Kwahiyo mwanamke haitaji kufanyiwa vitu hivyo acheni kuwapumbaza wanawake wakawe watumwa kwa waume zao kama kusingwa na mwanamke anahitaji kusingwa kukandwa mwanamke anahitaji kukandwa
Mmh hakuna muda mwenzangu.. Ukimaliza kula mna nusu saa tu mume kwenda Isha na taraweh. Tena mume kachoka akwambia kabsa nizimie na taa kidogo nipate kupumzika japo robo saa.. robo saa inayobaki anamka kuoga kuharakisha kwenda miskitini.
Jamani mnaifanya ndoa kua kitu kigumu sasa unamuandaa mume kama anaenda kuoa leo...hii ntamfanyia mume wangu lkn sio kilacku...apo unaweza kosa ata muda wa kufanya IBADAH. Unamfanyia yote hayo kama niwakuenda ataenda 2...
Kwanza yeye huyo yote anafanya?au ndio blaa blaa tupu kusumbuwana 🤭🤣🤣🤣🤣🤔sijui mayasmini sijui mdalasini na Thom spices zote za pilau mme ananuka utasema katoka factory ya binzari 🙈😢🙈💔no time samahani
Tatizo ni mda tu kwa mfano uikiwa na mtto mdogo nyumbani pekee umeshampikia ftari mume umeshaoga sasa wataka pumzika mara mtto anakusumbua mda huo wakumshulikia mume utaupataje?
@@mahmoodalghefeili5370 ehe ndo ivo sas chumba kimoja una mtto ana miaka 4 au mitano na watto wenyewe wa sas je amma.unaweza kuvaa dres tupu apo ni lazima mkae kama mpo ofocn adi watt walale
Tenaaa katik watu wasoshiba bac wanaume jaman kwel wapo wanaoridhika lkn ktki wanaume 100 bac utakuta anaeridha ni 1 au hamna kabisa hayi yote tuwafanyie tu ili kuwafurahisha
Sasa hapo mmeongea SINGO AMA MLO?KHAAA kiukweli wanawake kaz tunayo.kaz nyingi,watoto,nyumba lkn tutajtahid.singo kwa mwez mara 1 tu yatosha au miez 2 kwa mara moja..waume wenyewe hawabebeki pasua vichwaa🤣
Nonsense mtaumia sana wakati waarabu wenye walileta uislamu wake zao hata chupi hawaguzi, hata chakula hawapiki na mamaids ndio hupika, eti kusinga, muarabu aanze kumsinga mwanaume after iftar???? Mm nasikiagatu ugomvi tena sio ugonvi mdogo after wamekula baada y Ramadan talaka wanafki nyie.
si mpka awe na salio shost utamuuliza anakula nini mfuko ana vumbi tu?!
umeona eeeh inabid wangalie pande zote na ambao hawna uwezo
Salha Daudy kabisa my
Hshaaaa umejua kunifurahisha siku hizi watu hswataki kupumzikiwa
Salha Daudy,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😀😀😀😀umenifuraisha sana lakini ni kweli mwenzang umeachiwa elfu tano ukamulize anakula nini
Hahhaha hpo sasa
Mimi anajua kiswahili mdogo...but. I like it this program....thank you sister
What a wonderful program plz madam Salma upload so many video we need it to learn more from you.thank you very much
I appreciate these teachings
Mashaallah uko mankini sana shukran
Hodari weye Mashallah. Programme yako ya kula kweli nzuri.. Kama kwangu ndio navofanya. Tunafungua na tende na maji tu tunaenda kuswali.
mamba za cn
Kwahiyo mwanamke haitaji kufanyiwa vitu hivyo acheni kuwapumbaza wanawake wakawe watumwa kwa waume zao kama kusingwa na mwanamke anahitaji kusingwa kukandwa mwanamke anahitaji kukandwa
Una akili kma zangu😂😂
@@gladylaizer8240 ume onaa
kweli kila siku twausiwa sisi tu
Kweli kabsa tenaunaweza mfanyia yote akakuzalau vilevile hawajema kikubwa maelewano tuu
Ndo hujengw na watu wawili mke hata kama ujijaze vip kMa hamna ushikiano hamna kitu
Shukrani kwakipindi kizuri mungu awabaliki
Mashaallah
Maa Shaa Allaah
Ahsante kungwi
Nice program and understandable language
asante daa sakina najifunza mengi
Da sakina nakupenda ovyo ovyo muaaah
Hyo mnayo ongea n ukweli lkn ht umbebe w kukuudhi atakuudhi
Masha Allah naomba no yako
Mmh hakuna muda mwenzangu.. Ukimaliza kula mna nusu saa tu mume kwenda Isha na taraweh. Tena mume kachoka akwambia kabsa nizimie na taa kidogo nipate kupumzika japo robo saa.. robo saa inayobaki anamka kuoga kuharakisha kwenda miskitini.
Mashallaaah
Mtaratibu... Mashallah
Zasaiz kungwi naomb msaada nisaidiy Jina la kitezo kile cha umeme ili nikitafut
Asante
Jamani mnaifanya ndoa kua kitu kigumu sasa unamuandaa mume kama anaenda kuoa leo...hii ntamfanyia mume wangu lkn sio kilacku...apo unaweza kosa ata muda wa kufanya IBADAH. Unamfanyia yote hayo kama niwakuenda ataenda 2...
Hahaha play party yako tuuu muhimu arudi tu nyumban 😅
Wanaume wa kiswahili hata uwafanyie nn bd nishida tu
Hali ngumu sanaaa weeee hivyo vitu unapata wapii 😂😂😂kununua futari mtihaniii
Nasra Hussein akiamungu mimi nacheka na hizo comments za watu hahahahahahahaha
حواء جمعه خميس cheka sanaaaa hali ngunuu
Nasra Hussein, hahahahahahaha kweli mwenzangu ukila magimbi na uji unashukuru sembuse hayo mavitu
Nasra Hussein 😂😂😂😂😂😂😂
Mwanamke sio mtumishi wandani,mwanamke ni maapambo yanyumba!!dini haifundishi ivo...
Usipojali tumbo la mume wako hayo mapambo yako yatamsaidia nini?
Kwanza yeye huyo yote anafanya?au ndio blaa blaa tupu kusumbuwana 🤭🤣🤣🤣🤣🤔sijui mayasmini sijui mdalasini na Thom spices zote za pilau mme ananuka utasema katoka factory ya binzari 🙈😢🙈💔no time samahani
@@jamilajamila9682 yeye kafikisha ujumbe kama unaona hayakufai basi unanyamaza tu ndugu yangu katika imani
@@jamilajamila9682 🤣🤣
@@jamilajamila9682 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tena mume akimaliza kula wengi hawataki kulala wanasema wameshiba wanakaa mtu anangalia news kama dakika kadhaa hivi.
Unapendeza sana nikama vile ulijipanga mwaka mzima kabla ya upload the video.
Kungwi nakuku bali toto lakiarabu unamambo wewe😘😘
maashalla allah akuweke kwenye ndoa yako
Farhat Omar 😘😘
Shukran
Naaam kungwii salmaa
Ahsant salmaa
Tatizo ni mda tu kwa mfano uikiwa na mtto mdogo nyumbani pekee umeshampikia ftari mume umeshaoga sasa wataka pumzika mara mtto anakusumbua mda huo wakumshulikia mume utaupataje?
Bad xx ume sema my sisi wenyewe watt
Tena ukikuta nymba zenyewe za kupanga vyumba vimoj vimoja mtihan wallah mnakaa ndan kama mnataka kutoka mana ata nguo hamgunguz 😁😉😉😁
@@hussnabakary3507 🤣🤣🤣🤣🤣
@@mahmoodalghefeili5370 ehe ndo ivo sas chumba kimoja una mtto ana miaka 4 au mitano na watto wenyewe wa sas je amma.unaweza kuvaa dres tupu apo ni lazima mkae kama mpo ofocn adi watt walale
Misipendi kupika jamani🤣
masha Allah
Mamy naitaj kujua umechanganya vitugan? Ktk asumini
Wachoyo hawasemi
@@faridamohamed3561singo ndiyo nini
nimeipenda hii ya kumsinga mume baada ya futari, mashallah
Singo ndiyo nini
Kila sku mnafundisha wanawake na wanaume je au ni malaika wao 😏ovyooo
mashaallah
Huko kusingwa ni nn?
Hata mie nauliza hivyo
Vitu vengine hufanywa na mahawa kwenye ndoa huwa ngumu,una watoto kazi zoote wafanya wewe huo wakusingana uko wapi wachoka mwanamke hatari
Kweli kabisa unasema ukweli. Halafu pia kwa nini always ni upande wa wanawake kumfanyie mume, Je na ss pia tuna penda kudekezwa, au vp..?
@@juwairiyamambo hapo sasa
@@juwairiyamambosingo ndiyo nini
Singo ndiyo nini
😁😁
waume wenyewe wakowp utaminyana mpak povu likutoke mwisho wa siku anatoka kwenda huko
Kbsa
Nadyaaa😂😂😂😂😂
🤣
😂😂😂😂😂
Singo ndiyo nini
Tena huyo na mambo yote unawezakuta mumewake anachepuka
Tenaaa katik watu wasoshiba bac wanaume jaman kwel wapo wanaoridhika lkn ktki wanaume 100 bac utakuta anaeridha ni 1 au hamna kabisa hayi yote tuwafanyie tu ili kuwafurahisha
Salma huna ujualo ...hvi vyuo vingpi umepita..jamani hawa wanaojiita makungwi mitandaoni tuwenao makinisana...mdomotuu
Kabis
Kuhusu simu nakuunga mkono haki
Mwanamke kama unakuta bado anasalitiwa😒😒☹
Ndo ninapochoka hapo mm
Salma anafurahisha moyooooooo
Wadanganye waso jua kiaarbu kuhusu shorubah ya habuu nyeupe
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kwenda zako ww taulo 2 Kwan umeulizwa
Jamn naitaji mafunzo ya kutosha
Mimi pia
Singo asaa baada ya ftari basi ushamkosesha taraweh mana singo asaaa haaaa taraweh itamshindaaaa
Singo ndiyo nini . Nifundishe
Weee mwanamke chizi kwelii ina maana mwanamke akadageee ilii mshibishe bwana si mpaka awe anavichumaa na kuvileta ndanii pumbaaaavu weweee
Sio lazima hata ukimpikia magimbi kila siku mbadilishie radha
Jamani tufundisheni kutengeza vitu gani mnatoya ya kumsinga bwana
Thuraiya Al Kindy 😘😘😘
Singo ndiyo nini
Hi mie nimelipenda hilo buibui lako umenunua wapi?
Mimi naona kwa kumaliza kufutari si rahisi hayo mambo na kuhusu vyakula pia uwezo uwo haupo kwa hili hata wewe unasema tuu usitudaganye
Sasa hapo mmeongea SINGO AMA MLO?KHAAA kiukweli wanawake kaz tunayo.kaz nyingi,watoto,nyumba lkn tutajtahid.singo kwa mwez mara 1 tu yatosha au miez 2 kwa mara moja..waume wenyewe hawabebeki pasua vichwaa🤣
Mm ata sisem nawasikiliza tu wanaume ata uwafanyeje mwisho utaambulia kulia tu
@@mahmoodalghefeili5370singo ndiyo nini
Singo ndiyo nini
Mke mkabidhi mumeo mwili akuandae ipasavyo taratiiibu
😂😂😂😂😂😂😂
Jee iyo yakusingiya umechagaya nanini atujaelewa
We kwani mtu wa wp au m,bara
@@shufaahatibushelukindo8838singo ndiyo nini. Nifundishe
Uku juu mama sekina
Y
Nonsense mtaumia sana wakati waarabu wenye walileta uislamu wake zao hata chupi hawaguzi, hata chakula hawapiki na mamaids ndio hupika, eti kusinga, muarabu aanze kumsinga mwanaume after iftar???? Mm nasikiagatu ugomvi tena sio ugonvi mdogo after wamekula baada y Ramadan talaka wanafki nyie.
😂😂nimecheka kwasaut kwakweli nakweli sijaona hayo kwa mwarabu labda ugonvi baada ya ftar
@@rukiabaybe8594 ila ndio ukweli mtupu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣watanzania tumejitwika mzigo hatari
Kabisa
@@Quilant749😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
kwani lazima iyo ndoa
layma peace ndoa stara dadaa
😂😂😂😂😂😂
@@fatmakiraga4016singo ndiyo nini. Nifundishe
Jamani niambieni uko kusinga na mwasingana na nn maana nataka kwenda ingia ktk ndoa