Kaka ninakuunga mkono ..coz Allah huenda akambadilisha na tunamuombea Allah awaongoze ktk ndoa hii in Shaa Allah...na inakubalika ktk Dini ya kiislam ..Kwa hiyo dadaetu mkubwa kuwa mpole ..na umuombee duua ..na Allah anasema ....Hakika Allah habadilishi MTU ..mpaka ajibadilishe ..
Mashaallah shekhe rajabu mungu atakulipa.unamtoa kwenye kiza mnampeleka kwenye nuru mungu yp pamoja nawe.hakuna mkamilifu chini ya jua atabadilika2.msimamie sn kwenye Dini kila la Heri kwenye ndoa yenu 🙏
Dini zote zinakaza kuhukumu, dada na utambue mungu yupo kwaajili yakondoo wake waliopotea na istoshe mungu haji kwako Kwa namna ya umungu anatuma watu wake watakao kuokoa katika , Hivyo utambue kaka Ako katumwa na mungu na ndio maana hata uongee haelewi huwezi jua mungu ananjia nyingi za kumuokoa mwanadamu
Shekhe Rajabu hizo salamu za kihuni mambo vipi??? Swari??? Mwanangu!!!! Achananazo ni uhuni pia sio maadili ya Kiislamu,Salamu ni moja tu.'''''''ASSALAMU ALAIKUM??? ,,,,,,WAALAIKUMU SSALAAM
Ŕajabu usichukue wandishi kwenda kwa wa zee utaharibu mambo yanakuwa mtandaoni na pia utakuwa unamuadhiri na mji w tanga ni mdogo watakuwa wanamsema majirani kidogo watapata tusi la kumtukana
Sheikh Rajab, Baby Zuu ni msichana mrembo mbali na changa moto alizo pitiwa. Na kila binaadamu ana mambo yake ya maajabu, Ikiwa hayako dhahiri ana fanya kwa siri. Haya ya baby zuu hayashindi ya firauni. Ni binaadamu nae vilevile na muache kumtaja taja. Mungu amemletea nusra nayo ni wewe sheikh Rajab. Asali rakaa mbili amshukuru Allah. Ainue mikono juu aseme Alhamdulillah.
Mawifi ndyo walivyo visilani sana,wewe wakupangie mke wakuoa,ila wao waolewe na yeyote yule,wewe fanya unachokiona kizuri kwako hayo nimapto tu yadunia,na inawezekana mungu kakutuma uje umbadisha tabia na amjue mungu
Pongezi Rajabu muoee zuu thawabu nyingi utazipokea Kwa wema na msimamo ulo nao huyu zuu ameamua kubadilika na siku zote mtu akijirud n vyema Jamii ijuee watu hubadilika
I wish you all the best happy marriage kaka safi san brother owa hyo daa inshaallah mungu yuko nwe owa kbs mungu ndo mwenye hukumu lkn kaka ngu ukifuga ndo mimi n sema wewe kaka ngu mwambie huyo wife wko arudi kwa Allah kabisa kabisa swala san inshaallah mungu atakupa ngufu kaka 😢😢😢🤲🤲☝️☝️❤❤❤
Mnavyo mchimba chimba huyu shekh atapoteza nia muachen mara mshaenda kwa familia yake kufanya nn kutia fitna ww mtangazaj hatutak tna ukimleta tna hapa awe ameoa😊
Ukamtambulishe bila ndoa kwan mambo yalibadilika huko TZ MIE NAJUW MTUY AKIOLEW NDO ANAPELEKWA UKWEN DUUH SIKU HIZ ANATAMBULISHWA DUUH MAMBO YALIBADILIKA
Naam, mazuri hufuta mabaya. Sheikh anafanya jambo lenye mfano wa kuigwa. Ndivyo Mwenyezi Mungu apendavyo. Dini ya uislamu ni nyepesi ila wapo wanaofanya isionekane wepesi wake. Mungu amesema kwenye kitabu, NIMEWAFANYIENI WEPESI ILA MAZITO NI NYINYI WENYEWE.Thamani ya ndoa ni kwa muoaji na mwenye kuolewa. Sheikh big UP.
Rajab kilicho pangwa na MOLA wako huwezi kiepuka hilo ni jambo la kheri na tukumbuke anamstiri stara yatoka kwa mungu Sasa huo nimtiani shetani anavuta kwake mungu ajalie liwe kwa nguvu zake ALLAH
Mashallah kakangu Mola akuajalie Kwa kuweza kumuowa huyo dada ili ubadilishe dada huyo tabia na pia kumuhifadhi na kumpa heshima ili na yeye awemwenye kuonekana alikuwa akitafuta mtu wa kuhifadhi na pia yy amepanga kurudi Kwa mola wake Kwa hiyo hao wazee ywaomba pia ss wawe wenye kukubali mtu mbaya hubadilika na kuwa mwema
Shehe kwenye heri changamoto zipo hatamie yalinikuta lakini kwauwezo wa mungu niponandoa miaka 18 namahaba motomoto wachawi wameachwa wao mienipo mmbichi kamamttoto vile shehe kazabuti imeandikwaiyo.
Bora dadazuu anatatuu zinaonekana kulikowengine wanamaovu yao alafu wanajifanya wastarabu wakati wanaliwa kisamaki Tena na ayazakuruani wanazo kaka rajabu chukua chomboicho ukakiongoze wanga watajificha ishalaa mungu ukuongoze mtusahihi hatadocta hamjui anaemjua mungu tu.
Oa kaka wanaopinga hawajaijua dini,wanadamu huokolewa ktk ushetani kwa njia kama hizi,na huruhusiwi kumuhukumu mwanadamu mwenzio ikiwa madaraka hayo ni ya Allah pekee
Allahu Akbar mungu mkubwa Allah akujalie Kila la kheri kwenye maisha yako Allah atakuongoza inshallah mungu mkubwa hakuna mkamilifu hiyo dada kashamkosea mangapi allah amfanyie wepesi na yy
Hongera kaka kwa msimamo wako
Kaka Radjab mwenyezi mungu aku wekeye wepesi... Jambo letu lipite kwa amani. Napenda sana imani yako.
I wish you all the best,happy marriage bro ,INSHAALLAH.
Kaka ninakuunga mkono ..coz Allah huenda akambadilisha na tunamuombea Allah awaongoze ktk ndoa hii in Shaa Allah...na inakubalika ktk Dini ya kiislam ..Kwa hiyo dadaetu mkubwa kuwa mpole ..na umuombee duua ..na Allah anasema ....Hakika Allah habadilishi MTU ..mpaka ajibadilishe ..
Maashaallah coment inaujumbe mzuri chukuen hiyo mjifunze
Shehe owa hule mtu ni sawa na kumubadili mtu dini kuna sawabu nyingi
Kama kwel Wenda Kiki tu siunakumbuka kwa yule bb alisema shaini mumewe
Kabisaaa yan howa tu
Owa kaka ang usisikilize ya watu
Huwezi kubadili tabia ya mtu tabia ni sawasawa na ngozi hu
Tabia ni tabia haibadiliki tabia haigeuki
Sheikh owa wewe ndie ulie sukumwa kumbadirisha huyo dada hujui Mungu amekuandalia nini hayo mengine ni ya kibinadam tu wasamehe songa mbele
Shehe ww AChana na watu ww fata moyo wako mungu awape wepes inshallah
Madhali kakiri kubadilika sawa mola amjaliye asiangqliye nyuma tena baby zuuuu
Mashaallah shekhe rajabu mungu atakulipa.unamtoa kwenye kiza mnampeleka kwenye nuru mungu yp pamoja nawe.hakuna mkamilifu chini ya jua atabadilika2.msimamie sn kwenye Dini kila la Heri kwenye ndoa yenu 🙏
Inshaallah🙏🙏
Dini zote zinakaza kuhukumu, dada na utambue mungu yupo kwaajili yakondoo wake waliopotea na istoshe mungu haji kwako Kwa namna ya umungu anatuma watu wake watakao kuokoa katika , Hivyo utambue kaka Ako katumwa na mungu na ndio maana hata uongee haelewi huwezi jua mungu ananjia nyingi za kumuokoa mwanadamu
Hongera sana kaka nimefulahi sana umefanya jambo nzuli sana mungu akubaliki sana
Shekhe Rajabu hizo salamu za kihuni mambo vipi??? Swari??? Mwanangu!!!! Achananazo ni uhuni pia sio maadili ya Kiislamu,Salamu ni moja tu.'''''''ASSALAMU ALAIKUM??? ,,,,,,WAALAIKUMU SSALAAM
Ŕajabu usichukue wandishi kwenda kwa wa zee utaharibu mambo yanakuwa mtandaoni na pia utakuwa unamuadhiri na mji w tanga ni mdogo watakuwa wanamsema majirani kidogo watapata tusi la kumtukana
Wee jamaa mbona unahoji kukataa kukataa tu kwanini .jamaa anakwambia Kila kitu kitakaa sawa wewe umeng'an'gania kuuliza wakikataa wakikataa vipi wewe mwandishi
ndo apo sasa!!
Mashaallah jamaa anahekim sna Allah amjalie wafunge ndoa twawaombea
Sheikh Rajab, Baby Zuu ni msichana mrembo mbali na changa moto alizo pitiwa. Na kila binaadamu ana mambo yake ya maajabu, Ikiwa hayako dhahiri ana fanya kwa siri. Haya ya baby zuu hayashindi ya firauni. Ni binaadamu nae vilevile na muache kumtaja taja. Mungu amemletea nusra nayo ni wewe sheikh Rajab.
Asali rakaa mbili amshukuru Allah. Ainue mikono juu aseme Alhamdulillah.
Kaka nikweli unayosema muowe atabadilika uyo
Mashaallah
Mwenyezi mungu akulipe Kwakustili ndugu yetu mwislamu
Jamani siku hizi mtu hachaguliwi mke au mume. Hayo ya kuchaguliana yalikuwa zamani. Shehe oa mungu atabariki ndoa Yako.
Mawifi ndyo walivyo visilani sana,wewe wakupangie mke wakuoa,ila wao waolewe na yeyote yule,wewe fanya unachokiona kizuri kwako hayo nimapto tu yadunia,na inawezekana mungu kakutuma uje umbadisha tabia na amjue mungu
Pongezi Rajabu muoee zuu thawabu nyingi utazipokea Kwa wema na msimamo ulo nao huyu zuu ameamua kubadilika na siku zote mtu akijirud n vyema Jamii ijuee watu hubadilika
I wish you all the best happy marriage kaka safi san brother owa hyo daa inshaallah mungu yuko nwe owa kbs mungu ndo mwenye hukumu lkn kaka ngu ukifuga ndo mimi n sema wewe kaka ngu mwambie huyo wife wko arudi kwa Allah kabisa kabisa swala san inshaallah mungu atakupa ngufu kaka 😢😢😢🤲🤲☝️☝️❤❤❤
Kaka kaka nimekupenda bule una swawabu kubu Allah awafajyie wepesi naamini utafuraiya mamunzi yk
She wewe unajua mengi kuhusu m/mungu mstili mungu atakulipa akibadika nawe fungu lipo
Mnavyo mchimba chimba huyu shekh atapoteza nia muachen mara mshaenda kwa familia yake kufanya nn kutia fitna ww mtangazaj hatutak tna ukimleta tna hapa awe ameoa😊
Usiende sheikh na waandishi wa habari kwenye usimuweke Mzee mtandaoni sheikh wangu
Hongera ndoa iharakisheni mwezi wa Ramadhani ndio huu akapike ftari 😂😂Sijuwi nacheka nini😅😅
SHEKH UNAFANYA SAWA KUMSTIRI ALLAH AKUTILIYE BARAKA INSHAALLAH BIIDHNILLAH TAALA
Wewe Ustaadh si unyamaze nendeni kimya kimya acheni kutia aibu ndoa ni wawili.
Shkh samahan naona ktk mazungumz yako hutoi aya wala hadith za mtume vp shkh
Allah akufanyie wepesi katoka ndoa Yako na zuhura
Sikuzote tabia haina dawa tabia ni Sawa na ngozi tabia haibadiliki
Kampend mwenye ww howa tu ana neno tabia zabqdilika
Bro Rajabu mungu akujalie inshaallah
Kaka oa huyo kaishajifunza hawezi kufanya ujinga tena
Mmmh uyoshekhe ndiokwaza anaaza kuowa au vip
Bara bara 21 maeneo gani wengine tupo tanga .kiki
Kaka muoe pengine aezaaa badilikaaa
Mungu atawasimamia nandoa itapita salama🙏
bwana weeeeh umenena mashallah shekhe
Ishallah Mungu afanye wepes ndoa ipite naamini baby zuu atabadilika
Safi sana shekh rajabu
Ukamtambulishe bila ndoa kwan mambo yalibadilika huko TZ MIE NAJUW MTUY AKIOLEW NDO ANAPELEKWA UKWEN DUUH SIKU HIZ ANATAMBULISHWA DUUH MAMBO YALIBADILIKA
Mambo msiweke mtandaoni yanaharibika
Ustadh Kasha nogewa na mtandao😂😂😂
Kwahiyo wewe ni shekhe 😂😂😂
Uwe na nur ktk maish yko bro 🤗
Fanya harusi kaka kama dadako hatakuja sisi tutakuja tusherekee harusi 😂😂😂
Kheeee😂😂
Shekh rajab kweli wewe shekh
Sheikh Rajab الله akufanyiye wepesi akustiri duniyani na akheira
Mtaishi uzuri insha'Allah
ww mkongo ila never give up
Mpe pole mwambie atapona
Allah atakulipa kheri
Naam, mazuri hufuta mabaya. Sheikh anafanya jambo lenye mfano wa kuigwa. Ndivyo Mwenyezi Mungu apendavyo. Dini ya uislamu ni nyepesi ila wapo wanaofanya isionekane wepesi wake. Mungu amesema kwenye kitabu, NIMEWAFANYIENI WEPESI ILA MAZITO NI NYINYI WENYEWE.Thamani ya ndoa ni kwa muoaji na mwenye kuolewa. Sheikh big UP.
Rajab kilicho pangwa na MOLA wako huwezi kiepuka hilo ni jambo la kheri na tukumbuke anamstiri stara yatoka kwa mungu Sasa huo nimtiani shetani anavuta kwake mungu ajalie liwe kwa nguvu zake ALLAH
Alhamdulilah Allaw akupe Taufik ktk ndo yako
Mungu atakulipa kaka
Hongera Sam kaka owa
Hamna sheikh hapo
She Rajab.. ALLAH Akuzidishie..mstiri mdogo wetu zuu
Vp kupima ukimwi?
Mungu akubarik
Hongera Sana shehe rajambu huyo make nowako Alla skitiye nguvu
Rajabu fanya kitu huyo mdada watu wengi sasa wanamtaka kumsitiri nikiwa Mombsa kenya Nairobi Wako watu tayari ukigairi wewe naku shauri Maliza ndoa
Ongera sana sheikh Allah awe nanyi kwenye mipango yenu inshallah
Mashallah kakangu Mola akuajalie Kwa kuweza kumuowa huyo dada ili ubadilishe dada huyo tabia na pia kumuhifadhi na kumpa heshima ili na yeye awemwenye kuonekana alikuwa akitafuta mtu wa kuhifadhi na pia yy amepanga kurudi Kwa mola wake Kwa hiyo hao wazee ywaomba pia ss wawe wenye kukubali mtu mbaya hubadilika na kuwa mwema
Uyo dada yako shekh rajab angefanya yeye hayo alafu akamrudiyq mungu asiolewe?
Shehe kwenye heri changamoto zipo hatamie yalinikuta lakini kwauwezo wa mungu niponandoa miaka 18 namahaba motomoto wachawi wameachwa wao mienipo mmbichi kamamttoto vile shehe kazabuti imeandikwaiyo.
Allah akujaalie shekhe Wetu upate kumstili dada etu
Bora dadazuu anatatuu zinaonekana kulikowengine wanamaovu yao alafu wanajifanya wastarabu wakati wanaliwa kisamaki Tena na ayazakuruani wanazo kaka rajabu chukua chomboicho ukakiongoze wanga watajificha ishalaa mungu ukuongoze mtusahihi hatadocta hamjui anaemjua mungu tu.
Hizi kiki zitaisha lini watu wanavaa kanzu na wanafanya thamthilia kwenye RUclips
Sio utsdhi 😂muandishi mwambie itowe kifia bx kam kwel usthd
Sasa hawa watu kwa nini wanajichora kama ni maumivu? Ya nini mtu kujiwekea vidonda na maumivu makali? ili upate nini sasa?
Oa kaka wanaopinga hawajaijua dini,wanadamu huokolewa ktk ushetani kwa njia kama hizi,na huruhusiwi kumuhukumu mwanadamu mwenzio ikiwa madaraka hayo ni ya Allah pekee
Usiseme wazazi wanakosea, wazee wapo sawa kabisa, ila ukiwa umependa mwiza wako unapaswa kuwashirikisha wazazi wako
Kwenye kupima nenda wee mtarajiwa wako .msianze umbea waandishi . Kupima niyeye na muolewa wake
Mashaallah x2 Allah akutangulie innshAllah uweze kufanikisha hilo .Allah akubariki kwa uwamuzi wako.
Acheni kutuzingua iyo content lambda asie elewa
Atabadilika san ujuwe ukiwafahamisha watuy wa so ijuw din ni kaz kuwafahamisha
Inxhallah xhehe rajab naiman mtaixhi maixha pouwah xana na da2 zuu atakuwa mke bora
Kaka nitafutie mume kama wew nyenye dini ila mm sina tatuu nataka mume jamani nina miaka 27 sina mtoto
Sheikh muoe maana utakuwa umemuokoa ktk machingu anayojutia Allah muweza wa yote atabadilika na kuwa msafi🤲
Mashaallah broo Rajab uko poa wallah maongez yko nmependa ... Inshallah allah akujaze kher
Allah akupe nguvu akh rajabu umnusuru bi zuu Allah atukulipa kheri sana
Ongera sana kaka radjabu na mimi niko pamoja na wewe allah akuwekeye wepesi inshallah.
Hata dini haitaki kuchaguliwa mke.
Kaka Safi unamsimamo nimekupenda
Asalamu aleykum allah awabariki mm naomba wakapime afya kwanza
Oa lakini pima nae kwanza İN SHAA ALLAH
Mtanga rafidhi ya kichaga toka kiboroloni
Mola ajaaliye ngozi yake isiathirike
Kaka usikose kumpimisha. Natunakutakia kheri ktk ndoa yako.
Uyo mwandishi nae maswali yake ya kimbea mbea
Inshallah mungu atlifunguwa Inshallah kheri
Ukionekana tena mtandaooni ni kwako ndio unaweka nuksi hiyo ndoa
Kwahiyo ckuiz ukivaa kanzu we shekhe?
Mmmh kumbewee shekhe ubwabwaa wew
Allah akutanguliye kwenye mambo yko inshaa Allah
In Sha Allah ndoa yetu hiwe njema Ameen.
Hiz camera zinafanya watuy weupe leo mweus video zakwanza alikuw mwarabu duuh tuwatakie ndoa njema inshaallah
😂😂😂😂 kweli ya kwanza alikuwa anawa jamaa
Allahu Akbar mungu mkubwa Allah akujalie Kila la kheri kwenye maisha yako Allah atakuongoza inshallah mungu mkubwa hakuna mkamilifu hiyo dada kashamkosea mangapi allah amfanyie wepesi na yy