MH! 😰 OWA MKE WA PILI UONE CHA MOTO - QASWIDA INAYOPENDWA NA WENGI HII HAPA MASHALLAH UJUMBE UMEFIKA
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Don't Forget To Subscribe 👉 @ZanzibarQaswida
------ Download Qaswida Now ------
🔸 / zqsvartist
🔸 audiomack.com/...
🎥 All Video Shoot By Extra Pictures Under Zanzibar Qaswida
--------- Contacts ---------
📞 +255626966000
📩 zanzibarqaswida@gmail.com
---- Zanzibar Qaswida Booking Info ----
📞 WhatsApp/Call : +255626966000
📩 Email : zanzibarqaswida@gmail.com
---- Catch Up With Zanzibar Qaswida (Owner) ----
▶️ / comextz
▶️ / comexstar
▶️ / comextz
---- GET MORE NEW VIDEOS ----
▪️ MENEGER WA ZANZIBAR QASWIDA NI HUYU • Video
▪️ QASWIDA NAMBA 1 HII HAPA • QASIDA NAMBA 1 YA KUMS...
▪️ QASWIDA HII UKHTY DIDA AMEUWA YANI • MASTAA WA QASWIDA ZANZ...
▪️ HARUSI YA KIFAHARI BIBI HARUSI ATUNZWA DOLA LAKI3 • BIBI HARUSI APOKEA MAD...
▪️ UKHTY ASHA HII AMEVUNJA REKODI • QASWIDA MPYA YA KIARAB...
© Copyright 2021 Zanzibar Qaswida Series Videos All Rights Reserved.
#ZanzibarQaswida #ExtraPictuers #ExtraSounds
Wazo zuri sana lilozungumzwa. Nimependa vitendo pia. Wasanii wametulia sanaa. Hongereni
Nzuri iyo hongereni nyote, watching from saudi Arabia
Kaswida nzuri Ila sio amri kuongeza mke ! Ila ni ruhusa Tu Kwa wenye uwezo
hakun mwanaume hapendi wanawake wengi wanajua kuoa huduma mbovu kama shimo la choo
Hakika
Ni 🔥 ma sha allah ♥
Qaswida mashaallah ujmbe tosha 😊
*🥰🥰Mashallah alaykum*
*Katimize Sunna yanabiyya my PRINCE CHOLLO WANGU haki zangu uczisahau kunitimizia🤗🥰🥰*
Waaaaa😂😂😂😂 hii comment nlipitanayo mie
Subhanallah Mpemba keshanipiga na chini kitambo😔Ila haukua mwisho wamaisha yangu
Ama nliondolewa mwanga wa kuish nao hakika np na kiza Cha kuzeeka nacho *NAKUPENDA my HUBIY wangu❤* kufika muda wa kutimiza sunna naww nenda ila Haki zangu usisahau pia😂
Maashallah Qasida nzuri, lakini je masharti ya mke zaidi ya mmoja yanafuatwa?? Halafu katika suna za Bwn. Mtume SAW hii naona wanaume mmeipaina UZITO kuliko zingine zoote. Wanaume hamkatazwi kuoa zaidi ya mmoja, lakini sheria zake zinafuatwa??
Hayafatwi hata kidogo wanazalilisha wanawake tu mimi sitaki kuolewa mana hakuna ndoa saivi kuna mtihani ivo
Mashaallah mashaallah nzuri sana
Wanaume sunna hii ndiowanayo ijuwa
Qaswda na mafunzo yke mashsAllah🥰🥰🥰🇰🇪🇰🇪
Kaswida nzur sana
Nimeipenda......
Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH
Nice kasida mashaallah 🥰🥰
Sheria 4 uwadilifu ndio unaotakiw🎤🎤
Unaambiwa kila maisha yakiwa magumu uengeze mke mna risk huengezeka
sio kweli hakuna mwanamke tahira utaishi nae dhiki zako
Ongeza uone show😂😂😂
Baada ya kusema "hali zetu masikini" yuwasema nini
Silipati vizuri hili neno
Haji Gorig Kasida iko poa umetisha
❤❤❤❤
maashaallah
Bismillah masha Allah ustadhi othman
Mashallah mashallah 👌😍
Maa shaa Allah
Mwanake Acha pingamizi kuoa wajibu wake aijalishi anacho au hana
nataka ku download,tafadhali naomba Jina la musician ako amefanya hiyo ngoma.
Mashaallh ❤️
hajakuchok Ila mpeuhur atimize suna yanaby 👊👊👊👊👍
Anshallhaa
Masha Allah
Mama
Taraaabuuuu hii si kaswida
Mashallah❤️
Mashallah wako vizuri
Mashaaallah ❤️💞💕😍🥰
Mashaallh 😘
Hii ni tarabu na ndio miongoni mwa Mambo yanayoturudisha nyuma waislam wa Zanzibar
Mh umezidi
Mashaallah qaswida nzuri
Qaswida
Mashaallah
Mashallh pambe
Mashallah ❤️ tamu
Inautamu gani kutotaka uke wenza tu
@@muabrashirazy4886 mm nataka sana2 sijapata 2 huyo wakuniowa2
@@zanzibarchanalkaswida6629 wew unasema tuu iv
@@mudathirmkubwamselem5650 hm ww ndio huamini lakini mm ndivo ninavo penda haswaa
@@zanzibarchanalkaswida6629saw alhuma amin na mm nita kuombea dua hiyoo🤲🤲🤲
Mbona qaswida hii yaleta mjadala kwenye maoni ? Na katika mstari mmoja anaimba huyo binti kua " kuongeza mke ni Sunna lakini sio kwake _ arudishwe nyumbani kwao......dah ! Quran haikukosea wala haina shaka.
Mashallah mashallah imefana
Mashallah 🤲🤲🤲
Bass haya
Nadhra ilove🥰🥰
Alfu Mabrouk
ما شاء الله
🔥🔥🔥
Cute
Nzur kasida inaelemesha jami
Sio tatiz iloo hakizak uta pat 💢💢💢
Duh khatar jaman kama sielew iv wanawake wenzangu mpo
Nipo jmn sijawahi kukubali ukewenza
@@abdulkadirishangari4493 usipokubali wa dhahiri utakubali wa siri
Maashaallah kiongoz
Kifo cha mtume
Naogopa kusema neno ila wacha nijikaze litakalokua na liwe nahisi kama Zenji move za makombora na halikuniki
Ni wivu tu
@@umakramzahor4836 wa nini ndugu maana sijaliona kubwa apo zaidi ya vichekesho vya makombora
@@omaryjohobakari423 wanajua
@@umakramzahor4836 kuigiza vichekesho kweli nakubaliana na wewe
Tena uwache lako hashuo kwa uwezo gani ulionao
Hhhhhhh
😅😅😅😅asante kak
Sant san
❤️❤️
Ma sha Allah
Mashallah
Bass haya
Pambeeee
Mashaallah
Mashaallah
Mashaallah
Mashallah