MANENO YA AMBER LULU YAMLIZA TUNDA KWENYA BABY SHOWER

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    MANENO YA AMBER LULU YAMLIZA TUNDA KWENYA BABY SHOWER
    #Bonatv #Exclusive #tundanawhozu

Комментарии • 182

  • @maimunaabdalla7146
    @maimunaabdalla7146 3 года назад +5

    From 🇰🇪 tupo wengi Amber lulu tumekosa watu wa kutudekeza tukiwa waja wazito,but worry not my siz,our kids will gv us da happiness we missed frm there dadies.bravo bravo bravo umber 001k

  • @Agnes-qq4np
    @Agnes-qq4np 3 года назад +70

    Ambar kaongea point ukiwa mja mzito mzazi mwenzako akiwa karibu na wewe ni raha sana

    • @fetychina3273
      @fetychina3273 3 года назад

      Yah ila amber alikuwa ana ruka ruka sana kwaiyo mwanaume alikuwa hana uhakika kama kiumbe nichake au sichake dawa nikiwa mwaminifu na kutulia na mwanaume mmoja

    • @nuruemmymkayula861
      @nuruemmymkayula861 3 года назад +1

      @@fetychina3273 my frend kanusha kbsa hyo kaul yako, hat walotulia tuli kwenye ndoa zao yanawapata Kama hayo ya ambalulu Tena saa ingine hat kuongozana na wake zao wakiwa wajawazito hawatak kabsa weee hayajakukuta we

    • @joharichaima4309
      @joharichaima4309 3 года назад

      Tena raha ambayo uwa aiwez kuelezeka

    • @leilatmussa6533
      @leilatmussa6533 3 года назад

      Sana

    • @belak999
      @belak999 3 года назад

      @@fetychina3273 utakuwa ulikuwa unampeleka kuruka ruka, watu kujifanya mnawajua watu kuliko wanavyojijua, bora hata ungesema mwanaume wake hakujua thamsn ya mtoto wake alivyokuwa tumboni

  • @carolineprosper6279
    @carolineprosper6279 3 года назад +2

    Never been a big fan @amber lakini umenigusa❤️Mungu akupe hitaj la moyo wako amber. Everyone deserves some love...

  • @caizieejereya6903
    @caizieejereya6903 3 года назад +12

    Amber amegrow mind Sana🙌

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 года назад +14

    Daaaa jamani kumbe amberlulu una akili namna hii yaani maneno yako yana hekima na busara ndani yake big up amberlulu Mungu akutunze wewe pamoja na mwanao🙏

  • @uwitekamimy3431
    @uwitekamimy3431 3 года назад +11

    Kweli kbs 😭 Hii inauma sana 👏🏻

  • @sheillamwinyi7349
    @sheillamwinyi7349 3 года назад +24

    Mwanao atakupa love ulilokosa amber lulu

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 3 года назад +6

    Poor Amber omg mie nilivokuwa na mimba nilidekezwa jamani adi nilikuwa nawakera wengine. I feel for Amber😢😢😢

  • @zaitunirashidi5532
    @zaitunirashidi5532 3 года назад +12

    The only thing I love about Tanzanian ni tunafata upepo🤣🤣🤣pa kuchamba watu wanachamba vilivo pa kutiana faraj ndo tupo vzr so big up guys

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 3 года назад +12

    Ur the best amber ❤️❤️❤️

  • @maisarakaitaba4347
    @maisarakaitaba4347 3 года назад +31

    Kumbe uaga anaakili janani!!! waoooh

  • @deboraramadhan8663
    @deboraramadhan8663 3 года назад +22

    Umeongea ukweli mtupu dear amba lulu tungepata wanaume kama mfano wa wozu hata leba pangekuwa sio pachungu sana

  • @mercyken9710
    @mercyken9710 3 года назад +10

    Amber love utaipata kwa mwanao tena true love.

  • @naajpatrick9882
    @naajpatrick9882 3 года назад +12

    Some love ❤️ to amber ❤️❤️❤️💋

  • @faithfulphilemon9890
    @faithfulphilemon9890 3 года назад +12

    Amberlulu ameshaanza kujiweka vizuri kiukweli

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 3 года назад +6

    Mungu akusaidie ujifungue salam

  • @aishasaid359
    @aishasaid359 3 года назад +19

    Kweli 😭 I feel her pain

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 3 года назад +14

    Amber lulu jamn amekuw ana akili kanifany nilie kwa maneno yake honger sana 😍😍😍

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 года назад +13

    😭😭😭😭Pole sana amba lulu

  • @asiliyangumwenyewe4277
    @asiliyangumwenyewe4277 3 года назад +29

    To honest maneno haya yamenitoa Machozi.

  • @habibatyntosso1436
    @habibatyntosso1436 3 года назад +3

    Yani mimi nimemuona tu Dr kumbuka anavoangalia kimbea mbea tu 😁😁😁

  • @leanahbusanga8272
    @leanahbusanga8272 3 года назад +15

    Amber lulu nakupenda bure 🥰🥰🥰

  • @modestersylas8846
    @modestersylas8846 3 года назад +12

    Nimekuelewa amber nikiwa kama mama

    • @anthonynetto4503
      @anthonynetto4503 3 года назад

      Atimae saba sita babu mtalajiwa ongera tunda umepiga hatua.kutwa mama siyo jina la ubatizo

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад +3

    Kweli ukiwa mja mzito unahitaji faraja kutoka kwa Mwenye uja uzito

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 3 года назад +4

    Woooo your super woman🔥🔥🔥🔥

  • @dianamajiyapwani
    @dianamajiyapwani 3 года назад +8

    Tukiachana na Amber kuongea cha maana hyo anayokunywa tunda pombe au apple juisi???

    • @farhatyally2766
      @farhatyally2766 3 года назад +1

      Same qn

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 3 года назад +1

      Dah hata Mimi nimejiuliza bila majibu

    • @dianamajiyapwani
      @dianamajiyapwani 3 года назад

      @@ilovejesus9303 Yan labda ni apple juisi mweeh

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 3 года назад

      @@dianamajiyapwani kweli huenda maana Huwa inafanana Sana na bia

  • @winfridapeter969
    @winfridapeter969 3 года назад +10

    Hata Mimi nimepata emotional Kama ya Amber😓😓, Amber amezaa na akili zimekuwa

  • @samweliebe4389
    @samweliebe4389 3 года назад

    Nimeipenda hiyo

  • @nawarbreezy5943
    @nawarbreezy5943 3 года назад +2

    superwomen🙌🙌🤝

  • @mkakenilaizer7675
    @mkakenilaizer7675 3 года назад +6

    Leo umenitoa hata mm machozi

  • @esthermoraa6648
    @esthermoraa6648 3 года назад +10

    She's so smart

  • @neemaalex8123
    @neemaalex8123 3 года назад +2

    Kweli kabisa ila Amber kabadilika sana

  • @evaigulu3322
    @evaigulu3322 3 года назад +1

    Pole amber..imenigusa sana

  • @maryantony2961
    @maryantony2961 3 года назад +1

    Inauma sana wanaume wanapenda watoto wakisha zaliwa wanawake wengi tunalea mimba zetu wenyewe so sad😪😪

  • @hafidhinchimbi4474
    @hafidhinchimbi4474 3 года назад +1

    Whozu God bless you and your family

  • @martinrobertkindago6791
    @martinrobertkindago6791 3 года назад

    Nc point

  • @pendooscar9322
    @pendooscar9322 3 года назад +1

    Nimependa

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 3 года назад +2

    God bless you all kweli kabisa jamani

  • @notyet6178
    @notyet6178 3 года назад +1

    Kwel kabisa Dada ukiwa mjamzito kuna upendo ambawo unahitaj kwa baba!ukikosa nishida xna

  • @sinyobaby9777
    @sinyobaby9777 3 года назад

    Nice talk amberlulu

  • @anethbensoni700
    @anethbensoni700 3 года назад

    Umeniliza sana dada

  • @immeimme2364
    @immeimme2364 3 года назад +1

    So beautiful ❤️❤️❤️

  • @gingarnet5885
    @gingarnet5885 3 года назад +1

    Tunda mrembo kweli tz sweetheart ni tuna

  • @hamisimohamedhamisi3241
    @hamisimohamedhamisi3241 3 года назад +3

    Doctor kumbuka umetulia km wamaana🤣

  • @sasarimashaka3819
    @sasarimashaka3819 2 года назад

    Saf sana 😘😘

  • @sittykeki7
    @sittykeki7 3 года назад +1

    Waooh❤️❤️

  • @maryamjey6340
    @maryamjey6340 3 года назад

    Very true...Umber ww mrembo achana na Masela..

  • @aminaibrahim4148
    @aminaibrahim4148 3 года назад

    On point Amber👍

  • @hapinesssulle5906
    @hapinesssulle5906 3 года назад +1

    So painful

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 3 года назад

    Ongera sana tunda

  • @spreadlove2119
    @spreadlove2119 3 года назад +2

    Dr. Kumbuka nyamaza kabla Masha love hajatua pande hiyo 😣😣

  • @stellah3844
    @stellah3844 3 года назад +3

    Hadi nimelia 😭😭😭

  • @irakozeasya4975
    @irakozeasya4975 3 года назад

    Kabisa

  • @joycechacha7850
    @joycechacha7850 3 года назад

    Shikamoo Amber on point

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 3 года назад

    From 🇧🇮 Saudia kweli iyo dad 😘

  • @foibekajiru6144
    @foibekajiru6144 3 года назад

    Wow!

  • @meckricegaudence7351
    @meckricegaudence7351 3 года назад +1

    Amba kaongea point

  • @rachaeljoseph1685
    @rachaeljoseph1685 3 года назад +1

    Ila inauma kweli wanaume kam mpo acheni ivyo mtupende na matumbo yetu tunaitaji upendo faraja

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 года назад +4

    SHANGINGI NI SHANGINGI TUU, ANA MIMBA LAKINI BADO ANAGIDA BIA! 🙆🏽‍♂️

  • @queensuu4780
    @queensuu4780 3 года назад

    Someone explain please?

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад

    Pole sana

  • @ramahassan9171
    @ramahassan9171 3 года назад

    Umber amekua kweli nimemfurahia sana leo

  • @mwanamkusaidmwajambomwajam1378
    @mwanamkusaidmwajambomwajam1378 3 года назад

    On point

  • @happinessstanley592
    @happinessstanley592 3 года назад +4

    ❤❤

  • @sofiajohn5563
    @sofiajohn5563 3 года назад +2

    nimekupenda bure

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594 3 года назад

    duh naelewa unayopitia amber lkn usjali mle mwanayo mama mungu atakutupa😪

  • @sofiajohn5563
    @sofiajohn5563 3 года назад +1

    nimekupenda bure amber lulu

  • @annadavid9680
    @annadavid9680 3 года назад +1

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @jennylyimo4105
    @jennylyimo4105 3 года назад

    Daaah leo umenena my

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 3 года назад +1

    Pole amber 😭😭😭😭

  • @felisterfelister153
    @felisterfelister153 3 года назад

    Pole amber

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 3 года назад +6

    Maneno matam sana na ni yaukweli ukipata mtu wa kukutunza na kuwa karib kipind Cha ujauzito ni vizur sana

  • @saudangalleni388
    @saudangalleni388 3 года назад

    Pole amber kwa

  • @mremboakedathiumu1040
    @mremboakedathiumu1040 3 года назад +1

    Haki hata mm nililia kwa kweli

  • @najma3268
    @najma3268 3 года назад +1

    Amber mungu akuongoze, ucjali hayo ni Mapito to, hongera sana tunda

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 3 года назад

    Ambar kweli umekua hongera

  • @rozakita7506
    @rozakita7506 Год назад

    🌹💙🌹🌹

  • @mariyaal5366
    @mariyaal5366 3 года назад

    Pole sana Amba Lulu 😭😭😭😭

  • @zubedayunus5745
    @zubedayunus5745 3 года назад

    Dr kumbuka anavyosikiliza utafikiri MTU 😂😂😂anamchoraa tuu,,anamchamba kirohoni

  • @robegodana7459
    @robegodana7459 3 года назад

    Amber uko sawa

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Год назад

    TUNDA MWENYEWE ATA ANA FULAHA

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 года назад +2

    Ambarlulu wewe mwehu, 😂😂😂😂
    Kiukweli nimependa speach ya Amberlulu imenitachi, na napenda watoto ila kilichonifanya nikae mda mrefu bila kumpata mtoto ni hicho alichoongea Amberlulu 😭😭😭😭😭

  • @TheEdnafamily
    @TheEdnafamily 3 года назад

    Love you❤,sweet

  • @binahoza5674
    @binahoza5674 3 года назад

    Nimelia Yani wamama mungu atutienguvu

  • @nyangigenyabitwano1180
    @nyangigenyabitwano1180 3 года назад

    Kabisa jaman

  • @neymollel5574
    @neymollel5574 3 года назад

    Ambar lulu umeongea point nakupenda bure

  • @sirielsamweli5688
    @sirielsamweli5688 3 года назад +5

    Umber nimekuelewa leo hadi nimelia

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 3 года назад

    😭😭😭 kweli kabisa

  • @winifridamushi1341
    @winifridamushi1341 3 года назад +2

    Ukishakuwa na mtoto akili zinacharge

  • @fatmaalhabs6939
    @fatmaalhabs6939 3 года назад +2

    si ugoje nae azae ndio mtaona baba bora

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 3 года назад

      Keshamuona kwenye kulea mimba coz yeye hakubahatika ivo. Pia ni wakati wa ujauzito mahusiano mengi yanapokufaga

  • @mwajabukaseke8710
    @mwajabukaseke8710 3 года назад +1

    Umpndezaaa ambalulu

  • @magrethfrank9294
    @magrethfrank9294 3 года назад

    Daah

  • @agnesakari3312
    @agnesakari3312 3 года назад

    Love amber

  • @sitellamatni6878
    @sitellamatni6878 3 года назад

    Kweli mnatuabisha wabongo bwana😂😂😂😂😂

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 3 года назад

    Umegonga ndipo

  • @yosephawilliam962
    @yosephawilliam962 Год назад

    Nan kaja baada kusema ilikuwa ni kazii duh

  • @estherngowi8102
    @estherngowi8102 3 года назад +3

    Naomba niulizie hawa ndugu zetu wanandoa??? Au ndo sogea tukae?!🤔

  • @hadijashabani890
    @hadijashabani890 3 года назад

    Amba nakukubali sana

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +1

    Ambar kmb zinatuliaga jmn

  • @irenediemond368
    @irenediemond368 3 года назад

    Wachaga awaachi watoto wao

    • @المهلهلالحراصي
      @المهلهلالحراصي 3 года назад

      Walikuwa wachaga wa zamani ila.cyo wachaga wa kileo wanakimbia watoto sana kumbe bado unaishi maisha ya kukariri kuwa wachaga hawachi watoto nyuma