WANANCHI ARUSHA WACHARUKA KUTOKUONEKANA KWA MAKONDA "SASAHIVI ANASEMEWA, KUNA KITU CHINI YA KAPETI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 852

  • @hawamafuru6791
    @hawamafuru6791 2 месяца назад +111

    Kiukweli Ina Uma Sana kila akitokea mtetez wa wanyomge Mambo yanakuwa tofaut daah makonda wetu mungu akulinde popote ulipo Aaamiini

    • @MaryOman-tc1nt
      @MaryOman-tc1nt 2 месяца назад

      😢😢😢amin

    • @TellaaxisTz
      @TellaaxisTz 2 месяца назад

      ruclips.net/video/66Qq6RjxAjI/видео.htmlsi=F2dT_RUjEtt5bTyI❤

    • @christaoman8890
      @christaoman8890 2 месяца назад +3

      Kwa kweli inasikitisha sana wa Tanzania lazima tujiulize vizur mbona akitokea kiongozi mzuri lazima wafanye juu chini wamuondoe duniani nchi inapata sifa mbaya mbaya sana

    • @officialmanji4438
      @officialmanji4438 2 месяца назад

      Amina

    • @josephdogani3419
      @josephdogani3419 2 месяца назад

      Amelaaniwa amtegemeaye mwanadam.kujiita mnyonge ni utaahila wa hali ya juu . Huyu anafaidika na utawala mbovu uliokupa unyonge huo.
      Mterezi was kweli was wansnchi ni mtu au chama kinachodai kstiba Bora ya wananchibi ikayokupa mamlaka ya kuwawajibisha viongozi wazembw kwenye box LS kura n kukupa sauti wewe mwanabchi.mtetexi was wanyonge ni yule ansyepigsnia sheria mbovu ziondolewe bunge lenye nguvu mahakama yenye nguvu na taassisi imala.
      Makonda si mtetezi was wanyonge. matatizo yote anayoyatatua yametengenezwa na chama chake .yataendelea kuwepo na kuzudi.
      Ccm inafaidika sana na unyonge wenu

  • @swaiagnes6696
    @swaiagnes6696 2 месяца назад +60

    Mungu amlinde tu huyu baba.. kiukweli utendaji kazi wake naupenda sana.

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo1969 2 месяца назад +43

    Wamlete tu Makonda kiukweli hata mimi nampenda sana mkuu wa mkoa.Nauelewa sana Kaka yangu Makonda tunaitaji kumuona Makonda.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Mungu tunakuomba umlinde sana Makonda kwani tunamuitaji sana katika nchi yetu❤

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 2 месяца назад +109

    Daah makonda anapendwa saaaan❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 2 месяца назад +7

      Yani hakuna mfano ni kipenzi cha wengi mungu amlinde na mabya 🤲🤲🤲

    • @MagrethFrank-q9c
      @MagrethFrank-q9c 2 месяца назад +1

      mungu wangu sikia maombi yangu mponye kaka yangu makondo

    • @MagrethFrank-q9c
      @MagrethFrank-q9c 2 месяца назад +4

      mungu ninakuoba usiruhusu mauti juuu ya makonda itukufu itakurudia ww

  • @leocadearzengo4606
    @leocadearzengo4606 2 месяца назад +77

    MWENYEZI MUNGU mlinde mwanao BABA maana wewe unaona hadi sirini BABA 🙏

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 2 месяца назад +81

    😢 Mambo mazito haya! Ila Mungu amlinde huko aliko!

  • @franklukazula
    @franklukazula 2 месяца назад +23

    Makonda Mungu awe nawew mkuu ❤❤from Burundi 🇧🇮

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 2 месяца назад +92

    Makonda ni mkuu wa mikoa yote ya Tanzania...Mungu akulinde usipatwe na dholuba yoyote huko uliko..we love you brother

  • @barrehotel-q5t
    @barrehotel-q5t 2 месяца назад +33

    Mwenyezimungu Akulinde popote ulipo Mh wetu ❤

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 2 месяца назад +88

    Mungu atabaki kuwa Mungu huwezi kuliziba jua kwa mkono

  • @LaurentMagesa-iv5yt
    @LaurentMagesa-iv5yt 2 месяца назад +20

    Makonda kipenzi chetu watanzania .tunakupenda sana mwenyezi mungu akulinde na maadui wote wasioitakia mema Tz.

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 2 месяца назад +130

    Makonda kk yng jitokeze huko ulipo kwa nn unanipa wasiwasi ivi😭😭😭

  • @MirajiOmary-jm7wc
    @MirajiOmary-jm7wc 2 месяца назад +9

    hatutaki kusikia chochote juu ya makonda tunataka kumuona makonda wetu❤❤❤❤

  • @RamadhaniKindinga
    @RamadhaniKindinga 2 месяца назад +31

    Saw mungu nimwema tunakubali yupo likizo nawew mhe utakuja tujibu likizo ikiisha Mimi namuombea Afya njema kiongoz wetu

  • @HekimaHissa-de3lu
    @HekimaHissa-de3lu 2 месяца назад +19

    ❤nakupenda makondaa popote ulipo mungu akulinde na majeshi ya bwana wa majeshi amina

  • @RosemaryKasuka
    @RosemaryKasuka 2 месяца назад +23

    Makonda nakuombea sana kama kuna hila zishindwa I love you❤

  • @PeterMaonga
    @PeterMaonga 2 месяца назад +92

    Hivi kuna mkuu wa mkoa mwingine akiondoka ofisini atatafutwa kweli wengine mungu tuhurumie

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 месяца назад +4

      Makonda Oyeee

    • @TellaaxisTz
      @TellaaxisTz 2 месяца назад

      ruclips.net/video/66Qq6RjxAjI/видео.htmlsi=F2dT_RUjEtt5bTyI❤

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf 2 месяца назад +4

      Wakuu wengine WA mkoa wanajisikiyaaje wananchi wanavomliliya makondaa

    • @FatumaMpambe
      @FatumaMpambe 2 месяца назад

      ​@@KaburuKimath-eu5nfwap wengne wanajfanya kama mungu mtu vle

    • @ce-08
      @ce-08 2 месяца назад

      Wengine wote Kaz Bure wanajiona sana

  • @paschalekagito3507
    @paschalekagito3507 2 месяца назад +47

    Hata magufuli ilianza tetesi kama izo izo za kutokuonekana na kumbe alikua tyr kasha ondoka duniani.
    Rest in peace magufuli

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 2 месяца назад +2

      Mpk naogopa. Maana bora angechukiza pale lkn katokea kupendwa hivi sipati picha kama nimepata baya lolote mh

    • @Mwikinda
      @Mwikinda 2 месяца назад +3

      😭😭😭 R. I. P auncle magu

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 2 месяца назад +2

      ni kweli

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 2 месяца назад +1

      Mungu aepushe mbali awe salama

    • @LiberathaJoseph-n4r
      @LiberathaJoseph-n4r 2 месяца назад +1

      Ila kiukweli kwamagufuli inauma sana ngoja inyeshe tuone panapovuja yaan kama nihivi mtu awez kujitoa mhanga kutetea wanyonge yatakuwa nimamtu yakufaidisha matumbo Yao tu kuliko utu

  • @cristamelahashimu3679
    @cristamelahashimu3679 2 месяца назад +136

    Wana Arusha tunamtaka makonda wetu tena akiwa hai. Hatuna Raha kabisa.

    • @AnnaMsigwa-oi8do
      @AnnaMsigwa-oi8do 2 месяца назад +24

      Sio Arusha tyuu,nchi nzima tunaumia,Tena awe mzima

    • @salehwaziri5062
      @salehwaziri5062 2 месяца назад +9

      Pambaneni nasisitukonyumayenu mpakatujue alipo

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 2 месяца назад +1

      mmh

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 месяца назад +1

      ​@@DavalsonMarlonyMbona Unaguna??tunamtaka Makonda Kabisaa

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 2 месяца назад +1

      @@trophywilson7211 kwan kapotea atakuewepo t ondoen shaka

  • @VivianDule
    @VivianDule 2 месяца назад +79

    Mmh mungu wangu,naogopa hizi habari yesu mlinde huyu baba

    • @nandomahay1830
      @nandomahay1830 2 месяца назад +3

      Nyoooooo😂😂😂😂😂

    • @AhmedMtumweni
      @AhmedMtumweni 2 месяца назад +2

      Yesu ndo mungu ata amponye Allah ndo amponye yesu binaadamu Kama ww

    • @saimonijonas1471
      @saimonijonas1471 2 месяца назад

      ​@@AhmedMtumweni Ndugu.Mbona umefika mbali kwenye Imani ya watu.Unafikiri nikikuchambulia huyo Mungu unayemuita Allah ni nani,unaweza ukaona kama naitukana Imani yako. Muache mtu amini nakuabudu nakuomba anachoamini.Ndomaana katika taifa letu tuna sheria ya uhuru wa kuabudu.Kwasabanu yakuheshimu Imani za watu.

    • @ProsperUlungi
      @ProsperUlungi 2 месяца назад

      Kama yesu binadamu kama wewe basi na wewe waponye vipofu fufua watu ​@@AhmedMtumweni

    • @veeJesus
      @veeJesus 2 месяца назад

      MWANADAMU KWAKO KWETU SISI NI MUNGU. HAUNA UNAKACHOFANYA​@@AhmedMtumweni

  • @JoyceMichael-bm9yw
    @JoyceMichael-bm9yw 2 месяца назад +5

    Yesu tunakuomba Yesu tunakuomba mlinde mtunze mlinde Mungu wetu tunakuomba kila hila za adui juu yake muepushe nayo Mungu tunakuomba.mkono wako si mfupi ata ushindwe kuokoa na sikio lako si fupi ata ushindwe kusikia.tunakuomba Mungu sikia maombi yetu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @josphenembunde5805
    @josphenembunde5805 2 месяца назад +16

    Hiyo likusho iishe halaka ndo arudhi atwambie alikua wapi tunamtafuta hivyi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤

  • @KastoryChengula-n5d
    @KastoryChengula-n5d 2 месяца назад

    Mungu yukonawe makonda

  • @RashidiDaudy-ez6zt
    @RashidiDaudy-ez6zt 2 месяца назад +60

    Tunamtakaaa Makondaaaa
    Tunamtakaaaa Makondaaa
    Tunamtakaaaa Makondaaa
    Huyu ndiye kiongozi pekeee aliyebakia anayependwa na watu kuliko viongozi wote.
    Waseme yuko wapi mtetezi wa wanyonge part 2

    • @KhairatBundala
      @KhairatBundala 2 месяца назад +4

      Hii ndio tz jamani ukionekana unaongea saana unanyamazishwa dua zetu Kwa makonda❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 месяца назад +1

      ​@@KhairatBundalayaani

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 месяца назад +2

      Mungu amlete

    • @UpendoLazaro-n3e
      @UpendoLazaro-n3e 2 месяца назад +4

      Kinachofuata tutaandamana no joking this time tunataka makonda Tena AKIWA HAI

    • @AnathSalum
      @AnathSalum 2 месяца назад +1

      Me natamani awe rais wetu wa tanzania

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 2 месяца назад +10

    Sijui kama ilishawahi kutokea mkuu wa mkoa kuhuliziwa kiasi hchi na wananchi wake tumuachie mungu

  • @AnnaMsigwa-oi8do
    @AnnaMsigwa-oi8do 2 месяца назад +20

    Mweee naomba mtuambie kakaetu Yuko wapi,naomba mnitoe hofu Mimi makonda apone kama anaumwa.

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 2 месяца назад +5

    Kweli Dar alikaaa muda mrefu na hakuwahi semewa kuwa ameenda rikizo , BRING BACK OUR MAKONDA ,

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 2 месяца назад +35

    Kwa magufuli walitudanganya hivi hivi kueni wa wazi serekali yetu kma anaumwa tuzidishe maombi kwake

  • @MkomboziMwachanga
    @MkomboziMwachanga 2 месяца назад +1

    Makond Mungu akulinde na madui ameni

  • @yohanafumbuka1979
    @yohanafumbuka1979 2 месяца назад +15

    My leader❤❤❤

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 2 месяца назад +36

    Serekali tuzugeni tu mlikosea kumleta arusha km mmeua wololo kutatifuka mbaya zaidi mnatudanganya

  • @NgwanduNila
    @NgwanduNila 2 месяца назад

    Duuuuh!.God bless RC Makonda.

  • @robertgodfrey9869
    @robertgodfrey9869 2 месяца назад

    😢rais wa baadae Mungu amlinde

  • @josephmsuya4433
    @josephmsuya4433 2 месяца назад +14

    Tanzania yetu tukipata watu wanawatetea wanyonge wanatendewa vibaya duuh kweli sisi niwajinga sana tumelala sana ila kunasiku tutaamka usingizini Mungu amsaidie uko aliko Broo Makonda 😢😢😢😢ukisikia kwa makini kama yuko likizo awezi kukaa kimya wakati wananchi wanataruki

    • @sofiamsuya2254
      @sofiamsuya2254 2 месяца назад +3

      Mtanzania ni mfu hawezi kuamka, 😅😅

    • @KhairatBundala
      @KhairatBundala 2 месяца назад +1

      Huu ndo mda wakupotezwa kimyakimya​@@sofiamsuya2254

    • @Mwikinda
      @Mwikinda 2 месяца назад +1

      ​@@sofiamsuya2254tutaamka tyu hata kama tukiwa kama mizuka

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 2 месяца назад +44

    Ata mkimuua nanyie mtKufa 😢

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna8261 2 месяца назад +10

    Magufuli pia WATU WALIANZA KUSEMA HATUMUONI YUKO WAPI? Hatimae kumbe alifariki bila jamii kujua kuumwa kwake😢😢

  • @pceodhc
    @pceodhc 2 месяца назад +2

    Mungu uliye hai, kama Makonda anaumwa basi mponye kwa utukufu wa jina lako! Amen!

  • @johnjilala415
    @johnjilala415 2 месяца назад +15

    Kama kweli yu hai kwanini asijitokeze aitoe tahaluki.

  • @LukanazyaMakona
    @LukanazyaMakona 2 месяца назад +9

    Mungu ampe wepesi makonda

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 2 месяца назад

    Mungu amlinde kama anaumwa apone 🙏🙏🙏🙏

  • @MwanahamisAlly-u7c
    @MwanahamisAlly-u7c 2 месяца назад +2

    Binafsi tumbo langu linauma uchungu Kwa ajili ya Makonda mtu wa watu jamani hachagui rangi dini Wala kabila anachoangalia yy ni haki tu Eee mtunze Makonda huko alipo arudi salama kama ni kweli Mungu tunakuomba Kila baya muepushe nalo arudi tena Wana Arusha hatuna Raha hadi wanafunzi wanalia jamani Makonda ongea jembe letu tusikie sauti yako❤❤Daah inama jamani Kwa nn hivyoo

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 2 месяца назад +1

    Mungu akulinde kaka popote ulipo.
    Na kama unaumwa akuponeshe kwa haraka urudi kuwapigania wanyonge👏

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 2 месяца назад

    Yaani hii nchi bas tu Mungu airehemu tu

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 2 месяца назад +1

    Mwenyezi Mungu umlinde mwanao huko aliko kipenzi cha wengi.

  • @janepatrickmesso7487
    @janepatrickmesso7487 2 месяца назад

    Mimi ndo sielewi kabisa😢😢, yani akili haitulii

  • @AntusaHerman
    @AntusaHerman 2 месяца назад

    Mungu akulinde baba keign

  • @DaynessSteven-yr4ud
    @DaynessSteven-yr4ud 2 месяца назад

    Mungu akulinde Muheshimiwa makonda

  • @OlivaGara
    @OlivaGara 2 месяца назад

    Makonda wetu jaman naomba mungu akulinde 😢😢😢

  • @RachelJunior-e8o
    @RachelJunior-e8o 2 месяца назад

    Mungu akulinde ulipo makonda

  • @shakiramwinjuma1338
    @shakiramwinjuma1338 2 месяца назад

    Mwenyezi Mungu akulinde kwa mabaya Makonda wetu❤

  • @NgarasaaJunior
    @NgarasaaJunior 2 месяца назад

    Daaah haya mqmbo haya yanaumiza paul makonda we love you😢😢😢😢

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 месяца назад +1

    Mungu ni mwema, Ana huruma Ana UPENDO mkubwa kupita maelezo kwa watu wake aliyewaleta DUNIANI kwa mapenzi yake mwenyewe. Mungu ukimlilia kwa dhati na kwa SADAKA, lazima akubali maombi. Ee Mungu sikia kwetu kuomba wenye mapenzi mema mwanao huyu Mh. Makonda. Ameen.

  • @hadijamohamed623
    @hadijamohamed623 2 месяца назад

    Mmmmh... Mungu amlinde...

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 2 месяца назад +22

    Katibu tawala anatudanganya wananchi,kwani kumbukeni waziri mkuu alitudanganya akiwa njombe msikitini amesema Rais Magufuli yupo salama anaendelea na majukumu yake , wakati watu tukauliza wapi alipo Magufuli , baadae tukaambiwa amefariki, kwani wananchi hawapaswikujua aliko kiongozi wao? Na mrudie kusikiliza majibu ya katibu tawala amejibu swali kwa namna yakupotezea nakaunganisha maneno kuzungumzia clous ,amejibu kihuni sana ,

  • @LinahCorin
    @LinahCorin 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤ nakupenda sana jembe langu uko wapi njoo tumekumic sana

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 2 месяца назад +17

    Angekuwa likzo Makonda na anavyojua kuongea lazma angezma hayo maneno ya watu kuwa kanyweshwa sumu,..km yupo lkzo kwel na asisimame hadharani awaambie wananchi watulie kwan yupo likzo

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 2 месяца назад

    MAKONDA MAKONDA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @evalinelenina7156
    @evalinelenina7156 2 месяца назад

    ee Mwenyezi Mungu 😢 nakusihi wewe ndiye unayejua Yuko wapi na yupo kwenye Hali gani mjalie uzima kipenzi Cha wanyonge

  • @CarolineThomas-wg4fm
    @CarolineThomas-wg4fm 2 месяца назад

    Kwa kweli mungu amtunze makonda

  • @HelenikoBusagara
    @HelenikoBusagara 2 месяца назад

    jamaniiiii

  • @MarysedesNgowi
    @MarysedesNgowi 2 месяца назад

    Mungu wangu jamani mbona YUPO Tena YUPO kabisa

  • @deonicemollel4205
    @deonicemollel4205 2 месяца назад

    Makonda yupo tena yupo freshiii kabisaaa ondoeni shaka

  • @festopaul7549
    @festopaul7549 2 месяца назад

    ila hii nchi 🙌🙌bhac tu acha wengine tukae kimya 😭😭

  • @eyembefedsoni1689
    @eyembefedsoni1689 2 месяца назад +1

    Nampenda sana Makonda mungu akinge kila baya liwarudie wao Makonda awe salama ni mtu mtenda haki na mchapakazi

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 2 месяца назад +44

    Dah Tanzania sijui kuna shida gani kwa wakombozi wa haki

    • @AbrahBuraheze
      @AbrahBuraheze 2 месяца назад

      kaka hi nchi iyone kama ilivyo hi nchi watu wanayoiyongoza sio

  • @AbrahamMMcharo
    @AbrahamMMcharo 2 месяца назад

    Mh Makonda si mtoto mdogo,anajitambua sana. Angekua likizo,na baada ya wananchi anaowatumikia hapa Arusha kutaka kujua Yuko wapi bosi wao,lazima angetokeza na kuwajulisha alipo. Majibu yanayotolewa hayaridhishi na yanatupa mashaka. Ingekua Bora kama yeye mwenyewe angetujulisha mahali alipo.

  • @mamuuchany6386
    @mamuuchany6386 2 месяца назад

    Mungu tusaidie Makonda wetu jamani tunampenda saana

  • @ewaldtemu620
    @ewaldtemu620 2 месяца назад

    Makonda mungu akulinde wewe nakuombea duwauje uwe raisi wa hii nchi inyoke wewe nimtetezi wawanyonge

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 2 месяца назад

    Mwenyez Mungu Akupiganie akunusuru na Asidi zote jembe Letu,unakubarika Sana Mh Paul Makonda,,,,

  • @jinnahsameer
    @jinnahsameer 2 месяца назад

    Daaaa😢😢😢 hiyo ni shida kubwa jamani

  • @emanuelmwakamisa2511
    @emanuelmwakamisa2511 2 месяца назад

    Ushakuwa chawa

  • @DaurdCharles
    @DaurdCharles 2 месяца назад +1

    Hata mm nampenda sana mwamba makonda Tena sana sijawahi kujihusisha na siasa ila kupitia makonda nimetamani kuwa kiongozi namtetezi wawanyonge mungu akulinde mkuu wa mkoa arusha ndg makonda nayeyote alie husika mungu amlipe

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 2 месяца назад +1

    Mama Samia sema mama Makonda yupo wapi mbona mpo kimya tu jamani sisi roho zetu zipo juu kwa kijana huyu mungu mlinde na mabaya serekali semeni basi hata kama ni mgonjwa tujue tu 😭😭😭😭😭😭

  • @MartinMadimilo-z6w
    @MartinMadimilo-z6w 2 месяца назад

    Aiseeh hard TRUTH watu WAZURI huwa hawadumu dah Dunia hii 😢

  • @safinamdingi7912
    @safinamdingi7912 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤ tunamtaka makonda wetu

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 месяца назад

    Mmmmmh,namwombea sije akapatwa na mabaya maana hii dunia ina mambo mengi

  • @StellaOwden
    @StellaOwden 2 месяца назад

    Makonda MUNGU akufanyie wepesi Baba❤❤❤❤

  • @ChristinaGomisi
    @ChristinaGomisi 2 месяца назад

    Mkuu wa mikoooa yote tunamtaka❤❤❤❤😊❤😊

  • @mrsnam6897
    @mrsnam6897 2 месяца назад

    Mm namuelewa sana huyu jembe, Mungu amlinde

  • @DottoLwambo
    @DottoLwambo 2 месяца назад +3

    Viongozi wa serikali wote kw ujumla,Mh.Paul Makonda awe mfano mzuri wa kuigwa,take❤❤❤❤❤Makonda peace and love my bes RC Makonda

  • @yusuphngwagu7134
    @yusuphngwagu7134 2 месяца назад

    😮

  • @nurualphonce3008
    @nurualphonce3008 2 месяца назад

    Hakika kila nguvu ya giza juu yake ikashindwe .jembe letu supar hero makonda naimani yuko salama na yuko kazini . E mwnyezi Mungu mlinde kiongozi wa watanzania Makonda is the best

  • @Jeremiatitomawala
    @Jeremiatitomawala 2 месяца назад

    Tunakuombea ❤❤❤

  • @israelmkaka2807
    @israelmkaka2807 2 месяца назад +15

    Ameenda likizo wakati Mwenge unakuja Mkoani kwake..........

  • @malimanyanja562
    @malimanyanja562 2 месяца назад

    Kiukweli Mie nimelia sana nchi hi inaraana kubwa sana mungu ameanza kukaa mbali na tanzania Nakuombea sana makonda mungu akulinde

  • @JudicateMtui
    @JudicateMtui 2 месяца назад

    Tunakupenda sana Makonda 😢

  • @noahpaulo3845
    @noahpaulo3845 2 месяца назад

    Ooooh 😮😮😮😮 kumekucha tz bhana mkosi wabweha duuuuh 🙆

  • @azizawaziri1507
    @azizawaziri1507 2 месяца назад

    😢😢😢Eeeee MUNGU wetu tunakuomba sasa ujidhihirishe juu yetu watetezi wa wanyonge wanapata shida kuliko😢😢😢😢😢

  • @jovinmwesige8520
    @jovinmwesige8520 2 месяца назад

    Mungu tunaomba umlinde Paulo Makonda.

  • @AshaJuma-s7l
    @AshaJuma-s7l 2 месяца назад

    Mungu turejeshee Makonda wetu🙏

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 2 месяца назад

    Daaah😮

  • @dismasmariananga4776
    @dismasmariananga4776 2 месяца назад +3

    Mungu wangu dah serikali watoe taarifa za makonda mapema kabla ya tarehe 3 /8/2024 nimesema mimi Tena ikipitiliza tarehe hyo itakuwa mbaya Kwa wanaotakiwa kutoa taarifa

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 2 месяца назад

    Mwenyezi mungu amulinde poppte alipo

  • @HalimaYasini-f4o
    @HalimaYasini-f4o 2 месяца назад +1

    😢😢😢😢 Makonda ulipo Allah Akulinde uko ulipo

  • @WellingMerry
    @WellingMerry 2 месяца назад

    Naumia sana kusikia makonda hatumuoni

  • @ChristopherMgonja-p5f
    @ChristopherMgonja-p5f 2 месяца назад

    We Mungu msaidie huko alipo awe mzima kwa jina la Yesu😢

  • @dominiquemushy895
    @dominiquemushy895 2 месяца назад

    Mungu umlinde, popote alipo makonda

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 2 месяца назад

    😊😊😊 tunachotaka makonda aje akiwa hai,,
    Habari ya kusababisha watu tuandamane kama jirani zetu hatutaki😮😮😮

  • @georgeamry7545
    @georgeamry7545 2 месяца назад +11

    Mara kazaa viongozi watetea haki wa shida za waafrika huuwawa hii imekua toka enzi za uhuru lkn sisi watetewa tunashindwa kulinda maisha yao

  • @GraceAbraham-l9h
    @GraceAbraham-l9h 2 месяца назад +1

    Sijui ninachoomba Mungu umlinde na umpiganie na mkono wako YESU KRISTO MNAZARETH uwe pamoja naye