KISA MBOWE, BULAYA AMVAA LUGOLA - "NDIO ALILEWA AKAVUNJIKA" SPIKA AINGILIA KATI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 июн 2020
  • KISA MBOWE, BULAYA AMVAA LUGOLA - "NDIO ALILEWA AKAVUNJIKA" SPIKA AINGILIA KATI...
    WABUNGE wa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania wameendelea kujadili bajeti lkuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2020 / 2021 iliyowasilishwa bungeni juni 11, na waziri wa fedha, Dkt Philip Mpango..
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 228

  • @johariismail2646
    @johariismail2646 4 года назад +6

    Usimfananishe Yesu na JPM.
    WEWE UNALILIA KURUDI BUNGENI.. 😭
    UNABOA

  • @ayubumagumu4386
    @ayubumagumu4386 4 года назад +2

    Hili bunge ni dhaifu sana

  • @sospetermilobo
    @sospetermilobo 4 года назад +1

    Hahaaa nimekuelewa Me Spika kwamba unadili na ukweli like kwake jmaman

  • @LydiaMaro
    @LydiaMaro 4 года назад +2

    YESU Hafananishwi!!

  • @jumamrope2395
    @jumamrope2395 4 года назад +1

    zee zima kazi ya kumkatikia mwanaume mwenzio viuno

  • @godifreypaul9409
    @godifreypaul9409 4 года назад

    Yesu ni nafsi ya 2 ya Mungu,hafananishwi na kitu chochote kile.Hivyo ukijisikia kumsifia mtu,Usitumie jina lipitalo majina yote,ili kuufurahisha moyo wako.

  • @bovethlucas851
    @bovethlucas851 4 года назад +3

    usimfanye Mungu shemeji ako utapigwa pigo ambalo hutasahau

  • @castromaro3103
    @castromaro3103 4 года назад +1

    Tafafhali Yesu Kristu siyo wa kufananisha na mwanadamu

  • @sakandalinus3125
    @sakandalinus3125 4 года назад

    Kange ndugu yangu acha kumkufuru Roho Mtakatifu kwa kujifanya hujui kweli.Angalia sana maana wajiwekea haki mbele za macho yako lakini Mungu huangalia mioyo ya watu.Yesu atabaki kuwa Yesu tuu na hafananishwi na chochote juu, chini na hata baharini.Stop father , be careful with what you believe!

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 4 года назад +8

    Ulitaka kutuibia mamilioni Mhe. Magufuli akakukamata njiani, Nani kama Magufuli?

  • @reginas1832
    @reginas1832 4 года назад +1

    Huwezi kumfananisha Mwokozi YESU KRISTO WA NAZARETH na kitu chochote. Never. Mimi na familia yangu tunamlilia YESU.

  • @mathewnguyaki
    @mathewnguyaki 4 года назад +3

    Speaker Ndugai unakosea Sana , lakin huwezi kuona Wala wabunge wa ccm kwasababu MUNGU AMEKUPA UPOFU ILI UANGAMIE.

  • @sankeyjames6065
    @sankeyjames6065 4 года назад +8

    We toka hapo mwizi unawambia nn watanzania?

  • @mosesshekalage597
    @mosesshekalage597 4 года назад +5

    Mzee unavuka mipaka sasa umfananishe magufuli na yesu kweli hii sio

  • @Obedvjoseph
    @Obedvjoseph 4 года назад +1

    No Lugola umekosea,Yesu is more hundred percent than Magufuli

  • @rashidsleman5545
    @rashidsleman5545 4 года назад +2

    Kenge huyo mtazameni sana

  • @barakamwamkinga4624
    @barakamwamkinga4624 4 года назад

    Yaani sifa zimewazidi mpaka mnamfananisha binadamu na Yesu Kristo kweli hii ni kumkufuru Mungu

  • @mtolomi
    @mtolomi 4 года назад

    Naona watu washashtukia game, msifie bwana mkubwa utoboe. Hata mafisadi wanataka kutumia uchochoro huoo. Lakini swala la kufananisha binadamu na YESU daah, hii imezidi khaaaaa

  • @hashimumkunda6501
    @hashimumkunda6501 4 года назад +3

    Nyie baadhi ya wabunge wa CCM ambao mmevaa barakoa inamaana munapingana na rais wenu?. Kumbe nyinyi ndo wasaliti kwa rais wenu

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 4 года назад +5

    Kwani hakulewa kweli mpaka akavunjika mguu Esther!
    Plse, be sincere!

  • @neemamanjuu2037
    @neemamanjuu2037 4 года назад

    Yesu kristo anachukizwa Sana na watu wanaojitwalia utukufu

  • @saidashaban3469
    @saidashaban3469 4 года назад +1

    Ungekuwa unaakili usingesaini wizi na hata hivyo nikwakuwa mnabebana Ila ilitakiwa uwe gerezan

  • @faisalwaafrica7478
    @faisalwaafrica7478 4 года назад +1

    Hii inaitwa ile comedy ya kenya VIOJA MAHAKAMANI 😎😎

  • @adammjomba1554
    @adammjomba1554 4 года назад

    Amakweli waswahili walisema NYANI HALIONI KUNDULE Hivi kangilugola ni wakumtukana mbowe. Visa vingapi kangi lugola kavifanya amepokea Rushwa ametumbuliwa Anecheza dansa mbele ya maaskari Wake anaowaongoza Nani alimtukana Kangilugola , lakini Leo hii amejisahau ,kanakwamba haujafanya lolote kweli kabgiluloga ni NYANI ASIEONA KUNDULE ,

  • @hurumamboya3072
    @hurumamboya3072 4 года назад

    Nchi hii vichaa ni wengi kuliko wenye akili timamu Ukamfananishe YESU na Raisi wa nchi mmmmmmh umechemka sana mzee wangu tubu kabisa unaweza kusababasha mapingo kwako na kwanchi kama viongozi wako watalifumbia macho hilo tubu na MUNGU atakusamehe

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm7876 4 года назад

    I love when you handle justice even when you have to be against yourself

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel9797 4 года назад +2

    Tushamsaau lugola aliyofanyia sirikali, we mbn n mwizi mkubwa wa serikali atuongei

  • @jorataellolo2340
    @jorataellolo2340 4 года назад

    Akuna marefu yasiyokuwa na nncha and akuna mwanasiasa ambaye atafika mbinguni. No one

  • @majimotomalole9812
    @majimotomalole9812 4 года назад +1

    Huna jipya mwibara kuna lami au changarawe ? Hivi kile chuo cha ufundi (veta)-kibara kilishia wapi au ndo ulishindwa kukitoa kwenye mikono ya kanisa

  • @msafirishangali8930
    @msafirishangali8930 4 года назад +1

    Natamani kuona unachambua na kujadili bajeti.

  • @isangojambau1067
    @isangojambau1067 4 года назад

    Haufanani na unayoongea ni Bora ukaae wengine watoe michango yenyefaida kwanini unataja aliofanya vizuri magufuli taja yako mazuri uliowafanyia wananchi wa Tanzania...nani kama magufuli

  • @alialibablly7010
    @alialibablly7010 4 года назад +7

    Makufuli kanivua uwaziri nani Kama Makufuli

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 4 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥👍👍👍👍

    • @OmanOman-gp7xm
      @OmanOman-gp7xm 4 года назад +1

      Mama kalale unajipya kweli japo unauma baambieeeee

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 4 года назад +2

    Asante Mhe.Spika kwa Majibu mazuri🤣🤣🤣🤣

  • @sarahkimboi2161
    @sarahkimboi2161 4 года назад

    Usivuke mipaka basi,YESU NI MUNGU, na alinganishwi na chochote.

  • @alfredakabakama2010
    @alfredakabakama2010 4 года назад

    Kasifu unavyopenda lkn kulinganisha binadamu na Bwana wetu Yesu Kristo hapo umeenda mbali na kupitiliza

  • @a_melly
    @a_melly 2 года назад

    Kwani hii bunge ni ya kujadili watu binafsi na kufanya kampeini za majivuno.

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 4 года назад +2

    Mm nashindwa kuelew wabung wa chadema wakitaka kuongea wanaambiwa mda mdogo lkn mbon wabung wa chama tawala wanaongea bila pingamiz waseng nyie

  • @jumamnyambwa3490
    @jumamnyambwa3490 4 года назад +1

    ndugai umefeli kuliongozabunge

  • @issamohamed9482
    @issamohamed9482 4 года назад +6

    Mbowe kuichafua serekali haiudhi Ila kusema ukweli kwamba mboe mlevi Hilo linauma sio ??

    • @jacksonolotu9318
      @jacksonolotu9318 4 года назад

      Hali ni mbaya hela hakuna una sh ngap kwenye akaunti yako

    • @letshikuku39
      @letshikuku39 4 года назад

      @@jacksonolotu9318 wewe kwani una sh ngapi. Mm nina laki 8 tu kwenye Tigo pesa. Kama hali ngumu ndio watu walewe kisha waseme wamevunjwa miguu. Waipake matope Tanzania. Haya mwenzangu una ngapi 😂😂😂😂

    • @mbarikiwambarikiwa3988
      @mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад

      @@jacksonolotu9318 ulitaka selikari ukupatie hadi pesa??!!.

    • @dani72130
      @dani72130 4 года назад +1

      MTU akilewa anaimarisha uchumi kwa kulipa kodi, yule aliepiga dili ya idara ya zimamoto pesa zile za serikali, nyingi tu. Anajaribu kufunika.

    • @dani72130
      @dani72130 4 года назад +1

      Ulevi wa Mbowe ni binafsi, anatumia pesa yake, zile pesa za Zimamoto ni za serikali, nani pumbavu kati ya hawa 2?

  • @zuberimasoud4839
    @zuberimasoud4839 4 года назад +1

    nashukuru mh spka

  • @Juls7ur
    @Juls7ur 4 года назад

    sifia mpaka mwisho wa dunia bado wewe kangi ni jizi la ku temwa. acha kujisafisha kwa kutowa misifa. aibu kwa wewe kukosoa wengine.

  • @neemafanuel4583
    @neemafanuel4583 4 года назад

    Sasa huyu ndie alikuwa waziri wa mambo ya ndani!! Mh Magufuli alimulika akabaini alikosea sasa unampamba sana hd kufananishwa na Mungu!! Mnakosea bwana

  • @emanuelswai6552
    @emanuelswai6552 4 года назад +3

    Mwenzio alilewa akavunjika mguu lakin ww ulisaini uwizi ukiwa na akili timamu

    • @awadhhamza9296
      @awadhhamza9296 4 года назад

      Ahahahaaa

    • @dani72130
      @dani72130 4 года назад

      #$#$$$$$$#$$$$$

    • @lidyamathayo8343
      @lidyamathayo8343 4 года назад +1

      Hata u huchunguzi wa awali was GEORGE FYLOD yalionshea kuwa George alikufa kwa Corona ,ndo awe Mbowe

  • @idifoncesanga1817
    @idifoncesanga1817 4 года назад +2

    Wembe ni ule ule ulio wanyoa kipind kile utaendelea tu kuwanyoa 🤣🤣🤣

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 4 года назад

    jaman

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 4 года назад +1

    Huyu ni spika kweli anaongoza bunge

    • @jacksonolotu9318
      @jacksonolotu9318 4 года назад

      Una sh ngap kwenye akaunti dada ? Hali sio hali kaeni kimya wapendwa

  • @solomonmwisala3197
    @solomonmwisala3197 4 года назад

    Hivi huyu bado yupo mwizi aludishe pesa yetu nashanga bado yupo poleni

  • @majimotomalole9812
    @majimotomalole9812 4 года назад +1

    Hizo hadithi muda unakaribia ujazo mule wajukuu....😁😁😁😁😁mwibara kuna maendeleo gani

  • @khatibabdallah6185
    @khatibabdallah6185 4 года назад +1

    Mh rais yuko vizuri maana anatumbua na majizi

  • @bakarimkoko4584
    @bakarimkoko4584 4 года назад

    Hakuna Kama baba wa TAIFA Magufuri

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 4 года назад

    Faru john kamtia aibu mbowe.mpaka anasema amevamiwa.

  • @AbuwNibras926
    @AbuwNibras926 4 года назад +2

    Mbona kitwanga alilewa akatumbuliwa kunamtu ali wapigia kelele

    • @rehemakisalambi9901
      @rehemakisalambi9901 4 года назад

      Hakusema kama amevamiwa kama alivyotaka kiki mbowe

    • @hassaniidrissa5916
      @hassaniidrissa5916 4 года назад

      Sema yaliofanyika jimboni kwako nasiokutoa sifa zilizopitiliza kiwango,,,

    • @angelinamkingi8164
      @angelinamkingi8164 4 года назад +1

      Kwani kitwanga alisema amevamiwa?shida inapokuja ni pale mlipompamba kwa kusema amevamiwa na kuvunjwa mguu kumbe alilewa!

  • @jawabuaminababakiria7119
    @jawabuaminababakiria7119 4 года назад

    yani kumsifia mtu sio mbaya ila ukizidi Mungu anachukia sana sasa wewe hata ubunge utakosa maana umemkosea Mungu kumpa sifa za Bwana wa majesh

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 года назад

    Wewe nawe urudishe zile fedha za wananchi,,,,,!!!

  • @eddiekajuna9160
    @eddiekajuna9160 3 года назад

    Magufuli katenda ila maneno ya Kangi yanaudhi na kudhihaki ukristu

  • @delphinuskanyawela3818
    @delphinuskanyawela3818 4 года назад +6

    Spika kweli unatumika vibaya

  • @geofreymsengi9971
    @geofreymsengi9971 4 года назад

    Chiz ww unaweza mfananisha binadamu na YESU kumbe hazikutoshi

    • @dani72130
      @dani72130 4 года назад

      Ndo maana alitumbuliwa, sasa nimemuelewa Magufuli, wenye akili ya kumfananisha mwanadamu na Bwana Yesu, alistahili kutumbuliwa.

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 4 года назад

    👍🙌

  • @barakamwansasu6560
    @barakamwansasu6560 4 года назад

    Heshima ipi ya bunge hili? Bunge limekuwa Kama kijiwe cha wahuni. Huyu mzee sio kabisa

  • @maryammohammad1148
    @maryammohammad1148 4 года назад

    Wewe acha maneno yako yesu hafananichwi na binadam yoyote yule

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 4 года назад +1

    Mtazania ana kaakwenyemaji siku 3 kisa pesa tu amsemi mna sifia tu

  • @braysonmajani8129
    @braysonmajani8129 4 года назад +1

    Duh kweli kukosa akili Yani unamsema mbowe kavunjika mguu coz kalewa . Wewe ulisaini ujinga ukiwa naakili timamu .. Rais wangu nampenda sana lakini wewe . Hamnazo Apo mkichwa

  • @dani72130
    @dani72130 4 года назад +3

    Zile pesa za mkataba wa majengo ya zimamoto tukale.

  • @gracesakila4395
    @gracesakila4395 4 года назад +1

    Matahira mengi sana nchi hiii eti ametupa kwani fedha ni ??zake

  • @brunomatalu6232
    @brunomatalu6232 4 года назад

    Kwa kuwa rais magufuli amechapa kazi nzuri sana minaona kuwe na tume huru ya uchaguzi, kwakuwa iliyopo inaonekana sio tume huru.

    • @chumilamanyama5078
      @chumilamanyama5078 4 года назад

      Huyu lugola naona anautani na yesu amekweli wajita wanashida ya matatizo hata kama mtu hajuwi kuandika utamkuta ana kalamu

  • @alialibablly7010
    @alialibablly7010 4 года назад +1

    Kwani hamna uwezo upinzani mkasusia bunge Kama bunge halifuati kanuni

  • @Lemalali85
    @Lemalali85 4 года назад

    Huyu jamaa ni mpumbavu wa hali ya juu.

  • @davidchande
    @davidchande 4 года назад

    bwana yesu hafananishwi na mtu yeyote duniani koma

  • @juliananguma8981
    @juliananguma8981 4 года назад

    Mungu wa Israel tunaomba utusaidie kulinda utaifa wetu

  • @braysonmajani8129
    @braysonmajani8129 4 года назад +3

    Huna akili wewe we mwenyewe Usha nyolewa .

  • @jacksonnduna4419
    @jacksonnduna4419 4 года назад

    Lugola hurudi bungeni mwibala anachukua sipiliani msiba ww mpigaji tu huna chako kwenye kura za maoni uchaguzi ujao kenge ww unampa raisi sifa ambazo si zake hadi amekustukia mamlumu sana ndugai mtu anaongea utumbo kama huo unamsikiliza tu shame on you ngugai

  • @lilymandari9872
    @lilymandari9872 4 года назад

    Ivi issue ya kulewa bd inazungumzuziwa sijui mbowe ndio wa kwanza kulewa !!!! Khaaaa

  • @bonifacedaud8985
    @bonifacedaud8985 4 года назад +1

    Hakuna wa kufanana na Yesu

  • @alihusein1883
    @alihusein1883 4 года назад

    Mh spika kumbuka kunakufufuliwa angaliya haki

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 4 года назад

    Huna akili wewe,Magufuli sio mjinga kama wewe,acha kujipendekeza safari hii bunge utaangalizia kwenye tv

  • @abubakarihamissi4178
    @abubakarihamissi4178 4 года назад

    halafu ana watt huyu na wanamwita baba

  • @geofreysinkala6239
    @geofreysinkala6239 4 года назад

    Acha kumfananisha magufuli na yesu

  • @elishamwaya4074
    @elishamwaya4074 4 года назад +2

    Mapambio ya ccm oyeeeèe

  • @hassanmagwe4977
    @hassanmagwe4977 4 года назад +1

    mmmmmh!! Hili ndio bunge la kusifiana tu mwenzako alitumbuliwa akasifu akarudishwa na ww pambana mwizi ww

  • @bhelekiabhelekia6031
    @bhelekiabhelekia6031 4 года назад

    Tena ndo mnaongoza kwa mauaji

  • @christianappiahnkoah9607
    @christianappiahnkoah9607 4 года назад

    Together

  • @michaelmagoma546
    @michaelmagoma546 4 года назад

    Wewe ni Jizi tuu unatafuta huruma ya kupita kwenye kura za maoni Mamaee

  • @dozertiger9352
    @dozertiger9352 4 года назад +1

    Ulitumbuliwa umekwishasahau???😂😂😂

  • @hassandalati2823
    @hassandalati2823 4 года назад

    Duuu akiongea mpinzani muda nimdogo

  • @promachemicals6459
    @promachemicals6459 4 года назад +1

    Msimletee raisi wetu balaa kwa blasphemy zenu

  • @jumakibanga2140
    @jumakibanga2140 4 года назад

    Kama mm ndiyo magufuli watu kama hawa nitakaa nao mbali maana hii ni kejeli siyo kusifu huku!

  • @dianakimaro8269
    @dianakimaro8269 4 года назад

    Mwenye macho ambiwi tizama

  • @felixjunior4772
    @felixjunior4772 4 года назад

    Huyu huwa ni mnafiki saaana

  • @manjalethedon9925
    @manjalethedon9925 4 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kazi ipo chako ni chako ni wapi hapo brother kangi umetisha sana

  • @ibrahimaboker9086
    @ibrahimaboker9086 3 года назад

    Hana jipya ila kujipendekeza

  • @zuberimasoud4839
    @zuberimasoud4839 4 года назад

    hahahaha lema anatia uruma hana chakusema hasa akikumbuka kwamba kiongoz wake ni fala mlev asie jitambua 😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @eliaallen7990
    @eliaallen7990 4 года назад

    Kama mbowe asingewanyima usingizi mngeongelea nini bunge la bajet mjadala umehamia kwa mbowe watakao wapigia kura wapo kwel maisoma wanafikiiiiiiii

  • @johnmdack4043
    @johnmdack4043 4 года назад +1

    Kangi ni mwehu na nusu

  • @ericjosephat1329
    @ericjosephat1329 4 года назад

    Usije kumfananisha yesu na MTU utakua akili yako sio nzur .

  • @paulinasteven6902
    @paulinasteven6902 4 года назад

    Ukweli anao mungu peke yake

  • @masanjamasunga6667
    @masanjamasunga6667 4 года назад

    Fisadmkubwa wew

  • @fedrickkimweri5322
    @fedrickkimweri5322 4 года назад

    Watanzania walio wengi hawajazoea kusema ukweli

  • @MustafaAli-bs6mb
    @MustafaAli-bs6mb 4 года назад

    Jamani mbona tunasifu kupita kiasi magufuli ni binadamu yesu ni mtume wa mungu pia ni kufulu

    • @dani72130
      @dani72130 4 года назад

      Wakikosa ya kusema wanaanza kufuru.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 года назад

    Huyu mwehu kumbe bado yupo?

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel9797 4 года назад +1

    Acheni maneno yenu ayo uyo n mwanaume kama mwanaume lzm awe ivo

    • @mbarikiwambarikiwa3988
      @mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад

      Sio kweli kwamba ukiwa mwanaume ndo unasimamia kila kitu, tunao mitaani sn lkn hawako hvyo.