Hongera Nay mungu akusimamie kujenga nyumba ya bwana...hao wanaokupinga juu ya nyimbo zako kunavitu umewagusa..makanisa ya sasa yamekuwa biashara...hongera tena hongera nimekupenda bure kwa maneno yako.
Toka naanza kukuskiliza Ney , Leo ndo Nimeona unaongea maneno yenya busala , Jenga kanisa, Maana katika vitabu Vya Mungu vinasema kanisa litajengwa na wenye Moyo, Wazo lako ni Zuri kama kweli Unajenga kabisa kwa ajili ya kuabudia Mungu wa kweli ni Sio Miungu watu, ama Mashetani Big up Ney.
mkubwa ney auciwaze maneno ya watumixhi feki wewe fungua uciwazelongo Kongo za wanaojifanya niwatu wa mungu kumbe ni mapepo tuuuuuu??!!?fully xana bb mdogo
Hiyo ni hekalu la freemasons mm nimekuelewa vizuri sana kua Mungu wa kujibu maombi wakusaidia watu sababu Freemason unachokitaka wanakupa Mungu wakweli hakupi kwa haraka lazima akupime ajue kma uko na imani umeeleweka tu
@@esterelias8189 ungelikua wajua dini ungeelewa kua ney wamitego nikafiri kama angelikua anamtambua Mungu hangeongea kufuru anataka kujenga kanisa na yeye hatambui kama Mungu yupo Estar Mungu alisema sio watu wote duniani watakaomkubali na sio watu wote watakao mkataa sasa jiulize kwanini tusihukumu wakati nay ashatuonesha dhahiri hatambui kama Mungu yupo Mungu anasema ukiona MTU anafanya kitu chakumuudhi Mungu basi mkanye nakama huezi kumkanya basi chukia lile jambo nimarangapi nay anaimba nyimbo zakukufuru kma kweli anatambua Mungu angeskiza tu mashabiki wanavyo muongelea akajua nakosea but ata hajutii so licha yeye hata wewe unaeteta Mungu anakusubiri
Mungu adhiakiwi kaka Ney kama umekosa la kufanya bora ukalime Mungu ndie mtoaji napia Mzee wa upoko unashindwa kumuelewa tu Yeye ameshaona kitu kwako ata mm nakujua kuwa wewe ufai kujeng hekalu kwasababu ya matendo yako Ila yote haya yameandikwa kwenye biblia wewe unataka kutimiza tu ukweli kaka Mungu adhiakiwi kwanza chiki kazi yako ya mizik napia Eti ufungue kanisa Tubu dhambi zako
Kwani promo nini? Hata iyo nipromo pia . Ila nimependezwa na mwanamuziki kujenga hekalu la bwana uwa wanamuziki tunaonekana wahuni hatumjuwi mungu hongera sana
sawasawa kaka true boy, najua watu watadis maana wanakawaida ya kudis kila kitu. kama umeguswa kumtumikia Mungu kwa mali zako fanya, maana hata wanaojihesabia haki eti hufai kujenga kanisa, mbon huko makanisan ikitokea michango ya kujenga kanisa kwa mfano, wachungaji hawabagui kama wewe ni muumini au mwenye dhambi wanapokeaga pesa tu bila kuuliza. pia utakuta wanaleta wanasiasa kwenye harambee zao bila kujal kama kaokoka au hajaokoka. fanya kazi ya Mungu
Hata Koresh wa Babel alitoa maagizo na nabii Ezra , Nehemia walifanikishwa kurudi Israel kujenga Hekalu. Na Herode ndie alijenga hekalu la pili la Wayahudi.Haikatazwi mtu, mfalme, Rais yeyote akiwa na uwezo na akapata msikumo wa kutoa pesa kujenga hekalu ni Ruksa haikatwazwi.
Mbona nyote mmeiona hii clip??? Simu zenu si zina bando??? Mlitoa katika pesa zenu mkanunua simu. Baadae mkanunua bando. Yee nae hutoa katika pesa zake akajenga hekalu. Na hata wale mlopewa simu zenu na hela ya vocha, ni sawa na wale watakaoabudu hekaluni humo pasipo kutoa chochote. Watajisikia vibaya na hawataendelea sana!
Wewe ndo hujamuelewa ivi yeye haendi kuwa mchungali nisawa jee kanisa linaashiria nini si nikwamba nisehemu ya ibada wakati yeye alishakanuka kuwa mungu yupo
baridi tuu Mimi muumini number moja nimeipenda hii maana hizi bahasha makanisaini na wenye njaa kukimbilia makanisani kupata msaada imekua kawaida bora huko nitasari nakuongea na Mungu wangu na natoa chochote kama sina nasepazangu
mungu huandaa watu kama hao hajasomea popote lakini katukumbusha wachungaji wa mshahara huenda mungu anamuandaa kuleta kweli hata mm napenda mtu asali bila kuogopa akiwa nacho atoe hana awe raha
Unapomuona Freemason anasema anajenga kanisa, Ni Jambo la kutuamusha kiroho na kujua Ni Nyakati za mwisho ambapo tunahitaji kuomba na kukemea maovu Kama hayo
Hajui anacho ongea huyu hajui kilichowakuta watu wa babeli na mnara wao! Cheza na basata na wasanii wa bongo muvi ila s Mungu....ldb km so Mungu anaabudiwa watu wote
Naitaji kujua mahili kanisa ilipo ili nishiliki naye Unajuwa wengi hawako Tanzania ndani wako inze yahichi tutaingiaje kwaiyo kanisa nataka kujiunga naye nay wamitego nakupenda sana nataka mafanikio kutoka kwako +25428113055 yangu nambari yasimu nakuitazi sana
Yaan bro mi nakuunga mkono coz wachungaji kibao ni wapigaji na wapenda hela.kifupi asilimia mkubwa ya waumini wanaishi maisha magumu ila wachungaji fake wanakula bata na watoto wao wanasoma ulaya
sioni tatizo kwa Nay wa mitego kujenga kanisa mbona hata sisi tumejenga makanisa mengi kwa sadaka zetu au mnafikiri sadaka mnazotoa kila jpili au ijumaa au siku yoyote zinaenda wapi nay anajenga kanisa sio yeye awe Mungu anaabudiwa kama akina Jay z bhana msimfikirie Nay wa mitego vibaya
Unafikiri kuwa paster ni mchezo mchezo kama unavyofikiria. Kijana au mtu aliye okoka ukimuona tu utajua huyu ni mkristo au huyu ni mslam.kabla huja muuliza utajua
Mtu aliyeokoka??? ivi mtu akiwa ndani ya nyumba,wakati huo nyumba inawaka moto...akaanza kujisifia kua ameokoka Kwenye ajali hio ...utamfikiliaje? Waliookoka wanakua tayari wapo nje ya janga flani.... Duniani ni sehem ya kupita tu ..na ni sehem ya kutujaribu mpaka pale pumzi ya mwisho....Ukifika mbinguni hapo ndo umeokoka...
Hongera Nay mungu akusimamie kujenga nyumba ya bwana...hao wanaokupinga juu ya nyimbo zako kunavitu umewagusa..makanisa ya sasa yamekuwa biashara...hongera tena hongera nimekupenda bure kwa maneno yako.
Naona comment nyingi Za hongera kwa ney but naimani na ninajua hamna mlichoelewa mungu awasaidie siku mwelewe Dunia inapoelekea
kweli kabisa
Genga kaka kwa kuwa Mungu ata zindi kuku bariki kwa ile kazi muchugaji afaye kazi siyo sadaka pesa sadaka una takiwa kutowa kilisho dani mwako
Saaaaaafi umenisaidia Ney... Mi mzee wa upako moyo wangu umemgoma kabisa Mungu anisamehe.
Slymax africa
Toka naanza kukuskiliza Ney , Leo ndo Nimeona unaongea maneno yenya busala , Jenga kanisa, Maana katika vitabu Vya Mungu vinasema kanisa litajengwa na wenye Moyo, Wazo lako ni Zuri kama kweli Unajenga kabisa kwa ajili ya kuabudia Mungu wa kweli ni Sio Miungu watu, ama Mashetani Big up Ney.
mkubwa ney auciwaze maneno ya watumixhi feki wewe fungua uciwazelongo Kongo za wanaojifanya niwatu wa mungu kumbe ni mapepo tuuuuuu??!!?fully xana bb mdogo
Tumaini Bihemo
Tumaini Bihemo ongela ney kwa kujenga kanisa
Tumaini Bihemo ney yupo vizuli
Tumaini Bihemo mmh ivi we umelielewa ilo kanisa lenyew mungu amsaidie kwakweli
kwel Majibu yako yanaukwel mnoo ndani yake daah umeongea vzur ad nimeioenda hongera Ney....you did
Nami nampa hongera sana ukweli ndo umemuuma huyu mzee wa upako...huwenda haya makanisa kuna vitu viko nyuma ya pazia.
Hiyo ni hekalu la freemasons mm nimekuelewa vizuri sana kua Mungu wa kujibu maombi wakusaidia watu sababu Freemason unachokitaka wanakupa Mungu wakweli hakupi kwa haraka lazima akupime ajue kma uko na imani umeeleweka tu
Msihukumu ili nanyii msije mkahukumiwa.....
@@esterelias8189 ungelikua wajua dini ungeelewa kua ney wamitego nikafiri kama angelikua anamtambua Mungu hangeongea kufuru anataka kujenga kanisa na yeye hatambui kama Mungu yupo Estar Mungu alisema sio watu wote duniani watakaomkubali na sio watu wote watakao mkataa sasa jiulize kwanini tusihukumu wakati nay ashatuonesha dhahiri hatambui kama Mungu yupo Mungu anasema ukiona MTU anafanya kitu chakumuudhi Mungu basi mkanye nakama huezi kumkanya basi chukia lile jambo nimarangapi nay anaimba nyimbo zakukufuru kma kweli anatambua Mungu angeskiza tu mashabiki wanavyo muongelea akajua nakosea but ata hajutii so licha yeye hata wewe unaeteta Mungu anakusubiri
@@aboujanomarion6121 neno kafiri lina maana gani?
@@esterelias8189 MTU hatambui Mungu anaitwa kafiri kwa bibile iko angalia kwa maneno magumu na maana zake utaona maana ya kafiri
@@aboujanomarion6121 mustari gani kwene bible???
jenga bwana mungu sio wa Anthony pekee mungu ni wote
Mungu akutie nguvu bro,God bless you always
yes kujenga kanisa kila anapaswa kama umejaariwa coz hyo sadaka haifutiki dunian na mbinguni so god bless you ney
Kujenga kanisa kwa pesa ya kishetan ni sawaa n bureee shiiit
wee noma broo fanya yako ney wache waseme adi wachoke
Ss mungu yupi huyo na yule uliye muimba kwa nyimbo kuwa hauamini kuwa kuna mungu ss vp tuelewe
jenga broo, achans nahao wapiga ela kwa kutumia dini
Mungu adhiakiwi kaka Ney kama umekosa la kufanya bora ukalime Mungu ndie mtoaji napia Mzee wa upoko unashindwa kumuelewa tu Yeye ameshaona kitu kwako ata mm nakujua kuwa wewe ufai kujeng hekalu kwasababu ya matendo yako Ila yote haya yameandikwa kwenye biblia wewe unataka kutimiza tu ukweli kaka Mungu adhiakiwi kwanza chiki kazi yako ya mizik napia Eti ufungue kanisa Tubu dhambi zako
Kwani promo nini? Hata iyo nipromo pia . Ila nimependezwa na mwanamuziki kujenga hekalu la bwana uwa wanamuziki tunaonekana wahuni hatumjuwi mungu hongera sana
I'm support u on that god bless u
mzee wa upako kupanic kule aje kwan? mambo ya kumtembelea kucha nn sasa....
Hekalu la Mungu ni moyo wa mtu.Majengo ni mazuri ila nafsi ziokolewe kwanza na matendo yatakuwa mema.
umenichekesha sn Leo lkn ungekuwa ww bwana mchungaji hahahahah
Dada nikaburiye numéro y'a kwako
Jenga kanisa kaka ney watu wamwabudu mungu mungu akutie nguvu na akulinde ubarikiwe
Happy Braysoni mambo
ww mtoto izo bangi zako zitakupeleka motoni jiangalie.
acha kutafta kick ww!
xn brother
Kumar x CX
kama mtu anania ya kujenga kanisa kwa ajiri y a watu kumwabudu Mungu hapo akuna kosa.
Umeongea poon sana juu ya wachungaji. Big up. Nay wa mitego.
sawasawa kaka true boy, najua watu watadis maana wanakawaida ya kudis kila kitu. kama umeguswa kumtumikia Mungu kwa mali zako fanya, maana hata wanaojihesabia haki eti hufai kujenga kanisa, mbon huko makanisan ikitokea michango ya kujenga kanisa kwa mfano, wachungaji hawabagui kama wewe ni muumini au mwenye dhambi wanapokeaga pesa tu bila kuuliza. pia utakuta wanaleta wanasiasa kwenye harambee zao bila kujal kama kaokoka au hajaokoka. fanya kazi ya Mungu
Truly,umeongea mambo ya ukweli sn
kabisa yani kusema ukweli Mimi mwenyewe ningekua na ela ningefungua la kwangu
Hata Koresh wa Babel alitoa maagizo na nabii Ezra , Nehemia walifanikishwa kurudi Israel kujenga Hekalu. Na Herode ndie alijenga hekalu la pili la Wayahudi.Haikatazwi mtu, mfalme, Rais yeyote akiwa na uwezo na akapata msikumo wa kutoa pesa kujenga hekalu ni Ruksa haikatwazwi.
Real
Sjakusoma kabisa
Mbona nyote mmeiona hii clip??? Simu zenu si zina bando??? Mlitoa katika pesa zenu mkanunua simu. Baadae mkanunua bando. Yee nae hutoa katika pesa zake akajenga hekalu. Na hata wale mlopewa simu zenu na hela ya vocha, ni sawa na wale watakaoabudu hekaluni humo pasipo kutoa chochote. Watajisikia vibaya na hawataendelea sana!
yote kwa yote nimemwelewa aliposema mtumish wa mungu hafanyi promo unatumia mamilion ya pesa kwa sababu ya airtimes on tv na radio unadhan zitalud vp
Nimekukubali majibu ulioyatoa kwaviongozi wadini big up
God bless you Good
ney tunakuelewa sana pambana kaka naminl nakuelewa sana broo
Ney the True boy 966 saf sana hakuna raha kama ukijua unachokifanya hakika unajua unachokifanya waache wabishane tatizo hawana action jenga kanisa
Nafikiri watu hawajamuelewa Ney amesemakujenga kanisa hajasema kuwa mchungaji kwanini mmnamsonga mbona watu wanajenga mabaa namagest hamuasemi?
steshu steshu umenena kweli
Wewe ndo hujamuelewa ivi yeye haendi kuwa mchungali nisawa jee kanisa linaashiria nini si nikwamba nisehemu ya ibada wakati yeye alishakanuka kuwa mungu yupo
umejitega na jina lako la mitego wafundishe kuto vaa vichupi hao mabindi unao wachezesha uchi
baridi tuu Mimi muumini number moja nimeipenda hii maana hizi bahasha makanisaini na wenye njaa kukimbilia makanisani kupata msaada imekua kawaida bora huko nitasari nakuongea na Mungu wangu na natoa chochote kama sina nasepazangu
Ney unasema kweli hawa wachungaji wamezidi washirika masikin nawao ndio wanao toa
Wachache tyuuu weye moyo kama wako mungu akutie nguvu ufikie malengo
Ili mchungaji akaishi kwenye gorofa hahahahhahah
Uchungaji siyo mchezomchezo na hauji kama vitu vingine na pia uchungaji ni karama na pia uchungaji unahitaji hekima
mungu huandaa watu kama hao hajasomea popote lakini katukumbusha wachungaji wa mshahara huenda mungu anamuandaa kuleta kweli hata mm napenda mtu asali bila kuogopa akiwa nacho atoe hana awe raha
Nay serous nakkubali sana than nakuombea sana ufanikiwe katka mipango yako in short ishu essucfull.
Nay serous nakkubali sana than nakuombea sana ufanikiwe katka mipango yako in short ishu essucfull.
Kwakweli dah
Safi sana kaka Ney
🤣nimekuelewa mdogo wangu wacha wapanic Mungu atawapa wanachokisubiri
illuminate washakutuma uwajengee kanisa uzid kuwavuta fanyen yenu tuu ila Mungu anawaona mnatufanya sis vipofu ila Mungu si kipofu tushakuelewa sana
mungu akujalie ufanikishe ndoto yako amin
.that's true bro kuna wachungaji wa mshahara
asante sana kaka ney kwa kujenga kanisa.
Hili litakuwa ni kanisa lako, km ni la Yesu, masharti ya liwe namna gani hayabaki kuwa yako!
Ney hukuwahi kwepesha moja ya wasanii wanao imba maisha ya kweli upo wewe tu
sikilizenii wimboo wa nay wa mitegoo unaitwaa mr nay mtaniambiaa teeenaa muusikizee na kuuelewaaa piaaa ukipataa kuuelewaa naambiee kituu paleeee
kaka jenga kanisa kaka Mungu atazdi kukujaalia wazo zurii kaka.
jenga kanisa tu mungu atakuzidishia *100000000000
Ney kunamda watu wanasema humjui . Mungu wao ndio hawamjui
Amennnnn mubarikieeeeee
Mmmmh! Tumekwisha hadi Ney (pepo)
haya kumekucha mungu tusaidie tukutambue zehebu gani?
ney upo vizuri umesema kweli kanisa hadi promotion iyo biashara umesema kweli
Ndio maana wamekuja juu hao wafanya biashara ya makanisa kasema ukweli
Sana bro wasugulie
Safi sana kamkubwa ney
hivi mnajua maana ya kanisa?
ukikosa busara hata kwenye mambo ya Mungu,ujue unajipalilia matatizo makubwa sana maishani mwako...
True
Nice
qweli kabsa nyimbo zko huwa zna make ness
thanks
Unapomuona Freemason anasema anajenga kanisa, Ni Jambo la kutuamusha kiroho na kujua Ni Nyakati za mwisho ambapo tunahitaji kuomba na kukemea maovu Kama hayo
jenga baba kanisa lako achana na maneno hayo ni ya wanadamu, kama una iman ya kwel timiza lengo lako mkuu
Umesema vema Ongera sana kwa kumuabudu Mungu kwa kumjengea hela la wamwabuduo. Ilo kanisa liitwe UPONYAJI NI BURE SHUKRANI NI KWA MUNGU.
Hujaelew kitu masikilize wimbo ndo uelewe kanisa analotaka kujenga
amina mungu akujalue na akuepuse na majaribu haki mungu akufungulie njia
Amina namimi pia namuombea..maana makanisa ya sasa yamegeuzwa kuwa pango la wanyang"ananyi na soko la biashara
Bro, hv mjengo wako umefikia wapi?
Hajui anacho ongea huyu hajui kilichowakuta watu wa babeli na mnara wao! Cheza na basata na wasanii wa bongo muvi ila s Mungu....ldb km so Mungu anaabudiwa watu wote
Labda ni kanisa ila sio madhabahu ya Mungu. Msiyachukulie kirahisi, Mungu ana mambo yake
jamani nay ametaka kuokoka alafu ajamwelewa nay God bless u
Naitaji kujua mahili kanisa ilipo ili nishiliki naye Unajuwa wengi hawako Tanzania ndani wako inze yahichi tutaingiaje kwaiyo kanisa nataka kujiunga naye nay wamitego nakupenda sana nataka mafanikio kutoka kwako +25428113055 yangu nambari yasimu nakuitazi sana
Fungus brother nashida Sana hela mm
Yaan bro mi nakuunga mkono coz wachungaji kibao ni wapigaji na wapenda hela.kifupi asilimia mkubwa ya waumini wanaishi maisha magumu ila wachungaji fake wanakula bata na watoto wao wanasoma ulaya
sioni tatizo kwa Nay wa mitego kujenga kanisa mbona hata sisi tumejenga makanisa mengi kwa sadaka zetu au mnafikiri sadaka mnazotoa kila jpili au ijumaa au siku yoyote zinaenda wapi nay anajenga kanisa sio yeye awe Mungu anaabudiwa kama akina Jay z bhana msimfikirie Nay wa mitego vibaya
Na hiyo lebo kifuani inamaanisha nn mzee nay au ndo ndege make siion vzuri! Hahahahahaaaaaaaaa!!!
😂😂😂😂 lol werevaaaa mbona kanisa
we we jenga tuta sali nakwamungu tutafika kwani kujiunga nimamuzi ya MTU mwenyewe sio kanisa,nakutaki ujenzi mwema.
Unafikiri kuwa paster ni mchezo mchezo kama unavyofikiria. Kijana au mtu aliye okoka ukimuona tu utajua huyu ni mkristo au huyu ni mslam.kabla huja muuliza utajua
safi sana
Mtu aliyeokoka??? ivi mtu akiwa ndani ya nyumba,wakati huo nyumba inawaka moto...akaanza kujisifia kua ameokoka Kwenye ajali hio ...utamfikiliaje? Waliookoka wanakua tayari wapo nje ya janga flani.... Duniani ni sehem ya kupita tu ..na ni sehem ya kutujaribu mpaka pale pumzi ya mwisho....Ukifika mbinguni hapo ndo umeokoka...
Da siku za mwisho zimefika watu amemgeuza Mungu kua kitu cha kawaida sana mungu wangu wape macho ya kiroho wanao wanaangamia.
Kama VP ataww unge kuwa muchungaj au
Safi ney wamitego nakukubali sana jembe jenga tupo oni
ney on 🔥 duh sijuiii
Pole muungu anaabudiwa Kwa Qraani jidanganyeni tuu
nikwel mi huwa nakuelewa sana tu ney nyimbo zako huwa ni ukwel mtupu
we love you
Mungu nimwema kama nikwel unetengeneza kanisa mungu atakubaliki ila kama nilauongo munguatakuchoma moto
Namkubali sana ney anaongea vitu vya kweli kabisa
yess
Aisee ni mwaka wa 4 huu nay hajafa 😁😁🤣
Kweli kaka waheshimu watumihi w mungu
Huyu anaongelea Mungu gani huyu simuelewi 😈
Ibilis anazidi kunguuka dunia kueni makini nameelezo ya huyu mkufulu mungu.
Jenga kanisa kaka kama uwexo upo ubarikiwe sana kwa maono yako
Mathayo 16:18 KANISA ni 1 tu hayo mengine semeni kweli kuwa Fre mason wamewaelekeza hivyo mteke wengi
good
mimi nahisi sasa kiyama kishafika, kwa kweli acheni mimi nitangulie jehannamu, maana nikisubiri zaidi nahisi nitaukita wawaka zaidi
AshaMohammed AshaMohammed mmmh
tuache mchezo....wamemtuma?
#966 fungua 2 Manisa brother!
Hahahahaaaaa kweli mm namkubali sana ney. Na huyo lusekelo hana lolote anamaneno machafu sana. Ukimfatilia vizuri
Tena sana mzee wa upako me simpendi kbs wala mahubiri yake huwa siyangalii wala kuyasikiliza....
uko vizuri. nay
Salma Said +97477053859 imo
J
🤣🤣🤣
ny your true but wanao fanya kw madhabau ula hapo like 10 percent sadaka that's must
Happy
wanajilengesha wenyewe. Nimeipenda hiyo. pilipili iko shamba yamuwashianini
point
safi ney
Nakuelewa ney
ahaaaaa ney wawatu