VITUNGUU SWAUMU EKARI MOJA FAIDA MILIONI 40 MIEZI 4 VANILLA VILLAGE NJOMBE 0629300200
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Vanilla village kilimo cha vanila ,kilimo cha parachichi ,kilimo vitunguu swaumu.unalipa fedha unalimiwa uakabidhiwa faida na mtaji,vanilla vilage kuna mandhari nzurii kiutalii maporomoko ya water silence falls ,lavanilla hoteli na vanilla view inayowavutia saana wengi
Asanteni sana kwa kujitolea kutupa elim nzuri kama iyo na mungu awabariki
Kazi nzuri,kwa kutoa elimu hii
Mbegu inapatikanaje kwa eka unatakiwa kupanda mbegu kiasi gan mnauza shingapi
Wasanii sana hawa jamaa.. epuka matapeli
Jaribu ,,mimi naamini ila ni mtaji tu
Kilimo kinahitaji mtaji sana,la sivyo utaona ni utapeli
Good idea
Hongereni sana
Mbegu ipi zuri pia Mimi Nina bonde kubwa nataka nilime je soko lipo wapi pia mtaji shingapi mpaka kuvuna
Yani Raha yangoma uingie uchezee 🤣🤣🤣🤣🤣
Je kama mm nipo nje ya mkoa wa njombe nikiwa nkiwa na zao hilo soko ntalipataje
Naomba nambazenu
Kigoma, Buhigwe kuna BARIDI kama NJOMBE, je Saumu inaweza kubali wilayani hapa?
Nyie watu mna lugha za kilaghai Sana. Mmetangazia watu vanilla faida hafi milioni kwa kilo kumbe uongo watu wamewekeza wamepata hasara sasahivi mmeiacha vanilla mmehamia vitunguu na parachichi tena
Superb
Namba zenu
Nikitaka kuwekeza hiyo ekari moja gharama ni shilingi ngapi?
Kama nahitaji kulima natakiwa niandae sh. Ngapi hadi mavuno?
Naweza kupata namba kwa mawasiliano zaidi
Wewe unayeongea kupata milioni 40 una milioni ngapi umepata ? Acheni kuwadanganya wakulima kilimo kina changamoto sio kirahisi kihivyo wote tungekuwa mabilionea acheni kauli za waganga wa kienyeji kukufanya kuwa tajili wakati yeye ni masikini anapigia hesabu ela zako
Hulazimishwii kulima
Ngoja mm nikalime nanasi
Nitajitahidi nilime
Tunawapataje
Mtanisaidiaje jamani niko tayari kulima
Gharama ya kulima ekari 1, kiasi gani?
Naomba namba zenu
Tunaomba namba yenu
Tunaomba contact zenu
Naomba contact zenu nataka nilime njombe
0622467223
Soko Hilo liko wapi jamani
Tuwe na aibu jamani miezi mitatu milioni ngapi hahahaaaa
😀😀😀😆😀😀😀😀😀😁
Niliwekeza tangu mwaka juzi, kwenye Vanilla, karanga, lan,g lang Vitunguu saumu nilitakiwa kuna vitunguu saum mwez wa 2 mwaka jana lkn naendelea kupigwa kalenda mpaka Leo cjui hatma yangu . Vanilla na Lang lang ilikuwa tuvune mwaka jana mwez WA 12 Mkurugenxi ukimpigia haupokei cm. Bac hata WEWE unaetangaza bac tujibuni wateja wenu. Turidhike.😂😂😂😂😂.
Mimi nilipenda kuandika tu HABARI sijui chochote nakushaur kama unadocument naenda court
Naomba ur contacts
Matapeli hawa
Mm mkulima waivo vi2 ila milion 40 uwongo ekal 1
@@blackfire6208naomba no yako
Ekari unapata shilingi ngapi?@@blackfire6208
Naomba namba zenu