MAMA MZAZI WA MWIJAKU AKATA UTEPE KWENYE KASRI LA MTOTO WAKE KIGAMBONI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 45

  • @Rehmathathman23
    @Rehmathathman23 9 месяцев назад +4

    😂😃😄Nawapendraah jomon Team Leo Tenaa❤❤Mwijaku bana et Geah ana kiherehere, hapa sio kwako😁😀

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 9 месяцев назад +4

    Hongera family yote maisha ni ujanja na kujituma

  • @FelixKapange
    @FelixKapange 9 месяцев назад +4

    Hangera Sana watu tunapenda vitu vya kipuuzi hiyo ni Mari isiyo hamishika risepeckity my broo simoni p kapange🎉🎉🎉❤

  • @LightnessCharlseKimaro
    @LightnessCharlseKimaro 9 месяцев назад +7

    Mwijaku hongera sana

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 9 месяцев назад +2

    Hongera Sana Dada yangu Mama Mwemba na pia Kijana wetu Mwijaku❤

  • @aminajuma-p8k
    @aminajuma-p8k 9 месяцев назад +3

    Nimecheka Kwa nguvu mwijaku anamwambia gear Habibi hapa sio kwako

  • @zomasamweli
    @zomasamweli 9 месяцев назад +3

    Hongera sana mwijaku

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 9 месяцев назад +9

    Mashallah mama mzuri sana mashallah ❤❤❤❤❤

  • @Pajamwamovie
    @Pajamwamovie 8 месяцев назад

    Hongeta chawa

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 9 месяцев назад +2

    mashaallh ❤❤❤❤

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 9 месяцев назад +3

    Hongera sana Mwijaku

  • @ZaynabMsury
    @ZaynabMsury 9 месяцев назад +3

    Mwijaku mashaalahu

  • @tamahmaalalawi6536
    @tamahmaalalawi6536 9 месяцев назад +1

    Mamaake mwijaku ana mkiya Maa shaa Allah

  • @salamasaid9525
    @salamasaid9525 9 месяцев назад

    Mwinjaku umeniangusha kitu kimoja hukuwa na trea ya kuweka mkasi ,mama akafungua ,akachukua mkasi na kukata ,local local sana.

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 9 месяцев назад +3

    Mama mstaarabu sana mwijaku domo kalitoa wapi

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 9 месяцев назад +1

    Hongera Mwijaku

  • @EdnaLugano
    @EdnaLugano 9 месяцев назад +1

    Hongera Sana Kaka wewe ni mfano WA kuigwa na wengi .Unafanana Sana na mama kasoro rangi tu .

  • @marthajohn6532
    @marthajohn6532 9 месяцев назад

    Mama mwemba nakuona mwenyekit wetu wa mtaa mstaafu

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 8 месяцев назад

    Hongera sana Kaka DC

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 9 месяцев назад

    Mwijaku kawezaa

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 9 месяцев назад

    😂 mwijaku bwana hongera

  • @ColestMakolo
    @ColestMakolo 9 месяцев назад

    Mwanyika❤❤❤

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 9 месяцев назад

    Mungu atusaidie basi

  • @emmanuelmatogolo5869
    @emmanuelmatogolo5869 9 месяцев назад

    Mwijaku kama mwijaku 😂

  • @vincej9275
    @vincej9275 9 месяцев назад

    Congratulations chawa.

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf 9 месяцев назад +1

    Sasa ivi wasanii nawwza sema mmekua zamani ilikua mnaoneshana magari yakifahari hata nyumba hamna sasaivi mmekua mmatuonyesha mijengo teona ya wopa sasaivi mwijaku nawengine tutazuona tu

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 9 месяцев назад

    Mbona baba hayupo hata kama alishatangulia hakuna mwakilishi upande wa baba, vijana wa leo mnawatenga sana baba zenu, wazazi no wawili bila ya huyo baba usingekuwepo na bila ya mama haungekuwepo a

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy 9 месяцев назад +2

      Mbona mnapenda kuchukulia vitu serious nyie,mbona mnapenda sana kuingilia maisha ya watu,kwann mnapenda kuongelea familia za watu,yaaaan nyie kila kitu nikujdg akili zenu uwaga zina akili fupi sana kweny kufikiri,unasema bila ya baba mwijaku asingekuepo,haya na huyo mama angeamua kuutoa ujauzito?je mwijaku anegkuepo emu acheni huo ujinga wa mawazo yenu,fatilia maisha yako na ya kwenu

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy 9 месяцев назад +1

      Je nivipi kama baba anaumwa?ni vipi kama baba kasafiri?nivipi kama baba ameruhsu aende mama?umefkria hivo au akili imekutuma kubwata tu

    • @flavy_kipps4025
      @flavy_kipps4025 9 месяцев назад

      muwakilishi😅😅

    • @lydiamsheri4095
      @lydiamsheri4095 9 месяцев назад +1

      Hawatimizi majukumu yao ya ubaba labda kutengwa tengwa huku kitawabadilisha

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 9 месяцев назад +1

    Ati mama anakata 😂😂

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 9 месяцев назад

    huyu dada sijui kwa nini hapendezagi