Mzee wa Upako: "Ushawahi kunywa sumu, maandamano ni sumu, sheria inazeeka"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 34

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 6 лет назад +5

    Me ctk kukomment kwani ndo mchungaji wangu huyu,toka mwaka Jana anaongea Kama mtu yule ambae hamjui Mungu,inauma Sana kwa kweli😞😞😞

  • @tztvgospelonline5285
    @tztvgospelonline5285 6 лет назад

    Kalewa huyu mzee mlevi sanaa angalia uso huyu msani na mlevi hajaokoka hata kidogo angalia anavyo ongea mlevi

  • @jackobokafupa3708
    @jackobokafupa3708 5 лет назад +2

    Mzee bana unapokosea laxima tuseme umeenda kando baba simamia neno mzee

  • @subiranganyagwa8274
    @subiranganyagwa8274 5 лет назад +1

    Mnasema anakunywa pombe mlikuwa nae mbona hakuna baya aliloliongea kusema maandamano ni sumu ni kweli bila amani nchi inayumba kuna ubaya gani hapo yaani nyie Mungu anawaona endeleeni

  • @bahishaalexander3641
    @bahishaalexander3641 5 лет назад

    Bado unahekima Sana Baba mchungaji.

  • @nabiiwaisharaonlinetv9863
    @nabiiwaisharaonlinetv9863 5 лет назад

    SIASA ndio inamfaa MAANA sura ya mtaa Wa bar hii

  • @josephsimiyu5211
    @josephsimiyu5211 5 лет назад

    Umeongea ukweli na busara ubarikiwe

  • @Smartboy-wt1es
    @Smartboy-wt1es 6 лет назад

    Kuhusu lusekelo me hua sielewi kabisa ila kama hapigi wine basi mungu anisamehe sana na sana, hata mimi body language yake mmmm😇

  • @sheilakileo2443
    @sheilakileo2443 5 лет назад

    Sauti imekaa vizur

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 6 лет назад +2

    Wakubisha na anabishe ila mzee wa upako Mvinyo unamhusu chunguza vzr body language lake

  • @trophainamagogwa1163
    @trophainamagogwa1163 5 лет назад +1

    Wakatembee Congo na Rwanda na Burundi na Somalia na sudani watajua kuna nini?

  • @BarazilLwezaula
    @BarazilLwezaula Год назад

    Uyo hajaokoka Sasa kama hamokoka mkufu ni wanini shingoni

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 5 лет назад

    Dnt touch my annointed one

  • @advelahezroni1613
    @advelahezroni1613 5 лет назад

    libaya

  • @jamesmwanjala132
    @jamesmwanjala132 6 лет назад +1

    Mambo ya Mvinyo.

  • @kassimukipingu5343
    @kassimukipingu5343 5 лет назад

    Mzee unachawa kichwani mbona unajikuna tuu

  • @ponsiankahesi3458
    @ponsiankahesi3458 5 лет назад

    Mzee wa upako unaongea kwa kupanic

  • @jumbeybrowney7310
    @jumbeybrowney7310 6 лет назад

    Udini na ukabila HAPANA...hakuna tofauti hzo ndani ya utawala huu..
    #nchikwanza

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 6 лет назад +1

    Mzee wewe unakuwaga kigeugeu uwelewekagi

  • @sylvesterkahela1407
    @sylvesterkahela1407 5 лет назад

    Pateni ujumbe Wa anachosema na siyo mwonekano wake.kwani kaongelea pombe? Mantiki tupu kasisitiza.

  • @divaifrank6746
    @divaifrank6746 5 лет назад

    Konyagi

  • @barick
    @barick 5 лет назад

    Unachekesha huna mantiki

  • @stevenboy1239
    @stevenboy1239 5 лет назад

    Unaniudhi unavyogusa gusa pua yako wakati unaongea

  • @fantsonmpango7742
    @fantsonmpango7742 6 лет назад

    Kuna wakati unamuelewa tena humuelewi, yaani mzee wa upako bwana

    • @beatricemdoe7789
      @beatricemdoe7789 5 лет назад

      Jamani kama MNA macho ya rohoni oneni Hugo nimchungaji au

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 6 лет назад

    Watu bana mnakadilia mwenzenu hata hamjui mlisha muona anakunywa au

  • @yohanaalex2049
    @yohanaalex2049 6 лет назад

    Haha uyu sku iz analewa uyu sio buree

  • @michanomichano4931
    @michanomichano4931 6 лет назад

    We msanii tu hakuna MCU ngaji APA