DIDA ALIVYOFUNGA NDOA NA MEYA WA JIJI LA Dar es Salaam

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
    𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
    𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 309

  • @valeriansixbert9428
    @valeriansixbert9428 3 года назад +7

    Hongera sana Dida.... ila pongezi pekeeee saaana saaaana kwa MC ameendesha kwa ustaarabu sana shuguli. Kwa lugha staarabu mno!. Pongezi sana sana. Hizi shughul huwa za vurugu Mno. Ila ameendesha kwa lugha ya upole ustaarabu na ucheshi.

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 3 года назад +17

    Mwenyezi mungu akawahifadhi wadumu kwenye ndoa yao inshaallah

  • @genovevatarimo3982
    @genovevatarimo3982 3 года назад +14

    Mungu akutangulie dada d

  • @sakinasadik3776
    @sakinasadik3776 3 года назад +6

    Allah akujalie mskilizano mukigombana muwe wepesi kuombana msamaha ndoa yenu itadumu mambo matatu uyaweke kila mara mdomoni kwako nakupenda samani na pole ndio maneno ya kufanya ndoa idumu kila LA kheri allah akutangulie

  • @faissamumuhsin9314
    @faissamumuhsin9314 3 года назад +37

    Nimekuozesha nimemuowa ni maneno machache tu yanayofanya watu kuishi pamoja kwanjia ya halali uislamu ni mzur

  • @hudhud2022
    @hudhud2022 3 года назад

    Allahuma Barik Mwana Khadija na mume wako Allahuma Aamin na waliobakia wanawari na wajane awafungulie waume wenye kheri na wanaume wapate wake wenye kheri

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 года назад +8

    Dida kuanzia leo vazi la stara tafadhali♥️🔥🙏🙏🙏🙏

    • @khdigahk4246
      @khdigahk4246 3 года назад

      Asimtie aibu mume mtu mzma mwenye adab zake ❤️

    • @halimaidd653
      @halimaidd653 3 года назад

      @@khdigahk4246 Ana haki ya kuvaa kile alicho kuridhia mume wake

  • @ashashabani4210
    @ashashabani4210 3 года назад +1

    mashaallah bi harusi wetu hongera sana dida ake allah awajaaliye kila la kheri awaepushe na kila aina ya shari

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 3 года назад +30

    Kila la Kheri Dida ndoa njema na yenye baraka

  • @aqssaomarynizwa9738
    @aqssaomarynizwa9738 3 года назад +9

    Masha Allah hongera my sister dida mungu akuongoze

  • @abuuissa1819
    @abuuissa1819 3 года назад +3

    Mashallah wenye wivu wataona donge...ila tusio na wivu tunaomba mwenyez mungu atufungulie milango ya baraka na ss tuolewe

  • @samuellacecille717
    @samuellacecille717 3 года назад

    I love you Dida Hongera kwa ndoa mwenyezi Mungu ailinde ndoa yako

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 года назад +1

    مشاء لله الله كريم 👏 Mola akaidumishe ndoa yenu إنشاء لله 👏

  • @rachelsimon8677
    @rachelsimon8677 3 года назад +3

    Kumbe ndo mnafungaga hivi,,Masha Allah
    Ndoa njema kwenu

  • @nicoletawanjira6721
    @nicoletawanjira6721 3 года назад +1

    Hongera Dida...much love from Germany

  • @chambotz9352
    @chambotz9352 3 года назад +14

    Ila Idris Yupo Vzr Sana kwenye Suala la Kuhoji Namaanisha Ana Saut Nzur ya Kuhoji Apewe kipind

    • @mwatanosalum2497
      @mwatanosalum2497 3 года назад

      Kwakweli mashaalah

    • @user-ot2io4cy6w
      @user-ot2io4cy6w 3 года назад

      Apewe kipindi wakati ana kipindi ana host na wenzake hivi unadhani kipindi unapewa tu kiholela holela tu kama unapewa gari🤔🤔🤔

    • @latifarashidi724
      @latifarashidi724 3 года назад

      @@mwatanosalum2497 a

  • @mawananasoro4405
    @mawananasoro4405 3 года назад

    Mwenyezi mungu ailinde ndoa yenu muishi maisha marefu isha Allah

  • @wilkistermorningstar406
    @wilkistermorningstar406 3 года назад +1

    Mungu akubariki Dada dida

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 3 года назад +2

    Amiiin, bado mim jaamna mungu nipe subraaaaa🙏🙏🙏🙏

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 3 года назад

    MAASHAALLAH...KILA LA KHERI KWENU...

  • @nadiamohamed6149
    @nadiamohamed6149 3 года назад +1

    Mshllh mabrouq inshllh

  • @tumaramadhani8347
    @tumaramadhani8347 3 года назад

    MASHAA Allah kila la kheir dida katika ndoa yako

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa2020 3 года назад

    Mashaallah tabaraka Allah Allah awazidishie mapenz inshaallah

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 3 года назад +10

    Ukatulizane dida usije ukatumia cheo cha mumeo vibaya nawatakia kher

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 года назад

    Mashallah maboork saaana dada dida😍😍😍😘 erf maboork 😘😍😘

  • @yasinshaban4933
    @yasinshaban4933 3 года назад

    Ni jambo la kheir kbs, M/Mungu awafanyie wepec iwe ni ndoa ya kheir na baraka pia masikilizano tele Insha'Allah

  • @sidratybinkhamis2837
    @sidratybinkhamis2837 3 года назад +16

    Anaweza akatulia na akadumu . Allah ampe subra . Na kama ni bimdogo amueshimu mumewe

  • @salmamrembo4360
    @salmamrembo4360 3 года назад

    Hahahaaaa shekh umenifurahisha sana hongera khadija mdogo wangu

  • @AishaAisha-rh1fc
    @AishaAisha-rh1fc 3 года назад +5

    Hongera dida

  • @venicespice5323
    @venicespice5323 3 года назад +9

    Wa vingunguti wenzangu naomben likes zangu 😂😂😂

  • @mwanakheri169
    @mwanakheri169 3 года назад +1

    Mabrouk half mabrouk dada khadija

  • @NewPhone-oh7ge
    @NewPhone-oh7ge 3 года назад +6

    Kila la kheir inshaallah

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb 3 года назад

    Mashallah hongera dida

  • @fatimawazeer701
    @fatimawazeer701 3 года назад +1

    Masha Allah
    Allah Awajarie ndoa yenye masikirizano

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 3 года назад

    MashaAllah Allah akulipe kheri. chereko chereko

  • @asiashabani4074
    @asiashabani4074 3 года назад +2

    Tumeva
    Lishana kiomani Safi sana🇴🇲✈️nawaona from🇴🇲

  • @mohammedyabdalah3244
    @mohammedyabdalah3244 3 года назад +5

    Saf sana mm dangote ndani yadela kuna kibendi

  • @alibell5246
    @alibell5246 3 года назад

    Mashaallah mashaallah diiiidaaaaa

  • @rumaysamwibidy1792
    @rumaysamwibidy1792 3 года назад

    Hongera sana dida

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 года назад

    Mashallah, hongera sana hongera sana Dida😘😍

  • @ckukuu8404
    @ckukuu8404 3 года назад +4

    Hongera kwake ikawe ya kheri in sha Allah ❤️

    • @TheSalma1999
      @TheSalma1999 3 года назад

      Hongereni sana jamani mpaka raha

  • @selemanijidonge3172
    @selemanijidonge3172 3 года назад

    ♥️♥️♥️♥️♥️ mungu akusimamie dida

  • @زينببنتسعيد-د9ح
    @زينببنتسعيد-د9ح 3 года назад

    Mwenyezi Mungu awalinde na kila shari,awape maskizano muishi mpaka kuhitimishana🤲🏽🤲🏽🤲🏽

  • @thuvakonde2584
    @thuvakonde2584 3 года назад +6

    Wameendana n izo sura zao nzito km uji futari .... iwe kheri In sha Allah

  • @mustyboymaalim2070
    @mustyboymaalim2070 3 года назад +1

    Allah afanye iwe ya kheyr....naona picha ya hayati maghufuli hapo 😥😥

  • @zawiakinyasi2112
    @zawiakinyasi2112 3 года назад

    Mabrouk mashaallah ♥️ ikawe kheri

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 3 года назад +11

    Kila lakheri, jambo la baraka sana hilo

  • @gloryisaac1477
    @gloryisaac1477 3 года назад

    Hongera dida...ndo ukatulie sasa

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 3 года назад +10

    We mama dua hiyo ungemuombea na mwanao aowe Basi,

    • @ibrahimmohammed9897
      @ibrahimmohammed9897 3 года назад +1

      Hahhahahahahhaha.............. Hilo nano nenooooo mama haoni hya kutangamana n wanaume bora mmke Kiba jmni ila hyu apenda kuonekanaaaaa mbele mble km mwanae

    • @danneismail5442
      @danneismail5442 3 года назад

      @@ibrahimmohammed9897 pia inakukera hiyo, mambo madogo madogo yasio na maana

    • @danneismail5442
      @danneismail5442 3 года назад +1

      Pia wewe waeza muombea alafu kila kitu na wakati wake inshaallah

    • @kimsamespa8490
      @kimsamespa8490 3 года назад

      🤣🤣🤣

    • @omarylukindo5306
      @omarylukindo5306 3 года назад +1

      @@danneismail5442 wakat gani kw maisha alonayo mond?tusitumie neno wakat vibaya,,utasikia wakat bado,ila anamaisha mazuri na kila kitu anacho xx huo wakat sijui wakwenda wap

  • @taharamohd2515
    @taharamohd2515 3 года назад

    Manshallah mungu awabariki sana

  • @AhmedAhmed-ct5pg
    @AhmedAhmed-ct5pg 3 года назад +6

    Allah Awajalie Wadumu,Maana ndoa sio Lele-mama

  • @ellybrown5989
    @ellybrown5989 3 года назад

    Barikiwa mamii..mbarikiwe na ndoa yenu.

  • @ummfasam7656
    @ummfasam7656 3 года назад

    Mashallah Mabruk Dida

  • @mohammedmmari4791
    @mohammedmmari4791 3 года назад +16

    HUYO MAMA DANGOTE SASA 🤣🙌🙌🙌😁😁😁😁

  • @hadijasalum6373
    @hadijasalum6373 3 года назад +4

    Mbona wanatajwa sana hao wasafi family kwani dida hana family au?

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 3 года назад

    Hongera sana dida allah akujaalie kila kher kwenye ndoa yunu

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 3 года назад +2

    Ameen

  • @dhuu12
    @dhuu12 3 года назад

    Mashallah iwe kheri kwenu da DIDA

    • @abdyysarai9364
      @abdyysarai9364 3 года назад

      Ukiachika dada sasa wwww ndo utakuwa na katabia

  • @Userog254
    @Userog254 3 года назад +1

    Mungu ajalie wakaishi salama

  • @zakiamtulia7291
    @zakiamtulia7291 3 года назад

    Allh awalindee na mach ya husdaa

  • @josphineatieno4348
    @josphineatieno4348 3 года назад +1

    Congratulations to her....

  • @زينببنتسعيد-د9ح
    @زينببنتسعيد-د9ح 3 года назад

    ماشاء الله تبارك الله الف الف الف مبروك

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 3 года назад

    Mashaaa Allah mashaaa Allah 🤲🤲🤲

  • @hudhud2022
    @hudhud2022 3 года назад

    MMungu awajaalie ndoa ndefu na masikilizano mema na maisha mrefu na watoto wema

  • @ashuraamani2671
    @ashuraamani2671 3 года назад

    Maishara ikawe kher pamoja na vizazi vyao ya allah

  • @diyaosman6268
    @diyaosman6268 3 года назад +3

    مبروك ألف مبرووووووك🌹🌹🌹🌹🌹

  • @fatmahussen1788
    @fatmahussen1788 3 года назад

    Mashalh alh afsnye wepes kwenye ndooa yenu

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 3 года назад +8

    Kheri Inshaallah

  • @sakinamarjebi2206
    @sakinamarjebi2206 3 года назад +1

    Jamani me sauti ya ma daimond tu km mwana mwali lainiii km stonchi ❤

  • @zainabumsafir1182
    @zainabumsafir1182 3 года назад

    Kila la khery dd dida na ikawe khery inshallah

  • @alibinali_
    @alibinali_ 3 года назад +2

    ماشاءالله

  • @HARIFHODARI
    @HARIFHODARI 3 года назад +6

    We pray it doesn't end in tears

  • @dulabori9922
    @dulabori9922 3 года назад +9

    Mh tumuachie mungu

  • @rehemamaduhu5642
    @rehemamaduhu5642 3 года назад +8

    Kumbe unaolewa na meya. Ukatulie Sasa shoga yangu sio vizuri kuolewa unavunja ndoa

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 3 года назад +2

    Alhadi unatia aibu sana Uislamu Wallahi. Unaenda kukusanyika kwenye uchi huo hata haya huoni

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 года назад

    Mungu amtanguliye katika doa yake

  • @zuhurambonde1982
    @zuhurambonde1982 3 года назад +5

    Iwe ndoa ya kheri inshaallah

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 года назад

    Pamoja na hayo inshaallah Waislam tuzingatie vigezo na masharti ya kumpata mke/mume kwa mujibu wa Uislam.
    Inshaallah awahifadhi ktk ndoa yao iwe ya kheyr na barka duniani na Akhera. Piainshaallah Allah atujalie kheyr duniani na Akhera nasisi tunaoshuhusia hiyo ndoa na kutowa Comments zetu.
    Dada Dida chunga nidham kwa mujibu wa sheria ya ndoa na ya kutendeana kwa wanandoa kwa mujibu wa Uislam isiwe tena mafumbo na mipasho radioni kwa mke mwenzio nk.

  • @sadasalum8778
    @sadasalum8778 3 года назад

    Maashaallah

  • @nasradada7050
    @nasradada7050 3 года назад

    Mabruk elf mabruk. Allah awajalie ndoa ya kher na maelewano na subra kwa wingi

  • @oman7710
    @oman7710 3 года назад

    Masha Allah mabluuk

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 3 года назад +26

    Sasa umepata baba wa heshima yaan MTU mzima na ukatulie.

    • @fatmasaid7093
      @fatmasaid7093 3 года назад +1

      Exly kilo baki kutulia

    • @fatmasaid7093
      @fatmasaid7093 3 года назад

      MashaAllah mabruk daa dida iwe ya heri inshaAllah

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 3 года назад +1

      Na ukatulie kweli kweli mawenge uache Dida.

    • @khatwabisadathil3423
      @khatwabisadathil3423 3 года назад

      @@marykarebeti9410 hapo umenena.

    • @veronicamatebya7564
      @veronicamatebya7564 3 года назад +2

      Hongera Mh.lakini acha kujibu watu vibaya ,,vingunguti Mtaa wa Butiama wapiga Kula wako hatuna maji tatizo unalifahamu na ukiambiwa kero za wananchi unajibu vibaya Mh.Kumbi la Moto

  • @addo2149
    @addo2149 3 года назад

    Hongera dear

  • @wardamasoud4061
    @wardamasoud4061 3 года назад

    Iwe khery in sha Allah

  • @sophyjuma8201
    @sophyjuma8201 3 года назад

    Nampenda sana dida😘😘

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 3 года назад +1

    Mabrooq Alf Mabrooq, Kila la kheri ln Shaa Allah.

  • @sherrysherry690
    @sherrysherry690 3 года назад

    Mashaallah 😘 shemu mzungu

  • @sophiasophia9713
    @sophiasophia9713 3 года назад

    MashaAllah

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 3 года назад

    Mashaallah

  • @salmajuma9083
    @salmajuma9083 3 года назад +1

    Mabrouq Dida wangu

  • @hawaramadhani9286
    @hawaramadhani9286 3 года назад

    Mungu afanye wepesi

  • @saharasheekh5073
    @saharasheekh5073 3 года назад

    Mashallah mwenyezi mungu awape ndowa ya kheri na yenye baraka tele amin 🤲😘❤

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 3 года назад

    Mashallah

  • @hawa-luumiwrty3144
    @hawa-luumiwrty3144 3 года назад

    Mashaallah Kheri

  • @elifridaedward5572
    @elifridaedward5572 3 года назад +2

    Waooooo Kila la kheri

  • @aishamaganga5304
    @aishamaganga5304 3 года назад

    Amee🤲

  • @edwardmakonge3371
    @edwardmakonge3371 3 года назад

    Daaa.yes.

  • @elizabethmgandi1710
    @elizabethmgandi1710 3 года назад

    Hongerazake

  • @brucejrjunior846
    @brucejrjunior846 3 года назад +1

    Dida Shaibu au khadija shaibu...

  • @fatumazuberi4755
    @fatumazuberi4755 3 года назад

    Imependeza sana