Kwangu mimi sijui ugomvi ulitokea wapi bali napenda kusema tu tuheshimu kazi ya mtu coz hiyo ndiyo inalisha yeye na familia yake. Hata wewe Nay wa Mitego, sidhani utasikia vyema iwapo tutasema "wasanii ni wahuni, malaya, mateja na wanapenda kuishi fek life!!!!" Hiyo ni dharau kubwa kwa wasanii na hivyo basi hata wewe heshimu kazi ya mwenzako kama vile tu wewe ni kioo cha jamii. Nakuheshimu sana Nay kwa utunzi wako mzuri bali hapa ndugu yangu haukutendea binadamu mwenzako na mtafutaji kama wale wengine haki ili watoto wao wawe vizuri kwa maisha. Watoto ambao babazao ni mabodyguard watakuchukia bure na ni vyema utafakari sana kile ulichokisema, si kizuri. Hata anayefanya kazi ya chura na kulipwa $70 kwa mwezi ni bora tu kuliko kukaa nyumbani na kuwa mwizi ama changudoa. "Heshima ya mtu ni utu na hata yule mtukutu usimuone kiatu."
Mabaunsa nao wanatafuta rizki, si vyema kuwabeza katika njia zao za utafutaji. Sote hatuwezi kuwa na njia moja ya kuipata rizki. Diamond help them so that they can support their family
Mimi binafsi simuungi mkono ney wa mitego,Amedhalilisha Mabaunsa!lugha alioitumia inaleta ukakasi!Nikweli tuna uhuru wa kuongea lkn tuweni nakini natunachokiongea au kukiposti"kwa maneno yako utaesabiwa HAKI na kwa maneno yako UTAHUKUMIWA"
Basi mtafute kazi nyingine ya kufanya, maana hata mwarabu nae alisema wakati anafanyakazi kwa Diamond hajawahi kuwa na pesa Bank. Sasa yanini kujitutumua bila malipo.
Mim maoni yngu sis binaadamu tunatofautiana kimipango na kimaisha kwahyo unacho kiona kiko sawa na kinaweza kukuletea ugali ulio halali ni vzur. Ila si vyema kujidhalisha kwa kitu
Nay songa mbele fanya kazi achana na wakaanga chumvi km pesa ni zako na unajua umepataje anayetaka heshima akadai kwa familia yake,km fedha nae atafute zake km anaweza
Acha utahira wakutuaminisha ujinga Kuna mwana harakati gani wakurudi satisa ucku au mwana harakati wa mademu.....na mwandishi bila akiri unakazia et amekutishia kutishia yaanyo.
HAWO MA BAUNSA WAMEKOSA KAZI ZA KUFANYA KWANI HILO NI JAMBO LA KUFATILIA MWAPENDA KUBAFILISHA MANENO SANA KAMA WANA WAKE AMA MUMEKOSA KAZI ZA KUWA LINDA WATU MJE MNILINDE MIMI NA SINA PESA KABISA BUREEE🇰🇪🇨🇿
Kama unaamin bongo touch mafala gonga like here
Uduanz huo
@@simonilucas4672 gg .gggggg.gggggggg
Kwangu mimi sijui ugomvi ulitokea wapi bali napenda kusema tu tuheshimu kazi ya mtu coz hiyo ndiyo inalisha yeye na familia yake. Hata wewe Nay wa Mitego, sidhani utasikia vyema iwapo tutasema "wasanii ni wahuni, malaya, mateja na wanapenda kuishi fek life!!!!" Hiyo ni dharau kubwa kwa wasanii na hivyo basi hata wewe heshimu kazi ya mwenzako kama vile tu wewe ni kioo cha jamii. Nakuheshimu sana Nay kwa utunzi wako mzuri bali hapa ndugu yangu haukutendea binadamu mwenzako na mtafutaji kama wale wengine haki ili watoto wao wawe vizuri kwa maisha. Watoto ambao babazao ni mabodyguard watakuchukia bure na ni vyema utafakari sana kile ulichokisema, si kizuri. Hata anayefanya kazi ya chura na kulipwa $70 kwa mwezi ni bora tu kuliko kukaa nyumbani na kuwa mwizi ama changudoa. "Heshima ya mtu ni utu na hata yule mtukutu usimuone kiatu."
Kweli kabisa
kama unaamini ma bounce wote wanahongwa na bia gonga like.
true boy
True boyyyyyyyyy
Ongeraa saaana chibu dangotee unapenda maendeleo ya vijana wenzakoo Big Up saanaa
Hata.wanao.mlinda.rais
Ni.mabossa.nay.vizuri.umeongea. true story about life
Faustine Kiwia hahahaa subutu
kataa naiyoo ney jembe kama unaamini ney haongop kima full like apo ndichi
hongera sana kwako bro baunza unatambua umuimu wa mtu Mungu akusaidie
Haya maisha mabaya sana,,,Mjue sana Mungu ili amani iingie
Msema kweli ni kipemzi cha mungu ,,,na penda ukweli wako
Upuuzi tu unaongea mwanangu so big up Mr True boy
Kama unaamini bongo Touch ni boya gonga like nyingi hapa
choko kabisa sio boya.kwasababu kutukanwa wanapenda wenyewe wasenge hawa
Mabogas
Wanazingua Sana kumchanganya rais na upuuzi wao
Diamond Mungu akubaliki xana brother kwa kuwa inua vjana
Like yako tafadhali .....kama umegundua jitu LA ni muoga ...
We neema huna lolote. Kaondoka kwako, ndio unaongea ujinga huo. We nani mpaka umpige mkwala. Usimtishiye mwanaume mwenzako.
Kaka mstarabu anaongea vizuri Kwa utulivu. bila jazba pamoja na kashifa zote.
Sana mi nimemuelewa vilivooo
Nani huyo?
Mbona hii habari ni kama maji na mafuta haziendani na cover yake,tafuteni habari na muzitoe kiufasaha.
Namukubali san jitu lakale ila siyo vizuri Ney wamitego 😭
Lax major MS
mafala nyie yaani mnatuwekea picha ya rais kuwa anamfokea ney, kumbe ni huo ujinga wenu huo, shenzi zenu mnatupotezea muda
wanatumalizia mb tyu hawa
😂😂😂😂😂
Msitumie pich ya mtu kupata viewers wa kutosha
Kuma sana hawa wasenge
Mnatuwekea picha ya uongo
nyie siku zote mtakuwa wasenge ney hana kosa mbali yuko tetea kimbalua chenu ila we uko na bifu na mr nay
Sasa uyo unayesema anatetea yey ndo mnyonyaji anamzungusha mtu anamlipa elfu10 wabongo bhana kwa kutetea ujinga tuko vizuri
Gd
Good Sana ney ney Ana chukiwa kwa sababu Ana ongea ukwer ukwer una uma Sana ira kumbuka Kama umejisahau unakumbushwa arafu vilevile no faida kwao
kweli we we jitu LA kale umenena kwa busara nzuri sana
Kaka nay kufanikiwa kwako isiwe fimbo kwa wenzio Angalia jinsi anavyo Ongea mwenzio jilekebishe kaka one day Aya maisha yana mwisho wake
Kweli jamaa huyu Ni mstaarabu Mno hajapanic
Ally Emmanuel acha ufala akili ndogo ndomaana huwezi kumwelewa nay
Mabaunsa nao wanatafuta rizki, si vyema kuwabeza katika njia zao za utafutaji. Sote hatuwezi kuwa na njia moja ya kuipata rizki. Diamond help them so that they can support their family
anaye muunga nay mkono gonga like
Ney hajaongea vibaya kaongea point kubwa sana wanaomaindi hawajaelewa
Kusema kweli hatuogop
julieth jackson choko Tu
Mimi binafsi simuungi mkono ney wa mitego,Amedhalilisha Mabaunsa!lugha alioitumia inaleta ukakasi!Nikweli tuna uhuru wa kuongea lkn tuweni nakini natunachokiongea au kukiposti"kwa maneno yako utaesabiwa HAKI na kwa maneno yako UTAHUKUMIWA"
Ramadhan aldawiyya From Zanzibar. ..U super star usitupe Kibali cha kuongea UTAKACHO hata kama ni Udhalilishaji/upotoshaji...
Mabausna gan wanalinda kwabia
Jamaa linafurahisha sana kweli bia tamu sanaaaaa😂😂
Achen ufala bongo lalaaaa nyie picha ya rais na bordguard wake imehusikaje apo 🙄
Central bo
Basi mtafute kazi nyingine ya kufanya, maana hata mwarabu nae alisema wakati anafanyakazi kwa Diamond hajawahi kuwa na pesa Bank. Sasa yanini kujitutumua bila malipo.
Hongereni kumtambua anaewajari
Hawa wapumbafu sana,munatumia picha za rais kwa mambo yenu ya kipuuzi acheni ujinga wenu wa kibange wapuuzi nyie
Jamaa kaongea ukweli m2pu, ni wachache wanaoweka wazi uhalisia wao, big up @ jitu la kale
Ji2 la Kale 2ko pamoja brother
Kama Unaamini Saa Kumi sio Usiku Gonga Baunsa Huwez kulud Saa Kumi Nyumbn
Kawaida maneno kwa binadamu ukifanya zuri watasema na baya ndio zaidi.
Huyo baunsa bhana awez ogopa
Kama umemuelewa bausa Chibu analipa mkwanja na
Nakubar xaaana Ney wa mitego
Unaongea powaaah kabixa hahaha
Masasi mwaka 2011 nilikuepe br bar na eneo jingine ilikuwa ni jibo bar.
Kwa anaefaham kiswahili vzr, nay aliongea vzr sn, Ila ninyi mabaunsa mlitafsiri vibaya, yatawakuta
Fuba Njenjele ney amekosea sana kumwambia mwenzko anafny kaz kw ofa ya bia c sahih kuna kaul za kuheshim ut
Saw kk
Boby gady unaakili sana mi nimependa unavyo mthamini mtu
Team Ney Tugonge
Picha ya mweshimiwa nayo mnazingua
Ifike mahali tujitambue...Hiki mkifanyacho ni ujinga ulio pitiliza tena mnastahili hukumu kwa ujinga huu
Kama Kuna mtu kagundua kuwa mtangazaji kamuogopa nay kajificha gonga like hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli aiseee
Ney jiwe
Hahaaaas kweli
Mbona wapumbafu ayo mada gani jengeni inchi mtowe upuuzi
Bounca anaongea vzuri Mno Ni mstaarabu
Ney kaongea point yn
Ney mshamba Sana , acha kuwaza maisha ya watu
Bouncer amefurahi kupanda ndege
Msirudie kuweka picha ya rais kwa mambo kama haya mjue huyo ni rais wa nchi hampaswi kumshilikisha mambo ya kipumbavu
Gonga like uyo jitu mwoga hahaha😁😁😁😂😂😭😨😨😨😅
aha ahaa sema unataka diamond akwajili ndo maan unamfagilia
Mnayumba Sana lakni kuweni na msimamo boy
Mm narud nyumbani saa 9
Mim maoni yngu sis binaadamu tunatofautiana kimipango na kimaisha kwahyo unacho kiona kiko sawa na kinaweza kukuletea ugali ulio halali ni vzur. Ila si vyema kujidhalisha kwa kitu
Kumbe ata mm naweza kumiliki mabaunsa na kuwalipa posho zuri tu na wakafurahia maisha.
Aiwezekani kwa ney kuwahomba msamaa mmehadaliwa nyinyi
Kweli
True boy
Ukisikia ujinga ndio huo huo ujinga sasa hata mkauweka kwenye midia unasaidia nini jamii zaidi ya ufala wenu
Ongeaa Md muhimuu sio unamsifia diamond tuu vipii
Hakuna asiependa kumsifu anaemjali.utakua uchoyo wafadhila.
Kumbe dh Ney fanya kwer
Ney yupo sahihi kuomgea hivyo
Mabaunza msimchukiye ney anawateteya ninyi msichukuliwe powa.
Nyie niwapumbav mnaweka mataila kwenye picha yalais
Kama umesikia baunsa kasema sio hela ndoro gonga like 😂
🤣🤣🤣🤣
Kaz n kaz Tata pga kazi
Jamaa hana hasira na Nay wala matusi ya kurudisha kwa sababu moyo umejaza mengi mazuri ya Diamond, kwa kifupi Ney kaabika sana katika hili...
Huyu nei wa mitego anachoyo sanaa yani sijui kaubwa vip
The true boy in the building
Nay songa mbele fanya kazi achana na wakaanga chumvi km pesa ni zako na unajua umepataje anayetaka heshima akadai kwa familia yake,km fedha nae atafute zake km anaweza
Goood jitu la kale
Acheni ujinga kuweka picha hausiki kikihizo zakishamba ney apewe pongezi samin kaziyenu
Acha utahira wakutuaminisha ujinga Kuna mwana harakati gani wakurudi satisa ucku au mwana harakati wa mademu.....na mwandishi bila akiri unakazia et amekutishia kutishia yaanyo.
Ney wa mitego ni shogaaa kwelikweli
mavi yenu mkome kumtumia rais kwenye usenge wenu hana muda n upuzi
Na mm ni jitu la kale namba 2 i like that name
HAWO MA BAUNSA WAMEKOSA KAZI ZA KUFANYA KWANI HILO NI JAMBO LA KUFATILIA MWAPENDA KUBAFILISHA MANENO SANA KAMA WANA WAKE AMA MUMEKOSA KAZI ZA KUWA LINDA WATU MJE MNILINDE MIMI NA SINA PESA KABISA BUREEE🇰🇪🇨🇿
Jeshi lingewatumia hawa jamaa ili wapate kipato cha uhakika
jitu mungu yupo nawe ,alafu diamond anajua maisha ni mtu wawatu uyo kibaka achana nae!!ney ckibaka tu!!
Asa police inafanya kazi gani??
Mm mwenyewe mabausa wananiboa sana mnaomba Sanaa mnajizalilisha
Msimuunganishe mhe Rais kwenye upuuzi wenu.
Wapuuz nyie mnaweka picha ya rais kujipandisha wekeni masura yenu ya jitu jeusu sio ya rais
nay amewakosea heshima hawa jamaa...wnatafuta riziki tu haw kwajili ya familia zao tena ni wanyonge tu kama maongezi yao ukiwasikiliza vizur
We fala
THE BIGGEST BOSS NASRI TV
Nay hana shida na mabaunsa wengine ila ww yaonesha ndo unamatatizo naye yaonesha kweli ww wachipuuu sana maan unasifiaa sana
Hahaha nay bhana!!
pumbavu zenu nyie mmenimalizia mb zangu bure mm nilijua muheshimiwa anamfokea ney kumbe bure kabisa sasa picha mmeweka ya nn sasa
Wasenge kweli hawa
Hahahaha mwenyewe nilijua ivo makuma haya asee
Omba kaz kwa jeshi harmoniz wana lipa cash siyo maneno
Ney sio chizi kuongea kwa panic, nilichogundua hapo ni sawa na mchezaji kumtia kidole mpizani wake bila lefa kuona, lazma Mpizan arushe ngumi.
Pasua ny wambie
Nawa huliza kuwa namwili mkubwa dio guvu nakama mwili ndio nguvu basi mka pambane
Hatari
Bro unataka kuingia mziki wa true boy kama utamshinda basi tutakuchangia we jitu la kale alafu hao wana personal conflict wala hakuna kingine
Nyie ma k
😂😂😂😂ilo jmaaa limeishia ngumbalo yaani bia tuu linakesha hadi asubuhi
Nay uko vzr
Mambo gani hayo wa tz tunataka upendo zaidi ya malumbano
Ney umewakosea sana mabaunsa
Kubalitu umehongat
Ni bora ninaye lima vitunguu
Huwez kushindana na nay nyoooo
Ni Tanzania pekee unaekewa kichwa cha habar unakuta habar tofaut. Kama yupo aliezinguliwa na hili jamaa tujuane hapo
Kiswahli kigum snaa.... Ney alichoongeaa inabdi ukae utliee sana nd uelewa kuwa ney Han kosa
We umeelewaje
Mnatafunwa
Lakini kweri mnakamata watu wanaogombania Mapombe kwenye Baaa Munawafananisha na Raisi wa inchi kweri nyie Mafara tu
Turboy nalielewa Sana hili liney linajitambua aisee
Kweli baba