Kwa kweli inasikitisha sana wa Tanzania lazima tujiulize vizur mbona akitokea kiongozi mzuri lazima wafanye juu chini wamuondoe duniani nchi inapata sifa mbaya mbaya sana
Amelaaniwa amtegemeaye mwanadam.kujiita mnyonge ni utaahila wa hali ya juu . Huyu anafaidika na utawala mbovu uliokupa unyonge huo. Mterezi was kweli was wansnchi ni mtu au chama kinachodai kstiba Bora ya wananchibi ikayokupa mamlaka ya kuwawajibisha viongozi wazembw kwenye box LS kura n kukupa sauti wewe mwanabchi.mtetexi was wanyonge ni yule ansyepigsnia sheria mbovu ziondolewe bunge lenye nguvu mahakama yenye nguvu na taassisi imala. Makonda si mtetezi was wanyonge. matatizo yote anayoyatatua yametengenezwa na chama chake .yataendelea kuwepo na kuzudi. Ccm inafaidika sana na unyonge wenu
Wamlete tu Makonda kiukweli hata mimi nampenda sana mkuu wa mkoa.Nauelewa sana Kaka yangu Makonda tunaitaji kumuona Makonda.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Mungu tunakuomba umlinde sana Makonda kwani tunamuitaji sana katika nchi yetu❤
Ila kiukweli kwamagufuli inauma sana ngoja inyeshe tuone panapovuja yaan kama nihivi mtu awez kujitoa mhanga kutetea wanyonge yatakuwa nimamtu yakufaidisha matumbo Yao tu kuliko utu
@@AhmedMtumweni Ndugu.Mbona umefika mbali kwenye Imani ya watu.Unafikiri nikikuchambulia huyo Mungu unayemuita Allah ni nani,unaweza ukaona kama naitukana Imani yako. Muache mtu amini nakuabudu nakuomba anachoamini.Ndomaana katika taifa letu tuna sheria ya uhuru wa kuabudu.Kwasabanu yakuheshimu Imani za watu.
Yesu tunakuomba Yesu tunakuomba mlinde mtunze mlinde Mungu wetu tunakuomba kila hila za adui juu yake muepushe nayo Mungu tunakuomba.mkono wako si mfupi ata ushindwe kuokoa na sikio lako si fupi ata ushindwe kusikia.tunakuomba Mungu sikia maombi yetu🙏🙏🙏🙏🙏
Tunamtakaaa Makondaaaa Tunamtakaaaa Makondaaa Tunamtakaaaa Makondaaa Huyu ndiye kiongozi pekeee aliyebakia anayependwa na watu kuliko viongozi wote. Waseme yuko wapi mtetezi wa wanyonge part 2
Tanzania yetu tukipata watu wanawatetea wanyonge wanatendewa vibaya duuh kweli sisi niwajinga sana tumelala sana ila kunasiku tutaamka usingizini Mungu amsaidie uko aliko Broo Makonda 😢😢😢😢ukisikia kwa makini kama yuko likizo awezi kukaa kimya wakati wananchi wanataruki
Binafsi tumbo langu linauma uchungu Kwa ajili ya Makonda mtu wa watu jamani hachagui rangi dini Wala kabila anachoangalia yy ni haki tu Eee mtunze Makonda huko alipo arudi salama kama ni kweli Mungu tunakuomba Kila baya muepushe nalo arudi tena Wana Arusha hatuna Raha hadi wanafunzi wanalia jamani Makonda ongea jembe letu tusikie sauti yako❤❤Daah inama jamani Kwa nn hivyoo
Mungu ni mwema, Ana huruma Ana UPENDO mkubwa kupita maelezo kwa watu wake aliyewaleta DUNIANI kwa mapenzi yake mwenyewe. Mungu ukimlilia kwa dhati na kwa SADAKA, lazima akubali maombi. Ee Mungu sikia kwetu kuomba wenye mapenzi mema mwanao huyu Mh. Makonda. Ameen.
Katibu tawala anatudanganya wananchi,kwani kumbukeni waziri mkuu alitudanganya akiwa njombe msikitini amesema Rais Magufuli yupo salama anaendelea na majukumu yake , wakati watu tukauliza wapi alipo Magufuli , baadae tukaambiwa amefariki, kwani wananchi hawapaswikujua aliko kiongozi wao? Na mrudie kusikiliza majibu ya katibu tawala amejibu swali kwa namna yakupotezea nakaunganisha maneno kuzungumzia clous ,amejibu kihuni sana ,
Angekuwa likzo Makonda na anavyojua kuongea lazma angezma hayo maneno ya watu kuwa kanyweshwa sumu,..km yupo lkzo kwel na asisimame hadharani awaambie wananchi watulie kwan yupo likzo
Mh Makonda si mtoto mdogo,anajitambua sana. Angekua likizo,na baada ya wananchi anaowatumikia hapa Arusha kutaka kujua Yuko wapi bosi wao,lazima angetokeza na kuwajulisha alipo. Majibu yanayotolewa hayaridhishi na yanatupa mashaka. Ingekua Bora kama yeye mwenyewe angetujulisha mahali alipo.
Hata mm nampenda sana mwamba makonda Tena sana sijawahi kujihusisha na siasa ila kupitia makonda nimetamani kuwa kiongozi namtetezi wawanyonge mungu akulinde mkuu wa mkoa arusha ndg makonda nayeyote alie husika mungu amlipe
Mama Samia sema mama Makonda yupo wapi mbona mpo kimya tu jamani sisi roho zetu zipo juu kwa kijana huyu mungu mlinde na mabaya serekali semeni basi hata kama ni mgonjwa tujue tu 😭😭😭😭😭😭
Hakika kila nguvu ya giza juu yake ikashindwe .jembe letu supar hero makonda naimani yuko salama na yuko kazini . E mwnyezi Mungu mlinde kiongozi wa watanzania Makonda is the best
Mungu wangu dah serikali watoe taarifa za makonda mapema kabla ya tarehe 3 /8/2024 nimesema mimi Tena ikipitiliza tarehe hyo itakuwa mbaya Kwa wanaotakiwa kutoa taarifa
Kiukweli Ina Uma Sana kila akitokea mtetez wa wanyomge Mambo yanakuwa tofaut daah makonda wetu mungu akulinde popote ulipo Aaamiini
😢😢😢amin
ruclips.net/video/66Qq6RjxAjI/видео.htmlsi=F2dT_RUjEtt5bTyI❤
Kwa kweli inasikitisha sana wa Tanzania lazima tujiulize vizur mbona akitokea kiongozi mzuri lazima wafanye juu chini wamuondoe duniani nchi inapata sifa mbaya mbaya sana
Amina
Amelaaniwa amtegemeaye mwanadam.kujiita mnyonge ni utaahila wa hali ya juu . Huyu anafaidika na utawala mbovu uliokupa unyonge huo.
Mterezi was kweli was wansnchi ni mtu au chama kinachodai kstiba Bora ya wananchibi ikayokupa mamlaka ya kuwawajibisha viongozi wazembw kwenye box LS kura n kukupa sauti wewe mwanabchi.mtetexi was wanyonge ni yule ansyepigsnia sheria mbovu ziondolewe bunge lenye nguvu mahakama yenye nguvu na taassisi imala.
Makonda si mtetezi was wanyonge. matatizo yote anayoyatatua yametengenezwa na chama chake .yataendelea kuwepo na kuzudi.
Ccm inafaidika sana na unyonge wenu
Mungu amlinde tu huyu baba.. kiukweli utendaji kazi wake naupenda sana.
Amina
Wamlete tu Makonda kiukweli hata mimi nampenda sana mkuu wa mkoa.Nauelewa sana Kaka yangu Makonda tunaitaji kumuona Makonda.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Mungu tunakuomba umlinde sana Makonda kwani tunamuitaji sana katika nchi yetu❤
Daah makonda anapendwa saaaan❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
Yani hakuna mfano ni kipenzi cha wengi mungu amlinde na mabya 🤲🤲🤲
mungu wangu sikia maombi yangu mponye kaka yangu makondo
mungu ninakuoba usiruhusu mauti juuu ya makonda itukufu itakurudia ww
MWENYEZI MUNGU mlinde mwanao BABA maana wewe unaona hadi sirini BABA 🙏
😢 Mambo mazito haya! Ila Mungu amlinde huko aliko!
Mhh Tanzania
Amina
Makonda Mungu awe nawew mkuu ❤❤from Burundi 🇧🇮
Makonda ni mkuu wa mikoa yote ya Tanzania...Mungu akulinde usipatwe na dholuba yoyote huko uliko..we love you brother
huyu Mkuu wa Mkoa yuko wapi jmni> lakini kwa nn wawaache wananchi na masononeko kila muda? jmni mie sielewi kabisa
Kabisaaaaa
Weeeee mikoa yote kivipi
Mkuu wa mikoa yote?
@@barakamwandenene4444 kivipi? Na Kila mkoa una mkuu wake?
Mwenyezimungu Akulinde popote ulipo Mh wetu ❤
Mungu atabaki kuwa Mungu huwezi kuliziba jua kwa mkono
Kabisa
Amen
stop nonsese
Mengine yanaletwa na Shetani
Makonda kipenzi chetu watanzania .tunakupenda sana mwenyezi mungu akulinde na maadui wote wasioitakia mema Tz.
Makonda kk yng jitokeze huko ulipo kwa nn unanipa wasiwasi ivi😭😭😭
ruclips.net/video/66Qq6RjxAjI/видео.htmlsi=F2dT_RUjEtt5bTyI❤
Mungu amnusuru tu yanayosemekana yanaumiza
😢
@@sistertrashid2488 wee acha tu
Mungu mbariki makonda
hatutaki kusikia chochote juu ya makonda tunataka kumuona makonda wetu❤❤❤❤
Saw mungu nimwema tunakubali yupo likizo nawew mhe utakuja tujibu likizo ikiisha Mimi namuombea Afya njema kiongoz wetu
Amina
❤nakupenda makondaa popote ulipo mungu akulinde na majeshi ya bwana wa majeshi amina
Makonda nakuombea sana kama kuna hila zishindwa I love you❤
Hivi kuna mkuu wa mkoa mwingine akiondoka ofisini atatafutwa kweli wengine mungu tuhurumie
Makonda Oyeee
ruclips.net/video/66Qq6RjxAjI/видео.htmlsi=F2dT_RUjEtt5bTyI❤
Wakuu wengine WA mkoa wanajisikiyaaje wananchi wanavomliliya makondaa
@@KaburuKimath-eu5nfwap wengne wanajfanya kama mungu mtu vle
Wengine wote Kaz Bure wanajiona sana
Hata magufuli ilianza tetesi kama izo izo za kutokuonekana na kumbe alikua tyr kasha ondoka duniani.
Rest in peace magufuli
Mpk naogopa. Maana bora angechukiza pale lkn katokea kupendwa hivi sipati picha kama nimepata baya lolote mh
😭😭😭 R. I. P auncle magu
ni kweli
Mungu aepushe mbali awe salama
Ila kiukweli kwamagufuli inauma sana ngoja inyeshe tuone panapovuja yaan kama nihivi mtu awez kujitoa mhanga kutetea wanyonge yatakuwa nimamtu yakufaidisha matumbo Yao tu kuliko utu
Wana Arusha tunamtaka makonda wetu tena akiwa hai. Hatuna Raha kabisa.
Sio Arusha tyuu,nchi nzima tunaumia,Tena awe mzima
Pambaneni nasisitukonyumayenu mpakatujue alipo
mmh
@@DavalsonMarlonyMbona Unaguna??tunamtaka Makonda Kabisaa
@@trophywilson7211 kwan kapotea atakuewepo t ondoen shaka
Mmh mungu wangu,naogopa hizi habari yesu mlinde huyu baba
Nyoooooo😂😂😂😂😂
Yesu ndo mungu ata amponye Allah ndo amponye yesu binaadamu Kama ww
@@AhmedMtumweni Ndugu.Mbona umefika mbali kwenye Imani ya watu.Unafikiri nikikuchambulia huyo Mungu unayemuita Allah ni nani,unaweza ukaona kama naitukana Imani yako. Muache mtu amini nakuabudu nakuomba anachoamini.Ndomaana katika taifa letu tuna sheria ya uhuru wa kuabudu.Kwasabanu yakuheshimu Imani za watu.
Kama yesu binadamu kama wewe basi na wewe waponye vipofu fufua watu @@AhmedMtumweni
MWANADAMU KWAKO KWETU SISI NI MUNGU. HAUNA UNAKACHOFANYA@@AhmedMtumweni
Yesu tunakuomba Yesu tunakuomba mlinde mtunze mlinde Mungu wetu tunakuomba kila hila za adui juu yake muepushe nayo Mungu tunakuomba.mkono wako si mfupi ata ushindwe kuokoa na sikio lako si fupi ata ushindwe kusikia.tunakuomba Mungu sikia maombi yetu🙏🙏🙏🙏🙏
Hiyo likusho iishe halaka ndo arudhi atwambie alikua wapi tunamtafuta hivyi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤
Mungu yukonawe makonda
Tunamtakaaa Makondaaaa
Tunamtakaaaa Makondaaa
Tunamtakaaaa Makondaaa
Huyu ndiye kiongozi pekeee aliyebakia anayependwa na watu kuliko viongozi wote.
Waseme yuko wapi mtetezi wa wanyonge part 2
Hii ndio tz jamani ukionekana unaongea saana unanyamazishwa dua zetu Kwa makonda❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂
@@KhairatBundalayaani
Mungu amlete
Kinachofuata tutaandamana no joking this time tunataka makonda Tena AKIWA HAI
Me natamani awe rais wetu wa tanzania
Sijui kama ilishawahi kutokea mkuu wa mkoa kuhuliziwa kiasi hchi na wananchi wake tumuachie mungu
😢😢😢
Huyu wa kipekee
Mweee naomba mtuambie kakaetu Yuko wapi,naomba mnitoe hofu Mimi makonda apone kama anaumwa.
Kweli Dar alikaaa muda mrefu na hakuwahi semewa kuwa ameenda rikizo , BRING BACK OUR MAKONDA ,
Kwa magufuli walitudanganya hivi hivi kueni wa wazi serekali yetu kma anaumwa tuzidishe maombi kwake
Makond Mungu akulinde na madui ameni
My leader❤❤❤
Serekali tuzugeni tu mlikosea kumleta arusha km mmeua wololo kutatifuka mbaya zaidi mnatudanganya
😢😢😢 inasikitisha sana
@@JanethSwai-i3d sana tu
Duuuuh!.God bless RC Makonda.
😢rais wa baadae Mungu amlinde
Tanzania yetu tukipata watu wanawatetea wanyonge wanatendewa vibaya duuh kweli sisi niwajinga sana tumelala sana ila kunasiku tutaamka usingizini Mungu amsaidie uko aliko Broo Makonda 😢😢😢😢ukisikia kwa makini kama yuko likizo awezi kukaa kimya wakati wananchi wanataruki
Mtanzania ni mfu hawezi kuamka, 😅😅
Huu ndo mda wakupotezwa kimyakimya@@sofiamsuya2254
@@sofiamsuya2254tutaamka tyu hata kama tukiwa kama mizuka
Ata mkimuua nanyie mtKufa 😢
Magufuli pia WATU WALIANZA KUSEMA HATUMUONI YUKO WAPI? Hatimae kumbe alifariki bila jamii kujua kuumwa kwake😢😢
Mungu uliye hai, kama Makonda anaumwa basi mponye kwa utukufu wa jina lako! Amen!
Amen
Kama kweli yu hai kwanini asijitokeze aitoe tahaluki.
Mungu ampe wepesi makonda
Mungu amlinde kama anaumwa apone 🙏🙏🙏🙏
Binafsi tumbo langu linauma uchungu Kwa ajili ya Makonda mtu wa watu jamani hachagui rangi dini Wala kabila anachoangalia yy ni haki tu Eee mtunze Makonda huko alipo arudi salama kama ni kweli Mungu tunakuomba Kila baya muepushe nalo arudi tena Wana Arusha hatuna Raha hadi wanafunzi wanalia jamani Makonda ongea jembe letu tusikie sauti yako❤❤Daah inama jamani Kwa nn hivyoo
Mungu akulinde kaka popote ulipo.
Na kama unaumwa akuponeshe kwa haraka urudi kuwapigania wanyonge👏
Yaani hii nchi bas tu Mungu airehemu tu
Mwenyezi Mungu umlinde mwanao huko aliko kipenzi cha wengi.
Mimi ndo sielewi kabisa😢😢, yani akili haitulii
Mungu akulinde baba keign
Mungu akulinde Muheshimiwa makonda
Makonda wetu jaman naomba mungu akulinde 😢😢😢
Mungu akulinde ulipo makonda
Mwenyezi Mungu akulinde kwa mabaya Makonda wetu❤
Daaah haya mqmbo haya yanaumiza paul makonda we love you😢😢😢😢
Mungu ni mwema, Ana huruma Ana UPENDO mkubwa kupita maelezo kwa watu wake aliyewaleta DUNIANI kwa mapenzi yake mwenyewe. Mungu ukimlilia kwa dhati na kwa SADAKA, lazima akubali maombi. Ee Mungu sikia kwetu kuomba wenye mapenzi mema mwanao huyu Mh. Makonda. Ameen.
Mmmmh... Mungu amlinde...
Katibu tawala anatudanganya wananchi,kwani kumbukeni waziri mkuu alitudanganya akiwa njombe msikitini amesema Rais Magufuli yupo salama anaendelea na majukumu yake , wakati watu tukauliza wapi alipo Magufuli , baadae tukaambiwa amefariki, kwani wananchi hawapaswikujua aliko kiongozi wao? Na mrudie kusikiliza majibu ya katibu tawala amejibu swali kwa namna yakupotezea nakaunganisha maneno kuzungumzia clous ,amejibu kihuni sana ,
Wenye akili watakuelewa
❤❤❤❤❤❤❤ nakupenda sana jembe langu uko wapi njoo tumekumic sana
Angekuwa likzo Makonda na anavyojua kuongea lazma angezma hayo maneno ya watu kuwa kanyweshwa sumu,..km yupo lkzo kwel na asisimame hadharani awaambie wananchi watulie kwan yupo likzo
Hapo ndo napawaza na mie
MAKONDA MAKONDA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
ee Mwenyezi Mungu 😢 nakusihi wewe ndiye unayejua Yuko wapi na yupo kwenye Hali gani mjalie uzima kipenzi Cha wanyonge
Kwa kweli mungu amtunze makonda
jamaniiiii
Mungu wangu jamani mbona YUPO Tena YUPO kabisa
Makonda yupo tena yupo freshiii kabisaaa ondoeni shaka
ila hii nchi 🙌🙌bhac tu acha wengine tukae kimya 😭😭
Nampenda sana Makonda mungu akinge kila baya liwarudie wao Makonda awe salama ni mtu mtenda haki na mchapakazi
Dah Tanzania sijui kuna shida gani kwa wakombozi wa haki
kaka hi nchi iyone kama ilivyo hi nchi watu wanayoiyongoza sio
Mh Makonda si mtoto mdogo,anajitambua sana. Angekua likizo,na baada ya wananchi anaowatumikia hapa Arusha kutaka kujua Yuko wapi bosi wao,lazima angetokeza na kuwajulisha alipo. Majibu yanayotolewa hayaridhishi na yanatupa mashaka. Ingekua Bora kama yeye mwenyewe angetujulisha mahali alipo.
Mungu tusaidie Makonda wetu jamani tunampenda saana
Makonda mungu akulinde wewe nakuombea duwauje uwe raisi wa hii nchi inyoke wewe nimtetezi wawanyonge
Mwenyez Mungu Akupiganie akunusuru na Asidi zote jembe Letu,unakubarika Sana Mh Paul Makonda,,,,
Daaaa😢😢😢 hiyo ni shida kubwa jamani
Ushakuwa chawa
Hata mm nampenda sana mwamba makonda Tena sana sijawahi kujihusisha na siasa ila kupitia makonda nimetamani kuwa kiongozi namtetezi wawanyonge mungu akulinde mkuu wa mkoa arusha ndg makonda nayeyote alie husika mungu amlipe
Mama Samia sema mama Makonda yupo wapi mbona mpo kimya tu jamani sisi roho zetu zipo juu kwa kijana huyu mungu mlinde na mabaya serekali semeni basi hata kama ni mgonjwa tujue tu 😭😭😭😭😭😭
Aiseeh hard TRUTH watu WAZURI huwa hawadumu dah Dunia hii 😢
❤❤❤❤❤❤ tunamtaka makonda wetu
Mmmmmh,namwombea sije akapatwa na mabaya maana hii dunia ina mambo mengi
Makonda MUNGU akufanyie wepesi Baba❤❤❤❤
Mkuu wa mikoooa yote tunamtaka❤❤❤❤😊❤😊
Mm namuelewa sana huyu jembe, Mungu amlinde
Viongozi wa serikali wote kw ujumla,Mh.Paul Makonda awe mfano mzuri wa kuigwa,take❤❤❤❤❤Makonda peace and love my bes RC Makonda
😮
Hakika kila nguvu ya giza juu yake ikashindwe .jembe letu supar hero makonda naimani yuko salama na yuko kazini . E mwnyezi Mungu mlinde kiongozi wa watanzania Makonda is the best
Tunakuombea ❤❤❤
Ameenda likizo wakati Mwenge unakuja Mkoani kwake..........
Wanadanganya ni yale yake ya jpm
Kabisa
Kiukweli Mie nimelia sana nchi hi inaraana kubwa sana mungu ameanza kukaa mbali na tanzania Nakuombea sana makonda mungu akulinde
Tunakupenda sana Makonda 😢
Ooooh 😮😮😮😮 kumekucha tz bhana mkosi wabweha duuuuh 🙆
😢😢😢Eeeee MUNGU wetu tunakuomba sasa ujidhihirishe juu yetu watetezi wa wanyonge wanapata shida kuliko😢😢😢😢😢
Mungu tunaomba umlinde Paulo Makonda.
Mungu turejeshee Makonda wetu🙏
Daaah😮
Mungu wangu dah serikali watoe taarifa za makonda mapema kabla ya tarehe 3 /8/2024 nimesema mimi Tena ikipitiliza tarehe hyo itakuwa mbaya Kwa wanaotakiwa kutoa taarifa
Mwenyezi mungu amulinde poppte alipo
😢😢😢😢 Makonda ulipo Allah Akulinde uko ulipo
Naumia sana kusikia makonda hatumuoni
We Mungu msaidie huko alipo awe mzima kwa jina la Yesu😢
Mungu umlinde, popote alipo makonda
😊😊😊 tunachotaka makonda aje akiwa hai,,
Habari ya kusababisha watu tuandamane kama jirani zetu hatutaki😮😮😮
Mara kazaa viongozi watetea haki wa shida za waafrika huuwawa hii imekua toka enzi za uhuru lkn sisi watetewa tunashindwa kulinda maisha yao
Sijui ninachoomba Mungu umlinde na umpiganie na mkono wako YESU KRISTO MNAZARETH uwe pamoja naye