Njia 4 Kubwa Unazoweza Kutumia Kumshawishi Mteja.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 201

  • @joelnanauka
    @joelnanauka  3 года назад +25

    Kujiunga na kozi ya "Mbinu Za Kuuza Zaidi" wasiliana na team yangu Whatsapp 0762 312 117.

  • @sigistoamon9532
    @sigistoamon9532 3 года назад +4

    Safi Sana Kaka njia mwafaka kabisa. Tuongezee ; Customer rebate - kurejesha kiasi fulani Cha pesa au bidhaa kwa wateja wanaovuka kiasi fulani Cha manunuzi kwako kwa muda uliopanga kuwapa motisha kwa kununua bidhaa zako

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Ahsante kwa mawazo,nitafuatilia hii.

  • @jumamaganga1257
    @jumamaganga1257 3 года назад +3

    kwa kweli kaka masomo yako yananibariki sana
    kuhusu punguzo(discount) katika biashara ni nzuri sana nilifanikiwa

  • @user-tq2yp9mz4f
    @user-tq2yp9mz4f 2 месяца назад

    Nashukuru sana kwamafunzo unataka nayio ambayo ume acha umesema ni nzuri sana au iyo yatano

  • @aliladavid9766
    @aliladavid9766 3 года назад +3

    UKO VIZURI KIJANA...UBARIKIWE!......see you at the top

  • @Aviero_07
    @Aviero_07 3 года назад +3

    Naomba utaratibu wa kusoma iyo course nguli.. 🤝🏻

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Tuwasiliane kupitia 0762312117

  • @TryphinaPhilipo-ls4pk
    @TryphinaPhilipo-ls4pk Год назад

    Asante sana kwa somo zuri Mungu akubariki, mimi nitaanza na bei za kisaikolojia🙏🙏

  • @JustinaPius-lb5pi
    @JustinaPius-lb5pi Месяц назад

    Thank brother ❤

  • @catchall9364
    @catchall9364 3 года назад +3

    Shukran sana umeiweka vizuri, kwenye maji ulitaka kusema mili lita ( ML ) na sio mili mita au sio ? Mbinu zote nzuri kuvutia wateja ..

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 День назад

    Shukrani kaka ❤❤

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 3 года назад +1

    Mungu akulinde Kaka. Nimevutiwa na njia ya Kwanza na nne

  • @pheninhojr5875
    @pheninhojr5875 3 года назад +1

    Joel Nanauka Mungu Akubariki Kwa Makubwa Unayofanya Juu Ya Vijana

  • @dicksonmhenuchi6098
    @dicksonmhenuchi6098 3 года назад +2

    Zote zimenigusa nitazifanyia kazi Asante Sana kaka joelnanauka

  • @aminamasunga7939
    @aminamasunga7939 3 года назад +1

    I like your idea

  • @kingbrand5141
    @kingbrand5141 4 месяца назад

    Good brother I love you

  • @NZAMUYEJoseph
    @NZAMUYEJoseph 7 дней назад

    Natafutaa vitabu vyakookaka nanauka naitwa PAULO KAZUBA NEGOSTIOTER CHUOO CHA DUCE DAR ES SALAAM

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 3 года назад +4

    MORE ATTAC MUCH RESPECTED BRO!

  • @fakisabour2818
    @fakisabour2818 Год назад

    Kaka kazi mzuri sna mungu akueke unatoa machimbo mazuri sna tunakusubir zanzibar

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 2 года назад +4

    Uwa natumia 1,3 na 4 na ninafanikiwa kutokana; Ila natumia kutokana na maeneo, Aina za watu na season iliyopo
    See u at the top🔥

  • @mussasulman2696
    @mussasulman2696 3 года назад +12

    kuna watu wana chuki eti mtu ana dislike hata aibu haoni piga kazi kaka

  • @kidegeyetibaasili3493
    @kidegeyetibaasili3493 Год назад +1

    Thanks a lot. Stay blessed mr Joel

  • @hansramadhan8945
    @hansramadhan8945 3 года назад +3

    Binafsi nimeona kwamba zoote nne ulizogundisha ziko vizuri,Ila binafsi nitaanza na product bundle

  • @LaurenciaDaud
    @LaurenciaDaud 2 месяца назад

    Good job bro..nimeipenda psychological price

  • @swahifosman5672
    @swahifosman5672 3 года назад

    Thanks kutoa ofa kuwa kushikanisha vitu mingi

  • @samymdundu
    @samymdundu 3 года назад

    Natumiaga sana iyo ya kwanza na ya pili ila ya 3 na 4 ndio nmejifunzaa sasa na nitazitumiaa asante kaka

  • @AngelCollection-sr8cv
    @AngelCollection-sr8cv 10 дней назад

    Mimi sijaelewa service bando naombo unieleweshe tena , kwa maana mimi nauza vifungashio

  • @mussamjata6012
    @mussamjata6012 3 года назад +1

    Thanks Lot!?
    Much respect to you.
    The DISCOUNT ONE play part on My Business.

  • @mwalimumatano6299
    @mwalimumatano6299 3 года назад

    Asante sana broo umenifungua macho sana

  • @akshots_tz
    @akshots_tz 3 года назад

    Asante sana kaka, nmejifunza vingi.

  • @johncharles5763
    @johncharles5763 Год назад

    Asante sana Mungu akubariki

  • @johnbanda6601
    @johnbanda6601 11 месяцев назад

    Asante

  • @Seth_richard
    @Seth_richard 3 года назад +1

    its so helpfull thanks

  • @vailethmakoi3859
    @vailethmakoi3859 Год назад

    Asante sana kaka kwa mafundisho yako

  • @AndrewMorice
    @AndrewMorice 5 месяцев назад

    👍 Njia izo ziko sahihi sana👍,,,,,,,

  • @godfreykanuya5888
    @godfreykanuya5888 3 года назад +3

    Mungu alikuleta kwajili ya wengi kaka uko vizuri mungu akuongezee zaidi watu wafunguliwe

  • @grandsonmasoud9753
    @grandsonmasoud9753 3 года назад

    Shukran points taken

  • @olivermfinanga1268
    @olivermfinanga1268 3 года назад +1

    Punguzo LA saikologi hii nzuri unaitumia hata ww nmeipenda❤

  • @enoceruganga5435
    @enoceruganga5435 3 года назад +2

    Discount price ni njia ninayo itumia kwenye Chuo changu cha ufundi

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Год назад +1

    Mungu akutunze❤️❤️

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 3 года назад +1

    Umeniongezea kitu maana nilikuwa nafanya hvyo vitu ila naona nimeongeza ujuzi zaid kupitia xomo la leo Mkuu barikiwa xana.

  • @absonfungo5091
    @absonfungo5091 Год назад

    nimekufuatalia tu siku mbili nimekupenda bure bro na ngoja niendelee kukufuatalia kwa ukaribu sana nipate madini sana .

  • @mariaphilemon7857
    @mariaphilemon7857 3 года назад +2

    Nashukuru sana kaka J,Mungu azidi kukuinua viwango hata viwango.

  • @peteranicetykegocha9808
    @peteranicetykegocha9808 3 года назад

    Asante kwa video nzuri Mr.Joel lakini mawasiliona hujaweka ili tukutafute zaidi

  • @azizaisack2572
    @azizaisack2572 3 года назад +1

    Nimekuelewa San broo Mungu azid kukutia nguvu

  • @ifakarayetu9947
    @ifakarayetu9947 3 года назад +1

    Nakuelewa mjasilia Mali mwenzangu

  • @Umoja255
    @Umoja255 2 года назад

    Safi sana kaka hakika kozi zako ni nzuri

  • @gabrielmushi2813
    @gabrielmushi2813 3 года назад +1

    Mie Nitaanza Kuitumia Hiyo Ya Punguzo La Saikoloji..
    99.9
    Or Badala Ya 2000 Mie Nitauza 1950 ....

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Safiiiii,usisahau kuja kuleta mrejesho wa matokeo

  • @abduldandy3077
    @abduldandy3077 3 года назад +1

    I appreciate your efforts bro,
    Weka videos nyng za biashar Kaka
    #seeyouontop

  • @tarbiyah1027
    @tarbiyah1027 3 года назад +1

    Asante Sana Barikiwa Sana

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 3 года назад +1

    Nimeipenda sana hiyo ya bundo...Maana nauza perfume,spray na deodorant.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Wow,ukishaitumia nitaomba mrejesho

    • @yhasintakalenyula970
      @yhasintakalenyula970 3 года назад

      Haina neno kaka Joel.Nimejaribu kuweka sawa hesabu zangu,ili niitumie hiyo ya bando.Shukrani sana.

  • @michaelkisalisho8698
    @michaelkisalisho8698 Год назад

    No.2

  • @denissanga454
    @denissanga454 3 года назад +1

    nimeelewa vizul Sana ,Apo nadhani ntaanza kuitumia Discount

  • @zainamucky1952
    @zainamucky1952 2 года назад

    Product service bundle😙😙

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 Год назад

    Nmejifunza asante sana

  • @fetricialkhalfan969
    @fetricialkhalfan969 3 года назад +3

    Me nna miaka 18 ndo nafanya necta mwaka huu nataka kufanya biashara ya nguo lkn nataka nksha fungua nilitangaze duka langu redion inawezekana kukuza biashara yangu lkn hela ya tangazo n lazima niitoe kweny mtaji?

  • @solomonmwakitosi8197
    @solomonmwakitosi8197 3 года назад +1

    😊🤔 duu ulitumia mbinu zote izo wakati mmoja kuuza vitabu sh.9,999

  • @user-lx6nm2cy8c
    @user-lx6nm2cy8c Месяц назад

    Nimependa njia ya kwanza discount na nitaanza nayo

  • @daudiingson4674
    @daudiingson4674 2 года назад

    Elimu kubwa sana umeitoa me meneja masoko wa kampuni nimejua nn nkiongeze

  • @willysonwille8079
    @willysonwille8079 3 года назад

    Brother.shkmo mi mdogo akoh.Na umri wa miaka 19.ila nime ajiriwa kiwanda cha mandazi bekary. ila natamani kufunguwa biashara ila
    sielewi ata biashara ipi nitafunguwa..nafwatiliagah hizi somo unaotowagah sana..

  • @yustinangatunga370
    @yustinangatunga370 3 года назад

    Nimekupata bro.naanza kufanyia kazi

  • @mauaplus8875
    @mauaplus8875 Год назад

    Well understood

  • @absonfungo5091
    @absonfungo5091 Год назад

    somo nzuri sana

  • @onesmosanga8408
    @onesmosanga8408 3 года назад +2

    Me kwa upande wangu naona njia ya discount na bei za msimu ndo zitafanya kaz vizul kwenye kaz yangu ya ufugaji

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Na Sasa tuko kuelekea msimu wa sikukuu

  • @sylvestersylvester8613
    @sylvestersylvester8613 2 года назад

    Kazi nzuri sana broh

  • @FredySanga-br5xi
    @FredySanga-br5xi 29 дней назад

    Mbinu4 Mika ijayo mitatu hekutengeneza na kujiandaha

  • @saidimkombe9842
    @saidimkombe9842 3 года назад +1

    Wakwanza Leo ku views

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 3 года назад

    Kweli dunia inavitu vingi Kila siku unanipa kitu kipya na brand umeibadilisha hongera kwa kumiza kichwa tunaenda kimataifa

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Tuendelee kujifunza pamoja🙏

  • @hilarygodfrey5862
    @hilarygodfrey5862 3 года назад

    Asante sana mwalimu

  • @franknachimbinya7688
    @franknachimbinya7688 3 года назад +1

    Mara nyingi nimekuwa nikitumia psychological price

  • @Willyb254
    @Willyb254 Год назад

    Safiiiiiii

  • @neemaomar76
    @neemaomar76 3 года назад +1

    Shukran sana

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 3 года назад

    Thank you

  • @miltonmugisha1805
    @miltonmugisha1805 3 года назад

    Bei za Kisaikolojia inaweza kuleta maana, maana haiumizi

  • @bensonbarnaba1431
    @bensonbarnaba1431 2 года назад +1

    Asante kaka Joel 🙏🙏🙏 unanisaidia Sanaa ubarikiwe

  • @samwelalex8417
    @samwelalex8417 3 года назад +1

    Nimeipenda ,wateja wangu wataona mabadiriko kwangu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Safi samweli,nitafurahi kupata mrejesho

    • @venancemboya9623
      @venancemboya9623 2 года назад

      @@joelnanauka mimi nadhani ninjia yakwanza

  • @AsiaMussa-ye5nm
    @AsiaMussa-ye5nm 27 дней назад

    Na mm nahitaj iyo course

  • @burudikotv1953
    @burudikotv1953 Год назад

    1 na 3❤❤

  • @kiandemollel1209
    @kiandemollel1209 Год назад

    kazi nzuri

  • @salimuwimana6394
    @salimuwimana6394 3 года назад

    Asante kwaelimu

  • @veronicacharles9993
    @veronicacharles9993 3 года назад

    Somo zuri sana hili

  • @shadhilisaidi-mr6gz
    @shadhilisaidi-mr6gz Год назад

    Namba 1 na 3

  • @belinawilbrod8123
    @belinawilbrod8123 9 месяцев назад

    🎉# see uh at the top

  • @herychavdy9169
    @herychavdy9169 3 года назад

    Waooooo kwambinuhizi mteja achomoi

  • @khadijamohamed3043
    @khadijamohamed3043 Год назад

    Ntaanza naya 3&1

  • @melesianageorge2012
    @melesianageorge2012 3 года назад

    Thanks

  • @ferminmpolo4219
    @ferminmpolo4219 3 года назад

    barikiwa sana kaka angu.

  • @yussufrabba2282
    @yussufrabba2282 3 года назад

    Asant sanaaa joel

  • @iizalaw6674
    @iizalaw6674 3 года назад

    Waoooo njia zote n nzuri bro. MUNGU akubariki Sana... course inatolewa kwa sh ngapii??

  • @gracemwanyika7429
    @gracemwanyika7429 Год назад

    Somo zuri sana

  • @neemahagwe1888
    @neemahagwe1888 3 года назад

    Naomba Na namna ya kusoma iyo course

  • @MbarakaMasharubu
    @MbarakaMasharubu 7 месяцев назад

    Njia ya discount

  • @alexntahiraja2974
    @alexntahiraja2974 3 месяца назад

    Je una kitabu cha hard cover amabacho kina hayo mafundisho yote?

  • @ngoshaoytz5672
    @ngoshaoytz5672 3 года назад

    Safi San brother

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    📝📝📝🙏

  • @uzitoc9
    @uzitoc9 2 года назад

    bei za msimu, punguzo la bei,bei za kiasaikorojia

  • @nicholausjared9707
    @nicholausjared9707 3 года назад +1

    Kiukwr nimependa sana masomo yako coz najifunza k2

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Safi Sana,waalike na rafiki zako pia wajifunze.

  • @mibarakatv8459
    @mibarakatv8459 3 года назад

    Kaka unanibariki sana kuna kutu nimenote hasa njia ya tatu

  • @user-vp1nf5wt2b
    @user-vp1nf5wt2b Год назад

    Uko poa mzee hiyo ya pili na ona babu kubwa kwenye ushawish

  • @kijanamdogo.7384
    @kijanamdogo.7384 3 года назад

    3 Nimeipenda Mno Kaka na Inafaa kwa Kazi yangu

  • @estherkimario2039
    @estherkimario2039 3 года назад +1

    Naomba utaratibu wa kusoma course by esther

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Karibu tuwasiliane Esther 0756-094875