NIVA : NAY WA MITEGO NI MTOTO SHETANI / FREEMASON / NAY ANA MUNGU WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 136

  • @emmaemma9001
    @emmaemma9001 4 года назад +14

    Oyaaaaa kama umesikia YESU amepaishwa gonga like

  • @kennethbaya1817
    @kennethbaya1817 4 года назад +6

    Huyu jamaa yuko straight kweli siku zote one love bro🙏🙏

  • @jacksleezy5745
    @jacksleezy5745 4 года назад +11

    Napenda hyo jamaa sana all the way from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 👊👊👊👊

  • @alibinali_
    @alibinali_ 4 года назад +14

    I like that man big up mazee unaongea kweli 👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥

  • @saadakiyungi6437
    @saadakiyungi6437 4 года назад +8

    Mashaallah kaka Niva

  • @harmotv3818
    @harmotv3818 4 года назад +8

    Niva ni noma namkubali sana jamaaa kasema ukweli mpaka nimependa sana

  • @andrewpanya1691
    @andrewpanya1691 4 года назад +4

    Big up brother niva mariooo nakukubali broo

  • @harmotv3818
    @harmotv3818 4 года назад +5

    Mudi muchina mudi muzungu namkubali sana jamaa

  • @richardedwinn1291
    @richardedwinn1291 4 года назад +2

    Noma

  • @winnijames7330
    @winnijames7330 4 года назад +4

    Mmi uwa. Ninakuerewa mdogo wangu unajuwa kkujibu vizuri

  • @idriskizenga3928
    @idriskizenga3928 4 года назад +2

    kweli big kakaa niva nmekuelewa ukweli wako,mungu akutie nguvu kila ufanyalo liwe big up

  • @chrisjacob4057
    @chrisjacob4057 4 года назад +2

    Huyu jamaa ni boya sana

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 4 года назад +1

    Interviewer ana mchezo,mchezo.He shld steady up.All the same there's something educational in the answers given

  • @titomsami4737
    @titomsami4737 4 года назад +1

    Nakukubali Sana. Hasa kwenye Ile movie ya mkalimooo

  • @mashaelieazer6120
    @mashaelieazer6120 4 года назад +6

    Mungu kachukua kilicho chake,ila kumbuka Mungu sio muuaji,tunampandikia Mungu picha ya ukatili kwamba yeye ni muuaji,Mungu wetu ni mwenye huruma nasi anatupenda sana,tunapolia analia nasi.tabia ya kuua ni ya shetani.

  • @fatmaismail7683
    @fatmaismail7683 4 года назад +3

    Jamani niva nimeikumbuka ile move ya kingamuzi yeye na rihama alikuwa mwanaume mchoyo anahesabu nyama chunguni

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 4 года назад +3

    Kuhusu madebe mkali sana humfikii kwa kuigiza

  • @user-pf9cd6zj1g
    @user-pf9cd6zj1g 4 года назад +2

    Huyu jamaa ni hodari wa kuigiza nazi penda filam zake

  • @yusuphhugugu9759
    @yusuphhugugu9759 2 года назад +1

    Ubarikiwe kijana

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 4 года назад +2

    Kweli ney shetani yy ninani anawskosea kilamtu adi na mungu mh atari

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana1824 4 года назад +2

    Nimekubali nice interview

  • @aminahussein5418
    @aminahussein5418 4 года назад +2

    Uko vizur ndugu

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab2910 4 года назад +4

    Mie nampenda huyu anachekesha

  • @mariamukingazi3668
    @mariamukingazi3668 4 года назад +2

    Nampenda sana huyu kk

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 4 года назад +5

    Nakukubali Niva ila hapo ulipojifanya humjui Madebe Lidai mimi nimekukwepa sipo na ww

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 4 года назад

      Madebe nae masifa yamezidi yeye anataka kila msanii amperekee hati yanyumba yeye kawa mkusanya kodi zamajengo???.
      Watu wenye shobo ata mm wapite kushoto bro.
      Mtu ata akilala kwenye gari si mali yake kuna ubaya gani!!!.

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 4 года назад

      Madebe mkali sana sana

    • @kibwamoko8767
      @kibwamoko8767 4 года назад

      @@yuzotv458 Kila kitu kinakwenda na ushahid, we huoni nabii shillah alionyesha ushahid wa gari lake analomilik la V8 ina mana kawafunga midomo waliosema sio lake

  • @furahamwajeka7463
    @furahamwajeka7463 2 года назад

    Uko good niva

  • @killahboyofficial6189
    @killahboyofficial6189 4 года назад +2

    Hahaha niva bhana

  • @elishakilasi8714
    @elishakilasi8714 4 года назад +3

    Kaishiwa-mbinu-hanachakuimbaaaa

  • @otwonamakosh8341
    @otwonamakosh8341 4 года назад +5

    huyu brother jeuri Sana ila anafacts poa

  • @jameschumbula2344
    @jameschumbula2344 4 года назад +1

    Kwer wabongo niwa2 wakubadirika awaixhiwi maneno nmekuxoma bro

  • @aminihaminih7846
    @aminihaminih7846 4 года назад +1

    🙌😂😂😂😂uyo ndio niva maryoo manina zake

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya8384 4 года назад +3

    Nakupenda sana niva 😍

  • @idilisabahati6204
    @idilisabahati6204 2 года назад

    Nakukubali

  • @virginiamutisya6216
    @virginiamutisya6216 4 года назад +2

    Vitu za paraveti meaning private

  • @LidyaLidya-uj5gz
    @LidyaLidya-uj5gz 10 месяцев назад

    broo uko sawa

  • @lilsome6331
    @lilsome6331 4 года назад +2

    yupo sawa

  • @zainabuyusuf7730
    @zainabuyusuf7730 4 года назад +3

    Huyu jamaa kumbe ana kiburi eti madebe ndio nani?????

  • @kiparaabel3474
    @kiparaabel3474 4 года назад

    Big thinker

  • @willyngowi3162
    @willyngowi3162 2 года назад

    Kunajamaa walisema unawakopaga bodaboda hadi wanakukimbia na Baba Levo anapiga boda cjui imekaaje hii kitaalam🤔🤔🤔

  • @AhmedSalah-ri3es
    @AhmedSalah-ri3es 4 года назад +5

    Niva umeamua kutulia baada ya scandal yako kumtapeli yule mama mihela

  • @salitosofo5561
    @salitosofo5561 4 года назад +2

    halia limepaki

  • @lusumwasomola4228
    @lusumwasomola4228 4 года назад +10

    Ww niva madebe humuwez hata robo halafu hawakujuwi watu kama msanii

    • @felisteredward6319
      @felisteredward6319 4 года назад +2

      Huwezi kumlinganisha Niva na madebe, huyu star kitambo Sana Yuko vzr alafu

    • @lusumwasomola4228
      @lusumwasomola4228 4 года назад +3

      @@felisteredward6319 unaweza kuwa wa kitambo lakini hujulikani madebe anamuda mfupi lakin kila sehem kazi zake zinajulikana.

    • @superherocolin7564
      @superherocolin7564 4 года назад +1

      madebe msanii wa ngwenjera

    • @superherocolin7564
      @superherocolin7564 4 года назад +1

      madebe hatumuoni kwenye moves za kushilishwa zaidi ya zake za ngwenjera

    • @deusdeodavid5360
      @deusdeodavid5360 4 года назад +2

      Huyo madebe si inamjua wewe huyu jamaa toka Rangi ya chungwa tunamjua

  • @mutkeeynambarouk9980
    @mutkeeynambarouk9980 4 года назад +3

    Maneno yake sahihi

  • @allysimba4212
    @allysimba4212 4 года назад +1

    Safi

  • @juma_xo
    @juma_xo 4 года назад +4

  • @saadakiyungi6437
    @saadakiyungi6437 4 года назад +3

    Huyu mtu kitambo jamaniii

  • @lilsome6331
    @lilsome6331 4 года назад +6

    upo poa unajiamini wewe kama wewe😘

  • @brianlucas3167
    @brianlucas3167 2 года назад

    Eti halia waandishi wengine bwana mpaka wanakera

  • @fatmerhabibth7477
    @fatmerhabibth7477 4 года назад +1

    Madebe ni nanii...😂😂😂 labda mchekeshajii

  • @thoraiyahassiem4721
    @thoraiyahassiem4721 4 года назад +2

    Marioo ww,day care ww,mwanafunzi wa veta ww,kibenten ww duuh

  • @mangullahussein2361
    @mangullahussein2361 4 года назад +1

    Nakubaliana na wewe

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz6209 4 года назад +2

    THE- stering NIVA og

  • @jumahamad4052
    @jumahamad4052 4 года назад +10

    Ney ni shetani

  • @yohanalembuguni3171
    @yohanalembuguni3171 4 года назад

    Kweli kabisa

  • @michaeleustach9352
    @michaeleustach9352 4 года назад

    Niva Babaako tunafanya nae kazi

  • @happinessuggi4198
    @happinessuggi4198 3 года назад

    Jamaa mkali sana wa kuigiza

  • @antoinekatembo8520
    @antoinekatembo8520 4 года назад +3

    Interview nzuri sana

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 4 года назад

    Anafanana na Nikki Mbishi kwambali....Niva

  • @virginiamutisya6216
    @virginiamutisya6216 4 года назад +1

    Awats hehehe they are called awards

  • @antonykichofile725
    @antonykichofile725 4 года назад +7

    Tunazungumzia nyumba co kwa wasanii unajifanya humjui madebe

    • @asnaochu5788
      @asnaochu5788 4 года назад

      Uyo yesu ni yup na uyo Jesus ni yup, Apo kanichanganya!??

  • @zuberimasoud4839
    @zuberimasoud4839 4 года назад +2

    😁😁😁😁

  • @juliussenzia8717
    @juliussenzia8717 4 года назад +1

    Niva humkuti madebe kiukweli

  • @eliabymlaule5979
    @eliabymlaule5979 4 года назад

    Kaka nakukubali san lakn kwa madebe bado saan

  • @leilayally9943
    @leilayally9943 4 года назад +3

    Kaka ake saut hiyo unanimaliza

  • @stambyser8305
    @stambyser8305 2 года назад

    Ko kila ukiona harrier kali lazma uchungulie n ya nan

  • @hamisalfan9150
    @hamisalfan9150 2 года назад

    ukwel mtupu bloo wewe namba moja bongo

  • @abdulmalikngola9244
    @abdulmalikngola9244 4 года назад +4

    Umebugi unaogopa yesu kivipi a Muslim only fears Allah and follows all the prophets that's all.

  • @zuwenahamoud7792
    @zuwenahamoud7792 4 года назад +2

    Mwanaume wakweli wewe wengine mabwege tu

  • @virginiamutisya6216
    @virginiamutisya6216 4 года назад +2

    Uza nafsi yako mwisho kaburi wazi tembea maiti

  • @johnkashingwe3660
    @johnkashingwe3660 2 года назад

    Plz help me to join freemason plz bro

  • @stevensimtoe2989
    @stevensimtoe2989 4 года назад +5

    Kaka nakukubali sana lakini kwa madebe kaka kile kichwa

  • @mirajimam9684
    @mirajimam9684 4 года назад +1

    Huyu jamaa 0 mashauz km mchepuko

  • @kiliboykilimanjaro377
    @kiliboykilimanjaro377 4 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣 hamna kitu humo hujui hata kuigiza humuezi madebe

  • @josephkipingu4627
    @josephkipingu4627 4 года назад +2

    Wakijifanya awaoni unachokifanya waambie cfanyi kwaajili ya kipofu

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 года назад

    Msimamo wa dume la mbegu Sawa Sawa Super Mario

  • @salomekiduda4629
    @salomekiduda4629 4 года назад

    Niva baba lao

  • @hassanjoseph2398
    @hassanjoseph2398 4 года назад +1

    safii sanaa brother

  • @lameckmichaelmagazi6345
    @lameckmichaelmagazi6345 4 года назад +1

    Nakugubari broo🙏🙏🙏

  • @manenojongo3470
    @manenojongo3470 4 года назад +4

    Eti hamjuii madebe hahahaha daaah

    • @wafaidaconnection6737
      @wafaidaconnection6737 4 года назад

      Uelewa mdogo kuliza madebe ni nani kwenye industry ya Bongo movie c kma hamjui

    • @manenojongo3470
      @manenojongo3470 4 года назад +1

      Bongo mov hawawapendi wasanii wa uchekeshaji wanajiona wao ndo wao kumbe wanaishi kwakuigiza na wakike wanaishi kwaumalaya

  • @paschalboniface-hb4lh
    @paschalboniface-hb4lh Год назад

    Acha wivu niva wewe umjuw madebe siku akifa utashangaa unaenda kwenye msiba wake

  • @henrymulengera
    @henrymulengera 4 года назад +2

    Bonyeza link hii utashangaa sana dah
    ruclips.net/video/s52sE4HvNgE/видео.html

  • @norregaraper5383
    @norregaraper5383 4 года назад +2

    Nikajua anataka kuonesha pesa 😂😂😂😂

  • @hamismwipi4734
    @hamismwipi4734 4 года назад +1

    cjakuelewa kabsa acha kibuli una cfa ya kumuogopa Allah wew kama mugwana kubali kzur anachotenda mwenzako umjui madebe wewe

    • @abdulrahmanmsomi5471
      @abdulrahmanmsomi5471 4 года назад

      Na huyo madebe anavyosema hamjui Ray na JB unamuweka fungu gani?? hapo anaongea tu c Kama hamjui

  • @emmaemma9001
    @emmaemma9001 4 года назад +1

    Neema pepo mchafu

  • @virginiamutisya6216
    @virginiamutisya6216 4 года назад +2

    Looking for power and fame sale your soul

  • @mwannerajabu8688
    @mwannerajabu8688 4 года назад

    Mshenzi ww mushukulu mbutananga kwa kukutengemezea passport lasivo ungeishia kuzitizama kwa wenzako.nautakaa nayo Kama pambo tu maana jeuri ya kusafiri huna😂😂

  • @nzeyimanagabriel8368
    @nzeyimanagabriel8368 4 года назад

    nivi mi murindi madebe anaveza?

    • @samirmnyate1748
      @samirmnyate1748 4 года назад

      Sema anaweza cyo anaveza

    • @samirmnyate1748
      @samirmnyate1748 4 года назад

      Hila unajitahidi kukijuwa kiswahili utaweza tu wala ucjali

  • @simonmacho2993
    @simonmacho2993 Год назад

    Humkuti madebe wewe hata zero,,,,,,,vakuvanda mwenyewe humtoi

  • @paschalboniface8319
    @paschalboniface8319 4 года назад +6

    Niva acha usenge inamana umjuwi madebe wewe acha ujinga bumbavu

    • @aizackkajika5086
      @aizackkajika5086 4 года назад

      Kazinguaa🙉🙉

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 4 года назад

      Madebe anaforce ustar kupitia migongo yawatu ndomana niva kamkataa,mtu ata alale kwenye gari si mali yake kuna ubaya gani!!!!!.

    • @abassmchonjo6635
      @abassmchonjo6635 4 года назад

      Ok

  • @abdallahmatandaya7988
    @abdallahmatandaya7988 4 года назад

    niva hajuw kuigiza

  • @asmaally3457
    @asmaally3457 4 года назад

    Kwa bidhaa maridadi na uhakika karibu Asma cosmetics,
    Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,nguvu za kiume, n.k
    Dawa zipo, karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284

  • @jumajonh22
    @jumajonh22 4 года назад

    WW VP PIMBI NN WW NI MISLAMU HALAFU UNASEMA UNA HOFU NA YESU AAA

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 4 года назад

    Fakke life

  • @harmotv3818
    @harmotv3818 4 года назад

    Mudi muchina mudi muzungu namkubali sana jamaa

  • @zuberimasoud4839
    @zuberimasoud4839 4 года назад +2

    😁😁😁😁