Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Malaya ni ww mwanaume usie kuwa na heshma kwa mke wako
Mashaallah japo kazi zenu mnachelewesha sana
Bora kuhama hd mkoa😂😂😂😂
Kwa hii dunia kungekua na wanaume kaa huyu wingi wetu sisi wanawake hatungeyavumilia haya hata kama uvumilivu hula mbivu ziii acha ikae bana 😢😢😢😢😢
Aaaaaaaaa mume kama huyu huku kenya anaekewa😮sumu na siku ziende😢😢chezea😮wanawake huko tanzania😮😮si huku
Hatakicha hua ana mheshim mama
Mume mwenye madili na kujua dasturi za kimila
Una rohombaya. Baba wewe
Sikio LA kufa haliskii dawa laiti ungemsikiza mamako yote hayo yasingekukuta , sai waishi kwenye jumba la kifahati ila hauna amani kila siku ni kilio
Mnachelewa sana mpaka hatujui tuliushia wapi
Mwanaume mbaya Sana weye
ukimfanyia binadamu mwenzako ubaya utakurudia zaidi
Hakuna kitu camana anamfanyia make wake nikereretu kirasiku Yani hakuna laha kabisa hatayasiku Moja😭😭😭
Skuambiwa yupo nimeambiwa wapo ndoa gan iyo iyo ndoa au ndowana
Tunao Anafatilia Ndoa si utumwa tujuane please
Mm kma mm ningerudi nyumbn sijauwa kwasababu
Mumerejea mchezo huutulishaangalia😮
Hats kama ni ndoa ikaae ikaa
Kwanini usijiachishe ukafanya biashara zako
Leila anamoyo si kidogo hata Kama shida mie siwezi kivumilia 😂😂😂
😅😅
Ndoa imekuwa ndowano karaha kabisa 😢😢Mimi siwezi hatakama wanasema tuwe nauvumilivu ndani yamajumba hapan hi inazizi
Yani machozi yamenitoka nilipo iyona hiyi muvi 😢😢😢😢😢
Dahhhhh
Bora umaskini wenye amani kuliko utajir wa masimango
Dunia hii sidhani Kama kuna watt wa kike Kama huyu dadaKama ni Mimi ningemvizia kalala nikampiga chuma cha kichwa kikakimbilia police kutoa report Kama nimeuwa
Hapana ndoa hapo wala hapana cha kusibiria
Mwanaume mpuuzi
Tulishaga hiyone iyi yote nimewaza imeendelea
Mume kama uyu toka rudi kwenu bwana kisirani
Duuh hii kali😢
hata kama mume kabla hiyo hata nidhambi kuyaa vumiliya nikheri ulee wazee wako kama wako hayi uta ingiya peponi kuliko matezo ya mume
Malaya ni ww mwanaume usie kuwa na heshma kwa mke wako
Mashaallah japo kazi zenu mnachelewesha sana
Bora kuhama hd mkoa😂😂😂😂
Kwa hii dunia kungekua na wanaume kaa huyu wingi wetu sisi wanawake hatungeyavumilia haya hata kama uvumilivu hula mbivu ziii acha ikae bana 😢😢😢😢😢
Aaaaaaaaa mume kama huyu huku kenya anaekewa😮sumu na siku ziende😢😢chezea😮wanawake huko tanzania😮😮si huku
Hatakicha hua ana mheshim mama
Mume mwenye madili na kujua dasturi za kimila
Una rohombaya. Baba wewe
Sikio LA kufa haliskii dawa laiti ungemsikiza mamako yote hayo yasingekukuta , sai waishi kwenye jumba la kifahati ila hauna amani kila siku ni kilio
Mnachelewa sana mpaka hatujui tuliushia wapi
Mwanaume mbaya Sana weye
ukimfanyia binadamu mwenzako ubaya utakurudia zaidi
Hakuna kitu camana anamfanyia make wake nikereretu kirasiku Yani hakuna laha kabisa hatayasiku Moja😭😭😭
Skuambiwa yupo nimeambiwa wapo ndoa gan iyo iyo ndoa au ndowana
Tunao Anafatilia Ndoa si utumwa tujuane please
Mm kma mm ningerudi nyumbn sijauwa kwasababu
Mumerejea mchezo huutulishaangalia😮
Hats kama ni ndoa ikaae ikaa
Kwanini usijiachishe ukafanya biashara zako
Leila anamoyo si kidogo hata Kama shida mie siwezi kivumilia 😂😂😂
😅😅
Ndoa imekuwa ndowano karaha kabisa 😢😢Mimi siwezi hatakama wanasema tuwe nauvumilivu ndani yamajumba hapan hi inazizi
Yani machozi yamenitoka nilipo iyona hiyi muvi 😢😢😢😢😢
Dahhhhh
Bora umaskini wenye amani kuliko utajir wa masimango
Dunia hii sidhani Kama kuna watt wa kike Kama huyu dada
Kama ni Mimi ningemvizia kalala nikampiga chuma cha kichwa kikakimbilia police kutoa report Kama nimeuwa
Hapana ndoa hapo wala hapana cha kusibiria
Mwanaume mpuuzi
Tulishaga hiyone iyi yote nimewaza imeendelea
Mume kama uyu toka rudi kwenu bwana kisirani
Duuh hii kali😢
hata kama mume kabla hiyo hata nidhambi kuyaa vumiliya nikheri ulee wazee wako kama wako hayi uta ingiya peponi kuliko matezo ya mume
😅😅
😅😅