Hatma ya Clatous Chama ndani ya Simba, Ahmed Ally atoa maelezo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • “Unaweza kumuacha Chama halafu baadaye ukaanza kujuta” - Ahmed Ally kuhusu ishu ya kiungo wao Clatous Chama akifafanua sababu za kuchelewa kufanya maamuzi, asema hatma yake wanayo viongozi wa juu…. asisitiza “yule siyo mtu mchezaji wa kawaida”

Комментарии • 124

  • @prenceReymaz
    @prenceReymaz 3 месяца назад +29

    wanaomkubali chama like zake hapa tafadhari ❤❤❤

  • @gideonmwaweza8177
    @gideonmwaweza8177 3 месяца назад +5

    Maneno mengiiiiiiiii sema tu ameenda upande wa pili msiba tu ulewekeeeeee Simba kilo chama chama mimi Simba nimeumia Sana chama bye

  • @donwilliamstechnology2052
    @donwilliamstechnology2052 3 месяца назад +4

    Hakika tumepoteza mchezaji muhimu ktk chama letu la Simba.. walio umia kama Mimi gonga like zako.

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 3 месяца назад +4

    Acha uongo si useme tu ukweli kwamba mmeshindwa kumlipa stahiki zake😢 mpk ameamua kuondoka

  • @AzizaMayemba-td8po
    @AzizaMayemba-td8po 3 месяца назад +9

    tunampenda abaki kwan nliposkia ameondoka niliumia sana

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 месяца назад +7

    KUNA WAJINGA WANATAKA UTANGAZE HATMA YA CHAMA KABLA YA MAAMUZI YA WAHUSIKA HAWAJA AMUWA

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 3 месяца назад +3

    Heee kumbe huyu Chama ni mtu wanamna gani?kila siku ukifungua Midia, TV,simu zinamueleza huyu huyu tu 😢mmm😮

  • @ummusajdalayaa4305
    @ummusajdalayaa4305 3 месяца назад +3

    Chama chama mwacheni aende bwana coz mnavyomsifua sana kaburi kina zadi Simba bila chama inawezekana bwanaa

  • @GeorgeJusto-y4v
    @GeorgeJusto-y4v 3 месяца назад +1

    Wewe ongea ushuzi tu alafu msajili wapumbavu mtatuelewa sisi Wana Simba tukoje

  • @gregorygodfrey1688
    @gregorygodfrey1688 3 месяца назад

    Wanasimba wote tufanye kum unfollow huyu jamaa anakuaga. Na akili za hovyo uku promote vitu tofauti na ilivo

  • @JohnErnest-x5i
    @JohnErnest-x5i 3 месяца назад

    Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa

  • @JohnErnest-x5i
    @JohnErnest-x5i 3 месяца назад

    Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa

  • @JohnErnest-x5i
    @JohnErnest-x5i 3 месяца назад

    Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa 5:55

  • @JohnErnest-x5i
    @JohnErnest-x5i 3 месяца назад

    Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa

  • @JohnErnest-x5i
    @JohnErnest-x5i 3 месяца назад

    Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa

  • @JohnErnest-x5i
    @JohnErnest-x5i 3 месяца назад

    Kuondoka kwa chama aimanishi simba imekufa chama sio sc chama ni mfanya biashara tu kweli twampenda lakini kumpenda kwetu tusije jutia uyo kisha kuwa snichi kwasasa

  • @RaziaCharleskopa
    @RaziaCharleskopa 3 месяца назад

    atakama Ahmed ally useme nini atutapata wakuziba pengo Ra xhama kumbuka wariondoka kina firi wakara kina jobe akaondoka bareke akaja Fred wamefanya nn zidi ya ao

  • @ShannyFedrick
    @ShannyFedrick 3 месяца назад

    Muachen aende chama lakn Simba Bado inamhitaj

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 3 месяца назад +3

    Mupeni thank you yake2 amechoka ukoloni

  • @SalvatoryTarimo
    @SalvatoryTarimo 3 месяца назад +1

    3:55 😂

  • @UshindiGwivaha
    @UshindiGwivaha 3 месяца назад +2

    Imeisha iyo wenye D mbili tumeelewa😂😂😂

  • @OmariNgori
    @OmariNgori 3 месяца назад

    Kwajili ya chama gonga like zako

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila 3 месяца назад

    Ally maneno hayatakiwi acha eende

  • @FotunataPhilimon
    @FotunataPhilimon 3 месяца назад

    IPO siku tutakukosa semaji,,naona ni kama unaifundisha management Nini ifanye juu ya chama,,,,in short chama amekuumiza kiasi Cha kutamani umfate utopoloni.

  • @mromalais900
    @mromalais900 3 месяца назад

    Maelezo mengi ya nn....kama anaenda mwacheni...muda mwingine semaji wajishusha Hadhi...zidi ya wale wanayo ipoteza Simba ambao niviongozi.

  • @idrissaNdiga
    @idrissaNdiga 3 месяца назад

    Ahmedy wew nitapeli Kama Hao vingozi Kwanza toka uje Simba unagundu mbwa wewe

  • @locksterabdon
    @locksterabdon 3 месяца назад +1

    Chama kaishasaiv tuwe wakwel mashabi wasmba

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 3 месяца назад +2

    Huyu mjinga sana maneno mengi

  • @DhulkifliMkiji
    @DhulkifliMkiji 3 месяца назад

    MAKOLO KISEBU SEBU NA KIROHO PAPO NYINYI HAMUNA UJANJA KWA CHAMA IPO SIKU ATAWASHIKA HADI VIJAMB.......😂😂😂😂😂😂

  • @DeusBriton
    @DeusBriton 3 месяца назад

    Tumeumia sana washabiki wa simba

  • @MuhsinJuma-wo2bg
    @MuhsinJuma-wo2bg 3 месяца назад

    Ww niambie ya kueleweka kwani ss haujui chawa hem achana ujinga timu ime potea na bado mnaendelea kuacha wachezaji muhimu kumama zenu

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 3 месяца назад

    Simba😂😂😂😂😂😂wana msemaj muongo sn aisee anawaona kama mambugila hiv wasiojielewa😂😂😂

  • @JuliascharlesNjogela
    @JuliascharlesNjogela 3 месяца назад +1

    Bad tunampenda chama

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 3 месяца назад

    Fanya kazi zingine sio USEMAJI maana una SIASA nying unasifia halafu hayupo SIMBA 😢 yaani achatu kaziiiiii hufai. Asiekuwa kwako halafu unasifiaiiaaaa 😢😢😅😅😅😅

  • @NoelsamwelyShagama-gb4zf
    @NoelsamwelyShagama-gb4zf 2 месяца назад

    wamepita wangap acha aend

  • @SuleMuntalikilumbi
    @SuleMuntalikilumbi 3 месяца назад

    Sasa we kichwa Unga hujatoa majibu hivyo hapo umebwabwaja tu

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 3 месяца назад

    Kwani wewe unaongelea nini wakati mshaumia tayari chefuuuu

  • @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
    @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh 3 месяца назад

    Chama abak kibud abak

  • @pablomsafi1050
    @pablomsafi1050 3 месяца назад

    Eti mumuuze chama alafu mumbakize jobe aaah itakua zalau kubwa sanaa uyo chama ni bonge la mtuu sema ndo vile tuu team aiko kwenye mwenendo mzuri ila majonzi😢 yatakua makubwa kama mtamuuza chama alf mbaya zaidi akachukuliwa na wapinzani(yanga) kama trending zinavyoelezea uko mitandaoni itakua noma sanaaa yan simba ndo itakua aina tena uwezo wakukijenga kikosi kam wakimuuza uyo tripple C mwamba wa rusaka

  • @estermoshi7518
    @estermoshi7518 3 месяца назад

    Chama hawez kwenda

  • @IddyAmir-gq1jr
    @IddyAmir-gq1jr 3 месяца назад +6

    Maneno mengi yanini ongea fact

  • @Edger-bn2mt
    @Edger-bn2mt 3 месяца назад

    Aende hatmtaki

  • @AnnaPaul-n6r
    @AnnaPaul-n6r 3 месяца назад

    Hahahaha

  • @SalvatoryTarimo
    @SalvatoryTarimo 3 месяца назад

    ay bwan

  • @PiliKassim-ox4qp
    @PiliKassim-ox4qp 3 месяца назад

    Mwache aende bhana nini kumpambapambaa mbwa uyooo

  • @Shaziri-or4xn
    @Shaziri-or4xn 3 месяца назад

    Huo ugonjwa

  • @ScholarAloyc
    @ScholarAloyc 3 месяца назад +3

    Simba hamna kitu

  • @RichardkashinjeRudamila
    @RichardkashinjeRudamila 3 месяца назад

    Hawo viongozi ndiyo wanaotualibia timu

  • @KuruthumKhalaf
    @KuruthumKhalaf 3 месяца назад

    achaujinga elaamna

  • @FikriniBakar
    @FikriniBakar 3 месяца назад +1

    Chama asitoke itakuwa balaa jingine

    • @athumaniabdi4122
      @athumaniabdi4122 3 месяца назад

      Mpira umeanza kupenda lini kaka, all in all mpira ni biashara bro,

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg 3 месяца назад

    yanga hatuabudu mizeee sisii nyie umieni na magarasa yenu mwakaa huu tunapiga 10

    • @CholoMwamba
      @CholoMwamba 3 месяца назад

      Amujipya ynga vikoba

  • @JastineLibehema
    @JastineLibehema 3 месяца назад

    Simba n taasisi kama anashida mwacheni aende zake

  • @RichardkashinjeRudamila
    @RichardkashinjeRudamila 3 месяца назад

    Nampenfa chama na asiondoke simba

  • @AveriniDenisi
    @AveriniDenisi 3 месяца назад

    Powh tumesikia yombo zako

  • @Chamlola
    @Chamlola 3 месяца назад

    Ongea kama mwanaume shoga 1 weeee sauti kama ya zuchuuu

    • @NeemaValentina
      @NeemaValentina 3 месяца назад

      Polojo nying ww nimwanasiasa huend direct

  • @Tchidymbanga
    @Tchidymbanga 3 месяца назад +1

    😂😂😂

  • @allyahmed3726
    @allyahmed3726 3 месяца назад

    Mashabiki hawa ndio wanatuangusha kuskiliza siasa za huyu jamaa simba inapotea

    • @Said13Mashakaog
      @Said13Mashakaog 3 месяца назад

      Kweli kabisa anaongea sana aaaah! Mpaka anakera

  • @abudalaabdumalik9362
    @abudalaabdumalik9362 3 месяца назад

    Aka kajamaaaa vip kaaa ivo watu wapite nae

  • @BoniphaceMaseke-k2k
    @BoniphaceMaseke-k2k 3 месяца назад

    una comment utumbo na hujala ,👇👇👇👇

  • @MeliusAdloph
    @MeliusAdloph 3 месяца назад

    Mwache aende kama ameamua kwenda!!

  • @JonasMaundu
    @JonasMaundu 3 месяца назад

    Tulia upokee tarifa sahihi

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 3 месяца назад +2

    Wewe mbona unatoa ngonjera mpuuzi tu!

  • @DesderiusPeter-ld7mm
    @DesderiusPeter-ld7mm 3 месяца назад

    Msemaji wa hovyo kabisa

  • @tasamtv
    @tasamtv 3 месяца назад +2

    Aliondoka okwi akiwa top scholar hata yeye ikbd apewe thanks

    • @ShadidaSaidi-bs5os
      @ShadidaSaidi-bs5os 3 месяца назад +1

      Ww yanga acha ujinga

    • @ShadidaSaidi-bs5os
      @ShadidaSaidi-bs5os 3 месяца назад +1

      Wew ukimtoa cham utamleta nan kama cham

    • @tasamtv
      @tasamtv 3 месяца назад

      Sasa kama mtu hataki utamlazimisha 😱😱😱

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 3 месяца назад

    Ulikuwa unawandaa kisaikolojia

  • @YusuphuJumanne-s5c
    @YusuphuJumanne-s5c 3 месяца назад +2

    Aondoke tuu anatusumbua 5:08 😊

  • @samwelwiston7972
    @samwelwiston7972 3 месяца назад

    Akafie mbele huyo chama

  • @IddyMrisho-g8x
    @IddyMrisho-g8x 3 месяца назад

    Nendakwenyepoiti2

  • @idrissaNdiga
    @idrissaNdiga 3 месяца назад

    Hata wew hatukutaki

  • @YusuphuJumanne-s5c
    @YusuphuJumanne-s5c 3 месяца назад

    Aondoke tuu anatusumbua

  • @YonaAgustino
    @YonaAgustino 3 месяца назад

    Chama mtu nanusu

  • @philemonnestory4239
    @philemonnestory4239 3 месяца назад +8

    Ahamed ally acha mboyoyo acha ujinga

    • @Greatest9141
      @Greatest9141 3 месяца назад +4

      😂😂😂

    • @Ndenza
      @Ndenza 3 месяца назад

      Yupo kazn kwake😂😂😂😂

    • @MkemiaMwajombe
      @MkemiaMwajombe 3 месяца назад +1

      Wewe fanya yako yatakusaidia

    • @boxdad
      @boxdad 3 месяца назад

      Wanaku uuuuu

    • @AttiyeShaame
      @AttiyeShaame 3 месяца назад

      ​@@Ndenza❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤a23a❤31a❤31❤1❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤3111111❤w1w❤131❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤31a❤w3❤1a❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤w1❤à❤❤❤❤🎉🐏❤

  • @JonasMaundu
    @JonasMaundu 3 месяца назад

    Mnatumalizia bando

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 3 месяца назад

    Aende

  • @emmanueljohn7253
    @emmanueljohn7253 3 месяца назад

    Let him go

  • @YusuphuJumanne-s5c
    @YusuphuJumanne-s5c 3 месяца назад

    Aondoke tuu anatusumbua

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 3 месяца назад

    Tunataka solution

  • @AnnaPaul-n6r
    @AnnaPaul-n6r 3 месяца назад +1

    Kazi mnayoo wazee

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 3 месяца назад

    Duh 😂😂😂😂😂😂😂

  • @SebastianMaleto
    @SebastianMaleto 3 месяца назад

    😂😂😂

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 3 месяца назад

    Kwa kheri chama karibu aziz ki..

    • @Mhappy5
      @Mhappy5 3 месяца назад +2

      Amka amka😅😅😅

    • @johnbidya119
      @johnbidya119 3 месяца назад

      @@Mhappy5 hawajajua bado

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 3 месяца назад +1

    Mnampa kichwa mlambeni miguu wajinga nyie!

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile 3 месяца назад +1

    Apa tushajua chama anasepa

  • @AnthonKitindi-zg4dp
    @AnthonKitindi-zg4dp 3 месяца назад

    Daah Yani kama wamtongoza dem

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 3 месяца назад

    harafu viongozi Wa Simba tambueni Yanga walishajua chama kaisha, hivyo wanajifanya kumtaka ili tuendelee Na mpira wake Wa kutokukimbia aendeeeeeeeeeee

  • @barakacharles6027
    @barakacharles6027 3 месяца назад

    Mmmh

  • @MakoyeYohana
    @MakoyeYohana 3 месяца назад

    yup au hayup

  • @paulzacharia5897
    @paulzacharia5897 3 месяца назад +1

    Ngonjera hizi jaman

  • @clemermkanda
    @clemermkanda 3 месяца назад +1

    Sasa mbn hatima sijaisikia🥱

  • @IddiyNasoro
    @IddiyNasoro 3 месяца назад +1

    Acha siasa funguka

  • @MussaFadhil-ef7rs
    @MussaFadhil-ef7rs 3 месяца назад

    Nmekua kwa kwanza naomben like😂😂😂

  • @berinaladslaus8792
    @berinaladslaus8792 3 месяца назад +1

    Wanaokoment ujinga ni Wana yanga hao
    Utoporo mtupu

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 3 месяца назад

    Aondokee tyuu anajisikiaa sanaaa

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 3 месяца назад

    chama ndio niniiiiii? aendeeeee

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 3 месяца назад

    analinga kama Demu

  • @hadijarashid8425
    @hadijarashid8425 3 месяца назад

    😢chama abaki tu

  • @DanielidaudyliganyaDanielidaud
    @DanielidaudyliganyaDanielidaud 3 месяца назад

    Tulia wewe

  • @Greatest9141
    @Greatest9141 3 месяца назад

    Kawaacha uyoo 😂😂

  • @SundayMjeda-y1m
    @SundayMjeda-y1m 3 месяца назад

    Abaki 🙏

  • @YusuphuJumanne-s5c
    @YusuphuJumanne-s5c 3 месяца назад

    Yupo hayupo