MZEE MASATU:AMVAA ALLY KAMWE,SIMBA KUFUNGWA BAO 6 MISRI| SHEREHE NI MOJA TU SIMBA DAY |V.A.R IMEFIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 21

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад +4

    SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ WAKALI WA KARIAKOO

  • @ZubedaAlly-k9y
    @ZubedaAlly-k9y Месяц назад

    Safi sana mzee masatu❤❤❤❤❤

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 Месяц назад

    VAR apewe Osman kaz

  • @MohamedHaji-i4k
    @MohamedHaji-i4k Месяц назад

    Uyu mzee ana akili kubwa sana

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Месяц назад +3

    Masatu umeuliza swali Zur sana nani atakuwa anaiongoza hiyo V A R hiyo

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 Месяц назад

    Wanashindwa kufata Yao

  • @adrianorayner6551
    @adrianorayner6551 Месяц назад +1

    Mwandishi unazingua acha mtu aongee unadakia dakia nini ? Kuwa professional basi

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 Месяц назад

    Hizo 5G za mchongo 😂 chama vs nonga vs aljiga vs manula

  • @drallan6879
    @drallan6879 Месяц назад

    wazee WA bahasha yanga vAR itawaumbua!

  • @makamesaid9137
    @makamesaid9137 Месяц назад

    Huyu mzee mgonjwa
    Umefungwa 6 utangaze nini?

  • @hamadbakar7091
    @hamadbakar7091 Месяц назад

    Wambie mzee said wasenge tu hao yanga

  • @frankjohn2425
    @frankjohn2425 Месяц назад +1

    UBAYA UBWELA INU

  • @makamesaid9137
    @makamesaid9137 Месяц назад

    Hata hizo 5G tulizowapiga pia mtasema mumeo ewa huyu mzee atakufa kwa presha SIMBA BADO MBOVU

    • @akimAkimuWA-m3t
      @akimAkimuWA-m3t Месяц назад

      Mbonamumepigwa 5 tena tuliwapiga 6 mbonamumepigwapigwasanaaa

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад

    Sasa mngekuwa mnamhoji mzee said, huyo unayemhoji mpira uko kushoto.

    • @roberttagaya9098
      @roberttagaya9098 Месяц назад

      Huyu mzee Masatu hamupendi kwakua hana shobo ya kuisifia utopolo fc kama anavyo fanya mzee Said na Miraji Maramoja?

  • @JenniferMjie
    @JenniferMjie Месяц назад

    Zeee linazeeka vibaya😅

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 Месяц назад +1

      mumezoea vya bure kwani unakili toka lini shabiki wa yanga akawa na akili

  • @drallan6879
    @drallan6879 Месяц назад

    wameenda ikwiriri kufusta majini

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick Месяц назад

    Ahmed gundu

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Месяц назад

    Huyu mzee mpira unampita kushoto! VAR hata huku ulaya kuna utata ktk maamuzi! Kufungwa mtafungwa tu! Kwani Yanga na Mamelodi ilikuawje! Huyu babu mpeni shule ya mpira, aache ushabiki! Anaanza kutafuta visingizio! 😂😂😂kacha uchawi,kaingia VAR Lkn haangalii matatizo ya uongozi wa timu yake yalipo matatizo