WAZIRI JERRY SILAA AKIAMSHA KARIA KOO || AWEKA MAMBO SAWA UGOMVI WA MAMA NA WANAE NA.....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 476

  • @Alllifeneedsislearning
    @Alllifeneedsislearning 7 месяцев назад +5

    Ukishaona mtoto anajua sana mapenzi ya baba ake na mamaake, MALI 🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 9 месяцев назад +37

    MH-JERRY ❤❤❤ KIONGOZI WANGU UNAJUA KUSIMAMIA MAJUKUM YK KIONGOZI MINGU AKUJALIE USIJE UKABADIKA

    • @farijalakhalid5558
      @farijalakhalid5558 9 месяцев назад +2

      Hapo huyo mama anataka kumdhulumu hao watoto.
      Kwanza...huo mfumo slaa unakosea sana

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 9 месяцев назад +2

      ​@@farijalakhalid5558ANATAKA KUWADHULUMU VP WAKATI YEYE HAPATI HATA SHILINGI??

    • @farijalakhalid5558
      @farijalakhalid5558 9 месяцев назад +1

      @@salimmalaka256 sio slaa bali huyo mama
      Anaujua kama alisha achwa hata kama hakuna cheti charita
      Talaka kwenye uislamu inathibitishwa na Mungu sio na rita.
      Kwa hiyo kama aliachwa na katumia uchochoro wa rita
      Basi hakimu yupo ambae ni muumba wa mahakimu

  • @ZeyanaHamoud
    @ZeyanaHamoud 9 месяцев назад +16

    Mungu akuweke mh wetu waziri wa ardhi kazi ngumu sana mungu akupe subira na maamuzi ya busara na akulinde unatufurahisha sana wanachi kwa haki unayotenda

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt 9 месяцев назад +3

    Jerry Slaa waziri, wewe kichwa. Tena mtu wa haki wa Mungu hakika. Japo umeajiriwa na Serikali ambayo imepoteza dira, ww unanyoosha haki, Mungu akulinde na kwa wewe Samia Suluhu abarikiwe alipokutoa.

  • @thelalas9204
    @thelalas9204 9 месяцев назад +34

    Yani huyu ni zaidi ya waziri.M mungu tuekee awasaidie wazee wetu na vizazi vyetu.Mama samia umepata hapa.Ila makamisheni waliowengi wa Ardhi watubadilishie.Na watunge miongozo na sheria zenye adhabu na ufanisi kwa wafanyikazi wote wanaofanya kaxi kwa mazoea na kukwepesha haki.Leo waziri yupo kesho hayupo sote tunapita tuu.

  • @KadumaIssa
    @KadumaIssa 9 месяцев назад +7

    Hongera Kwanza mama Samia kwakumchagua waziri wa Ardhi Jerry silaa jembe sioutani

    • @yusuphsaid3013
      @yusuphsaid3013 9 месяцев назад

      MIAKA 25 HAKUWEPO HAPO, MUMEO KAFARIKI ANA MIAKA 20!!!!😮 ULIKUWA WAPI??? MUMEO ANAKUFA HATA KUJA KUMZIKA HUKUJA KWELI!!!😮. UKWELI KUHUSU HUYU MAMA, HIYO FAMILIA INA MATUMBO MANNE NA INA JUMLA YA WATOTO KUMI NA TANO(15). TUMBO LA KWANZA KUNA MTOTO MMOJA. TUMBO LA PILI KUNA WATOTO NANE (WATOTO SITA HAWATAKI MAMA YAO KUDHULUMU KATIKA SUALA LA KURITHI KINYUME NA SHERIA YA IMANI YA KIISLAMU KWASABABU MAMA YAO ALISHAACHWA TANGU MWAKA 1982. WAWILI TU KATIKA NANE NDIO WAPO NA MAMA KWASABABU YA MASLAHI YAO, MAMA ANA MIAKA INAYOKISIWA 87, NA HAO WATOTO SITA HAWAJAKATAA KUMLEA MAMA YAO). TUMBO LA TATU WAKO WATOTO WAWILI NA TUMBO LA NNE WAKO WATOTO WANNE. HUYO MZEE ALIKUWA ANAONA NA KUACHA HAPA TANZANIA KWA HAO WAKE WATATU KWA KUANZIA MKE WA PILI. NA WOTE ALIWAACHA KABLA HAJAFARIKI ISIPOKUWA MKE WA KWANZA TU AMBAE ALIMUACHA AKIISHI NCHI YA YEMEN BARA LA ASIA. SASA KATIKA WATOTO KUMI NA TANO AMBAO NDIO WARITHI, KUMI NA TATU WOTE WAKIWEMO WATOTO SITA WA HUYO MAMA, WAKUBALI UHALALI WA MAMA WA KWANZA AMBAE NI MAMA YAO WA KUFIKIA KUWA NI MRITHI NA KUMKATAA MAMA HUYU KWELI????? TUSIKIMBILIE KUHUKUMU BILA KUJUA UKWELI WA PANDE ZOTE MBILI! NA UNAAMBIWA HUYO MAMA YEYE KUPITIA HUYO MTOTO WAKE ALIEVAA FLANA NYEKUNDU KWENYE VIDEO WALIPELEKA SHAURI MAHAKAMA YA WILAYA NA KUIFUNGA NA SASA WAMEIFUNGUA SHAURI TENA MAHAKAMA YA MWANZO WAO. HAO HAO WASHTAKI WANAENDA TENA KWA WAZIRI WAKATI KESI INAENDELEA MAHAKAMANI NA WAO NDIO WANASHTAKI😮😮😮 KWANINI WASIPELEKE USHAHIDI WA UHALALI WAO MAHAKAMANI NA KUIACHA MAHAKAMA IFANYE KAZI YAKE KUITAFUTA HAKI???? WAZIRI UNAIKATAA MAHAKAMA KWELI???? NGOJA TUONE UPANDE WA PILI NA WAO TUONE WATAELEZEA NINI KUHUSU HILI SAKATA.

  • @supa7077
    @supa7077 6 месяцев назад +2

    Waziri mwenye akili nyingi. Ana chapa kazi sana. Safi sana

  • @lovemusicnoreen9185
    @lovemusicnoreen9185 9 месяцев назад +5

    JERRY BIG UP WATZ WENGI MIHEMKO SHERIA HAWAZIJUI PLUS TAMAA YA MALI BAADA WAKATAFUTE VYAO WATT WATU WAZIMA HOVYO

  • @hashimuhamis7851
    @hashimuhamis7851 2 месяца назад +1

    Hongera sana Waziri hakika umezunguza mambo ya msingi sana

  • @lionelanwar3607
    @lionelanwar3607 8 месяцев назад +1

    Waziri Jerry MashaAllah, watanzania mpeni Urais haraka ipasavyo

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 9 месяцев назад +2

    Nice one silaa mjane lazima wamtunze ,watoto wanajua mirathi tuu hawajui kutunza mama zao ,nawakumbuka msondo ngoma tunatoana roho yarabii kwa mali alizoacha baba.

    • @dinocastico8495
      @dinocastico8495 9 месяцев назад +2

      Sheria za nchi haziwez kuwa na juu ya killa kitu itapo fikiwa hivyo ni kukaribisha magugu ktk shamba la ngano. Hivi ikiwa ukiishi na mwanamke kwa miez sita bila ndoa serikali ina amini hiyo ni ndoa tayari na ukiowa intakiwa usajili ndoa na usipo fanya hivyo mkiishi pia ina hesabu ni ndoa pindi mkiachaa wana ndoa ina takiwa msajili talaka. Sheria ya uislam ukitamka tu kua ww c mke wangu talaka ipe swihi ila serikali bado mpaka usajili . Inamaana aliyo sema mungu kwao si ya maana. Na usipp sajili talaka siku ukifa yule mwanamke ana rithi kama mke hili ni tatizo. Kwahio huyo mama aliachwa na watu wana faham ila leo analia anataka arithi. Sheria za nchi haziwez kuwa juu ya killa kitu mambo ya kiroho ni kitu kingine.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 9 месяцев назад +1

      ​@@dinocastico8495NINAVYOJUWA MIMI NDUGU WA MUME HAWANA CHAO IKIWA MAREHEMU ANA WATOTO NA MAMA YAO ANA HAKI YA KUPEWA URITHI PIYA.

  • @RahimBoy-lh4nc
    @RahimBoy-lh4nc 9 месяцев назад +2

    Asante sana munge wetu,najivunia mwana ukonga kuwa na kiongoz bora kama ww,mungo hakurinde sana

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 9 месяцев назад +17

    Duuu aisee wazili unnakazi kubwa sana hongera mkuu

  • @omarabubakar191
    @omarabubakar191 9 месяцев назад +1

    A different person...we are deeply moved.Ana busara sn huyu Waziri for sure

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 9 месяцев назад +1

    Safi sana waziri kazi nzuri sana waziri hongera

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 9 месяцев назад

    Sawa kabisa Mhe Slaa unatendq kazi vizuri watoto sasa hivi dhulumati wanawanyanyasa wazazi wao na mungu atawalaani

    • @MrsM12387
      @MrsM12387 9 месяцев назад

      Mungu atamlaani anaedhulumu na sio wtt wanaodai haki yao

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 6 месяцев назад

    I'm mama samiha ministry package he hav (Golden puzzle ministry this unique one and his gold medal and very very understanding ministry and he knows how to keep family in one plate just god saved him from devil eyes (this Dr salaa ameen )🎉🎉🎉🎉

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 9 месяцев назад +1

    Yaani waziri.umenifurahisha kwelii wallahi mungu akulipe

  • @dr.abdallahngenya9780
    @dr.abdallahngenya9780 9 месяцев назад +19

    Hata kama kiislamu mama hana haki sababu aliachika kitambo hao watoto watumie busara ..baba yao alizaa watoto 10 na huyo mama , baada ya mirathi kupita basi katika kile chao wawagawie mama zao wote kama sadaka tu .. kumbuka amebeba mimba 10 na marehemu hata kama alimuacha ..

    • @yusuphsaid3013
      @yusuphsaid3013 9 месяцев назад +2

      MIAKA 25 HAKUWEPO HAPO, MUMEO KAFARIKI ANA MIAKA 20!!!!😮 ULIKUWA WAPI??? MUMEO ANAKUFA HATA KUJA KUMZIKA HUKUJA KWELI!!!😮. UKWELI KUHUSU HUYU MAMA, HIYO FAMILIA INA MATUMBO MANNE NA INA JUMLA YA WATOTO KUMI NA TANO(15). TUMBO LA KWANZA KUNA MTOTO MMOJA. TUMBO LA PILI KUNA WATOTO NANE (WATOTO SITA HAWATAKI MAMA YAO KUDHULUMU KATIKA SUALA LA KURITHI KINYUME NA SHERIA YA IMANI YA KIISLAMU KWASABABU MAMA YAO ALISHAACHWA TANGU MWAKA 1982. WAWILI TU KATIKA NANE NDIO WAPO NA MAMA KWASABABU YA MASLAHI YAO, MAMA ANA MIAKA INAYOKISIWA 87, NA HAO WATOTO SITA HAWAJAKATAA KUMLEA MAMA YAO). TUMBO LA TATU WAKO WATOTO WAWILI NA TUMBO LA NNE WAKO WATOTO WANNE. HUYO MZEE ALIKUWA ANAONA NA KUACHA HAPA TANZANIA KWA HAO WAKE WATATU KWA KUANZIA MKE WA PILI. NA WOTE ALIWAACHA KABLA HAJAFARIKI ISIPOKUWA MKE WA KWANZA TU AMBAE ALIMUACHA AKIISHI NCHI YA YEMEN BARA LA ASIA. SASA KATIKA WATOTO KUMI NA TANO AMBAO NDIO WARITHI, KUMI NA TATU WOTE WAKIWEMO WATOTO SITA WA HUYO MAMA, WAKUBALI UHALALI WA MAMA WA KWANZA AMBAE NI MAMA YAO WA KUFIKIA KUWA NI MRITHI NA KUMKATAA MAMA HUYU KWELI????? TUSIKIMBILIE KUHUKUMU BILA KUJUA UKWELI WA PANDE ZOTE MBILI! NA UNAAMBIWA HUYO MAMA YEYE KUPITIA HUYO MTOTO WAKE ALIEVAA FLANA NYEKUNDU KWENYE VIDEO WALIPELEKA SHAURI MAHAKAMA YA WILAYA NA KUIFUNGA NA SASA WAMEIFUNGUA SHAURI TENA MAHAKAMA YA MWANZO WAO. HAO HAO WASHTAKI WANAENDA TENA KWA WAZIRI WAKATI KESI INAENDELEA MAHAKAMANI NA WAO NDIO WANASHTAKI😮😮😮 KWANINI WASIPELEKE USHAHIDI WA UHALALI WAO MAHAKAMANI NA KUIACHA MAHAKAMA IFANYE KAZI YAKE KUITAFUTA HAKI???? WAZIRI UNAIKATAA MAHAKAMA KWELI???? NGOJA TUONE UPANDE WA PILI NA WAO TUONE WATAELEZEA NINI KUHUSU HILI SAKATA.

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 9 месяцев назад

      ​@@yusuphsaid3013yani mama analia ili adhulumu watu

    • @danielmakelemo2395
      @danielmakelemo2395 8 месяцев назад

      Sheria zingine za dini ni kandamizi Kwa jinsia ya kike yaan Hana haki kweli na wakati huyo Marehemu henzi zake alikuwa akirudi na mawazo anajipoza TU anampa mimba dah aisee

    • @fatmahamid3048
      @fatmahamid3048 8 месяцев назад +2

      Hakuna lolote mama huyo mushasema ana 87 mali hiyo apeleke wapi waachee tamaa muna uhakika kaachwa kama watoto munashindwa kutumiya busara mukamweka pazuri huyu mama watoto wake hawana mapenzi naye nina uhakika kama wanampenda mama yao wasingekubali adhalilike na mafungu ya watoto wanane wakiamua wamfanyiye mamayao chochote hata hiyo mirathi asingedai tatizo tamaa mama ana miaka 87 mpeni mapenzi sio mda ataondoka duniani watu wanatamani wawe na mama yao huyo ni mama kawazaa je mtu wa kando ingekuwaje je mama akisema kuwa watoto wawili nimewazaa ndani ya ndoa 6 ni waharamu mutakubali

    • @marrypius576
      @marrypius576 8 месяцев назад

      ​@@yusuphsaid3013ni sawa umeelezea vizuri ila mweny mali keshakufa kaka hiy mali igawanywe kwa kila mama kila mtoto biashara yakuja kusema oooh wew hatukitambui sio mama eti mara sio ndugu yetu huo ni ujinga na tamaa za mali mapenzi ya wazazi wenu msiyalete hapa kweny mali kinachotakiwa hap ni mgawanyo wa mali maan mweny mpunga wake keshadanja shida hiy familia ya mtu nne inatamaaa ten naaandika kwa herufi kubwa INATAMAAAAAAA full stop ✋

  • @OscerShop
    @OscerShop 9 месяцев назад +15

    Mawazori wetu wote wangekua Kama huyu nadhani shida nyingi kwa wananchi zingepungua ama kuisha kabisa ona anavoongea kwa unyenyekevu utadhani sio waziri kwakweli mungu akujalie maisha marefu .

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 9 месяцев назад +1

    HONGERA MUHESHIMIWA!YOU ARE THE BEST!

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n 9 месяцев назад +14

    MUNGU Akubariki Sana Mheshimiwa Waziri

  • @gloryleonard1563
    @gloryleonard1563 6 месяцев назад +1

    Mungu akulinde, akutunze na akufunike chini ya uvuli wa mbawa zake.

  • @SaimonBetwel
    @SaimonBetwel 3 месяца назад +1

    Mungu akulinde mweshimiwa akuoe maisha marefu ❤❤❤

  • @ibrahimyussuf3350
    @ibrahimyussuf3350 9 месяцев назад +1

    Mashallah Allah akupe afya njema uzisimamie haki za watu kiadilifu asidhulumiwe Mtu

  • @beatrice4780
    @beatrice4780 9 месяцев назад +1

    Mwenyenzi Mungu azidi kukutunza Mhe. Waziri!

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 9 месяцев назад +11

    Mheshimiwa Waziri Silaha! Wee unaukosha moyo wangu!! Naipenda sana kazi yako Mheshimiwa

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 9 месяцев назад +1

      yaani ningekua mungu silaha angeishi Miaka yotee

    • @ZayZaham
      @ZayZaham 9 месяцев назад +1

      ​@@josephineokama2200 umekosea Sana kujifananisha na mungu

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 9 месяцев назад

      @@ZayZaham hiv kusoma unajua kweli ? omba basi hata jirani Yako akusaidie kusoma

  • @MrishoMzelela-xb9bb
    @MrishoMzelela-xb9bb 7 месяцев назад

    Uongozi ni hekima na busara sio nguvu.mashaalah waziri wa ardhi.

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 9 месяцев назад +1

    Jamani pole sana mama Mungu ajalie vizazi vyangu

  • @KihiyoSalim
    @KihiyoSalim 2 месяца назад +1

    Kiongozi umenyooka safi Sana...🎉

  • @hermanjackson9310
    @hermanjackson9310 9 месяцев назад +2

    Nimekukubali boss uko vizur

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 9 месяцев назад +1

    Daaaaaaaaaa anaelekeza vizur ssna

  • @emmanuelkayavugwa8049
    @emmanuelkayavugwa8049 9 месяцев назад +4

    Mweshimiwa unapambana tunaona kazi yako

  • @HassanSaid-e1w
    @HassanSaid-e1w 9 месяцев назад

    allah akupe moyo huo mm nakukubaki kwa haki mola akupaishii upate kazi kulikonya uwaziri ata raisi kuwa inafaaa

    • @yusuphsaid3013
      @yusuphsaid3013 9 месяцев назад

      MIAKA 25 HAKUWEPO HAPO, MUMEO KAFARIKI ANA MIAKA 20!!!!😮 ULIKUWA WAPI??? MUMEO ANAKUFA HATA KUJA KUMZIKA HUKUJA KWELI!!!😮. UKWELI KUHUSU HUYU MAMA, HIYO FAMILIA INA MATUMBO MANNE NA INA JUMLA YA WATOTO KUMI NA TANO(15). TUMBO LA KWANZA KUNA MTOTO MMOJA. TUMBO LA PILI KUNA WATOTO NANE (WATOTO SITA HAWATAKI MAMA YAO KUDHULUMU KATIKA SUALA LA KURITHI KINYUME NA SHERIA YA IMANI YA KIISLAMU KWASABABU MAMA YAO ALISHAACHWA TANGU MWAKA 1982. WAWILI TU KATIKA NANE NDIO WAPO NA MAMA KWASABABU YA MASLAHI YAO, MAMA ANA MIAKA INAYOKISIWA 87, NA HAO WATOTO SITA HAWAJAKATAA KUMLEA MAMA YAO). TUMBO LA TATU WAKO WATOTO WAWILI NA TUMBO LA NNE WAKO WATOTO WANNE. HUYO MZEE ALIKUWA ANAONA NA KUACHA HAPA TANZANIA KWA HAO WAKE WATATU KWA KUANZIA MKE WA PILI. NA WOTE ALIWAACHA KABLA HAJAFARIKI ISIPOKUWA MKE WA KWANZA TU AMBAE ALIMUACHA AKIISHI NCHI YA YEMEN BARA LA ASIA. SASA KATIKA WATOTO KUMI NA TANO AMBAO NDIO WARITHI, KUMI NA TATU WOTE WAKIWEMO WATOTO SITA WA HUYO MAMA, WAKUBALI UHALALI WA MAMA WA KWANZA AMBAE NI MAMA YAO WA KUFIKIA KUWA NI MRITHI NA KUMKATAA MAMA HUYU KWELI????? TUSIKIMBILIE KUHUKUMU BILA KUJUA UKWELI WA PANDE ZOTE MBILI! NA UNAAMBIWA HUYO MAMA YEYE KUPITIA HUYO MTOTO WAKE ALIEVAA FLANA NYEKUNDU KWENYE VIDEO WALIPELEKA SHAURI MAHAKAMA YA WILAYA NA KUIFUNGA NA SASA WAMEIFUNGUA SHAURI TENA MAHAKAMA YA MWANZO WAO. HAO HAO WASHTAKI WANAENDA TENA KWA WAZIRI WAKATI KESI INAENDELEA MAHAKAMANI NA WAO NDIO WANASHTAKI😮😮😮 KWANINI WASIPELEKE USHAHIDI WA UHALALI WAO MAHAKAMANI NA KUIACHA MAHAKAMA IFANYE KAZI YAKE KUITAFUTA HAKI???? WAZIRI UNAIKATAA MAHAKAMA KWELI???? NGOJA TUONE UPANDE WA PILI NA WAO TUONE WATAELEZEA NINI KUHUSU HILI SAKATA.

  • @EddyYusuf-k9w
    @EddyYusuf-k9w 6 месяцев назад

    Kazi Safi sana mkuu

  • @kapilimaibra2540
    @kapilimaibra2540 9 месяцев назад +6

    Kwakweli mh unakazi kubwa sana katika hii wizara na m/mungu akusimamie haswaa.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 9 месяцев назад +7

    Mwenyezi Mungu amlinde kila cku inayoitwa kesho na afunikwe kwa damu ya Yesu pamoja na familia yake na libarikiwe tumbo lililokuzaa
    Be blessed Mh Jerry
    🙏🏼🙏🏼🙏🏼

    • @saliminyusuph6122
      @saliminyusuph6122 Месяц назад

      Muislam na damu yako ya yesu ni wapi na wapi. Muabudi Mwenyezi Mungu achana na Yesu. Yesu ni mtu tu ila anaheshimiwa kwa cheo chake tu alichobarikiwa na Mungu.

  • @SelemanAthuman-ke1gh
    @SelemanAthuman-ke1gh 9 месяцев назад +1

    Ongera San mkuu kwa kuwana ukarbu na wanannchi mungu akupe nguv

  • @PaulRPaul-z1q
    @PaulRPaul-z1q 9 месяцев назад +3

    Well said Mh. Jerry Slaa and stay blessed.

    • @yusuphsaid3013
      @yusuphsaid3013 9 месяцев назад

      MIAKA 25 HAKUWEPO HAPO, MUMEO KAFARIKI ANA MIAKA 20!!!!😮 ULIKUWA WAPI??? MUMEO ANAKUFA HATA KUJA KUMZIKA HUKUJA KWELI!!!😮. UKWELI KUHUSU HUYU MAMA, HIYO FAMILIA INA MATUMBO MANNE NA INA JUMLA YA WATOTO KUMI NA TANO(15). TUMBO LA KWANZA KUNA MTOTO MMOJA. TUMBO LA PILI KUNA WATOTO NANE (WATOTO SITA HAWATAKI MAMA YAO KUDHULUMU KATIKA SUALA LA KURITHI KINYUME NA SHERIA YA IMANI YA KIISLAMU KWASABABU MAMA YAO ALISHAACHWA TANGU MWAKA 1982. WAWILI TU KATIKA NANE NDIO WAPO NA MAMA KWASABABU YA MASLAHI YAO, MAMA ANA MIAKA INAYOKISIWA 87, NA HAO WATOTO SITA HAWAJAKATAA KUMLEA MAMA YAO). TUMBO LA TATU WAKO WATOTO WAWILI NA TUMBO LA NNE WAKO WATOTO WANNE. HUYO MZEE ALIKUWA ANAONA NA KUACHA HAPA TANZANIA KWA HAO WAKE WATATU KWA KUANZIA MKE WA PILI. NA WOTE ALIWAACHA KABLA HAJAFARIKI ISIPOKUWA MKE WA KWANZA TU AMBAE ALIMUACHA AKIISHI NCHI YA YEMEN BARA LA ASIA. SASA KATIKA WATOTO KUMI NA TANO AMBAO NDIO WARITHI, KUMI NA TATU WOTE WAKIWEMO WATOTO SITA WA HUYO MAMA, WAKUBALI UHALALI WA MAMA WA KWANZA AMBAE NI MAMA YAO WA KUFIKIA KUWA NI MRITHI NA KUMKATAA MAMA HUYU KWELI????? TUSIKIMBILIE KUHUKUMU BILA KUJUA UKWELI WA PANDE ZOTE MBILI! NA UNAAMBIWA HUYO MAMA YEYE KUPITIA HUYO MTOTO WAKE ALIEVAA FLANA NYEKUNDU KWENYE VIDEO WALIPELEKA SHAURI MAHAKAMA YA WILAYA NA KUIFUNGA NA SASA WAMEIFUNGUA SHAURI TENA MAHAKAMA YA MWANZO WAO. HAO HAO WASHTAKI WANAENDA TENA KWA WAZIRI WAKATI KESI INAENDELEA MAHAKAMANI NA WAO NDIO WANASHTAKI😮😮😮 KWANINI WASIPELEKE USHAHIDI WA UHALALI WAO MAHAKAMANI NA KUIACHA MAHAKAMA IFANYE KAZI YAKE KUITAFUTA HAKI???? WAZIRI UNAIKATAA MAHAKAMA KWELI???? NGOJA TUONE UPANDE WA PILI NA WAO TUONE WATAELEZEA NINI KUHUSU HILI SAKATA.

  • @charlesrimiru9301
    @charlesrimiru9301 3 месяца назад +1

    WISDOM .

  • @chemstry409
    @chemstry409 9 месяцев назад +1

    Wallah kuzaa si kupata ...but tutafute pesa haya mambo ya kujifanya mjuaji kwenye mambo ya mirathi hayana mpango....

  • @luqmanmohamedy3860
    @luqmanmohamedy3860 9 месяцев назад +1

    Daaah watoto wana laana

  • @ummukamillah
    @ummukamillah 6 месяцев назад +1

    SubhanAllah, Yaa Raab stara

  • @faizadiriye1384
    @faizadiriye1384 9 месяцев назад +2

    Manshaallah ww ni kiongozi

  • @shafiisaidygongoro7181
    @shafiisaidygongoro7181 9 месяцев назад +1

    Good work

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 2 месяца назад +1

    Nampenda Sana huyu mwamba🎉

  • @shady-on4jx
    @shady-on4jx 6 месяцев назад +1

    Yaan nataman niserve haya maelezo ni mazuri kwelezea vizur sana

  • @salumally663
    @salumally663 9 месяцев назад +5

    Waziri Silaa japokuwa wenzako watakuandama...Nitazidi kukuombea uzidi kusimamia haki na hata uwe raisi siku moja ...

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 9 месяцев назад

      wewe muislamu vipi mtalaka anarithi na anakaa kizuka

    • @yusuphsaid3013
      @yusuphsaid3013 9 месяцев назад

      MIAKA 25 HAKUWEPO HAPO, MUMEO KAFARIKI ANA MIAKA 20!!!!😮 ULIKUWA WAPI??? MUMEO ANAKUFA HATA KUJA KUMZIKA HUKUJA KWELI!!!😮. UKWELI KUHUSU HUYU MAMA, HIYO FAMILIA INA MATUMBO MANNE NA INA JUMLA YA WATOTO KUMI NA TANO(15). TUMBO LA KWANZA KUNA MTOTO MMOJA. TUMBO LA PILI KUNA WATOTO NANE (WATOTO SITA HAWATAKI MAMA YAO KUDHULUMU KATIKA SUALA LA KURITHI KINYUME NA SHERIA YA IMANI YA KIISLAMU KWASABABU MAMA YAO ALISHAACHWA TANGU MWAKA 1982. WAWILI TU KATIKA NANE NDIO WAPO NA MAMA KWASABABU YA MASLAHI YAO, MAMA ANA MIAKA INAYOKISIWA 87, NA HAO WATOTO SITA HAWAJAKATAA KUMLEA MAMA YAO). TUMBO LA TATU WAKO WATOTO WAWILI NA TUMBO LA NNE WAKO WATOTO WANNE. HUYO MZEE ALIKUWA ANAONA NA KUACHA HAPA TANZANIA KWA HAO WAKE WATATU KWA KUANZIA MKE WA PILI. NA WOTE ALIWAACHA KABLA HAJAFARIKI ISIPOKUWA MKE WA KWANZA TU AMBAE ALIMUACHA AKIISHI NCHI YA YEMEN BARA LA ASIA. SASA KATIKA WATOTO KUMI NA TANO AMBAO NDIO WARITHI, KUMI NA TATU WOTE WAKIWEMO WATOTO SITA WA HUYO MAMA, WAKUBALI UHALALI WA MAMA WA KWANZA AMBAE NI MAMA YAO WA KUFIKIA KUWA NI MRITHI NA KUMKATAA MAMA HUYU KWELI????? TUSIKIMBILIE KUHUKUMU BILA KUJUA UKWELI WA PANDE ZOTE MBILI! NA UNAAMBIWA HUYO MAMA YEYE KUPITIA HUYO MTOTO WAKE ALIEVAA FLANA NYEKUNDU KWENYE VIDEO WALIPELEKA SHAURI MAHAKAMA YA WILAYA NA KUIFUNGA NA SASA WAMEIFUNGUA SHAURI TENA MAHAKAMA YA MWANZO WAO. HAO HAO WASHTAKI WANAENDA TENA KWA WAZIRI WAKATI KESI INAENDELEA MAHAKAMANI NA WAO NDIO WANASHTAKI😮😮😮 KWANINI WASIPELEKE USHAHIDI WA UHALALI WAO MAHAKAMANI NA KUIACHA MAHAKAMA IFANYE KAZI YAKE KUITAFUTA HAKI???? WAZIRI UNAIKATAA MAHAKAMA KWELI???? NGOJA TUONE UPANDE WA PILI NA WAO TUONE WATAELEZEA NINI KUHUSU HILI SAKATA.

  • @Johnsonzakaria-mt1uu
    @Johnsonzakaria-mt1uu 6 месяцев назад +1

    Huyu ndio kiongoz boraaaa

  • @hamismkude553
    @hamismkude553 6 месяцев назад +1

    Uyu jamaaa anajua sana sheria mama asingemuamisha sana

  • @geofreywayesu5638
    @geofreywayesu5638 9 месяцев назад +1

    Fact waziri yuko vzr

  • @ShellaMoshi
    @ShellaMoshi 6 месяцев назад +1

    Kazi ipo. Binafsi nilifungua mahakamani moja kwa moja. Niliona wananichefua tu . kikao cha familia. Wanahamasishana tupike kura. Dunia ina mambo hii.

  • @SalmaPeteriziki
    @SalmaPeteriziki 9 месяцев назад +2

    Me love you JERRY

  • @kheriakida3309
    @kheriakida3309 9 месяцев назад +3

    Slaa mungu akuweke sana kwa msimamo huu nakukubali 💯 % safi

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 9 месяцев назад

    Mungu akulinde mh slaa🙏🙏❣️🥰🌹

  • @MikidadiMahumbi
    @MikidadiMahumbi 9 месяцев назад +4

    Nimeipenda iyo pole waziri unakazi ngumu

  • @saloomidd1084
    @saloomidd1084 9 месяцев назад +1

    Huyu waziri ni kichwa sana anaijua kazi yake sheria zote anazijua sio mbabaifu,najifunza mambo mengi kupitia kwake

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 9 месяцев назад

    Nyie watoto mungu anawaona hamna huruma hata kidogo

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 9 месяцев назад +3

    Mtu wa maana kabisa Muheshimiwa waziri...

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 9 месяцев назад +6

    Watoto kumi eti injee ya ndowa Nyiee mlikuwepo kushudia hawakufunga ndoa Mnamtapeli mke wa kwanza wa mwenye nyumba Eti baba yenu lakini watoto kumi waliozaliwa kabla amjaa zaliwa mnawabagua kwajili ya urithi Mcheni mollah wenu Mama na watoto wake 8 wapate haki zao.

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 9 месяцев назад

      Waislam wanajua kubagua ikija suala la watoto wa nje ya ndoa..ila Mama aliolewa na akaachika for so long.Lia yake ni ya kubaraguza ina maana hakuwa mjane aliyeachwa na Marehemu na angekuwa mjane angestahili kithumni km mirathi ingeenda kidini ila kwa vile hao watoto wa tumbo lingine wanadai walishaenda mahakamani basi hawako kidini unless pale mahakamani wakaseme kuwa baba yao alikuwa mcha Mungu na wanataka waende Bakwata...Wanawake muwe makini kujua sheria za ndoa kabla ya KUOLEWA na wanaume pia .

  • @aliswaleh1747
    @aliswaleh1747 9 месяцев назад +1

    Ndio shida zilizo kwetu we hv been facing same problems bt mama kaachwaa

  • @AbdallahHamadi-d4c
    @AbdallahHamadi-d4c 2 месяца назад +1

    Namuelewa kiongozi upo sawa wanawatumia watoto wawatu wakichoka wanawatupa wanaowa vijana watumiaji wakati mama kalachunga Kwa ajili ya ujenzi

  • @katumabiyan5090
    @katumabiyan5090 9 месяцев назад

    Hongera, sana slaa.Sheria unaijua

  • @abdallahakbar5232
    @abdallahakbar5232 9 месяцев назад +5

    Waislam hatuendi mahakani kuvunja ndoa sisi hatuna vyeti viwili vya ndoa kama aliachwa kabla ya kufa mumewe Hana urithi usiingilie Imani za watu waislam tayari Wana hukumu za mirathi mwanamke aliemkalia eda mumewe ndio anarithi

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 9 месяцев назад +1

      Kama ndiyo ilivyo kwanini mfungisha NDOA anasajiliwa na serikali?

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 9 месяцев назад

      Tatizowanayo talaka katika hao watoto

    • @albertchuma4313
      @albertchuma4313 7 месяцев назад +1

      Tatizo elimu imewapita kushoto, mjue kutofautisha serikali na dini, dini inaweza sema ndoa imevunjika lakini kutokana na sheria za serikali ikawa inatambulika bado ni ndoa. Kuna taratibu za kufata kuivunja

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 6 месяцев назад

      Shida kubwa hapa.ni shule watoto 10 halafu Hana ndoa a Hana haki ya mirathi looooh

  • @Worldunite
    @Worldunite 9 месяцев назад +3

    Waziri nakupobgeza sana kwa kusimamia haki

    • @yusuphsaid3013
      @yusuphsaid3013 9 месяцев назад

      MIAKA 25 HAKUWEPO HAPO, MUMEO KAFARIKI ANA MIAKA 20!!!!😮 ULIKUWA WAPI??? MUMEO ANAKUFA HATA KUJA KUMZIKA HUKUJA KWELI!!!😮. UKWELI KUHUSU HUYU MAMA, HIYO FAMILIA INA MATUMBO MANNE NA INA JUMLA YA WATOTO KUMI NA TANO(15). TUMBO LA KWANZA KUNA MTOTO MMOJA. TUMBO LA PILI KUNA WATOTO NANE (WATOTO SITA HAWATAKI MAMA YAO KUDHULUMU KATIKA SUALA LA KURITHI KINYUME NA SHERIA YA IMANI YA KIISLAMU KWASABABU MAMA YAO ALISHAACHWA TANGU MWAKA 1982. WAWILI TU KATIKA NANE NDIO WAPO NA MAMA KWASABABU YA MASLAHI YAO, MAMA ANA MIAKA INAYOKISIWA 87, NA HAO WATOTO SITA HAWAJAKATAA KUMLEA MAMA YAO). TUMBO LA TATU WAKO WATOTO WAWILI NA TUMBO LA NNE WAKO WATOTO WANNE. HUYO MZEE ALIKUWA ANAONA NA KUACHA HAPA TANZANIA KWA HAO WAKE WATATU KWA KUANZIA MKE WA PILI. NA WOTE ALIWAACHA KABLA HAJAFARIKI ISIPOKUWA MKE WA KWANZA TU AMBAE ALIMUACHA AKIISHI NCHI YA YEMEN BARA LA ASIA. SASA KATIKA WATOTO KUMI NA TANO AMBAO NDIO WARITHI, KUMI NA TATU WOTE WAKIWEMO WATOTO SITA WA HUYO MAMA, WAKUBALI UHALALI WA MAMA WA KWANZA AMBAE NI MAMA YAO WA KUFIKIA KUWA NI MRITHI NA KUMKATAA MAMA HUYU KWELI????? TUSIKIMBILIE KUHUKUMU BILA KUJUA UKWELI WA PANDE ZOTE MBILI! NA UNAAMBIWA HUYO MAMA YEYE KUPITIA HUYO MTOTO WAKE ALIEVAA FLANA NYEKUNDU KWENYE VIDEO WALIPELEKA SHAURI MAHAKAMA YA WILAYA NA KUIFUNGA NA SASA WAMEIFUNGUA SHAURI TENA MAHAKAMA YA MWANZO WAO. HAO HAO WASHTAKI WANAENDA TENA KWA WAZIRI WAKATI KESI INAENDELEA MAHAKAMANI NA WAO NDIO WANASHTAKI😮😮😮 KWANINI WASIPELEKE USHAHIDI WA UHALALI WAO MAHAKAMANI NA KUIACHA MAHAKAMA IFANYE KAZI YAKE KUITAFUTA HAKI???? WAZIRI UNAIKATAA MAHAKAMA KWELI???? NGOJA TUONE UPANDE WA PILI NA WAO TUONE WATAELEZEA NINI KUHUSU HILI SAKATA.

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 9 месяцев назад +2

    Allah akulipe kila la heri muheshimiwa haya mambo yapo mengi zanzibar sio mahakama wana serekali inaowatetea wanyonge

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 9 месяцев назад

      Tatizo imani ila Zanzibar afadhali tofauti na bara ukiwa mtoto nje ya ndoa unarithi wengi hawafuati uislamu

    • @mwatumsaidi5104
      @mwatumsaidi5104 9 месяцев назад

      @@AbdullahOmar-be4wy zanzibar watoto wa ndowa na mahakama inawazulumu hakuna haki kabisa mahakama za zanzibar zulma majaji hadi wakili

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 9 месяцев назад

      @@mwatumsaidi5104 unazungumzia mahakama ya kadhi au ya serekali

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 9 месяцев назад +2

      ​@@AbdullahOmar-be4wyHAYA SHEKHE WANGU UNASEMAJI KUHUSU HAO WATOTO WA NDOWA NA WANADHULUMIWA ZNZ UISLAMU UPI WANAO UFUWATA ZNZ???

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 9 месяцев назад +1

      @@salimmalaka256 mm nimesema mahakama ya kadhi Zanzibar sio mahakama ya serekali najuwa ya serekali wanafuata katiba ya nchi

  • @ashuraomar4935
    @ashuraomar4935 9 месяцев назад

    GREAT LEADER

  • @SalehKarama-uv4yr
    @SalehKarama-uv4yr 9 месяцев назад +2

    Solution ni mahakama ya kadhi tuepoke udhalili.maana sheria za nchi zinakinzana na sharia za mungu inshallah

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 9 месяцев назад

      Yes lkn wakiristo wanaokwamisha ndio haya leo yanatokea

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 9 месяцев назад

      Mungu yupi kaweka hizo sheria 😂

    • @bintyemeniya4731
      @bintyemeniya4731 9 месяцев назад

      ​@@leonardjohnson2058waislamu tunafata kitabu chetu Quran, hakijabakisha kitu kwenye mambo ya maisha, mwanamke akiwacha ikipita miezi mitatu na siku 10 hawezi kumrithi mume, besides huyo mama Ana watoto wao km kaolewa kwa sheria ya Dini ya kiislam ndio watamrithi baba yao

    • @bintyemeniya4731
      @bintyemeniya4731 9 месяцев назад

      Waislamu hatuhitaji documents kuachana muhim mashahidi wawili wanaume

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 9 месяцев назад

      @@bintyemeniya4731 ndio jambo zur

  • @MarwanBakhamis
    @MarwanBakhamis 2 месяца назад +1

    Waziri uko sahihi kabisa ,,,we ni mfano wa kuigwa

  • @AziziSaid-k7h
    @AziziSaid-k7h 9 месяцев назад +1

    Nakukubaki sana

  • @mulolemary1317
    @mulolemary1317 9 месяцев назад

    ALLAH atuongoze na piya aongoze wanetu mhhhh watoto kama hawa ALLAH awaongoze

  • @RoseMziray
    @RoseMziray 6 месяцев назад

    Safiiiii mwenyewe ayupo

  • @muhydinaden552
    @muhydinaden552 9 месяцев назад +1

    Tamaa imewaponza watoto kama sharia imewashinda kupata suluhu sheria ya serikali itawahukumia mkiona ....hasara kwenu tafuteni yenu!

  • @oscarmkumbo7451
    @oscarmkumbo7451 9 месяцев назад +3

    Mh. Jerry Mungu akubariki sana na akuongoze daima .

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni 9 месяцев назад +2

    Wewe mama muogope Mungu

  • @evelyneshirima5048
    @evelyneshirima5048 9 месяцев назад

    Waziri Jerry uko vizuri sana

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 9 месяцев назад +2

    ALAA OYEEEEEE. UBARIKIWE SANAA. NINAKUFUNIKA KWA DAMU YA YESU. MALAIKA WAKUTANGULIE KILA UPITAPO. KILA ANAYE KUPANGIA MABAYA WAFYEKWE KWA PANGA ZA MOTO NA KUFA.

  • @marymremi1051
    @marymremi1051 9 месяцев назад +1

    Mumgu akubariki

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid5558 9 месяцев назад +1

    Unapo dai mirathi ya kiisilamu usisahau kuna Mungu na kuna kufa.
    Kama mwanamke alisha achwa hatakiwi kurithi.
    😊😊😊😊😊😊
    Mtu akienda kushtaki serekalini wataangalia vifungu vya kiserekali na atapewa anacho dai
    Lakini aigope siku ya qiyama kwenye kile alicho pewa.

  • @sleymankassim4332
    @sleymankassim4332 9 месяцев назад

    Kiongozi Mungu akubariki

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 9 месяцев назад +4

    Usemi wa kuzaa sio kupata

  • @irenemichael
    @irenemichael 2 месяца назад +1

    Mh msiba watajiri nishida😢

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 9 месяцев назад +1

    Njoo Mwanza uwasaidie wananchi

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 9 месяцев назад +1

    Hizi dini zingine zinawakandamiza Sana kina mama.

    • @SoyaDispensary
      @SoyaDispensary 8 месяцев назад

      Hakuna Wakristo wanaogombaniana malii?

  • @EufranciaManka
    @EufranciaManka 6 месяцев назад

    Safiiiiiiii

  • @yasminmohamed604
    @yasminmohamed604 9 месяцев назад

    Raisi wangu ajae mungu pokea duwa yangu alha aandike jina lako

    • @miriamdavis3893
      @miriamdavis3893 9 месяцев назад

      Wasije wakamuua maana utendaji wake ni viwango vingine

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 9 месяцев назад +2

    watoto kauzu zaidi ya kambale dah kweli kuzaa sio kupata pole mama mungu yupo

  • @malikamohammed6641
    @malikamohammed6641 9 месяцев назад

    Subhana Allah 😢😢

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 9 месяцев назад

    Yani Wewe ni Waziri Mungu akueke

  • @MohamedSalum-m5v
    @MohamedSalum-m5v 9 месяцев назад

    Mh Jerry big up

  • @sheikhshafii200
    @sheikhshafii200 9 месяцев назад +8

    Mwanamke ameachika zaidi ya miaka ishirini baada ya hapo ndio Mwanamume anafariki dunia,katika hali kama hiyo mwanamke hana haki ya kurithi chochote ktk Mali ya marehemu.

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 9 месяцев назад +2

    Brother Jerry Mungu akutunze.na akupe taifa hili uliongoze

  • @shanibaniyas6308
    @shanibaniyas6308 6 месяцев назад +1

    😢😢😢😢😢😢

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 9 месяцев назад

    Yaan waziri uko vizuri wewe' yaan Rais wangu hapa umepatia kumchagua Huyu Silaha.❤❤❤🙏🙏🙏👍👍👍👍

  • @HabibuRajab
    @HabibuRajab 9 месяцев назад +1

    Mwamba mmoja uyo hekima nyingiiii

  • @AgripinaKisava
    @AgripinaKisava 6 месяцев назад

    Ndoa ya kihisiram hata sijawahi kuzielewa dini na mali tofauti kabisa

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 9 месяцев назад +17

    Kuzaa sio kupata bala sana

    • @Muharram-c5n
      @Muharram-c5n 9 месяцев назад

      Iko hivyo

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 9 месяцев назад

      umeona hata watoto wanavyomsema mama

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 9 месяцев назад +1

      ​@@josephineokama2200tatizo sio watoto tatizo ni mama hataki ukweli kw mujibu wa uislamu hana haki wenye haki ni watoto

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 9 месяцев назад +2

      ​@@AbdullahOmar-be4wyhii nchi yaiongozwi na dini inaongozwa na sheria za nchi huyo mama kazaa anawatoto 10

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 9 месяцев назад +2

      ​@@AbdullahOmar-be4wyAlIEKWAMBIA NANI KAMA HANA HAKI???

  • @hassanali8022
    @hassanali8022 9 месяцев назад

    Great leader

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 9 месяцев назад

    Nimeipenda hiyo, likija swala mali watu ndo wanakumbuka dini, ila mambo ya dini yenyewe hawana habari nayo.

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 9 месяцев назад

      Dini ndio muongozo wetu sasa unaona mama anajiliza adhulumu watu na anajuwa dini inasema harithi

  • @ishakabati1776
    @ishakabati1776 9 месяцев назад +1

    😢❤