UBUNIFU.. Bw.Harusi apewa zawadi ya J3 mpaka J2 . Zipo ndani ya Box hizo saba. UTAIPENDA.
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Ni Sendoff ya binti wa Kinyiramba NICE hii style ya zawadi yake kumpatia mtarajiwa wake imekua ya kipee sana. Em tazama na ww then tupe maoni yako.
Subscribe @Mcgarab
She is so intelligent... he is very luck
i love the confidence of the lady
Niceeee dada smart brain nimempenda bureeeeeee
Amen,I tap this annointing,that very soon I will be happy as my sister here,o God help me
Wow! Very intelligent lady
Yaani kama wadada wa namna hii kama wapo duniani Mungu ni mwema
Haya hizi ndoa za matangazo bwana ngoja waanze kulala bila nguo pamoja ndio watajua
Nawatakia maisha mema lakini lazima bi harusi apunguze ongea ila azidishe matendo
😀
Waongeaji wengi hawana matendo
We baharia umepata mke, usizingue huyo demu yupo vizuri
Brilliant Idea Nice
kudos to you 👍
Daaah aisee hongera dada
Mnaomsema msisahau kumuombea
Hongera sana dada kwa upendo na baraka zote kwako🙏
Naona kama dada Kafall sanaaaaa ,MUNGU AMSAIDIE ASIJE KATISHWA TAMAA NA MWENZIE ,
Dada msomi ,anajielewa safi sana.
Hongera bro.. bt unahitaji sana akili kuishi na mwanamke mwenye akili.
Hahahaa
Sio mchezo mwanamke kama huyo mmmh
Sio mchezo mwanamke kama huyo mmmh
Hatareeee
Huyu dada is very intelligent
Wow it's soo amazing my friend
Good simple lady
True dada nimekuerewa sana
I have really liked this
Ni nzur lkn mawazo yangu hii zawad ingetolewa na bwana kwenda kwabibi harus ingependeza zaid
Ni kweli ingenoga zaid angetoa mume na pia idea ni nzur zawadi cjazielewa
Send-off ni ya msichana, harusi ndio sherehe ya mwanaume
Saizi wanawake wanapenda kumtawala mwanaume ,ko hapo inaonekana mwamke ndio mpambanaji sio mwanaume mwanaume Hana kitu ni zilo wanawake wa kichaga wapambanaji wanateka waume zao hizo tabia mwiko
Ni kwel hiy challeng ilibid bi harusi apew na mumewe sio yeye kutoa kwasababu bwana ndie mtafutaj
Ni dalilj tosha kuwa mwanamke ndio kichwa,,,watu wanachekelea ukweli ni kwamba bi harusi kamzalilisha mumewe hapo ,,
Nice is always creative tangu shule😂😂
Wow I like this amazing gift
The best wedding
Waoo kaka kapata jikoo kwakwel
Gauni zuri,umependeza saaana mdada
Greaaaaaatt ♥️♥️♥️♥️
She is very intelligently
Welldone
Fresh kabisa
Mungu awabariki sana katika ndoa yao...
87
Amen mubarikiwe
Mdada mwenyew anaongea sana hyo ndoa ataiweza kweli😂😂😂😂
😂😂😂😂
😃😃😃kwann jaman
Ameingia kwa bwebwe maisha hayataki hizo
@@kaguripenina63 ndo kaona aingie hivyo yeye,japo ayaingii hivi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Well and nice
Wow
Umlete shemeji chuga man 😁👏👏🎉🎉
Nice creative
Haya
Very creative
Ndoa yao inaonyesha mwanamke ndiye atakua kichwa mwanaume atakua mkia😂😂😭
Sure kabisa
@@sylviakisanga7507 umeona eeh
Hahahahaha
Kwani kuna ubaya gani? Acheni mfumo deme bhn hata mwanamke akiwa kichwa as long as hatendi dhambi kuna ubaya gani
@@nailengai7057 na wewe ni walewale tena
..
Nimeioenda hiii bi harusii ❤🎉
I like ,it very creative
Nice love
Nicee
Mwanamke anaongea sana baadala ya mme kuongea duuhhh !!! sisi tumezoea mwanamke ana aibu
Acha ushamba hii ni send-off
Anaongea like jokate Mwegelo
Nilidhani mm tu nimeliona hilo
She looks like jokate even kuongea
great 💪💪💪💪💪
💕💕 kila la kheriii
Hongera sana
Mmendza Sana my dear
Whaoooo
Jamaa atapigwa makofi na Hana pa kusemea aiseee
😂😂
Amina sana mungu ataendelea kuwapingania ndoa safi sana
😂
Ubunifu mzuri sana
Ina sence kubwa,mungu awalinde
Ezikieri lewina
Bibi harusi Hongera nilifikiri jokate mnafanana sauti
Huyu dada ni ginias ukipata mwanamke km huyu hkk umetajirika
😁😄😂😃😀😅🤣😆 wanakuwaga wazuri nje
Akuna utajili kwenye maneno, utajili upo kwenye kufanya kazi na kuwa wabunifu na kusamini pesa iliyo ingia, sio hayo ya vingereza vingi na misali.
@@greynyoni7588 point
Waooo nice
Wow, this lady is so intelligent
Mmhh izi ndoa za ma single mother zinasumbua sana, uwez kua binti na mume ujui penzi lake ukawa free ivo dah!
Bi harus kachangamka htr
Anaonekana Kua kichwa,mwaume yeye anaitikia tyu mmhhh atakua ndie mpanga mambo uko ndani,mwanaume atulie hii shida haswa
Mami umeelewa kitu apo mwanamke wa hivi ningumu kuishi naye mwongeaji hivi na mjuaji kila unachokifanya anaona hujapatia
Kweli kabisa kwanza hana aibu huyuu
@@waytvtz2549 duh kwel, ndoa sio mchezo kwa ujuani huu mmmh
@@waytvtz2549 yaani mwanaume amekalishwa
Ni hatar kwakwel
Wow wow🤗🤗
Nimependa hiyo
Huyo bibi arusi au Mc
Ila han heshima huy mdad
Jmn cjatoshe kipande cha insta nimezama You tube 😆😆😆😆👌
Mbwembwe tuu...
Safi
Hivi huyu Kaka si ndo alimsifia Mama yake siku iyo 🤣🤣🤣 na watu wakamaind kumbe ni mchaga
Alimsifiaga wapi
nakukubal sana mc mwita
Safi sana
Hongera mike rafkiangu naikawe kheri💖
jaman bado kama huyu yupo kwel kwel kanogesha sio utan
Tupo, mwaka 17 kwny ndoa leo!
Hii ndoa ikifika mbali mje mnialike nitaqapa zawadi kubwa sana
Mc gara nipitie pia nifike 100 subs
Every body say nice
Anasound kama Jokate
Ezekiel
Huyu dada mmi simuwez anaongea sana sana
Sanaaa
Bibi harusi mkavu huyu du
Niceeee woow
Kwani mlisha ishi mkamaliza arusi
Siku hizi maharusi wanaongea sana hakuna utii na kushuka kama zamani...
I wish you are the one ladies
Tunaomba namba gara b wengne hatutumii Ista
Cjapenda hata
Voice like joket mwingero
Nimeipenda hio surprise za zawadi kwa wik mdada.ubarikiwe
Hii nzuli sana Dada Mungu atafanya kwa njisi ulivyojiwekea msingi yako ya Maisha na Mme wako
Waoooh ❤️
Changamoto za ndoa ziko katika maeneo haya
1) Wivu
2)Tamaa
3)Kuchepuka
4)Fedha/uchumi
5)kuaminiana
6)Marafiki na Ndugu
7)Magonjwa
8)Ulemavu
9)Ulevi
10)Kazi
11)Mawasiliano
Yeye kajikita katika Mambo mawili tu uchumi na kiroho
Kwerr kabisa kazi sana ndoa mmh
Nimekuelewa sanaaa
Kwel kabisa the same idear to me
Nimeipenda sana hii coment aisee
Ereaaaaaaa
Very nice
Ameen
Dad unaongea sanaa yan ila umependeza lakn punguza mdomo usije ukakuta unachika kisa mdomo bhanaa wanaume hawapendi mwanamk anayeongea sanaa but mungu awajalie
Tatizo sio kuongea bali unaongea kitu gani, mimi ni mwanaume sipendi mtu yeyote muongeaji lakini msichana anaeongea vitu vya maana kama huyu nitamuoa anytime
So beautiful 🥰🥰
Mbunifu kupitiliza
Hapa tumepigwa hahaha
Kwani vip mbona ma bibi harusi wa saiv wanatumia kingreza sana 😂 na kingereza chenyew kinasemaje ????
Kinasema wakwe wajipange
Usijali nitakufunza G utakuwa mzungu wangu
Ila dada anaongea huyu.. duuuu