SHEKH RAJABU ATEMA NYONGO KWA DADA YAKE ,KUINGILIA SUALA LA NDOA ,UTAPENDA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • MKASA WA NDOA YA SHEKH RAJABU NA DADA MWENYE TATTOO UNAENDELEA BADO MAMBO MAZITO.

Комментарии • 134

  • @YasmeenKhalifa-zq1zk
    @YasmeenKhalifa-zq1zk 9 месяцев назад +14

    Hongera kaka kwa msimamo wako

  • @mohamedabdoul5691
    @mohamedabdoul5691 9 месяцев назад +11

    Kaka Radjab mwenyezi mungu aku wekeye wepesi... Jambo letu lipite kwa amani. Napenda sana imani yako.

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy 9 месяцев назад +12

    I wish you all the best,happy marriage bro ,INSHAALLAH.

  • @kimwanachangani3922
    @kimwanachangani3922 9 месяцев назад +9

    Kaka ninakuunga mkono ..coz Allah huenda akambadilisha na tunamuombea Allah awaongoze ktk ndoa hii in Shaa Allah...na inakubalika ktk Dini ya kiislam ..Kwa hiyo dadaetu mkubwa kuwa mpole ..na umuombee duua ..na Allah anasema ....Hakika Allah habadilishi MTU ..mpaka ajibadilishe ..

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 9 месяцев назад

      Maashaallah coment inaujumbe mzuri chukuen hiyo mjifunze

  • @AihmAli-d8x
    @AihmAli-d8x 9 месяцев назад +21

    Shehe owa hule mtu ni sawa na kumubadili mtu dini kuna sawabu nyingi

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 9 месяцев назад

      Kama kwel Wenda Kiki tu siunakumbuka kwa yule bb alisema shaini mumewe

    • @Amina-o8i
      @Amina-o8i 9 месяцев назад

      Kabisaaa yan howa tu

    • @SumaiyaRashidi-h5e
      @SumaiyaRashidi-h5e 8 месяцев назад

      Owa kaka ang usisikilize ya watu

    • @shamsiyasalim6866
      @shamsiyasalim6866 8 месяцев назад

      Huwezi kubadili tabia ya mtu tabia ni sawasawa na ngozi hu

    • @shamsiyasalim6866
      @shamsiyasalim6866 8 месяцев назад

      Tabia ni tabia haibadiliki tabia haigeuki

  • @tunudimandogreek9683
    @tunudimandogreek9683 9 месяцев назад +4

    Sheikh owa wewe ndie ulie sukumwa kumbadirisha huyo dada hujui Mungu amekuandalia nini hayo mengine ni ya kibinadam tu wasamehe songa mbele

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva 9 месяцев назад +4

    Shehe ww AChana na watu ww fata moyo wako mungu awape wepes inshallah

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 месяцев назад +3

    Madhali kakiri kubadilika sawa mola amjaliye asiangqliye nyuma tena baby zuuuu

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 9 месяцев назад +7

    Mashaallah shekhe rajabu mungu atakulipa.unamtoa kwenye kiza mnampeleka kwenye nuru mungu yp pamoja nawe.hakuna mkamilifu chini ya jua atabadilika2.msimamie sn kwenye Dini kila la Heri kwenye ndoa yenu 🙏

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 9 месяцев назад

      Inshaallah🙏🙏

    • @OlipaMsemwa
      @OlipaMsemwa 9 месяцев назад

      Dini zote zinakaza kuhukumu, dada na utambue mungu yupo kwaajili yakondoo wake waliopotea na istoshe mungu haji kwako Kwa namna ya umungu anatuma watu wake watakao kuokoa katika , Hivyo utambue kaka Ako katumwa na mungu na ndio maana hata uongee haelewi huwezi jua mungu ananjia nyingi za kumuokoa mwanadamu

  • @LateefaL-e1u
    @LateefaL-e1u 9 месяцев назад +4

    Hongera sana kaka nimefulahi sana umefanya jambo nzuli sana mungu akubaliki sana

  • @shafiichongowee8014
    @shafiichongowee8014 9 месяцев назад

    Shekhe Rajabu hizo salamu za kihuni mambo vipi??? Swari??? Mwanangu!!!! Achananazo ni uhuni pia sio maadili ya Kiislamu,Salamu ni moja tu.'''''''ASSALAMU ALAIKUM??? ,,,,,,WAALAIKUMU SSALAAM

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 9 месяцев назад +2

    Ŕajabu usichukue wandishi kwenda kwa wa zee utaharibu mambo yanakuwa mtandaoni na pia utakuwa unamuadhiri na mji w tanga ni mdogo watakuwa wanamsema majirani kidogo watapata tusi la kumtukana

  • @AlimiahAlimiah-k8i
    @AlimiahAlimiah-k8i 9 месяцев назад +2

    Wee jamaa mbona unahoji kukataa kukataa tu kwanini .jamaa anakwambia Kila kitu kitakaa sawa wewe umeng'an'gania kuuliza wakikataa wakikataa vipi wewe mwandishi

  • @asiasalehe6031
    @asiasalehe6031 9 месяцев назад +3

    Mashaallah jamaa anahekim sna Allah amjalie wafunge ndoa twawaombea

  • @habyalmary8132
    @habyalmary8132 9 месяцев назад +1

    Sheikh Rajab, Baby Zuu ni msichana mrembo mbali na changa moto alizo pitiwa. Na kila binaadamu ana mambo yake ya maajabu, Ikiwa hayako dhahiri ana fanya kwa siri. Haya ya baby zuu hayashindi ya firauni. Ni binaadamu nae vilevile na muache kumtaja taja. Mungu amemletea nusra nayo ni wewe sheikh Rajab.
    Asali rakaa mbili amshukuru Allah. Ainue mikono juu aseme Alhamdulillah.

  • @MaryamShabani-n2u
    @MaryamShabani-n2u 9 месяцев назад +2

    Kaka nikweli unayosema muowe atabadilika uyo

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 9 месяцев назад +4

    Mashaallah

  • @MwananziaAbdallah
    @MwananziaAbdallah 9 месяцев назад +2

    Mwenyezi mungu akulipe Kwakustili ndugu yetu mwislamu

  • @NorahDachi
    @NorahDachi 8 месяцев назад

    Jamani siku hizi mtu hachaguliwi mke au mume. Hayo ya kuchaguliana yalikuwa zamani. Shehe oa mungu atabariki ndoa Yako.

  • @LubomaMhagama-r5m
    @LubomaMhagama-r5m 9 месяцев назад +1

    Mawifi ndyo walivyo visilani sana,wewe wakupangie mke wakuoa,ila wao waolewe na yeyote yule,wewe fanya unachokiona kizuri kwako hayo nimapto tu yadunia,na inawezekana mungu kakutuma uje umbadisha tabia na amjue mungu

  • @nuruhabibasally
    @nuruhabibasally 9 месяцев назад

    Pongezi Rajabu muoee zuu thawabu nyingi utazipokea Kwa wema na msimamo ulo nao huyu zuu ameamua kubadilika na siku zote mtu akijirud n vyema Jamii ijuee watu hubadilika

  • @fgg8794
    @fgg8794 9 месяцев назад +2

    I wish you all the best happy marriage kaka safi san brother owa hyo daa inshaallah mungu yuko nwe owa kbs mungu ndo mwenye hukumu lkn kaka ngu ukifuga ndo mimi n sema wewe kaka ngu mwambie huyo wife wko arudi kwa Allah kabisa kabisa swala san inshaallah mungu atakupa ngufu kaka 😢😢😢🤲🤲☝️☝️❤❤❤

  • @SamirSaid-ip8nn
    @SamirSaid-ip8nn 9 месяцев назад +2

    Kaka kaka nimekupenda bule una swawabu kubu Allah awafajyie wepesi naamini utafuraiya mamunzi yk

  • @AsiaHassan-w4w
    @AsiaHassan-w4w 7 месяцев назад

    She wewe unajua mengi kuhusu m/mungu mstili mungu atakulipa akibadika nawe fungu lipo

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 9 месяцев назад

    Mnavyo mchimba chimba huyu shekh atapoteza nia muachen mara mshaenda kwa familia yake kufanya nn kutia fitna ww mtangazaj hatutak tna ukimleta tna hapa awe ameoa😊

  • @FarySalum
    @FarySalum 8 месяцев назад

    Usiende sheikh na waandishi wa habari kwenye usimuweke Mzee mtandaoni sheikh wangu

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 9 месяцев назад +1

    Hongera ndoa iharakisheni mwezi wa Ramadhani ndio huu akapike ftari 😂😂Sijuwi nacheka nini😅😅

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 9 месяцев назад +2

    SHEKH UNAFANYA SAWA KUMSTIRI ALLAH AKUTILIYE BARAKA INSHAALLAH BIIDHNILLAH TAALA

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 9 месяцев назад +1

    Wewe Ustaadh si unyamaze nendeni kimya kimya acheni kutia aibu ndoa ni wawili.

  • @AbuuzuhairMuhammad
    @AbuuzuhairMuhammad 8 месяцев назад

    Shkh samahan naona ktk mazungumz yako hutoi aya wala hadith za mtume vp shkh

  • @fatumakimaro3186
    @fatumakimaro3186 7 месяцев назад

    Allah akufanyie wepesi katoka ndoa Yako na zuhura

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 8 месяцев назад

    Sikuzote tabia haina dawa tabia ni Sawa na ngozi tabia haibadiliki

  • @Amina-o8i
    @Amina-o8i 9 месяцев назад

    Kampend mwenye ww howa tu ana neno tabia zabqdilika

  • @saidmeza8287
    @saidmeza8287 9 месяцев назад +5

    Bro Rajabu mungu akujalie inshaallah

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 9 месяцев назад

    Kaka oa huyo kaishajifunza hawezi kufanya ujinga tena

  • @KhanisMakame-wf8yn
    @KhanisMakame-wf8yn 9 месяцев назад

    Mmmh uyoshekhe ndiokwaza anaaza kuowa au vip

  • @mohamediidd1964
    @mohamediidd1964 9 месяцев назад

    Bara bara 21 maeneo gani wengine tupo tanga .kiki

  • @Salma-zi6hn
    @Salma-zi6hn 9 месяцев назад +1

    Kaka muoe pengine aezaaa badilikaaa

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 8 месяцев назад

    Mungu atawasimamia nandoa itapita salama🙏

  • @clairedavid-fl1kd
    @clairedavid-fl1kd 8 месяцев назад

    bwana weeeeh umenena mashallah shekhe

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 9 месяцев назад +1

    Ishallah Mungu afanye wepes ndoa ipite naamini baby zuu atabadilika

  • @DGMTyson
    @DGMTyson 9 месяцев назад +2

    Safi sana shekh rajabu

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 9 месяцев назад

    Ukamtambulishe bila ndoa kwan mambo yalibadilika huko TZ MIE NAJUW MTUY AKIOLEW NDO ANAPELEKWA UKWEN DUUH SIKU HIZ ANATAMBULISHWA DUUH MAMBO YALIBADILIKA

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 9 месяцев назад +1

    Mambo msiweke mtandaoni yanaharibika

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija 9 месяцев назад

      Ustadh Kasha nogewa na mtandao😂😂😂

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 9 месяцев назад

    Kwahiyo wewe ni shekhe 😂😂😂

  • @AzmarJamalulleyl
    @AzmarJamalulleyl 9 месяцев назад

    Uwe na nur ktk maish yko bro 🤗

  • @mejumaakoja5050
    @mejumaakoja5050 9 месяцев назад +1

    Fanya harusi kaka kama dadako hatakuja sisi tutakuja tusherekee harusi 😂😂😂

    • @Johwilly
      @Johwilly 9 месяцев назад

      Kheeee😂😂

  • @MahirJamilMahir-td7sr
    @MahirJamilMahir-td7sr 8 месяцев назад

    Shekh rajab kweli wewe shekh

  • @شريفهالصقري
    @شريفهالصقري 7 месяцев назад

    Sheikh Rajab الله akufanyiye wepesi akustiri duniyani na akheira
    Mtaishi uzuri insha'Allah

  • @ledetourzanzibar1433
    @ledetourzanzibar1433 9 месяцев назад

    ww mkongo ila never give up

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 9 месяцев назад

    Mpe pole mwambie atapona

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 8 месяцев назад

    Allah atakulipa kheri

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 9 месяцев назад

    Naam, mazuri hufuta mabaya. Sheikh anafanya jambo lenye mfano wa kuigwa. Ndivyo Mwenyezi Mungu apendavyo. Dini ya uislamu ni nyepesi ila wapo wanaofanya isionekane wepesi wake. Mungu amesema kwenye kitabu, NIMEWAFANYIENI WEPESI ILA MAZITO NI NYINYI WENYEWE.Thamani ya ndoa ni kwa muoaji na mwenye kuolewa. Sheikh big UP.

  • @MohmmedGandhi-zc9wo
    @MohmmedGandhi-zc9wo 9 месяцев назад

    Rajab kilicho pangwa na MOLA wako huwezi kiepuka hilo ni jambo la kheri na tukumbuke anamstiri stara yatoka kwa mungu Sasa huo nimtiani shetani anavuta kwake mungu ajalie liwe kwa nguvu zake ALLAH

  • @hashilalkharusi4680
    @hashilalkharusi4680 9 месяцев назад +1

    Alhamdulilah Allaw akupe Taufik ktk ndo yako

  • @NajmahAbdallahMtaki
    @NajmahAbdallahMtaki 9 месяцев назад

    Mungu atakulipa kaka

  • @Khadija-qy4lf
    @Khadija-qy4lf 8 месяцев назад

    Hongera Sam kaka owa

  • @AbdullahHarith-b9p
    @AbdullahHarith-b9p 9 месяцев назад

    Hamna sheikh hapo

  • @AdamJuneid
    @AdamJuneid 8 месяцев назад

    She Rajab.. ALLAH Akuzidishie..mstiri mdogo wetu zuu

  • @abdulazizrupia8268
    @abdulazizrupia8268 9 месяцев назад

    Vp kupima ukimwi?

  • @HalimaYussuf-kq1uk
    @HalimaYussuf-kq1uk 8 месяцев назад

    Mungu akubarik

  • @zaitunomar54
    @zaitunomar54 8 месяцев назад

    Hongera Sana shehe rajambu huyo make nowako Alla skitiye nguvu

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 9 месяцев назад

    Rajabu fanya kitu huyo mdada watu wengi sasa wanamtaka kumsitiri nikiwa Mombsa kenya Nairobi Wako watu tayari ukigairi wewe naku shauri Maliza ndoa

  • @SalumMusafiri
    @SalumMusafiri 9 месяцев назад +1

    Ongera sana sheikh Allah awe nanyi kwenye mipango yenu inshallah

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv 8 месяцев назад

    Mashallah kakangu Mola akuajalie Kwa kuweza kumuowa huyo dada ili ubadilishe dada huyo tabia na pia kumuhifadhi na kumpa heshima ili na yeye awemwenye kuonekana alikuwa akitafuta mtu wa kuhifadhi na pia yy amepanga kurudi Kwa mola wake Kwa hiyo hao wazee ywaomba pia ss wawe wenye kukubali mtu mbaya hubadilika na kuwa mwema

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 месяцев назад

    Uyo dada yako shekh rajab angefanya yeye hayo alafu akamrudiyq mungu asiolewe?

  • @Gdhjgjk
    @Gdhjgjk 9 месяцев назад

    Shehe kwenye heri changamoto zipo hatamie yalinikuta lakini kwauwezo wa mungu niponandoa miaka 18 namahaba motomoto wachawi wameachwa wao mienipo mmbichi kamamttoto vile shehe kazabuti imeandikwaiyo.

  • @princessmakwega2444
    @princessmakwega2444 9 месяцев назад +1

    Allah akujaalie shekhe Wetu upate kumstili dada etu

  • @Gdhjgjk
    @Gdhjgjk 9 месяцев назад

    Bora dadazuu anatatuu zinaonekana kulikowengine wanamaovu yao alafu wanajifanya wastarabu wakati wanaliwa kisamaki Tena na ayazakuruani wanazo kaka rajabu chukua chomboicho ukakiongoze wanga watajificha ishalaa mungu ukuongoze mtusahihi hatadocta hamjui anaemjua mungu tu.

  • @MohamedRugamana
    @MohamedRugamana 9 месяцев назад

    Hizi kiki zitaisha lini watu wanavaa kanzu na wanafanya thamthilia kwenye RUclips

  • @JumaHaji-n7k
    @JumaHaji-n7k 9 месяцев назад

    Sio utsdhi 😂muandishi mwambie itowe kifia bx kam kwel usthd

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 9 месяцев назад

    Sasa hawa watu kwa nini wanajichora kama ni maumivu? Ya nini mtu kujiwekea vidonda na maumivu makali? ili upate nini sasa?

  • @ZamaHussein
    @ZamaHussein 9 месяцев назад

    Oa kaka wanaopinga hawajaijua dini,wanadamu huokolewa ktk ushetani kwa njia kama hizi,na huruhusiwi kumuhukumu mwanadamu mwenzio ikiwa madaraka hayo ni ya Allah pekee

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 9 месяцев назад

    Usiseme wazazi wanakosea, wazee wapo sawa kabisa, ila ukiwa umependa mwiza wako unapaswa kuwashirikisha wazazi wako

  • @AlimiahAlimiah-k8i
    @AlimiahAlimiah-k8i 9 месяцев назад

    Kwenye kupima nenda wee mtarajiwa wako .msianze umbea waandishi . Kupima niyeye na muolewa wake

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 9 месяцев назад

    Mashaallah x2 Allah akutangulie innshAllah uweze kufanikisha hilo .Allah akubariki kwa uwamuzi wako.

  • @AlawiSaidi-yn9gc
    @AlawiSaidi-yn9gc 9 месяцев назад

    Acheni kutuzingua iyo content lambda asie elewa

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 9 месяцев назад

    Atabadilika san ujuwe ukiwafahamisha watuy wa so ijuw din ni kaz kuwafahamisha

  • @MarryMlahagwa
    @MarryMlahagwa 9 месяцев назад

    Inxhallah xhehe rajab naiman mtaixhi maixha pouwah xana na da2 zuu atakuwa mke bora

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 9 месяцев назад

    Kaka nitafutie mume kama wew nyenye dini ila mm sina tatuu nataka mume jamani nina miaka 27 sina mtoto

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 9 месяцев назад

    Sheikh muoe maana utakuwa umemuokoa ktk machingu anayojutia Allah muweza wa yote atabadilika na kuwa msafi🤲

  • @Thumaommy
    @Thumaommy 9 месяцев назад

    Mashaallah broo Rajab uko poa wallah maongez yko nmependa ... Inshallah allah akujaze kher

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 9 месяцев назад

    Allah akupe nguvu akh rajabu umnusuru bi zuu Allah atukulipa kheri sana

  • @sinigiriraabdoulkarim6050
    @sinigiriraabdoulkarim6050 9 месяцев назад

    Ongera sana kaka radjabu na mimi niko pamoja na wewe allah akuwekeye wepesi inshallah.

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 9 месяцев назад

    Hata dini haitaki kuchaguliwa mke.

  • @NaomiMwampondele
    @NaomiMwampondele 9 месяцев назад

    Kaka Safi unamsimamo nimekupenda

  • @ashanassor584
    @ashanassor584 9 месяцев назад

    Asalamu aleykum allah awabariki mm naomba wakapime afya kwanza

  • @saidikobossa7489
    @saidikobossa7489 9 месяцев назад

    Oa lakini pima nae kwanza İN SHAA ALLAH

  • @Ndalolusulo-yt2ol
    @Ndalolusulo-yt2ol 9 месяцев назад

    Mtanga rafidhi ya kichaga toka kiboroloni

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 месяцев назад

    Mola ajaaliye ngozi yake isiathirike

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge 9 месяцев назад

    Kaka usikose kumpimisha. Natunakutakia kheri ktk ndoa yako.

  • @ZaharaShaban
    @ZaharaShaban 9 месяцев назад

    Uyo mwandishi nae maswali yake ya kimbea mbea

  • @mejumaaali5485
    @mejumaaali5485 9 месяцев назад

    Inshallah mungu atlifunguwa Inshallah kheri

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 9 месяцев назад

    Ukionekana tena mtandaooni ni kwako ndio unaweka nuksi hiyo ndoa

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 9 месяцев назад

    Kwahiyo ckuiz ukivaa kanzu we shekhe?

  • @KhanisMakame-wf8yn
    @KhanisMakame-wf8yn 9 месяцев назад

    Mmmh kumbewee shekhe ubwabwaa wew

  • @FedhaNdungangowe
    @FedhaNdungangowe 9 месяцев назад

    Allah akutanguliye kwenye mambo yko inshaa Allah

  • @siwadaaali5681
    @siwadaaali5681 9 месяцев назад

    In Sha Allah ndoa yetu hiwe njema Ameen.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 9 месяцев назад

    Hiz camera zinafanya watuy weupe leo mweus video zakwanza alikuw mwarabu duuh tuwatakie ndoa njema inshaallah

    • @paskaziasholla7471
      @paskaziasholla7471 9 месяцев назад

      😂😂😂😂 kweli ya kwanza alikuwa anawa jamaa

  • @ZuwenaNassor-b6m
    @ZuwenaNassor-b6m 9 месяцев назад +2

    Allahu Akbar mungu mkubwa Allah akujalie Kila la kheri kwenye maisha yako Allah atakuongoza inshallah mungu mkubwa hakuna mkamilifu hiyo dada kashamkosea mangapi allah amfanyie wepesi na yy