Nakuhusieni wazazi msiwapeleke watoto wenu kwenye vyuo kama hivi vinapoteza umma. Mtume Muhammad s.a.w angekuwa hivi wallah dini isinge fika Tanzania. Hawa hawasomi dini kazi yao ni kuimba na kucheza allah awanusuru waingie katika haqi. Na ninyi mnao sema mashallah kwa kitu kichafu kama hiki allah awasamee
Nikawaida. "MAN JAHILA SHAIANN AADAU" Mtu Hukikanusha Maadamu Hakijui. Kilakitu Nimatumizi Ndio Maana Hata Spika Wanazoimbia Sisi Tunaswalia. Tusipelekane Motoni. Usilolijua Usilitolee Fatuwa.
Mashallah qasida mardadi kabisa. Ila tujaribu kupunguza huu mchezo WA hawa vijana naona kama vinaharibu. Bora wakae tuinuwe mikono kwa duaa ingelipendeza. Hii sio taarab. Nionavyo. Sauti ya dhahabu inaleta utulivu moyoni
Mashaallah nzuri sana nimeipenda sana hizi ndio kasda nzuri zenye mafundisho na utulivu na hakima allah awajaalie hizi ndio ziwe kasda za daima msije mkaghururika na hiyo minanda ya miziki mkaja mkaupoteza uislamu wetufundisheni jamii kwa nguvu zote mashairi yenye thirah allah awanyanyue darja za juu amiin 😍😍😍👌👍
Mashaallaah ndugu zangu hizo ndo kaswada zenye sifa nzuri za mbora wa mitume na mbora wa twabiya na mbora wa viumbe wote.kwa kweli inaladha kwa kweli kaswida sifa nzuri za mtume kaswida kama hiyo huondosha maradhi nyoyo
Mtunzi kafanya kilakitu ila shida kasisi watuwa madufu ninseme Kwa kiswahili fasaha wachezaji awaendani na maneno caswida husika nahisi wange kaachini au kupiga magoti wangefanya kitu kizuri sana waliosimama wote wamealiribu nazaria ya jina linalo tajwa kwenye ujumbe huu inshallah watafanyia kazi hicho kitu itakua mzuri sana
Jitahidini tu maana kwenye mambo haya ya ghunna pale Dar es slaam wapo juu sana sanaaa ukiwasikiliza mpaka unapendaaaa. Kama mutakua na Qaswida kama mtindo huu Wallaahi tutatoka Dar kuja Zanzibar kwenye Shughuli.
Yani masikini kuna watu hata akisifiwa Mtume (S .A.W ) hawapendi hii ndio furaha yawaislamu wacheze wafurah kwa sifa zake RRasulillah anaechukia ajiunge tu kwenye bongo fleva kila mtu Allah ndie amjuae usijione mcha Mungu kumbe huna lolote
Tuloangalia zaid ya mara moja tujuane .mashallah ina ladha nzuri qasida.
Hakika
Masha allaah mola awalipe ahlal qadiriya
Nakuhusieni wazazi msiwapeleke watoto wenu kwenye vyuo kama hivi vinapoteza umma. Mtume Muhammad s.a.w angekuwa hivi wallah dini isinge fika Tanzania. Hawa hawasomi dini kazi yao ni kuimba na kucheza allah awanusuru waingie katika haqi. Na ninyi mnao sema mashallah kwa kitu kichafu kama hiki allah awasamee
Mmmmh kwhy hp wnfany maasi
Sahii Sasa huo uchezaji Kani ndg zetu!!!?
Mm nilisoma madrasa kama hii na tulikua tunasoma sana
Nikawaida. "MAN JAHILA SHAIANN AADAU" Mtu Hukikanusha Maadamu Hakijui. Kilakitu Nimatumizi Ndio Maana Hata Spika Wanazoimbia Sisi Tunaswalia. Tusipelekane Motoni. Usilolijua Usilitolee Fatuwa.
kweli kabisa umesema
MashaAllah 🇰🇪Allah awatimizie haja zenu qaswida nzuri ya tuliza nyoyo wallahi
Mashallh qwasida zuriiii
Mashallah qasida mardadi kabisa. Ila tujaribu kupunguza huu mchezo WA hawa vijana naona kama vinaharibu. Bora wakae tuinuwe mikono kwa duaa ingelipendeza. Hii sio taarab. Nionavyo. Sauti ya dhahabu inaleta utulivu moyoni
Hata usipoangalia kuisikiliza tuu unahisi moyo unasisimka. Maa shaa TUMSWALIE MTUME SAW
Nikweli
Mashaallah nzuri sana nimeipenda sana hizi ndio kasda nzuri zenye mafundisho na utulivu na hakima allah awajaalie hizi ndio ziwe kasda za daima msije mkaghururika na hiyo minanda ya miziki mkaja mkaupoteza uislamu wetufundisheni jamii kwa nguvu zote mashairi yenye thirah allah awanyanyue darja za juu amiin 😍😍😍👌👍
From Indonesia... MasyaAllah.. Top.. Laziz..
Ahsante sana Ustadh Juma Faki kwa kasida iliyojaa ujumbe mzito sana haswa kwa wale wasiompenda Mtume Muhammad (saw).
Mashaallha
Allah Akbar mashaallah my brother Allah Akuzidishie
Maanshaalaah Allah awape. Afyanjema
Maashallah Maashallah Maashallah
Penda sana Znz yetu from🇹🇿🇴🇲
Masha Allah nimeipenda sana allah awazishiye
Maa shaa Allah. TUMSWALIE MTUME Muhammad SAW
Mashallah ❤❤❤
Mashallah ❤❤
Mashaalah qaswida nzuri sana aisee mpaka nataka kulia nikisikiliza
Mashaallh Allah
Mashaaallah Allah azidi kuwaongoza kwa kusoma Qaswida nzuri Allah awalipe kwa kumsifu Mtume Muhammadi (saw)
Masha Allah
Mashallah allah akulipe kila la kheir kwa kumsif mtume
Mashaalah jaman 💚💚💚💚💚
Yarabbi nakheri tutarajia
Masha allah
Subhana llah
Mashallah 💯💯
Mashallaah🎉
Mashallah Tabarakallah..Qaswida Mujarab Kabisa..Kucheza Namna Hio Haipendezi Tujaribu kuipa Qaswida Hadhii Yake ..shukran
Manshallah Allah awape maisha marefu mzidi kutukumbusha kupitia kaswida.ameeena.
Mashallah
Mashaaallah nimepnd ma's hair yen mashalah
masha Allah masha Allah Allah akujalie kwa kila la kher insha Allah ak juma kama kaswinda zako ya mafunzo nahisi faraja sana masha Allah
Maa shaa allah
Mashallah. NYIE hamna mpizani munajua mpaka munakera wallahi
Kazi nzuri kwenye mapungufu mujirekebishe mfano ktk uchezaji haifai ni kuvuka mipaka na baadhi ya maneno but kasida nzuriiii
Kweli yako akhuy, bora umeliona hilo.
Zikitajwa swifa za mtume Mohammad s.a.w.lazma mwili usisimke ❤❤❤ mashallah mashallah
Masha allah sheikh allah akulinde na hasad za watu wabaya
Mashallah 🇰🇪🇰🇪
Mashallah ALLAH awbariki kwenye kazi zenu ❤️❤️🇰🇪🇰🇪
Kwel 🤝🤝🤝🤝🥰🥰🥰🥰🥰🥰
👍👍
Manshallah ❤
S.A.W REHMA NA AMAN ZIMFIKIYE JUU YAKE NA MASWAHABA ZAKE NA AAL ZAKE ❤❤❤🤲🤲🤲
Mashallh mung awaongoz zaid
Mashaalah
Allahumma swalli wasallim wabarik alayhi
Masha allah ❤❤
Qaswida nzuri sana shekh Juma Allah akujalie kheri Inshallah na akuepushie hasadi na mahasidi katika kazi Zako Inshallah
@Pemba Online waalaikumu salamu vipi naww
mashaallah
Maashallah ❤️
Qaswida mzuri sana nimeipenda
Qadia juu juu juu zaidi😍😍😍👌👌👌👌
Mashaallaah ndugu zangu hizo ndo kaswada zenye sifa nzuri za mbora wa mitume na mbora wa twabiya na mbora wa viumbe wote.kwa kweli inaladha kwa kweli kaswida sifa nzuri za mtume kaswida kama hiyo huondosha maradhi nyoyo
Maaashaaallwa mungu awaongoze
Kaz 1 matata sana sana JUMA FAKI nakukubal sana allah akujaalie kla la khr ktk maisha yko sut kma ulaya mashallah mashallah
Naomba kujua cku ya ghafla yenu inshallah niweze kuhudhuria
Mtunzi kafanya kilakitu ila shida kasisi watuwa madufu ninseme Kwa kiswahili fasaha wachezaji awaendani na maneno caswida husika nahisi wange kaachini au kupiga magoti wangefanya kitu kizuri sana waliosimama wote wamealiribu nazaria ya jina linalo tajwa kwenye ujumbe huu inshallah watafanyia kazi hicho kitu itakua mzuri sana
Allahumaswali wasallim alaih
Mashallah ustadh juma faki mungu akujaalie uzima uzidi kutuelimisha
Kwa ninavyowapenda haw na madrasa Yao nataman wangekua dar ningewapeleka watoto wangu Allah awajaalie kwahiki kwakweli🙏🙏
Mashaallah allah awape umri mrefu naawafanyia wesi katika kazi zenuu🙏🙏🙏🙏😘
Jitahidini tu maana kwenye mambo haya ya ghunna pale Dar es slaam wapo juu sana sanaaa ukiwasikiliza mpaka unapendaaaa. Kama mutakua na Qaswida kama mtindo huu Wallaahi tutatoka Dar kuja Zanzibar kwenye Shughuli.
Ebwanaweeeeeeeee saut ya dhahabuuuuu mashallah mashallah
Umeonaeeeee Mashaaallah
اللهم صل وسلم عليه❤️❤️
Masha Allah mung azidishe kipaji chenuu Masha Allah Masha Allah,👌
Mashaalah Allah akuzidishie umri mrefu
mashallah allahubariki
Mashallah 💞💗❤️
Mashallah viburusisho za kheri kukuleta karibu na Bwana mtume.Tumswali mtume.
Qaswida ni nzuri sana, ndio zile za mtindo wa enzi zetu, ila tatizo ni hao tu vijana wacheza kama kwaya kanisani
mashallah mnajua sana masheikh wangu. Allah awalipe kwa hili mumeturdisha kwenye kasda za kizamani za wazanzibar.
Asanteni ustdh juma faki na wezako woote kwa kazi mzuur Sana Allah atakulipeni ziada ya mnachokifanya.
Hongera Ustadh Juma. Kazi zako hazina DOA hata dogo
Bonyeza utizame hii 👇...
ruclips.net/video/_Hh_-rtaF64/видео.html
More then nice
Hakika mnaweza kadiria mungu awape mda mwingi muweze toa burudani Kama hizo mashaalah
Mashallah. Ladha halisi ya kaswida
Mashallah naskia moyo wangu umetulia
Mansha Allah wana qadiria Allah awaongoze jaman
Hongera shekh jumla
Hongera kwa vitu vitamu
Yani masikini kuna watu hata akisifiwa Mtume (S .A.W ) hawapendi hii ndio furaha yawaislamu wacheze wafurah kwa sifa zake RRasulillah anaechukia ajiunge tu kwenye bongo fleva kila mtu Allah ndie amjuae usijione mcha Mungu kumbe huna lolote
Producer matata sana ALLY AHMAD asnt
Maashaallah napends qaswida zako akhy jumaa
Big up wana wa yuri heshima kwenu aiseee nimemalza maneno mashallah
Bonyeza utizame hii 👇...
ruclips.net/video/_Hh_-rtaF64/видео.html
Mashallh kheri ishaallh kaka angu kpz mungu akuhifadhi nakipajichko takibiiiriii
So good
Mashallah Mashallah Wallah rahaa naskia kulia hasaa
🌹🌹🌹🌹🌹💯 mashaallah
MashaAllah aqaz nawapata kutoka qadiria c kilimahewa zanzibar
❤❤❤❤❤❤Allah awabariki inshaallah
maashaallah kwakweli hii kaada niya Aina yake jazaakumu llahu khaira
Dh mashallah💔💔 hii ndio ladha ya qaswda sio mafujo n vurugu mashallah aqaz
Maa shaa Allah ,Allah awape umri mrefu wenye faida In shaa Allah
Ummu khayra MashaAllah Allah awape umri wenye kheri na nyie
Ma sha Allah Tabaraka Allah
Mashaallah ❤️
Mashaaallah
Mashallah qaswida nzur sana
MashaAllah MashaAllah barakallahulakum😘 watching from kenya wallahy nimeipenda sana
Kazi nzur
Ujumbe mzuri ila kucheza kumezid tuonyeshe kunyenyekea Kwa allah
Mashaallah
Qasida hii safi kabisa na tenzi zake ziko safi. Mungu awape uwezo mkubwa zaidi
Hili balaaaa sasa kutoka Mkono mahiri producer anaesumbua tz kwa ujumla ally ahmad