"NIMEACHA KAZI YA LAKI 7 NIKAWA DEREVA TAXI, SASA NAINGIZA MILIONI 4"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Kutana na Mazigira Chambuso Msomi mwenye Degree ya Computer Science ambae awali alikua ameajiriwa kwenye Kampuni moja ya Mtandao wa simu za mkononi akilipwa shilingi laki 7 kwa mwezi ila akaamua kuacha kazi hiyo na sasa ni Dereva TAXI na ndio kazi inayomlipa zaidi ya MILIONI 4 kwa mwezi.

Комментарии • 104

  • @rayjohn5924
    @rayjohn5924 6 лет назад +1

    Sijaelewa millard huyo jamaa anafanya hiyo kazi nchi gani, kama Tz umeibiwa mzee baba,
    Tafuta madereva wa uber watakupa kinachojiri kwenye hii game online tax, upuuzi mtu
    Laki7?si kila dereva angetoka kitambi basi kama hivyo,,
    Nakubali sana kazi yako, ila hii bro u let us down for ril,
    Wauni sio watu wazuri,,, #tag

  • @DinuZeno
    @DinuZeno 6 лет назад

    Safi

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 6 лет назад +1

    Huyu jamaa ana permanent customers tena wa kishua. Period!!

  • @princeombeni2712
    @princeombeni2712 6 лет назад +2

    Uyo anadanganya uma huwezi pata laki saba kwa wiki ata uwe na App 30 naona uyu anasababu zake za kuongea ivi asifikiri iyo kazi anaifanya mwenyewe tuko wengi tunafanya hii kazi lakini icho kitu si kweli hata kidogo.

    • @rajababdallah9942
      @rajababdallah9942 6 лет назад

      Prince Ombeni
      Hii video inabid ifutwe ni uongo mtupu hapa

    • @brightonawadhayoub3618
      @brightonawadhayoub3618 6 лет назад

      Hahahahahahahahahahahahahahaha

    • @princeombeni2712
      @princeombeni2712 6 лет назад

      Kweli kabisa ifutwe na pia uyu jamaa anatakiwa aulizwe ni nani aliyemtuma kuupotosha uma kwa kusema vitu visivyo vya ukweli.

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 6 лет назад

    Nyie mnataka kufanya watu waache ajira rasmi tu ,kama unaingiza hiko kias kwa mwez hongera japo siamin sana😊

  • @jacksonpeter4931
    @jacksonpeter4931 6 лет назад +11

    cha kwanza ambacho kinathibitisha uongo huu hakuonyesha ushahidi wa hizo App, pili Mimi binafsi nimefanya trip zaidi ya elfu 2 sijawahi kuona kitu Kama hicho. hata unatengeneza uongo uwe na kiasi kudanganya kwako. huu uongo umepitiliza Na Millard usipoangalia hizi habari za design hii zitakuvurugia kazi. hii research ni ya madereva wangapi? naomba uwahoji madereva 25 wa hii kazi alafu utaelewa tunachokisema. This is purely a cooked story with a big lie.

    • @joshmgaka9150
      @joshmgaka9150 3 года назад

      @ jackson plz naweza pata namba yako kaka ili unisaidie mambo flani kuhusiana na hii biashara

  • @mchumi_digital
    @mchumi_digital 6 лет назад +3

    Wabongo bana sound nyingi,wanapenda sana ku fake vipato vyao,hata uwe na App 20,huwezi ku make kiivyo,vinginevyo kila mtu angefanya hiyo biashara,ana exaggerate hizo Income,awadanganye wasiojua,we are in this industry we know each and everything about online taxi, aache sound!

    • @christophermbunda2172
      @christophermbunda2172 6 лет назад

      Paul Chengula alafu YONO na TRA inabidi wamtafute maana anafanya biashara kwa gari private

    • @gabrielson9182
      @gabrielson9182 6 лет назад

      Paul Chengula naomba kupata experience kutoka kwako Mkuu ,plz ,Nina ndoto ya kufanya hii busness

  • @stephanomchenya6344
    @stephanomchenya6344 6 лет назад

    Uko sawa

  • @gabbypflossy2088
    @gabbypflossy2088 5 лет назад

    Hahaa Mazagala Chambusooo... St Matthews moja hiyoo... big up kaka...

  • @herbertkamote2213
    @herbertkamote2213 6 лет назад +3

    Day huyu jamaa in muongo mpaka aibu eti unazunguka na mteja kuanzia asubuhi mpaka usiku halafu inasoma laki saba duuh!

    • @goldendesertmrgolden5976
      @goldendesertmrgolden5976 6 лет назад

      Me nikishuka dar huwa namkodi mshika anapaki mikwecheni kwa nyerere siku mzima namlipa elfu 70/80 me nikodi taxi nilipe laki saba that will be bullshit bora ninunue gari yangu niajiri drive

    • @lishasykimario5700
      @lishasykimario5700 6 лет назад

      Kweli broo sisi Madereva original wa izo app ndio tunajua ukweli

  • @stellaedward7726
    @stellaedward7726 6 лет назад

    Saafi saana

  • @stivenkhanga9781
    @stivenkhanga9781 6 лет назад

    Na vile hajui hata maadiri ya kazi yake anatoa hadi Siri za wateja wake unamtaja mtu huyooo kwamba unamchukuaga kila siku fulani je ukiulizwa unampelekaga wapi utajibuu?
    Kijana jitambue naona kama hujielewi hiviii achaaa kupotosha watu......

  • @helenmark7965
    @helenmark7965 6 лет назад

    Anaonyesha kijana mwema Mashallah
    Inshallah all the best

  • @ankoj8952
    @ankoj8952 5 лет назад

    Kwa nchi hii , hasa bongo unatudanganya kaka.

  • @habibuzahoromakame.6728
    @habibuzahoromakame.6728 6 лет назад +1

    Huyu jamaaaa muongooooooooooooooooooooo sannaaa

  • @paza.mwalimu2507
    @paza.mwalimu2507 6 лет назад +1

    jamani msilishwe matango pol, huyo abiria gan ambaye analipa lak 7 per trip.... huku jaman kwenye Taxi za mtandao hamna kitu kama icho ndani ya mwezi utengeneze mil 4 sio kwel. huyo jamaa kuna jambo anaazimia liwe sio bure au naweza sema ni ulimbukeni wa camera za ayo mpaka kuropoka ujinga, hata angekua mtoto wa rais asingetoa laki saba kwa trip from iyo saa mbili to sita usiku. nasio kila mtu ana uelewa wa hiz huduma, yan watanzania iv huo uongo unaitaji mpaka uende chuo kikuu ndio ugundue haka kachaliiii kana waongopea! hakuna kitu kama icho na narudia tena hakuna kitu kama icho, katumwa huyo
    #exploitation still exist

  • @asiavenant1270
    @asiavenant1270 6 лет назад

    Huu ni uongo mtakatifu, logically speaking kwanza dereva ana plate number ya njano, which kisheria hairuhusiwi na pili ingekuwa hivyo hata huyo mtangazaji asingepata muda wa kuhoji ila naye angekuwa anapiga kazi km hiyo

  • @matendoandrewmgeni1135
    @matendoandrewmgeni1135 5 лет назад

    Naona kilaaaa mtu anasema Mr chambuso muongo haya na aongee ukweli yeye anae jua zaidi

  • @saddyabby6659
    @saddyabby6659 6 лет назад +1

    Huyu jamaa ni muongo wa kupindukia we mtu akupe laki 7 kwa siku hata gari za tours sio hivo labda laki saba gari la kubeba maiti apeleke mkoani cio mtu mjini hapa......aache uongo huyo....millard cku nyingine hoji madereva hata kumi na upate ufananisha sio mmoja huyo kwanza alipi kodi huyo.

  • @amosmwanga4027
    @amosmwanga4027 5 лет назад +3

    Wadanganye ndg zako wasio ijua hii kazi mbwa wewe

    • @stanleynombwe4865
      @stanleynombwe4865 Год назад

      Umemchana mzee maana Kuna walevi ikitokea wamepata nafuu ya maisha Basi hudanganya vibaya

  • @dogohemed9629
    @dogohemed9629 6 лет назад +3

    Dah hongera sana broo hayo maamuzi yako nimeyapenda na mm nataka nichukue maamuzi magumu kama hayo inshaallah

  • @emanuelmwalukasa9235
    @emanuelmwalukasa9235 6 лет назад +2

    jamaa muongo wa mwaka aisee millard sio bure hii stori imenunuliwa aisee tunaomba balance maana umeongea na mmoja wa madereva,
    ukipata request hata ukizunguka siku tatu haiwezi kusoma laki saba

    • @rajababdallah9942
      @rajababdallah9942 6 лет назад

      Emanuel Mwalukasa
      Hii story haina balance ni uongo kabisaaaaa

    • @tynersimoni1471
      @tynersimoni1471 6 лет назад

      Wewe jamaa nahisi umelukwa na akili kidogo watu wote tunafanya kazi kama hiyo, unaonyesha wewe ni muongo kutoka tumboni maana yake kabla hujazaliwa, maana mm binafs naona uongo huo umepita kiasi na usiwachongee madereva wenzako na kuwaharibia kazi, unaropoka uongo ambao cjui kwakua ulijua utaonekana kwenye mitandao au laa, pls omba msamaha kwa madeleva wenzako kama ikiwezekana maana kwa kauli yako utawafukuzisha wenzako kazi bila kujitambua kwa mabosi wao na imeniuma kwa uongo huuu.

    • @paul_sereva
      @paul_sereva 6 лет назад

      Nilikuaga naamini kila habari ambayo naisikia ama kuingalia kutoka ayo tv, ila kwa hichi walichokifanya leo ni sawa na kudhihirisha kwamba ni kawaida yao kutoa habari za uongo. Hivi nikuulize kitu kimoja wewe unayemhoji huyo dereva. Unajua ni madereva wangapi umewagombanisha na mabosi zao mpaka muda huu? Unajua ni madereva wangapi umewakosesha kazi mpaka muda huu? Unajua umewashawishi watu wangapi waingie kwenye biashara ambayo haitawalipa kama walivyosikia? Unajua ni watu wangapi wataacha kazi kwaajili ya kuendesha tax na watajutia maamuzi yao? Kaka kama utafanikiwa kusoma huu ujumbe ni boratu ufute huo uongo wako. Ni kosa kubwa sana kuudanganya uma kiasi hicho. NIMEKEREKA SANA. Naongea hivi kwasababu mimi mwenyewe ni dereva wa tax za mtandaoni, lakini kwa hayo aliyooasema huyojamaa ni uongo mtupu.

  • @danfordmwangesile9043
    @danfordmwangesile9043 6 лет назад

    samahani kaka naweza kupata namba ya huyooo jamaa wa taxi anipe mbinu. na mimi ni dereva taxi nipo Zanzibar

  • @rajababdallah9942
    @rajababdallah9942 6 лет назад

    Millard tunakuomba usome comments, hii story haina ukweli kabisa, by the way huyu jamaa kafungiwa na hiyo mitandao hafanyi kazi tena, na alikaa kwa wiki mbili tu! Tunaomba uweke balance ya hii story plz

  • @frankernest1986
    @frankernest1986 6 лет назад

    Jamaa huyu ni mwongo Sana tena Sana,hakuna dereva amabye anauwezo wa kuingiza kiasi hicho Cha pesa.km ni kweli naomba aonyeshe APP YAKE YA UBER.mwongo Sana tena uliopitiliza daaaaaa.🤔🤔

  • @athumanindyema2302
    @athumanindyema2302 2 года назад

    Uyo chiz yan nataman nimchomoe kwenye cm nimkate vibao ametumwa huyu

  • @amosmwanga4027
    @amosmwanga4027 5 лет назад

    Eti trip iliisha sa6 nikaend trip ikasoma lak7.....hahahahaaaaaaaa kweli bongo Nyoso......

  • @Sundayterry
    @Sundayterry 6 лет назад

    Na Tax Bubu yake mtizame,,full kichefuchefu. Ila natumai Yono wako makini nawewe sasa, utulipe kodi yetu. Unaend trip Laki 7 hii hapa labda ilikua trip kupeleka Msiba mkoani, ebu wacha uongo bhana ahlaa!

  • @raymondramson7118
    @raymondramson7118 6 лет назад

    Millard Ayo na wenzako fatilieni hii habar kwa umakini huyo ni muongooo

  • @franklinbernard4367
    @franklinbernard4367 6 лет назад +2

    Nimeishia kucheka mwenyewe, hiyo kazi anayoifanya na mimi naifanya tena gari la kwangu ila kwa kipato hicho jamaa kaongopea umma, ni uongo mtupu hakuna kipato kama hicho utafanya uwagombanishe madereva na matajiri wao, chee mtoto wa kiume muongo wewe

    • @lucky9285
      @lucky9285 6 лет назад

      Jamaa sio mkweli ata kidogo

    • @mdachitv3459
      @mdachitv3459 6 лет назад +1

      Huyu jamaa atakuwa choko msenge huyu

    • @rashidaibrahim8109
      @rashidaibrahim8109 5 лет назад

      Kwani mimi naomba kufahamu kaka angu kwa nia nzuri kabisa. Eti kwa wasitani kiyasi cha chini kabisa ulisha wahi kupata sh ngapi kwa siku? Naomba unijuze kaka

  • @benardhyranzimjr8320
    @benardhyranzimjr8320 6 лет назад

    mbona sion goerge banthu

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 6 лет назад

    Unalipa kodi ya magufuli

  • @thadeimsoma7295
    @thadeimsoma7295 4 года назад

    Mwambie akalipe kodi ya serekali,

  • @shukraniuddu5597
    @shukraniuddu5597 6 лет назад

    Millard ayo umebugi step aisee kumbe siku izi kuna haja yakutoamini taarifa au habari zako naona umeanza kununuliwa. Sasa sijajua aliekununua ili upablish hiyo habari ya tax za mitandao alikua na lengo gani. Sasa umeona Kule INSTAGRAM watu wanakuumbua kwa story yako ya uongo umeamua kufunga comments zisionekane unaogopa kuumbuka na hiyo ndio dalili inayoonesha kwamba ni kweli hiyo story umelipwa pesa ili upotoshe umma. Sasa huyo bwege mwenzio uliemtumia akajifanya dereva mwambie anatafutwa na madereva wa ukweli na akipatikana atajuta pumbavu zake. Na ww millard kuwa makini unajiharibia credibility yako kwa jamii acha njaa zakijinga shubaaaamit.

  • @kekemagori4732
    @kekemagori4732 5 лет назад

    Hy alikua alipwi mshahara

  • @davidmangare8780
    @davidmangare8780 6 лет назад

    jamaa ni muongo asee. hakuna app inayoweza kusoma laki saba kwa siku kwa mteja. ikitokea hivyo ni error na inaonyesha anawaibia kimtandao abiria kwa njia za udanganyifu. aache kudanganya uma, hii kazi kwa sasa haipo hivyo. kwanza anafanya biashara na plate no ya njano means hayupo katika mfumo sahihi kibiashara. jeshi la usalama barabarani na Yono wamfatilie.

  • @rasheedomar394
    @rasheedomar394 6 лет назад

    Huyu jamaa n mamluki sana kama katumwa aliyemtuma naye chenga kwanza gar yake sio gar ya biashara n ya matumiz binafs nahc camera imemchanganya kamua ku fake kila kitu hajui matokeo ya anacho kizungumza. Advices kwa watangazaj mnapo enda kumfanyia interview mtu kwa habar za uhakika lazma mumchunguze kwanza uwezo wake kichwan. Mnashindwa kuomba kuona hata application anazotumia. Tafuten madereva wanao tumia hzo application watawaeleza vizur.

    • @athumanimhanga2053
      @athumanimhanga2053 6 лет назад

      Rasheed Omar ukifeki siku moja utaaibika rakisaba kwa usawahuu wamaguu Duuuu

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 6 лет назад

    Huyu nao usafir laki saba ana hela nyingii

  • @smaihsmaih2815
    @smaihsmaih2815 6 лет назад

    ngoja nipite kimya tu

  • @stivenkhanga9781
    @stivenkhanga9781 6 лет назад

    Huyuuu boya sjui mmempa kiasi gani ili aongee uwongoo huuu ulokubuuu me nilikuwa na maswali kama matatu hivi.
    Kwanza ana mda gani kwwnye hii kazi pili anazo trip ngap tatu mpaka sasa anamiliki vitu gani vya thamni kutkana na hiii kazi anayoifanya...
    Alafu nyie waandishi wa habari bahadhi yenu mmekuwa mnatoa taharifa zisizokuwa na uhakika ili mweze kusikilizwa tu....

  • @stivenkhanga9781
    @stivenkhanga9781 6 лет назад

    Alaf nawe Millady Ayo mbna unatuwekea vitu vya uwongo kiasi hiki na hiyo Ayo TV yakooo yaaani umekosa habari mpaka unawekaaa uwongo kiasi hichooo.
    Tuulize sisi tulio na mwaka na kitu kwenye hiyo kazi acha kuokota watu na kuwapanga.

    • @hanafiihamis2403
      @hanafiihamis2403 6 лет назад

      Stiven Khanga sory bro ningependa nipate dodoso kidogo kuhusu hii biashara ya uber inavyoenda kwa upande wako kma dereva kma utakuw tyr n0 yng 0657056172

    • @joshmgaka9150
      @joshmgaka9150 3 года назад

      Kaka,plz naomba namba yako maana kuna issue ningependa kujuwa kwenye hiyo biashara ya Uber aisee, my No 0757144618 msaada wako plz

  • @musabaro1686
    @musabaro1686 6 лет назад

    Huyu jamaaa non sense kweli anaongea mbn unadanganya vijan wengn unataka watu watch kazi zao wake kufanya tax au umelipwa n hizo app utangaze hiyo biashara kwanza gari yako sio y biashara haina vigezo acha kudanganya watu alafu unatualibia sanaa maan wengin tunamuamin sanaa millard kwa habar ss ww unaongea upuuzi🙄🙄🙄🙄🙄

  • @lifeisadream5056
    @lifeisadream5056 3 года назад

    Jaman natafta kazi mwenzenu ila kam kuna mtu ana wedha aka nipa bajaji ya mkataba bia nta shukulu kwairo namba zang 0747362377

  • @kelvinpapaayawarembo1786
    @kelvinpapaayawarembo1786 6 лет назад

    nimeamin wabongo wanajua kutunga..huyu jamaa ni muongo hajawah kutokea..Mimi naendesha taxi za mitandaoni namaliza mwaka lkn na ninaendesha gari yng mwenyew na sijawah kupata pesa Kama hiyo..jamaa huyu muongo na wewe Milad unaapolod ujinga km huu kwa watanzania..shame on you..vile vile gari za tax za online hazina namba hiyoo..PUMBAVU

    • @LensationEnts
      @LensationEnts 6 лет назад

      UNAJUA MILLARD NI MTU MAKINI SANA NA UNAPOAMUA KUTANGAZA TAARIFA KAMA HIYO PUBLIC UNAHITAJI KUIFANYA STORY I BALANCE NA KWA ETHICS ZA KAZI YAKO HAPO NISEME UMECHEMKA BIG TIME SABABU UMEHOJI KIJANA ANAEZUNGUMZIA POSITIVE SIDE AMBAO KATIKA MIA MIA MOJA NI MMOJA ATAKWAMBIA NAPATA PESA HIZO ANAZO KUDANGANYA NAZO
      HIVI AYO NA REPUTATION YOTE MLIYO NAYO BADO UNADANGANYIKA KIRAHISI KAMA HIVYO.
      KWAHIYO HUYO KIJANA KAACHA KAZI YA LAKI SABA NA KUAMUA KUBEBA ABILIA WA ELFU TANO NA ELFU MBILI ILI ATENGENEZE SO CLAIMED AMOUNT.
      TANGU UMEINGIA KWENYE ULIMWENGU WA KUTAFUTA KWA NJIA HII MZEE UMEARIBU TASWIRA YAKO KABISA SABABU ULIANZA KWA KUEDIT PICHA ZA KAMPENI ZA CCM SASA UNAKUJA KWENYE KU PUBLISH HABARI ZA UONGO TO BE HONEST MDOGO ANGU UMEFAIL BIG TIME. NA NITANGAZE KWA UMA KUA WEWE NIMUANDAA HABARI ZA UONGO.
      NILIJUA UNAFANYA RESEARCH YA KUTOSHA KUHUSU TAARIFA ZAKO ,NILIHISI UMEONEWA KUMBE HAKUNA KITU WEWE NI MZUSHI SANA NA HUFAI KATIKA FANI HII YA HABARI HUWEZI KABISA .

    • @saluamana8529
      @saluamana8529 6 лет назад

      Huyu Jamaa apimwe tezi dume bila shaka, halafu ww mtoto wa Millard unaejiita Dulla tutaacha kuziamini taarifa zenu shubaaamit, mnawezaje kumhoji Mtu haelewi hata anachokiongea... Mxiuuuuuuuuu

    • @danielsarwat5327
      @danielsarwat5327 6 лет назад

      Kelvin Papaa Ya Warembo unadai sikunzuma ulilipwa laki 7 labda ulifirwa

    • @deboramlwisa4051
      @deboramlwisa4051 6 лет назад

      Yani huyu majaa nimuongo sijawahi ona eti alimbeba mtu kuanzia asubuhi mpaka saa 6 usiku akapata laki 7 daah jamaa anaongea bila hata aibu, huyu jamaa nimjinga sana aisee au ndio kiki zenyewe hizo, millard hebu jaribu kufuatilia ukweli wa hili jambo sio mjinga mmoja anadanganya watu na nyie mnapandisha hewani bila kulifanyia tathmini mnakosea.

  • @pastoryfabian2079
    @pastoryfabian2079 6 лет назад

    Nimecheka sana!hasa pale aliposema et kuna mteja alimulipa sh 700000 Kwa siku
    Kaongopea umma!

  • @christophermbunda2172
    @christophermbunda2172 6 лет назад

    Huyu jamaa anaweza akawafanya watu waache kazi zao waingie huku wakati uhalisia sio huo....thats exaggeration asee

  • @ckateta
    @ckateta 6 лет назад

    Huyo jamaa hajitambui.... Anachozungumza Hakuna uhalisia wowote. 700,000 Kwa wiki huipati, Itakuwa siku moja.....hatari sana.
    Millard kuwa makini na habari unazopost.... Utaharibu kabisa credibility yako kwa kupost Habari ambazo hazina uhalisia

  • @kurthumkamru5435
    @kurthumkamru5435 3 года назад

    Muongo huyu

  • @tmwaduru2202
    @tmwaduru2202 6 лет назад

    huyo jamaa ni muongo sana milled acha kabisa akuna kipato hicho kwenye iyo kazi sie tupo humo kitambo

  • @alfredbomani9098
    @alfredbomani9098 6 лет назад

    Acheni kuwapa watu stress nyie

  • @luganojacob
    @luganojacob 6 лет назад

    Haa jamaa katuchanganyia picha so kiivyo jamani nambaangu iyo nami naendesha 0786063040

  • @abdulyabdunuru1476
    @abdulyabdunuru1476 6 лет назад

    Aaaah hyo jamaa nais atakua m1 wawalew ndgu zetu was huku kanda ya ziwa wahaya a.k.a inshomile

  • @twahamakillah4636
    @twahamakillah4636 6 лет назад

    Laki sita kwa wiki!!!!
    Hapana mzee usitudanganye hakuna kitu kama icho.Nna experience mwaka sasa napiga hiyo mishe.

  • @raymondramson7118
    @raymondramson7118 6 лет назад

    Huyo ni muongoo....kuna clip zipo kabsa anakili kazngua kadanganya....hajawah kupata hyo ela....na hato weza sio kwa taxfy ya bomba wala uber