Majibu ya Nay wa Mitego kwa Mchungaji Anthony Lusekelo Mzee wa Upako

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 фев 2017
  • Majibu ya Nay wa Mitego kwa Mchungaji Anthony Lusekelo Mzee wa Upako
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 343

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 года назад +1

    Hongera Nay mungu akusimamie kujenga nyumba ya bwana...hao wanaokupinga juu ya nyimbo zako kunavitu umewagusa..makanisa ya sasa yamekuwa biashara...hongera tena hongera nimekupenda bure kwa maneno yako.

  • @verynicestanley5786
    @verynicestanley5786 6 лет назад +4

    Naona comment nyingi Za hongera kwa ney but naimani na ninajua hamna mlichoelewa mungu awasaidie siku mwelewe Dunia inapoelekea

  • @yonamakeleleilenge2545
    @yonamakeleleilenge2545 3 года назад +1

    Genga kaka kwa kuwa Mungu ata zindi kuku bariki kwa ile kazi muchugaji afaye kazi siyo sadaka pesa sadaka una takiwa kutowa kilisho dani mwako

  • @TheGame-nz7um
    @TheGame-nz7um 7 лет назад +3

    Saaaaaafi umenisaidia Ney... Mi mzee wa upako moyo wangu umemgoma kabisa Mungu anisamehe.

  • @tumainibihemo7755
    @tumainibihemo7755 7 лет назад +13

    Toka naanza kukuskiliza Ney , Leo ndo Nimeona unaongea maneno yenya busala , Jenga kanisa, Maana katika vitabu Vya Mungu vinasema kanisa litajengwa na wenye Moyo, Wazo lako ni Zuri kama kweli Unajenga kabisa kwa ajili ya kuabudia Mungu wa kweli ni Sio Miungu watu, ama Mashetani Big up Ney.

    • @chazbhai9268
      @chazbhai9268 7 лет назад +2

      mkubwa ney auciwaze maneno ya watumixhi feki wewe fungua uciwazelongo Kongo za wanaojifanya niwatu wa mungu kumbe ni mapepo tuuuuuu??!!?fully xana bb mdogo

    • @yassinchora2820
      @yassinchora2820 7 лет назад +1

      Tumaini Bihemo

    • @emmanueldanniel936
      @emmanueldanniel936 6 лет назад

      Tumaini Bihemo ongela ney kwa kujenga kanisa

    • @mahonashile2479
      @mahonashile2479 6 лет назад

      Tumaini Bihemo ney yupo vizuli

    • @verynicestanley5786
      @verynicestanley5786 6 лет назад

      Tumaini Bihemo mmh ivi we umelielewa ilo kanisa lenyew mungu amsaidie kwakweli

  • @mikentoga1358
    @mikentoga1358 7 лет назад +7

    kwel Majibu yako yanaukwel mnoo ndani yake daah umeongea vzur ad nimeioenda hongera Ney....you did

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад

      Nami nampa hongera sana ukweli ndo umemuuma huyu mzee wa upako...huwenda haya makanisa kuna vitu viko nyuma ya pazia.

  • @aboujanomarion6121
    @aboujanomarion6121 4 года назад +5

    Hiyo ni hekalu la freemasons mm nimekuelewa vizuri sana kua Mungu wa kujibu maombi wakusaidia watu sababu Freemason unachokitaka wanakupa Mungu wakweli hakupi kwa haraka lazima akupime ajue kma uko na imani umeeleweka tu

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад

      Msihukumu ili nanyii msije mkahukumiwa.....

    • @aboujanomarion6121
      @aboujanomarion6121 4 года назад

      @@esterelias8189 ungelikua wajua dini ungeelewa kua ney wamitego nikafiri kama angelikua anamtambua Mungu hangeongea kufuru anataka kujenga kanisa na yeye hatambui kama Mungu yupo Estar Mungu alisema sio watu wote duniani watakaomkubali na sio watu wote watakao mkataa sasa jiulize kwanini tusihukumu wakati nay ashatuonesha dhahiri hatambui kama Mungu yupo Mungu anasema ukiona MTU anafanya kitu chakumuudhi Mungu basi mkanye nakama huezi kumkanya basi chukia lile jambo nimarangapi nay anaimba nyimbo zakukufuru kma kweli anatambua Mungu angeskiza tu mashabiki wanavyo muongelea akajua nakosea but ata hajutii so licha yeye hata wewe unaeteta Mungu anakusubiri

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад

      @@aboujanomarion6121 neno kafiri lina maana gani?

    • @aboujanomarion6121
      @aboujanomarion6121 4 года назад

      @@esterelias8189 MTU hatambui Mungu anaitwa kafiri kwa bibile iko angalia kwa maneno magumu na maana zake utaona maana ya kafiri

    • @ornellakezakimana7844
      @ornellakezakimana7844 4 года назад

      @@aboujanomarion6121 mustari gani kwene bible???

  • @jeremiahmayunga5440
    @jeremiahmayunga5440 7 лет назад +7

    jenga bwana mungu sio wa Anthony pekee mungu ni wote

  • @jennlafilin2251
    @jennlafilin2251 6 лет назад

    Mungu akutie nguvu bro,God bless you always

  • @veronicalucas580
    @veronicalucas580 7 лет назад +11

    yes kujenga kanisa kila anapaswa kama umejaariwa coz hyo sadaka haifutiki dunian na mbinguni so god bless you ney

    • @racheldickson5238
      @racheldickson5238 4 года назад

      Kujenga kanisa kwa pesa ya kishetan ni sawaa n bureee shiiit

  • @hilarygodfrey4376
    @hilarygodfrey4376 7 лет назад +3

    wee noma broo fanya yako ney wache waseme adi wachoke

  • @salimmohammed111
    @salimmohammed111 4 года назад +1

    Ss mungu yupi huyo na yule uliye muimba kwa nyimbo kuwa hauamini kuwa kuna mungu ss vp tuelewe

  • @sullepeter4722
    @sullepeter4722 7 лет назад +5

    jenga broo, achans nahao wapiga ela kwa kutumia dini

  • @shukurukaliwali5367
    @shukurukaliwali5367 7 лет назад

    Mungu adhiakiwi kaka Ney kama umekosa la kufanya bora ukalime Mungu ndie mtoaji napia Mzee wa upoko unashindwa kumuelewa tu Yeye ameshaona kitu kwako ata mm nakujua kuwa wewe ufai kujeng hekalu kwasababu ya matendo yako Ila yote haya yameandikwa kwenye biblia wewe unataka kutimiza tu ukweli kaka Mungu adhiakiwi kwanza chiki kazi yako ya mizik napia Eti ufungue kanisa Tubu dhambi zako

  • @mlasiferuzisuma9450
    @mlasiferuzisuma9450 4 года назад +1

    Kwani promo nini? Hata iyo nipromo pia . Ila nimependezwa na mwanamuziki kujenga hekalu la bwana uwa wanamuziki tunaonekana wahuni hatumjuwi mungu hongera sana

  • @mabrukimateleka1832
    @mabrukimateleka1832 7 лет назад +3

    I'm support u on that god bless u

  • @cornelm9
    @cornelm9 7 лет назад +9

    mzee wa upako kupanic kule aje kwan? mambo ya kumtembelea kucha nn sasa....

  • @madamjudith9344
    @madamjudith9344 6 лет назад +2

    Hekalu la Mungu ni moyo wa mtu.Majengo ni mazuri ila nafsi ziokolewe kwanza na matendo yatakuwa mema.

  • @zuwenasalim38
    @zuwenasalim38 7 лет назад +6

    umenichekesha sn Leo lkn ungekuwa ww bwana mchungaji hahahahah

  • @happybraysoni7373
    @happybraysoni7373 7 лет назад +17

    Jenga kanisa kaka ney watu wamwabudu mungu mungu akutie nguvu na akulinde ubarikiwe

  • @mullahflavour5482
    @mullahflavour5482 7 лет назад +5

    kama mtu anania ya kujenga kanisa kwa ajiri y a watu kumwabudu Mungu hapo akuna kosa.

  • @lutenganokajeti937
    @lutenganokajeti937 4 года назад

    Umeongea poon sana juu ya wachungaji. Big up. Nay wa mitego.

  • @sammabula7359
    @sammabula7359 7 лет назад

    sawasawa kaka true boy, najua watu watadis maana wanakawaida ya kudis kila kitu. kama umeguswa kumtumikia Mungu kwa mali zako fanya, maana hata wanaojihesabia haki eti hufai kujenga kanisa, mbon huko makanisan ikitokea michango ya kujenga kanisa kwa mfano, wachungaji hawabagui kama wewe ni muumini au mwenye dhambi wanapokeaga pesa tu bila kuuliza. pia utakuta wanaleta wanasiasa kwenye harambee zao bila kujal kama kaokoka au hajaokoka. fanya kazi ya Mungu

  • @gloshyjm2375
    @gloshyjm2375 7 лет назад +8

    Truly,umeongea mambo ya ukweli sn

    • @fortunatakiria4685
      @fortunatakiria4685 7 лет назад +1

      kabisa yani kusema ukweli Mimi mwenyewe ningekua na ela ningefungua la kwangu

  • @elisantennko8222
    @elisantennko8222 7 лет назад +8

    Hata Koresh wa Babel alitoa maagizo na nabii Ezra , Nehemia walifanikishwa kurudi Israel kujenga Hekalu. Na Herode ndie alijenga hekalu la pili la Wayahudi.Haikatazwi mtu, mfalme, Rais yeyote akiwa na uwezo na akapata msikumo wa kutoa pesa kujenga hekalu ni Ruksa haikatwazwi.

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 7 лет назад +4

    Mbona nyote mmeiona hii clip??? Simu zenu si zina bando??? Mlitoa katika pesa zenu mkanunua simu. Baadae mkanunua bando. Yee nae hutoa katika pesa zake akajenga hekalu. Na hata wale mlopewa simu zenu na hela ya vocha, ni sawa na wale watakaoabudu hekaluni humo pasipo kutoa chochote. Watajisikia vibaya na hawataendelea sana!

  • @fikirisaidi7078
    @fikirisaidi7078 7 лет назад +4

    yote kwa yote nimemwelewa aliposema mtumish wa mungu hafanyi promo unatumia mamilion ya pesa kwa sababu ya airtimes on tv na radio unadhan zitalud vp

  • @emilylwambano2026
    @emilylwambano2026 4 года назад

    Nimekukubali majibu ulioyatoa kwaviongozi wadini big up

  • @clinthonmworsho9848
    @clinthonmworsho9848 5 лет назад +1

    God bless you Good

  • @yahayaplatnaumz7197
    @yahayaplatnaumz7197 5 лет назад +1

    ney tunakuelewa sana pambana kaka naminl nakuelewa sana broo

  • @oceanocean9585
    @oceanocean9585 7 лет назад

    Ney the True boy 966 saf sana hakuna raha kama ukijua unachokifanya hakika unajua unachokifanya waache wabishane tatizo hawana action jenga kanisa

  • @mwanumwanu1513
    @mwanumwanu1513 7 лет назад +8

    Nafikiri watu hawajamuelewa Ney amesemakujenga kanisa hajasema kuwa mchungaji kwanini mmnamsonga mbona watu wanajenga mabaa namagest hamuasemi?

    • @zaudatmakula3454
      @zaudatmakula3454 7 лет назад

      steshu steshu umenena kweli

    • @samirhoo6030
      @samirhoo6030 4 года назад

      Wewe ndo hujamuelewa ivi yeye haendi kuwa mchungali nisawa jee kanisa linaashiria nini si nikwamba nisehemu ya ibada wakati yeye alishakanuka kuwa mungu yupo

  • @joshualkamosi3852
    @joshualkamosi3852 7 лет назад +3

    umejitega na jina lako la mitego wafundishe kuto vaa vichupi hao mabindi unao wachezesha uchi

  • @matendoandrewmgeni1135
    @matendoandrewmgeni1135 7 лет назад

    baridi tuu Mimi muumini number moja nimeipenda hii maana hizi bahasha makanisaini na wenye njaa kukimbilia makanisani kupata msaada imekua kawaida bora huko nitasari nakuongea na Mungu wangu na natoa chochote kama sina nasepazangu

  • @ahhe9035
    @ahhe9035 4 года назад +1

    Ney unasema kweli hawa wachungaji wamezidi washirika masikin nawao ndio wanao toa

  • @mchawindalu4289
    @mchawindalu4289 5 лет назад +1

    Wachache tyuuu weye moyo kama wako mungu akutie nguvu ufikie malengo

  • @kingdeniscrocodile
    @kingdeniscrocodile 4 года назад

    Ili mchungaji akaishi kwenye gorofa hahahahhahah

  • @andrewasagwile7162
    @andrewasagwile7162 7 лет назад +10

    Uchungaji siyo mchezomchezo na hauji kama vitu vingine na pia uchungaji ni karama na pia uchungaji unahitaji hekima

    • @davidmbilinyi4198
      @davidmbilinyi4198 7 лет назад +1

      mungu huandaa watu kama hao hajasomea popote lakini katukumbusha wachungaji wa mshahara huenda mungu anamuandaa kuleta kweli hata mm napenda mtu asali bila kuogopa akiwa nacho atoe hana awe raha

    • @ngugimmoro4988
      @ngugimmoro4988 7 лет назад +3

      Nay serous nakkubali sana than nakuombea sana ufanikiwe katka mipango yako in short ishu essucfull.

    • @ngugimmoro4988
      @ngugimmoro4988 7 лет назад +1

      Nay serous nakkubali sana than nakuombea sana ufanikiwe katka mipango yako in short ishu essucfull.

    • @johnmophat5300
      @johnmophat5300 4 года назад

      Kwakweli dah

  • @faridaessa7844
    @faridaessa7844 3 года назад

    Safi sana kaka Ney

  • @johnmophat5300
    @johnmophat5300 4 года назад +1

    🤣nimekuelewa mdogo wangu wacha wapanic Mungu atawapa wanachokisubiri

  • @minadecosta9629
    @minadecosta9629 7 лет назад

    illuminate washakutuma uwajengee kanisa uzid kuwavuta fanyen yenu tuu ila Mungu anawaona mnatufanya sis vipofu ila Mungu si kipofu tushakuelewa sana

  • @jacksonmembe8837
    @jacksonmembe8837 7 лет назад +6

    mungu akujalie ufanikishe ndoto yako amin

  • @simonfundi5472
    @simonfundi5472 7 лет назад +1

    .that's true bro kuna wachungaji wa mshahara

  • @liviniusijoseph7107
    @liviniusijoseph7107 7 лет назад

    asante sana kaka ney kwa kujenga kanisa.

  • @dnaofgodtv4873
    @dnaofgodtv4873 5 лет назад

    Hili litakuwa ni kanisa lako, km ni la Yesu, masharti ya liwe namna gani hayabaki kuwa yako!

  • @sadikimwalongo7871
    @sadikimwalongo7871 5 лет назад

    Ney hukuwahi kwepesha moja ya wasanii wanao imba maisha ya kweli upo wewe tu

  • @ayubumvungi70
    @ayubumvungi70 7 лет назад

    sikilizenii wimboo wa nay wa mitegoo unaitwaa mr nay mtaniambiaa teeenaa muusikizee na kuuelewaaa piaaa ukipataa kuuelewaa naambiee kituu paleeee

  • @mikentoga1358
    @mikentoga1358 7 лет назад +8

    kaka jenga kanisa kaka Mungu atazdi kukujaalia wazo zurii kaka.

    • @fredyphilipo2202
      @fredyphilipo2202 7 лет назад

      jenga kanisa tu mungu atakuzidishia *100000000000

  • @oscarwilliam8341
    @oscarwilliam8341 Месяц назад

    Ney kunamda watu wanasema humjui . Mungu wao ndio hawamjui

  • @denislyrette4414
    @denislyrette4414 7 лет назад

    Amennnnn mubarikieeeeee

  • @lightnessgodfrey7843
    @lightnessgodfrey7843 5 лет назад +1

    Mmmmh! Tumekwisha hadi Ney (pepo)

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 7 лет назад +3

    haya kumekucha mungu tusaidie tukutambue zehebu gani?

  • @mstafahassan3989
    @mstafahassan3989 5 лет назад +1

    ney upo vizuri umesema kweli kanisa hadi promotion iyo biashara umesema kweli

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад

      Ndio maana wamekuja juu hao wafanya biashara ya makanisa kasema ukweli

  • @amidugodfrey5725
    @amidugodfrey5725 5 лет назад

    Sana bro wasugulie

  • @jumaamwarabu6775
    @jumaamwarabu6775 5 лет назад

    Safi sana kamkubwa ney

  • @mryplus
    @mryplus 7 лет назад

    hivi mnajua maana ya kanisa?
    ukikosa busara hata kwenye mambo ya Mungu,ujue unajipalilia matatizo makubwa sana maishani mwako...

  • @ngugimmoro4988
    @ngugimmoro4988 7 лет назад +4

    Nice

  • @foreverrich7978
    @foreverrich7978 5 лет назад +2

    qweli kabsa nyimbo zko huwa zna make ness

  • @erickkitsao2500
    @erickkitsao2500 3 года назад

    Unapomuona Freemason anasema anajenga kanisa, Ni Jambo la kutuamusha kiroho na kujua Ni Nyakati za mwisho ambapo tunahitaji kuomba na kukemea maovu Kama hayo

  • @elizabethkea6431
    @elizabethkea6431 7 лет назад +6

    jenga baba kanisa lako achana na maneno hayo ni ya wanadamu, kama una iman ya kwel timiza lengo lako mkuu

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 5 лет назад +2

    Umesema vema Ongera sana kwa kumuabudu Mungu kwa kumjengea hela la wamwabuduo. Ilo kanisa liitwe UPONYAJI NI BURE SHUKRANI NI KWA MUNGU.

    • @herielshedrack4730
      @herielshedrack4730 4 года назад

      Hujaelew kitu masikilize wimbo ndo uelewe kanisa analotaka kujenga

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 7 лет назад

    amina mungu akujalue na akuepuse na majaribu haki mungu akufungulie njia

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад

      Amina namimi pia namuombea..maana makanisa ya sasa yamegeuzwa kuwa pango la wanyang"ananyi na soko la biashara

  • @newbrowntv6511
    @newbrowntv6511 4 года назад

    Bro, hv mjengo wako umefikia wapi?

  • @winsleymwasha1103
    @winsleymwasha1103 7 лет назад

    Hajui anacho ongea huyu hajui kilichowakuta watu wa babeli na mnara wao! Cheza na basata na wasanii wa bongo muvi ila s Mungu....ldb km so Mungu anaabudiwa watu wote

  • @leonardsr8994
    @leonardsr8994 4 года назад

    Labda ni kanisa ila sio madhabahu ya Mungu. Msiyachukulie kirahisi, Mungu ana mambo yake

  • @susansusan6898
    @susansusan6898 7 лет назад +1

    jamani nay ametaka kuokoka alafu ajamwelewa nay God bless u

    • @erickabdulrashid
      @erickabdulrashid 5 лет назад

      Naitaji kujua mahili kanisa ilipo ili nishiliki naye Unajuwa wengi hawako Tanzania ndani wako inze yahichi tutaingiaje kwaiyo kanisa nataka kujiunga naye nay wamitego nakupenda sana nataka mafanikio kutoka kwako +25428113055 yangu nambari yasimu nakuitazi sana

  • @malekangunza8609
    @malekangunza8609 3 года назад

    Fungus brother nashida Sana hela mm

  • @wakishuakutokatz4737
    @wakishuakutokatz4737 4 года назад

    Yaan bro mi nakuunga mkono coz wachungaji kibao ni wapigaji na wapenda hela.kifupi asilimia mkubwa ya waumini wanaishi maisha magumu ila wachungaji fake wanakula bata na watoto wao wanasoma ulaya

  • @bone102
    @bone102 7 лет назад

    sioni tatizo kwa Nay wa mitego kujenga kanisa mbona hata sisi tumejenga makanisa mengi kwa sadaka zetu au mnafikiri sadaka mnazotoa kila jpili au ijumaa au siku yoyote zinaenda wapi nay anajenga kanisa sio yeye awe Mungu anaabudiwa kama akina Jay z bhana msimfikirie Nay wa mitego vibaya

  • @salehesengiyanka5397
    @salehesengiyanka5397 4 года назад

    Na hiyo lebo kifuani inamaanisha nn mzee nay au ndo ndege make siion vzuri! Hahahahahaaaaaaaaa!!!

  • @faudhiaiddy7270
    @faudhiaiddy7270 7 лет назад +1

    😂😂😂😂 lol werevaaaa mbona kanisa

  • @kantonankwela787
    @kantonankwela787 6 лет назад

    we we jenga tuta sali nakwamungu tutafika kwani kujiunga nimamuzi ya MTU mwenyewe sio kanisa,nakutaki ujenzi mwema.

  • @Mimi.Official76
    @Mimi.Official76 7 лет назад +3

    Unafikiri kuwa paster ni mchezo mchezo kama unavyofikiria. Kijana au mtu aliye okoka ukimuona tu utajua huyu ni mkristo au huyu ni mslam.kabla huja muuliza utajua

    • @charzabdallah5954
      @charzabdallah5954 6 лет назад

      safi sana

    • @joelbuchuma327
      @joelbuchuma327 4 года назад

      Mtu aliyeokoka??? ivi mtu akiwa ndani ya nyumba,wakati huo nyumba inawaka moto...akaanza kujisifia kua ameokoka Kwenye ajali hio ...utamfikiliaje? Waliookoka wanakua tayari wapo nje ya janga flani.... Duniani ni sehem ya kupita tu ..na ni sehem ya kutujaribu mpaka pale pumzi ya mwisho....Ukifika mbinguni hapo ndo umeokoka...

  • @esterkelvin2612
    @esterkelvin2612 7 лет назад

    Da siku za mwisho zimefika watu amemgeuza Mungu kua kitu cha kawaida sana mungu wangu wape macho ya kiroho wanao wanaangamia.

    • @pockanelly4664
      @pockanelly4664 4 года назад

      Kama VP ataww unge kuwa muchungaj au

  • @mugishavicent9786
    @mugishavicent9786 4 года назад

    Safi ney wamitego nakukubali sana jembe jenga tupo oni

  • @Manshyne
    @Manshyne 7 лет назад +2

    ney on 🔥 duh sijuiii

    • @hidayabakar7026
      @hidayabakar7026 4 года назад

      Pole muungu anaabudiwa Kwa Qraani jidanganyeni tuu

  • @rahmasellemani4563
    @rahmasellemani4563 7 лет назад

    nikwel mi huwa nakuelewa sana tu ney nyimbo zako huwa ni ukwel mtupu

  • @perfectedson8999
    @perfectedson8999 7 лет назад +1

    we love you

  • @assachibaya3995
    @assachibaya3995 5 лет назад

    Mungu nimwema kama nikwel unetengeneza kanisa mungu atakubaliki ila kama nilauongo munguatakuchoma moto

  • @alfanihanasi3788
    @alfanihanasi3788 4 года назад

    Namkubali sana ney anaongea vitu vya kweli kabisa

  • @shillahmakubi7429
    @shillahmakubi7429 7 лет назад

    yess

  • @fleojoseph722
    @fleojoseph722 2 года назад

    Aisee ni mwaka wa 4 huu nay hajafa 😁😁🤣

  • @dicksonmanyamba1063
    @dicksonmanyamba1063 4 года назад

    Kweli kaka waheshimu watumihi w mungu

  • @benwater4957
    @benwater4957 4 года назад +1

    Huyu anaongelea Mungu gani huyu simuelewi 😈

  • @allyjuma5928
    @allyjuma5928 5 лет назад

    Ibilis anazidi kunguuka dunia kueni makini nameelezo ya huyu mkufulu mungu.

  • @seurisanare8015
    @seurisanare8015 7 лет назад

    Jenga kanisa kaka kama uwexo upo ubarikiwe sana kwa maono yako

  • @wisetreasure1855
    @wisetreasure1855 7 лет назад

    Mathayo 16:18 KANISA ni 1 tu hayo mengine semeni kweli kuwa Fre mason wamewaelekeza hivyo mteke wengi

  • @helmensmadeha4954
    @helmensmadeha4954 6 лет назад

    good

  • @ashamohammedashamohammed7401
    @ashamohammedashamohammed7401 7 лет назад

    mimi nahisi sasa kiyama kishafika, kwa kweli acheni mimi nitangulie jehannamu, maana nikisubiri zaidi nahisi nitaukita wawaka zaidi

  • @Mwalazanyi
    @Mwalazanyi 7 лет назад +5

    tuache mchezo....wamemtuma?

  • @josephmayunga5375
    @josephmayunga5375 7 лет назад

    #966 fungua 2 Manisa brother!

  • @ludovickharsonharson3564
    @ludovickharsonharson3564 4 года назад

    Hahahahaaaaa kweli mm namkubali sana ney. Na huyo lusekelo hana lolote anamaneno machafu sana. Ukimfatilia vizuri

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад

      Tena sana mzee wa upako me simpendi kbs wala mahubiri yake huwa siyangalii wala kuyasikiliza....

  • @salmasaid7254
    @salmasaid7254 7 лет назад +2

    uko vizuri. nay

  • @nicholusodhiambo3910
    @nicholusodhiambo3910 5 лет назад

    ny your true but wanao fanya kw madhabau ula hapo like 10 percent sadaka that's must

  • @atanasmkondya5952
    @atanasmkondya5952 4 года назад

    Happy

  • @glorykweka1631
    @glorykweka1631 7 лет назад

    wanajilengesha wenyewe. Nimeipenda hiyo. pilipili iko shamba yamuwashianini

  • @glorykweka1631
    @glorykweka1631 7 лет назад

    point

  • @exellentfools4646
    @exellentfools4646 7 лет назад

    safi ney

  • @jumamadoshi1319
    @jumamadoshi1319 5 лет назад

    Nakuelewa ney

  • @mzawakissboy9762
    @mzawakissboy9762 4 года назад

    ahaaaaa ney wawatu