Baba wewe kubali tu mtoto wako amempenda sana huyo dada inshaallah mungu yuko hatabadilika tu sisi binadamu atuko sawa mungu peke ndo yuko swa plz baba kubali n me aisha room Kenya inshaallah mungu yuko 😢😢😢😢
Shikamo ni haramu Mzee iko sahihi Mtume Muhammad saw Ameusia kuficha uchumba na kutangaza ndowa Sasa rajabu amtafute mzee Ndoa iko sahihi Rajabu amtafute mzee
Ma'shaallah baba apo kazi ipo kwa rajab kuongea na baba ila babaangu mkubalie rajab afanye suna na kumstiri bint kwani ndoa ni stara mwanamke bila ya ndoa bado ajawa mke sawasawa ndoa ni ibada Allah akulipe heri baba
Wew mzee akubali watot wao wane Mila kitu gani imepitwa n wakati mungu ametaka kumuongoa Dada kwa kupitia mwanao n kupata thawabu kwenu nyote mlaani sheitwan maan n wew sio mkamilifu unadhambi zako n hujui mungu atakusameh vip pengine usamehewe kw kupitia stara y yule Dada n rajabu
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu matumaini yangu nyote mpo salama kwautukufu wa allah! Mzee mimi sina mengi lakini jaribu kutumia hekima zsid ziwe za kidini kuwa makini inaweza kuja kugeukia kwako unazua ndoa mtu amesmua kutubia kwa mola wake na pengine inaweza ikawa sababu ya wote hao kufata amri za mungu lakini unalizuia hapo kidini mzee huna uwezo wakuzuia ndoa katika dini labda uingize izo milazako za kijijini tu!
Mbona baba hataki Kwan binadamu si huwa mbaya na mwisho anapojistuka baadaye hurudi nyuma na kurudi Kwa mola wake mlezi na hutubia na pia hapo tuseme huwa na mwisho mwema
Kiislamu Baba hana nguvu ya kumkataza(kuzuia ndoa kwa mtoto wa kiume)’’.Lakini kama ni mtoto wa kike baba anaweza kukataa asiolewe kwa sababu baba ndo walii(taani msimamizi wa ndoa kwa mtoto wa kike na siyo wa mtoto wa kiume
Mimi Rai yngu nakuomba mzee mkubalie mtoto wko afunge ndoa,tayar huyo dada kakiri kua atabadilika,uislam unahistoria kubwa yawatu kama hao mwanzo walikuwa njia potofu nabaadae wakajutia na Allah akawakubalia toba yao,hakuna mkamilifu ispokuwa Allah tu.
ALAFU MILA NA DESTURI(NI VITU VYA UJINGA(HAVIPO KWENYE IMANI YETU YA KIISLAMU HIVYO BASI BABA ASILETE VITISHO KWA MTOTO WA KIUME(KUCHORA TATUU SIYO SABABU ALLAH NDO ANAONGOA WATU
Mzee ni mila gani unayoitaka ww isiokuwa uislamu?wapeni nasaha hao vijana na mridhie waoane km ni makosa kijana amefanya bac umuwie radhi mkae shura mmalize
Wewe Salma kua na Adabu na unatakiwa kuijua Dini yako kama kweli ww ni Muislam. Uislam una Shariah zake hata Mtume ametuusia namna ya kuchagua Mchumba/Mke. Sawa unasema anaweza akabadlika, je asipobadilika nyie mnaoshadidia mtawajibika vipi au mkishamuozesha nyie ndo basi inakua Mchuma janga hula na wa kwao? Huyo Baba mnaempuuza ndo atakayekua anahangaika na mwanae, nyie mtakua kwenu mmetulia, mshawakaangia Mbuyu mnawaachia wenye meno watafune.
Angekuw ni mtuy mwenye kuisom din asingesem chochote sem hawa ni waisilam nasiyo wenye kuisoma din muelew hiv mtuy mwenye kuisom din yake hawez kataa ndoa hata siku moja
Mzee hajielewi,kwanza ajue kua Rajabu sasa sio mtoto mdogo halafu huyu dada anajutia Dhambi japo ukweli anaujua Allah na muhusika mwenyewe,sasa kama hajapata wa kumnusuru unadhani itakuaje?
Baba wewe kubali tu mtoto wako amempenda sana huyo dada inshaallah mungu yuko hatabadilika tu sisi binadamu atuko sawa mungu peke ndo yuko swa plz baba kubali n me aisha room Kenya inshaallah mungu yuko 😢😢😢😢
Hivi nyie vilaza eeh kila leo mnadanganywa tu lkn bd mpo na story za uzushi loh poleni😂😂😂
Mashallah ni vizuri Rajab aende Kwa mzee akaongee naye awe radhi
😢😢😢😢Jmn baba bc fateni hizo mila ndoa n katika moja ya ibada in shaa Allah, Allah atie kher katika hili
Mzazi ni mshauri wa kwanza kwa mtoto.. lkn Sisi watoto tunawaona wazizi wetu kama wamepitwa na wakati. Mtoto ajishushe kwa mzazi
Shekh rajabu muweke mngu mbele kwanza swali swalatul istikhara
Kama nikheri yatakuwa kamani shari hayatokuwa
Msipandishe hasira zahawa wazazi kuwahojia kwenye mitandao .naamini mzee ataridhia ndowa itapita insha Allah. Mzee kwakuwa mwanamke kajutia makosa yake insha Allah naamini mwanao atapata mke mwema sana kwani hakuna chakum babaisha kwenye maisha yake Tena .kwani hakuna asichokijuwa ambacho hajakipitia ujanani mwake. Insha Allah mzee rudisha moyo nyuma asitiliwe mwanamke hyo
Shikamo ni haramu
Mzee iko sahihi
Mtume Muhammad saw
Ameusia kuficha uchumba na kutangaza ndowa
Sasa rajabu amtafute mzee
Ndoa iko sahihi
Rajabu amtafute mzee
Mtu hafai kuhukumu mwanadamu Allah ndiye mwenye kuhukumu
Baba kubali mungu akubariki
Mzee Kuna wakati. Hata sisi wazazi tunatakiwa. Kujishusha Kwa watoto wetu
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤🎉
Mwandishi usiche sana sie tunaomba mungu alitishe hii ndoa
Mbona huyu baba wa watu hana tabu mtoto anatakiwa ajishushe kweli kwa mzee wake mambo yatakaa sawa
Radhi ya mzazi ni nzuri ,msikilize baba wewe sheikh. Usimuoe hata akitoa tatoo.rajabu ,wacha baba aamue.
Ma'shaallah baba apo kazi ipo kwa rajab kuongea na baba ila babaangu mkubalie rajab afanye suna na kumstiri bint kwani ndoa ni stara mwanamke bila ya ndoa bado ajawa mke sawasawa ndoa ni ibada Allah akulipe heri baba
Lakusematu nikwamba rajabu ameniwahi❤
Wew mzee akubali watot wao wane Mila kitu gani imepitwa n wakati mungu ametaka kumuongoa Dada kwa kupitia mwanao n kupata thawabu kwenu nyote mlaani sheitwan maan n wew sio mkamilifu unadhambi zako n hujui mungu atakusameh vip pengine usamehewe kw kupitia stara y yule Dada n rajabu
Mambo ya kumchagulia mke mwanao ni ushamba yashapitwa na wakati muacheni bint apate stara mwenyewe kashampenda acheni hizo
Na Mimi mama anapenda kunichagulia spend
Uyu mzee ha muogope Mola kachanganya Mila na Dini
mida ni mambo ya kizamani uislam ni njia pekee ya kuptisha ndoa na hupanga na mungu
Angekuwa mwanao unngefanyaje
Kweli baba rajabu heshima ni kitu cha maana
Dini inasema nini baba kuhusiana na mtu akipotea na akitaka kurejea tunatakiwa kumpokea na kumpa nasaha ili awe mwema na sio kumtenga zaidi
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu matumaini yangu nyote mpo salama kwautukufu wa allah! Mzee mimi sina mengi lakini jaribu kutumia hekima zsid ziwe za kidini kuwa makini inaweza kuja kugeukia kwako unazua ndoa mtu amesmua kutubia kwa mola wake na pengine inaweza ikawa sababu ya wote hao kufata amri za mungu lakini unalizuia hapo kidini mzee huna uwezo wakuzuia ndoa katika dini labda uingize izo milazako za kijijini tu!
Babangu kubali😭😭😭😭to mtoto wako ishallah
Baba Haezi kukataza ndoa
Watu hawamjafaham baba Rajab. Rajabu hajamshauri baba yake kama anataka kuoa. Kajiamulia tuu Bila ushauri Wazazi wake
Another movie this year,hii ni maigizo hakuna ndoa
Ni Kiki hii😂
Kubali baba😢
Ndoa hashaguliwi mtoto kwa sheria ya dini ya Islam ☪️ kwasababu Ndoa ni nusu ya dini na mtoto hashaguliwi mchumba katika dini kamwe
Japo rajabu ni mwanao amekusudia kumnusuru binti wa kiislamu hata namimi kwa ajili ya Allah ningemnusuru!
Mwacheni shekh amsitiri mwana wa mwenzako kwani hana wazazi masikini nikaka tu
nyinyi kuweni wazazi wamsichana mumwelekeze masikini wanadamu huwa twakoseta sote hakuna alokamilika
Mbona baba hataki Kwan binadamu si huwa mbaya na mwisho anapojistuka baadaye hurudi nyuma na kurudi Kwa mola wake mlezi na hutubia na pia hapo tuseme huwa na mwisho mwema
Mm Niko tayari kwamchango wowote ule Niko tayari bali ndoa ipite vzri
Baba mwanao anaijuwa dini ndomana anamuoa yule binti
😢😢😢😢
huyu mzee😂😂 jeuri
Baba kumbuka anaeoa ni mwanao na wamekubaliana inabidi ukubari huwezi kumchagulia mke
Kusiche....baba kubali hili jambo lipite samala salimin
Yaarabi mlainishe moyo huyu baba akubali mwanamke mwenzanqu apete stara jmni amesha yajua makosa yke na ameshajifunza menqi labda ndio mana hata kaamua kufuta tatuu mpj kukubsli kuolewa yaarabi yaarabi tunakuomba
Baba babaaa tunakuomba uruhu Ii ndoa mungu atakusimamia wewe SI muisram muukoi binti
Kiislamu Baba hana nguvu ya kumkataza(kuzuia ndoa kwa mtoto wa kiume)’’.Lakini kama ni mtoto wa kike baba anaweza kukataa asiolewe kwa sababu baba ndo walii(taani msimamizi wa ndoa kwa mtoto wa kike na siyo wa mtoto wa kiume
Baba unapata dhambi kukataa hilo muhim niya ya mtu sio kufata maneno ya kiduniya hata dini haifai kumkataza mtu kuowa
Katika mambo ambayo muislamu anakiwa afanyiwe haraka ni pamoja na nikah ukiacha maziko na kusilimu
Mimi Rai yngu nakuomba mzee mkubalie mtoto wko afunge ndoa,tayar huyo dada kakiri kua atabadilika,uislam unahistoria kubwa yawatu kama hao mwanzo walikuwa njia potofu nabaadae wakajutia na Allah akawakubalia toba yao,hakuna mkamilifu ispokuwa Allah tu.
Asalam aleykum,baba samahani baba wewe unasema mcha mungu,sasa huyo bint amesha jua na kukiri makosa,kama mungu anatusamehe makosa yetu inakuaje wewe unamuhukumu huyo bint???
Jamani.bi.zuu ameshakili.anaftaka.nusra.baba.fungua.nafsi.ww.muislam.nshallah
ALAFU MILA NA DESTURI(NI VITU VYA UJINGA(HAVIPO KWENYE IMANI YETU YA KIISLAMU HIVYO BASI BABA ASILETE VITISHO KWA MTOTO WA KIUME(KUCHORA TATUU SIYO SABABU ALLAH NDO ANAONGOA WATU
Kweli Hakuna mila hiyo kabisa
😂😂😂😂😂😂 mdomo koma hunamwana sheria
Mzee ni mila gani unayoitaka ww isiokuwa uislamu?wapeni nasaha hao vijana na mridhie waoane km ni makosa kijana amefanya bac umuwie radhi mkae shura mmalize
Waislamu hawafai kufwata Mila
Huyu baba uckute yule dada (mwanae) ashamlisha sumu ko hawez kukubali,, subhanallah 😢
Mzee punguza jaziba. Mwache. Mwanao aowe
Sasa hushasema wachaga ww mchaga wazazi lazima muwe na busara hii ndoa
Tokeni na kiki zenu
Hii KK ikiisha mnitag np na shughuli za kufanya😂
Wazazi Wana nafasi katika Hilo wanapo toa kauli usimuoe usioe... Wazee wanafikiria mbali
Hii ni movie au ni ukweli jamani mbona sielwwi??mila na dini ya kiislamu zinaingiliana wapi jamani??
Yaani wewe mzee upo bado na mambo ya mila badala ya dini
Wewe Salma kua na Adabu na unatakiwa kuijua Dini yako kama kweli ww ni Muislam. Uislam una Shariah zake hata Mtume ametuusia namna ya kuchagua Mchumba/Mke. Sawa unasema anaweza akabadlika, je asipobadilika nyie mnaoshadidia mtawajibika vipi au mkishamuozesha nyie ndo basi inakua Mchuma janga hula na wa kwao? Huyo Baba mnaempuuza ndo atakayekua anahangaika na mwanae, nyie mtakua kwenu mmetulia, mshawakaangia Mbuyu mnawaachia wenye meno watafune.
Usiseme hivi sisi niwakosa na ndio maana tukaambiwa tuombe mwisho mwema inawezekana yeye huyu akawa bora kuliko sote na pia allah mwenyewe anasemehe
Angekuw ni mtuy mwenye kuisom din asingesem chochote sem hawa ni waisilam nasiyo wenye kuisoma din muelew hiv mtuy mwenye kuisom din yake hawez kataa ndoa hata siku moja
Wanafiki
Mwanadam anapo ludi kwa Mollah wake usamehewa zambizake sasa nyie ninani embu kunjueni roho zenu
Hivi huyu mzee ni baba wa mwenyekiti bakwata mkoa wa Tanga?
Hapana
@@HABARIJAMIIDIGITAL shukrani 🙏
Mzee hajielewi,kwanza ajue kua Rajabu sasa sio mtoto mdogo halafu huyu dada anajutia Dhambi japo ukweli anaujua Allah na muhusika mwenyewe,sasa kama hajapata wa kumnusuru unadhani itakuaje?