🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • 🔴#Live: SIRI ITAKAYOKUPA MKE, MUME SAHIHI, HIZI NDIYO SABABU ZILIZOVUNJA MAHUSIANO ya WENGI | MAPITO
    KWENYE MAPITO ya wikii hii mgeni ni Deo Sukambi mwanasaikolojia, pastor na mshauri wa masuala ya mbalimbali ikiwemo mahusiano na ndoa...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 71

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +1

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @charlesbabag1424
    @charlesbabag1424 Год назад +14

    I wish watu wakuelewe zaidi hapo kwenye zawadi nakujitoa, usitoe zawadi ili upendwe toa zawadi sababu unapenda💪🏾 mnunulie mpenzi au mpe kitu mpenzi wako kwa mapenzi yako sio kwaajiri yayeye kukupenda

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 Год назад +7

    Wee ndugu unaweza kusaidia watu wengi MOLA AWE NAWE

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Год назад +5

    Uyu baba ameongea ukweli mtupu

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    Uko sahihi 100%
    Mwanaume ndo kila kitu jmn,ahudumie familia
    Wanawake acheni kuhonga wanaume pesa, hela ya mwanaume tamu aisee ...
    📌📍Waambie pastor

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    Tukielewa haya tutaishi kwa raha...
    Kwakweli mwanaume anihudumie tu siwezi kumpa hela wala kuchukua majukumu yake
    Usimpe mamlaka mtu ya kukunyanyasa,nimekuelewa.
    Upendo na lengo 🤔
    Nimekuelewa.....

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 11 месяцев назад +2

    Da,unaweza kulikoroga bila hata kujua, asante kwa elimu

  • @GraceKassim
    @GraceKassim 6 месяцев назад +1

    Nimejifunza kitu kikubwa sana asante sana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    Khaaa
    Unafua,unapika 🙄😳na hajakuoa😂
    Sifanyi hiyo biashara
    Kila mmoja apambane na Hali yake 😂

  • @angelsylvester4795
    @angelsylvester4795 Год назад +4

    Kaka deo unaongea vitu vizuri sana wanaume wangesikia wengi wangepona hali ni mbaya

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974 Год назад +4

    I listened twice,,, mtaalam Deo kaongea mambo ya kweli ......

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Год назад +4

    Mm ndani nna vidonda haswa

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 7 месяцев назад

    Points tupuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu mchungajiii

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    Huu ni ukweli jmn
    Wanawake tumezidi kuingilia majukumu ya wanaume.
    Kwakweli mwanaume ameumbwa kutoa

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 7 месяцев назад

    Tiba ya vikombesss tuipateeee

  • @RehemaMsengi-rp5wg
    @RehemaMsengi-rp5wg 3 месяца назад

    Huo ndiyo ukweli ubarikiwe

  • @gloryminja822
    @gloryminja822 Год назад +1

    Kweli usimtatulie mwanaume matatizo yake atatafutamwingine

  • @زوهرها
    @زوهرها Год назад +3

    Jamani kaka umeongea ukweli mtupu somo zuri sana ila ajiandae atakae kuja maana atalala njaa maana mtu hatoi pesa hadi umuombe hata ukiomba hadi ajishauri mwisho naamua kufanya mwenyewe sasa atajuta ajae

  • @bediabahati7700
    @bediabahati7700 11 месяцев назад +1

    Yani uyu mu kaka ni fire🔥 kila unacho ongeya ni point tupu wana wake wengi tuna jipendekeza ku wana ume tukizani njo tutapendwa mana wengi nawa juwa ashwa ashwa kwenye inchi iyi ya .Marekani wana wake wa hapa wana ume awa tusamini na mana tuna jipendekeza kwaku chukuwa majukumu yasiye kuwa yetu mwishowe wana tuacha wana ende ku owa wana wake. Afrika ubarikiwe Mwana muke ata Kaye shindwa kujifunza kwa somo 👆🏿hili wewe sijuwi atakama ukipewa dawa kutoka .Chine😂😅 ita ku ponya mana muchanga nyiko wa dawa yenye ugonjwa wako iyo hapo asanteni👂🏿 ✍️🏿❤❤ God bless you Brother🫂🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @fridajoseph38
    @fridajoseph38 Год назад +1

    Duh nmejifunza kitu

  • @akimanaasiya4654
    @akimanaasiya4654 Год назад +2

    Mungu andeley kumlinda sn huyu baba 🥰

  • @MariannaJoseph-uv2sp
    @MariannaJoseph-uv2sp 5 месяцев назад

    Nikweli kaka

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 8 месяцев назад

    Maashaallah wewe Baba Munguakulipe heri. Manenonikwerikabisa. Wanaume akikufatamchunguze niayake hawanamapenziyakwelinipesatu

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze6376 Год назад +2

    Zari anauliza vizuriiii

  • @redmioman4371
    @redmioman4371 Год назад +2

    Asante sana kwa somo zuri jaman

  • @KaviraKighoma-d1j
    @KaviraKighoma-d1j 7 месяцев назад

    Past deo Mungu akuongezee maarifa ili nasi tuchote kwako baba

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze6376 Год назад +1

    Wanawake hata hawataki kusikia kuwa wana haja ya kujitibia saikolojia zao niko nao hapa wanasema maisha yenyewe haya mafupi

  • @KaviraKighoma-d1j
    @KaviraKighoma-d1j 7 месяцев назад

    Yaani mafundisho nizuri kweli kweli

  • @shhwhw7763
    @shhwhw7763 Год назад +1

    Ana maneno mazito huyu baba

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 10 месяцев назад

    Utampendaje bila kukupa anachotaka unampenda mwanamke kwa kumuangalia jamaa huyu bhana Mimi taona anakibuli na napiga chin

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Год назад +4

    Jamani Mimi natetemeka mpaka najifunika, Asante Sana nimeguswa Sana yote mliyoongea yananiusu,

  • @esthererasto
    @esthererasto Год назад +1

    God bless u man ......ukweli mtupu.jmn...

  • @DorahAlbert-e8w
    @DorahAlbert-e8w Год назад

    Sasa km tukitengeneza upendo sisi wenyew pasipo kutumia zawadi km ushawishi,je kwa upande wangu Mimi mwanamke ambaye Nina mpenzi wangu ambae mara hanisaidii wakati ana uwezo wa kunisaia ninapokuwa na shida!?kipato chake ni kikubwa na mimi uwezo wangu mdogo

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 Год назад

    Ukweli mchungu jamani uiiiii sindano inauma mno ila ndo napona jamani😩😩😩pastor ubarikiwe miaka mia 🙏

  • @rahmamohamed5614
    @rahmamohamed5614 Год назад

    Nimekupenda burreee
    Chukua tu maua yako🎉🎉🎉

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini2646 Год назад

    Kama hakuna anayeweza kutatua majeraha ya mtu slijeruhiwa, wataramu wa kisaikorojia kaziyao wayayoifanya niipi?

  • @nyiranzimami728
    @nyiranzimami728 6 месяцев назад

    Unaongeya Ukweli past❤

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Год назад +1

    Hili somo kabisa

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 10 месяцев назад

    Amina

  • @maryammohammed5835
    @maryammohammed5835 Год назад

    Pastor DEO nimependa kipindi hiki.. Hongera sana

  • @sharifakhamis1145
    @sharifakhamis1145 Год назад

    yaani dahh we kaka mungu akupe afya njema na umri mrefu unatufundisha mengi nimejifunza mengi kila unachoongea kinanigusa😢

  • @maryammohammed5835
    @maryammohammed5835 Год назад

    Pastor DEO nimependa kipindi hiki.. Hongera sana

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 Год назад

    Nimekuelewa sana baba mzuri nitakua mpya sasa

  • @LeahMuganyizi
    @LeahMuganyizi Год назад

    Asante sana kwa maelezo mazuri shida ni hawafuatilii wakasikia

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe 11 месяцев назад

    Madini yameturiav

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 10 месяцев назад

    Hapo changanya na zako

  • @BarnabasKavishe-pt2hs
    @BarnabasKavishe-pt2hs Год назад

    Upon sahihi sana dkt. Siamini ktk zawadi eti ndo upendo

  • @zaitunisingano8295
    @zaitunisingano8295 10 месяцев назад

    Aisee maneno mazuri sn👏

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai4250 Год назад

    Pastor Deo nimekuelewa sana sana

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 10 месяцев назад

    Waalim n weng aisee

  • @Oye494
    @Oye494 Год назад

    Sasa mukisha zara watoto nivigumu kutupa ndowa ndomana sisi wa maman tunavumiriya. Wanaume wanatuonyesha kama ni wabaya kama tumesha kufunga ndowa. Nivigumu sana kuishi nawaume. Sisi wa mama tuko na moyo ya uruma sana.

  • @hadijarajabu7306
    @hadijarajabu7306 Год назад

    Jaman mpaka raha unaongeq ukwer kabisa

  • @LeahMuganyizi
    @LeahMuganyizi Год назад

    Somo zuri mnooo!!nondo imekaaa vzr

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 7 месяцев назад

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @salasala9114
    @salasala9114 Год назад

    Ume ongea puent sana kaka somolako nime jifuza kitu

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha3813 10 месяцев назад

    😂😂😂😂❤

  • @LeahMuganyizi
    @LeahMuganyizi Год назад

    Kweli kabisaa

  • @esthernakawule7009
    @esthernakawule7009 Год назад +1

    Thx for da show

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Год назад

    Kweli kabisa 😜

  • @DorahAlbert-e8w
    @DorahAlbert-e8w Год назад

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @neemashadii4702
    @neemashadii4702 Год назад

    😊

  • @KataliwaComicSeries
    @KataliwaComicSeries Год назад

    Grande applause. Loved this!

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 Год назад

    Really man thanks

  • @نجمةموبيبي
    @نجمةموبيبي Год назад +1

    Kaka asante sana , nimejifunza , akili inazidi kupata chakula , akili inazidi kuingiza vitu vipya zaidi

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 Год назад

    🙏🙏🙏 baba unajibu maswali kwa husahihi Sana.
    Kupona ndani kwanza 👍
    Jeraha halitibu jeraha
    Ubatikiwe

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 Год назад

    Uko vizuri mwalimu sukambi. Unatufundisha uharisia wa maisha.

  • @boobohhh3029
    @boobohhh3029 Год назад

    Kweli kweli kbs👌⚘