B2k-_-Asante Mungu (Official Video lyrics)
HTML-код
- Опубликовано: 1 май 2024
- Artist; B2K Mnyama
Song Title: Asante Mungu
Song Description;
“Asante Mungu" is a song that resonates with gratitude from a backdrop of challenging times, the lyrics are about the journey from struggle to success supported by the victories of God. The melody captures the essence of joy and newfound peace from hardship. The song invites listeners to join in giving thanks and returning praise to the Almighty for the remarkable transformation from hardship to blessing Видеоклипы
Ukiacha maisha mazuri ambayo sasa tunaishi naamini kila mtu kwenye kazi yako kupata changamoto katika kuzi pambania ndoto zako kila tulifanyalo ni kwa uwezo we mwanyezi Mungu kipaji ulicho nacho kazi ulio nayo kila hatua ulionayo unapaswa kuna muda kum shukuru Mungu asante weka comment apo chini walau kwa uchache kuhusu changamoto zako
Sawa brother 🎉🎉sema msapoht dogo ako vinside bhn kipaji kipo pale❤❤🎻🎻
Uhakika big brother 🎺🎻🇰🇪
🤝🤝🤝🤝🤝🤝 Asante mungu
tishaa sana Simba mtoto
Tisha sana mnyama nipo naww Toka tunaendana adi Leo nakkubali sana bro ia enddelea kukaza
Jaman nyimbo nzuli saan b2k kila nyimbo anatowa inanikosha naombine km munamukubali mm kutoka 🇧🇮 nipeni like hata kumi ntashkur
Uko power sna imejumuisha mapito yasisi sote Mungu atupiganie kwayote
Nakubali sana kaka hujawahiniangusha.
Nyimbo nzuri sana, Asante Mungu
Kaz nzur Sana, #Asante_Mungu, Hakika inaweza ikawa nyimbo yangu Ya kufungua mwaka na kufungia mwaka Kama huto toa nyimbo nyingne tena,
Brother dah MUNGU akubariki kwa hii baraka 🔥🔥🔥🔥🔥
Ahsantee mungu kwakila jamboo good music 🎵🎵🎵🎵
Hongera Sanaa kaka B2k Kwa mzk mzur good song inatugusa kabisa
Noma sana blood ujawai kukosea
Yaan mtu unashindwa kufikilia kua huyu ni msanii kutoka nyanda za juu kusin na ni findi sanaa 🔥🔥🔥🔥🔥
B2k unajua mpaka unazid nakubali sana kaka nyimbonzur saaana
Nyimbo zuri kaka wakupe honger zako kaka unaweza❤❤❤❤
asanteeeeee
Woooooooow mameen iko pooou saan ,🙏🙏🙏🙏🙏
from zero to hero big up san bro binafsi nimependa nyimbo hii hii 💪💪🥀🥀🥀🌹🌹
B2k umetisha sana kazi iko poa ila sisi tuna wasappont ila yeye amutusapont mjuwe na sisi ni wasani wandongo tunaitaji sappont yenu kaz iko poa
Hongera sana kaka kwa song 🔥🔥
Nakukubali nilipenda ungeimba na r shinewimbo mola
Ni kipindi kizurii ukikaa na kusikiliza hii nyimbo Asante mungu....🙏🙏🙏 Kuna kubarikiwa sana ndani roho.... @B2KMnyama
B2k mitaa ixha kunyaka ngoma Kali knoma
Wimbo umetulia kinoma Yani. Big up kamanda🎉
Br imenigusa sana hii Ngoma
Imba wimbo na r shine yule aliimba sinabahati
huu wimbo mkubwa nimekuwa nikingoja sana
Hongera sana kaka, nakufuatilia sana coz napenda unachokifanya
nilikua nai wait sana…..! big up bro
Kazi nzurii home boy
Umetisha hii ngoma
Home boy b2k🔥🔥
🎉🎉🎉🎉🎉
Nimekuelewa vizur b2k na niseme sijawhi kukupinga since 2016
Xana Kaka umet!xha 💪💪👍
b2k you never dissapoint am in love with dis song,uganda tunakupenda big up
You are a Star 🌟 B2k Mnyama.
Umetisha mwamba B2
Congrats , it's a good song ,God with you in your job Amiin
B2k mnyama wallah man wewe wajua sana sikufichi diamond hakufiki
ata ukifanya collabo nae wamfunika kabisa
Daar unajuwa sana....mnyama😢
Sikupingi top melody mnyama
nakubalii sanaaa
Kijana kazi nzuri 🔥🔥
Wa Kwanza Mimi Leo ❤❤❤
umetishaaa
@@B2KMnyamathx my brother B2K MNYAMA ❤❤❤ pia NGOMA Kali sana kaka Umetisha kinoma yani ✊✊🤝🤝
Asante Mungu nimepata afadhali 🎉🎉🎉,kazi nzuri sana #B2k.
Ngoma kali sana big talented
Mon pote B2K
Mungu ndo kila kitu
Kaka umeimba sana ngoma kali mnoo
Safi sana b2k🎉🎉🎉
Eeeeee banah ee ngoma qaaaaaaliiii san
umetisha sana una andika sana mwanangu bomba la chpa
mungu asifiwe sana
This song is ment for mee❤❤❤ Asante Mungu
Only God Asante 🔥🔥🔥
noma sana bro 🤟🤟🤟🤟🤟🙏😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
amen
Nyimbo nzriii xnaaaa B2k
Safi sana 🙏🔥🇹🇿
Asanteee 🔥 🔥 🔥
Ujumbe mzuriii
Sante Mungu🙏🙏🙏
B2k mwanang umeokoka nivizuri kwenye kipaji chako kumukumbuka mugu pia naku muchukuru kwakilajambo
B2k hatari ww
Kubwa sn iyo br🙏
🎉🎉
Good Song Thanks Jesus🎉
Star Beat kabisa
Another hit🎉
🙏🙏🙏🙏
Unyama kakaang ❤️💋 don't give up
Hongera sana dogo
Keeping the good music alive
You killed them My G...🎉
🎉kuanzia director,producer mpaka msanii mwenyewe mmeangamiza alooh😅❤
Big up B2K, keep it up!!!!!
kwamimi binafsi b2k tangu aanze safari yake ya mziki hii ngoma inakuwa namba moja
To me it's has always been your voice since 2017
Noma mzee wangu
ngoma kali sana
Wapi likes za B2K Mnyama
🎉🎉🎉
Good song najion namim nashukur
in everything you do or go through...give thanks
Tone touch beats with b2k 🤞🤞
Unyama kaka🎉🎉🎉
Unajua sana kaka
Goma Kali bro
Daaaah ngoma kali sana🎉
sanaaaa
....Ayaa Mungu Akujahaliee Bro🤛
ameniiiii
Home boy 🔥🔥
Kazi safi ...
Hongera
Msanii wangu
Nyimbo kali kak
Aminaaaa kubwaaa
My here for TONY TOUCHZ ❤🙌
B2k i see you tena
Hongera🎉🎉🎉🎉
Asante Mungu
Unyama ni mwingi
Safi kaka kaz kax
asante mungu
First to comment from kisii land
asanteeee
🎉🎉🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏
Sikuping familia
Icon
@B2K 🔥🔥