Mshahara ni madawa ya kulevya ninayopewa na mwajiri ili nisahau ndoto zangu 😭😭😭. This hits me so differently, Mungu wangu naomba nisaidie niukomboe wakati
Mungu atusaidie baba....natamani sana niachane na mshahara nifanye mambo yangu ila sioni namna yakujinasua...Maombi yako baba ili nipate kutoka hapa....barikiwa sana
Mungu amenipa kibali leo kufatilia mahubiri na mafundisho ya bibilia kwa muda wa msaa3si kawaida yangu kila nikitaka kuangalia hua napata usiingizi asante Mungu nimebarikiwa sn pia nimejifunza vitu vikubwa barikiwa mtumishi
Ameni barikiwa Sana mtumish, hili SoMo naona limenilenga kwa kiasi furan, hasa kumsogelea mtu nisie mjua, pia ndoto nyingi naota nazini Ila Sina ata mpenzi ndoto hizi sielewi
Mchungaji Bwana asifiwe napenda kuuliz kuhusu hapo kwenye kuongeleshwa na Mungu Mimi mara KWA mara naweza mkumbuka mtu fulani na siku hiyo lazima aje nyumbani ama nikutane naye njiani na ninaweza kukaa na mtu na nikasikia kuwa utafanya Jambo fulani na muda huo huo nateuliwa kufanya Hilo Jambo naam hii hali niitambueje au niisimamieje kwa kujua kuwa ni ya Mungu ama
Mungu akubariki na barikiwaga sana ivi ninavyo kufatiliya nimerudiya tena kuisikiliza hii kwa mara tena yaani hata ni sivyo sikiliza sina amani. Mimi ni mcristu ila ninavyo kufatiliya naona naelewa neno lamungu. Please naitaji angalau ni pate namba yako ya sim nikaelewe zaidi. Amen 🙏
Uko tapeli Nani alikuambiaka kama kila siku mtu anaweza toa sadaka ? Ukaangalia bibilia hakuna mtu alitoa kila siku. Nyinyi munaingiya kilasiku kanisani n'a munashurutisha watu watoe kila siku, munasomaka bibilia ya wapi ?
Ee YESU naona aman moyoni Asante sana
Asante sana Pastor nampenda sana huu Mungu Baba yangu. the way he does talk to me. I humble myself to my God
Mshahara ni madawa ya kulevya ninayopewa na mwajiri ili nisahau ndoto zangu 😭😭😭. This hits me so differently, Mungu wangu naomba nisaidie niukomboe wakati
Sio wewe tu rafiki Yani hiyo kauli imenipa funzo nafanya kazi lakini nawaza sana kufanya yangu
@@mauricejuma8487 😭😭😭
How
Mchungaji Mungu azidi kukupatia maisha marefu, ninachangamito ya kifamilia Ila kwa Iman ya bwana wetu kristo nitashinda mniombee
Ukidhaminii kidogoo trust me sikuzote mungu anakuongezea zaidi ninao ushuhuda, Ila kutoa ndio Kila kitu
Amen kabsaa alarm ya Mungu ipo,ila tunaipuuza naomba urejesho wa kimungu in Jesus mighty name Amen 🙏
AMEN mtumishi wa Mungu. Tabia zangu zimuakisi Kristo ili niwe barua ya wazi inayosomwa na watu wote.
Mungu atusaidie baba....natamani sana niachane na mshahara nifanye mambo yangu ila sioni namna yakujinasua...Maombi yako baba ili nipate kutoka hapa....barikiwa sana
Mungu akufungue macho
Ni kweli pasta Mungu na atusaidie
fantastic
Amina!! Nimwangalie Yesu kwa kila kitu
Hapo pa kufasiriwa ndoto! Mwokaji
Mimi ningemwambia Yusufu Niombee kwa Mungu wako hukumu ibatilishwe!!!…
Mungu nisadie niukombee mda
Very true ni Kwa neema tuu ya bwana YESU MUNGU atupe nguvu ya kumpenda na kumtafuta Kwa hiiii, utukufu Kwa MUNGU ALIE JUU HALLELUJAH AMEN
Mungu amenipa kibali leo kufatilia mahubiri na mafundisho ya bibilia kwa muda wa msaa3si kawaida yangu kila nikitaka kuangalia hua napata usiingizi asante Mungu nimebarikiwa sn pia nimejifunza vitu vikubwa barikiwa mtumishi
Ameni barikiwa Sana mtumish, hili SoMo naona limenilenga kwa kiasi furan, hasa kumsogelea mtu nisie mjua, pia ndoto nyingi naota nazini Ila Sina ata mpenzi ndoto hizi sielewi
Amina
Napataga Imani sana nikisikiliza mahubiri yako,Mwe/Mungu akuongoze Sana.
Amen amen🙏🙏🙏
Funzo nzuri sana
Asante sana mchungaji ubarikiwe sana . MUNGU atulinde katika inchi ya CONGO .
Amina am ever blessed na your teachings
Amen be blessed pastor
Amen 😊😊🇰🇪
Amen
Ameen mchungaji uzidi kubarikiwa maana nimebarikiwa na neno
Najifunza mengi kupitia hii channel. Mungu akubariki sana pastor 🙏🙏
Ni kwa neema ya mungu kuwa jinsi nilivyo
éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Bwana yesu asifiwe mahubiri mazuri
ubarikiwe muchungaji
Aminaaa! Pastor
Barikiwa mchungaji Mbaga. Kazi yako tunaiona
Amen pr Mmbaga
I can't wait for part two
Amina mtumishi naomba maombi yako
Amen. Nabarkiwa kwakweli
Amina mchungaji
Mungu azidi kukubariki
Amen, Mungu akubariki sana pastor
Asante sana mchungaji kwa masomo aya ubatikiwe Sanaa
AMEN MTUMISHI UBARIKIWE
Ameeen
Mchungaji Mungu akubariki nakuombea upone mafua
MUNGU akutie nguvu sana
amina nabarkiwa sana na mahubiri
Amen Amen
Aminaaa. Ubarikiwe
Amen and Amen 🙏
Ameeeen,Ameeen kubwaa
Barikiwa san pastor
POLE SANA MAFUA HAYO YAKASHINDWE KWA JINA LA YESU MUNGU AKUPONYE HARAKA
Barikiwa sana kwa somo zuri.
Mungu akubariki Mtumishi
Naomba maombi yako yamponye mama yangu ambae amesumbuliwa na maumivu ya miguu kwa muda mrefu
Amina mchungaji
Amina baba
Amen and Amen
Amen 🙏🙌🙏
Pastor ubarikiwe
Mchungaji Bwana asifiwe napenda kuuliz kuhusu hapo kwenye kuongeleshwa na Mungu Mimi mara KWA mara naweza mkumbuka mtu fulani na siku hiyo lazima aje nyumbani ama nikutane naye njiani na ninaweza kukaa na mtu na nikasikia kuwa utafanya Jambo fulani na muda huo huo nateuliwa kufanya Hilo Jambo naam hii hali niitambueje au niisimamieje kwa kujua kuwa ni ya Mungu ama
Hiyo ni nguvu tuliyo umbwa nayo. Ijapokuwa kuna wakati Mungu anaitumia kuongea nasi
Ameeeeen pasta
Amen 🙏🙏
Amen 🙏 🙏 🙏
Pr.ipo ck ntakuona Tuongee. MUNGU akutunze.
AMINA MTUMISHI
Amen 🙏
Hallelujah
Ubarikiwe
Amen🙏🙏
God bless you
Nambar ya simu
ubarikiwe mchungaji
Ameeeen
Mungu akubariki na barikiwaga sana ivi ninavyo kufatiliya nimerudiya tena kuisikiliza hii kwa mara tena yaani hata ni sivyo sikiliza sina amani. Mimi ni mcristu ila ninavyo kufatiliya naona naelewa neno lamungu. Please naitaji angalau ni pate namba yako ya sim nikaelewe zaidi. Amen 🙏
Anima
True be blessed pastor 🙏
Amen God bless you pastor David am blessed and l learned alot keeped up 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen amen
Asante nahitaji namba yako ya simu,,,ni mara ya kwanza nakusikia hata jina sikufahamu,,
Be blessed servant of God.
Tunatokaje hapo maana tumeshatumbukia huko
🙏🙏🙏
🙏
Be blessed man of God, the message has inspired me
Mmeanza utapeli wenu kwa kutumia dini
31:08-
Mithali 11:29_Ataabishaye nyumba yake mwenyewe ataurithi upepo; mpumbavu atakuwa mtumwa wa mtu mwenye moyo wa akili.
Kwa ulevu wake
Mjungaji uyu ni wa Nai yaan city ya kenya
Ahsant
Pastor Naomba msaada wako nina changamoto ya kiafya!
Natamani kupiga simu,namba sijui naipataje
Angalia SEHEMU ya pili kwa kubonyeza hapa ruclips.net/video/sauGthN1Q34/видео.html
Asante kwa part 2
Asante muchungaji kwa mahubiri naacha hii kazi naenda kumtumikoa mungu
mungu afungue njia kwa kuamua kumtumikia mungu wa mbingun
@@agneskilindu5927 amen
Jamani natafuta darect number ya sim ya mchungaji mbaga
Tuma ujumbe wa Whatspp +255 755 932 283
@@MahubiriPrMmbaga asante
Mmmmh
Uko tapeli Nani alikuambiaka kama kila siku mtu anaweza toa sadaka ? Ukaangalia bibilia hakuna mtu alitoa kila siku. Nyinyi munaingiya kilasiku kanisani n'a munashurutisha watu watoe kila siku, munasomaka bibilia ya wapi ?
Amen
Amen 🙏 🙏 🙏
Amina
Amen
Amen
Amen