TUNU MWENDESHA BAJAJI ALIYEFANIKIWA KUJENGA NYUMBA YA ZAIDI YA MILIONI 30 NA MIRADI MINGINE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Tunu Ndege ni Mkazi wa mkoa wa Mara aliyeanza kazi kwa kuajiriwa kwenye kiwanda cha Samaki na badae kupata mtaji wa kununua pikipiki, alifanya kazi ya bodaboda kwa miaka kadhaa na kufanikiwa kununua Bajaji, Amejenga Nyumba anaduka la rejareja na miradi mingine, fuatilia makala hii kwa undani zaidi. Mtayarishaji Gigwa Mhule, MpigaPicha na Mhariri Picha ni Lucas Maziku, Jarida Maridhawa liliruka Star Tv

Комментарии • 8

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 3 года назад

    Safi Sana nimependa mno

  • @muhsinsalum2305
    @muhsinsalum2305 4 года назад

    Hongera saana dada tunu.

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад

    Hy Mmama mmoja anawivu eti mwanamke kuendesha bajaj cy kz yk

  • @esterchristian7651
    @esterchristian7651 5 лет назад

    hongrea sanaaa

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Год назад

    Wa tz washambatu tulizoea umbea mwanaume ndio alete pesa sasa tunapambana adi wanawake

  • @rehemabonza4529
    @rehemabonza4529 4 года назад

    Huyo mama anaeleza kuwa mwanamke siyo jasiri, nataman nimchape vibao

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 Год назад

      Niwivu alonao nchi za waarabu madereva wengi wanawake uku nijambo la kawaidatu

  • @mariamtzd2890
    @mariamtzd2890 3 года назад

    Yuyomwna mke ongera dureva wabajaj