Sheikh wangu bwana. Haji manara ni mu Hollands alizaliwa Amsterdam Netherlands mimi ni Simba Abdul rahiya wa Netherlands Amsterdam mwika 44 Netherlands
Kuomba msamaha ni jambo moja na kusamehewa ni jambo lingine. Wewe tumikia adhabu kikamilifu na HATA UKIJITOA KWENYE MPIRA TOKA hata bila wewe soka litakuwepo tuu.
Dunia inazunguka faster huyu alimkandamiza feisal akishirikiana na hao tff mpaka team ya taifa wamembania ili wampoteze hi nchi ukiwakosea simba yanga na tff unapotezwa labda mungu atake kukubakiza nakuone huruma bro bakini kwenye njia ya ukweli ikiwa kwa mwengine ata kwako hili ni funzo kwa wote wanaoshirikiana na wanaorejesha nyuma leo kwako kesho kwetu utarudi kazini kwa uwezo wa Allah stay true stay strong
Uliyoyafanya wakati wa fainali ya FA YANGA NA COASTAL UNION yalikuwa hadharani Bro usipotoshe...Bro uliudesrespect Football Brother....pokea haki yako ili uheshimu wengine......kwani ukikaa kimya mpira uendelei mbona ukiwa kifungoni Yanga imefika fainali,na mbona ukiwa kifungoni Tanzania imefuzu afcon? Kila jambo na zama zake...
Kama kila anayehukumiwa na akaomba msamaha, angesamehewa bas tusinge kuwa na maana ya sheria wew dada unaye toa hamasa ya maandamano, hujitambui unamawazo ya kipuuzi Sana.
Sasa kuna watu wamepigana kabisa vita kwa masilahi ya inchi. Sasa huyo Haji kuwa balozi tuu kwenye mpira Ndiyo Watanzania woote wamtetee yeye tuu.Aaagh jamani hebu tuangalieni mambo muhimu. Kuna watu walitumbuliwa bila makosa na wakaanza upya maisha yao.Wanasonga mbele!!
Huyu hakuwakosea Hawa viongozi wa kidunia,bali kwa mdomo na matendo yake. Yeye muislam anaulizwa anapenda nini katika Dunia hasemi Mungu anayemuamini na Mtume wake,anasema anaamini Mwanamke mzuri na ......., Jipwekeehe kwa Mungu pekee,
Ni dhahiri ulimkosea rais wa TFF ulionekana ukimfokea . Tatizo unajihisi uko juu ya kila mtu hata Simba uliondoka kwa kushindwa kuheshimu uongozi usipo basipobadilika kila mahali utaona unaonewa.
Kwani ni watanzania wangapi wanadhurumiwa wengine mpaka wanafungwa bila makosa na hawapigi kelele. Kwani manara yeye ni nani nchi hii mpaka ajidai kususa timu ya Taifa. Kwani bila yeye Taifa linapungukiwa nini?
Kuna watu wamefungiwa miaka mitano lakini mbona hawalalamiki na wao ni watu wa mpira? Na wale waliofungiwa maisha na wengine walikuwa wachezaji wa National team maarufu mbona wapo kimya? acha adhabu iishe ujifunze
Manara ansyeombs radhi husnxa na ukiri wa kosa lake. Wewe manara hujasinguziwa. Ulikosea waziwaxi na Watanzania wote tuliona ulivyopambana na Raisi wa Tff hadharani tena mbele za viongozi kadhaa na ukawa unapambana kutaka kwenda kupigana naye ukazuiliwa. Manara hilo siyo kosa? Tuachilie mbali maneno uliyoyasema wakati huo umehamaki, matendo yale ya kusukuma watu waliokuwa wanakuzuia usipigane ni makosa makubwa ya wazi wazi kabisa yasiyostahili msamaha na hasa unapodai kwamba hujakosea.
Uyo jamaa mnampatia kichwa,, mbele ya kamera ni mtu safi sana ila anamaneno ya karaha sana sana uyo iyo azabu aliyopewa ni ndogo sana jamaa anajiamini sana kwaiyo yeye anaona iyo sheria iliyochukuliwa imekosea kwake ila mm ni yanga ila jamaa anazingua sana sana mi nataman aachane n mpira tuone kama Tim zitashindwa kwendelea,,? Kwanza alivyosimamishwa tuu Tim imefik final.. kinachomla mshikaji ni kujiamini na akiwa kwenye kamera anatumia ulemavu wake ila akiwa nyuma ya kamera ndo utamjua,,,mi simpendi tangu aropoke watu wa bara hatuusiki na bandari nilimshusha sana na nikawaza ni anajiamini na akijidanganya kwa kuongea ongea kwake kunaweza muhurumisha kwa watu..yeye atelie asifukilie watu wanampenda,, watu tunapenda Tim sio wewe haji sasa ukijidanganya et unakubalika ungefatwa uko uko uliko..
Kaka bugati hatamimi nashangaa mbona swala la fesali aliingiali raisi nawakati fesali alikosea timu jewewe ulifanyakosa ganikubwa ucsameehewe hapo kunakitu wakupoteze kabisa nandoomaana husameheki Bado unackika kamakawaida hukupasweuckike kabisa ndoowanachotaka
Afungiwe mpaka adhabu yake itakapo kwisha. Mjeuri sana, anasema kuwa alijishusha hata kama hakukosa. Namsifu Aveva kwa msimamo wake na kutokubali juice yao.
Sheikh wangu bwana. Haji manara ni mu Hollands alizaliwa Amsterdam Netherlands mimi ni Simba Abdul rahiya wa Netherlands Amsterdam mwika 44 Netherlands
Kuomba msamaha ni jambo moja na kusamehewa ni jambo lingine. Wewe tumikia adhabu kikamilifu na HATA UKIJITOA KWENYE MPIRA TOKA hata bila wewe soka litakuwepo tuu.
Mungu akupevsubra yataisha
Dunia inazunguka faster huyu alimkandamiza feisal akishirikiana na hao tff mpaka team ya taifa wamembania ili wampoteze hi nchi ukiwakosea simba yanga na tff unapotezwa labda mungu atake kukubakiza nakuone huruma bro bakini kwenye njia ya ukweli ikiwa kwa mwengine ata kwako hili ni funzo kwa wote wanaoshirikiana na wanaorejesha nyuma leo kwako kesho kwetu utarudi kazini kwa uwezo wa Allah stay true stay strong
Pole manara, mungu akupe wepesi mambo siku Moja yaishe
Mimi ni shabiki wa Simba lialia, lakini kufungiwa kwa Haji kuna ladha inahitajika
Daaaaaah pole sanaaa Bugatti maisha ni vita ndg yetu usiache kupambana soccer bado linakuhitaji ww umekuwa kioo cha wengi katika mpira wetu
Uliyoyafanya wakati wa fainali ya FA YANGA NA COASTAL UNION yalikuwa hadharani Bro usipotoshe...Bro uliudesrespect Football Brother....pokea haki yako ili uheshimu wengine......kwani ukikaa kimya mpira uendelei mbona ukiwa kifungoni Yanga imefika fainali,na mbona ukiwa kifungoni Tanzania imefuzu afcon?
Kila jambo na zama zake...
NAMCHUKIA SANA KARIA
Kama ni rahisi kuandamana fanyeni hivyo ndio mtajuwa hii nchi inasheria zake .
Wacheni kububujukwa na maneno ya studio
Haji wee umesema si mtu wa kulalamika leo hicho unachokifanya ni kipi?
Hivi adhabu ya huyu mwamba itaisha lini?Maana daaa ni shida kabisaa
Kama kila anayehukumiwa na akaomba msamaha, angesamehewa bas tusinge kuwa na maana ya sheria wew dada unaye toa hamasa ya maandamano, hujitambui unamawazo ya kipuuzi Sana.
Hii mbona ya jana au umekuja tena
Kwani hamasa ndiyo huleta ushindi.
Shikeni adabu zenu nyinyi, kwani yeye ndie wakwanza kufungiwa? Kama amefungiwa acha atumikie adhabu yake
Naitwa joel Toka mwanza kwenyemaombiayo alipokoseamanara nikumuusisha karia namafanyikio yayanga apo nikama alimtonesha kidondani
Huyu jamaa toka kahama Simba simpendi
Haji alikuwa hana adabu sasa hii adhabu wache atumikie adhabu! Ali pitiliza alizani yupo juu ya sheria
Sasa kuna watu wamepigana kabisa vita kwa masilahi ya inchi.
Sasa huyo Haji kuwa balozi tuu kwenye mpira Ndiyo Watanzania woote wamtetee yeye tuu.Aaagh jamani hebu tuangalieni mambo muhimu.
Kuna watu walitumbuliwa bila makosa na wakaanza upya maisha yao.Wanasonga mbele!!
Kaka wende lazima apigwe mtu akifika mshabiki yeyote lazima kipigo anafamiliya mjuwe tuhache mengine
Kwa nini awataki na kaomba mbona wanamuogopa sana uyu mwamba
Huyu nae ndo mwny tatizo sasa daily yy kuoa na kuachana 👁️😳😳😳
Sasa hiyo inahusikajei?
Bado hajasema 😂😂na atasema
Mmh iko haja ya kupima watu afya ya akili na kujua umri wa watu
Huyu hakuwakosea Hawa viongozi wa kidunia,bali kwa mdomo na matendo yake.
Yeye muislam anaulizwa anapenda nini katika Dunia hasemi Mungu anayemuamini na Mtume wake,anasema anaamini Mwanamke mzuri na .......,
Jipwekeehe kwa Mungu pekee,
Ni dhahiri ulimkosea rais wa TFF ulionekana ukimfokea . Tatizo unajihisi uko juu ya kila mtu hata Simba uliondoka kwa kushindwa kuheshimu uongozi usipo basipobadilika kila mahali utaona unaonewa.
Kwani ni watanzania wangapi wanadhurumiwa wengine mpaka wanafungwa bila makosa na hawapigi kelele. Kwani manara yeye ni nani nchi hii mpaka ajidai kususa timu ya Taifa. Kwani bila yeye Taifa linapungukiwa nini?
Kuna watu wamefungiwa miaka mitano lakini mbona hawalalamiki na wao ni watu wa mpira? Na wale waliofungiwa maisha na wengine walikuwa wachezaji wa National team maarufu mbona wapo kimya? acha adhabu iishe ujifunze
Huyo anajuwa kwamba kuwepo kwako utaiinuua sana yanga na yeye yule ni simba anarombaya tu anafahamu jinsi utakavyoinua sana yanga
Akisogeya mshabiki wa kule kipigo lazima kimuhusu tuta kutana mahakamahhni
Mungu analipa hapa hapa dunian manara ulivyokuwa unamfanyia ishitizai fei toto na mama yake umesahau kisa mama badoo hujasema na utasema😂😂😂
Hana uume huyo maneno tu huyu mbwa koko
Manara ansyeombs radhi husnxa na ukiri wa kosa lake. Wewe manara hujasinguziwa. Ulikosea waziwaxi na Watanzania wote tuliona ulivyopambana na Raisi wa Tff hadharani tena mbele za viongozi kadhaa na ukawa unapambana kutaka kwenda kupigana naye ukazuiliwa. Manara hilo siyo kosa? Tuachilie mbali maneno uliyoyasema wakati huo umehamaki, matendo yale ya kusukuma watu waliokuwa wanakuzuia usipigane ni makosa makubwa ya wazi wazi kabisa yasiyostahili msamaha na hasa unapodai kwamba hujakosea.
Shida ulitoka simba, ndo maana huna watetezi wa kweli yanga si chimbuko lako wanakupenda brabra rudi simba matatizo yaishe
Uyo jamaa mnampatia kichwa,, mbele ya kamera ni mtu safi sana ila anamaneno ya karaha sana sana uyo iyo azabu aliyopewa ni ndogo sana jamaa anajiamini sana kwaiyo yeye anaona iyo sheria iliyochukuliwa imekosea kwake ila mm ni yanga ila jamaa anazingua sana sana mi nataman aachane n mpira tuone kama Tim zitashindwa kwendelea,,? Kwanza alivyosimamishwa tuu Tim imefik final.. kinachomla mshikaji ni kujiamini na akiwa kwenye kamera anatumia ulemavu wake ila akiwa nyuma ya kamera ndo utamjua,,,mi simpendi tangu aropoke watu wa bara hatuusiki na bandari nilimshusha sana na nikawaza ni anajiamini na akijidanganya kwa kuongea ongea kwake kunaweza muhurumisha kwa watu..yeye atelie asifukilie watu wanampenda,, watu tunapenda Tim sio wewe haji sasa ukijidanganya et unakubalika ungefatwa uko uko uliko..
Kaka bugati hatamimi nashangaa mbona swala la fesali aliingiali raisi nawakati fesali alikosea timu jewewe ulifanyakosa ganikubwa ucsameehewe hapo kunakitu wakupoteze kabisa nandoomaana husameheki Bado unackika kamakawaida hukupasweuckike kabisa ndoowanachotaka
Anaesema. Manara. Kakosea. Mbona. Hataji. Iloo. Kosa. Ni. Lipi. Uyo. Ni. Mjinga. Tu. Dunduka. Madunduka. Wanachuki. Na. Manara. Sababu. Yanga. Tuu
Mayele muhungwana
Alichokifanya Mwijaku angefanya Bongozozo angepewa na tuzo...ndio kasumba za Tanzania yetu,
Ali Kamwe aende wapi akirudi, anaomba afie hukohuko. Aveva Ana sifa kutoka CAF NA FIFA. Mbona hukuwapa msaada wenzako na bado unalipwa na Yanga.
MALIPO YAKO HAYO,,KUMBE MPAKA WAKE WALIKUKIMBIA MASKINI.....UVUMILIKI PUNGUZA MDOMO,,TUNAJUA WAO NDIO WALIKUSTIRI.
Afungiwe mpaka adhabu yake itakapo kwisha. Mjeuri sana, anasema kuwa alijishusha hata kama hakukosa. Namsifu Aveva kwa msimamo wake na kutokubali juice yao.
Hana mke ameachwa,Ana tabia mbaya, mjeuri. Mwijaku ndio kama yeye
Kama hujakosea mbona unaomba radhi hapa ndio una feli