ZABURI YA TOBA // TAMKA MANENO HAYA KATIKA MAOMBI YA UTAKASO
HTML-код
- Опубликовано: 10 сен 2024
- Zaburi 51:1-19
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
God is really and faithfully guy who read this comment keep your faith in Jesus name thank you
Eee mungu naomba unisamehe dhambi zangu na makosa yote, nitakase kwa damu ya yesu gusa familia yangu watoto wangu watakase kwa damu ya yesu. Nipo moyo wa kusali kila mda.
E yesu wangu nisamehe dhambi zangu baba uliehai nifunte kwenye kitabu Cha dhambi nipe wokovu wako baba nitakase Kwa damu yako amen🙏🙏
Unisamehe Uovu Wangu Wote Unitakase kwa Damu Yako Ya Samani Pamoja Na watoto wangu Asante yesu
Eee Mungu wa israeli naomba ukayafute makosa yangu kutoka mbele ya uso wako, kwa rehema zako unitakaze kwa damu unioshe kwa hishopo nami ntakuwa mweupe kuliko theluji AMEN
Eeeh munugu baba mwenyez napenda kukushukuru kwa baraka na neema unazonipa kila siku naomba uwalinde watu muhimu kwangu na wote dunia wawez kukujua kuwa wewe ni Alfa na omega❤
Naomba ROHO mtakatifu anisaidie kubadilisha maisha yangu bila ww YESU mm siwezi 🙏
Asante yesu kwakutu Wezesha kumaliza week hii salama utukufu ni wako na nguvu na ueza na eshima sasa na hata milele amen 🙏
Emungu nakuomba unisamehe Zambi zangu toze jina rangu uriandike kwakitabo cha uzima amen halleluyah asante yesu kwakira jambo🙌🙌🙌🙌
Naomba maobezi ya kufutiwa makosa yanga Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏👏🙏🙏
Mungu naomba msamaha juu ya makosa yangu, dhambi zangu, kaondoe mikosi, laana, baraa na nguvu ya kuto KUFANIKIWA kaniondolee shida,ziki,tabu na mateso. Kanikutanishe na watu ambao wanaweza kuinua maisha yangu juu watakao peleka maisha yangu juu kabisa kimaendeleo, kiuchumi, kibiashara yoyote ambayo naenda kufungua katika jina la yesu mwana wa mungu uliye juu ameeeni
Eee Mungu naomba roho wako mtakatifu anisaidie abadilishe maisha yangu ktk jina la Yesu kristo kwa sababu bila wewe Mungu siwezi baba naomba unsaidie
Forgive me Lord , for every sin I have committed, Kwa mawazo , Kwa maneno na vitendo, na dhambi zenye nimetenda nikasahau pia nisamehe. Thank you Jesus
Asante mtumishi natamani nikisoma Biblia nielewe nakutana na mistairi mizuri yakutia moyo ila siwezi kuweka kumbu kumbu YESU nisaidie
Ee mungu naomba unisameh dhambi zangu na makosa Yang niliyo yateda mwaka huu pia mungu naomba unipe moyo WA kumsamhe na niwena moyo WA imani na kujua mungu 😢 🤲🤲🤲🤲🤲🙏
Nirehemu Bwana wangu
Mwenyezi Mungu siri ya macho yeti na miyoyo yeti ni wewe una Jua ,tunaomba msamaha wake na rehema zako ziwe pamoja nasi ,utukunzwe wewe tu,Baba wa mbinguni
🙏🙏🙏nakushukur yesu Kwa kuachilia utetezi kwenye maisha yanguuu
Eee BWANA wangu naomba uninyanyuwe uniweke mahari panapo sifa na fazir zako uniongoze nitembee na wewe siku zote za maisha yangu unifundishe kuliishi neno lako na kulitendea kazi sawasawa na mapenzi yako ubarikiwe mno mtumishi wa MUNGU🙏🙏🙏🙏
Amen
Niponye Bwana Yesu na zambi ya kusengenya, uongo na roho ya wivu. Nimejaribu kuacha nimeshindwa naitaji maombi ya nguvu za ROHO MTAKATIFU. nimeelewa sana naomba msahada wa maombi mtumishi ili Mungu asinipe katika kipindi hiki ya maombi ya siku 30
Ninakushukuru ee mungu wangu kwa kunifikisha sku ya leo,naomba usinipite bwana unitakase kwa damu yako,na ikumbuke familia yangu uturehemu
Niko 🇨🇩 mutumishi wa mungu aksanti sana na mafundisho yote amene
Najiunganisha na madhabahu Kwa jina la la yesu
Mungu nisamehe dhambi zangu , ufute jina langu kwenyeblitabu cha mauti uniandike kwa litabu cha uzima, nakukaribisha katika moyo wangu, mataka nifanane nawe yesu wangu
Almighty Heavenly Father forgive all my sins with my beloved Family with your bloody and your Holy Spirit in JESUS'S NAME AMEN AMEN AMEN AND AMEEEN
Mungu atusameshe Zambi zetu bilayeye hatuwezi kyokyote
Ee Mungu nisaidie maisha yangu yabadilike nishi upendo Mungu mmi nakufatilia nikiwa Saudi Arabia nMungu akubariki
Usikie maombi yangu,mkono wako una nguvu BWANA wangu
MUNGU AKUTIE NGUVU MWANANGU. UMEKUWA MWL KWANGU. NAOMBA NIJUWE KUOMBA KWA MSAADA WAKO,
Yesu nisamehe ..nisamehe sana bwana wa majeshi
Amina
Ewe Mwenyezi Mungu ni samehe dhambi zangu note
Nasikia vizuri mtumishi wa Mungu asante sana ubarikiwe kwa maombi
Thanks God for your love, forgive me my sins😢🙏🙏
Ee Mungu unirehemu mimi na uniumbie moyo safi🙏
Amen and Amen
Eee Mungu naomba unibadirisheee niwezee kuendlea na haya maombii
Amen amen amen.
Ee mungu naomb unisameh dhambi zang zot nilizozitend kwa kujua na kwa kutokujua nimekuj kwak nikijua me mkosefu naomb msamahn wak bab
Nitie nguvu ewe mungu wa elia nitakase kwa damu yako takatifu uniongoze ee bwana
Bwana Yesu nichunguze afya ya roho yangu niponye magonjwa ya kimwili na kiroho nakutumainia wewe daktari mkuu Yesu Kristo
Amen Mungu awabariki sana🙏🙏🙏
Sophia 😢❤
Ameni hakika mungu umwema siku zote
Njoo Bwana Bwana Yesu kwenye maisha yangu
Amina Amina, MUNGU nizaidir
Mungu nakuja mbele zako naomba nisaidie
Eee mwenyezi mugu nisamehe zambi zangu na wasaidie wajukuu wangu watakase na washushie roho mtakatifu
Baba naomba unifutiye makosa yangu nayale ya familiya yangu
Asante baba kwanifikisha siku yeguine ninaomba unipatiye baraka jema nitembehe nabaraka juyako baba Amen
Nakusikiya vizuri sana pstr kutoka saudia Africa 🙏🙏
Asante Sana Mtu wa YESU kwa mafundisho Yako Bora Sana. Nakupata vizuri toka Endasaki Katesh Je namnay
Namba ya kufunga no ipi,,,,???Hass kwa Wazee was umri makubwa ,,!!!!
Amen amen
Amen najiugamanisha mm na watoto wangu emungu tusaidie kupitia maombi haya ya kufutwa makosa yesu nigute niwe mpya kwako😢😢😢😢🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Eee yesu nisaidie na mm nifutie dhamb zangu zote na nipe moyo Wa kukupenda ww peke ang siwez
AMEN
ASANTE YESU KWA UKOMBOZI
Asante sana barikiwa sanaaaana ❤ alelluyah
Leo Namuomba Mungu anibadilishe anitakase
Amen 🙏
Naellewa baba mtumishi
Asante Mungu kwa siku nyigine naomba Samahani anisamehe mimi na family yangu ee bwnaa mungu
Asant mung kwa kufika Hadi siku ya Leo endelea kututia nguvu mpaka kumaliz mfungo
Nakusikia Toka (mombassa) nakusikia vizuri mtumishi
Asante nakupata vzr nkiwa Oman Asante mtumish mungu akubalikie sana
MUNGU wangu naomba ufalme wako uje kwenye ndoa yangu na watoto wetu na uchumi wetu in Jesus name
Niko zambia na kusikia muzuri sana
Asante YESU KRISTO Kwa Neno lako kupitia Mtumishi wako Mchungaji wako Innocent Mashauri , mjaze moto maombi na maono ile aendelee kutulisha Neno lako sisi kondoo wako .... Ameeen 🔥🔥🔥🔥
God bless pastor innocent mshauri
@@etonaabwe5318katika jina la Yesu Amen amen
Ee Bwana Kwa mkono wako uninyanyue uniweke panapo nafasi. Unifutie makosa yangu pamoja na wanangu. Unipe nguvu ya kukutukuza na kukusifu na kutangaza wema wako ili watu wakujue. Roho mtakatifu niongoze nipe nguvu ya kutembea bila kuchoka na Mungu
Ee MUNGU niumbie moyo sagi
Hii nyimbo inaitwaje pastor Innocent na je naipataje
Mungu wangu naomba unikumbuke matiza maisha yangu na familia yangu
Eee YESU nisaidie
Ameen 🙏🙏🙏🙏
Amen asante mungu
Asante yesu
Nakufata toka Congo Bukavu
Asate YESU Kwa chakula cha KiRoho
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU ♥️
Naku.sikiliza.mutumishi.wa.mungu.ni.kiwa.saudi.arebya
naku sikiliza mtu wamungu vizuri nikiwa kenya
Asante mungu
Nakusikia vizuli
Nakusikia vizuri sana mm niko kenya.
Amen 🎉
Asante roho mtakatifu
Ameeeen YEHOVA nijalie nirusuku unioshe na damu yako hili kutimiza maono yako utunze familia yangu ee YEHOVA kwa neema baba usinipite unifunze jia zako
Sophia 🎉❤
Nakuomba Unichunge We Bwana Wangu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤🤲🤲🤲
Ee Mungu wangu naomba hakika nikuone na nipe Nguvu ya kukutafuta Kwa bidii Kwa Afya ya Roho yangu
Kenya nasikia
Nakusikia toka Egypt
Amen and Amen and Amen and thanks to Jesus connected from Kenya
Ameen mungu naomba unisamee zambi zangu zote nilizo wai kufanya naomba unisamee sana jina lako litukuzwe milele Amina
Amen Mungu akubariki mtumishi nakupata vizur ni kiwa Kenya mombasa
Halleluya jina la BWANA YESU lisifiwe milele.
🙏🙏🙏🙏
Amen,,,,nabadilika kwa jina la YESU,,,,,ila hasira za haraka zinanishinda,,,,,,sipendi mtu anichukize ,,,yesu nisaidie