Mkasi - SO8E01 With Mchungaji Lusekelo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 44

  • @samuelmwaipopo1302
    @samuelmwaipopo1302 10 лет назад +1

    i like this guy. mzee wa upako nisemaga sana hii kitu. i like this guy

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 5 лет назад +1

    Napenda majibu yako very powerful

  • @elizabethswinny4516
    @elizabethswinny4516 10 лет назад

    daa salama umemuuliza ya muimu sana mimi kama mkristo cjampenda anaonyesha ni kiac gani anatumia uchawi kwa sababu watanzania wanaamini uchawi

  • @charlyjackson4283
    @charlyjackson4283 10 лет назад +1

    Salama unajitahidi sana mashallah

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 10 лет назад +1

    Iwatch little bit of everything "Salama"

  • @michaeltonya5537
    @michaeltonya5537 10 лет назад

    Safi sanaa bi dada unaruka viunzi.

  • @kingsulemani7251
    @kingsulemani7251 6 лет назад

    Asante sana Mzee wa upako umejaa Kweli na hekima nyingi umesaidia wengi sana wachache sana wasio nauelewa mzuri kuhusu wewe mzee ulimwengu nakuhitaji kwa utukufu wa Yesu kiristo Amen

  • @kisesah.i.a9205
    @kisesah.i.a9205 10 лет назад

    Hakuna aliloshindwa kujibu, kweli wa upako hasa, nimegundua maswali ya kuuliza yaliisha kabisaa, Muba alibaki anacheka tu, Salama akaamua kuimba wimbo wa Bob Marley wakati wa upako anajibu maswali, John maswali yote yamejibiwa.Huyu jamaa anaupeo mkubwa sana wa kujibu maswali. Nawapongeza kwa kazi nzuri.

  • @nadiambeya
    @nadiambeya 10 лет назад

    I like me some Salama!!!,
    greetings from Sweden!

  • @luluemerald5380
    @luluemerald5380 10 лет назад +1

    nakubaliana na Jonah Hex...huyu anaitwa nabii na ameshawahi kuiba na kwenda jela, na bado wanamwita nabii.

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 10 лет назад +3

    from Ney WaMitego. Nasema nao clip 45----57. "MCHUNGAJI NDO TAJIRI, WAHAMINI HOTE NI MASKINI. UTAJIRI KAHUPATA WAPI KAMA SIYO SADAKA ZENU..? HAMKENI NYINYI MAZOMBI KUZIMU MULISHA WEKWA PONI."
    NI BALAAAAAAAA. sasa nimesikia hapo Mzee waUpako, amesema lazima yeye awe kioo, yahani hawezi kuwa maskini, wakati yeye ni Mchungaji. ikani bidi nikumbuka True boy. nakuhona kweli anastahili kwa anacho kihimba.@Trueboy. chapa kazi, Mfalme wa MANZESE.!

  • @mwagitomkalimoto1866
    @mwagitomkalimoto1866 10 лет назад

    Job well done Team Mkasi! However, Mzee wa upako amewapeleka mbio sana. Ni vyema watu kama hao mkawa mnajiandaa mapema kwa maswali, vinginevyo itakuwa balaa, kama ilivyowatokea hapo.

  • @khadijawilly3348
    @khadijawilly3348 10 лет назад +2

    Salama umekosea mno kwenye swala LA mavazi maana umeshindwa kusoma mazingira.kumbuka huyo ni mchungaji so nyinyi mnao muoji mmefeli mavazi kabisa.

  • @chescomwakipese3422
    @chescomwakipese3422 5 лет назад

    Wewe salama jitazame

  • @EmmanuelMassawe
    @EmmanuelMassawe 10 лет назад

    @mkasi have more prep time for questions. .this upako guy waz not answering any questions. ..love the show keep up the good work
    Hopefully one day this can be like larry king show on cnn...

  • @sarshamarrabo9822
    @sarshamarrabo9822 7 лет назад +1

    Mh madam kufa ni hasara

  • @nenohekima6014
    @nenohekima6014 10 лет назад

    Mzee wa upako una maneno mengi lkn huna neno na maneno yanauwa lkn neno linahuisha jilekebishe

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 5 лет назад

    Salama ndo maswali gani hayo.ingawa imepita ila I hopeumejirekebisha

  • @lucaskimaro2530
    @lucaskimaro2530 7 лет назад

    Muba unazunguka sana wakati wa kuuliza maswali alafu unachapia kinoma noma

  • @nataliakihio8550
    @nataliakihio8550 7 лет назад +1

    kuishi ni Kristo na Kufa ni faida

  • @saycrissimon4058
    @saycrissimon4058 10 лет назад

    amen

  • @kcstarztorch248
    @kcstarztorch248 10 лет назад +1

    population 48,261,942 (July 2013 estimate)

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +1

    Duh! Mzee hana kazi yoyote zaidi ya sadaka ndio inamtajirisha.

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 10 лет назад

    Muba bro leo umekosea katika kivazi

  • @thomasanthony8246
    @thomasanthony8246 10 лет назад

    yap

  • @josephinemeela9098
    @josephinemeela9098 10 лет назад

    Nataka nimjue Yesu, Na nizidi kumfahamu, Nijue pendo lake na wokovu wake kamili. Ukisoma Biblia vizuri na kuelewa utagundua Yesu hakukusanya Sadaka wala hakusajili watu wanaosali naye. Hawa wachungaji wetu wanaishi maisha ya Yesu.... eti Yesu alilive large? Sikumbuki kwa kweli. He was a rich man in their dreams..... though

  • @EmmanuelMassawe
    @EmmanuelMassawe 10 лет назад

    Mzee wa upako akijiinua...

  • @Raihan20000
    @Raihan20000 10 лет назад

    Ibrahim kamzaa Yaakub... that's wrong Mchungaji. Ibrahim kamzaa Ismail na kamzaa Is'haq. Allah akuongoe

  • @uwrtvuwrtv3575
    @uwrtvuwrtv3575 5 лет назад

    Kwel

  • @alexmilwano7537
    @alexmilwano7537 10 лет назад

    MZEE WA UPAKO UMESAMEHEWA DUNIANI NA MBINGUNI ENENDA UKAIHUBIRI INJIRI

  • @Diah1981
    @Diah1981 10 лет назад

    huyu Jamaa , kiroho chake ni 0 zero
    hana hata kauli za kichungaji , yani hata upako as he calls him self kuwa ni mzee wa Upako

    • @frankkasekaFrankfrut
      @frankkasekaFrankfrut 10 лет назад

      umeona ee, yahitaji Mungu kujua yupi ni yupi

    • @Diah1981
      @Diah1981 10 лет назад

      Frank kwa huyu jamaa hata akiliza kuzaliwa tu unajua kuwa hapa hamna kitu ....
      alafu salama anamuuliza maswali ya kumkejeli na yeye anajibu kwa ujasili kumbe anajikashifu mwenyewe alafu salama anamcheka ... ¬!"£$%^&*()_

    • @yohanamwilwa8841
      @yohanamwilwa8841 5 лет назад

      mnamwamini mungu niaminina namm oll jesus

  • @allenge
    @allenge 10 лет назад

    Viongozi wa dini kuishi maisha ya kifahari kupitia migongo ya waumini sijui dhana hiyo wanaitolea wapi? Mbona hatoi ushahidi wa kiongozi gani wa wakati huo ambaye alikuwa akiishi maisha ya kifahari kupitia kwa michango ya waumini wake. Sasa kama ana biashara nyingine afanyazo kwa kupitia mgongo wa jina la dini hapo aeleze vizuri na hukumu yake ikoje? La sivyo ni mpiga dili kama wapiga dili wengine tu mjini.

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 10 лет назад


      from Ney WaMitego. Nasema nao clip 45----57. "MCHUNGAJI NDO TAJIRI, WAHAMINI HOTE NI MASKINI. UTAJIRI KAHUPATA WAPI KAMA SIYO SADAKA ZENU..? HAMKENI NYINYI MAZOMBI KUZIMU MULISHA WEKWA PONI."
      NI BALAAAAAAAA. sasa nimesikia hapo Mzee waUpako, amesema lazima yeye awe kioo, yahani hawezi kuwa maskini, wakati yeye ni Mchungaji. ikani bidi nikumbuka True boy. nakuhona kweli anastahili kwa anacho kihimba.@Trueboy. chapa kazi, Mfalme wa MANZESE.!

    • @salumhabib3329
      @salumhabib3329 10 лет назад

      ndugu yangu sas hivi au wakati tulio nao ni tofauti na nyakat zile. viongozi wa dini wanafanya biashara kwa kupia imani lakini wanafahamu kabisa ni makosa kufanya hivyo. ni bora imani ubakie nayo mwenyewe usitegemee kwa viongozi wetu, ni bora usome imani na mwisho ujiongoze mwenyewe

  • @nenohekima6014
    @nenohekima6014 10 лет назад

    imeandikwa wapi kuwa kufa ni faida

  • @reginaassey6534
    @reginaassey6534 9 лет назад

    alitakiwa kujibu maswali yote kupitia Biblia Takatifu