AINA NNE ZA UTOAJI WENYE BARAKA TELE SEHEMU YA KWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • ANGALIA SEHEMU YA PILI KWA KUBONYEZA
    • SEHEMU YA PILI YA AINA...

Комментарии • 68

  • @MahubiriPrMmbaga
    @MahubiriPrMmbaga  2 года назад +6

    ANGALIA SEHEMU YA PILI KWA KUBONYEZA ruclips.net/video/_EBFpKexxE8/видео.html

  • @chachamwita8812
    @chachamwita8812 2 года назад +10

    Mungu akupe nguvu na miaka mingi ili uwendelee kutufundisha pastor 🙏

  • @sirjamesmp1099
    @sirjamesmp1099 2 года назад +2

    Mungu asante kwa neno lako kupitia mtumishi wako mbariki na umpe nguvu AMINA

  • @sharonetsisiche5184
    @sharonetsisiche5184 2 года назад +6

    Amen,,ubarikuwe sana mchungaji,,,nmejifunza,,maana nlikuwa natoa baadaye nalalamika,,,,,EEee MUNGU muumba mbingu na nchi nisaidie mafundisho haya niyaweke katika matendo

  • @dianarobert7953
    @dianarobert7953 2 года назад +3

    Nmekuelewa sana, Mungu atusaidie tuwe watoaji shambani mwake, Mungu akubariki Sana pastor.

  • @mercymuranga817
    @mercymuranga817 2 года назад +1

    Amen Amen Amen asante mtumishi kwa fundisho hili Amina

  • @halenhalen4598
    @halenhalen4598 2 года назад +1

    Hallelujah 🙏 mafundisho mazuri Sana nayafuatilia nikiwa uku Saudi Arabia

  • @jasonchanzi1023
    @jasonchanzi1023 2 года назад +1

    Pastor Mbaga na Pastor paul Semba kupitia nyinyi Yesu kabadirisha sana maisha yangu Mbarikiwe sana

  • @leilahl7024
    @leilahl7024 2 года назад +5

    Amen,
    Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu,
    Kwa kutukumbusha mambo hayo,

  • @gladysmwanzia6004
    @gladysmwanzia6004 2 года назад +1

    Kuna vitu vingi nimepata kuziele sikuwa nimezifahamu... Asante sana mchungaji mungu aliye juu sana na akubari...

  • @devothapoyongo4440
    @devothapoyongo4440 2 года назад +1

    Uzidi kubalikiwa mtumishi ahsnt sana kwa maneno mazuri

  • @mohammadpourghayoomi7923
    @mohammadpourghayoomi7923 2 года назад +3

    Ubarikiwe kwa neno nisomolinalogusa maisha ya kiroho, hakika sijatoka bure.

  • @nibitangaclaudine
    @nibitangaclaudine Год назад

    Amen 🙏 ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu toka nikufaham sijahi kujuta umenisaidi sana kiroho Mungu akuinuw zaid na zaidi 🙏

  • @tamashashabani3993
    @tamashashabani3993 2 года назад +2

    Mungu akubariki mchungaji kwa neno,

  • @salomekemunto8217
    @salomekemunto8217 2 года назад +3

    Amen tunaomba pay bill .ss hatuna uwezo wa kuenda church tko saudia

    • @halenhalen4598
      @halenhalen4598 2 года назад +1

      Salome mm nko Dammam ww uko side gani

  • @eustina837
    @eustina837 2 года назад +5

    Barikiw kwa haya Mungu akupenguvu

  • @MarluckMikundi-hd6cw
    @MarluckMikundi-hd6cw Год назад

    Pr David; Nîmes barikiwa kwa ma fundisho

  • @ezekielmungumwa9258
    @ezekielmungumwa9258 2 года назад +1

    Amina mutumishi wa Mungu ubarikiwe sana na Mungu akuzidishiye nguvu.

  • @ratifamahsein3975
    @ratifamahsein3975 2 года назад +3

    Amina weka chanel azam tv baba wenye njaa ya neno la mungu tupo wengi na mungu akubariki sana

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  2 года назад +5

      Ombea tufikie huko

    • @joycekajivo915
      @joycekajivo915 2 года назад +1

      Kila nikifungua Hope channel natamani mafundisho ya PST.Mmbaga mara moja billions event ya KARATU nilibarikiwa sanaa Mungu akuinue zaidi kwa vows go vya juu 🙏

    • @patriciasanga9848
      @patriciasanga9848 2 года назад +1

      @@MahubiriPrMmbaga tutafika kristo Yesu tunaye muamini anaweza ni zaidi ya yote!

  • @msitelengweli6268
    @msitelengweli6268 2 года назад +1

    Umenijibu swali langu nilokua najiuliza kila siku, kwanini ombaomba wapo nje ya msikiti tu na wanapita kuomba siku ya ijumaa tu na si jumapili au nje ya malango ya kanisa. Asante sana mungu azidi kukupambanulia neno la utoaji ni pana sana.

  • @kosherasengasu5093
    @kosherasengasu5093 2 года назад +1

    Amen, barikiwa Sana Kwa somo zuri pastor.

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 2 года назад +2

    Amina Amina pastor uko nyumbani kwetu Mungu awabariki sanaa

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 2 года назад +5

    Amen be blessed Pastor 🙌

  • @gwakisamwakatage4656
    @gwakisamwakatage4656 2 года назад +1

    Nafurahi sana katika mafundisho yako Mungu akubariki

  • @seciliakatani7852
    @seciliakatani7852 2 года назад +2

    Nabarikiwa sana na masomo yako barikiwa mchungaji nami nakuombea MUNGU azidi kukutumi watu wasalimishe maisha yao kwa maisha ya umilele AMINA

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 2 года назад +1

    Haleluya bwana akubariki sana pastor somo linenibariki

  • @maggymueni5530
    @maggymueni5530 2 года назад +1

    Amina ua wanibariki sana. Kutoka Kenya mombasa

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume4425 2 года назад +1

    Mungu na azid kukufunulia mengi kwa manufaa ya wengi

  • @jdm1459
    @jdm1459 2 года назад +1

    Amina ubarikiwe Mchungaji David kwa masomo haya mazuri

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 2 года назад +3

    Amen God bless you pastor

  • @ellenswale9531
    @ellenswale9531 2 года назад +1

    Amina Mtumishi wa Mungu. Endelea kutulisha mambo yatupasayo katika maisha yetu ya kiroho pia kimwili. Ninakufuatilia sana kutoka huku nchini Marekani! Barikiwa 🙏🏾

    • @josephmagige6033
      @josephmagige6033 2 года назад

      Ubarikiwe sana pr Mbaga nimeguswa na somo lako hasa la uwekezaji wa kwa Mungu

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 2 года назад +1

    Amen. Ubarikiwe pastor Mbaga

  • @yvesirankunda2002
    @yvesirankunda2002 2 года назад +2

    I am so eager to follow the second part of this topic.
    Very important

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 8 месяцев назад

    Amine 🙏🏻🙏🏻🙌🙌

  • @kissanselu8569
    @kissanselu8569 2 года назад +1

    Mungu ashukuliwe pr

  • @happinessmongare4311
    @happinessmongare4311 2 года назад +2

    Amen

  • @keycyusuph3002
    @keycyusuph3002 2 месяца назад +1

    Amina pr

  • @RebbecaAkinyi
    @RebbecaAkinyi Год назад

    Amen bless are you

  • @silviakahuya4526
    @silviakahuya4526 2 года назад +1

    Amen 🙏🙏🙏

  • @MarkTaipi
    @MarkTaipi 2 года назад +3

    Napendekeza logo design iwekwe pembeni badala ya katikati

  • @pendomartin1809
    @pendomartin1809 2 года назад +2

    Amina

  • @MarkTaipi
    @MarkTaipi 2 года назад +1

    Nimepata kujifunza utoaji hapa..Mungu akubariki mchungaji

  • @patriciasanga9848
    @patriciasanga9848 2 года назад +1

    Tupo pamoja mtumishi Wa Bwana Wa majeshi!

  • @johnstephano6486
    @johnstephano6486 2 года назад +1

    Shukran sana.

  • @francoisecirezi672
    @francoisecirezi672 2 года назад +3

    Mutumishi jisaidiye,je murokole aweza towa sadaka yakusaidiya ujenzi wa nyumba ya Mungu kwenye catholic church,wazazi wake wangali wanashiki huko catholic church ❓naomba msada wa shauri

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  2 года назад +1

      Ndio! Yohana 10:16 Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja.

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 2 года назад

    WAPIGAJI WAPO TU hahahahahaaaaa PR.MMBAGA

  • @namrindawilfredy2234
    @namrindawilfredy2234 2 года назад

    Barkiwa

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 2 года назад +3

    Tunakujea nini unasema mchungaji wetu Mmbaga 🙏

    • @mborawakiche7564
      @mborawakiche7564 2 года назад

      Katika habari ya kujenga Nyumba ya Mungu, kuna mibaraka mingi mnoo! Sijawahi kujutia kununua eneo wala kumjengea Bwana Maishani mwangu! Tujitoe kikamilifu kumkopesha Bwana kwa kazi yake!!

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 2 года назад +1

    Bwana atusatuweze kujenga nyumba za Bwana wetu

  • @sifagubandja1589
    @sifagubandja1589 2 года назад +1

    Pasta nahitaji nisikilize mahubiri haya mupaka mwisho

  • @yohanaanthony3422
    @yohanaanthony3422 2 года назад +1

    Utoaji mwingine ni matumizi

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 2 года назад +1

    Rangi nyeupe inafanikiwa kutowa hata roho mbaya

  • @Joy-mm1ut
    @Joy-mm1ut 6 месяцев назад

    Amen

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll 2 года назад +1

    Amina

    • @fmgani1551
      @fmgani1551 2 года назад

      Mungu nimwema

    • @prophetdanielmwebrania
      @prophetdanielmwebrania 2 года назад +2

      Amen Mungu akubariki sana mtumishi unanibariki sana nakuombea UZIMA wa YESU KRISTO uzidi kufungua wengi ZAIDI Amen
      Pia ninaomba namba YAKO

    • @jumannesospeternyamkela4843
      @jumannesospeternyamkela4843 2 года назад

      APOSTLE DANIEL MWEBRANIA

  • @amnamax8676
    @amnamax8676 2 года назад +1

    Amina

  • @eliakundaongai2614
    @eliakundaongai2614 2 года назад +1

    Amina

  • @edithamifuko-uk4sz
    @edithamifuko-uk4sz Год назад

    Amina