VITUNGUU SWAUMU EKARI MOJA FAIDA MILIONI 40 MIEZI 4 VANILLA VILLAGE NJOMBE 0629300200

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Vanilla village kilimo cha vanila ,kilimo cha parachichi ,kilimo vitunguu swaumu.unalipa fedha unalimiwa uakabidhiwa faida na mtaji,vanilla vilage kuna mandhari nzurii kiutalii maporomoko ya water silence falls ,lavanilla hoteli na vanilla view inayowavutia saana wengi

Комментарии • 44

  • @OliverMhema
    @OliverMhema 2 месяца назад

    Asanteni sana kwa kujitolea kutupa elim nzuri kama iyo na mungu awabariki

  • @harunisimkonda6873
    @harunisimkonda6873 2 месяца назад

    Kazi nzuri,kwa kutoa elimu hii

  • @amashapatrick211
    @amashapatrick211 3 года назад +1

    Mbegu inapatikanaje kwa eka unatakiwa kupanda mbegu kiasi gan mnauza shingapi

  • @funnyVids_001
    @funnyVids_001 2 года назад +4

    Wasanii sana hawa jamaa.. epuka matapeli

  • @sabrinasaleh-xe9ei
    @sabrinasaleh-xe9ei 5 месяцев назад

    Good idea

  • @yolandaliyoya1839
    @yolandaliyoya1839 2 года назад

    Hongereni sana

  • @lawrenciamkolwe796
    @lawrenciamkolwe796 2 года назад +2

    Mbegu ipi zuri pia Mimi Nina bonde kubwa nataka nilime je soko lipo wapi pia mtaji shingapi mpaka kuvuna

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 Год назад +2

    Yani Raha yangoma uingie uchezee 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ShaabaniRamadhani-i6i
    @ShaabaniRamadhani-i6i 5 месяцев назад +1

    Je kama mm nipo nje ya mkoa wa njombe nikiwa nkiwa na zao hilo soko ntalipataje

  • @MagenLucas
    @MagenLucas 7 месяцев назад +1

    Naomba nambazenu

  • @nashonjoel20
    @nashonjoel20 2 месяца назад

    Kigoma, Buhigwe kuna BARIDI kama NJOMBE, je Saumu inaweza kubali wilayani hapa?

  • @streetshot8963
    @streetshot8963 2 года назад

    Nyie watu mna lugha za kilaghai Sana. Mmetangazia watu vanilla faida hafi milioni kwa kilo kumbe uongo watu wamewekeza wamepata hasara sasahivi mmeiacha vanilla mmehamia vitunguu na parachichi tena

  • @williamshenyagwa6658
    @williamshenyagwa6658 Год назад

    Superb

  • @tadeusimlimakifi4676
    @tadeusimlimakifi4676 Год назад

    Namba zenu

  • @joycekatangwa8263
    @joycekatangwa8263 2 года назад +2

    Nikitaka kuwekeza hiyo ekari moja gharama ni shilingi ngapi?

  • @gracebenjamin6564
    @gracebenjamin6564 Год назад

    Kama nahitaji kulima natakiwa niandae sh. Ngapi hadi mavuno?

  • @harunisimkonda6873
    @harunisimkonda6873 2 месяца назад

    Naweza kupata namba kwa mawasiliano zaidi

  • @dunstanbalthazary9444
    @dunstanbalthazary9444 2 года назад +2

    Wewe unayeongea kupata milioni 40 una milioni ngapi umepata ? Acheni kuwadanganya wakulima kilimo kina changamoto sio kirahisi kihivyo wote tungekuwa mabilionea acheni kauli za waganga wa kienyeji kukufanya kuwa tajili wakati yeye ni masikini anapigia hesabu ela zako

  • @yolandaliyoya1839
    @yolandaliyoya1839 2 года назад

    Nitajitahidi nilime

  • @emmanuelbenjamin4186
    @emmanuelbenjamin4186 3 года назад

    Tunawapataje

  • @yolandaliyoya1839
    @yolandaliyoya1839 2 года назад

    Mtanisaidiaje jamani niko tayari kulima

  • @hafidhikassim8675
    @hafidhikassim8675 2 года назад

    Gharama ya kulima ekari 1, kiasi gani?

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 Год назад

    Naomba namba zenu

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 Год назад

    Tunaomba namba yenu

  • @egbertruhasha6841
    @egbertruhasha6841 2 года назад

    Tunaomba contact zenu

  • @raheemaathumani8663
    @raheemaathumani8663 2 года назад

    Naomba contact zenu nataka nilime njombe

  • @gilbercarlo325
    @gilbercarlo325 2 года назад

    Tuwe na aibu jamani miezi mitatu milioni ngapi hahahaaaa

    • @njbtv2982
      @njbtv2982  2 года назад

      😀😀😀😆😀😀😀😀😀😁

  • @marrymauki2147
    @marrymauki2147 3 месяца назад

    Niliwekeza tangu mwaka juzi, kwenye Vanilla, karanga, lan,g lang Vitunguu saumu nilitakiwa kuna vitunguu saum mwez wa 2 mwaka jana lkn naendelea kupigwa kalenda mpaka Leo cjui hatma yangu . Vanilla na Lang lang ilikuwa tuvune mwaka jana mwez WA 12 Mkurugenxi ukimpigia haupokei cm. Bac hata WEWE unaetangaza bac tujibuni wateja wenu. Turidhike.😂😂😂😂😂.

    • @njbtv2982
      @njbtv2982  3 месяца назад

      Mimi nilipenda kuandika tu HABARI sijui chochote nakushaur kama unadocument naenda court

  • @dixonmalaki4826
    @dixonmalaki4826 2 года назад

    Naomba ur contacts

    • @bickosteven3485
      @bickosteven3485 Год назад

      Matapeli hawa

    • @blackfire6208
      @blackfire6208 Год назад

      Mm mkulima waivo vi2 ila milion 40 uwongo ekal 1

    • @angelmlay4173
      @angelmlay4173 Месяц назад

      ​@@blackfire6208naomba no yako

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 17 дней назад

      Ekari unapata shilingi ngapi?​@@blackfire6208

  • @lawrenciamkolwe796
    @lawrenciamkolwe796 2 года назад

    Naomba namba zenu