BABA WA SHEKH RAJABU,SIJARIDHIKA NA HII NDOA HATA KAMA MAALI NI MSAAFU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • BABA MZAZI WA SHEKH RAJABU AKATAA NDOA YA MWANAE NA BINTI ALIYEJICHORA TATTOO MWILI MZIMA.

Комментарии • 74

  • @fgg8794
    @fgg8794 8 месяцев назад +13

    Baba wewe kubali tu mtoto wako amempenda sana huyo dada inshaallah mungu yuko hatabadilika tu sisi binadamu atuko sawa mungu peke ndo yuko swa plz baba kubali n me aisha room Kenya inshaallah mungu yuko 😢😢😢😢

    • @Official83640
      @Official83640 8 месяцев назад

      Hivi nyie vilaza eeh kila leo mnadanganywa tu lkn bd mpo na story za uzushi loh poleni😂😂😂

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv 7 месяцев назад +2

    Mashallah ni vizuri Rajab aende Kwa mzee akaongee naye awe radhi

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri 8 месяцев назад +5

    😢😢😢😢Jmn baba bc fateni hizo mila ndoa n katika moja ya ibada in shaa Allah, Allah atie kher katika hili

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 8 месяцев назад +6

    Mzazi ni mshauri wa kwanza kwa mtoto.. lkn Sisi watoto tunawaona wazizi wetu kama wamepitwa na wakati. Mtoto ajishushe kwa mzazi

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 8 месяцев назад +5

    Shekh rajabu muweke mngu mbele kwanza swali swalatul istikhara
    Kama nikheri yatakuwa kamani shari hayatokuwa

  • @user-ff4zb2qn1l
    @user-ff4zb2qn1l 8 месяцев назад +5

    Msipandishe hasira zahawa wazazi kuwahojia kwenye mitandao .naamini mzee ataridhia ndowa itapita insha Allah. Mzee kwakuwa mwanamke kajutia makosa yake insha Allah naamini mwanao atapata mke mwema sana kwani hakuna chakum babaisha kwenye maisha yake Tena .kwani hakuna asichokijuwa ambacho hajakipitia ujanani mwake. Insha Allah mzee rudisha moyo nyuma asitiliwe mwanamke hyo

  • @user-jk7sm1dl7p
    @user-jk7sm1dl7p 7 месяцев назад +1

    Shikamo ni haramu
    Mzee iko sahihi
    Mtume Muhammad saw
    Ameusia kuficha uchumba na kutangaza ndowa
    Sasa rajabu amtafute mzee
    Ndoa iko sahihi
    Rajabu amtafute mzee

  • @user-be7id1fw5e
    @user-be7id1fw5e 8 месяцев назад +2

    Mtu hafai kuhukumu mwanadamu Allah ndiye mwenye kuhukumu

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 8 месяцев назад +1

    Baba kubali mungu akubariki

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 8 месяцев назад +2

    Mzee Kuna wakati. Hata sisi wazazi tunatakiwa. Kujishusha Kwa watoto wetu

  • @SamirSaid-ip8nn
    @SamirSaid-ip8nn 8 месяцев назад +2

    Mwandishi usiche sana sie tunaomba mungu alitishe hii ndoa

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 8 месяцев назад +3

    Mbona huyu baba wa watu hana tabu mtoto anatakiwa ajishushe kweli kwa mzee wake mambo yatakaa sawa

  • @DamarisDuuTausi
    @DamarisDuuTausi 7 месяцев назад

    Radhi ya mzazi ni nzuri ,msikilize baba wewe sheikh. Usimuoe hata akitoa tatoo.rajabu ,wacha baba aamue.

  • @AminaKassim-ni9wd
    @AminaKassim-ni9wd 7 месяцев назад

    Ma'shaallah baba apo kazi ipo kwa rajab kuongea na baba ila babaangu mkubalie rajab afanye suna na kumstiri bint kwani ndoa ni stara mwanamke bila ya ndoa bado ajawa mke sawasawa ndoa ni ibada Allah akulipe heri baba

  • @sulaymanqasim6186
    @sulaymanqasim6186 8 месяцев назад +1

    Lakusematu nikwamba rajabu ameniwahi❤

  • @mdmunira8981
    @mdmunira8981 7 месяцев назад

    Wew mzee akubali watot wao wane Mila kitu gani imepitwa n wakati mungu ametaka kumuongoa Dada kwa kupitia mwanao n kupata thawabu kwenu nyote mlaani sheitwan maan n wew sio mkamilifu unadhambi zako n hujui mungu atakusameh vip pengine usamehewe kw kupitia stara y yule Dada n rajabu

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 8 месяцев назад +4

    Mambo ya kumchagulia mke mwanao ni ushamba yashapitwa na wakati muacheni bint apate stara mwenyewe kashampenda acheni hizo

    • @AsdDsa-fi5qk
      @AsdDsa-fi5qk 8 месяцев назад +1

      Na Mimi mama anapenda kunichagulia spend

  • @hajatihajati5357
    @hajatihajati5357 8 месяцев назад +1

    Uyu mzee ha muogope Mola kachanganya Mila na Dini

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 6 месяцев назад

    mida ni mambo ya kizamani uislam ni njia pekee ya kuptisha ndoa na hupanga na mungu

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 8 месяцев назад +1

    Angekuwa mwanao unngefanyaje

  • @user-lj5mq4sp7w
    @user-lj5mq4sp7w 8 месяцев назад +2

    Kweli baba rajabu heshima ni kitu cha maana

  • @zenajaha3222
    @zenajaha3222 8 месяцев назад +3

    Dini inasema nini baba kuhusiana na mtu akipotea na akitaka kurejea tunatakiwa kumpokea na kumpa nasaha ili awe mwema na sio kumtenga zaidi

  • @khatibsaid5010
    @khatibsaid5010 8 месяцев назад +1

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu matumaini yangu nyote mpo salama kwautukufu wa allah! Mzee mimi sina mengi lakini jaribu kutumia hekima zsid ziwe za kidini kuwa makini inaweza kuja kugeukia kwako unazua ndoa mtu amesmua kutubia kwa mola wake na pengine inaweza ikawa sababu ya wote hao kufata amri za mungu lakini unalizuia hapo kidini mzee huna uwezo wakuzuia ndoa katika dini labda uingize izo milazako za kijijini tu!

  • @gaf9874
    @gaf9874 7 месяцев назад

    Babangu kubali😭😭😭😭to mtoto wako ishallah

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 8 месяцев назад +1

    Baba Haezi kukataza ndoa

  • @user-ct7vm7bq9w
    @user-ct7vm7bq9w 8 месяцев назад

    Watu hawamjafaham baba Rajab. Rajabu hajamshauri baba yake kama anataka kuoa. Kajiamulia tuu Bila ushauri Wazazi wake

  • @sheehamadnganzi8317
    @sheehamadnganzi8317 8 месяцев назад +1

    Another movie this year,hii ni maigizo hakuna ndoa

  • @salinababe6894
    @salinababe6894 8 месяцев назад +1

    Kubali baba😢

  • @user-md9iy9qn1k
    @user-md9iy9qn1k 7 месяцев назад

    Ndoa hashaguliwi mtoto kwa sheria ya dini ya Islam ☪️ kwasababu Ndoa ni nusu ya dini na mtoto hashaguliwi mchumba katika dini kamwe

  • @sulaymanqasim6186
    @sulaymanqasim6186 8 месяцев назад +1

    Japo rajabu ni mwanao amekusudia kumnusuru binti wa kiislamu hata namimi kwa ajili ya Allah ningemnusuru!

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 8 месяцев назад

    Mwacheni shekh amsitiri mwana wa mwenzako kwani hana wazazi masikini nikaka tu
    nyinyi kuweni wazazi wamsichana mumwelekeze masikini wanadamu huwa twakoseta sote hakuna alokamilika

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv 7 месяцев назад

    Mbona baba hataki Kwan binadamu si huwa mbaya na mwisho anapojistuka baadaye hurudi nyuma na kurudi Kwa mola wake mlezi na hutubia na pia hapo tuseme huwa na mwisho mwema

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 8 месяцев назад

    Mm Niko tayari kwamchango wowote ule Niko tayari bali ndoa ipite vzri

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q 8 месяцев назад +1

    Baba mwanao anaijuwa dini ndomana anamuoa yule binti

  • @user-vj1wn4hm6e
    @user-vj1wn4hm6e 8 месяцев назад +1

    😢😢😢😢

  • @clairedavid-fl1kd
    @clairedavid-fl1kd 7 месяцев назад

    huyu mzee😂😂 jeuri

  • @user-cb8uy9rl1w
    @user-cb8uy9rl1w 7 месяцев назад

    Baba kumbuka anaeoa ni mwanao na wamekubaliana inabidi ukubari huwezi kumchagulia mke

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 8 месяцев назад

    Kusiche....baba kubali hili jambo lipite samala salimin

  • @user-cz6dg5bb5r
    @user-cz6dg5bb5r 8 месяцев назад

    Yaarabi mlainishe moyo huyu baba akubali mwanamke mwenzanqu apete stara jmni amesha yajua makosa yke na ameshajifunza menqi labda ndio mana hata kaamua kufuta tatuu mpj kukubsli kuolewa yaarabi yaarabi tunakuomba

  • @SamirSaid-ip8nn
    @SamirSaid-ip8nn 8 месяцев назад

    Baba babaaa tunakuomba uruhu Ii ndoa mungu atakusimamia wewe SI muisram muukoi binti

  • @HUKUUSA2020
    @HUKUUSA2020 8 месяцев назад +1

    Kiislamu Baba hana nguvu ya kumkataza(kuzuia ndoa kwa mtoto wa kiume)’’.Lakini kama ni mtoto wa kike baba anaweza kukataa asiolewe kwa sababu baba ndo walii(taani msimamizi wa ndoa kwa mtoto wa kike na siyo wa mtoto wa kiume

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 месяцев назад

    Baba unapata dhambi kukataa hilo muhim niya ya mtu sio kufata maneno ya kiduniya hata dini haifai kumkataza mtu kuowa

  • @abubakarmago2623
    @abubakarmago2623 8 месяцев назад +1

    Katika mambo ambayo muislamu anakiwa afanyiwe haraka ni pamoja na nikah ukiacha maziko na kusilimu

  • @user-gy5ii3ig1d
    @user-gy5ii3ig1d 8 месяцев назад

    Mimi Rai yngu nakuomba mzee mkubalie mtoto wko afunge ndoa,tayar huyo dada kakiri kua atabadilika,uislam unahistoria kubwa yawatu kama hao mwanzo walikuwa njia potofu nabaadae wakajutia na Allah akawakubalia toba yao,hakuna mkamilifu ispokuwa Allah tu.

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 8 месяцев назад

    Asalam aleykum,baba samahani baba wewe unasema mcha mungu,sasa huyo bint amesha jua na kukiri makosa,kama mungu anatusamehe makosa yetu inakuaje wewe unamuhukumu huyo bint???

  • @user-zq9jc5sw7t
    @user-zq9jc5sw7t 8 месяцев назад

    Jamani.bi.zuu ameshakili.anaftaka.nusra.baba.fungua.nafsi.ww.muislam.nshallah

  • @HUKUUSA2020
    @HUKUUSA2020 8 месяцев назад +1

    ALAFU MILA NA DESTURI(NI VITU VYA UJINGA(HAVIPO KWENYE IMANI YETU YA KIISLAMU HIVYO BASI BABA ASILETE VITISHO KWA MTOTO WA KIUME(KUCHORA TATUU SIYO SABABU ALLAH NDO ANAONGOA WATU

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂 mdomo koma hunamwana sheria

  • @abubakarmago2623
    @abubakarmago2623 8 месяцев назад +1

    Mzee ni mila gani unayoitaka ww isiokuwa uislamu?wapeni nasaha hao vijana na mridhie waoane km ni makosa kijana amefanya bac umuwie radhi mkae shura mmalize

  • @user-be7id1fw5e
    @user-be7id1fw5e 8 месяцев назад

    Waislamu hawafai kufwata Mila

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri 8 месяцев назад

    Huyu baba uckute yule dada (mwanae) ashamlisha sumu ko hawez kukubali,, subhanallah 😢

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 8 месяцев назад

    Mzee punguza jaziba. Mwache. Mwanao aowe

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 8 месяцев назад +1

    Sasa hushasema wachaga ww mchaga wazazi lazima muwe na busara hii ndoa

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 8 месяцев назад

    Tokeni na kiki zenu

  • @Official83640
    @Official83640 8 месяцев назад

    Hii KK ikiisha mnitag np na shughuli za kufanya😂

  • @lubuva708
    @lubuva708 8 месяцев назад

    Wazazi Wana nafasi katika Hilo wanapo toa kauli usimuoe usioe... Wazee wanafikiria mbali

  • @faridalaiti4731
    @faridalaiti4731 8 месяцев назад

    Hii ni movie au ni ukweli jamani mbona sielwwi??mila na dini ya kiislamu zinaingiliana wapi jamani??

  • @raheematanzania3543
    @raheematanzania3543 7 месяцев назад

    Yaani wewe mzee upo bado na mambo ya mila badala ya dini

  • @mbaraksalum-of3sv
    @mbaraksalum-of3sv 8 месяцев назад +1

    Wewe Salma kua na Adabu na unatakiwa kuijua Dini yako kama kweli ww ni Muislam. Uislam una Shariah zake hata Mtume ametuusia namna ya kuchagua Mchumba/Mke. Sawa unasema anaweza akabadlika, je asipobadilika nyie mnaoshadidia mtawajibika vipi au mkishamuozesha nyie ndo basi inakua Mchuma janga hula na wa kwao? Huyo Baba mnaempuuza ndo atakayekua anahangaika na mwanae, nyie mtakua kwenu mmetulia, mshawakaangia Mbuyu mnawaachia wenye meno watafune.

    • @aflahabdula4084
      @aflahabdula4084 8 месяцев назад

      Usiseme hivi sisi niwakosa na ndio maana tukaambiwa tuombe mwisho mwema inawezekana yeye huyu akawa bora kuliko sote na pia allah mwenyewe anasemehe

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 8 месяцев назад

    Angekuw ni mtuy mwenye kuisom din asingesem chochote sem hawa ni waisilam nasiyo wenye kuisoma din muelew hiv mtuy mwenye kuisom din yake hawez kataa ndoa hata siku moja

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 6 месяцев назад

    Wanafiki

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 8 месяцев назад

    Mwanadam anapo ludi kwa Mollah wake usamehewa zambizake sasa nyie ninani embu kunjueni roho zenu

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 8 месяцев назад +1

    Hivi huyu mzee ni baba wa mwenyekiti bakwata mkoa wa Tanga?

  • @sulaymanqasim6186
    @sulaymanqasim6186 8 месяцев назад

    Mzee hajielewi,kwanza ajue kua Rajabu sasa sio mtoto mdogo halafu huyu dada anajutia Dhambi japo ukweli anaujua Allah na muhusika mwenyewe,sasa kama hajapata wa kumnusuru unadhani itakuaje?