Nawe umeota ndevu unawatukana MABODYGUARD Nay wa Mitego Njoo hapa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2019
  • #NaywaMitego #BongoTouch
    Please subscribe now on our RUclips channel to be the first to hear about the latest news and updates on time.

Комментарии • 427

  • @MjusSlam
    @MjusSlam 4 года назад +170

    kama unaamini ma bounce wote wanahongwa na bia gonga like.
    true boy

  • @stephanomaswagaa4860
    @stephanomaswagaa4860 4 года назад +31

    Kama unaamin bongo touch mafala gonga like here

  • @georgechibai2716
    @georgechibai2716 4 года назад +6

    Kwangu mimi sijui ugomvi ulitokea wapi bali napenda kusema tu tuheshimu kazi ya mtu coz hiyo ndiyo inalisha yeye na familia yake. Hata wewe Nay wa Mitego, sidhani utasikia vyema iwapo tutasema "wasanii ni wahuni, malaya, mateja na wanapenda kuishi fek life!!!!" Hiyo ni dharau kubwa kwa wasanii na hivyo basi hata wewe heshimu kazi ya mwenzako kama vile tu wewe ni kioo cha jamii. Nakuheshimu sana Nay kwa utunzi wako mzuri bali hapa ndugu yangu haukutendea binadamu mwenzako na mtafutaji kama wale wengine haki ili watoto wao wawe vizuri kwa maisha. Watoto ambao babazao ni mabodyguard watakuchukia bure na ni vyema utafakari sana kile ulichokisema, si kizuri. Hata anayefanya kazi ya chura na kulipwa $70 kwa mwezi ni bora tu kuliko kukaa nyumbani na kuwa mwizi ama changudoa. "Heshima ya mtu ni utu na hata yule mtukutu usimuone kiatu."

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 4 года назад +19

    Hata.wanao.mlinda.rais
    Ni.mabossa.nay.vizuri.umeongea. true story about life

  • @manduvujege7747
    @manduvujege7747 4 года назад +2

    Ongeraa saaana chibu dangotee unapenda maendeleo ya vijana wenzakoo Big Up saanaa

  • @jonsonijemes1727
    @jonsonijemes1727 4 года назад +2

    kataa naiyoo ney jembe kama unaamini ney haongop kima full like apo ndichi

  • @user-hn4rq1mt4u
    @user-hn4rq1mt4u 4 месяца назад

    hongera sana kwako bro baunza unatambua umuimu wa mtu Mungu akusaidie

  • @maxfaida6237
    @maxfaida6237 4 года назад +12

    Haya maisha mabaya sana,,,Mjue sana Mungu ili amani iingie

  • @ayubujackson5782
    @ayubujackson5782 4 года назад +1

    Diamond Mungu akubaliki xana brother kwa kuwa inua vjana

  • @loyceackim4296
    @loyceackim4296 4 года назад +25

    Kaka mstarabu anaongea vizuri Kwa utulivu. bila jazba pamoja na kashifa zote.

  • @maxozone3762
    @maxozone3762 4 года назад +2

    Msema kweli ni kipemzi cha mungu ,,,na penda ukweli wako

  • @yohanamollel988
    @yohanamollel988 4 года назад +7

    Upuuzi tu unaongea mwanangu so big up Mr True boy

  • @dulaydulay4126
    @dulaydulay4126 4 года назад +24

    We neema huna lolote. Kaondoka kwako, ndio unaongea ujinga huo. We nani mpaka umpige mkwala. Usimtishiye mwanaume mwenzako.

  • @isayakombe1057
    @isayakombe1057 4 года назад +83

    Kama unaamini bongo Touch ni boya gonga like nyingi hapa

  • @Would436
    @Would436 4 года назад +7

    Namukubali san jitu lakale ila siyo vizuri Ney wamitego 😭

  • @juliethjackson1047
    @juliethjackson1047 4 года назад +151

    anaye muunga nay mkono gonga like

    • @evancswai6199
      @evancswai6199 4 года назад +3

      Ney hajaongea vibaya kaongea point kubwa sana wanaomaindi hawajaelewa

    • @evancswai6199
      @evancswai6199 4 года назад +1

      Kusema kweli hatuogop

    • @rkplatnumzplatnumz4603
      @rkplatnumzplatnumz4603 4 года назад

      julieth jackson choko Tu

    • @butlermelia7955
      @butlermelia7955 4 года назад

      Mimi binafsi simuungi mkono ney wa mitego,Amedhalilisha Mabaunsa!lugha alioitumia inaleta ukakasi!Nikweli tuna uhuru wa kuongea lkn tuweni nakini natunachokiongea au kukiposti"kwa maneno yako utaesabiwa HAKI na kwa maneno yako UTAHUKUMIWA"

    • @butlermelia7955
      @butlermelia7955 4 года назад

      Ramadhan aldawiyya From Zanzibar. ..U super star usitupe Kibali cha kuongea UTAKACHO hata kama ni Udhalilishaji/upotoshaji...

  • @jamesnangachi1411
    @jamesnangachi1411 4 года назад +114

    mafala nyie yaani mnatuwekea picha ya rais kuwa anamfokea ney, kumbe ni huo ujinga wenu huo, shenzi zenu mnatupotezea muda

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah9630 4 года назад +4

    Like yako tafadhali .....kama umegundua jitu LA ni muoga ...

  • @allyemmanuel6512
    @allyemmanuel6512 4 года назад +9

    Kaka nay kufanikiwa kwako isiwe fimbo kwa wenzio Angalia jinsi anavyo Ongea mwenzio jilekebishe kaka one day Aya maisha yana mwisho wake

    • @geofreymsengi9971
      @geofreymsengi9971 4 года назад

      Kweli jamaa huyu Ni mstaarabu Mno hajapanic

    • @manasetandu4680
      @manasetandu4680 4 года назад

      Ally Emmanuel acha ufala akili ndogo ndomaana huwezi kumwelewa nay

  • @mkamambusi1319
    @mkamambusi1319 4 года назад +43

    nyie siku zote mtakuwa wasenge ney hana kosa mbali yuko tetea kimbalua chenu ila we uko na bifu na mr nay

    • @muhidiningamba6662
      @muhidiningamba6662 4 года назад +2

      Sasa uyo unayesema anatetea yey ndo mnyonyaji anamzungusha mtu anamlipa elfu10 wabongo bhana kwa kutetea ujinga tuko vizuri

    • @laurentiprochesi1197
      @laurentiprochesi1197 4 года назад

      Gd

  • @evodiusmbilla
    @evodiusmbilla 4 года назад +6

    Mabaunsa nao wanatafuta rizki, si vyema kuwabeza katika njia zao za utafutaji. Sote hatuwezi kuwa na njia moja ya kuipata rizki. Diamond help them so that they can support their family

  • @centralboytz4240
    @centralboytz4240 4 года назад +8

    Achen ufala bongo lalaaaa nyie picha ya rais na bordguard wake imehusikaje apo 🙄

  • @batulimabewa6953
    @batulimabewa6953 4 года назад +20

    Basi mtafute kazi nyingine ya kufanya, maana hata mwarabu nae alisema wakati anafanyakazi kwa Diamond hajawahi kuwa na pesa Bank. Sasa yanini kujitutumua bila malipo.

    • @sospetersiame906
      @sospetersiame906 4 года назад

      Hongereni kumtambua anaewajari

    • @ernestkimati9762
      @ernestkimati9762 4 года назад

      Hawa wapumbafu sana,munatumia picha za rais kwa mambo yenu ya kipuuzi acheni ujinga wenu wa kibange wapuuzi nyie

  • @leahmwaikenda2718
    @leahmwaikenda2718 4 года назад

    kweli we we jitu LA kale umenena kwa busara nzuri sana

  • @mkwenyachristopher9310
    @mkwenyachristopher9310 4 года назад +7

    Nakubar xaaana Ney wa mitego
    Unaongea powaaah kabixa hahaha

  • @Smartboy-wt1es
    @Smartboy-wt1es 4 года назад +2

    Jamaa kaongea ukweli m2pu, ni wachache wanaoweka wazi uhalisia wao, big up @ jitu la kale

  • @malekangunza8609
    @malekangunza8609 3 года назад

    Good Sana ney ney Ana chukiwa kwa sababu Ana ongea ukwer ukwer una uma Sana ira kumbuka Kama umejisahau unakumbushwa arafu vilevile no faida kwao

  • @jumamohammedjumaa8741
    @jumamohammedjumaa8741 4 года назад +7

    Saw kk

  • @norbertmapesa6296
    @norbertmapesa6296 4 года назад +32

    Kama Unaamini Saa Kumi sio Usiku Gonga Baunsa Huwez kulud Saa Kumi Nyumbn

    • @bantwagordon8362
      @bantwagordon8362 4 года назад

      Kawaida maneno kwa binadamu ukifanya zuri watasema na baya ndio zaidi.

    • @asedimakame3106
      @asedimakame3106 4 года назад

      Huyo baunsa bhana awez ogopa

  • @isacoscar6777
    @isacoscar6777 4 года назад +2

    Jamaa linafurahisha sana kweli bia tamu sanaaaaa😂😂

  • @sayikija400
    @sayikija400 4 года назад +4

    Mbona hii habari ni kama maji na mafuta haziendani na cover yake,tafuteni habari na muzitoe kiufasaha.

  • @ayubujackson5782
    @ayubujackson5782 4 года назад +1

    Ji2 la Kale 2ko pamoja brother

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 4 года назад +25

    Kwa anaefaham kiswahili vzr, nay aliongea vzr sn, Ila ninyi mabaunsa mlitafsiri vibaya, yatawakuta

    • @matondomakela2905
      @matondomakela2905 4 года назад

      Fuba Njenjele ney amekosea sana kumwambia mwenzko anafny kaz kw ofa ya bia c sahih kuna kaul za kuheshim ut

  • @yusuphjonathan8592
    @yusuphjonathan8592 4 года назад

    Kaz n kaz Tata pga kazi

  • @jeremialauden5710
    @jeremialauden5710 4 года назад +1

    True boy

  • @norbertmapesa6296
    @norbertmapesa6296 4 года назад +27

    Team Ney Tugonge

  • @iddrisakondeboy7851
    @iddrisakondeboy7851 4 года назад +70

    Kama Kuna mtu kagundua kuwa mtangazaji kamuogopa nay kajificha gonga like hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @josephatkital8163
    @josephatkital8163 4 года назад +2

    Mabausna gan wanalinda kwabia

  • @hamisimapalala7709
    @hamisimapalala7709 4 года назад +4

    Ney mshamba Sana , acha kuwaza maisha ya watu

  • @andrewmaganga704
    @andrewmaganga704 4 года назад +3

    Masasi mwaka 2011 nilikuepe br bar na eneo jingine ilikuwa ni jibo bar.

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 4 года назад +5

    Kama umemuelewa bausa Chibu analipa mkwanja na

  • @regneralex819
    @regneralex819 4 года назад +20

    Ney kaongea point yn

  • @kyenseclarence7866
    @kyenseclarence7866 4 года назад +2

    Kweli

  • @kakagonza8954
    @kakagonza8954 4 года назад +1

    Goood jitu la kale

  • @westsidetv6837
    @westsidetv6837 4 года назад +5

    The true boy in the building

  • @evaristlucas6338
    @evaristlucas6338 4 года назад +1

    Na mm ni jitu la kale namba 2 i like that name

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv2601 3 года назад

    THE BIGGEST BOSS NASRI TV

  • @munamajid2327
    @munamajid2327 4 года назад +7

    ney we boya san

  • @helmankafuka6507
    @helmankafuka6507 4 года назад +4

    Mm narud nyumbani saa 9

  • @ystv8283
    @ystv8283 4 года назад +2

    We fala

  • @shafiiali6617
    @shafiiali6617 4 года назад +2

    Mim maoni yngu sis binaadamu tunatofautiana kimipango na kimaisha kwahyo unacho kiona kiko sawa na kinaweza kukuletea ugali ulio halali ni vzur. Ila si vyema kujidhalisha kwa kitu

  • @geofreymsengi9971
    @geofreymsengi9971 4 года назад +13

    Bounca anaongea vzuri Mno Ni mstaarabu

  • @mussajumanne1694
    @mussajumanne1694 4 года назад

    Ukisikia ujinga ndio huo huo ujinga sasa hata mkauweka kwenye midia unasaidia nini jamii zaidi ya ufala wenu

  • @bonabonala8253
    @bonabonala8253 4 года назад +25

    Ney yupo sahihi kuomgea hivyo

    • @reecemweneb6077
      @reecemweneb6077 4 года назад

      Mabaunza msimchukiye ney anawateteya ninyi msichukuliwe powa.

    • @edsonbaitholomeo7414
      @edsonbaitholomeo7414 3 года назад

      Nyie niwapumbav mnaweka mataila kwenye picha yalais

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 4 года назад +4

    Hahaha nay bhana!!

  • @mzeekhery2376
    @mzeekhery2376 4 года назад +3

    Picha ya mweshimiwa nayo mnazingua

  • @frankkimario1999
    @frankkimario1999 4 года назад +3

    Broo cjakuelewa.sanamu tenah.

  • @tibonmbingi1082
    @tibonmbingi1082 10 месяцев назад

    Nay songa mbele fanya kazi achana na wakaanga chumvi km pesa ni zako na unajua umepataje anayetaka heshima akadai kwa familia yake,km fedha nae atafute zake km anaweza

  • @bernardmwangapile4045
    @bernardmwangapile4045 4 года назад

    aha ahaa sema unataka diamond akwajili ndo maan unamfagilia

  • @divaifrank633
    @divaifrank633 4 года назад +3

    Boby gady unaakili sana mi nimependa unavyo mthamini mtu

  • @danielmachange964
    @danielmachange964 4 года назад +1

    Ifike mahali tujitambue...Hiki mkifanyacho ni ujinga ulio pitiliza tena mnastahili hukumu kwa ujinga huu

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 года назад

    Bouncer amefurahi kupanda ndege

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 4 года назад

    Kumbe ata mm naweza kumiliki mabaunsa na kuwalipa posho zuri tu na wakafurahia maisha.

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan7242 4 года назад +2

    Ongeaa Md muhimuu sio unamsifia diamond tuu vipii

    • @adirikiharuna2236
      @adirikiharuna2236 4 года назад

      Hakuna asiependa kumsifu anaemjali.utakua uchoyo wafadhila.

  • @mugishazhefania2615
    @mugishazhefania2615 3 года назад

    Kumbe dh Ney fanya kwer

  • @yasinimasimba2568
    @yasinimasimba2568 4 года назад +7

    pumbavu zenu nyie mmenimalizia mb zangu bure mm nilijua muheshimiwa anamfokea ney kumbe bure kabisa sasa picha mmeweka ya nn sasa

  • @cobabavaluu3795
    @cobabavaluu3795 4 года назад +1

    Mnayumba Sana lakni kuweni na msimamo boy

  • @edwardmagori6630
    @edwardmagori6630 4 года назад +1

    Msimuunganishe mhe Rais kwenye upuuzi wenu.

    • @abdallahsaidi3709
      @abdallahsaidi3709 4 года назад

      Wapuuz nyie mnaweka picha ya rais kujipandisha wekeni masura yenu ya jitu jeusu sio ya rais

  • @user-qf5xf2zy3i
    @user-qf5xf2zy3i 4 месяца назад

    Acha utahira wakutuaminisha ujinga Kuna mwana harakati gani wakurudi satisa ucku au mwana harakati wa mademu.....na mwandishi bila akiri unakazia et amekutishia kutishia yaanyo.

  • @fadhilidkadogokadogo2908
    @fadhilidkadogokadogo2908 4 года назад

    Best naso

  • @ramaninaujenzitz9395
    @ramaninaujenzitz9395 Год назад

    Jamaa hana hasira na Nay wala matusi ya kurudisha kwa sababu moyo umejaza mengi mazuri ya Diamond, kwa kifupi Ney kaabika sana katika hili...

  • @ahmedrashid1625
    @ahmedrashid1625 3 года назад +1

    Gonga like uyo jitu mwoga hahaha😁😁😁😂😂😭😨😨😨😅

  • @jacksonkabaata6011
    @jacksonkabaata6011 4 года назад +11

    Kama umesikia baunsa kasema sio hela ndoro gonga like 😂

  • @yohanandidi3373
    @yohanandidi3373 4 года назад +1

    Acheni ujinga kuweka picha hausiki kikihizo zakishamba ney apewe pongezi samin kaziyenu

  • @lucasjacob9733
    @lucasjacob9733 4 года назад +3

    Mm mwenyewe mabausa wananiboa sana mnaomba Sanaa mnajizalilisha

  • @salumnassoro7634
    @salumnassoro7634 4 года назад +1

    Bro unataka kuingia mziki wa true boy kama utamshinda basi tutakuchangia we jitu la kale alafu hao wana personal conflict wala hakuna kingine

  • @mcdondosha4151
    @mcdondosha4151 4 года назад +6

    Msirudie kuweka picha ya rais kwa mambo kama haya mjue huyo ni rais wa nchi hampaswi kumshilikisha mambo ya kipumbavu

  • @jumasaidi5760
    @jumasaidi5760 4 года назад +1

    Aiwezekani kwa ney kuwahomba msamaa mmehadaliwa nyinyi

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 года назад +1

    HAWO MA BAUNSA WAMEKOSA KAZI ZA KUFANYA KWANI HILO NI JAMBO LA KUFATILIA MWAPENDA KUBAFILISHA MANENO SANA KAMA WANA WAKE AMA MUMEKOSA KAZI ZA KUWA LINDA WATU MJE MNILINDE MIMI NA SINA PESA KABISA BUREEE🇰🇪🇨🇿

    • @titteezj1907
      @titteezj1907 4 года назад

      Jeshi lingewatumia hawa jamaa ili wapate kipato cha uhakika

  • @ismailmdemu221
    @ismailmdemu221 4 года назад +1

    mavi yenu mkome kumtumia rais kwenye usenge wenu hana muda n upuzi

  • @kwetuarts
    @kwetuarts 4 года назад +3

    Manina

  • @user-et4gu5xf2f
    @user-et4gu5xf2f 4 месяца назад

    Huyo bouncer anaonekana ni bongo la mshamba,harafu kama anatafuta ajira hivi wasafi!!

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 4 года назад +3

    Asa police inafanya kazi gani??

  • @g.successhome4325
    @g.successhome4325 4 года назад +1

    Kama umesikia "Ili Uishi vizuri na mtu basi lazima umzingatie Pia" nimemuelewa kuwa kwenye maisha ukitaka kufanikiwa zaidi basi hata walio chini yako wajali...

  • @omarogog2480
    @omarogog2480 3 года назад

    Lakini kweri mnakamata watu wanaogombania Mapombe kwenye Baaa Munawafananisha na Raisi wa inchi kweri nyie Mafara tu

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 4 года назад +4

    Turboy nalielewa Sana hili liney linajitambua aisee

  • @wakalitanzaniawtzsivamusic6738
    @wakalitanzaniawtzsivamusic6738 4 года назад +2

    Duu we nay

  • @rehemaelia7636
    @rehemaelia7636 4 года назад +11

    Sasa picha ya rais, inauhusiano gani na hii habari?????🤔.mbavuu!!!!!

  • @georgemtewele7656
    @georgemtewele7656 4 года назад +1

    Achilia mambo yenu yote sijui kitu kuhusu hili
    Ili huyu bauncer speech yake iko really

  • @shairanadam1443
    @shairanadam1443 4 года назад +7

    Kiswahli kigum snaa.... Ney alichoongeaa inabdi ukae utliee sana nd uelewa kuwa ney Han kosa

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP 4 года назад

    Ney wa mitego ni shogaaa kwelikweli

  • @philmonsylvanus3927
    @philmonsylvanus3927 4 года назад +1

    Hatari

  • @juniorfulgence2469
    @juniorfulgence2469 3 года назад

    True

  • @alhajiFashions7563
    @alhajiFashions7563 Год назад

    Hizi vitu zinazoongelewa hpa haziendani na Headline Y??

  • @kassidpandu9806
    @kassidpandu9806 4 года назад

    Mambo gani hayo wa tz tunataka upendo zaidi ya malumbano

  • @johnmaguchi7880
    @johnmaguchi7880 4 года назад

    Nay uko vzr

  • @user-xp4ll3ce1u
    @user-xp4ll3ce1u 4 года назад

    Huyu nei wa mitego anachoyo sanaa yani sijui kaubwa vip

  • @andrewmaganga704
    @andrewmaganga704 4 года назад +2

    Bounced were error made breeder seeds acheni ujinga

  • @evodiusmbilla
    @evodiusmbilla 4 года назад +1

    Ni kwa kutoa ndipo tunabarikiwa, Diamond and Harmoniza endelezeni moyo huo wa kuwasapoti wengine ili nao wajikimu kimaisha

  • @kingsonkantona9753
    @kingsonkantona9753 4 года назад +1

    Ugu gu channel ni mafalla ote