Shairi Zuri MashaaAllah. Mjomba mke wa pili mtihani, dini imekubali lakini Sharia zake ndo hatuziwezi Sisi wanaume. Kila wakati twatumia tu ubunifu Wetu WA kutongoza Kama kipaji lakini ni hoja Nzuri kiizingatia.
@@bujramohamed1352 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣we mwenye shauriyo tunagataka lkin tunalola pha kudzitiya pia nzala hino uyalolwa mchetu wa phiri n mlume kana kazi... Kee uenzaye kuirika n nzala kpwan alume osi asira kulola😝😝😝😝😝😝😝😝
@@bujramohamed1352 😝😝😝😝😝😝kogoyo nkaamba ye mlume atakaye mchetu ipho n masikini kana ta shati sikaamba alolao achetu airi n achiya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uchireya nzooo unimyole singo
Mko vizuri sana 👏👏
shairi tamu hili jamaniii kiswahili safi ....Mashallah Naskiliza nikiwa Tanzania hongera kwa watunzi na waghani
Hongera Sana mashllh😘kila mke ana riski yake
Yani nalipenda Hadi naumwa hilo shairi🤗🤗🤗
Masha'Allah napongeza mimi pia nataka kuwa na mke mwenza🤪
Mimi mwambie mumeo aje aniowe😂😂🥰
Kama hujaolewa Wacha nikuongeze mimi
LIES😂
Shairi Zuri MashaaAllah.
Mjomba mke wa pili mtihani, dini imekubali lakini Sharia zake ndo hatuziwezi Sisi wanaume. Kila wakati twatumia tu ubunifu Wetu WA kutongoza Kama kipaji lakini ni hoja Nzuri kiizingatia.
Uminena kweli wengi waoa tu kwa sababu flani kaoa lakini sharia bdo hawajui
In file
Mashaallah mashaallah
kwa hiyoooo unaoa wafanyakaxi waje kufanya kazi
Nimelipenda shairi lenu sitaki uke wenza tunzi nzuri sana mna weza na mna stahili pongezi ❤👏👏👏👏
Damaaaani Asia wakeeeee nampendaaa bure si hio sauti mashaallah mashaallah 🥰🥰🥰🔥🔥🔥🔥
Nakuona siz ,nakupendraa sanaaa kisunzi.wangu
Mashallah shairi nzuri hili jamani keep up
Mashallah wifi mie huyo🥰
Masha Allah uko vizuri asia.....nmepnda
Masha Allah shairi zuri lakini uke wenza hata mimi siwezi
Astaghafil llah
ukewenza raha jamani mambo kupokezana
😝😝😝😝😝Bujra umasikin huo wataka ongeza mwengine🤭🤭shat lenyewe huna utamvisha nn huyo mwengine 🤣🤣🤣🤣🤣
namshangaa
@@fajarfajar7855 huhuhuhu
@@aminahema9714 Nshawahi kukuomba unga sima kwani 😀😀😀 nshawahi kukuomba Pesa nnunulie mke wangu dera... Hamtaki uke wenza wacheni kusingizia maisha
@@fajarfajar7855 Hamtaki uke wenza wacheni kusingizia maisha
@@bujramohamed1352 ok tumekubali muoe basi wawe kama bibi wa daktari mwala maisha kibanda cha kuku😂😂😂😂😂😂😂😂
Kazi nzuri kaka, nimeifwatilia vina na maudhui vikanijenga ...
Iko dope Sana. Asia Allah aku hifadhi
Duuuuuh dunia banaa maisha yenyewe niayo ya pesa8 alafu mke wa2 tusidanganyane..
Gaone nawe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@aminahema9714 Gombani tamgataki msisingizie maisha
@@bujramohamed1352 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣we mwenye shauriyo tunagataka lkin tunalola pha kudzitiya pia nzala hino uyalolwa mchetu wa phiri n mlume kana kazi... Kee uenzaye kuirika n nzala kpwan alume osi asira kulola😝😝😝😝😝😝😝😝
@@aminahema9714 Nzala ilunga atu a mathna tu? Ela mwi enye. Hivi maskini osi duniani
Umaskini wao nkpwasababu ya kulola achetu airi
@@bujramohamed1352 😝😝😝😝😝😝kogoyo nkaamba ye mlume atakaye mchetu ipho n masikini kana ta shati sikaamba alolao achetu airi n achiya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uchireya nzooo unimyole singo
MaashaAllah, , , MaashaAllah, , , MaashaAllah, , , kazi nzuri sana ndugu zangu, , ,
Mashalla nimeipendaiyo
MashaAllah kazi nzuri Asia.... congrats sana kaka mwakaga
Shukran kaka hassan
Mashallah Allah awazidishie.muzidi kuendelea
ali wa mwakaga kazi safi sana @ramzah
Dah MashaAllah shairi nzuri kwa kweli...
MashallAh.Hongera.safi.sana
Mashaa Allah tabaraka Allah uke wenza ni mzuri mkija kuwa kitu kimoja nitaujaribu nami pia inshaa Allah Allah anizidishie subra na Imani
Hakuna mwanamke hawezi uke wenza mdomo thuu,allah swt alikuwa akijua na ndo manake akatujalia nguvu na moyo wa uke wenza na ndo maanake akaweka 4....
MashaAllah asia uko vizuri 🔥. Nakukubali
Shukran
Mashaallah kazi nzuri🔥✔
Shukran
Mashaallah 😍😍😍 kazi nzuri sana
#Ali Mwakaga
#mlio wa cherehani
Mashaallah😘😘😘Uke wenza raha shishthaa 😁Asiah nataka kuwa mke mwenzio 😍😍😍😘😂
Haaaaa utayaweza
Asia wetu mashaallah 😂😂😂😂😂
AL-ghareeb Niko ndani💯.....ShaBBash!!!🔥
Mashaallah nimependa kaziyako mwagarashi
My boy Mwakaga on this one 🔥
Cherehani Mashallah 🔥
#MalengaWaKaya
Amba Nawe act
Ntafute tutoe comedy 😂😂😂
@@RemmyKeshComedy in shaa Allah tutaftane
Ffff
Ardge1
The girl ako na sauti qute
HK Asia makas ma sha Allah kW kipaji
Thanks
Shahiri zurisana 👏👏👏
🥰🥰🥰🥰TALENTED MWAKAGA
VOCALIST ASIA😃😃😃mashaalah
Mpo vizur
Asante
Maa Shaa Allah, Ukewenza Mtamu Mkipendana Nyinyi Wenza.🤣🤣🤣 Eti Ukimleta Atamtibua.Usije Tibuliwa Wewe Ukahama Mji.
😂😂khatar na nusu
Hewallah maana hao wajao nyuma uwa ni vijego vyenyewe waeza kutibuliwa kweli 🤣🤣🤣🤣🤣 ukama jiji machezo🤣🤣🤣🤣
@@aminaissa9709 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Halloooooo Swahiba Umenichekesha, Si Ndio Usijisifu Una Mbio.Msifu Na Akukimbizaye.
@@khaulatrashid3535 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
@@mwanahalimamwachili9679 kabisaa hao wajao uwa ni moto wa kuotea mbali wako tayari kivyovyote🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukewenza mimi mwenyewe siutaki😢😢😢
Kusema na kutenda ni vitu viwili tofauti.Ukishaoa mke wa pili na ukakolea mapenzi unamsahau mke mkubwa.Kuoa sio kazi bali uadilifu ndio kazi
Santhaaaaa utunzi kuntu sana
Hata uongeze wa pili kila moja atafanya kazi zake
Madam ana sauti nzur MashaAllah 😘😘
Asantee
Asia amani u killed it mammie
Wajibu umsaidie mana kaz n haki ya mwanaumme kufanya
Nice. ..work
Mashallah mashallah mumeweza
Mke wako mwandikie maid amsaidie 😂😂
Asiongeze mke
sauti mashaallah
safi sana mashallah..@asia❤❤❤
Ma Shaa Allah it's so great
Nyc one guys
Mpaka raha jamani
Jamani ukewenza mtihani kwakweli kwa maisha ya sasa wanaume wanaolea tamaa
Muko vizuli sana
Mashallahu imeshika kaka
Ii maashaalla barikillahufiki
Mashallah 🤝
Mashallah jamanii
Shukran
wooow! i like it
Masha Allah malenga wetu
Safiiiiii shairi
Mashallaaaaaaah
MashaAllah 💕💕💕💕
Mwanamke saut mashallah mpenz
Nice👍🏼
MASHA ALLAH 💕💕💕💕
Mashallah
MashaAllah
MashAllah 💚💚💚🧡🧡🧡
Mashaallah 🥰🥰
We normally call new generation.... Inaweza lkn
Masha allh
Masha Allah
Mashllah..
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
♥️♥️♥️♥️
Fity
Kuowa sioshida shida niuadilifu munao kero tu
Kma unaoa oa usisingizie kaz za nyumbni
like sana did
💞💞💞💞
File
Tuko
Pamoja sana
😂
Mashallah❤❤❤
Mashalla mashalla
Masha Allah
MashaAllah
MashaAllah
Mashaallah