Tunamshukuru mungu kwa kumjalia chado masta afya njema pamoja na kundi lake mungu azidi kuwajali tena na tena bila kujisahau sisi watazamaji mungu atujalie kila lenye heli kwetu mungu tuepushe na mabaya km up namimi gonga like
@@bettyluhanga6409 CHADO ni baba mdogo wa ngwengwe kwa hyo siyo baba mzaz kwa maana chado alikua na kaka ake nd baba wa ngwengwe lakini Chado anamkubali sana najma ukiifatilia vzr serius
Yaleo nimepnda kinom chado nimepnda kabs nakuomb usije kwaribu mambo tena naon manyonga kunakitu anakitafuta kabs uyo mteg uwupanguw vizur kabs ao isiw ndo ule mkubwa wak baba yak na ngwengw❤
Heheheheheeehaloooooooo mjomba kanyoa leo da alihamdhullh kwapa jeupeeeeee😂😂😂😂😂😂cheusiiii ujambo chado uko juuu unajali watu wako shukrani kwa ilo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Eti kisa mimi natokea Nchini Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 hamuwezi nipa like Kwel😢😢 big up saan chado Burundi twafatilia saan moviee tam kam hii
Poa mburundi 😂
Mburundi mwenzako apa
Jojo hatutaki shobo tuachie bwana etu kitengo ni wetu team jau
Kabsa, yaan hapa mm namzoom tu😂😂
Hahhhhhh😂😂😂😂😂et kitengo wetu
Akae kwa kutulia
Daah najuma usinichekeshe kumekucha sio
Jamani Jojo mbona anataka kutuingilia kwa kidem jau wetu
Tunamshukuru mungu kwa kumjalia chado masta afya njema pamoja na kundi lake mungu azidi kuwajali tena na tena bila kujisahau sisi watazamaji mungu atujalie kila lenye heli kwetu mungu tuepushe na mabaya km up namimi gonga like
Ameen
Amin
Nyie ivi vpande vya leo vnamafunzo zairi,,kuanzia kwamzee wamisumal kwanajima na JoJo,ilike❤❤makopa yenu❤❤
Kweliiiiiii❤❤
Jaman na mim Leo niombe like tu maana mnawahi daah hat 10 bx af utae nipa like mungu akuzodixhie pale unapo fanya kazi❤❤
Wangapi Leo Kidem Jau ametufanya tukumbuke tulivokua sekondari kidato Cha tatu
Riwaya ya mama ntilie🎉
😂LimoLimooo😅 on ze way
Eheee kumekucha
Dah mbali sana
duh na mm nimo aiseee
😂😂😂
Nimewai wa kwanza naomba like 10 tu
CADODO🇲🇿🇲🇿
napenda sana kazi zenuu chado films mnfany vtu bomba sanaaa❤😊
Chado namuona ndani kanumba wakizazi hiki bro big up sana kazi yako ninzuri sana utafika mbali sana kaka❤
Binafsi nampenda Mr manyonga😂😂😂😂😂anabonge la tarent pokea maua yko bro
Wew ni mm nampenda hatar😊😊
Anajuaga sana mimi pia namkubali
Kabisa yn anajuwa sana
Isaac from Kenya 🇰🇪 kazi nzuri sana chado mastar
Jojo hatutaki shobo kwa chado na manyonga hatutaki shobo kw kidem jau penz la chaei na kidem jau halivunjiki twalipend sanaaaaa❤❤❤❤❤❤
Gavana stuka pumzi zimekata au nimeshakufa yani sisi ndo I like 👍 ❤ chado forever ♥️ 💖 ❤️
Na wew mzee wa misumari utauponza kwa huyo manyonga
Kbs
😂😂😂
@@mohammedkidody5618 😆😆😆😆mana gafra tu linaagizwa hela nying hata kuogopa haliogopi
Nimeanza kufatilia hiii move Toka epsom 1 Leo hiii ni epsom ya 50 sijawahi pata ha like 5😢😢😢
Sasa ww like za nn ee em nambie 😅😅😅😅
Zakusafilia
hii movie inafundisha kabisaa NAJMA BIG UP SANAA❤❤ wanaomkbali najma like zenu hapaaaa 😂😂
Mpo vzr sana na tutajifunza mengi 🎉❤
Maua siyo vitu vyangu😅mpelekee nyuki akatengeneze mizinga tupate asali nyingi😂😂 💪🔥 kwa Mr Chando🙌🎉🎉
😂😂😂Nimecheka kwa kidem jau eti kumekucha ashaa jua Chado anatak nini
😂😂😂😂 yani chado hachagui cha kumjibu mtu
Tumuombee chado azidi kutuletea serius nzuri kama hizi piga Like za chado apa
👌🌹❤️
Ila chado kwa nn anamficha ukweli jau kuusu ngwengwe
@@bettyluhanga6409 CHADO ni baba mdogo wa ngwengwe kwa hyo siyo baba mzaz kwa maana chado alikua na kaka ake nd baba wa ngwengwe lakini Chado anamkubali sana najma ukiifatilia vzr serius
Kabisa
Sema kitengo na jojo wakiwa kama ndugu itanoga sana Big up sana chado master 😊
Utakae soma sms hii Mwenyez Mungu akubariki sana
Amiin thummah amiin nawe pia
@@raziakongani Amen 🤲
Amin kwa sote
Kweli kaka una ipenda kazi yako hutaki mashabik waumie una wasikiliza na kutimiza kile wanach kitaka your the best artist
Wooooh nusuuuu nijikwaaaae hay mlikeeeee😂 team chado
Wa kwnza leo mimi hapaa kutokaa ZANZIBAR NJEMA 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🙏🙏🙏
Atakae na aje😂❤
Bazzil de Bwoy wakwanza jaman more likes
Chado hongera sana kwa kazi nzuri, sy kwa kwa kufurahi huku ❤
Bonge la movie jmn sema tu zinachelewa kutoka daaa❤❤❤❤❤❤
Mpo vzr sana na tutajifunza mengi🎉❤❤❤❤
Me mwenzio I like chado masta mungu akuongoze utuletee nzur zaid
Unyama ni mwingi sana🎉🎉🎉
Sanaaaaaa😂
Tuko pamoja kp wetu 🎉🎉🎉🎉
Dah Ivi ndio rejendari anatakiwa kua sio mbinafsi hongera KP
Hiy ndio itakikana kp mungu akuzidishee Kwa kila hatua
Daaah Chado master unajuwa sana wewe mkali❤❤❤❤❤
KIDEM Jau leo anatufafanulia watoto wa mama ntilie kwa umakini kabsa😍😍
Alafu chado bwana hauboeshi uko vizuri saana yaani bongezi mr🎉🎉🎉❤❤
Waoooh kidemu Jau. Tupo shule Sasa tushukur Kwa kutukumbusha
Dady we ni comedian sema tu hujijui 😂😂 eti sasa mbona mamaetu hakuwa mam ntilie
Yaleo nimepnda kinom chado nimepnda kabs nakuomb usije kwaribu mambo tena naon manyonga kunakitu anakitafuta kabs uyo mteg uwupanguw vizur kabs ao isiw ndo ule mkubwa wak baba yak na ngwengw❤
Chado mwamba nakukubali mwanangu round hii achia full movie ❤❤
Heheheheheeehaloooooooo mjomba kanyoa leo da alihamdhullh kwapa jeupeeeeee😂😂😂😂😂😂cheusiiii ujambo chado uko juuu unajali watu wako shukrani kwa ilo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Comments zafanya kazi 😂😂
😂😂😂 umenifanya nirudie duh
@@aishaomar2287 😂😂😂😂
@@TheresiaEmmanuel-nr3iu tenaa aki amenyoa leo ata mikono ameyiinua kwa nguvu zote 😂😂😂😂
@@Naema-x7p na camera man nae akalengesha vizuri 😂 haki ya Mungu nmecheka
Iko bomba movie nakubal kundi lote linafanya vizuri
Jamani chado sijui kama utaleta muvi nzuri kama hii naipenda sana
😂😂😂😂ila chado unamuonea Sana cheusi😂😂😂😂 Afu cheusi ni mwehuu mwehu sanaa etiii kimeanza mapenzi kimekua kidogo
Chado amenifraisha sana yani❤❤❤❤🎉🎉 mpak mwanagu tumbo ka frai
Hhhhhhhh
Hongera sana
Safii sanaa. Nawapenda nyote hongereni sana ❤❤🎉🎉
Chado always on top
Ohooooo anasikitisha mahna
Ofcouse big up❤🎉
Kwen itakuwa anamta chado
Mjomba ameyakanyaga kula ela zawatu 😀😀 uchumi umeyumba
Yaani wewe cheusi muongo kweli kweli 😂😂😂😂😂
Yn Muongoo sa hv mpaka ana boaaa😂😂😂
Muongo na mbea😂😂😂
Mnaoangalia hii series bila kulike sio vzurii😢 anglia kisha like,maana kwa uzuri huu wa series usipolike unashido😅
❤❤😂😂kumekucha 😂😂
😂😂😂
@@vyukusengelarifa1453 ewaah😂
Hongereni sana chado master na kuruu yako kwa ujumla mnatisha sana
Ila cheusi 😂😂ila waongo ndo wanavyokuwaga kuongeza maneno
Jamani namimi nimewai naombeni like zenu hata5🎉🎉🎉❤
Mzee wa uchumi ameyatimba kwa muhuni😂😂😂😂
Full vybe😂😂😂😂
WA kwanza Leo nipeni ata tano bass
😂😂 Video queen bhnaaaaa ❤❤❤🎉🎉🎉
Cheus anafany tuinjoy sana mission impossible ❤
hiyo ndo mi i like sana yani chado hapepesi kabisa yuko katika misimamo yake nakukubali sana kaka🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
haya ally daddy kaingia kwenye mtego wa tajeeeeeri manyonga.... avamiwe na wez njian ashindwe kuaminika mwsho aambiwe namtaka najima 😂😂😂
Ndiooooo ww umewaza kama mimi yule mandonga sio mtu mzuri hata kidogo😢😢😢
@@muniraamani535Manyonga sio mandonga
ataambiwaa kuwa iyo milioni ulopoteza ndy mahali an duuuh dady ww
Alie chukunguza nywele za allydaddy zamea baada ya 5 nani😂😂😂😂 big fan bwana misumali
Wakwanza jamani tunaomkubali chado tujuane..
Jmn najma kanikumbusha shule Ila yupo vzr Sana 👍
Tunashukuru mwenyezi mung inshallah allah atujalie.nimefurahi chado mstaa na maneno ameambia jojo kama anataka cheusi ni asema amufanyie muchongo
Chado masta mungu akupe maisha marefu ili uzidi kutupa vitu vizuri❤
Video 👑 aky anaumiza cheusi wee mapenzi ww🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂nilivyo kimbilia imebaki kidog tu nianguke 😢ila nawapenda sana ❤mungu awabariki team chado
Duh!! Nimechelewa kidogo 2 nimekuwa 6000 aaah htr jmn 😢😢😢
Hii move ni nzuri sana nilianza jana but nimemaliza nimewafikia move tamu sana nipee like pia mm jamani
Wa kwanza leooo uwiiii nafulaa2 jameni
Kazi mzuri chado master uko vizuri sana kitengo
Nawakubali sana❤❤
Kwaiyo ngwengwe kashavuruga uko chado ajiandae kulea mjukuu❤
Kidem jau kanikumbuxha kitambo jmn watoto wa mam ntilie cyo pw tulio kuw tuna I like kiswahili tujuane apo🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂mwanaume wa kwanza kusema ana mpenzi, ila chado😂😂😂😂😂
Umeon eeee😅😅😅😅😅
@@KhadijaSallum-b7l katisha sana🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂mbona wako wengi tu
Mwanaume Muhuni 2 ndoanaweza kuwa na mwanamke mmoja tofauti na masharobar wamjini Wana madem kibao
😂😂😂😂😂😂
Dah chad9 kweli masta tenaaah katuludisha shuleni kidato cha 3 na 4 mzeelomolomo daddy
Kila siku inazidi kuwa fire, chado#kidemu jau#ngwengwe,cheusi,ngadaya❤❤❤
Watching from Nairobi kenya
Leo nmekuwa wa kwanza
Jojo,bonge,cheusi kesho ntawchomoa kweny move yetu
Sem cheusi anabalaa 😂
Kile kidogo kina stress tangu kidogo kiko tumboni mwa mama ake gwe gwe uyo❤❤❤😂😂🎉
Jamn video queen kampenda msela
Nimejikuta2 natamani kuangalia muvie yenu binti upore wake umenivutia saana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sasa jojo anataka nianze kununa huyu chado wako au😂😂 wa najma huyo mwacheeeee😅😅😅😅
😅😅😅😅
❤❤❤chado master ..CD zako zipo Kenya kweli ...NatkA Kununua mm jamn😊
Wakwaza mm leo🎉
Nmpenda kaka Ake najm AP kweny umesma salut
Jojo kazam kwa KITENGO 😂😂😂
Mpo vzr sana mbarikiwe wahusika nawapenda sana.❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri team chado
Weze Wa Kazi Kazi Chado Masta Iyo Ndio I Like Iyo Chado Bro Piga Kazi Nzur Usingie Tamaa Nyingi
Unafanya Vito Ambavyo Avieleweke
Uwa hilo mpeleke nyuki ,watatengeneza mzimga mnne ya asali 😂😂😂 hio kauli nimeimind sana
Nakubalisana sana from🇫🇰😮like hapa people
Unyama sana kaka chado master
Chado mdogo wangu kazi zako nzuri kwa nn mnachelewesha episode.jipangani kwa ilo
Mambo yako mpereng'e mpereng'e 🎉 ❤❤❤❤
😂
Chado mshikaji wangu ninakupenda sitokubali ushindwe Pambana bro utaenda mbali saidi ya hapo🎉🎉🎉❤
Chado anajua mpaka ana keraaaaq
Cheusi ti😂 umbeya unao kweli😂
Hivi Jojo mbona unataka kutuharibia penzi la kitengo na kidem jau jaman 😮😮
Kubabake aii man we jamaa uo mtama unaompiga Uncle wako sio poa man 🎉🎉
Wakwanza from kenya
Cheusi 😂😂😂jamani....unaburudisha... I'm enjoying this from Kenya
Kwa mara ya kwanza leo bonge na cheusi tiii wameambizana ukweli😅😅😅😅😅😅😅