Wewe ndio Mkristo mwenye Akili timamu Mungu azidi kukubariki maana hauna Akili kama ya hawa wayahudi WEUSI wanaodhani vita ya palestina na ISRAEL ni vita ya kidini
Hamas wamekumbuka shuka kumekucha kwani waliposhinda uchaguzi 2007 Israel ilienda kupigana nao?.Israel si waliwaacha wakaona ni watu wa maana wanataka Amani mpaka Waparestine waakaanza kuajilia nchini Israel, kiburi kiliwaponza Israel imekwisha sema Hamas atatawala tena gaza .Hamas waiombe Urus iwashirikishe kwenye Mkoa wa Donibas urusi iliouchukua Ukrein sio pale.Oktoba 7walichokitafuta wamekipata.
Wanakumbuka shuka wakati kumekucha, Israel hatamaliza vita had ajihakikishie ardhi ya Gaza anaitawala. Unajua ukisikiliza kwa makn Israel anthem (hatikvah) ndo utaelewa dhumun la vita
@@MailesSezero-l4c huwo mpango waku itawala Gaza kweli upo, Lakini haita kuwa Laisi kama wa navio panga hao, kwa sababu Dunia ita kuja kua choka hao wa zayuni na hao Wata vamiwa kinguvu
@@MikelSitoe Kabisa, itafika hatua Palestine watapata Haki zao... historia inatufunza ku predict future.. kama alivyofeligi German. Basi Israel Kwa namna yyt atafeli na kuiacha PL iwe taifa huru
@@FaustineRichard-kk5xt mwisho wa ulimwengu kwa sababu israel haja fanikiwa ku iteka Gaza? kwani mbona nchi nyingi zi me jalibu kutawala nchi za watu na zika feli na uwo haukuwa mwisho wa Dunia..
Ila hata kama mkitetea Hawa jamaa ni magaidi ndiyo maana hata mwarabu mwenzao utruki anawashamulia huko sirya leo tu kauwa watu zaidi ya kumi na zaidi vipi muisrael asiwapige? Na Kuwaita magaidi?
@@e11said23 hamas imeshinda nini? Wakati gaza imekuwa majivu viongozi wa hamas wameuawa wote na israel imetawala gaza yote nyie mmebaki kulia lia kuhusu wapalestina
Hamas wanadhani Israel anatishika na Urusi...sasa hicho ni kitu kisichowezekana kwa sasa... Arafat mwenyewe alikataa na Hamas siku zote lengo lao sio Westbank bali ni nchi nzima..."from the river to the sea" ....wakipewa Westbank watasema sasa wanataka Jerusalem nzima ....
Unaujua mkataba na azimio la umoja wa mataifa wa 1967 kuhusu maeneo ya mipaka ya Palestine na mji wao MKUU au unaongea TU? Mji MKUU ni Jerusalem mashariki
Allah awaongoze dungu zetu Palestina amiin
Ameshindwa kuwalinda dhidi ya Mungu wa Israel
Allah awafanyie wepesi
Allahumma amyn
Allah Ni Nani?
Mungu awa jaalie wa Palestina, wa pate u huru wao
Wewe ndio Mkristo mwenye Akili timamu Mungu azidi kukubariki maana hauna Akili kama ya hawa wayahudi WEUSI wanaodhani vita ya palestina na ISRAEL ni vita ya kidini
Amyn
@@saleemsuleiman2220kisa kawaunga mkono hamas huu ni upuuzi kabisa
@@paschalmartin9598 acha upumbavu na ww pande zote vita sio nzuri sio kwamba nani kamuungabmkono nani jinga 🚮
Amiin.
Urus ninani kwa Israeli
Another fool
Watetea haki ni kawaida kusaidiana panapohitajika msaada... Viva Putin viva Hamas
Kwa hapo Putin sio kafiri
Kwa hapo Putin hana tena hadhi ya kafiri
@@AGM19697 ninachozungumzia mm na ww huon kama ni tofaut
Wamwmgeukia urusi na sio alla tena😂😂😂😂 huyo urusi mchumba tu naye
Muoaji nani?
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Elewaa tatzo unachuki ondoa chuki elekea demokrasia
Hamas wamekumbuka shuka kumekucha kwani waliposhinda uchaguzi 2007 Israel ilienda kupigana nao?.Israel si waliwaacha wakaona ni watu wa maana wanataka Amani mpaka Waparestine waakaanza kuajilia nchini Israel, kiburi kiliwaponza Israel imekwisha sema Hamas atatawala tena gaza .Hamas waiombe Urus iwashirikishe kwenye Mkoa wa Donibas urusi iliouchukua Ukrein sio pale.Oktoba 7walichokitafuta wamekipata.
Wanakumbuka shuka wakati kumekucha, Israel hatamaliza vita had ajihakikishie ardhi ya Gaza anaitawala. Unajua ukisikiliza kwa makn Israel anthem (hatikvah) ndo utaelewa dhumun la vita
@@MailesSezero-l4c huwo mpango waku itawala Gaza kweli upo, Lakini haita kuwa Laisi kama wa navio panga hao, kwa sababu Dunia ita kuja kua choka hao wa zayuni na hao Wata vamiwa kinguvu
@@MikelSitoe Kabisa, itafika hatua Palestine watapata Haki zao... historia inatufunza ku predict future.. kama alivyofeligi German. Basi Israel Kwa namna yyt atafeli na kuiacha PL iwe taifa huru
@@MikelSitoeHapo ndipo utakuwa mwisho wa ulimwengu.
@@FaustineRichard-kk5xt mwisho wa ulimwengu kwa sababu israel haja fanikiwa ku iteka Gaza? kwani mbona nchi nyingi zi me jalibu kutawala nchi za watu na zika feli na uwo haukuwa mwisho wa Dunia..
Israel haitaweza hilo jambo
Mahmoud abbasi ulikosea pale ukiacha kutambua hamas wakati inaanza
Jambo zuri🔥🔥
Haki itasimama tu❤
Insha'Allah
Ila hata kama mkitetea Hawa jamaa ni magaidi ndiyo maana hata mwarabu mwenzao utruki anawashamulia huko sirya leo tu kauwa watu zaidi ya kumi na zaidi vipi muisrael asiwapige? Na Kuwaita magaidi?
Urusi aweza taka kupigana na Israeli Mahana wapo wengi Russia
Abassi ndo adui wenu mnamkumbatia tena 😂😂😂 dalili ya kushindwa
Haiwezekani kidipromasia wambie waongee kijeshi hapo saw
Hamas wanafikiri israel itaiogopa Urusi?
Izrail hamas imeshinda wewe unasema urusi tena lala yote tena
@@e11said23 hamas imeshinda nini? Wakati gaza imekuwa majivu viongozi wa hamas wameuawa wote na israel imetawala gaza yote nyie mmebaki kulia lia kuhusu wapalestina
Wewe unahisi israil haimuogopi urusi?
@@salumabdallah2990 kwanini waislamu mnamuonaga urusi kama mtume wenu
Urusi awezi taka vita na Israel Mahana wapo wengi kule
Putin atakufa tu uko israel .......... Ukraine tuu ni shida kwake
Urusi ni Lidude likubwa
Israel hatishiki hata na Urusi...na Hilo wazo la Palestine kuwa nchi huru ilishapitwa na wakati...
@@omondiowino7875 Naona jasusi wa kiyahudi unaijibia Jeshi la israeli si ndiyo?
😂😂😂...sasa haya mapatano ya amani mlikuwa wapi kuyaanzisha
Chokoo tu ww kafiri ww
@@AhmedAli-x8w9e mtu mtukanaji ni moja ya makafiri... hiyo ndio tafsiri kwa mujibu wa biblia wewe ndo KAFIRI
@AhmedAli-x8w9e
Kafiruna mkubwa mkubwa wewe😂😂😂😂
We jamaaa kubali bn hatutaki ilo lisauti
Me hata simfuatiliagi yaan nikiskia tu sauti yake huwa naskip video tu...
Hamas wanadhani Israel anatishika na Urusi...sasa hicho ni kitu kisichowezekana kwa sasa... Arafat mwenyewe alikataa na Hamas siku zote lengo lao sio Westbank bali ni nchi nzima..."from the river to the sea" ....wakipewa Westbank watasema sasa wanataka Jerusalem nzima ....
Innalillah mtihan😢😢
wewe uliona mpango wao au ndo una ruka na news za online??
Unaujua mkataba na azimio la umoja wa mataifa wa 1967 kuhusu maeneo ya mipaka ya Palestine na mji wao MKUU au unaongea TU? Mji MKUU ni Jerusalem mashariki
@@DevZone1089 wewe hapa uko wapi kama si online
@@paschalcharles3617 Hamas wanataka nchi nzima...kama Arafat angekubali mkataba Leo hii Palestine ingekuwa nchi huru tokea kitambo sana