Sasa ivi wasanii nawwza sema mmekua zamani ilikua mnaoneshana magari yakifahari hata nyumba hamna sasaivi mmekua mmatuonyesha mijengo teona ya wopa sasaivi mwijaku nawengine tutazuona tu
Mbona baba hayupo hata kama alishatangulia hakuna mwakilishi upande wa baba, vijana wa leo mnawatenga sana baba zenu, wazazi no wawili bila ya huyo baba usingekuwepo na bila ya mama haungekuwepo a
Mbona mnapenda kuchukulia vitu serious nyie,mbona mnapenda sana kuingilia maisha ya watu,kwann mnapenda kuongelea familia za watu,yaaaan nyie kila kitu nikujdg akili zenu uwaga zina akili fupi sana kweny kufikiri,unasema bila ya baba mwijaku asingekuepo,haya na huyo mama angeamua kuutoa ujauzito?je mwijaku anegkuepo emu acheni huo ujinga wa mawazo yenu,fatilia maisha yako na ya kwenu
😂😃😄Nawapendraah jomon Team Leo Tenaa❤❤Mwijaku bana et Geah ana kiherehere, hapa sio kwako😁😀
Hongera family yote maisha ni ujanja na kujituma
Hangera Sana watu tunapenda vitu vya kipuuzi hiyo ni Mari isiyo hamishika risepeckity my broo simoni p kapange🎉🎉🎉❤
Mwijaku hongera sana
Hongera Sana Dada yangu Mama Mwemba na pia Kijana wetu Mwijaku❤
Nimecheka Kwa nguvu mwijaku anamwambia gear Habibi hapa sio kwako
😅😅😅😂😂🎉
Hongera sana mwijaku
Mashallah mama mzuri sana mashallah ❤❤❤❤❤
Kama ana asili ya uarabu
Hongeta chawa
mashaallh ❤❤❤❤
Hongera sana Mwijaku
Mwijaku mashaalahu
Mamaake mwijaku ana mkiya Maa shaa Allah
Mwinjaku umeniangusha kitu kimoja hukuwa na trea ya kuweka mkasi ,mama akafungua ,akachukua mkasi na kukata ,local local sana.
Mama mstaarabu sana mwijaku domo kalitoa wapi
Kwa baba
😂😂😂😂
@menali😂😂😂kechildren8836 unamfahamu babaake
Kwa babu
Hongera Mwijaku
Hongera Sana Kaka wewe ni mfano WA kuigwa na wengi .Unafanana Sana na mama kasoro rangi tu .
Aaaaah kijungu
Mama mwemba nakuona mwenyekit wetu wa mtaa mstaafu
Hongera sana Kaka DC
Mwijaku kawezaa
😂 mwijaku bwana hongera
Mwanyika❤❤❤
Mungu atusaidie basi
Mwijaku kama mwijaku 😂
Congratulations chawa.
Sasa ivi wasanii nawwza sema mmekua zamani ilikua mnaoneshana magari yakifahari hata nyumba hamna sasaivi mmekua mmatuonyesha mijengo teona ya wopa sasaivi mwijaku nawengine tutazuona tu
Mbona baba hayupo hata kama alishatangulia hakuna mwakilishi upande wa baba, vijana wa leo mnawatenga sana baba zenu, wazazi no wawili bila ya huyo baba usingekuwepo na bila ya mama haungekuwepo a
Mbona mnapenda kuchukulia vitu serious nyie,mbona mnapenda sana kuingilia maisha ya watu,kwann mnapenda kuongelea familia za watu,yaaaan nyie kila kitu nikujdg akili zenu uwaga zina akili fupi sana kweny kufikiri,unasema bila ya baba mwijaku asingekuepo,haya na huyo mama angeamua kuutoa ujauzito?je mwijaku anegkuepo emu acheni huo ujinga wa mawazo yenu,fatilia maisha yako na ya kwenu
Je nivipi kama baba anaumwa?ni vipi kama baba kasafiri?nivipi kama baba ameruhsu aende mama?umefkria hivo au akili imekutuma kubwata tu
muwakilishi😅😅
Hawatimizi majukumu yao ya ubaba labda kutengwa tengwa huku kitawabadilisha
Ati mama anakata 😂😂
huyu dada sijui kwa nini hapendezagi
Yupi??
@@twiseghekisilu8845 Huyo anaejiita Husna
Kupendeza kipaji ndugu yangu
Unataka apendezeje