Jiji la Dar es salaam lapatiwa mafunzo ya Idara mpya ya ,Uwekezaji ,Viwanda na Biashara.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kupitia idara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara wameanza mafunzo ya namna ya utendaji kazi wa idara hiyo mpya.
    Mafunzo hayo yanatarajiwa kufanyika kwa siku 10 yatatolewa na wataalamu wa Biashara kutoka Wizara ya Uwekezaji Viwanda na Biashara, Ofisi ya rais TAMISEMI, Mamlaka ya Maeneleo ya Biashara Tanzania Tantrade pamoja na Wakala wa Usajili na Leseni Brela

Комментарии •