TAZAMA SHANGWE ZA WABUNGE BAADA YA YANGA SC KUTAMBULISHWA BUNGENI LEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 163

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 3 года назад +12

    YANGA oyeeeeeeeeeeeeeeeee DAIMA MBELE NYUMA MWIKO CONGRATULATIONS MY TIMU💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚

  • @davidchalambo9746
    @davidchalambo9746 3 года назад +6

    💚💛 YANGA Daima mbele nyuma mwiko 🇹🇿

  • @panchovalentino5922
    @panchovalentino5922 3 года назад +4

    Daima mbele nyuma mwiko Viva Yanga Viva Wananchiiiiiii 💛💚💛💚💛💚

  • @anahanah9145
    @anahanah9145 3 года назад +3

    💚💚💛💛💛💛💛yanga daima mwaaaaa nimeipenda mwenyewe

  • @edwindaniel7306
    @edwindaniel7306 2 года назад

    Yanga daima

  • @ednambata9503
    @ednambata9503 3 года назад +4

    Oyeeeee yanga daima mbele nyuma mwiko

  • @vicentjulius4751
    @vicentjulius4751 3 года назад +3

    yanga oyeeee daima mbele nyuma mwiko iko wazi

  • @mudymesa748
    @mudymesa748 3 года назад +4

    Makin yanga

  • @andreashayo6266
    @andreashayo6266 2 года назад +1

    Yanga raha jamani

  • @elizanchimbi3285
    @elizanchimbi3285 2 года назад +1

    Sawaaaa asanteeee Sana

  • @chikukipinga4571
    @chikukipinga4571 2 года назад +1

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @Mnyaruge
    @Mnyaruge 3 года назад +7

    Watoto wa jangwani

  • @rashidabdullarashid2729
    @rashidabdullarashid2729 3 года назад +2

    HONGERA WANAMICHEZO KUPONGEZA BUNGE
    NA HONGERA BUNGE KUWAKARIBISHA WANAMICHEZO BUNGENI

  • @gorethisalimu6351
    @gorethisalimu6351 3 года назад +2

    na kuku bali umeongea vizuri. siyo kama dugai alivyo egemea upande wa tim smba. aliniuzi yiye hamtakiwi ushabiki. tim zote ni zenu. nakupenda naibu spka esoni turia.

  • @marconzilankoma7581
    @marconzilankoma7581 3 года назад +2

    Wananchi ndani ya mjengo

  • @michaelmrema5233
    @michaelmrema5233 3 года назад +2

    Naibu spika nakukubali kinyama
    Binti mdogo una cofdence kinyama hongera

  • @joshuanyonyi3313
    @joshuanyonyi3313 3 года назад +2

    J3
    Wakuja Kaizer chief tuwapongeze Kwa kuingia nusu fainail na magori 16.

  • @pascalnsenga9310
    @pascalnsenga9310 2 года назад +1

    Yanga hii usipime Moto wakuotea mbali

  • @HarimaAbdallah-k6h
    @HarimaAbdallah-k6h 8 месяцев назад

    Watapata tabu sana makolo

  • @erikimethod6246
    @erikimethod6246 3 года назад +1

    Yanga Kubwa kuliko

  • @muhungamasengo9691
    @muhungamasengo9691 2 года назад

    Tuta fanya vizuri3 zahidi tupo marecani ila uko tume kulia

  • @gracechristopher730
    @gracechristopher730 3 года назад +3

    Yani utashangaa jitu la simba linakuja kucomment na kuiponda yanga....mnajiita mabingwa na mnapigwa 4G....kila timu ni bora

  • @rehemacharles9225
    @rehemacharles9225 3 года назад +1

    Hogera

  • @ahamadially8351
    @ahamadially8351 3 года назад +1

    Wamepata kwa kwa ajili ya simba unawakika muheshimiwa au ushabiki tu unakusumbua

  • @jerinanguto7656
    @jerinanguto7656 2 года назад

    Yanya-oyeeeeere🙏

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 3 года назад +1

    Wameingia BUNGENI KWA ushindi upi au kombe GANI wamechukua?

  • @emanuelkilinga9196
    @emanuelkilinga9196 3 года назад +2

    Simba queens wamepeleka kombe hao utopolo wameenda na nini?

    • @tindokamuti8142
      @tindokamuti8142 3 года назад

      Kizer chief 4

    • @fereshysiu5155
      @fereshysiu5155 3 года назад

      😅Hawa ni watu wakulalamika kila kukicha sasa inabidi serekali wawaite tuu maana ukisema wawe wanaenda watakao chukua kombe tu sijui wataenda lini

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад

      Simba queens wamepeleka kombe wapi?

  • @f.a6043
    @f.a6043 3 года назад

    Mm ni mwananchi lkn sio Utopolo

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад

      Kwan nan alikuforce kushabikia utelembwe,, A.K.A manunu fc

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa5496 2 года назад

    Simba huwa tunapeleka makombe bungeni siyo jezi.

  • @hildembilinyi7346
    @hildembilinyi7346 3 года назад

    Rangi ni kama Kaizer

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 3 года назад +1

    Walienda kufanya nn hao UTO 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kaithokaitho9578
    @kaithokaitho9578 2 года назад

    5050

  • @parambili1382
    @parambili1382 3 года назад +1

    Kwan hawa utopolo wamend kufany nn bungeni aaah watu wenyew at mpila awajui kwel bungeni kumekuwa utopolo kukalibish ad awa nyani😂😂 duuu🙄🙄🙄🙄

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 3 года назад +2

      Si bora hao wamekwenda bungeni kuliko mikia Waliokwenda souz kujazwa
      mimba

    • @janewilla3204
      @janewilla3204 3 года назад

      Kwani bunge la babako ushamba mwingine hauna haya nenda wewe sass shobo tu

    • @parambili1382
      @parambili1382 3 года назад

      @@janewilla3204 mbon unapata muhaho lakin si mliskia naibu spika alisem mwakan kwny klab bigwa mkafany vizuli kam simba man nyie utopolo hambebeki tunawabeba lakn hamn shukla kwel nyan haon kundule😂😂😂😂😂

    • @parambili1382
      @parambili1382 3 года назад

      @@magorymara5515 wameon wawaite bungeni wasije kujiona wanyonge au wameyegwa man mpila awajui wakaon bc tuwaalike bungeni t man wanamwon mnyam anapepeluka tu angani duuu ila inauma sem nn mtabid mzoee🚶🚶😂😂😂

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад

      @@parambili1382 kaizer 4-0 utelembwe 😂😉

  • @sniperbogo6210
    @sniperbogo6210 3 года назад +3

    Sasa yanga wameenda kufanya nn bungeni et

    • @kingnicky2568
      @kingnicky2568 3 года назад

      Kuchuma maembo 😂😂

    • @sniperbogo6210
      @sniperbogo6210 3 года назад

      @@kingnicky2568 hahahahah

    • @happyshayo372
      @happyshayo372 3 года назад

      Walifuata sheria tarehe 8 ndio maana wameenda bungeni.

    • @horizoncompany2192
      @horizoncompany2192 3 года назад +1

      Chuki

    • @sniperbogo6210
      @sniperbogo6210 3 года назад

      Wazir wa sanaa habar na tamaduni alosema tatzo kubwa yanga wanaugomvi na tff ndio kilichopelekea kukimbia mech sema wameona hawajaingia bungeni kwa miaka mitano hadi sasa wameona ngoja wakazuge zuge tu kama wageni waalikwa

  • @jumamkali8138
    @jumamkali8138 3 года назад +1

    Dunia inaenda kwa kasi sana yaani hawa jamaa wameamua kushindana na Simba Queens kuingia mjengoni

  • @ahmmadaaly5112
    @ahmmadaaly5112 3 года назад

    Wanaona aibu ata kusimama hawajawahi kuingia humo kwenye bunge utopolo hahahaha

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад

      Pole kaka,, fanya tu mambo mengine, mpira uache kdogo

  • @stanslauslupelele5726
    @stanslauslupelele5726 3 года назад

    Hapo kulikua na mkutano wa ccm au utopolo bwana wanapongezwa kwa kazi gani

    • @danielgiiti7295
      @danielgiiti7295 3 года назад

      Serial hiyo Simba Ni Kama watumwa nchini miaka yote

    • @parambili1382
      @parambili1382 3 года назад

      @@danielgiiti7295 😂😂😂😂😂kwel nyan uwon kundule daaa wakimbiz akat ndo wanakubeba n u iv unakili kwel u unabid upimwe siy bule

  • @jumatarabeni9753
    @jumatarabeni9753 3 года назад +1

    Mh

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 3 года назад

    Sasa wamekwenda bungeni kwa ubigwa Gani au kuuza sura

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад

      Yan simba cjui mmeumia nn yanga kualikwa bungeni,,, kisa mmeingia hyo mara 1 ndo mnatusumbuaaa,,, kwanza simba walivoingia wote walilala😂😂

    • @omarihamadumetishasanalava4725
      @omarihamadumetishasanalava4725 3 года назад

      Wananchi ndani ya mjengo

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 3 года назад +1

    Hawa misukule wameenda kuchukua gundu hapo ubingwa ni labda baada ya miaka 10--15

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад

      Tumewazoea,, mnajipaga moyo nyie nbwa koko wembamba😂😂 lakin sasa uwanjan hamna kitu

  • @yunismahanga2871
    @yunismahanga2871 3 года назад +2

    Bakuli hawajalibeba?

  • @geseconyumbani6328
    @geseconyumbani6328 3 года назад

    Kwanini bunge Ni la yanga na Simba tu ????

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica9128 3 года назад +1

    Mpira na siasa afu siotimu ya tifa sasa ndio nini

    • @olipambwilo6055
      @olipambwilo6055 3 года назад

      MALALAMIKO FC ETI WAMEENDAKUOMBA WAPE LILE GOLI WALILOKOSA NA NAMUNGO,😁😁😁😁😁😁😁😁 KUMBE UTOPOLO WEENDA KIMATAIFA KWA AJILI YA SIMBA,

  • @alkhudhertarek976
    @alkhudhertarek976 3 года назад +2

    Bungeni nako ni utopolo mtupu

  • @nasibumaiko6096
    @nasibumaiko6096 3 года назад

    Si hawaendi bungeni bila kombe

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 3 года назад +1

    Labda wameenda kuomba omba walau

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 года назад +1

    Hawana mpango yoyote vyura

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад

      Bota cc hatuna mipango kuliko wewe mwenye mipango af inafeli pakubwa sanaaa😂😂

  • @sallymally7264
    @sallymally7264 3 года назад

    Walifuata nn huku bungeni

  • @pilabiliani9394
    @pilabiliani9394 3 года назад +1

    Basi hapo Sarpong anajiona ndio Bingwa wa nchi hii 😝😝😝😝

  • @ramadhanmahongole7987
    @ramadhanmahongole7987 3 года назад +1

    IVI HAO UTOPOLO WAMEKUJA NAKIKOMBE CHOCHOTE HAPO BUNGENI, AU WAMEKUJA KUJAZA CHOO TU 😂😂😂

    • @usiniguse
      @usiniguse 3 года назад

      Wameenda na kikombe cha zenj hahahahahaaa

    • @hemedali7057
      @hemedali7057 3 года назад

      Hahahaha! Nimecheka had nimeanguka

  • @dibabatv5761
    @dibabatv5761 3 года назад

    Nani kawaita bungeni pimbi hawa

    • @danielgiiti7295
      @danielgiiti7295 3 года назад

      Simba Wala mzoga porini na kuleta watalii nchini ndiyo faida ya wananchi

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад

      Ametuita bibi mzaa shangazi yake mama ako

  • @joelkahuya8356
    @joelkahuya8356 3 года назад

    Kesho kipigo au droo

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku6909 3 года назад +8

    Yanga oyeeee😘😍😍😍

  • @idrisabakar7928
    @idrisabakar7928 3 года назад +4

    Simba wanaumia bax hapo

  • @kennedykitinusa3954
    @kennedykitinusa3954 3 года назад +3

    Yanga daima

  • @kiyogomastore9154
    @kiyogomastore9154 3 года назад +4

    Timu ya serikari

  • @mauaelias330
    @mauaelias330 3 года назад +4

    Yanga Africa 💚🧡💚

  • @leahmalaki5516
    @leahmalaki5516 3 года назад +2

    Ok vizuri naibu wetu kwa speech yako zuriubarikiwe na bwana

  • @geroldnkongo3922
    @geroldnkongo3922 2 года назад +1

    Team ya wananchi.

  • @Swamadu-om3uj
    @Swamadu-om3uj 4 месяца назад

    Bd mkfny vitu vya mana mnfny ujinga

  • @allyrashidi457
    @allyrashidi457 3 года назад +1

    Wame kuja kuleta kombe au kuwapongeza simba qween

  • @maulusimwiliki833
    @maulusimwiliki833 3 года назад

    Mamb

  • @ernestelias9062
    @ernestelias9062 3 года назад +1

    Watu wastarabu sana. Ndio mchezo

  • @elikanalameki4368
    @elikanalameki4368 2 года назад +1

    I love you yanga

  • @yawepetro3001
    @yawepetro3001 3 года назад +2

    Kweli Tanzania,, hakuna jaman hiyo nitimu ya yanga siyo yawanaichi jaman

    • @salehtessema5894
      @salehtessema5894 3 года назад

      Yanga wanajita wananchi siyo timu ya taifa usiumie roho uhuru wa nchi ulifanikiwa kupitia Young Africans kwa hiyo Yanga inaona si kosa kuniita wananchi take it easy bro !

  • @gibetvfai2838
    @gibetvfai2838 3 года назад +1

    Pawatira kalibuni sana wakulima

  • @prosperabison1368
    @prosperabison1368 10 месяцев назад

    🔥🔥🖐️

  • @annawilliam8549
    @annawilliam8549 3 года назад

    Leo

  • @innobugobola1694
    @innobugobola1694 3 года назад +1

    ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️

  • @samwelkibobo3162
    @samwelkibobo3162 3 года назад

    Wananch haoooo

  • @almarwazyalhaythamiy5554
    @almarwazyalhaythamiy5554 3 года назад

    Nafasi gani yanga wameypata wakati mpaka sasa ligi haijamaliza..

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 3 года назад +1

    Hakika tuna safari ndefu nchi hii.

    • @georgegerald4153
      @georgegerald4153 3 года назад +1

      Timu moja kama Simba kuzibeba timu 4 zika cheze kimataifa si jambo la kitoto

  • @mussacheyo3227
    @mussacheyo3227 3 года назад

    Namuona mukoko

  • @khatibissa3560
    @khatibissa3560 3 года назад +1

    Yaani UTOPOLO bwana shida tupu

    • @michaelndabalinze1376
      @michaelndabalinze1376 3 года назад

      Wew ndo shida jitafakali kwanini una subscribers wa 3 dili na buzness yako tuache wananchi tule matunda yetu

    • @janewilla3204
      @janewilla3204 3 года назад

      Mtu Mzima Ovyo bunge La babako hilo ushamba tu

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад

      Na utelembwe je ndo matatizo kabisa

  • @valencevalerian9298
    @valencevalerian9298 3 года назад

    Jaman tunakoelekea sijui,sasa hii inamaana gani??wanafanya vizuri??mungu wangu??

    • @ahmmadaaly5112
      @ahmmadaaly5112 3 года назад

      Hyo inaitwa funika kombe mwanaharamu apite hahaha

  • @fidurashidi5781
    @fidurashidi5781 3 года назад +3

    "naomba serikali imuongezee ulinzi Tulia Ackson na kwa kuwa sikuangalia live irudiwe..."

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 3 года назад

      😁😂😂😂😁😁

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад

      Mshamba mwenzenu tu

    • @fidurashidi5781
      @fidurashidi5781 3 года назад

      @@fannichui1369 washamba wenye ufaham mkubwa bila shaka na exposure au unasemaje!!?

  • @daudijulius8306
    @daudijulius8306 3 года назад

    nanikawakabisha humo hao walemavu

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад

      Mjomba wa babu mzaa shangazi wa kaka ake baba ako

  • @emanuelkilinga9196
    @emanuelkilinga9196 3 года назад +1

    Hawa hawawezi mpira kitu kidogo tu wanakimbiza litimu lao eti kanuni

  • @lomnyakisamson5593
    @lomnyakisamson5593 3 года назад

    Sifaaaa zoote amna lolote nyinyi ni utopolo tuu

    • @danielgiiti7295
      @danielgiiti7295 3 года назад

      Simba Ni ya wakimbizi hao ndo wananchi

    • @parambili1382
      @parambili1382 3 года назад

      @@danielgiiti7295 ingekuwa y wananch ingekuwa inajiweza siy ingojewe kubwebwa n simba 😂😂😂😂kwel nyan haini kundule wee chula vp

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад

      @@parambili1382 kwan c kesho ndo mnacheza na kaizer chiefs?? Tutaona lipi ni jibu sahihi kati ya simba au utelembwe,,, ila mbele ya kaizer hamna simba apo ni ute tu😂😂

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 3 года назад

    Nafasi wamepata kupitia simba 🤣🤣🤣🤣🤣 kiukweli simba wamepigana sana mpaka yanga mwakani wanaenda kimataifa🤣🤣🤣 inaleta raha sana hongereni simba kwa kutupelekea hawa utoporo kwenye mashindano makubwa.

    • @parambili1382
      @parambili1382 3 года назад

      Sema ata ivo wataaibisha taifa t kwa kikos gani kile alf et kimataifa wakina sapong watacheza nn

    • @emmaponera225
      @emmaponera225 3 года назад

      Tuliwaomba nyie vipi mafara kujikomba tu

    • @emmaponera225
      @emmaponera225 3 года назад +1

      Ndio maana mmepigwa 4

    • @parambili1382
      @parambili1382 3 года назад

      @@emmaponera225 Emama tulia bc mtoto mzuli mme wako nav pita usipat muhaho mbon ivo ten chaulembo😘😋.alf tumewabeba kwakuwa hamjiwezi saw eeeh

    • @salehtessema5894
      @salehtessema5894 3 года назад

      @@parambili1382 Gujarati gam ney gam ney

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa4687 3 года назад +1

    Hahaha wamenda kufanya nn hawana chochote

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 3 года назад

    Nimependa sana alivyo ongea maneno ya kuwachoma UTO Mh Nqibu Speaker ... eti nafasi waliyo ipata kupitia Simba 😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥❤🔥❤🔥❤🔥❤🔥🔥🔥🔥❤❤❤

    • @parambili1382
      @parambili1382 3 года назад

      Na alivo ongea vizul ad aman ya moyo nimeipat man wangejiskia sanaa sem wanabebwa lakn awabebeki awa machula duu

    • @emmaponera225
      @emmaponera225 3 года назад

      Chura www

    • @salehtessema5894
      @salehtessema5894 3 года назад

      @@parambili1382 wewe ndiyo chulla

    • @fannichui1369
      @fannichui1369 3 года назад +1

      Unapata amani bungeni kwa kusemwa yanga na aibu uwanjani kwa kufungwa na kaizer chiefs 😂😂

    • @allyhamisi6394
      @allyhamisi6394 3 года назад

      @@fannichui1369 we utacheza lini na hao Keizer Chiefs ili uwafunge 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂daaah