INAKUWAJE MTUMISHI WA MUNGU AFUNGUE WENGINE WAKATI YEYE ANAISHI CHINI YA VIFUNGO VYA LAANA(Maagano)
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Tena kweli mtumishi mungu akulinde twabudu mungu naitwa Jane Toka malawi
Yesu azidikuwa juu tuu
Amiel your teaching s are wonderful, may God bless you coz you are a blessing to me
Mchungaji. Naomba uniombee rehema wakati sijaokoka nilikuwa sijui kutumia majira kuwani dhambi nikatumia md mrefu yakaja kunisumbua sana tuna yakajifunga kuzaa kabla ya mda wake. Nilivyopata uvimbe tumboni walipinipasua .nikafunga kizazi naomba Mungu anisamehe
Ainuliwe BWANA aliekuokoa ili akutumie ufundishe na wengine wayajue mapenzi ya Mungu alie hai Mungu aendelee kujifunua kwako mataifa wamjue kristo wa nazalet alie hai
Asante mchungaji amiel karibu Mombasa ya Kenya angalau nasi yesu kristo aliye hai atukomboe Kwa laana hizo 🎉😮
Nilijua una Yesu kumbe umeaga
Naomba namba kuhani
Apostle namba yako unapatikana vipi,tutafanya aje kufunja magano ya ukoo
😂😂😂😂 mabinti mpoooo?
Mi nahisi huyu ndiye aliye chaguliwa kuiokoa Dunia
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU pia tunaomba namba yako ya simu
Nawapenda sana nimebarikiwa
Tai ni mtu mwenye nguvu na wewe na huyo
Amina mtumishi wa MUNGU, naomba uje na huku kwetu Kilimanjaro Wilaya ya Rombo tunashida sana naitwa Elizabeth
Niombee na mm kuhani
Hivi mtumishi katekela Bado uko SONGEA!????
Tumeokoka lakini akuna maendeleo
Kweli kabisa dada,wakati mwingine tunadhihakiwa na makafiri
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Nakufunika kwa damu ya Yesu
Amina Amina shetani hana Nguvu kwa jina la Yesu Kristo
Amen 13:47
Amen ubarikiwe san mtumishi mungu azidi kktumia jinsi apendavyo
Amen
Ameeni mungu awalinde Hawa wachungaji
Ezze16-1,4
PROMOVER TV mbarikiwe wana Mungu hii ni wapi na imeanza lini sijabahatika kuina
Amen, ilikuwa Songea wiki jana
Amen Amen Ameeeeeen
Aleluyaaah
Amen
PROMOVER TV mbarikiwe mbona hamjibu maswali yetu? --Dsm
Amen, swali lipi umeiliza?
@@PromovertvTzbwana yesu asifiwe,ningependa mutumishi anielezee LA kufanya
@@PeninahMwendwa Akueleze la kufanya kuhusu nini?
AMEN NIMEBARIKIWA
SHUKURAN PROMOVER TV
😢😢😢😢 woooooii tusaidie Na utuokoe Na Yule muovu
Amina mungu awabariki
Dadktariwarohosautihakuna
Ni kipande kidogo tu,tumerekebisha tayari
🔥🙏🙏🙏💪👏👏👏👏
asanteyesu😮😢❤😅😊
Naitaji kusngumza nawe,hii laana inao dolewa aje
Omba na kuvunja laana za Ukoo ,
HIVI NAEZA ONGEAJE NA HUYU MTUMISHI KATEKELA.. NIPATE JIBU SAMAHANI
Ukipata jibu , uniambie plz🙏
mtafute jacktan msafiri, wa hii tv atakuunganisha
promover tv
@@PetroJosephat-g6e apatikanaje au kwa number gani uyo Jacktan please
Ameni
Amen and Amen ubarikiwe Mtumishi wa Mungu