🔴LIVE: CHOME-SAME MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA,

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 18

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 3 месяца назад

    Ongea ukweli kaka, ukwel unaishi, David mathayo na viongozi wezake, wanaiba thahabu, vijana wanafukuzwa kila wakati, umasikini kila kona, mbaya sna

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 3 месяца назад +1

    Leo miti inahamasishwa kidigital. Camera man mhuni na hovyo.

  • @godfreyfrancis1013
    @godfreyfrancis1013 3 месяца назад

  • @ndalahwakulwa4517
    @ndalahwakulwa4517 3 месяца назад +1

    Hongera sana Lema na Mbowe😂

  • @PaskaliBaha
    @PaskaliBaha 3 месяца назад

    ✌️✌️✌️

  • @alexmollel292
    @alexmollel292 3 месяца назад +1

    Huyu mtu wa camera anahujumu chama anatuonyesha miti badala ya watu

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 3 месяца назад

    Mpiga picha anafanya kazi gani hapo ?

  • @tumainikibona5252
    @tumainikibona5252 3 месяца назад

    Kadogo uko vizuri sana kupanga point

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 3 месяца назад

    Hatuna mbuge mathayo ni mwizi tu, tuna mlima shengena anavuna zahabu mwenyewe, anasema nimekuja kuminya ndizi zangu, anatoa galoni za mafuta vtenge, kofia, anapga mi,5 tena saiv kapiga, 25 same nikubwa mno, mbuga tnayo mkomazi national park 🏞️ ziwa ndungu,kihurio mto,ruvu shengena, zahabu tupu bado tunaitwa, maskini hapana sio sahihi tufke hatua, tukatae

  • @ElimenardMgonja
    @ElimenardMgonja 3 месяца назад

    Na hapo shengena ni kwa waarabu sasa ivi

  • @solomonmwangosi1325
    @solomonmwangosi1325 3 месяца назад

    Wa camera anapiga miti badala ya watu mpuuzi kabisa huyu hapo hapo mfukuzeni ni adui jamani

  • @niwacosmetics1657
    @niwacosmetics1657 3 месяца назад

    Muheshimiwa kadogo, memories names of the place you are at for better connection. Hotuba nzuri sana nimeipenda, short and clear. Matayo analipwa shingapi umesema?

  • @EmanuelIsaya-sg8bk
    @EmanuelIsaya-sg8bk 3 месяца назад

    Mpiga picha. Picha zako siku hizi hazionekani kwa ubora

  • @DeogratiasNsabhi
    @DeogratiasNsabhi 3 месяца назад

    Uyo mpiga kamera boya

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 3 месяца назад

    Watoeni watu moshi wa mwenge kichwani ili waweze kufikiri vizuri. Yani nikampigie mtu kura alafu eti ccm!!!!!!! Kama kuna siku nitafanya hivyo. Nisiende peponi kabisaaaa.

  • @niwacosmetics1657
    @niwacosmetics1657 3 месяца назад

    Camera man kunashida gani? Tunaona milima na miti tuu, watu wakowapi?

  • @solomonmwangosi1325
    @solomonmwangosi1325 3 месяца назад

    Jamani huyu bado anapiga miti. Mliopo hapo mfukuzen au angalieni kwenye mitandao yenu!

  • @DeogratiasNsabhi
    @DeogratiasNsabhi 3 месяца назад

    Mwamba