Safi Sana Kaka njia mwafaka kabisa. Tuongezee ; Customer rebate - kurejesha kiasi fulani Cha pesa au bidhaa kwa wateja wanaovuka kiasi fulani Cha manunuzi kwako kwa muda uliopanga kuwapa motisha kwa kununua bidhaa zako
Me nna miaka 18 ndo nafanya necta mwaka huu nataka kufanya biashara ya nguo lkn nataka nksha fungua nilitangaze duka langu redion inawezekana kukuza biashara yangu lkn hela ya tangazo n lazima niitoe kweny mtaji?
Brother.shkmo mi mdogo akoh.Na umri wa miaka 19.ila nime ajiriwa kiwanda cha mandazi bekary. ila natamani kufunguwa biashara ila sielewi ata biashara ipi nitafunguwa..nafwatiliagah hizi somo unaotowagah sana..
Kujiunga na kozi ya "Mbinu Za Kuuza Zaidi" wasiliana na team yangu Whatsapp 0762 312 117.
Hyo kozi ipo bado.. Plz nijuze nahitaji japo nmechelewa
Nataka kitabu
hellow
Boss nahitaji hii coz
Jamani nahitaji hii coz please
Safi Sana Kaka njia mwafaka kabisa. Tuongezee ; Customer rebate - kurejesha kiasi fulani Cha pesa au bidhaa kwa wateja wanaovuka kiasi fulani Cha manunuzi kwako kwa muda uliopanga kuwapa motisha kwa kununua bidhaa zako
Ahsante kwa mawazo,nitafuatilia hii.
kwa kweli kaka masomo yako yananibariki sana
kuhusu punguzo(discount) katika biashara ni nzuri sana nilifanikiwa
Nashukuru sana kwamafunzo unataka nayio ambayo ume acha umesema ni nzuri sana au iyo yatano
UKO VIZURI KIJANA...UBARIKIWE!......see you at the top
Naomba utaratibu wa kusoma iyo course nguli.. 🤝🏻
Tuwasiliane kupitia 0762312117
Asante sana kwa somo zuri Mungu akubariki, mimi nitaanza na bei za kisaikolojia🙏🙏
Thank brother ❤
Shukran sana umeiweka vizuri, kwenye maji ulitaka kusema mili lita ( ML ) na sio mili mita au sio ? Mbinu zote nzuri kuvutia wateja ..
Shukrani kaka ❤❤
Mungu akulinde Kaka. Nimevutiwa na njia ya Kwanza na nne
Joel Nanauka Mungu Akubariki Kwa Makubwa Unayofanya Juu Ya Vijana
Ameen🙏🙏
Zote zimenigusa nitazifanyia kazi Asante Sana kaka joelnanauka
Karibu Sana tuendelee kujifunza
@@joelnanauka 🙏🙏
I like your idea
Good brother I love you
Natafutaa vitabu vyakookaka nanauka naitwa PAULO KAZUBA NEGOSTIOTER CHUOO CHA DUCE DAR ES SALAAM
MORE ATTAC MUCH RESPECTED BRO!
Kaka kazi mzuri sna mungu akueke unatoa machimbo mazuri sna tunakusubir zanzibar
Uwa natumia 1,3 na 4 na ninafanikiwa kutokana; Ila natumia kutokana na maeneo, Aina za watu na season iliyopo
See u at the top🔥
kuna watu wana chuki eti mtu ana dislike hata aibu haoni piga kazi kaka
Hao wajinga ##
Thanks a lot. Stay blessed mr Joel
Asant kak kwa kumps pongez joel
Binafsi nimeona kwamba zoote nne ulizogundisha ziko vizuri,Ila binafsi nitaanza na product bundle
Kila la kheri
@@joelnanauka q
Good job bro..nimeipenda psychological price
Thanks kutoa ofa kuwa kushikanisha vitu mingi
Natumiaga sana iyo ya kwanza na ya pili ila ya 3 na 4 ndio nmejifunzaa sasa na nitazitumiaa asante kaka
Mimi sijaelewa service bando naombo unieleweshe tena , kwa maana mimi nauza vifungashio
Thanks Lot!?
Much respect to you.
The DISCOUNT ONE play part on My Business.
Asante sana broo umenifungua macho sana
Asante sana kaka, nmejifunza vingi.
Asante sana Mungu akubariki
Asante
its so helpfull thanks
Karibu sanaa
@@joelnanauka asante sana
Asante sana kaka kwa mafundisho yako
👍 Njia izo ziko sahihi sana👍,,,,,,,
Mungu alikuleta kwajili ya wengi kaka uko vizuri mungu akuongezee zaidi watu wafunguliwe
Kabisa
Shukran points taken
Punguzo LA saikologi hii nzuri unaitumia hata ww nmeipenda❤
Discount price ni njia ninayo itumia kwenye Chuo changu cha ufundi
Mungu akutunze❤️❤️
Umeniongezea kitu maana nilikuwa nafanya hvyo vitu ila naona nimeongeza ujuzi zaid kupitia xomo la leo Mkuu barikiwa xana.
Nafurahi kusikia hivyo
nimekufuatalia tu siku mbili nimekupenda bure bro na ngoja niendelee kukufuatalia kwa ukaribu sana nipate madini sana .
Nashukuru sana kaka J,Mungu azidi kukuinua viwango hata viwango.
Asante kwa video nzuri Mr.Joel lakini mawasiliona hujaweka ili tukutafute zaidi
Nimekuelewa San broo Mungu azid kukutia nguvu
Ameen
Nakuelewa mjasilia Mali mwenzangu
Safi sana kaka hakika kozi zako ni nzuri
Mie Nitaanza Kuitumia Hiyo Ya Punguzo La Saikoloji..
99.9
Or Badala Ya 2000 Mie Nitauza 1950 ....
Safiiiii,usisahau kuja kuleta mrejesho wa matokeo
I appreciate your efforts bro,
Weka videos nyng za biashar Kaka
#seeyouontop
🙏🙏
Asante Sana Barikiwa Sana
Ameen
Nimeipenda sana hiyo ya bundo...Maana nauza perfume,spray na deodorant.
Wow,ukishaitumia nitaomba mrejesho
Haina neno kaka Joel.Nimejaribu kuweka sawa hesabu zangu,ili niitumie hiyo ya bando.Shukrani sana.
No.2
nimeelewa vizul Sana ,Apo nadhani ntaanza kuitumia Discount
Product service bundle😙😙
Nmejifunza asante sana
Me nna miaka 18 ndo nafanya necta mwaka huu nataka kufanya biashara ya nguo lkn nataka nksha fungua nilitangaze duka langu redion inawezekana kukuza biashara yangu lkn hela ya tangazo n lazima niitoe kweny mtaji?
😊🤔 duu ulitumia mbinu zote izo wakati mmoja kuuza vitabu sh.9,999
😀😀😀 umeona enhee
Nimependa njia ya kwanza discount na nitaanza nayo
Elimu kubwa sana umeitoa me meneja masoko wa kampuni nimejua nn nkiongeze
Brother.shkmo mi mdogo akoh.Na umri wa miaka 19.ila nime ajiriwa kiwanda cha mandazi bekary. ila natamani kufunguwa biashara ila
sielewi ata biashara ipi nitafunguwa..nafwatiliagah hizi somo unaotowagah sana..
Nimekupata bro.naanza kufanyia kazi
Well understood
somo nzuri sana
Me kwa upande wangu naona njia ya discount na bei za msimu ndo zitafanya kaz vizul kwenye kaz yangu ya ufugaji
Na Sasa tuko kuelekea msimu wa sikukuu
Kazi nzuri sana broh
Mbinu4 Mika ijayo mitatu hekutengeneza na kujiandaha
Wakwanza Leo ku views
Hongera sanaaaa
Kweli dunia inavitu vingi Kila siku unanipa kitu kipya na brand umeibadilisha hongera kwa kumiza kichwa tunaenda kimataifa
Tuendelee kujifunza pamoja🙏
Asante sana mwalimu
Mara nyingi nimekuwa nikitumia psychological price
Safi sanaa
Safiiiiiii
Shukran sana
Nimekweelewa sana Discount
Thank you
Bei za Kisaikolojia inaweza kuleta maana, maana haiumizi
Asante kaka Joel 🙏🙏🙏 unanisaidia Sanaa ubarikiwe
Nimeipenda ,wateja wangu wataona mabadiriko kwangu
Safi samweli,nitafurahi kupata mrejesho
@@joelnanauka mimi nadhani ninjia yakwanza
Na mm nahitaj iyo course
1 na 3❤❤
kazi nzuri
Asante kwaelimu
Somo zuri sana hili
Namba 1 na 3
🎉# see uh at the top
Waooooo kwambinuhizi mteja achomoi
Ntaanza naya 3&1
Thanks
barikiwa sana kaka angu.
Asant sanaaa joel
Waoooo njia zote n nzuri bro. MUNGU akubariki Sana... course inatolewa kwa sh ngapii??
Somo zuri sana
Naomba Na namna ya kusoma iyo course
Njia ya discount
Je una kitabu cha hard cover amabacho kina hayo mafundisho yote?
Safi San brother
📝📝📝🙏
bei za msimu, punguzo la bei,bei za kiasaikorojia
Kiukwr nimependa sana masomo yako coz najifunza k2
Safi Sana,waalike na rafiki zako pia wajifunze.
Kaka unanibariki sana kuna kutu nimenote hasa njia ya tatu
Discount
Uko poa mzee hiyo ya pili na ona babu kubwa kwenye ushawish
3 Nimeipenda Mno Kaka na Inafaa kwa Kazi yangu
Naomba utaratibu wa kusoma course by esther
Karibu tuwasiliane Esther 0756-094875