NDOA SI UTUMWA FULL MOVIE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025

Комментарии • 34

  • @KichikiloKibiba-k6f
    @KichikiloKibiba-k6f День назад +1

    Malaya ni ww mwanaume usie kuwa na heshma kwa mke wako

  • @FadhilaAlly-u4k
    @FadhilaAlly-u4k 12 дней назад

    Mashaallah japo kazi zenu mnachelewesha sana

  • @HABIBAMOHAMED-i4g
    @HABIBAMOHAMED-i4g 6 часов назад

    Bora kuhama hd mkoa😂😂😂😂

  • @AlimaMachungu
    @AlimaMachungu День назад

    Kwa hii dunia kungekua na wanaume kaa huyu wingi wetu sisi wanawake hatungeyavumilia haya hata kama uvumilivu hula mbivu ziii acha ikae bana 😢😢😢😢😢

  • @winniemwaka3202
    @winniemwaka3202 День назад

    Aaaaaaaaa mume kama huyu huku kenya anaekewa😮sumu na siku ziende😢😢chezea😮wanawake huko tanzania😮😮si huku

  • @adijaamur962
    @adijaamur962 9 дней назад +1

    Hatakicha hua ana mheshim mama

  • @mohamedahmedaboud372
    @mohamedahmedaboud372 День назад

    Mume mwenye madili na kujua dasturi za kimila

  • @Kamikazifitina
    @Kamikazifitina 8 дней назад +2

    Una rohombaya. Baba wewe

  • @LilianJuma-q6y
    @LilianJuma-q6y 8 дней назад +1

    Sikio LA kufa haliskii dawa laiti ungemsikiza mamako yote hayo yasingekukuta , sai waishi kwenye jumba la kifahati ila hauna amani kila siku ni kilio

  • @CatherineSanga-jx6nz
    @CatherineSanga-jx6nz 6 дней назад

    Mnachelewa sana mpaka hatujui tuliushia wapi

  • @AmeenaAmeena-l4o
    @AmeenaAmeena-l4o 6 дней назад

    Mwanaume mbaya Sana weye

  • @mamataha5464
    @mamataha5464 10 дней назад

    ukimfanyia binadamu mwenzako ubaya utakurudia zaidi

  • @MaliamNduwimana
    @MaliamNduwimana 8 дней назад

    Hakuna kitu camana anamfanyia make wake nikereretu kirasiku Yani hakuna laha kabisa hatayasiku Moja😭😭😭

  • @SahiaCute-b2o
    @SahiaCute-b2o 8 дней назад

    Skuambiwa yupo nimeambiwa wapo ndoa gan iyo iyo ndoa au ndowana

  • @ShamimuAbasi-x3w
    @ShamimuAbasi-x3w 12 дней назад

    Tunao Anafatilia Ndoa si utumwa tujuane please

  • @ZaharaniIssa-x2g
    @ZaharaniIssa-x2g 10 дней назад

    Mm kma mm ningerudi nyumbn sijauwa kwasababu

  • @tumushamata4652
    @tumushamata4652 11 дней назад

    Mumerejea mchezo huutulishaangalia😮

  • @everlinejuma9766
    @everlinejuma9766 7 дней назад

    Hats kama ni ndoa ikaae ikaa

  • @nadiaali9147
    @nadiaali9147 16 часов назад

    Kwanini usijiachishe ukafanya biashara zako

  • @ChausikuAli
    @ChausikuAli 11 дней назад

    Leila anamoyo si kidogo hata Kama shida mie siwezi kivumilia 😂😂😂

  • @SadicKhamisi
    @SadicKhamisi 8 дней назад +1

    😅😅

  • @MaliamNduwimana
    @MaliamNduwimana 8 дней назад

    Ndoa imekuwa ndowano karaha kabisa 😢😢Mimi siwezi hatakama wanasema tuwe nauvumilivu ndani yamajumba hapan hi inazizi

  • @AliAli-d8g4p
    @AliAli-d8g4p 9 дней назад

    Yani machozi yamenitoka nilipo iyona hiyi muvi 😢😢😢😢😢

  • @TaqiyyaMwijage
    @TaqiyyaMwijage 11 дней назад

    Dahhhhh

  • @ZaharaniIssa-x2g
    @ZaharaniIssa-x2g 10 дней назад

    Bora umaskini wenye amani kuliko utajir wa masimango

  • @shamzone388
    @shamzone388 11 дней назад

    Dunia hii sidhani Kama kuna watt wa kike Kama huyu dada
    Kama ni Mimi ningemvizia kalala nikampiga chuma cha kichwa kikakimbilia police kutoa report Kama nimeuwa

  • @asyasuleiman2097
    @asyasuleiman2097 10 дней назад

    Hapana ndoa hapo wala hapana cha kusibiria

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 10 дней назад

    Mwanaume mpuuzi

  • @amidabukuru
    @amidabukuru 12 дней назад

    Tulishaga hiyone iyi yote nimewaza imeendelea

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 10 дней назад

    Mume kama uyu toka rudi kwenu bwana kisirani

  • @mwanaumamwamtindi57
    @mwanaumamwamtindi57 6 дней назад

    Duuh hii kali😢

  • @Saidaabdu-t1l
    @Saidaabdu-t1l 10 дней назад

    hata kama mume kabla hiyo hata nidhambi kuyaa vumiliya nikheri ulee wazee wako kama wako hayi uta ingiya peponi kuliko matezo ya mume

  • @SadicKhamisi
    @SadicKhamisi 8 дней назад

    😅😅

  • @SadicKhamisi
    @SadicKhamisi 8 дней назад

    😅😅