TENDO LA NDOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • USTAWISHAJI NDOA

Комментарии • 89

  • @guyogalora2736
    @guyogalora2736 8 месяцев назад

    masha Allah shukran jazeelan somo zuri sana

  • @shd12m55
    @shd12m55 5 лет назад +2

    Khadija raj,, Mimi Nakupenda Wewe vibaya mno mpaka Sasa sijielewi kabisa😕

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 3 года назад +2

    🙏🙏🙏🙏🙏👍👌

  • @ramsonramadhan4156
    @ramsonramadhan4156 4 года назад +2

    ruclips.net/video/eREPqvFs7_0/видео.html
    Sawa tutastarehe..asante mama Khadija...kwa darsa zako

  • @mirajihazard2117
    @mirajihazard2117 6 лет назад +5

    khadija vipi wewe unafikishwa kilele

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 6 лет назад +2

    Shukran ya habibty

    • @khadijaraj
      @khadijaraj  6 лет назад

      Hawa Besh afwan

    • @rehemachedi9546
      @rehemachedi9546 6 лет назад +1

      Habari iako kwa jina naetwa Rey au Rehema chedi nimependa zaedi

    • @hawaabubakar2619
      @hawaabubakar2619 6 лет назад +1

      @@rehemachedi9546 Shukran da....jina langu HAWA ABUBAKAR Niko Saudi Arabia kikazi ila natokeya NAIROBI KENYA.....fb & ustawi wa ndoa tuko pamoja

    • @rehemachedi9546
      @rehemachedi9546 6 лет назад +1

      Habari iako dada niabiya

  • @farkhanathuman4198
    @farkhanathuman4198 6 лет назад +3

    Mapenzi ya kitandani kila siku yakondesha sisi watu wa kazi ngumu ngumu tutaishiwa nanguvu.

    • @khadijaraj
      @khadijaraj  6 лет назад +3

      Farkhan Athuman Nguvu inategemea na vyakula unavyokula na kwa siku unakula vhakula mara ngapi,na ni vyakula aina gani

    • @winfredantony324
      @winfredantony324 5 лет назад +1

      Kwa hiyo dada unataka kutuambia ukila chakula vizuri unaweza kufanya tendo la ndoa kila siku.

    • @حسن-ح7م1ق
      @حسن-ح7م1ق Год назад

      ​@@winfredantony324ndio mm i do everyday NA pumzika hedhi tu swez kukaa n mme wangu ktanda kimoja bila uke unanwasha😂

    • @AmisiToty
      @AmisiToty 10 месяцев назад

      Hata ukila chakawaida ilazingatia kunywa maji mengi kufika Lita moja kwasiku itakuwa na nguvu ya kuliendea tendo hadi Mara 4 kwasiku

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 6 лет назад +4

    Mawaidha mazuri sana Bi Khadija lakini wewe mwenyewe umeolewa ama ni kifumbu kazi kukamua wenzio.....ehehehh kitoria kitamu!

    • @khadijaraj
      @khadijaraj  6 лет назад +1

      LENNY FEY. Je mafunzo yaliyotolewa yanaleta mafanikio katika ndoa au la? Personal life kwa hapa sio muhimu kwa wewe kuitambua maana haitokusaidia kwa jambo lolote.

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 6 лет назад

      KHADIJA RAJ pole Bi khadija sikua na nia hiyo dadangu

  • @melvinkalumba3851
    @melvinkalumba3851 3 года назад +1

    So lost nowadays

  • @mwaringakali483
    @mwaringakali483 Год назад +3

    Kongole sana dada kwa mawaidha yako Allah bless you

  • @LatifaMwandu
    @LatifaMwandu 10 месяцев назад

    Ila sielewi kuhusu tezi.kuna mtu alikuwa ana uwezo na ana wanawake wengi mno +mkewe pia kazaa sana zaidi ya watoto 9 wa nje na ndani wakutosha ila alipata tezi

  • @sukariyao6537
    @sukariyao6537 3 года назад +2

    Mie niko mbali na huyo bwana ila nasikia malaya sana huko atomba tomba ovyo 2 huko dada naomba ushauri nimvumilie au nikirudi niwe nae 2 maana mie nampenda sana anajua shoooo 😢😢😢😢😢

    • @khadijaraj
      @khadijaraj  3 года назад

      Kwa ushauri wa mahusiano na ndoa nitafute kwa whtsp +254721960140

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 3 года назад

      @@khadijaraj sawa

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 3 года назад

      @@khadijaraj hiii namba ni ya tanzania au wapi?

    • @khadijaraj
      @khadijaraj  3 года назад +1

      @@sukariyao6537 La nipo Kenya

  • @StadiMtungakoa
    @StadiMtungakoa 10 месяцев назад +1

    Asnt dd yangu khdj raj

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Год назад

    Baadhi ya Wanandoa husumbuana miaka. Sio kwa kuwa hawafanyi tendo la ndoa lakini wanafanya kwa njia ambayo haifuati mafundisho ya Uislamu. Tunaelezwa Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, alikataza watu kufanya tendo kama wanyama. Wanyama hawachat, wanyama, hawachezeani, hawataniani, hawajali kuhusu mwenza kama anafurahia au la...

  • @zakayomili3315
    @zakayomili3315 3 года назад

    Kwani wewe umeolewa

  • @Yubyplanet
    @Yubyplanet 2 года назад

    We mama

  • @thomasduke4402
    @thomasduke4402 4 года назад +2

    You are absolutely right... You are a star baby!

  • @hassanmamera5968
    @hassanmamera5968 5 лет назад +2

    Niko mbal na mcumb wang na siitaj kumsaliti nifany nn ili mwiliwang ubak saw na uume wang uwekweny usaw naomb msaada dada yang

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 4 года назад +1

    Wengine tuko mbali na waume zetu my dear tunafanyaje ?

  • @ramadhaniadamu5993
    @ramadhaniadamu5993 6 лет назад +6

    mama Mimi nmekuelewa ila swali langu ni hili "nitafanyaje kujua ctyle inayopendeza zaidi mkiwa kitandani wakati wa unyumba?"

    • @khadijaraj
      @khadijaraj  5 лет назад

      tizama vido mpya zina maelezo

  • @wencmbilango8622
    @wencmbilango8622 5 лет назад +2

    Safiiiii Hadij Raj hongera kwa darasa safiii

  • @nancykituma8968
    @nancykituma8968 5 лет назад +3

    Mafunzo yko mazuri dada

  • @ramlaali8315
    @ramlaali8315 6 лет назад +3

    Assalamu alaikum warahma tullahi wabarakatu dadaa ,,,dadaa tumekuelewa je nauliza hivi dadaa na sisi tulioko mbali kikazi tufanyeje dadaaa

    • @khadijaraj
      @khadijaraj  6 лет назад +1

      Ramla Ali mawasiliano ya kila wakati yanajenga ukaribu....

    • @tausimussa7587
      @tausimussa7587 6 лет назад

      Ramla Ali

    • @OfficialJouma
      @OfficialJouma 5 лет назад

      Tausi Mussa vipi Tausi na wewe uko mbali/nje ya nchi?

  • @nurually3687
    @nurually3687 5 лет назад +2

    Nimeshuru dada nitakupijia

  • @aminasleman7809
    @aminasleman7809 6 лет назад +2

    Kwali dada

  • @farajiissa7071
    @farajiissa7071 6 лет назад +3

    Nimekusoma

  • @juxtncele6956
    @juxtncele6956 6 лет назад +3

    nakpnda dadangu%%%

  • @estaniyongabire9956
    @estaniyongabire9956 5 лет назад +2

    I need more advises from u dear

  • @mohamedsurur2726
    @mohamedsurur2726 6 лет назад +3

    Sadakta dada yote kweli

  • @arabicsongs3257
    @arabicsongs3257 6 лет назад +2

    Masomo mazuri pongezi

  • @zawadiosman9527
    @zawadiosman9527 6 лет назад +2

    Mashallah

    • @khadijaraj
      @khadijaraj  6 лет назад

      Zawadi Osman TabaaraqaAllah...

  • @sarasospeter8280
    @sarasospeter8280 5 лет назад +1

    uko.vinzuri.sana.

  • @ftmat2805
    @ftmat2805 6 лет назад +4

    Nakupenda dada Sana tu!!

  • @sarahmohamed337
    @sarahmohamed337 5 лет назад +2

    Sasa Nani asiyeyajua haya yote,, wasiojielewa ndowatakao wasikiliza wapuzi Kama nyie

    • @tumainikyomo5646
      @tumainikyomo5646 5 лет назад

      Kwani usipo sikiliza wewe unapungukiwa nini maana umesikiliza ndio umatoa maoni acha upuuzi

    • @hamadisuleman4858
      @hamadisuleman4858 5 лет назад

      Sarah Mohamed Sara vp

    • @enockolando7699
      @enockolando7699 5 лет назад

      Plz dada Unajua mdaa sana kutoa video kuna compare Kali kutoka kwa wenzako you-tube

  • @petermsangi2701
    @petermsangi2701 5 лет назад +1

    I appreciate

  • @annajanuary3276
    @annajanuary3276 6 лет назад +1

    Ahahaha Ahsantee dadaa

  • @jumazamani982
    @jumazamani982 6 лет назад +2

    Ivi bi hadija nimarangapi inapendeza kukutana na mkeo kinyumba kwa wiki

    • @khadijaraj
      @khadijaraj  6 лет назад

      Juma Zamani ikiwezekana hata kila siku ama mara tano kwa wiki. unajua tendo la ndoa linasaidia mno kiafya kwa nyote wawili na hasira/maudhi ya kila wakati hupungua

  • @saidimohammed2455
    @saidimohammed2455 6 лет назад

    A see uko vizuri sana

  • @hassanmwinyijuma8306
    @hassanmwinyijuma8306 5 лет назад +1

    mara moja tu unapata kwa mbinde hiyo mara tano utamsikia yupo kwa mjumbe kaninywea dawa huyu!!!!!!😁😁😁😁

    • @khadijaraj
      @khadijaraj  5 лет назад +1

      Hahaaaa

    • @hassanmwinyijuma8306
      @hassanmwinyijuma8306 5 лет назад

      @@khadijaraj uliniponza nilijaribu kumgusa gusa na shanga nilipigwa kerebu moja nikahisi wako wawili hee sirudiii