Fr Kamugisha: Atakaye kula chakula vizuri unamuona wakati wa kunawa/

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • i mafundisho ya Juma la pili la Kwaresima mada ikiwa ni Kipyenga cha mwisho bado . Mafundisho haya yametolewa na Paroko wa Parokia ya Minziro Jimbo Katoliki la Bukoba Padre Dkt Faustine Kamugisha katika Kanisa kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Bukoba. Mafundisho haya hutolewa kila Ijumaa baada ya njia ya msalaba.
    #ShajaraFaraja

Комментарии • 48