Kwakweli hayo ulosema ni kweli maana mimi nimeachika nakupewa talaka kwasababu ya wakwe zangu mume wangu alikuwa ananipenda sanaa ila aliniacha kwasababu ya wazazi wake kiukweli sitowasahau wala kuwasamehe mpaka kesho kwa mungu.
Gggjja Hhhh jmn pole Sana ila ukiwasamehe ndio roho yako itapona, kumbuka wao hawana maumivu km wewe na hawakujali hata, samehe Mungu afungue milango ya baraka. Wanaume ni walegevu sana kwenye ndoa, watoto wa kike tunang'ang'ania tunapopenda
Rukia Chamani mmh atakama umemlea wewe, kwa maumbile yake yupo aliyepangiwa na Mungu kumfurahisha mwanao, wewe utaweza kumkuna haswa afike? Huyo chuchunge ndio anamkuna mwanao awe na furaha lol! Wewe uliisha maliza hiyo kazi na baba yake ndio maana ukamzaa, kwani ulichaguliwa? Je Mkwe wako nae angekuita chuchunge? Rudi nyuma kumbuka ujana wako bwana!
Ya Rabbi tuepushe na Mama kama hao... Hilo ndio napitia mm hivi sasa.. Mungu nipe nguvu nijadilieni na mkasa huu...
Mungu amuhifadhi pema peponi inshaallah, nauliza alijaaliwa kupata watoto marehemu ?
Dada umeongea.. naomba wakupe kazi uwaelimishe wazazi wote.
Watapata sana#bi Sandra moja kwa moja
ManshaAllahu kipindi kizuri sanaa pia na nawewe muongeajii unaongea vizuri kwasauti yako ManshaAllahu
Teeenaaa
Ushauri tu huyu Dada mkifungua na 📻 wasafi Bas mueken kwenye kipind cha mambo ya taarab atafaa sana yupo kipwan pwani zaid.
asante fatma
Wakwee zangu ndoo tabia zao ipo siku watanipenda tuu adi raha jamani umenifuraisha fatma abdillah 💔💔💔💔💔
Khalidi Mohamedi kweli kbs
Masha allah
Moja kwa moja kwa bi sandra
Ongera kwingwi kwa maneno mazuri
Na kweli Dada kama mm nliletewa mwanaume naliaga baka Leo nililuka mkojo nikakanyanga mavii
Mbona download hairuhusiwi
haswaa dada love you
Nice
Mashaallah nimekupenda bure
Waambieeee aooooh
Sawadakata biFatma Allahuma bariki🙏🏿🙏🏿
Shukran
Nakukubali sana kungwiii
Shodris tv TV nataka nilete nije kukuchumbia kama bado hujaolewa
😂😂😂😂😂 hii habari imfikie yule pale kama namuona vile 😂😂😂
Apo kweli
Sumeya Khamis una mume wewe kama bado nipe nafasi
Tumewashaaaa
Anacheza na ajira yake huyo bi Sandra akimsikia,keshajambia moto huyu jamani lol
Cleopatra Efatha
😀😀😀😀😀🔥
mama namna huyo mchawi
Mashallah, kipindi kitam ila kifupi, inamuhu Bi mwafulani hii😂😂😂 staki mapovu.
Saumu Hassan 😂😂😂😂😂😂
😅😅 raha tupu
Amina Abdallah umeona heeee!!!!
Upo sahihi correct
Yapo bi Fatuma warureeee
Daah... Ni sahihi kabisa
mashaharthw
Halooo santhaaaaaaaaa
Dada kungwi Fatma me napenda San hy mgauni yako je naweza yapata wap me nipo zanzibar
Victoria Chesco 2dubai colection watafute instagram ndo wanao mvisha hayo magauni
Apo kwenye kunywa maji ki kuku kuku ndo pameniuwa mbavu 😂😂😂😂😂
Da dada ume damshi dada 😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😀
😭😭😭😭💔💔
Mama dangotee isikie hiii
Acha nijionee
Mama dangote Ope umeckia haya
Amexkia ilobaki kumuombea mungu
Amlazee pemaa dadaetu fatuma😥
R.l.P 😥
Kwakweli hayo ulosema ni kweli maana mimi nimeachika nakupewa talaka kwasababu ya wakwe zangu mume wangu alikuwa ananipenda sanaa ila aliniacha kwasababu ya wazazi wake kiukweli sitowasahau wala kuwasamehe mpaka kesho kwa mungu.
Gggjja Hhhh jmn pole Sana ila ukiwasamehe ndio roho yako itapona, kumbuka wao hawana maumivu km wewe na hawakujali hata, samehe Mungu afungue milango ya baraka. Wanaume ni walegevu sana kwenye ndoa, watoto wa kike tunang'ang'ania tunapopenda
Inauma sana basi tu
umemsema mama dangote kabixa
Love the show but why do your face and hands look like they of two different people.
Inamuhu bi Sandra hiyo
Aisha Yahya sandra ataka mwanae aoe sio adange dange..
Aisha Yahya Umeona heeeeee!!!
Hahahahaha mbona aoe
Ta bien dit de pus En france
Elarif Mohamed elle ne connais pas français c'est swahili & anglais ,et toi tu comprends pas swahili ?
Sio mama tu na mawifi na mashemeji is the same
Neema Kilomoni hata wababa loh
Mond uyo
haha yan umenikonga nyoyo bibie kungwi🤣🤣 maneno yako kuntu
Kipindi kizuri
Kipnd kinaanzia saaangap na jngap
Kipind kizur sana
Udongo unakula yani huyu dada kafariki
Wee mwanangu nimlee kwa taabu zote mwishowe aniletee mwanamke km chuchunge! !! Inahusu. Namtimulia mbal. Uko wap bi Sandra!!!
Acha ujinga mtoto anauma ukizingatia kijana wakiume ndy anaongeza ukoo lazima tufuate mtume Muhamad SAW katufundisha nn about kuoa na nafasi ya mzazi
Rukia Chamani Basi akuowe mwenyewe shogare Mana we una moyo wako na mwanao pia ana moyo wake huyo ulompenda ww muowe wewe aalaaaa
Rukia Chamani mmh atakama umemlea wewe, kwa maumbile yake yupo aliyepangiwa na Mungu kumfurahisha mwanao, wewe utaweza kumkuna haswa afike? Huyo chuchunge ndio anamkuna mwanao awe na furaha lol! Wewe uliisha maliza hiyo kazi na baba yake ndio maana ukamzaa, kwani ulichaguliwa? Je Mkwe wako nae angekuita chuchunge? Rudi nyuma kumbuka ujana wako bwana!
@@ilovejesus9303 kweli kabisa
Kipindi kizur.....
kipindi huku kina anza muda gan
Kinaanzaga saa nne asubuh
Kwa mwaka gani unaulizia
utafukuzwa kwa KIPINDI wewe na FINAL SAY a.k.a #SANDRA
Bi bi 😂😂😃😂😂
joka
md
Wanma
Wangema