MADEE - Wimbo Wangu na MB DOGG ni Zaidi Ya Starehe wa FEROOZ | ULIWEKA HISTORIA BONGO FLEVA (Part 2)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Sehemu hii ya pili ya mahojiano kuhusu historia ya muziki na maisha ya mwanamuziki MADEE, anaelezea vile alivyosaidia kumtoa MB DOGG. Na pia anaelezea zaidi kuhusu kibao cha kihistoria katika muziki wa Bongo alichofanya na MB DOGG baada ya kumtoa CHELEA MAN kwenye Collabo. Pia amemzungumzia P-Funk na kuwataja Wagosi wa Kaya, Juma Nature na Ferooz.
    #madee #bongoproject #tiptopconnection #pfunkmajani #bongofleva #mbdogg
    Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
    --------------------
    WEBSITE
    --------------------
    bongoproject.org
    --------------------
    SOCIAL MEDIA
    --------------------
    Instagram: / bongo_project
    / bongo-project-10256641...
    --------------------
    CONTACT
    --------------------
    Email: info@bongoproject.org

Комментарии • 8