DIDA ALIVYOFUNGA NDOA NA MEYA WA JIJI LA Dar es Salaam
HTML-код
- Опубликовано: 6 окт 2024
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Hongera sana Dida.... ila pongezi pekeeee saaana saaaana kwa MC ameendesha kwa ustaarabu sana shuguli. Kwa lugha staarabu mno!. Pongezi sana sana. Hizi shughul huwa za vurugu Mno. Ila ameendesha kwa lugha ya upole ustaarabu na ucheshi.
umetisha
Mwenyezi mungu akawahifadhi wadumu kwenye ndoa yao inshaallah
Mungu akutangulie dada d
Allah akujalie mskilizano mukigombana muwe wepesi kuombana msamaha ndoa yenu itadumu mambo matatu uyaweke kila mara mdomoni kwako nakupenda samani na pole ndio maneno ya kufanya ndoa idumu kila LA kheri allah akutangulie
Sawa
Nimekuozesha nimemuowa ni maneno machache tu yanayofanya watu kuishi pamoja kwanjia ya halali uislamu ni mzur
Yaan laha
Masha Allah
Naam nimekubali
Allahuma Barik Mwana Khadija na mume wako Allahuma Aamin na waliobakia wanawari na wajane awafungulie waume wenye kheri na wanaume wapate wake wenye kheri
Dida kuanzia leo vazi la stara tafadhali♥️🔥🙏🙏🙏🙏
Asimtie aibu mume mtu mzma mwenye adab zake ❤️
@@khdigahk4246 Ana haki ya kuvaa kile alicho kuridhia mume wake
mashaallah bi harusi wetu hongera sana dida ake allah awajaaliye kila la kheri awaepushe na kila aina ya shari
Yh
Kila la Kheri Dida ndoa njema na yenye baraka
Masha Allah hongera my sister dida mungu akuongoze
Mashallah wenye wivu wataona donge...ila tusio na wivu tunaomba mwenyez mungu atufungulie milango ya baraka na ss tuolewe
I love you Dida Hongera kwa ndoa mwenyezi Mungu ailinde ndoa yako
مشاء لله الله كريم 👏 Mola akaidumishe ndoa yenu إنشاء لله 👏
Kumbe ndo mnafungaga hivi,,Masha Allah
Ndoa njema kwenu
Simple tuu MashaAllah
Hongera Dida...much love from Germany
Ila Idris Yupo Vzr Sana kwenye Suala la Kuhoji Namaanisha Ana Saut Nzur ya Kuhoji Apewe kipind
Kwakweli mashaalah
Apewe kipindi wakati ana kipindi ana host na wenzake hivi unadhani kipindi unapewa tu kiholela holela tu kama unapewa gari🤔🤔🤔
@@mwatanosalum2497 a
Mwenyezi mungu ailinde ndoa yenu muishi maisha marefu isha Allah
Mungu akubariki Dada dida
Amiiin, bado mim jaamna mungu nipe subraaaaa🙏🙏🙏🙏
Inshallah
MAASHAALLAH...KILA LA KHERI KWENU...
Mshllh mabrouq inshllh
MASHAA Allah kila la kheir dida katika ndoa yako
Mashaallah tabaraka Allah Allah awazidishie mapenz inshaallah
Ukatulizane dida usije ukatumia cheo cha mumeo vibaya nawatakia kher
Mashallah maboork saaana dada dida😍😍😍😘 erf maboork 😘😍😘
Ni jambo la kheir kbs, M/Mungu awafanyie wepec iwe ni ndoa ya kheir na baraka pia masikilizano tele Insha'Allah
Anaweza akatulia na akadumu . Allah ampe subra . Na kama ni bimdogo amueshimu mumewe
Hahahaaaa shekh umenifurahisha sana hongera khadija mdogo wangu
Hongera dida
Wa vingunguti wenzangu naomben likes zangu 😂😂😂
Mabrouk half mabrouk dada khadija
Kila la kheir inshaallah
Mashallah hongera dida
Masha Allah
Allah Awajarie ndoa yenye masikirizano
MashaAllah Allah akulipe kheri. chereko chereko
Tumeva
Lishana kiomani Safi sana🇴🇲✈️nawaona from🇴🇲
Saf sana mm dangote ndani yadela kuna kibendi
Mashaallah mashaallah diiiidaaaaa
Hongera sana dida
Mashallah, hongera sana hongera sana Dida😘😍
Hongera kwake ikawe ya kheri in sha Allah ❤️
Hongereni sana jamani mpaka raha
♥️♥️♥️♥️♥️ mungu akusimamie dida
Mwenyezi Mungu awalinde na kila shari,awape maskizano muishi mpaka kuhitimishana🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Wameendana n izo sura zao nzito km uji futari .... iwe kheri In sha Allah
🙄😁😁😁Unadhambi
Ww mbn km chai hatumuon😂
😄😄😄😄
Mhh wivu uo
😂😂😂😂😂why lakin
Allah afanye iwe ya kheyr....naona picha ya hayati maghufuli hapo 😥😥
Mabrouk mashaallah ♥️ ikawe kheri
Kila lakheri, jambo la baraka sana hilo
Hongera dida...ndo ukatulie sasa
We mama dua hiyo ungemuombea na mwanao aowe Basi,
Hahhahahahahhaha.............. Hilo nano nenooooo mama haoni hya kutangamana n wanaume bora mmke Kiba jmni ila hyu apenda kuonekanaaaaa mbele mble km mwanae
@@ibrahimmohammed9897 pia inakukera hiyo, mambo madogo madogo yasio na maana
Pia wewe waeza muombea alafu kila kitu na wakati wake inshaallah
🤣🤣🤣
@@danneismail5442 wakat gani kw maisha alonayo mond?tusitumie neno wakat vibaya,,utasikia wakat bado,ila anamaisha mazuri na kila kitu anacho xx huo wakat sijui wakwenda wap
Manshallah mungu awabariki sana
Allah Awajalie Wadumu,Maana ndoa sio Lele-mama
hangera sn dida
Barikiwa mamii..mbarikiwe na ndoa yenu.
Mashallah Mabruk Dida
HUYO MAMA DANGOTE SASA 🤣🙌🙌🙌😁😁😁😁
We acha tuuu
Yaniiii
Yaaani😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Yaani duh
Haaahh
Mbona wanatajwa sana hao wasafi family kwani dida hana family au?
Nashangaaaa
Hongera sana dida allah akujaalie kila kher kwenye ndoa yunu
Ameen
Mashallah iwe kheri kwenu da DIDA
Ukiachika dada sasa wwww ndo utakuwa na katabia
Mungu ajalie wakaishi salama
Allh awalindee na mach ya husdaa
Congratulations to her....
ماشاء الله تبارك الله الف الف الف مبروك
Mashaaa Allah mashaaa Allah 🤲🤲🤲
MMungu awajaalie ndoa ndefu na masikilizano mema na maisha mrefu na watoto wema
Maishara ikawe kher pamoja na vizazi vyao ya allah
مبروك ألف مبرووووووك🌹🌹🌹🌹🌹
Mashalh alh afsnye wepes kwenye ndooa yenu
Kheri Inshaallah
Jamani me sauti ya ma daimond tu km mwana mwali lainiii km stonchi ❤
Kila la khery dd dida na ikawe khery inshallah
ماشاءالله
We pray it doesn't end in tears
Only tears of happiness
Aaameen
Mh tumuachie mungu
Kabisa hapo umesema hata mimi nimeguna hivyohivyo
Kumbe unaolewa na meya. Ukatulie Sasa shoga yangu sio vizuri kuolewa unavunja ndoa
Alhadi unatia aibu sana Uislamu Wallahi. Unaenda kukusanyika kwenye uchi huo hata haya huoni
Mungu amtanguliye katika doa yake
Iwe ndoa ya kheri inshaallah
Pamoja na hayo inshaallah Waislam tuzingatie vigezo na masharti ya kumpata mke/mume kwa mujibu wa Uislam.
Inshaallah awahifadhi ktk ndoa yao iwe ya kheyr na barka duniani na Akhera. Piainshaallah Allah atujalie kheyr duniani na Akhera nasisi tunaoshuhusia hiyo ndoa na kutowa Comments zetu.
Dada Dida chunga nidham kwa mujibu wa sheria ya ndoa na ya kutendeana kwa wanandoa kwa mujibu wa Uislam isiwe tena mafumbo na mipasho radioni kwa mke mwenzio nk.
Maashaallah
Mabruk elf mabruk. Allah awajalie ndoa ya kher na maelewano na subra kwa wingi
Masha Allah mabluuk
Sasa umepata baba wa heshima yaan MTU mzima na ukatulie.
Exly kilo baki kutulia
MashaAllah mabruk daa dida iwe ya heri inshaAllah
Na ukatulie kweli kweli mawenge uache Dida.
@@marykarebeti9410 hapo umenena.
Hongera Mh.lakini acha kujibu watu vibaya ,,vingunguti Mtaa wa Butiama wapiga Kula wako hatuna maji tatizo unalifahamu na ukiambiwa kero za wananchi unajibu vibaya Mh.Kumbi la Moto
Hongera dear
Iwe khery in sha Allah
Nampenda sana dida😘😘
Mabrooq Alf Mabrooq, Kila la kheri ln Shaa Allah.
Mashaallah 😘 shemu mzungu
MashaAllah
Mashaallah
Mabrouq Dida wangu
Duuuu
Mungu afanye wepesi
Mashallah mwenyezi mungu awape ndowa ya kheri na yenye baraka tele amin 🤲😘❤
Hongera
Mashallah
Mashaallah Kheri
Waooooo Kila la kheri
Amee🤲
Daaa.yes.
Hongerazake
Dida Shaibu au khadija shaibu...
Cndo apo🤣🤣🤣
Imependeza sana