NENO LA SIKU | Mathayo 5 | Maombi Ya Kuvunja Vifungo Vya Maneno | Isaac Javan

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Leo tunasoma kitabu cha Mathayo sura ya tano, na tunaenda kufanya maombi ya kuvunja vifungo vya maneno. Katika maisha haya, watu wengi wamefungwa kiroho kwa sababu ya maneno. Inakuwa hivyo kwa sababu maneno yana nguvu ya kiroho ya kubadilisha maisha ya mtu.
    Maneno yakitumiwa vibaya yana uwezo wa kuharibu maisha ya mtu. Katika siku ya leo tunaenda kuomba ili YESU atufungue na kutuweka huru kutoka kwenye kifungo cha utumwa wa maneno. Nakuombea Mungu akutane na wewe siku ya leo, na akushindie kwa utukufu wa jina lake. Mungu akubariki sana na kukulinda. Amen!

Комментарии • 41