Vyakula Vya Wagonjwa Wa Kisukari

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 май 2016
  • Jifunze mambo mengi kutoka kwa muelimishaji na mgonjwa wa kisukari, akikuelimisha kuhusu masuala ya lishe kwa mgonjwa wa kisukari.

Комментарии • 30

  • @omaryhashimu4218
    @omaryhashimu4218 3 года назад +2

    Ahsante sana kwa somo nzuri.

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 5 лет назад +1

    Shukraan Jazilaan kwa Darsa. Naomba utujulishe kimatendo jinsi ya kutumia Mashine ya KUPIMA Sukari hatua kwa Hatua.

  • @user-gu3oo1bd6m
    @user-gu3oo1bd6m 24 дня назад

    Shukurani unasaidia sana

  • @FredMsafiri-qn8ji
    @FredMsafiri-qn8ji 2 месяца назад

    Good night educators

  • @haleemaramzan3875
    @haleemaramzan3875 3 года назад

    Shukran sana

  • @sarambuyecelestin8688
    @sarambuyecelestin8688 3 года назад +1

    Asante dada kwa maelezo hayo bila shaka nitasaidika nayo

  • @user-qc1iq1yb9v
    @user-qc1iq1yb9v 6 месяцев назад

    Mi pia,nktaka kujua chapati aneza kula

  • @salimamasanja4659
    @salimamasanja4659 6 лет назад

    Nashukuru kwa helimu ya kisukari,nami nimejifunza

    • @florahemmanuel8323
      @florahemmanuel8323 6 лет назад

      Salima Masanja
      Km ni muhanga au ndg jamaa km upo Dar tuwasiliane 0784511966.,upate ushauri wa Tiba uwe huru

    • @florahemmanuel8323
      @florahemmanuel8323 6 лет назад

      Salima Masanja
      Tuwasiliane 0784511966.ofisi yetu IPO tayari kukuhudumia ukapona kabisa

    • @amirsab1158
      @amirsab1158 5 лет назад

      @@florahemmanuel8323 nauliza swali naomba jibu ivi ukiwa.na kosukari tpy 2 je unaeza kupata mimba

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 5 лет назад +2

    Naomba namba yako ya Simu.

  • @chifuerick4773
    @chifuerick4773 10 месяцев назад

    Iko poa

  • @ramadhanimkude5744
    @ramadhanimkude5744 2 года назад

    Wanga tatzo.

  • @dixminderjngao9702
    @dixminderjngao9702 4 года назад +1

    We dada unatudanganya kuna makund 2 tu ys sukari

  • @donaldsinkamba4867
    @donaldsinkamba4867 6 лет назад

    tupate mawasiliano yako kwa ushauri zaidi

  • @kimarowitness7397
    @kimarowitness7397 5 лет назад +4

    Mimi nina swali jaman mgonjwa wa sukari anaweza kula chapati???

    • @yay2116
      @yay2116 5 лет назад +2

      Nakuomba umtafute Dr Boaz mkumbo MD ktk RUclips utapata elimu ya kutosha. Hapo utaingia chaka

    • @shufaashafii967
      @shufaashafii967 4 года назад

      Chapati atta

  • @ummusamira3518
    @ummusamira3518 7 лет назад

    Mimi nna sukari nikiwa mja mzito ndio napata sukari nikijifunguwa napona ila huzidi uzito nikafika kilo 114 kwendea juu 😭😭

    • @shahidanyangasa2399
      @shahidanyangasa2399 7 лет назад +1

      Na mtoto umezaa akiwa mzima?

    • @florahemmanuel8323
      @florahemmanuel8323 6 лет назад +1

      Ummu Samira
      Kisukari kinapona hata iwe sugu vipi.km upo Dar naomba tuwasiliane 0784511966

    • @florahemmanuel8323
      @florahemmanuel8323 6 лет назад

      Ummu Samira
      Na hata uzito utapungua vizuri kabisa

    • @florahemmanuel8323
      @florahemmanuel8323 5 лет назад

      Ndio tuwasiliane 0784511966

    • @yay2116
      @yay2116 5 лет назад +1

      Search Dr Boaz mkumbo ktk RUclips utapata elimu ya kutosha

  • @gracejames4343
    @gracejames4343 4 года назад

    Dad samahani mgonjwa wa kisukari anaruhusiwa kutumia maziwa mgando