KISA MBOWE, BULAYA AMVAA LUGOLA - "NDIO ALILEWA AKAVUNJIKA" SPIKA AINGILIA KATI...
HTML-код
- Опубликовано: 12 июн 2020
- KISA MBOWE, BULAYA AMVAA LUGOLA - "NDIO ALILEWA AKAVUNJIKA" SPIKA AINGILIA KATI...
WABUNGE wa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania wameendelea kujadili bajeti lkuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2020 / 2021 iliyowasilishwa bungeni juni 11, na waziri wa fedha, Dkt Philip Mpango..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Usimfananishe Yesu na JPM.
WEWE UNALILIA KURUDI BUNGENI.. 😭
UNABOA
Hili bunge ni dhaifu sana
Hahaaa nimekuelewa Me Spika kwamba unadili na ukweli like kwake jmaman
YESU Hafananishwi!!
zee zima kazi ya kumkatikia mwanaume mwenzio viuno
Yesu ni nafsi ya 2 ya Mungu,hafananishwi na kitu chochote kile.Hivyo ukijisikia kumsifia mtu,Usitumie jina lipitalo majina yote,ili kuufurahisha moyo wako.
usimfanye Mungu shemeji ako utapigwa pigo ambalo hutasahau
Tafafhali Yesu Kristu siyo wa kufananisha na mwanadamu
Kange ndugu yangu acha kumkufuru Roho Mtakatifu kwa kujifanya hujui kweli.Angalia sana maana wajiwekea haki mbele za macho yako lakini Mungu huangalia mioyo ya watu.Yesu atabaki kuwa Yesu tuu na hafananishwi na chochote juu, chini na hata baharini.Stop father , be careful with what you believe!
Ulitaka kutuibia mamilioni Mhe. Magufuli akakukamata njiani, Nani kama Magufuli?
😂😂😂😂
Huwezi kumfananisha Mwokozi YESU KRISTO WA NAZARETH na kitu chochote. Never. Mimi na familia yangu tunamlilia YESU.
Speaker Ndugai unakosea Sana , lakin huwezi kuona Wala wabunge wa ccm kwasababu MUNGU AMEKUPA UPOFU ILI UANGAMIE.
Amen
We toka hapo mwizi unawambia nn watanzania?
Mzee unavuka mipaka sasa umfananishe magufuli na yesu kweli hii sio
Hiyo ni kufuru Sana, ndo Mana aling'olewa kitin
No Lugola umekosea,Yesu is more hundred percent than Magufuli
Kenge huyo mtazameni sana
Yaani sifa zimewazidi mpaka mnamfananisha binadamu na Yesu Kristo kweli hii ni kumkufuru Mungu
Naona watu washashtukia game, msifie bwana mkubwa utoboe. Hata mafisadi wanataka kutumia uchochoro huoo. Lakini swala la kufananisha binadamu na YESU daah, hii imezidi khaaaaa
Nyie baadhi ya wabunge wa CCM ambao mmevaa barakoa inamaana munapingana na rais wenu?. Kumbe nyinyi ndo wasaliti kwa rais wenu
Kwani hakulewa kweli mpaka akavunjika mguu Esther!
Plse, be sincere!
Ulikuepo ?
Yesu kristo anachukizwa Sana na watu wanaojitwalia utukufu
Ungekuwa unaakili usingesaini wizi na hata hivyo nikwakuwa mnabebana Ila ilitakiwa uwe gerezan
Hii inaitwa ile comedy ya kenya VIOJA MAHAKAMANI 😎😎
Amakweli waswahili walisema NYANI HALIONI KUNDULE Hivi kangilugola ni wakumtukana mbowe. Visa vingapi kangi lugola kavifanya amepokea Rushwa ametumbuliwa Anecheza dansa mbele ya maaskari Wake anaowaongoza Nani alimtukana Kangilugola , lakini Leo hii amejisahau ,kanakwamba haujafanya lolote kweli kabgiluloga ni NYANI ASIEONA KUNDULE ,
Nchi hii vichaa ni wengi kuliko wenye akili timamu Ukamfananishe YESU na Raisi wa nchi mmmmmmh umechemka sana mzee wangu tubu kabisa unaweza kusababasha mapingo kwako na kwanchi kama viongozi wako watalifumbia macho hilo tubu na MUNGU atakusamehe
I love when you handle justice even when you have to be against yourself
Tushamsaau lugola aliyofanyia sirikali, we mbn n mwizi mkubwa wa serikali atuongei
Akuna marefu yasiyokuwa na nncha and akuna mwanasiasa ambaye atafika mbinguni. No one
Huna jipya mwibara kuna lami au changarawe ? Hivi kile chuo cha ufundi (veta)-kibara kilishia wapi au ndo ulishindwa kukitoa kwenye mikono ya kanisa
Natamani kuona unachambua na kujadili bajeti.
Haufanani na unayoongea ni Bora ukaae wengine watoe michango yenyefaida kwanini unataja aliofanya vizuri magufuli taja yako mazuri uliowafanyia wananchi wa Tanzania...nani kama magufuli
Makufuli kanivua uwaziri nani Kama Makufuli
🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥👍👍👍👍
Mama kalale unajipya kweli japo unauma baambieeeee
Asante Mhe.Spika kwa Majibu mazuri🤣🤣🤣🤣
Usivuke mipaka basi,YESU NI MUNGU, na alinganishwi na chochote.
Kasifu unavyopenda lkn kulinganisha binadamu na Bwana wetu Yesu Kristo hapo umeenda mbali na kupitiliza
Kwani hii bunge ni ya kujadili watu binafsi na kufanya kampeini za majivuno.
Mm nashindwa kuelew wabung wa chadema wakitaka kuongea wanaambiwa mda mdogo lkn mbon wabung wa chama tawala wanaongea bila pingamiz waseng nyie
Matusi si tija wala ustaarabu.
ndugai umefeli kuliongozabunge
Mbowe kuichafua serekali haiudhi Ila kusema ukweli kwamba mboe mlevi Hilo linauma sio ??
Hali ni mbaya hela hakuna una sh ngap kwenye akaunti yako
@@jacksonolotu9318 wewe kwani una sh ngapi. Mm nina laki 8 tu kwenye Tigo pesa. Kama hali ngumu ndio watu walewe kisha waseme wamevunjwa miguu. Waipake matope Tanzania. Haya mwenzangu una ngapi 😂😂😂😂
@@jacksonolotu9318 ulitaka selikari ukupatie hadi pesa??!!.
MTU akilewa anaimarisha uchumi kwa kulipa kodi, yule aliepiga dili ya idara ya zimamoto pesa zile za serikali, nyingi tu. Anajaribu kufunika.
Ulevi wa Mbowe ni binafsi, anatumia pesa yake, zile pesa za Zimamoto ni za serikali, nani pumbavu kati ya hawa 2?
nashukuru mh spka
sifia mpaka mwisho wa dunia bado wewe kangi ni jizi la ku temwa. acha kujisafisha kwa kutowa misifa. aibu kwa wewe kukosoa wengine.
Sasa huyu ndie alikuwa waziri wa mambo ya ndani!! Mh Magufuli alimulika akabaini alikosea sasa unampamba sana hd kufananishwa na Mungu!! Mnakosea bwana
Mwenzio alilewa akavunjika mguu lakin ww ulisaini uwizi ukiwa na akili timamu
Ahahahaaa
#$#$$$$$$#$$$$$
Hata u huchunguzi wa awali was GEORGE FYLOD yalionshea kuwa George alikufa kwa Corona ,ndo awe Mbowe
Wembe ni ule ule ulio wanyoa kipind kile utaendelea tu kuwanyoa 🤣🤣🤣
jaman
Huyu ni spika kweli anaongoza bunge
Una sh ngap kwenye akaunti dada ? Hali sio hali kaeni kimya wapendwa
Hivi huyu bado yupo mwizi aludishe pesa yetu nashanga bado yupo poleni
Hizo hadithi muda unakaribia ujazo mule wajukuu....😁😁😁😁😁mwibara kuna maendeleo gani
Mh rais yuko vizuri maana anatumbua na majizi
Hakuna Kama baba wa TAIFA Magufuri
Faru john kamtia aibu mbowe.mpaka anasema amevamiwa.
Mbona kitwanga alilewa akatumbuliwa kunamtu ali wapigia kelele
Hakusema kama amevamiwa kama alivyotaka kiki mbowe
Sema yaliofanyika jimboni kwako nasiokutoa sifa zilizopitiliza kiwango,,,
Kwani kitwanga alisema amevamiwa?shida inapokuja ni pale mlipompamba kwa kusema amevamiwa na kuvunjwa mguu kumbe alilewa!
yani kumsifia mtu sio mbaya ila ukizidi Mungu anachukia sana sasa wewe hata ubunge utakosa maana umemkosea Mungu kumpa sifa za Bwana wa majesh
Wewe nawe urudishe zile fedha za wananchi,,,,,!!!
Magufuli katenda ila maneno ya Kangi yanaudhi na kudhihaki ukristu
Spika kweli unatumika vibaya
Chiz ww unaweza mfananisha binadamu na YESU kumbe hazikutoshi
Ndo maana alitumbuliwa, sasa nimemuelewa Magufuli, wenye akili ya kumfananisha mwanadamu na Bwana Yesu, alistahili kutumbuliwa.
👍🙌
Heshima ipi ya bunge hili? Bunge limekuwa Kama kijiwe cha wahuni. Huyu mzee sio kabisa
Wewe acha maneno yako yesu hafananichwi na binadam yoyote yule
Mtazania ana kaakwenyemaji siku 3 kisa pesa tu amsemi mna sifia tu
Duh kweli kukosa akili Yani unamsema mbowe kavunjika mguu coz kalewa . Wewe ulisaini ujinga ukiwa naakili timamu .. Rais wangu nampenda sana lakini wewe . Hamnazo Apo mkichwa
Nyani aoni kundule
Zile pesa za mkataba wa majengo ya zimamoto tukale.
Ungea tu lakini bunge lijalo hurudi.
Matahira mengi sana nchi hiii eti ametupa kwani fedha ni ??zake
Kwa kuwa rais magufuli amechapa kazi nzuri sana minaona kuwe na tume huru ya uchaguzi, kwakuwa iliyopo inaonekana sio tume huru.
Huyu lugola naona anautani na yesu amekweli wajita wanashida ya matatizo hata kama mtu hajuwi kuandika utamkuta ana kalamu
Kwani hamna uwezo upinzani mkasusia bunge Kama bunge halifuati kanuni
Huyu jamaa ni mpumbavu wa hali ya juu.
bwana yesu hafananishwi na mtu yeyote duniani koma
Mungu wa Israel tunaomba utusaidie kulinda utaifa wetu
Huna akili wewe we mwenyewe Usha nyolewa .
Stand for justice even when you have to be against yourself
Lugola hurudi bungeni mwibala anachukua sipiliani msiba ww mpigaji tu huna chako kwenye kura za maoni uchaguzi ujao kenge ww unampa raisi sifa ambazo si zake hadi amekustukia mamlumu sana ndugai mtu anaongea utumbo kama huo unamsikiliza tu shame on you ngugai
Ivi issue ya kulewa bd inazungumzuziwa sijui mbowe ndio wa kwanza kulewa !!!! Khaaaa
Hakuna wa kufanana na Yesu
Mh spika kumbuka kunakufufuliwa angaliya haki
Huna akili wewe,Magufuli sio mjinga kama wewe,acha kujipendekeza safari hii bunge utaangalizia kwenye tv
halafu ana watt huyu na wanamwita baba
Acha kumfananisha magufuli na yesu
Mapambio ya ccm oyeeeèe
mmmmmh!! Hili ndio bunge la kusifiana tu mwenzako alitumbuliwa akasifu akarudishwa na ww pambana mwizi ww
Tena ndo mnaongoza kwa mauaji
Together
Wewe ni Jizi tuu unatafuta huruma ya kupita kwenye kura za maoni Mamaee
Ulitumbuliwa umekwishasahau???😂😂😂
Duuu akiongea mpinzani muda nimdogo
Msimletee raisi wetu balaa kwa blasphemy zenu
Kama mm ndiyo magufuli watu kama hawa nitakaa nao mbali maana hii ni kejeli siyo kusifu huku!
Mwenye macho ambiwi tizama
Huyu huwa ni mnafiki saaana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kazi ipo chako ni chako ni wapi hapo brother kangi umetisha sana
Hana jipya ila kujipendekeza
hahahaha lema anatia uruma hana chakusema hasa akikumbuka kwamba kiongoz wake ni fala mlev asie jitambua 😀😀😀😀😀😀😀😀
Kama mbowe asingewanyima usingizi mngeongelea nini bunge la bajet mjadala umehamia kwa mbowe watakao wapigia kura wapo kwel maisoma wanafikiiiiiiii
Kangi ni mwehu na nusu
Usije kumfananisha yesu na MTU utakua akili yako sio nzur .
Ukweli anao mungu peke yake
Fisadmkubwa wew
Watanzania walio wengi hawajazoea kusema ukweli
Jamani mbona tunasifu kupita kiasi magufuli ni binadamu yesu ni mtume wa mungu pia ni kufulu
Wakikosa ya kusema wanaanza kufuru.
Huyu mwehu kumbe bado yupo?
Acheni maneno yenu ayo uyo n mwanaume kama mwanaume lzm awe ivo
Sio kweli kwamba ukiwa mwanaume ndo unasimamia kila kitu, tunao mitaani sn lkn hawako hvyo.