MANENO YA AMBER LULU YAMLIZA TUNDA KWENYA BABY SHOWER
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
MANENO YA AMBER LULU YAMLIZA TUNDA KWENYA BABY SHOWER
#Bonatv #Exclusive #tundanawhozu
From 🇰🇪 tupo wengi Amber lulu tumekosa watu wa kutudekeza tukiwa waja wazito,but worry not my siz,our kids will gv us da happiness we missed frm there dadies.bravo bravo bravo umber 001k
Ambar kaongea point ukiwa mja mzito mzazi mwenzako akiwa karibu na wewe ni raha sana
Yah ila amber alikuwa ana ruka ruka sana kwaiyo mwanaume alikuwa hana uhakika kama kiumbe nichake au sichake dawa nikiwa mwaminifu na kutulia na mwanaume mmoja
@@fetychina3273 my frend kanusha kbsa hyo kaul yako, hat walotulia tuli kwenye ndoa zao yanawapata Kama hayo ya ambalulu Tena saa ingine hat kuongozana na wake zao wakiwa wajawazito hawatak kabsa weee hayajakukuta we
Tena raha ambayo uwa aiwez kuelezeka
Sana
@@fetychina3273 utakuwa ulikuwa unampeleka kuruka ruka, watu kujifanya mnawajua watu kuliko wanavyojijua, bora hata ungesema mwanaume wake hakujua thamsn ya mtoto wake alivyokuwa tumboni
Never been a big fan @amber lakini umenigusa❤️Mungu akupe hitaj la moyo wako amber. Everyone deserves some love...
Amber amegrow mind Sana🙌
Kua mama ni level nyngne
Daaaa jamani kumbe amberlulu una akili namna hii yaani maneno yako yana hekima na busara ndani yake big up amberlulu Mungu akutunze wewe pamoja na mwanao🙏
Kweli kbs 😭 Hii inauma sana 👏🏻
Mwanao atakupa love ulilokosa amber lulu
Poor Amber omg mie nilivokuwa na mimba nilidekezwa jamani adi nilikuwa nawakera wengine. I feel for Amber😢😢😢
Me too
The only thing I love about Tanzanian ni tunafata upepo🤣🤣🤣pa kuchamba watu wanachamba vilivo pa kutiana faraj ndo tupo vzr so big up guys
Ur the best amber ❤️❤️❤️
Kumbe uaga anaakili janani!!! waoooh
Anakomaaa
Umeongea ukweli mtupu dear amba lulu tungepata wanaume kama mfano wa wozu hata leba pangekuwa sio pachungu sana
😂😂
🤣🤣🤣
Jaman!!!
😂😂😂
Kweli jmn inauzunisha😪 mtu unaangalia na tumbolako mwenyewe
Amber love utaipata kwa mwanao tena true love.
Some love ❤️ to amber ❤️❤️❤️💋
Amberlulu ameshaanza kujiweka vizuri kiukweli
Mungu akusaidie ujifungue salam
Kweli 😭 I feel her pain
Vindeozakumbana
Amber lulu jamn amekuw ana akili kanifany nilie kwa maneno yake honger sana 😍😍😍
😭😭😭😭Pole sana amba lulu
To honest maneno haya yamenitoa Machozi.
True my dear, Leo nimeanza kumpenda rasmi kwa haya maneno 😘😍
I love you too
Yani mimi nimemuona tu Dr kumbuka anavoangalia kimbea mbea tu 😁😁😁
😆😆😆
😂😂😂😂😂
Amber lulu nakupenda bure 🥰🥰🥰
Nimekuelewa amber nikiwa kama mama
Atimae saba sita babu mtalajiwa ongera tunda umepiga hatua.kutwa mama siyo jina la ubatizo
Kweli ukiwa mja mzito unahitaji faraja kutoka kwa Mwenye uja uzito
Woooo your super woman🔥🔥🔥🔥
Tukiachana na Amber kuongea cha maana hyo anayokunywa tunda pombe au apple juisi???
Same qn
Dah hata Mimi nimejiuliza bila majibu
@@ilovejesus9303 Yan labda ni apple juisi mweeh
@@dianamajiyapwani kweli huenda maana Huwa inafanana Sana na bia
Hata Mimi nimepata emotional Kama ya Amber😓😓, Amber amezaa na akili zimekuwa
Nimeipenda hiyo
superwomen🙌🙌🤝
Leo umenitoa hata mm machozi
She's so smart
Kweli kabisa ila Amber kabadilika sana
Pole amber..imenigusa sana
Inauma sana wanaume wanapenda watoto wakisha zaliwa wanawake wengi tunalea mimba zetu wenyewe so sad😪😪
Whozu God bless you and your family
Nc point
Nimependa
God bless you all kweli kabisa jamani
Kwel kabisa Dada ukiwa mjamzito kuna upendo ambawo unahitaj kwa baba!ukikosa nishida xna
Nice talk amberlulu
Umeniliza sana dada
So beautiful ❤️❤️❤️
Tunda mrembo kweli tz sweetheart ni tuna
Doctor kumbuka umetulia km wamaana🤣
Hahahahah huendi mbinguni
Saf sana 😘😘
Waooh❤️❤️
Very true...Umber ww mrembo achana na Masela..
On point Amber👍
So painful
Ongera sana tunda
Dr. Kumbuka nyamaza kabla Masha love hajatua pande hiyo 😣😣
🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Hadi nimelia 😭😭😭
Kabisa
Shikamoo Amber on point
From 🇧🇮 Saudia kweli iyo dad 😘
Wow!
Amba kaongea point
Ila inauma kweli wanaume kam mpo acheni ivyo mtupende na matumbo yetu tunaitaji upendo faraja
SHANGINGI NI SHANGINGI TUU, ANA MIMBA LAKINI BADO ANAGIDA BIA! 🙆🏽♂️
Someone explain please?
Pole sana
Umber amekua kweli nimemfurahia sana leo
On point
❤❤
nimekupenda bure
duh naelewa unayopitia amber lkn usjali mle mwanayo mama mungu atakutupa😪
nimekupenda bure amber lulu
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Daaah leo umenena my
Pole amber 😭😭😭😭
Pole amber
Maneno matam sana na ni yaukweli ukipata mtu wa kukutunza na kuwa karib kipind Cha ujauzito ni vizur sana
Pole amber kwa
Haki hata mm nililia kwa kweli
Amber mungu akuongoze, ucjali hayo ni Mapito to, hongera sana tunda
Ambar kweli umekua hongera
🌹💙🌹🌹
Pole sana Amba Lulu 😭😭😭😭
Dr kumbuka anavyosikiliza utafikiri MTU 😂😂😂anamchoraa tuu,,anamchamba kirohoni
😂😂😂😂
Amber uko sawa
TUNDA MWENYEWE ATA ANA FULAHA
Ambarlulu wewe mwehu, 😂😂😂😂
Kiukweli nimependa speach ya Amberlulu imenitachi, na napenda watoto ila kilichonifanya nikae mda mrefu bila kumpata mtoto ni hicho alichoongea Amberlulu 😭😭😭😭😭
Love you❤,sweet
Nimelia Yani wamama mungu atutienguvu
Kabisa jaman
Ambar lulu umeongea point nakupenda bure
Umber nimekuelewa leo hadi nimelia
😭😭😭 kweli kabisa
Ukishakuwa na mtoto akili zinacharge
si ugoje nae azae ndio mtaona baba bora
Keshamuona kwenye kulea mimba coz yeye hakubahatika ivo. Pia ni wakati wa ujauzito mahusiano mengi yanapokufaga
Umpndezaaa ambalulu
Daah
Love amber
Kweli mnatuabisha wabongo bwana😂😂😂😂😂
Umegonga ndipo
Nan kaja baada kusema ilikuwa ni kazii duh
Naomba niulizie hawa ndugu zetu wanandoa??? Au ndo sogea tukae?!🤔
Sogea tukae
Kalibu baby tuishi
🤣🤣🤣sogea tukae ukichoka nenda kwenu
😝😝🤣au tulainishe lugha kuwa wanandoa ya kimila🙌🙌😝😝
😂😂😂
Amba nakukubali sana
Ambar kmb zinatuliaga jmn
Wachaga awaachi watoto wao
Walikuwa wachaga wa zamani ila.cyo wachaga wa kileo wanakimbia watoto sana kumbe bado unaishi maisha ya kukariri kuwa wachaga hawachi watoto nyuma