HAMAS waiomba URUSI ishawishi kuundwa kwa serikali ya mpito ya Palestina

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 79

  • @znzmawaidh8702
    @znzmawaidh8702 6 часов назад +12

    Allah awaongoze dungu zetu Palestina amiin

    • @joshuajohn8533
      @joshuajohn8533 4 часа назад +2

      Ameshindwa kuwalinda dhidi ya Mungu wa Israel

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman2035 6 часов назад +11

    Allah awafanyie wepesi

  • @MikelSitoe
    @MikelSitoe 6 часов назад +13

    Mungu awa jaalie wa Palestina, wa pate u huru wao

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 6 часов назад

      Wewe ndio Mkristo mwenye Akili timamu Mungu azidi kukubariki maana hauna Akili kama ya hawa wayahudi WEUSI wanaodhani vita ya palestina na ISRAEL ni vita ya kidini

    • @ZayyanaBamuni
      @ZayyanaBamuni 6 часов назад

      Amyn

    • @paschalmartin9598
      @paschalmartin9598 6 часов назад +1

      ​@@saleemsuleiman2220kisa kawaunga mkono hamas huu ni upuuzi kabisa

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 4 часа назад

      ​@@paschalmartin9598 acha upumbavu na ww pande zote vita sio nzuri sio kwamba nani kamuungabmkono nani jinga 🚮

    • @mesaidikazungu4299
      @mesaidikazungu4299 Час назад

      Amiin.

  • @apostlemussaonlinetv
    @apostlemussaonlinetv 5 часов назад +6

    Urus ninani kwa Israeli

  • @mohamedaley5632
    @mohamedaley5632 5 часов назад +6

    Watetea haki ni kawaida kusaidiana panapohitajika msaada... Viva Putin viva Hamas

    • @AGM19697
      @AGM19697 4 часа назад +3

      Kwa hapo Putin sio kafiri

    • @AGM19697
      @AGM19697 4 часа назад +1

      Kwa hapo Putin hana tena hadhi ya kafiri

    • @mohamedaley5632
      @mohamedaley5632 Час назад

      @@AGM19697 ninachozungumzia mm na ww huon kama ni tofaut

  • @AmmielNzala-fu4xu
    @AmmielNzala-fu4xu 4 часа назад +5

    Wamwmgeukia urusi na sio alla tena😂😂😂😂 huyo urusi mchumba tu naye

  • @DatiusExavely
    @DatiusExavely 4 часа назад +2

    Hamas wamekumbuka shuka kumekucha kwani waliposhinda uchaguzi 2007 Israel ilienda kupigana nao?.Israel si waliwaacha wakaona ni watu wa maana wanataka Amani mpaka Waparestine waakaanza kuajilia nchini Israel, kiburi kiliwaponza Israel imekwisha sema Hamas atatawala tena gaza .Hamas waiombe Urus iwashirikishe kwenye Mkoa wa Donibas urusi iliouchukua Ukrein sio pale.Oktoba 7walichokitafuta wamekipata.

  • @MailesSezero-l4c
    @MailesSezero-l4c 6 часов назад +4

    Wanakumbuka shuka wakati kumekucha, Israel hatamaliza vita had ajihakikishie ardhi ya Gaza anaitawala. Unajua ukisikiliza kwa makn Israel anthem (hatikvah) ndo utaelewa dhumun la vita

    • @MikelSitoe
      @MikelSitoe 6 часов назад

      @@MailesSezero-l4c huwo mpango waku itawala Gaza kweli upo, Lakini haita kuwa Laisi kama wa navio panga hao, kwa sababu Dunia ita kuja kua choka hao wa zayuni na hao Wata vamiwa kinguvu

    • @DevZone1089
      @DevZone1089 5 часов назад

      @@MikelSitoe Kabisa, itafika hatua Palestine watapata Haki zao... historia inatufunza ku predict future.. kama alivyofeligi German. Basi Israel Kwa namna yyt atafeli na kuiacha PL iwe taifa huru

    • @FaustineRichard-kk5xt
      @FaustineRichard-kk5xt 5 часов назад

      @@MikelSitoeHapo ndipo utakuwa mwisho wa ulimwengu.

    • @MikelSitoe
      @MikelSitoe 5 часов назад +1

      @@FaustineRichard-kk5xt mwisho wa ulimwengu kwa sababu israel haja fanikiwa ku iteka Gaza? kwani mbona nchi nyingi zi me jalibu kutawala nchi za watu na zika feli na uwo haukuwa mwisho wa Dunia..

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 5 часов назад

      Israel haitaweza hilo jambo

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu 4 часа назад +1

    Mahmoud abbasi ulikosea pale ukiacha kutambua hamas wakati inaanza

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 4 часа назад +1

    Jambo zuri🔥🔥

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 4 часа назад +2

    Haki itasimama tu❤

  • @DAVIDKISWAGA
    @DAVIDKISWAGA Час назад +1

    Ila hata kama mkitetea Hawa jamaa ni magaidi ndiyo maana hata mwarabu mwenzao utruki anawashamulia huko sirya leo tu kauwa watu zaidi ya kumi na zaidi vipi muisrael asiwapige? Na Kuwaita magaidi?

  • @fathers19991
    @fathers19991 3 часа назад

    Urusi aweza taka kupigana na Israeli Mahana wapo wengi Russia

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 4 часа назад

    Abassi ndo adui wenu mnamkumbatia tena 😂😂😂 dalili ya kushindwa

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 5 часов назад

    Haiwezekani kidipromasia wambie waongee kijeshi hapo saw

  • @paschalmartin9598
    @paschalmartin9598 6 часов назад +2

    Hamas wanafikiri israel itaiogopa Urusi?

    • @e11said23
      @e11said23 5 часов назад +1

      Izrail hamas imeshinda wewe unasema urusi tena lala yote tena

    • @paschalmartin9598
      @paschalmartin9598 5 часов назад

      @@e11said23 hamas imeshinda nini? Wakati gaza imekuwa majivu viongozi wa hamas wameuawa wote na israel imetawala gaza yote nyie mmebaki kulia lia kuhusu wapalestina

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 5 часов назад +2

      Wewe unahisi israil haimuogopi urusi?

    • @paschalmartin9598
      @paschalmartin9598 4 часа назад

      @@salumabdallah2990 kwanini waislamu mnamuonaga urusi kama mtume wenu

    • @fathers19991
      @fathers19991 3 часа назад +1

      Urusi awezi taka vita na Israel Mahana wapo wengi kule

  • @spearnyondo4590
    @spearnyondo4590 4 часа назад

    Putin atakufa tu uko israel .......... Ukraine tuu ni shida kwake

  • @saleemsuleiman2220
    @saleemsuleiman2220 6 часов назад +1

    Urusi ni Lidude likubwa

    • @omondiowino7875
      @omondiowino7875 6 часов назад +2

      Israel hatishiki hata na Urusi...na Hilo wazo la Palestine kuwa nchi huru ilishapitwa na wakati...

    • @DevZone1089
      @DevZone1089 5 часов назад

      @@omondiowino7875 Naona jasusi wa kiyahudi unaijibia Jeshi la israeli si ndiyo?

  • @raymrash
    @raymrash 5 часов назад +1

    😂😂😂...sasa haya mapatano ya amani mlikuwa wapi kuyaanzisha

    • @AhmedAli-x8w9e
      @AhmedAli-x8w9e 5 часов назад

      Chokoo tu ww kafiri ww

    • @raymrash
      @raymrash 4 часа назад +3

      @@AhmedAli-x8w9e mtu mtukanaji ni moja ya makafiri... hiyo ndio tafsiri kwa mujibu wa biblia wewe ndo KAFIRI

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 Час назад

      ​@AhmedAli-x8w9e
      Kafiruna mkubwa mkubwa wewe😂😂😂😂

  • @lodricophd728
    @lodricophd728 6 часов назад

    We jamaaa kubali bn hatutaki ilo lisauti

    • @hopechidera
      @hopechidera 3 часа назад

      Me hata simfuatiliagi yaan nikiskia tu sauti yake huwa naskip video tu...

  • @omondiowino7875
    @omondiowino7875 6 часов назад +2

    Hamas wanadhani Israel anatishika na Urusi...sasa hicho ni kitu kisichowezekana kwa sasa... Arafat mwenyewe alikataa na Hamas siku zote lengo lao sio Westbank bali ni nchi nzima..."from the river to the sea" ....wakipewa Westbank watasema sasa wanataka Jerusalem nzima ....

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 6 часов назад +3

      Innalillah mtihan😢😢

    • @DevZone1089
      @DevZone1089 5 часов назад +2

      wewe uliona mpango wao au ndo una ruka na news za online??

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 5 часов назад

      Unaujua mkataba na azimio la umoja wa mataifa wa 1967 kuhusu maeneo ya mipaka ya Palestine na mji wao MKUU au unaongea TU? Mji MKUU ni Jerusalem mashariki

    • @omondiowino7875
      @omondiowino7875 5 часов назад

      @@DevZone1089 wewe hapa uko wapi kama si online

    • @omondiowino7875
      @omondiowino7875 5 часов назад

      @@paschalcharles3617 Hamas wanataka nchi nzima...kama Arafat angekubali mkataba Leo hii Palestine ingekuwa nchi huru tokea kitambo sana