unapo fanya kazi❤❤

  • @annaki318
    @annaki318 2 дня назад +100

    Wangapi Leo Kidem Jau ametufanya tukumbuke tulivokua sekondari kidato Cha tatu
    Riwaya ya mama ntilie🎉

  • @EsmailSalimo-u8x
    @EsmailSalimo-u8x 2 дня назад +68

    Nimewai wa kwanza naomba like 10 tu
    CADODO🇲🇿🇲🇿

  • @ZaituniKiba
    @ZaituniKiba 2 дня назад +29

    napenda sana kazi zenuu chado films mnfany vtu bomba sanaaa❤😊

  • @hunterpictures3549
    @hunterpictures3549 2 дня назад +38

    Chado namuona ndani kanumba wakizazi hiki bro big up sana kazi yako ninzuri sana utafika mbali sana kaka❤

  • @TausRaj
    @TausRaj 2 дня назад +38

    Binafsi nampenda Mr manyonga😂😂😂😂😂anabonge la tarent pokea maua yko bro

  • @Akidiva-ih8yq
    @Akidiva-ih8yq 2 дня назад +37

    Isaac from Kenya 🇰🇪 kazi nzuri sana chado mastar

  • @AhmadAlaee-x1r
    @AhmadAlaee-x1r 2 дня назад +15

    Jojo hatutaki shobo kwa chado na manyonga hatutaki shobo kw kidem jau penz la chaei na kidem jau halivunjiki twalipend sanaaaaa❤❤❤❤❤❤

  • @SalmaSamiry
    @SalmaSamiry 2 дня назад +26

    Gavana stuka pumzi zimekata au nimeshakufa yani sisi ndo I like 👍 ❤ chado forever ♥️ 💖 ❤️

  • @MinnahRaj
    @MinnahRaj 2 дня назад +39

    Na wew mzee wa misumari utauponza kwa huyo manyonga

    • @nasrachimamy
      @nasrachimamy День назад +1

      Kbs

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 День назад

      😂😂😂

    • @MinnahRaj
      @MinnahRaj 21 час назад

      @@mohammedkidody5618 😆😆😆😆mana gafra tu linaagizwa hela nying hata kuogopa haliogopi

  • @PrivaSamson
    @PrivaSamson 2 дня назад +182

    Nimeanza kufatilia hiii move Toka epsom 1 Leo hiii ni epsom ya 50 sijawahi pata ha like 5😢😢😢

  • @peterphabian-l4z
    @peterphabian-l4z Час назад +1

    hii movie inafundisha kabisaa NAJMA BIG UP SANAA❤❤ wanaomkbali najma like zenu hapaaaa 😂😂

  • @getrudakimario885
    @getrudakimario885 2 дня назад +26

    Mpo vzr sana na tutajifunza mengi 🎉❤

  • @ElizabethDaudi-b6v
    @ElizabethDaudi-b6v 2 дня назад +64

    Maua siyo vitu vyangu😅mpelekee nyuki akatengeneze mizinga tupate asali nyingi😂😂 💪🔥 kwa Mr Chando🙌🎉🎉

    • @leladege1500
      @leladege1500 2 дня назад

      😂😂😂Nimecheka kwa kidem jau eti kumekucha ashaa jua Chado anatak nini

    • @MonaaOm
      @MonaaOm 2 дня назад

      😂😂😂😂 yani chado hachagui cha kumjibu mtu

  • @WizmanTiger-kp3pp
    @WizmanTiger-kp3pp 2 дня назад +122

    Tumuombee chado azidi kutuletea serius nzuri kama hizi piga Like za chado apa

    • @Rizikinassoro
      @Rizikinassoro День назад

      👌🌹❤️

    • @bettyluhanga6409
      @bettyluhanga6409 День назад

      Ila chado kwa nn anamficha ukweli jau kuusu ngwengwe

    • @WizmanTiger-kp3pp
      @WizmanTiger-kp3pp День назад

      @@bettyluhanga6409 CHADO ni baba mdogo wa ngwengwe kwa hyo siyo baba mzaz kwa maana chado alikua na kaka ake nd baba wa ngwengwe lakini Chado anamkubali sana najma ukiifatilia vzr serius

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 День назад

      Kabisa

  • @SohjrSamir
    @SohjrSamir День назад +11

    Sema kitengo na jojo wakiwa kama ndugu itanoga sana Big up sana chado master 😊

  • @Aaqwe-yi6qn
    @Aaqwe-yi6qn 2 дня назад +66

    Utakae soma sms hii Mwenyez Mungu akubariki sana

  • @jorammbughi4373
    @jorammbughi4373 2 дня назад +13

    Kweli kaka una ipenda kazi yako hutaki mashabik waumie una wasikiliza na kutimiza kile wanach kitaka your the best artist

  • @NowmeRzk
    @NowmeRzk 2 дня назад +19

    Wooooh nusuuuu nijikwaaaae hay mlikeeeee😂 team chado

  • @KipanyaKhamis-v1e
    @KipanyaKhamis-v1e 2 дня назад +18

    Wa kwnza leo mimi hapaa kutokaa ZANZIBAR NJEMA 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🙏🙏🙏

  • @BazzilDebwoy
    @BazzilDebwoy 2 дня назад +16

    Bazzil de Bwoy wakwanza jaman more likes

  • @Taus-t7p
    @Taus-t7p 2 дня назад +10

    Chado hongera sana kwa kazi nzuri, sy kwa kwa kufurahi huku ❤

  • @SalmaMasudi-w5t
    @SalmaMasudi-w5t 2 дня назад +12

    Bonge la movie jmn sema tu zinachelewa kutoka daaa❤❤❤❤❤❤

  • @SandraKhabeisa
    @SandraKhabeisa День назад +8

    Mpo vzr sana na tutajifunza mengi🎉❤❤❤❤

  • @FatumaSadala
    @FatumaSadala День назад +15

    Me mwenzio I like chado masta mungu akuongoze utuletee nzur zaid

  • @Zebuu-kp
    @Zebuu-kp 2 дня назад +44

    Unyama ni mwingi sana🎉🎉🎉

    • @JescaBeauty
      @JescaBeauty 2 дня назад +2

      Sanaaaaaa😂

    • @SalomeMhema
      @SalomeMhema 2 дня назад +2

      Tuko pamoja kp wetu 🎉🎉🎉🎉

    • @saidiadallah-ol8lh
      @saidiadallah-ol8lh День назад +2

      Dah Ivi ndio rejendari anatakiwa kua sio mbinafsi hongera KP

    • @SelinaDorcas
      @SelinaDorcas День назад +2

      Hiy ndio itakikana kp mungu akuzidishee Kwa kila hatua

  • @MohamedSurenge
    @MohamedSurenge 2 дня назад +17

    Daaah Chado master unajuwa sana wewe mkali❤❤❤❤❤

  • @allenkabambe223
    @allenkabambe223 2 дня назад +5

    KIDEM Jau leo anatufafanulia watoto wa mama ntilie kwa umakini kabsa😍😍

  • @YeriKahindi
    @YeriKahindi 2 дня назад +7

    Alafu chado bwana hauboeshi uko vizuri saana yaani bongezi mr🎉🎉🎉❤❤

  • @MissFreeda
    @MissFreeda 2 дня назад +8

    Waoooh kidemu Jau. Tupo shule Sasa tushukur Kwa kutukumbusha

  • @JamilaAbdallah-i4v
    @JamilaAbdallah-i4v 2 дня назад +10

    Dady we ni comedian sema tu hujijui 😂😂 eti sasa mbona mamaetu hakuwa mam ntilie

  • @AnnickNimpye
    @AnnickNimpye 2 дня назад +7

    Yaleo nimepnda kinom chado nimepnda kabs nakuomb usije kwaribu mambo tena naon manyonga kunakitu anakitafuta kabs uyo mteg uwupanguw vizur kabs ao isiw ndo ule mkubwa wak baba yak na ngwengw❤

  • @George-qk8fw
    @George-qk8fw 2 дня назад +7

    Chado mwamba nakukubali mwanangu round hii achia full movie ❤❤

  • @Naema-x7p
    @Naema-x7p 2 дня назад +24

    Heheheheheeehaloooooooo mjomba kanyoa leo da alihamdhullh kwapa jeupeeeeee😂😂😂😂😂😂cheusiiii ujambo chado uko juuu unajali watu wako shukrani kwa ilo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 День назад

      Comments zafanya kazi 😂😂

    • @TheresiaEmmanuel-nr3iu
      @TheresiaEmmanuel-nr3iu День назад

      😂😂😂 umenifanya nirudie duh

    • @Naema-x7p
      @Naema-x7p День назад

      @@aishaomar2287 😂😂😂😂

    • @Naema-x7p
      @Naema-x7p День назад

      @@TheresiaEmmanuel-nr3iu tenaa aki amenyoa leo ata mikono ameyiinua kwa nguvu zote 😂😂😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 День назад

      @@Naema-x7p na camera man nae akalengesha vizuri 😂 haki ya Mungu nmecheka

  • @MussaNassoro-j4i
    @MussaNassoro-j4i День назад +6

    Iko bomba movie nakubal kundi lote linafanya vizuri

  • @Zainab-vo2uz
    @Zainab-vo2uz 2 дня назад +4

    Jamani chado sijui kama utaleta muvi nzuri kama hii naipenda sana

  • @TausRaj
    @TausRaj 2 дня назад +4

    😂😂😂😂ila chado unamuonea Sana cheusi😂😂😂😂 Afu cheusi ni mwehuu mwehu sanaa etiii kimeanza mapenzi kimekua kidogo

  • @HappySilengi
    @HappySilengi 2 дня назад +16

    Chado amenifraisha sana yani❤❤❤❤🎉🎉 mpak mwanagu tumbo ka frai

  • @AdejaAhmad-uq4wj
    @AdejaAhmad-uq4wj День назад +3

    Safii sanaa. Nawapenda nyote hongereni sana ❤❤🎉🎉

  • @mwanafurahaali
    @mwanafurahaali 2 дня назад +112

    Chado always on top

  • @ZainabuColumba-j5d
    @ZainabuColumba-j5d 2 дня назад +5

    Mjomba ameyakanyaga kula ela zawatu 😀😀 uchumi umeyumba

  • @sylviaachieng5361
    @sylviaachieng5361 2 дня назад +16

    Yaani wewe cheusi muongo kweli kweli 😂😂😂😂😂

  • @TifaShey
    @TifaShey 2 дня назад +30

    Mnaoangalia hii series bila kulike sio vzurii😢 anglia kisha like,maana kwa uzuri huu wa series usipolike unashido😅

  • @MwaijaNjogomo
    @MwaijaNjogomo 2 дня назад +3

    Hongereni sana chado master na kuruu yako kwa ujumla mnatisha sana

  • @janeth673
    @janeth673 2 дня назад +13

    Ila cheusi 😂😂ila waongo ndo wanavyokuwaga kuongeza maneno

  • @NasraOmary-e3q
    @NasraOmary-e3q 2 дня назад +15

    Jamani namimi nimewai naombeni like zenu hata5🎉🎉🎉❤

  • @Barakahtz41
    @Barakahtz41 День назад +3

    Mzee wa uchumi ameyatimba kwa muhuni😂😂😂😂
    Full vybe😂😂😂😂

  • @Stogwa
    @Stogwa 2 дня назад +23

    WA kwanza Leo nipeni ata tano bass

  • @HamidHassan-c7f
    @HamidHassan-c7f 2 дня назад +8

    😂😂 Video queen bhnaaaaa ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MoxeKidato
    @MoxeKidato 2 дня назад +10

    Cheus anafany tuinjoy sana mission impossible ❤

  • @J74251
    @J74251 2 дня назад +2

    hiyo ndo mi i like sana yani chado hapepesi kabisa yuko katika misimamo yake nakukubali sana kaka🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉

  • @BeatriceMussa-y4b
    @BeatriceMussa-y4b День назад +5

    haya ally daddy kaingia kwenye mtego wa tajeeeeeri manyonga.... avamiwe na wez njian ashindwe kuaminika mwsho aambiwe namtaka najima 😂😂😂

    • @muniraamani535
      @muniraamani535 День назад

      Ndiooooo ww umewaza kama mimi yule mandonga sio mtu mzuri hata kidogo😢😢😢

    • @manyonga6940
      @manyonga6940 День назад +2

      @@muniraamani535Manyonga sio mandonga

    • @TullahSanga
      @TullahSanga День назад +1

      ataambiwaa kuwa iyo milioni ulopoteza ndy mahali an duuuh dady ww

  • @user-mariamkh
    @user-mariamkh 17 часов назад +1

    Alie chukunguza nywele za allydaddy zamea baada ya 5 nani😂😂😂😂 big fan bwana misumali

  • @MussaMatata-d7v
    @MussaMatata-d7v 2 дня назад +20

    Wakwanza jamani tunaomkubali chado tujuane..

  • @MarthaLiberathy
    @MarthaLiberathy 2 дня назад +4

    Jmn najma kanikumbusha shule Ila yupo vzr Sana 👍

  • @BucumiErick
    @BucumiErick 2 дня назад +3

    Tunashukuru mwenyezi mung inshallah allah atujalie.nimefurahi chado mstaa na maneno ameambia jojo kama anataka cheusi ni asema amufanyie muchongo

  • @sumailsumail9789
    @sumailsumail9789 2 дня назад +2

    Chado masta mungu akupe maisha marefu ili uzidi kutupa vitu vizuri❤

  • @hellenrobi5775
    @hellenrobi5775 2 дня назад +3

    Video 👑 aky anaumiza cheusi wee mapenzi ww🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Official-sj6kw
    @Official-sj6kw 2 дня назад +3

    😂😂nilivyo kimbilia imebaki kidog tu nianguke 😢ila nawapenda sana ❤mungu awabariki team chado

  • @MagrethNhanos
    @MagrethNhanos 2 дня назад +8

    Duh!! Nimechelewa kidogo 2 nimekuwa 6000 aaah htr jmn 😢😢😢

  • @brendanyanchama9547
    @brendanyanchama9547 18 часов назад +1

    Hii move ni nzuri sana nilianza jana but nimemaliza nimewafikia move tamu sana nipee like pia mm jamani

  • @VolkaZenda-xg1jl
    @VolkaZenda-xg1jl 2 дня назад +7

    Wa kwanza leooo uwiiii nafulaa2 jameni

  • @hassansijaona
    @hassansijaona День назад +2

    Kazi mzuri chado master uko vizuri sana kitengo

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 День назад +2

    Kwaiyo ngwengwe kashavuruga uko chado ajiandae kulea mjukuu❤

  • @SabbyLove-u4w
    @SabbyLove-u4w День назад +2

    Kidem jau kanikumbuxha kitambo jmn watoto wa mam ntilie cyo pw tulio kuw tuna I like kiswahili tujuane apo🎉🎉🎉🎉

  • @MinnahRaj
    @MinnahRaj 2 дня назад +10

    😂😂😂😂😂mwanaume wa kwanza kusema ana mpenzi, ila chado😂😂😂😂😂

    • @KhadijaSallum-b7l
      @KhadijaSallum-b7l 2 дня назад

      Umeon eeee😅😅😅😅😅

    • @MinnahRaj
      @MinnahRaj 2 дня назад +1

      @@KhadijaSallum-b7l katisha sana🤣🤣🤣🤣

    • @NajmaNgoni
      @NajmaNgoni 2 дня назад

      😂😂😂😂😂😂😂mbona wako wengi tu

    • @mubuyafrancis3979
      @mubuyafrancis3979 2 дня назад

      Mwanaume Muhuni 2 ndoanaweza kuwa na mwanamke mmoja tofauti na masharobar wamjini Wana madem kibao

    • @TausRaj
      @TausRaj 2 дня назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @WatuHuruTv
    @WatuHuruTv День назад +1

    Dah chad9 kweli masta tenaaah katuludisha shuleni kidato cha 3 na 4 mzeelomolomo daddy

  • @RahmaMaulidy-lm2gc
    @RahmaMaulidy-lm2gc 2 дня назад +3

    Kila siku inazidi kuwa fire, chado#kidemu jau#ngwengwe,cheusi,ngadaya❤❤❤

  • @arbanuskatua5667
    @arbanuskatua5667 2 дня назад +9

    Watching from Nairobi kenya

  • @davidmutiso7820
    @davidmutiso7820 2 дня назад +11

    Leo nmekuwa wa kwanza

  • @SwaumuIssa-s8m
    @SwaumuIssa-s8m День назад +3

    Jojo,bonge,cheusi kesho ntawchomoa kweny move yetu

  • @johnkalee
    @johnkalee 2 дня назад +10

    Sem cheusi anabalaa 😂

  • @twalhamussa3711
    @twalhamussa3711 16 часов назад +1

    Kile kidogo kina stress tangu kidogo kiko tumboni mwa mama ake gwe gwe uyo❤❤❤😂😂🎉

  • @ZajjatyAbedy
    @ZajjatyAbedy 2 дня назад +3

    Jamn video queen kampenda msela

  • @NassoroRupia
    @NassoroRupia 22 часа назад

    Nimejikuta2 natamani kuangalia muvie yenu binti upore wake umenivutia saana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MohamedMwanikwa
    @MohamedMwanikwa 2 дня назад +11

    Sasa jojo anataka nianze kununa huyu chado wako au😂😂 wa najma huyo mwacheeeee😅😅😅😅

  • @RizikiHamisi-tt3rs
    @RizikiHamisi-tt3rs День назад +1

    ❤❤❤chado master ..CD zako zipo Kenya kweli ...NatkA Kununua mm jamn😊

  • @kelvinmmila-5624
    @kelvinmmila-5624 2 дня назад +10

    Wakwaza mm leo🎉

  • @JashimHamza
    @JashimHamza День назад +2

    Nmpenda kaka Ake najm AP kweny umesma salut

  • @Thefavoriteayat
    @Thefavoriteayat 2 дня назад +7

    Jojo kazam kwa KITENGO 😂😂😂

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is День назад

    Mpo vzr sana mbarikiwe wahusika nawapenda sana.❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KhairuniSimba
    @KhairuniSimba 2 дня назад +10

    Kazi nzuri team chado

  • @ManoAnsso-f7c
    @ManoAnsso-f7c День назад

    Weze Wa Kazi Kazi Chado Masta Iyo Ndio I Like Iyo Chado Bro Piga Kazi Nzur Usingie Tamaa Nyingi
    Unafanya Vito Ambavyo Avieleweke

  • @AbiwaqsExpensiveboy
    @AbiwaqsExpensiveboy 2 дня назад +4

    Uwa hilo mpeleke nyuki ,watatengeneza mzimga mnne ya asali 😂😂😂 hio kauli nimeimind sana

  • @EdmondFilemon-nr9mr
    @EdmondFilemon-nr9mr 2 дня назад +4

    Nakubalisana sana from🇫🇰😮like hapa people

  • @MlondaniWilondja
    @MlondaniWilondja 2 дня назад +9

    Unyama sana kaka chado master

  • @aminielielias3395
    @aminielielias3395 День назад

    Chado mdogo wangu kazi zako nzuri kwa nn mnachelewesha episode.jipangani kwa ilo

  • @Bymavohustler
    @Bymavohustler 2 дня назад +8

    Mambo yako mpereng'e mpereng'e 🎉 ❤❤❤❤

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 2 дня назад +2

    Chado mshikaji wangu ninakupenda sitokubali ushindwe Pambana bro utaenda mbali saidi ya hapo🎉🎉🎉❤

  • @Mohamedsimb
    @Mohamedsimb 2 дня назад +5

    Chado anajua mpaka ana keraaaaq

  • @euniceruhiuchannel6074
    @euniceruhiuchannel6074 2 дня назад +2

    Cheusi ti😂 umbeya unao kweli😂

  • @DayanaSamuel
    @DayanaSamuel 2 дня назад +3

    Hivi Jojo mbona unataka kutuharibia penzi la kitengo na kidem jau jaman 😮😮

  • @AugustinhoManyangaunitedboetz3
    @AugustinhoManyangaunitedboetz3 2 дня назад +2

    Kubabake aii man we jamaa uo mtama unaompiga Uncle wako sio poa man 🎉🎉

  • @JacksonKombe-w9d
    @JacksonKombe-w9d 2 дня назад +12

    Wakwanza from kenya

  • @MwanashaGanzallah
    @MwanashaGanzallah День назад

    Cheusi 😂😂😂jamani....unaburudisha... I'm enjoying this from Kenya

  • @fatumajuma5848
    @fatumajuma5848 2 дня назад +3

    Kwa mara ya kwanza leo bonge na cheusi tiii wameambizana ukweli😅😅😅😅😅😅😅