MASTAA WA QADIRIA WATOA QASWIDA MPYA YENYE MFUMO WA KIPEKEE TAZAMA JUMA FAKI ALIVOIBEBA SHUHULI HII

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 авг 2024

Комментарии • 284

  • @sabahasultan8715
    @sabahasultan8715 2 года назад +13

    Tuloangalia zaid ya mara moja tujuane .mashallah ina ladha nzuri qasida.

  • @SalimMbwana-e2y
    @SalimMbwana-e2y 22 дня назад

    Masha allaah mola awalipe ahlal qadiriya

  • @jumakitadu8674
    @jumakitadu8674 2 года назад +27

    Nakuhusieni wazazi msiwapeleke watoto wenu kwenye vyuo kama hivi vinapoteza umma. Mtume Muhammad s.a.w angekuwa hivi wallah dini isinge fika Tanzania. Hawa hawasomi dini kazi yao ni kuimba na kucheza allah awanusuru waingie katika haqi. Na ninyi mnao sema mashallah kwa kitu kichafu kama hiki allah awasamee

    • @omarjuma1187
      @omarjuma1187 2 года назад

      Mmmmh kwhy hp wnfany maasi

    • @kapilimaibra2540
      @kapilimaibra2540 2 года назад

      Sahii Sasa huo uchezaji Kani ndg zetu!!!?

    • @tusmokinana3836
      @tusmokinana3836 2 года назад +1

      Mm nilisoma madrasa kama hii na tulikua tunasoma sana

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 2 года назад +4

      Nikawaida. "MAN JAHILA SHAIANN AADAU" Mtu Hukikanusha Maadamu Hakijui. Kilakitu Nimatumizi Ndio Maana Hata Spika Wanazoimbia Sisi Tunaswalia. Tusipelekane Motoni. Usilolijua Usilitolee Fatuwa.

    • @AliAhmed-vd6qp
      @AliAhmed-vd6qp 2 года назад

      kweli kabisa umesema

  • @salmasalim3218
    @salmasalim3218 Год назад +5

    MashaAllah 🇰🇪Allah awatimizie haja zenu qaswida nzuri ya tuliza nyoyo wallahi

  • @NailaToto
    @NailaToto 2 месяца назад

    Mashallh qwasida zuriiii

  • @kadulathumani7517
    @kadulathumani7517 2 года назад +2

    Mashallah qasida mardadi kabisa. Ila tujaribu kupunguza huu mchezo WA hawa vijana naona kama vinaharibu. Bora wakae tuinuwe mikono kwa duaa ingelipendeza. Hii sio taarab. Nionavyo. Sauti ya dhahabu inaleta utulivu moyoni

    • @damooomar2568
      @damooomar2568 Год назад

      Hata usipoangalia kuisikiliza tuu unahisi moyo unasisimka. Maa shaa TUMSWALIE MTUME SAW

    • @mwanamisiali5712
      @mwanamisiali5712 Месяц назад

      Nikweli

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +6

    Mashaallah nzuri sana nimeipenda sana hizi ndio kasda nzuri zenye mafundisho na utulivu na hakima allah awajaalie hizi ndio ziwe kasda za daima msije mkaghururika na hiyo minanda ya miziki mkaja mkaupoteza uislamu wetufundisheni jamii kwa nguvu zote mashairi yenye thirah allah awanyanyue darja za juu amiin 😍😍😍👌👍

  • @aliharyokusumo
    @aliharyokusumo 2 года назад +8

    From Indonesia... MasyaAllah.. Top.. Laziz..

  • @ahmadzubeir2605
    @ahmadzubeir2605 2 года назад +7

    Ahsante sana Ustadh Juma Faki kwa kasida iliyojaa ujumbe mzito sana haswa kwa wale wasiompenda Mtume Muhammad (saw).

  • @MahirKheri
    @MahirKheri Месяц назад

    Mashaallha

  • @maryammaulid5240
    @maryammaulid5240 2 года назад +4

    Allah Akbar mashaallah my brother Allah Akuzidishie

  • @nasramzee1131
    @nasramzee1131 Год назад +1

    Maashallah Maashallah Maashallah

  • @ummyidriss1972
    @ummyidriss1972 2 года назад +3

    Penda sana Znz yetu from🇹🇿🇴🇲

  • @suleimanhafidh6320
    @suleimanhafidh6320 Год назад +3

    Masha Allah nimeipenda sana allah awazishiye

  • @damooomar2568
    @damooomar2568 Год назад +3

    Maa shaa Allah. TUMSWALIE MTUME Muhammad SAW

  • @user-lu6rm8tb5b
    @user-lu6rm8tb5b 6 месяцев назад

    Mashallah ❤❤❤

  • @user-xf7sb2cm6l
    @user-xf7sb2cm6l 6 месяцев назад

    Mashallah ❤❤

  • @mohamedkassim8664
    @mohamedkassim8664 2 года назад +1

    Mashaalah qaswida nzuri sana aisee mpaka nataka kulia nikisikiliza

  • @HusseinRwambo-mh3yj
    @HusseinRwambo-mh3yj Месяц назад

    Mashaallh Allah

  • @tumually2754
    @tumually2754 Год назад +1

    Mashaaallah Allah azidi kuwaongoza kwa kusoma Qaswida nzuri Allah awalipe kwa kumsifu Mtume Muhammadi (saw)

  • @suleimaneussene4406
    @suleimaneussene4406 7 месяцев назад

    Masha Allah

  • @mwaminiomar9723
    @mwaminiomar9723 Год назад +1

    Mashallah allah akulipe kila la kheir kwa kumsif mtume

  • @mwahijaiddi9745
    @mwahijaiddi9745 2 года назад +2

    Mashaalah jaman 💚💚💚💚💚

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 Год назад

    Yarabbi nakheri tutarajia

  • @TatuJuma-to2wi
    @TatuJuma-to2wi 6 месяцев назад

    Masha allah

  • @RahmaMohd-sf6ct
    @RahmaMohd-sf6ct 3 месяца назад

    Subhana llah

  • @mursalsalim2301
    @mursalsalim2301 2 года назад +3

    Mashallah 💯💯

  • @user-fl3fn4xt9j
    @user-fl3fn4xt9j 8 месяцев назад

    Mashallaah🎉

  • @mohamedabubakar9852
    @mohamedabubakar9852 2 года назад +1

    Mashallah Tabarakallah..Qaswida Mujarab Kabisa..Kucheza Namna Hio Haipendezi Tujaribu kuipa Qaswida Hadhii Yake ..shukran

  • @jumaibrahim3228
    @jumaibrahim3228 2 года назад +3

    Manshallah Allah awape maisha marefu mzidi kutukumbusha kupitia kaswida.ameeena.

  • @salhanjechele4951
    @salhanjechele4951 Год назад

    Mashallah

  • @AlanHazza
    @AlanHazza 4 месяца назад

    Mashaaallah nimepnd ma's hair yen mashalah

  • @didaa7009
    @didaa7009 2 года назад +2

    masha Allah masha Allah Allah akujalie kwa kila la kher insha Allah ak juma kama kaswinda zako ya mafunzo nahisi faraja sana masha Allah

  • @user-jg1qp3iy4r
    @user-jg1qp3iy4r 6 месяцев назад

    Maa shaa allah

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 года назад +4

    Mashallah. NYIE hamna mpizani munajua mpaka munakera wallahi

  • @aliy3303
    @aliy3303 2 года назад +1

    Kazi nzuri kwenye mapungufu mujirekebishe mfano ktk uchezaji haifai ni kuvuka mipaka na baadhi ya maneno but kasida nzuriiii

  • @ZubeirAbdallah
    @ZubeirAbdallah 4 месяца назад

    Zikitajwa swifa za mtume Mohammad s.a.w.lazma mwili usisimke ❤❤❤ mashallah mashallah

  • @rukiaissa5878
    @rukiaissa5878 2 года назад +1

    Masha allah sheikh allah akulinde na hasad za watu wabaya

  • @user-us4xm8ws9t
    @user-us4xm8ws9t 9 месяцев назад

    Mashallah 🇰🇪🇰🇪

  • @salmasalim3218
    @salmasalim3218 2 года назад +4

    Mashallah ALLAH awbariki kwenye kazi zenu ❤️❤️🇰🇪🇰🇪

  • @QwieeenamaranthiniTanzania
    @QwieeenamaranthiniTanzania 2 месяца назад

    Manshallah ❤

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed 7 месяцев назад

    S.A.W REHMA NA AMAN ZIMFIKIYE JUU YAKE NA MASWAHABA ZAKE NA AAL ZAKE ❤❤❤🤲🤲🤲

  • @zeynashafii4154
    @zeynashafii4154 2 года назад +1

    Mashallh mung awaongoz zaid

  • @yahayatupatupa4982
    @yahayatupatupa4982 Год назад +1

    Mashaalah

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +3

    Allahumma swalli wasallim wabarik alayhi

  • @AsyaWaziri-oi8rt
    @AsyaWaziri-oi8rt 2 месяца назад

    Masha allah ❤❤

  • @hamdanisimai5341
    @hamdanisimai5341 2 года назад +1

    Qaswida nzuri sana shekh Juma Allah akujalie kheri Inshallah na akuepushie hasadi na mahasidi katika kazi Zako Inshallah

  • @ShabanAyubu-em8sv
    @ShabanAyubu-em8sv 5 дней назад

    mashaallah

  • @sushimahassan2422
    @sushimahassan2422 2 года назад +4

    Maashallah ❤️

  • @OthmanLiyoka-jo2ck
    @OthmanLiyoka-jo2ck 9 месяцев назад

    Qaswida mzuri sana nimeipenda

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +1

    Qadia juu juu juu zaidi😍😍😍👌👌👌👌

  • @AdamYussuf-bd6sh
    @AdamYussuf-bd6sh 4 месяца назад

    Mashaallaah ndugu zangu hizo ndo kaswada zenye sifa nzuri za mbora wa mitume na mbora wa twabiya na mbora wa viumbe wote.kwa kweli inaladha kwa kweli kaswida sifa nzuri za mtume kaswida kama hiyo huondosha maradhi nyoyo

  • @fatuma3969
    @fatuma3969 2 года назад +2

    Maaashaaallwa mungu awaongoze

  • @idatally3846
    @idatally3846 2 года назад +1

    Kaz 1 matata sana sana JUMA FAKI nakukubal sana allah akujaalie kla la khr ktk maisha yko sut kma ulaya mashallah mashallah

  • @salmasalim3218
    @salmasalim3218 2 года назад

    Naomba kujua cku ya ghafla yenu inshallah niweze kuhudhuria

  • @user-ot8zz2mh7x
    @user-ot8zz2mh7x 9 месяцев назад

    Mtunzi kafanya kilakitu ila shida kasisi watuwa madufu ninseme Kwa kiswahili fasaha wachezaji awaendani na maneno caswida husika nahisi wange kaachini au kupiga magoti wangefanya kitu kizuri sana waliosimama wote wamealiribu nazaria ya jina linalo tajwa kwenye ujumbe huu inshallah watafanyia kazi hicho kitu itakua mzuri sana

  • @ramajereko4144
    @ramajereko4144 Год назад +2

    Allahumaswali wasallim alaih

  • @user-he7zh2ly3j
    @user-he7zh2ly3j 5 месяцев назад

    Mashallah ustadh juma faki mungu akujaalie uzima uzidi kutuelimisha

  • @JamilaAlly-bh8jv
    @JamilaAlly-bh8jv 5 месяцев назад

    Kwa ninavyowapenda haw na madrasa Yao nataman wangekua dar ningewapeleka watoto wangu Allah awajaalie kwahiki kwakweli🙏🙏

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 года назад +2

    Mashaallah allah awape umri mrefu naawafanyia wesi katika kazi zenuu🙏🙏🙏🙏😘

  • @ahmadzubeir2605
    @ahmadzubeir2605 2 года назад +1

    Jitahidini tu maana kwenye mambo haya ya ghunna pale Dar es slaam wapo juu sana sanaaa ukiwasikiliza mpaka unapendaaaa. Kama mutakua na Qaswida kama mtindo huu Wallaahi tutatoka Dar kuja Zanzibar kwenye Shughuli.

  • @idatally3846
    @idatally3846 2 года назад +4

    Ebwanaweeeeeeeee saut ya dhahabuuuuu mashallah mashallah

  • @allyhamad7999
    @allyhamad7999 2 года назад +1

    اللهم صل وسلم عليه⁦❤️⁩⁦❤️⁩

  • @hudhaymanassor8363
    @hudhaymanassor8363 2 года назад +2

    Masha Allah mung azidishe kipaji chenuu Masha Allah Masha Allah,👌

  • @shafiibalasa5862
    @shafiibalasa5862 2 года назад +1

    Mashaalah Allah akuzidishie umri mrefu

  • @seifsalum5404
    @seifsalum5404 2 года назад +1

    mashallah allahubariki

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 2 года назад +3

    Mashallah 💞💗❤️

  • @kassimkupi
    @kassimkupi Месяц назад

    Mashallah viburusisho za kheri kukuleta karibu na Bwana mtume.Tumswali mtume.

  • @RASHIDMTAMBWE-xq1bv
    @RASHIDMTAMBWE-xq1bv 2 месяца назад

    Qaswida ni nzuri sana, ndio zile za mtindo wa enzi zetu, ila tatizo ni hao tu vijana wacheza kama kwaya kanisani

  • @Osmanbey01
    @Osmanbey01 Год назад

    mashallah mnajua sana masheikh wangu. Allah awalipe kwa hili mumeturdisha kwenye kasda za kizamani za wazanzibar.

  • @user-ky3tf9bj7k
    @user-ky3tf9bj7k 10 месяцев назад

    Asanteni ustdh juma faki na wezako woote kwa kazi mzuur Sana Allah atakulipeni ziada ya mnachokifanya.

  • @abdallaabeid3587
    @abdallaabeid3587 2 года назад +1

    Hongera Ustadh Juma. Kazi zako hazina DOA hata dogo

  • @ramadhanmohamed
    @ramadhanmohamed 4 месяца назад

    More then nice

  • @masingisamasingisa5433
    @masingisamasingisa5433 Год назад

    Hakika mnaweza kadiria mungu awape mda mwingi muweze toa burudani Kama hizo mashaalah

  • @fatumamohamed4948
    @fatumamohamed4948 2 года назад +2

    Mashallah. Ladha halisi ya kaswida

  • @tusmokinana3836
    @tusmokinana3836 2 года назад +2

    Mashallah naskia moyo wangu umetulia

    • @mamuibrahim
      @mamuibrahim Год назад

      Mansha Allah wana qadiria Allah awaongoze jaman

  • @hadiahakim
    @hadiahakim Год назад

    Hongera shekh jumla

  • @user-em4ei3iw6g
    @user-em4ei3iw6g 8 месяцев назад

    Yani masikini kuna watu hata akisifiwa Mtume (S .A.W ) hawapendi hii ndio furaha yawaislamu wacheze wafurah kwa sifa zake RRasulillah anaechukia ajiunge tu kwenye bongo fleva kila mtu Allah ndie amjuae usijione mcha Mungu kumbe huna lolote

  • @idatally3846
    @idatally3846 2 года назад +1

    Producer matata sana ALLY AHMAD asnt

  • @bintmaghas8794
    @bintmaghas8794 2 года назад +1

    Maashaallah napends qaswida zako akhy jumaa

  • @idatally3846
    @idatally3846 2 года назад +2

    Big up wana wa yuri heshima kwenu aiseee nimemalza maneno mashallah

  • @hassanseif1554
    @hassanseif1554 Год назад

    Mashallh kheri ishaallh kaka angu kpz mungu akuhifadhi nakipajichko takibiiiriii

  • @user-qb7fy6yo1o
    @user-qb7fy6yo1o 10 месяцев назад

    So good

  • @juwairiyajuma
    @juwairiyajuma Год назад

    Mashallah Mashallah Wallah rahaa naskia kulia hasaa

  • @salimramadhani7151
    @salimramadhani7151 9 месяцев назад

    🌹🌹🌹🌹🌹💯 mashaallah

  • @maulidvuai1978
    @maulidvuai1978 2 года назад

    MashaAllah aqaz nawapata kutoka qadiria c kilimahewa zanzibar

  • @VerattiBey
    @VerattiBey 10 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤Allah awabariki inshaallah

  • @characharayusufu2939
    @characharayusufu2939 8 месяцев назад

    maashaallah kwakweli hii kaada niya Aina yake jazaakumu llahu khaira

  • @mlolabooy9074
    @mlolabooy9074 2 года назад +2

    Dh mashallah💔💔 hii ndio ladha ya qaswda sio mafujo n vurugu mashallah aqaz

  • @swabahaswalehe5544
    @swabahaswalehe5544 2 года назад +4

    Maa shaa Allah ,Allah awape umri mrefu wenye faida In shaa Allah

  • @ffed1876
    @ffed1876 2 года назад +1

    Ummu khayra MashaAllah Allah awape umri wenye kheri na nyie

  • @faizmusaabdallah6430
    @faizmusaabdallah6430 Год назад

    Ma sha Allah Tabaraka Allah

  • @aishamohd6985
    @aishamohd6985 2 года назад +3

    Mashaallah ❤️

  • @maureenmilah3717
    @maureenmilah3717 2 года назад +1

    Mashaaallah

  • @tausiabdallah9533
    @tausiabdallah9533 2 года назад +1

    Mashallah qaswida nzur sana

  • @timabadi9622
    @timabadi9622 2 года назад +1

    MashaAllah MashaAllah barakallahulakum😘 watching from kenya wallahy nimeipenda sana

  • @ZuberiNahoche
    @ZuberiNahoche Год назад

    Ujumbe mzuri ila kucheza kumezid tuonyeshe kunyenyekea Kwa allah

  • @mbembamadevu6042
    @mbembamadevu6042 2 года назад +1

    Mashaallah

  • @alimohamedali9104
    @alimohamedali9104 2 года назад +2

    Qasida hii safi kabisa na tenzi zake ziko safi. Mungu awape uwezo mkubwa zaidi

  • @alfalahbchannel9848
    @alfalahbchannel9848 2 года назад +1

    Hili balaaaa sasa kutoka Mkono mahiri producer anaesumbua tz kwa ujumla ally ahmad