Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Me ctk kukomment kwani ndo mchungaji wangu huyu,toka mwaka Jana anaongea Kama mtu yule ambae hamjui Mungu,inauma Sana kwa kweli😞😞😞
Kirishi
Nyamoga family Muombee tu
Kalewa huyu mzee mlevi sanaa angalia uso huyu msani na mlevi hajaokoka hata kidogo angalia anavyo ongea mlevi
Mzee bana unapokosea laxima tuseme umeenda kando baba simamia neno mzee
Mnasema anakunywa pombe mlikuwa nae mbona hakuna baya aliloliongea kusema maandamano ni sumu ni kweli bila amani nchi inayumba kuna ubaya gani hapo yaani nyie Mungu anawaona endeleeni
Bado unahekima Sana Baba mchungaji.
SIASA ndio inamfaa MAANA sura ya mtaa Wa bar hii
Umeongea ukweli na busara ubarikiwe
Kuhusu lusekelo me hua sielewi kabisa ila kama hapigi wine basi mungu anisamehe sana na sana, hata mimi body language yake mmmm😇
Sauti imekaa vizur
Wakubisha na anabishe ila mzee wa upako Mvinyo unamhusu chunguza vzr body language lake
Wacha siasa wewe ubiri injili ya yesu
Wakatembee Congo na Rwanda na Burundi na Somalia na sudani watajua kuna nini?
Uyo hajaokoka Sasa kama hamokoka mkufu ni wanini shingoni
Dnt touch my annointed one
libaya
Mambo ya Mvinyo.
Mzee unachawa kichwani mbona unajikuna tuu
Mzee wa upako unaongea kwa kupanic
Udini na ukabila HAPANA...hakuna tofauti hzo ndani ya utawala huu..#nchikwanza
hujui
Daniel Agustino Unaejua ni wewe ULIYEBAGULIWA KIKABILA NA KIDINI...
Mrudie mungu ili akuponye ndo muhimu tuu
Mzee wewe unakuwaga kigeugeu uwelewekagi
Pateni ujumbe Wa anachosema na siyo mwonekano wake.kwani kaongelea pombe? Mantiki tupu kasisitiza.
Konyagi
Unachekesha huna mantiki
Unaniudhi unavyogusa gusa pua yako wakati unaongea
Kuna wakati unamuelewa tena humuelewi, yaani mzee wa upako bwana
Jamani kama MNA macho ya rohoni oneni Hugo nimchungaji au
Watu bana mnakadilia mwenzenu hata hamjui mlisha muona anakunywa au
Haha uyu sku iz analewa uyu sio buree
We msanii tu hakuna MCU ngaji APA
Me ctk kukomment kwani ndo mchungaji wangu huyu,toka mwaka Jana anaongea Kama mtu yule ambae hamjui Mungu,inauma Sana kwa kweli😞😞😞
Kirishi
Nyamoga family Muombee tu
Kalewa huyu mzee mlevi sanaa angalia uso huyu msani na mlevi hajaokoka hata kidogo angalia anavyo ongea mlevi
Mzee bana unapokosea laxima tuseme umeenda kando baba simamia neno mzee
Mnasema anakunywa pombe mlikuwa nae mbona hakuna baya aliloliongea kusema maandamano ni sumu ni kweli bila amani nchi inayumba kuna ubaya gani hapo yaani nyie Mungu anawaona endeleeni
Bado unahekima Sana Baba mchungaji.
SIASA ndio inamfaa MAANA sura ya mtaa Wa bar hii
Umeongea ukweli na busara ubarikiwe
Kuhusu lusekelo me hua sielewi kabisa ila kama hapigi wine basi mungu anisamehe sana na sana, hata mimi body language yake mmmm😇
Sauti imekaa vizur
Wakubisha na anabishe ila mzee wa upako Mvinyo unamhusu chunguza vzr body language lake
Wacha siasa wewe ubiri injili ya yesu
Wakatembee Congo na Rwanda na Burundi na Somalia na sudani watajua kuna nini?
Uyo hajaokoka Sasa kama hamokoka mkufu ni wanini shingoni
Dnt touch my annointed one
libaya
Mambo ya Mvinyo.
Mzee unachawa kichwani mbona unajikuna tuu
Mzee wa upako unaongea kwa kupanic
Udini na ukabila HAPANA...hakuna tofauti hzo ndani ya utawala huu..
#nchikwanza
hujui
Daniel Agustino Unaejua ni wewe ULIYEBAGULIWA KIKABILA NA KIDINI...
Mrudie mungu ili akuponye ndo muhimu tuu
Mzee wewe unakuwaga kigeugeu uwelewekagi
Pateni ujumbe Wa anachosema na siyo mwonekano wake.kwani kaongelea pombe? Mantiki tupu kasisitiza.
Konyagi
Unachekesha huna mantiki
Unaniudhi unavyogusa gusa pua yako wakati unaongea
Kuna wakati unamuelewa tena humuelewi, yaani mzee wa upako bwana
Jamani kama MNA macho ya rohoni oneni Hugo nimchungaji au
Watu bana mnakadilia mwenzenu hata hamjui mlisha muona anakunywa au
Haha uyu sku iz analewa uyu sio buree
We msanii tu hakuna MCU ngaji APA