Mshukuru MUNGU BABA kawatunza Hawa mabinti Hadi wamefikia Hapo, tujishushe tumeinue aliyewawezesha. Tunatamani maisha yao yawe Ni ibada ya kuleta mabadiliko kijamii. Degree Ni sawa, lakes Ni upendo usiobeba unafiki Ni muhimu ulikoenda
Baba hongera Sana dada hongera pia kwa ndoa ndoa ni hekima busara kusamehana ucheshi na tabia njema ndoa ni chuo pia Kila siku unapata elimu hongera Tena mzee wangu bakora upo sawa very nice
Nmemuelewa sana Mzee yaani mara nyingi sana mahusiano ya kindugu ya mtu huwa yanapungua anapooa au anapoolewa na mara nyingine sio kupungua ila kupotea kabisa na ndugu kuingia kwenye migongano kama iliyowakuta P square na hii huwa inatokea endapo mmoja baina ya ndugu ataolewa na mtu mwenye kipato kikubwa au kidogo sana kuliko nduguze hivyo kusababisha nduguze kumtenga kwa kumwona kakosea njia au kama kaolewa na tajiri wataona anaringa lkn suala lingine nililopenda ni hilo swali la je unajua unakoenda na je uko serious!!? ni maswali ambayo tunapaswa wote mara zote tujiulize.
Degree ya mbinguni ndio kila kitu acheni majigambo baba yangu the donna Mama standard 7 ni mwanamke smart mbaya tatizo Hao huwa na commanding force kwenye ndoa kisa kijanamke Kina kimaster Cha kutawazia. Most rich men dont bother with a women Who have Degree wako busy na wanawake wenye maono wanaoweza kucare family.
Kwan hapo kakosea nn na hajasema kwamba aliesoma aache kumtegemea Mungu acha makasiriko hata wachungaji na makasisi wanasoma ili wawe na maarifa zaidi ya kuwaongoza watu huku wakimtegemea Mungu
Baba mwema ni yule ambaye humfundisha mwanawe kumjuwa Mola wake sidhani kwa muonekano wa hao mabint walivyovaa pia nakushangaa sana Dada husna tena Sharif majina mazuri tena makubwa unahisi baba yako sio mwema huyo baba kafiri ndo unauona mwema
@@prettyh7509 kitendo cha baba yako kukuzaa hakuna thamani yakumlipa Dada mpende baba yako na kama ametangulia mbele ya haki muombee dua Mungu atalipa kwa matendo yake
Nimependa mahali anasema akikuta mwanae amekosa ataenda na BAKORA, kinyume chake ni kwamba kama mwanae hajakosa lazima asimame ktk kutetea mwanae na hatopenda mtu amchape au kupiga binti yake, nimeipenda hii
good 👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼 comment maneno chefuu 😏😏😏😏😏 nimependa maisha yenu muliyojiwekea binafsi nimejifunza kitu, ila hiyo kauli ya degree haiwezi kumfanya mtu ndo ajenge ndowa yake au rasaba asiolewe na mwenye pesa, siye rasaba hatuna vingi vya kunadi kama hivi mitandaoni ila mbona tunaenjoy maisha yawezakana hata zaidi yake
Watu hamjamuelewa mzee yeye anataka ukienda kumwambia suala lakupata mchumba lazima uwe umemaliza degree moja mimi kwa mtazamo wangu anataka bint yake awe anajielewa zaid huko anapotaka kwenda ni hivyo mie lasaba nimuelewa. Huo ndio msimamo wake
Degree sio maarifa bali ni nyezo tu ya kujifuzia! Wengine wamejaliwa wanajifuza kirahisi hata kama hawana wameishia la saba. Wasomi wengi huzaraulika na kushidwa kuchangia chochote kwa jamii pale wanapozichukulia degree zao kama maarifa wala sio nyezo za kujifunzia. Degree ukizitumia vizur basi utajifunza haraka na kwa wepesi kuliko mwengine ingawa Kuna wengine hawazihitagi hizo degree kujifuza.
Such a wise father...am truly appreciate him😇
Mshukuru MUNGU BABA kawatunza Hawa mabinti Hadi wamefikia Hapo, tujishushe tumeinue aliyewawezesha. Tunatamani maisha yao yawe Ni ibada ya kuleta mabadiliko kijamii. Degree Ni sawa, lakes Ni upendo usiobeba unafiki Ni muhimu ulikoenda
Baba hongera Sana dada hongera pia kwa ndoa ndoa ni hekima busara kusamehana ucheshi na tabia njema ndoa ni chuo pia Kila siku unapata elimu hongera Tena mzee wangu bakora upo sawa very nice
I appreciate such kind of father's love
Mzee hongera endelea kupigilia msumali mzee mkwilima ajipange mzee ni muwazi hamungunyi maneno very nice father
Haha like my father woi he really likes her dotaz anatamani tukae hapo na haiezekani. May dad bless you dad.
Such a wise family! Mzee Shasho ..You are the best😊
Nawatakia degrees nyingi za mbinguni jamani,, mfaulu vema,, mmependeza elimu mnayo kikubwa Ni kufauli kuiona mbingu jaman nawaombea Sana,,
Baba nmemuelewa kwa maneno mazuri na ya kheri. I salute
thank you somuch baba anaongeya vizuri
It's true lakini mzee don't complicate life is so practical rather theoretical.
Baba nimekupenda Bure mungu akubariki kwa mukuzi mema
Wooow nice father nice speech 💪
Ambao tulikuwa tunaangali mishono ya magaun tu ili tupeleke kwa fundi maiko ili tuhudhulie harusi zingene vidole juuu
Mimi hapa
Sikwakumfanana baba huko
Haha wazimu wewe
🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁😁
Noma sana
Mtoto mzuri ana adabu sana binti baba amelea vizuri watoto wake
Mtoto wa kinyiramba waooo
Na Mimi nimejifunza kitu Asante Baba
Manenoyababa yamenikumbusha manenoya babayangukipenzi Allah a hamlehemu Amiina 🤲🤲🤲 alikuwaanapendakubiambia ivyo kuhusu kuchapwa
Amina, kazi ya bwana haina makosa
Aamiin Allahumma Aamiin
Wise n friendly father
Hawa ndy wazee ambao siyo rahisi kumuachia binti yake laana kwasababu wamejipanga sana. Tutafute hela ili tusitegemee watoto
🤝🙏
Wonderful fathers wotee wakiwa kama huyu ndoa zotee zingedumuu na kufanya mabintii kuwa katika njia sahihi katk maisha.like
Mzee anaupiga mwingi sana inaonekana enzi zake alikuwa hatari fire
🤣🤣🤣
I'm in love with her gown, where can I get this kind of material in Kenya
Ngoja na mimi niendelee kuongeza familia,mzee ananifundisha somo kubwa sana.Sasa ni mwendo wa mimba hadi kieleweke
Mzee ana ela,We una ela ya kuwalea timu kubwa Kama hiyo?
😂😂😂😂😂
Ndoujue kuwalea vizuri nakuwapa degree siyo upige mimba ukimbie
may God hear my prayers🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Daah mzee unamabinti uyo mdogo ntaoa mimi ngoja nimalze degree 😀😁
Haha wazimu
Nmemuelewa sana Mzee yaani mara nyingi sana mahusiano ya kindugu ya mtu huwa yanapungua anapooa au anapoolewa na mara nyingine sio kupungua ila kupotea kabisa na ndugu kuingia kwenye migongano kama iliyowakuta P square na hii huwa inatokea endapo mmoja baina ya ndugu ataolewa na mtu mwenye kipato kikubwa au kidogo sana kuliko nduguze hivyo kusababisha nduguze kumtenga kwa kumwona kakosea njia au kama kaolewa na tajiri wataona anaringa lkn suala lingine nililopenda ni hilo swali la je unajua unakoenda na je uko serious!!? ni maswali ambayo tunapaswa wote mara zote tujiulize.
Baba nmekuelewa kweli 👏👏 i salute you
Mzee ana mbegu nzuri
😃😀
Naye yupo vzr
@@mbarikiwambarikiwa6479 kwan uzr wa mtu ni shape?????
Acheni wivu bn ni wazr
@@jescajulius8023 vyote vinamata
Masifa yskizidi sana hakuna kijana atakaesogelea mlango wako utabaki na mabinti zako hata kam wana digrii elfu.
Na ndio wameolewa wote sasa ilivo bahat na raha kwa wazazi
In sha Allah. Wala hawatabakia wataondoka mmoja baada ya mwengine kama tuonavyo.
M/mungu si Athumani
@@didowamchops9229 masifa nayo yamezid kwa wale ambao hawajapata elimu katk familia zao wakisikia masifa hayo wanajisikiaje
Anakosea sana
Wasiwasi unaotengeneza wa nini.? Kizuri kinajiuza. Huyu baba anajielewa sana
Nawapenda
Baba yuko sawa wengi wanaolewa lkn awajajianda mahal wanaenda? Mungu atusaidie sana
God fath
Kwenye ndoa unaweza kuchemka na digree yako kikubwa maharifa. Cjui gani kina kozi hiyo?
Chuo gan kinafundisha kozi ya ndoa?
Hongera kwa malezi malezi ya Hawa mabinti
Gara b nifanyie mpango wa huyo mdog alie baki
Degree ya mbinguni ndio kila kitu acheni majigambo baba yangu the donna Mama standard 7 ni mwanamke smart mbaya tatizo Hao huwa na commanding force kwenye ndoa kisa kijanamke Kina kimaster Cha kutawazia. Most rich men dont bother with a women Who have Degree wako busy na wanawake wenye maono wanaoweza kucare family.
Usipeleke watoto wako shule
Kwan hapo kakosea nn na hajasema kwamba aliesoma aache kumtegemea Mungu acha makasiriko hata wachungaji na makasisi wanasoma ili wawe na maarifa zaidi ya kuwaongoza watu huku wakimtegemea Mungu
Mzee ameuzaa mwingi ngoja na mm nizae zaidi ya 40 dah nimeipenda hyo
Faza Shango una kibao kizuri cha kufyatulia .😋
Mashallah walobahatika na baba mwema maneno mazuur
Baba mwema ni yule ambaye humfundisha mwanawe kumjuwa Mola wake sidhani kwa muonekano wa hao mabint walivyovaa pia nakushangaa sana Dada husna tena Sharif majina mazuri tena makubwa unahisi baba yako sio mwema huyo baba kafiri ndo unauona mwema
@@jumahamadomar9124 niliyakosa mapenzi ya baba so kwangu sitokuja kumuona mwema,
@@prettyh7509 kitendo cha baba yako kukuzaa hakuna thamani yakumlipa Dada mpende baba yako na kama ametangulia mbele ya haki muombee dua Mungu atalipa kwa matendo yake
@@jumahamadomar9124 😭 shukran kipenz jazaka llahu khaira najitahid lakin wa llahu aalam
@@jumahamadomar9124 Yesu Kristo ni Njia Kweli na Uzima, Huwezi kuiona mbingu bila Yeye
Baba pua kawagawia wote. Wengi cheee Mungu awatangulie ila baba kuwa mpole kidogo degree c kitu unaweza hucsome na ukatusua
Gara B namba zako
Wanaelewa wasomi tu hapa la saba wanaangalia suti na gauni!
Hahahahahhahaha
Sawa🙏🙏🙏
😅😅😅😅
Kwani lasaba awa sikii
🤔🤔🤣🤣🤣🤣
Nimependa mahali anasema akikuta mwanae amekosa ataenda na BAKORA, kinyume chake ni kwamba kama mwanae hajakosa lazima asimame ktk kutetea mwanae na hatopenda mtu amchape au kupiga binti yake, nimeipenda hii
Mmh ana mabint weng
Hongera sana Dada kufikia hatua hiyo nzuri
Dah! Mzee ana mabinti kweli
Nashukuru kama na ww umewaona..nilidhani ni mimi mwenyewe
Darasa la 7 mtupishe kidogo
😊❤😊😊😊🎉
Hongera mzee
I like the father
Hongera Sana baba Mungu azidi kukulinda
La nami nimependa sana uyu dadi hakuna mwengine wakuchapa mwanaye bila muzazi aponime papenda bure aseee saluti
Hii ndo pointi alitaka kuiweka clear ,kiufupi hapendi mtoto wake ataswe na MTU mwingine
Huyu baba anajielewa sana sana
Mc umeshindwa kutuombea namba za simu za hao Wadada jaman
HAHAHAHAHAHAHAHahahahahahha
Una degree au una elimu ya la saba (b) 🤣🤣
😆😆😆
😂😂😂
😆😆😆😆
Manzi inadegree kibao halafu nzuri
😂😂😂😂😂😂
Hata mimi niatafuatilia sana atakakoolewa binti yangu. I mean inapofika swala la kuolewa ni muda wa kumsaidia binti hasa kwa kumwandaa
Mmh anafanana na babake huyo
Hii shape ya be harus kaitoa wap... Maana nduguze hawana😳😳
Kumbe Dada karidhi uongeaji kutoka kwa baba ake
Mzee mbona unawatisha watoto wako waolewe na Nani ama ukisomesha pesa yako inakuuma sana
Alafu kusoma na ndoa havina uhusiano wowote.pia wanawake wasomi Sana huwa hawadumu Ktk ndoa zao.Unajua kwanini?....
@@emmadominic9601 embu nambie kwani uwaga ivyoo
Kwani wewe unaposomesha hela haiumi? Japo ni wajibu wa mzazi nadhan anatamani asomeshe hadi apo ili mtoto acjekulaum kuwa hakusomeshwa.
@@emmadominic9601 tuambie
@@emmadominic9601 acha imani potofu sio lazima.. Kwa hiyo km uwezo upo wasisome?
Duuh fact tupu asee👐
Degree ngapi ziko zinajiuza huko na hzna makao kuolewa n bahati ya mtu
Kweli kabisa usemayo ndo maana Kati ya binti zake wote inaonekana huyo na dadaake ndo waliolewa pekee wengine bado wapo wapo sana
mzee ana vinuuuuu
Sio hilo tu kasema mzazi ndiye anapaswa kumchapa mwanaye kumbe kwenye ndoa asipigwe
Mungu aitunze familia yako
Ni maamuzi na maafikiano.Background matters !
Shikamoo baba
Jamani naomba kuuliza kwanini wasomi wenqi niwashamba hawajui mapenzi ?
Dah hongera Baba Kwa malezi mazuri,Mimi ni mzazi nimejifunza kitu.
baba nimekuelewa kisomi zaidi
Yes baba safi kwa familia
Inaolewa Degree au Mke?acheni mawazo finyu,watu hatuna degree na tumeolewa na wanaume wa maana kuliko huyo!
Degree bdio nini??????
good 👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼 comment maneno chefuu 😏😏😏😏😏 nimependa maisha yenu muliyojiwekea binafsi nimejifunza kitu, ila hiyo kauli ya degree haiwezi kumfanya mtu ndo ajenge ndowa yake au rasaba asiolewe na mwenye pesa, siye rasaba hatuna vingi vya kunadi kama hivi mitandaoni ila mbona tunaenjoy maisha yawezakana hata zaidi yake
Samahani niulize kabila gani
@@m.mmarckus6298 Uliza kabila yoyote tu!!
Best Dad
Mzee umeongea ukweli wote ambao wazee wengi huwa hawasemi badala yake wanakuwa wasumbufu kwa wakwerima zao!!!
Ni kweli mlezi ni mzazi Kama ukulelewa vizuri kwa wazazi wako basi mme hawezi kukufundisha watu wanaishije
Kumbe saitakuaje😊
Daah Yan huyu n Baba angu kabisa sem tuu Baba angu ataniambia nikiwa Mwenyew hahaha au tukiw n ndugu zangu
😁
Hatoi dgree baba
Watu hamjamuelewa mzee yeye anataka ukienda kumwambia suala lakupata mchumba lazima uwe umemaliza degree moja mimi kwa mtazamo wangu anataka bint yake awe anajielewa zaid huko anapotaka kwenda ni hivyo mie lasaba nimuelewa. Huo ndio msimamo wake
Saf sana
Wachanga na wachanga wenzio 🤔
Elimu muhimu sana
Safi saaaana Brother Shango 💪💪
Hana masihara mnyiramba
KWA HIYO KWA UPANDE MWINGINE MZEE ANAMAANISHA HUWEZI KUMUOA MWANAE KAMA HAUNA DEGREE KAMA ZA WANAE.
Sisi wa la Saba tutajibeba
Ndo maana yake,na ndo maana ktk wote alionao wamebahatika 2 tu wengine hakuna kitu.
Mzeee utopolo degree inatuhusuu xixi xomaa biblee
Watoto wakali sema elimu yetu LA saba
Sasa wote hawa ni binti zke
Wala hatoi lugha
Ukimchunguza sana nyoka utaona miguu.
Unamaana gani?
Anqekua hana chochote anqetanqazia nini?haya maisha tumuachie munqu.
Wachache Sana Kama hawa
Baba kaongea ukweli!
Yuko vzr mpaka raha
Duuh hapo weng tucngeolewa
Degiriii ya 2😂😂
Hizo degree akichemshia chai anakunywa au vepe
Dingi ni sheedah huyo
Such a Father🙏🙊
mzee mshamba huyu.
Dgree ndo inaolewa au wazee wengne bhna
8
@@georginaulungi2147sindo hapo
:-):-):-)
Maisha hayatak dgree specially hyo ya ndoa
We mwache tu ndoa na degree na vitu viwil tofaut ni kama maji na mafuta
Kama mtoto wako akileta ujinga achapwe kidogo na mumewe
Degree sio maarifa bali ni nyezo tu ya kujifuzia! Wengine wamejaliwa wanajifuza kirahisi hata kama hawana wameishia la saba.
Wasomi wengi huzaraulika na kushidwa kuchangia chochote kwa jamii pale wanapozichukulia degree zao kama maarifa wala sio nyezo za kujifunzia. Degree ukizitumia vizur basi utajifunza haraka na kwa wepesi kuliko mwengine ingawa Kuna wengine hawazihitagi hizo degree kujifuza.
Mindset ya kimasikini
@@dowhatyourepassionateoftra1668 ni sawa
Sungusia mmmhhhhhhhhhhhhhhhhjj