#1 USIPUUZE NDOTO HIZI MWAKA 2022 SEH 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 янв 2022
  • Angalia sehem ya Pili kwa kubonyeza hapa
    • #2 USIPUUZE NDOTO HIZI...
    Sehemu ya tatu bonyeza
    • #3 USIPUUZE NDOTO HIZI...

Комментарии • 122

  • @mahindiumakinisa4732
    @mahindiumakinisa4732 3 месяца назад

    Ee YESU naona aman moyoni Asante sana

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 2 года назад +7

    Asante sana Pastor nampenda sana huu Mungu Baba yangu. the way he does talk to me. I humble myself to my God

  • @hellenmcharo6495
    @hellenmcharo6495 2 года назад +4

    Mshahara ni madawa ya kulevya ninayopewa na mwajiri ili nisahau ndoto zangu 😭😭😭. This hits me so differently, Mungu wangu naomba nisaidie niukomboe wakati

    • @mauricejuma8487
      @mauricejuma8487 2 года назад +1

      Sio wewe tu rafiki Yani hiyo kauli imenipa funzo nafanya kazi lakini nawaza sana kufanya yangu

    • @hellenmcharo6495
      @hellenmcharo6495 2 года назад +1

      @@mauricejuma8487 😭😭😭

    • @aminakabuka8700
      @aminakabuka8700 7 месяцев назад

      How

  • @gideongisabu6085
    @gideongisabu6085 2 года назад +2

    Mchungaji Mungu azidi kukupatia maisha marefu, ninachangamito ya kifamilia Ila kwa Iman ya bwana wetu kristo nitashinda mniombee

  • @divvanajohnson4895
    @divvanajohnson4895 2 года назад +4

    Ukidhaminii kidogoo trust me sikuzote mungu anakuongezea zaidi ninao ushuhuda, Ila kutoa ndio Kila kitu

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 2 года назад +2

    Amen kabsaa alarm ya Mungu ipo,ila tunaipuuza naomba urejesho wa kimungu in Jesus mighty name Amen 🙏

  • @hellenmcharo6495
    @hellenmcharo6495 2 года назад

    AMEN mtumishi wa Mungu. Tabia zangu zimuakisi Kristo ili niwe barua ya wazi inayosomwa na watu wote.

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 2 года назад +2

    Mungu atusaidie baba....natamani sana niachane na mshahara nifanye mambo yangu ila sioni namna yakujinasua...Maombi yako baba ili nipate kutoka hapa....barikiwa sana

  • @salumkalulu-de1md
    @salumkalulu-de1md Год назад

    Ni kweli pasta Mungu na atusaidie

  • @magwewilliam5307
    @magwewilliam5307 2 года назад +1

    fantastic

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 года назад +2

    Amina!! Nimwangalie Yesu kwa kila kitu

  • @theresearcheronlinetv3649
    @theresearcheronlinetv3649 Год назад

    Hapo pa kufasiriwa ndoto! Mwokaji
    Mimi ningemwambia Yusufu Niombee kwa Mungu wako hukumu ibatilishwe!!!…

  • @marsellah9295
    @marsellah9295 7 месяцев назад

    Mungu nisadie niukombee mda

  • @divvanajohnson4895
    @divvanajohnson4895 2 года назад +1

    Very true ni Kwa neema tuu ya bwana YESU MUNGU atupe nguvu ya kumpenda na kumtafuta Kwa hiiii, utukufu Kwa MUNGU ALIE JUU HALLELUJAH AMEN

  • @alleoo273
    @alleoo273 2 года назад

    Mungu amenipa kibali leo kufatilia mahubiri na mafundisho ya bibilia kwa muda wa msaa3si kawaida yangu kila nikitaka kuangalia hua napata usiingizi asante Mungu nimebarikiwa sn pia nimejifunza vitu vikubwa barikiwa mtumishi

  • @maryandrew5204
    @maryandrew5204 2 года назад +1

    Ameni barikiwa Sana mtumish, hili SoMo naona limenilenga kwa kiasi furan, hasa kumsogelea mtu nisie mjua, pia ndoto nyingi naota nazini Ila Sina ata mpenzi ndoto hizi sielewi

  • @salomekemunto8217
    @salomekemunto8217 Год назад

    Amina

  • @dinnakasika6377
    @dinnakasika6377 2 года назад

    Napataga Imani sana nikisikiliza mahubiri yako,Mwe/Mungu akuongoze Sana.

  • @florencenekesa8243
    @florencenekesa8243 2 года назад +3

    Amen amen🙏🙏🙏

  • @stephenkiio2603
    @stephenkiio2603 2 года назад +2

    Funzo nzuri sana

  • @mutangajohn3689
    @mutangajohn3689 2 года назад

    Asante sana mchungaji ubarikiwe sana . MUNGU atulinde katika inchi ya CONGO .

  • @hylinemoraa9948
    @hylinemoraa9948 2 года назад

    Amina am ever blessed na your teachings

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 2 года назад +1

    Amen be blessed pastor

  • @Briansimiyu254
    @Briansimiyu254 2 года назад

    Amen 😊😊🇰🇪

  • @johnhaule7863
    @johnhaule7863 2 года назад +1

    Amen

  • @deboraobey9570
    @deboraobey9570 2 года назад

    Ameen mchungaji uzidi kubarikiwa maana nimebarikiwa na neno

  • @kabuwoorutasi418
    @kabuwoorutasi418 2 года назад +4

    Najifunza mengi kupitia hii channel. Mungu akubariki sana pastor 🙏🙏

  • @catherinekaliuntu4784
    @catherinekaliuntu4784 2 года назад

    Ni kwa neema ya mungu kuwa jinsi nilivyo

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад

    éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @msilanganashon5330
    @msilanganashon5330 2 года назад

    Bwana yesu asifiwe mahubiri mazuri

  • @oliviershadrack1620
    @oliviershadrack1620 2 года назад +1

    ubarikiwe muchungaji

  • @enithanelson8418
    @enithanelson8418 2 года назад

    Aminaaa! Pastor

  • @mukamasongo6209
    @mukamasongo6209 2 года назад

    Barikiwa mchungaji Mbaga. Kazi yako tunaiona

  • @kissanselu8569
    @kissanselu8569 2 года назад

    Amen pr Mmbaga

  • @divvanajohnson4895
    @divvanajohnson4895 2 года назад +1

    I can't wait for part two

  • @estermwakyeja3195
    @estermwakyeja3195 2 года назад

    Amina mtumishi naomba maombi yako

  • @idonelameck3443
    @idonelameck3443 2 года назад

    Amen. Nabarkiwa kwakweli

  • @juharazanzi997
    @juharazanzi997 2 года назад

    Amina mchungaji
    Mungu azidi kukubariki

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 2 года назад

    Amen, Mungu akubariki sana pastor

  • @benedictojakobo4425
    @benedictojakobo4425 2 года назад

    Asante sana mchungaji kwa masomo aya ubatikiwe Sanaa

  • @aidaa8253
    @aidaa8253 2 года назад

    AMEN MTUMISHI UBARIKIWE

  • @nahimanamana9532
    @nahimanamana9532 2 года назад +1

    Ameeen

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 года назад

    Mchungaji Mungu akubariki nakuombea upone mafua

  • @konardariri9266
    @konardariri9266 2 года назад +1

    MUNGU akutie nguvu sana

  • @rebekalaurent3665
    @rebekalaurent3665 2 года назад

    amina nabarkiwa sana na mahubiri

  • @vailethkinabo7961
    @vailethkinabo7961 2 года назад

    Amen Amen

  • @marymoses8771
    @marymoses8771 2 года назад

    Aminaaa. Ubarikiwe

  • @marymaina6003
    @marymaina6003 2 года назад

    Amen and Amen 🙏

  • @gracesamson924
    @gracesamson924 2 года назад

    Ameeeen,Ameeen kubwaa

  • @jovinusalex4066
    @jovinusalex4066 2 года назад

    Barikiwa san pastor

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 2 года назад

    POLE SANA MAFUA HAYO YAKASHINDWE KWA JINA LA YESU MUNGU AKUPONYE HARAKA

  • @rwasamanzikanyindi6319
    @rwasamanzikanyindi6319 2 года назад +1

    Barikiwa sana kwa somo zuri.

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 года назад

    Mungu akubariki Mtumishi

  • @halimaamuli1978
    @halimaamuli1978 2 года назад

    Naomba maombi yako yamponye mama yangu ambae amesumbuliwa na maumivu ya miguu kwa muda mrefu

  • @khaldn7409
    @khaldn7409 2 года назад

    Amina mchungaji

  • @wemambonge2948
    @wemambonge2948 2 года назад

    Amina baba

  • @konardariri9266
    @konardariri9266 2 года назад

    Amen and Amen

  • @mzeeniwewe136
    @mzeeniwewe136 2 года назад

    Amen 🙏🙌🙏

  • @rodenyiandrea4473
    @rodenyiandrea4473 2 года назад

    Pastor ubarikiwe

  • @YouMovie4
    @YouMovie4 2 года назад

    Mchungaji Bwana asifiwe napenda kuuliz kuhusu hapo kwenye kuongeleshwa na Mungu Mimi mara KWA mara naweza mkumbuka mtu fulani na siku hiyo lazima aje nyumbani ama nikutane naye njiani na ninaweza kukaa na mtu na nikasikia kuwa utafanya Jambo fulani na muda huo huo nateuliwa kufanya Hilo Jambo naam hii hali niitambueje au niisimamieje kwa kujua kuwa ni ya Mungu ama

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  2 года назад +1

      Hiyo ni nguvu tuliyo umbwa nayo. Ijapokuwa kuna wakati Mungu anaitumia kuongea nasi

  • @sifagubandja1589
    @sifagubandja1589 2 года назад

    Ameeeeen pasta

  • @liliannyarinda5528
    @liliannyarinda5528 2 года назад

    Amen 🙏🙏

  • @menancestephano3199
    @menancestephano3199 2 года назад

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @lenatidagabriel8352
    @lenatidagabriel8352 2 года назад

    Pr.ipo ck ntakuona Tuongee. MUNGU akutunze.

  • @kinsman-mx6qh
    @kinsman-mx6qh Месяц назад

    AMINA MTUMISHI

  • @janethnyabisi8617
    @janethnyabisi8617 2 года назад

    Amen 🙏

  • @puritychogoro
    @puritychogoro 2 года назад

    Hallelujah

  • @simonmahozi777
    @simonmahozi777 2 года назад

    Ubarikiwe

  • @tirzajoshua9592
    @tirzajoshua9592 2 года назад

    Amen🙏🙏

  • @zabronjoseph6028
    @zabronjoseph6028 2 года назад

    God bless you

  • @o.g.6f.m.l284
    @o.g.6f.m.l284 2 года назад +1

    Nambar ya simu

  • @hawachriss9675
    @hawachriss9675 2 года назад

    ubarikiwe mchungaji

  • @salimahlokoh9699
    @salimahlokoh9699 2 года назад

    Ameeeen

  • @jeannekatembe6396
    @jeannekatembe6396 2 года назад

    Mungu akubariki na barikiwaga sana ivi ninavyo kufatiliya nimerudiya tena kuisikiliza hii kwa mara tena yaani hata ni sivyo sikiliza sina amani. Mimi ni mcristu ila ninavyo kufatiliya naona naelewa neno lamungu. Please naitaji angalau ni pate namba yako ya sim nikaelewe zaidi. Amen 🙏

  • @isangasamatini217
    @isangasamatini217 2 года назад +1

    Anima

  • @judithmoturi3402
    @judithmoturi3402 2 года назад +1

    True be blessed pastor 🙏

  • @philesombongi5793
    @philesombongi5793 2 года назад +2

    Amen God bless you pastor David am blessed and l learned alot keeped up 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ellenmbota1241
    @ellenmbota1241 2 года назад +1

    Amen amen

  • @roseiyongolo9224
    @roseiyongolo9224 2 года назад +1

    Asante nahitaji namba yako ya simu,,,ni mara ya kwanza nakusikia hata jina sikufahamu,,

  • @israellaiton4670
    @israellaiton4670 2 года назад

    Be blessed servant of God.

  • @loisagracesamuelmpangala5429
    @loisagracesamuelmpangala5429 2 года назад

    Tunatokaje hapo maana tumeshatumbukia huko

  • @jacklineasseri9508
    @jacklineasseri9508 2 года назад

    🙏🙏🙏

  • @dfinafriga9863
    @dfinafriga9863 2 года назад

    🙏

  • @margaretwachira6871
    @margaretwachira6871 2 года назад +1

    Be blessed man of God, the message has inspired me

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад

    Mmeanza utapeli wenu kwa kutumia dini

  • @LoFi_120
    @LoFi_120 2 года назад +2

    31:08-
    Mithali 11:29_Ataabishaye nyumba yake mwenyewe ataurithi upepo; mpumbavu atakuwa mtumwa wa mtu mwenye moyo wa akili.

  • @victoriajames6190
    @victoriajames6190 2 года назад

    Ahsant

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 2 года назад

    Pastor Naomba msaada wako nina changamoto ya kiafya!

  • @regulartesha2987
    @regulartesha2987 2 года назад

    Natamani kupiga simu,namba sijui naipataje

  • @MahubiriPrMmbaga
    @MahubiriPrMmbaga  2 года назад +8

    Angalia SEHEMU ya pili kwa kubonyeza hapa ruclips.net/video/sauGthN1Q34/видео.html

    • @rhinakiza
      @rhinakiza 2 года назад

      Asante kwa part 2

  • @morineinziani9547
    @morineinziani9547 2 года назад

    Asante muchungaji kwa mahubiri naacha hii kazi naenda kumtumikoa mungu

  • @divvanajohnson4895
    @divvanajohnson4895 2 года назад +1

    Jamani natafuta darect number ya sim ya mchungaji mbaga

  • @dedanimakaka7645
    @dedanimakaka7645 2 года назад

    Mmmmh

  • @kengwabakuka5618
    @kengwabakuka5618 2 года назад

    Uko tapeli Nani alikuambiaka kama kila siku mtu anaweza toa sadaka ? Ukaangalia bibilia hakuna mtu alitoa kila siku. Nyinyi munaingiya kilasiku kanisani n'a munashurutisha watu watoe kila siku, munasomaka bibilia ya wapi ?

  • @barikijackson8967
    @barikijackson8967 2 года назад +1

    Amen

  • @dianasmachera5413
    @dianasmachera5413 2 года назад

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @ascarkerubo.9398
    @ascarkerubo.9398 2 года назад

    Amina

  • @kemuntojackline2267
    @kemuntojackline2267 2 года назад +1

    Amen

  • @salometemba5225
    @salometemba5225 2 года назад

    Amen

  • @mrpeterjsindano6718
    @mrpeterjsindano6718 2 года назад

    Amen